Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

MAPACHA WALIOTENGANISHWA INDIA WAISHI KWA SHIDA

$
0
0
Mwezi mmoja baada ya pacha waliokuwa wameungana, Ericana na Eliud kurejea nyumbani mkoani Mbeya baada ya kutenganishwa huko India, imebainika kuwa sasa wanaishi maisha magumu.

Pacha hao ambao habari zao ziliuteka umma, walizaliwa jijini Mbeya, Februari 20, mwaka jana wakiwa wameungana kiunoni na kuwafanya washindwe kuonana sura hadi baada ya upasuaji huo.

Pamoja na furaha ya kuonana sura, Gazeti la The Citizen, limeripoti kuwa pacha hao wamekutana na hali ngumu ya maisha kutokana na uwezo mdogo wa familia yao, ikielezwa kuwa wakati mwingine hata mlo unakosekana.

“Maisha ya sasa si kama ilivyokuwa India ambako walikuwa wanakula vyakula vizuri, wanalala pazuri, hapa ni bahati nasibu hata kupata milo mitatu. Muda mfupi ujao hata unga wao wa uji utakwisha, limebaki kopo moja tu,” alisema baba yao mzazi, Erick Mwakyusa ambaye ni dereva wa bodaboda.

Mwakyusa alisema alipopata taarifa kuwa mke wake atajifungua pacha, alipata wakati mgumu kwani alijua hali ngumu waliyonayo, lakini alichanganyikiwa zaidi baada ya kuambiwa kuwa pacha hao wameungana pia.

“Kulea pacha ni jambo moja, lakini kulea walioungana ni ngumu zaidi, sikujua ni jinsi gani nitawalea katika hali waliyokuwa nayo,” alisema Mwakyusa.

Katika changamoto za kutafuta matibabu, Mwakyusa alisema alipotezana na familia yake wakati mkewe Grace alipokwenda Dar es Salaam kutafuta matibabu na baadaye akapata msaada kwenda India alikokaa kwa miezi tisa.

Mwakyusa ambaye ameikodi pikipiki hiyo kwa ajili ya kufanyia biashara anasema hutakiwa kukabidhi kiasi cha Sh6,000 au 8,000 kwa siku.

Kutokana na udogo wa chumba wanacholala, Mwakyusa na Grace hulazimika kulala chini kwenye godoro na kuwaachia watoto wao wawili kitanda cha futi tatu kwa tano. “Licha ya ugumu huo wa maisha, tunaishukuru Serikali kwa kutusaidia kufika India na kututakia mema,” alisema Mwakyusa.

“Tunalala njaa mara kwa mara, ingawa watoto wametibiwa na ni wazima, lakini bado tuna changamoto za kuwafanya wawe hai,” alisema.

Grace alipoulizwa anataka msaada wa aina gani, alisema, “Ningepata Sh150,000 ningefanya biashara,”

Kutokana na kauli hiyo, Balozi wa Kenya nchini, George Owuor alifika katika Ofisi za Mwananchi na kuahidi kutoa fedha alizohitaji Grace kwa ajili ya biashara na wafanyakazi wa ubalozi huo kukusanya fedha kwa ajili ya kununua bodaboda ya baba wa watoto hao ili aachane na kukodi kwa tajiri.

SOMA LA LEO:TUNAPOTEMBEA NA SEHEMU ZA MIILI YETU ZILIZOKUFA

$
0
0
Mzee mmoja, Salim Keni wa Makongorosi huko Chunya mkoani Mbeya, anasema kuwa siku moja alishangazwa sana na kauli ya mtoto wake wa miaka kumi. Anasema alikuwa amekaa nje ya nyumba yake jioni. Hapo alipokuwa amekaa alikuwa akiangalia jongoo. Jongoo huyo alikuwa ameumia sehemu yake ya nyuma, ambayo sasa ilikuwa imekauka, yaani imekufa.

Sehemu ya mbele ambayo ilikuwa ni nzima iliunganishwa na sehemu hiyo ya nyuma au ya mkia kwa kiuzi kidogo sana. Tunaweza kusema kwamba sehemu hiyo ya mkia ilikuwa inakokotwa na ile ya mbele. Hali hiyo ilimfanya jongoo yule kupata shida sana ya kusogea. Ukweli ni kwamba, hata kama sehemu ile ya nyuma ya jongoo yule ingeondolewa wala asingebaini, kwani ilikuwa sio sehemu ya mwili wake tena-ilishapoteza uhai.

Lakini aliendelea kuikokota kama vile bado alikuwa akiihitaji. Wakati Mzee Salim akimshangaa jongoo yule, mtoto wake huyo ambaye ni mtundu sana alifika hapo, ambapo naye alimuona jongoo huyo. Alikaa chini karibu na baba yake na kumkodolea macho kabla hajatoa kauli hiyo ya kushangaza. ‘Sasa baba, huyu mdudu si anapata shida bure, kwa nini asiache hii sehemu ya nyuma ili atembee vizuri, kwa sababu yenyewe imekauka…..’

Kabla baba yake hajajibu, mtoto yule alichukua kijiti na kutenganisha sehemu ya mbele na ile ya nyuma ya jongoo yule. Baada ya kufanya hivyo, jongoo yule aliweza kuongeza kasi ya kutembea na alionekana wazi kwamba amekuwa huru.

Mzee Salim alishikwa na butwa kwani hakuwa amepata muda wa kufikiri hivyo wakati akimtazama yule jongoo. Ni kweli kabisa, mtoto wake alikuwa amemfunulia kitendawili kikubwa sana cha maisha. Ya nini kutembea na sehemu ya mwili ambayo haina kazi, ambayo imekufa, ambayo angeweza kuiacha na kuwa huru zaidi?

Mtoto yule aliona wazi kabisa pamoja na akili yake ya kitoto kwamba, kama mdudu yule angemudu kuiacha sehemu ya mwili wake ambayo ilikuwa tayari imekufa angeweza kuishi katika uhalisia.

Uvumbuzi wa mtoto yule ni uzumbuzi wetu sote. Ni lini nasi tutaamua kuacha sehemu zetu ambazo zimekufa ili tuweze kuishi katika uhalisia? Sehemu zetu za miili zilizokufa ni zipi? Ni maumivu ya kimaisha yaliyopita. Ni mizigo ya mashtaka ya dhamira zetu na haja yetu ya kutaka kulipiza visasi. Ni masikitiko na majuto ya mambo yaliyopita, ambayo bado yanatuumiza hadi leo, mambo ambayo hayana maana yoyote tena kwetu.

Wengi wetu tunatembea au kuishi na mizigo mizito sana ya mambo yaliyopita, mambo ambayo ukweli ni kwamba hayana maana yoyote kwetu. Lakini kwa sababu tumeamua kutembea nayo, hutuzuia kwenda kama tunavyotaka, hutuzuia kufurahia maisha na hutuzuia kuwa huru katika mambo yetu mengi kimaisha.

Bila shaka tukiwa jasiri kama mtoto yule na kubaini sisi wenyewe kwamba tunatembea na sehemu zetu ambazo zimekufa, tutakuwa tayari kuziondoa na kuwa huru. Ni vizuri kujiuliza kama kuna mambo yaliyopita ambayo yanatuzuia katika kufanya na kufikia malengo yetu, ambayo yanatunyima furaha na kutufanya tujione kama watumwa. Je mambo hayo yana maana gani kwetu wakati yameshapita? Ni wazi yamekua, tunayabeba bure.

Kuna ambao wanalia hadi leo kufuatia vifo vya wapenzi wao vilivyotokea mika kumi iliyopita. Kuna wanaohangaika kutaka kulipa visasi vya yale mabaya waliyotendewa miaka kadhaa nyuma. Kuna wale ambao wanasumbuliwa na mawazo ya jinsi walivyofilisika au kusalitiwa na jamaa au wapenzi wao. Hii yote ni mizigo ya bure, ni sehemu za miili au maisha yao ambazo zimekufa, lakini wanaziburuza.

Nimekuwa nikiandika hapa mara kwa mara kwamba mambo yaliyopita hayapaswi kutuumiza, kutuondolea furaha na kutufanya tujihisi wanyonge na tusio na thamani, kwa sababu mambo haya hayana maana yoyote tena kwetu. Hata kama utafikiri kwa miaka mia kuhusu jambo fulani ambalo tayari limekutokea, huwezi kulibadili hata kwa chembe ndogo sana, sanasana unalipa uzito ili likutese zaidi.

Ili uishi hasa, uishi kwa kadiri ya utashi wa kanuni za kimaumbile, inakupasa uondoe sehemu ya mwili wako ambayo imeshakufa. Bila kuiondoa sehemu hiyo, ni lazima utaelemewa sana

KUJICHUA AMA KUPIGA PUNYETO KWA MWANAMKE

$
0
0
Kujichua a.k.a kujichezea a.k.a “a little help from ur hand” (kupiga puri au punyeto sounds manly) sio kwa wanaume tu bali hata wanawake tufanya hivyo ila wengi wetu huwa hatuko “comfortable” kulizungumzia au kukili kuwa tukizidiwa huwa tunajisaidia…….wakati mwingine mtu unashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani mapaka upige moja ndio nguvu zinakuja…hasa kama umezoea dozi za maana lakini sasa mpenzi hayupo karibu.

Kujichua au kujichezea ni njia pekee ya kujifunza kufika kileleni, kuujua na kuuelewa mwili wako na kujua utamu wa ngono ukoje(incase hujui utamu huo ukoje). Kwa kujichua utajua jinsi kutoa na kupokea raha ya kufanya mapenzi na mpenzi wako, utasaidia ngozi yako kuwa nzuri na laini (mambo ya Urembo hayo) na vilevile utajua jinsi ya kuzuia (kuchelewa kwa makusudi kufikia mshindo) au kumsubiri mwenzio ili mfike pamoja, hakuna raha ya kufanya mapenzi kama kufika kwa wakati mmoja.

Faida za kujichua/chezea:-
1)Kuujua mwili wako na kujiamini zaidi linapokuja swala la kungonoka(fanya mapenzi)
2)Kuongezeka kwa hamu ya kufanyamapenzi kwa vile utakuwa unajua utamu wake.
3)Kujua “vipele vyako viliko”.
4)Kutokuusaulisha mwili wako ikiwa uko nje ya uhusiano au umeamua kuwa single kwa muda.
5)Kuepuka mimba na maambukizo ya virusi vya UKIMWI na magonjwa mengine.

*Kama kuna faida nyingine unaijua basi si mbaya kama utachangia hapa.

Madhara ya kujichua/chezea:-
1)Sijawahi kushuhudia wala kusikia tatizo lolote kutokana na kujichaua kiasili.

2)Kujichua kwa kutumia sanamu a.k.a Dildos ni kusamburuka kwa nyama za nyeti zako(inategemea na aina ya sanamu), kupoteza hisia za uume halisi kutokana na kuzoea “dubwana” hizo, kifo kutokana na “shock” ikiwa unatumia ya umeme, vilevile saratani ikiwa unatumia vilainishio ili kurahisisha “dubwana a.k.a toy a.k.a Dildo” kuingia.

Ikiwa kuna madhara mengine unayajua kuhusiana basi ni vema ukachangia hapa

MTOTO MWENYE UMRI WA MIEZI SITA ASHITAKIWA KWA MAUAJI NA KUTISHIA POLISI

$
0
0
A nine-month-old boy charged with planning a murder, threatening police and interfering with state affairs in Pakistan has been granted bail after appearing in court this week.

Toddler Muhammad Mosa Khan was booked in February along with 30 other people, including a number of members of his family, after stones were allegedly thrown at police and energy officials during raids on homes in Lahore. Residents had been accused of not paying for electricity.

Apparently deciding that the nine month old was capable of - and had - taken part in the alleged stone throwing, Sub-Inspector Kashif Ahmed decided to arrest the child.

What followed were farcical scenes in which the toddler was fingerprinted and made to sit on his grandfather’s lap in court, drinking his bottle.

The judge quickly granted bail for the child, along with the other people accused in the case. Baby Muhammad is however currently expected back in court on 12 April - although the judge apparently noted the absurd nature of the charge, he does not have the powers to dismiss the case against.

AUNT EZEKIEL ATIMULIWA KWA WEMA! AITWA MNAFIKI

$
0
0
Stori: IMELDA MTEMA
TIMBWILI la aina yake limetokea nyumbani kwa ‘Beautiful Onyinye’ wa Bongo, Wema Sepetu, kati ya Martin Kadinda na nyota wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, ‘Kubwa’ lina kisa klizima.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, gogoro zima lilishika nafasi asubuhi ya Aprili 6, 2014 nyumbani kwa Wema, Makumbusho jijini Dar es Salaam, kufuatia Kadinda ambaye ni meneja wa Wema kumvurumishia shutuma Aunt akidai ni mnafiki mkubwa, tena ndiye chanzo cha Kajala Masanja na Wema kutibuana huku akimtaka aondoke.

TWENDE POLEPOLE
Chanzo kilisema, siku hiyo Aunt alilala nyumbani kwa supastaa huyo, lakini asubuhi wakiwa bado wanagalagala kwenye sita kwa sita, Kadinda alifika na kuwakuta hawajaamka, ndipo alipolianzisha.

Kwanza aliwaamsha huku akimshutumu Aunt kwa nini amelala pale wakati ana kwake na ni mke wa mtu?
Mpashaji wetu alizidi kuweka wazi kwamba,  baada ya Martin kumuuliza swali hilo, Aunt hakuwa na jibu la moja kwa moja (pengine alikodoa macho tu), ndipo jamaa huyo alipomwanzishia vita ya maneno makali huku akisisitiza aondoke.

KISIKILIZE CHANZO
“Siku hiyo Martin unayemjua wewe hakuwa mwenyewe. Alikuwa mkali sana. Ilifika mahali alimshangaa kwa nini yeye (Aunt) ni mke wa mtu halafu anakwenda kulala nyumbani kwa Wema na si kwake Mwananyamala?

“Alimwambia ujirani wake na Wema ndiyo umekuwa chanzo cha ugomvi wa madam huyo na staa mwenzake wa filamu, Kajala.

“Yeye Martin anaamini kwamba, kuna maneno ambayo Aunt anayasema kwa Wema kuhusu Kajala ndiyo maana sasa hivi hawapikiki. Si unajua kwa sasa, Wema na Aunt ni kama pochi na kwapa?” chanzo kilimwaga mchele na kusisitiza jina lake kufichwa kapuni kama si kibindoni kabisa.

WEMA KATIKATI YA GOGORO
Mtonyo uliendelea kudai kwamba, wakati Martin akizidi ‘kumpelekea’ Aunt na kuifanya nyumba ikikose amani kwa kelele, Wema aliingilia kati na kumhoji meneja wake hivi: “Kama umechukizwa na kitendo cha Aunt kulala hapa, kwa nini unamuingiza Kajala kwenye ugomvi?”

AUNT: WE MARTIN UNA SABABU NYINGINE!
Muda wote huo, Aunt alibaki kimya, lakini madongo yalipozidi alijilipizia kwa kumwambia Martin kwamba, labda ana sababu nyingine lakini siyo kumwingiza katika ugomvi wa Wema na Kajala ambao haujui chanzo chake.

“Aunt alijizuia mwisho akamwambia we Martin una sababu nyingine, kwa nini unaniingiza mimi kwenye ugomvi wa Kajala na Wema?” chanzo kilisema kikimkariri Aunt.

IJUMAA ‘KUBWA’ LAWASAKA WOTE
Baada ya kupata nzitonzito hiyo, paparazi wetu alianza kwa kumtafuta Martin alipopatikana alikiri kutokea kwa ugomvi huo na kusema:

“Nilikuwa najaribu tu kumuelewesha  Wema na Aunt kwa kuwa watu kwa hivi sasa wanawatazama kwa mtazamo tofauti kabisa na wanavyoamini wao. Mimi ndiyo nafahamu hivyo.

“Unajua watu wanamsema Aunt vibaya sana, hajui tu. Wanadai kwamba yeye ndiyo chanzo hasa cha ugomvi wa Kajala na Wema, sasa nilivyomkuta amelala pale ndiyo na mimi nikacharuka kwa kuwa kuna mambo ambayo tulikuwa hatujayafanya na Wema kwa sababu Aunt yuko pale,” alisema Martin bila kutaja mambo hayo ni yapi.

WEMA SASA
Kwa upande wake Wema alipopatikana hewani na kuulizwa kuhusu kisanga hicho, naye alikiri kutokea lakini akasema ‘mwisho wa siku’ waliweka mambo sawa.
“Ulikuwa ugomvi wa kawaida, si unajua sisi ni binadamu, Lakini baada ya yote waliweka mambo sawa na shughuli nyingine zikaendelea,” alisema Wema.

Paparazi: Ni kweli yeye ndiyo chanzo cha wewe na Kajala kugombana?
Wema: Noo! Hakuna kitu kama hicho. Kwanza hajui chochote kuhusu mimi na Kajala.

AUNT HOLA!
Juzi, Aunt alitafutwa kwa njia ya simu lakini hakupatikana. Paparazi alifika nyumbani kwake Mwananyamala ambapo wanyeji waliokutwa walisema amesafiri Dubai kwa mume wake.

Paparazi: Naweza kupata namba yake?
Mwenyeji: Aah! Wala hutuna, labda uje siku nyingine.

TUKIRUDI NYUMA
Kwa sasa, Wema na Aunt ni kama ‘mgambo wa jiji na machinga’ kila kukicha wapo sambamba lakini awali, Wema alikuwa na urafiki mkubwa na Kajala.

Wema ndiye aliyemtolea Kajala fedha kiasi cha shilingi milioni 13 kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar hivyo kumnusuru na kifungo katika keshi ya mwanadada huyo ya kutakatisha fedha chafu na kuuza nyumba iliyo kwenye dhamana kisheria.

Baada ya kuachiwa huru, Kajala na Wema walikuwa kama ‘bwana afya na bucha la nyama’ huku wengi wakimpongeza Wema kwa uamuzi wake huo mgumu.

Cha ajabu, siku za hivi karibuni, wawili hao wako kama Kaskazini na Kusini kwamba hawawezi kuwa sanjari, kisa kikidaiwa si kimoja. Wengine wanadai chanzo ni Kajala ‘kambeba’ jumla aliyekuwa bwana wa Wema, Clement ‘Kigogo wa Ikulu’.

Wapo pia waliodai kwamba, uadui wao umetokana na Kajala kuanza kuwa tajiri huku Wema akishuka kila kukicha. Lakini Aunt naye amekuwa akitajwatajwa kuchochea uhasama huo.

CHADEMA KANUSHENI YANAYOSEMWA KATIKA HII VIDEO

$
0
0
Nimekutana nayo mahali hii video ....Mweee...Nadhani Chadema wanalakusema kuhusu hii Video:

MUME AMWAGIA TINDIKALI MKEWE NA KUMHARIBU USONI JIONEE HAPA

$
0
0
MARIA Nkwabi [33] Mkazi wa Kijiji cha Kakola akiwa katika Hospitali ya wilaya ya Kahama baada ya kumwagiwa Tindikali na Mumewe;Ray Chobe katika ugomvi unaodaiwa kugombea mali.
Jeshi la Polisi Wilayani Kahama limethibisha kutokea kwa tukio hilo na bado wanaendelea kumsaka mtuhumiwa huyo

SIRI NZITO ZA ALIKIBA ZAFICHUKA!!! SOMA HAPA

$
0
0
Wasanii wengi wa fani mbali mbali kuanzia filamu hadi bongo fleva, wamekuwa wakipoteza mashabiki wao wengi kutokana na ile hali tu ya jinsi anavyochukulia umaarufu wake, kama anatumia umaarufu wake vizuri basi hutokea kupendwa sana na watu hata wale ambao siyo mashabiki wake, watampenda tu kama mtu wakawaida.Kismati hiki cha kupendwa sana na watu wa rika mbalimbali anacho naye msanii mkongwe sana Ali Kiba.

Ukimuongelea Msanii kama Ali Kiba, watu wengi wanatamani wasanii wote wawe kama yeye,ni mmoja kati ya wasanii wachache sana maarufu ambao hawana ulimbukeni wa mali au umaarufu wao, cause wengi wao pale wapatapo umaarufu kidogo tu, huanza kudharau watu wake wa karibu, haswa wakipata mali kidogo basi huishia kuonyesha watu magari na
nyumba,hata kama haiwahusu, ilimradi tu basi nao waonekane kama wasanii wa nje wenye mali zao, ila kwa Ali kiba imekuwa ni tofauti sana,na hiki ndicho kinachofanya AliKiba aweze kupendwa zaidi na kila mtu.
Kupitia mtandao wa instagram Ali kiba aliweza kuweka wazi mtazamo wake wa mafanikio:
“Kuishi maisha halisi yenye furaha na maana kwako ni kitu cha thamani sana. Unayo kila sababu ya kufuata njia yako ya maisha yenye misingi mizuri ya kukujenga katika kila nyanja ya maisha yako. Kwa kuwa kila mtu ana maono yake binafsi kuhusu maisha ni vigumu kufafanua maana halisi ya maisha. Naamini nawe pia una falsafa yako ya kutafsiri nini maana ya maisha mazuri kwako,”

SNURA WA MAJANGA MIKONONI MWA DJ WA MAISHA CLUB..WATUPIA PICHA WAKIWA BED

$
0
0

Msanii Snura ajikuta akinasa kwa deeJay wa Club Maisha ya Mbeya ''Dvj Hunter'' 

UKARIBU WA DIAMOND PLATNUMZ NA DJ FETTY MTAANI WAGEUKA MAJANGA, SOMA ZAID HAPA

$
0
0
Hot in town is concerning the relationship waliokuwa nao between dj fetty na diamond the platnumz,


Kumekuwa na rumors kuwa haiwezikana watu wawili hao wakawa na ukaribu kiasi hicho, kiasi ambacho wamekuwa wakipost kwenye mitandao ya kijamii mara kwa mara picha za pamoja,

But blog yenu imejaribu kuzisaka news na nakugundua ya kwamba the guys walikuwa nchini nigeria kwenye tour na project ya kutengeneza the new track kwa superstars wa africa akiwemo dbanj, fally ipupa na bongo tukiwakilishwa vyema na diamond , na tour yenyewe ilikuwa ni ya kuimba nyimbo ambayo itawahamasisha vijana wajihusishe kwenye kilimo.

DIAMOND ASHIKA NUMBER 3 KATIKA WASANII 20 WA KORA AWARDS WEEK HII

$
0
0

Tuzo za KORA ambazo ndizo tuzo kubwa zaidi Afrika zimekuwa zikitoa orodha ya wasanii 20 bora zaidi wa Afrika waliopigiwa kura na mashabiki kupitia ukurasa wake wa Facebook, na wiki hii pia Diamond Platinumz ameonekana kwenye list hiyo.

Diamond amepigiwa kura nyingil na kupanda kutoka nafasi ya 14 wiki iliyopita hadi nafasi ya 3 wiki hii.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook mwimbaji huyo amewashukuru mashabiki wake:

From number 14 last week to number 3 this week..
thanks alot my fans, appreciate so much...i believe your
votes are what made me be there...please let's keep voting... i strongly believe together
we can..... if you are on facebook, please go
to#KoraAwards fan page like it then if you see my
face on any post comment by writing my name Diamond platnumz.... thank you!

KELVIN YONDANI APOTEA YANGA AKIWA SAFARINI KUELEKEA ARUSHA

$
0
0
Beki Kelvin Yondani hajulikani alipo, uongozi haujui na hata benchi la ufundi halitaki kulizungumzia suala Lake. Kocha Msaidizi, Charles Boniface Mkwasa amesema hajui lolote kuhusiana na beki huyo na asingependa kuzungumzia.

“Sina taarifa yoyote kuhusiana na na Yondani,” alisema.

Lakini alipoulizwa bosi wake, Hans ven der Pluijm, naye alisema anachofanya ni kufanya wachezaji waliopo.

“Sasa nisingependa kumzungumzia Yondani, waliopo ndiyo ninafanya nao kazi na nguvu tunaelekeza katika mechi zilizobaki na tunataka kushinda zote,” alisema.

Viongozi wamekuwa wakikwepa kulizungumzia, lakini Yondani inaelezwa aliondoka mara tu baada ya mechi ya Mgambo ambayo Yanga ililala kwa mabao 2-1 mjini Tanga.

Rafiki wa karibu wa Yondani, amesema kwamba, beki huyo alikasirishwa na kuvishwa lawama alizoona hazikuwa na msingi, kwamba alihujumu kwa kuwa alisababisha penalty iliyozaa bao la pili.

“Unajua yeye ni beki, kosa linaweza kutokea na anaona anaonewa bila sababu za msingi na mbaya kuna baadhi ya viongozi wanaonekana kuungana na wale wasiojua mpira na kusisitiza alisababisha penalty kwa makusudi.

“Sasa hali hiyo imemuudhi na ukizingatia alicheza kwa nguvu sana, alijituma sana siku ile kwa kuwa anajua umuhimu wa ubingwa,” alisema rafiki yake huyo wa karibu bila ya kusema Yondani amejijimbia wapi.

Kabla ya kujiunga na Yanga, wakati huo akiwa Simba, Yondani alikimbilia kwao Mwanza na kujichimbia chanzo likiwa suala la lawama na kushutumiwa kuwa aliifungisha Simba makusudi.

KENYA AIRWAYS YAACHA NJIA JNIA..UWANJA WAFUNGWA NDEGE ZINGINE ZATUA ZANZIBAR

$
0
0
Ndege ya kampuni ya Kenya Airways imetua pembeni ya njia kuu yaani runway na kushindwa kutua salama kama inavyotakiwa uwanja wa ndege wa JNIA.

Hata hivyo shukrani za pekee zimwendee rubani wa ndege hiyo ambae pamoja na kupata tyre bust aliweza kucontrol ndege mpaka uamuzi wa kuwaondoa abiria kwa kutumia mlango wa dharura ku-slide kwenda chini na hapo ukawa mwisho wa safari yao.

Tunamshukuru Mungu mjaza neema ndogo ndogo na kubwa nyepesi na nzito nyembamba kwa nene kwa kuruhusu wenzetu hawa kutoka wote kwa amani bila mikwaruzo.

Narudia tena shukrani pekee kwa rubani aliecheza nayo tairi ilipopata pancha huku akilazimisha ibaki njia kuu.

TB JOSHUA: UTABIRI WAKE WATIMIA: NIGERIA KUWA NUMBER 1 KIUCHUMI

$
0
0
Prophet TB Joshua alitabiri mwaka jana kwamba Nigeria itakua ya kwanza kiuchumi kushinda nchi zote za Africa.
Wakati anatabiri. ..nilikua nikiangalia nchi ya Africa Kusini, Misri etc.....niliwaza sana.
Jana Imetangazwa kuwa kwa sasa Nigeria inaongoza katika Uchumi Africa

Kweli huyu Baba ni Mtumishi wa Mungu wa karne hii.


TAMKO LA RASMI KUHUSU URAIA PACHA KUTOKA KWA WATANZANIA WAISHIO WASHINGTON DC

$
0
0
Sisi watanzania wa Washington DC, Maryland na Virginia pamoja na vizazi vyetu tunapenda kutoa pongezi kwa Serikali yetu ya Tanzania kwa Mchakato mzima wa Katiba mpya unaoendelea.

Tunapenda Kutoa Tamko Rasmi kwa Bunge la Katiba na Serikali kutoa haki ya Uraia kwa Watanzania Wote popote walipo Duniani. Uraia Wa Mtanzania aliezaliwa Tanzania na Kizazi chake usijali hali na mahala alipo Mtanzania Huyo.

Kutokubaguliwa kwetu kwenye swala hili la Haki ya Kuzaliwa na Kuruhusiwa kwa Uraia Pacha kwa Waliozaliwa Tanzania na Vizazi vyao ni muhimu katika kuimarisha nchi, kutoa haki kwa Watanzania wote waliozaliwa Tanzania pamoja na vizazi vyao. Haki ya kuzaliwa  kwa watanzania wote kutaimarisha Zaidi mahusiano kati ya watanzania tulio nje na serikali yetu tukufu.

Watanzania Hapa Washington, DC na tulio nje tumekuwa mbele kuitangaza nchi yetu, kuiwakilisha nchi yetu na kuibeba Bendera ya Tanzania huku nje . Watanzania tumekuwa tukishirikiana na Viongozi wa nchi yetu wanapokuja huku nje kwenye mambo mbalimbali ya kimaendeleo, kijamii na kielimu ili kuhakikisha nchi yetu inasonga mbele.

Watoto wetu waliozaliwa huku nje wamekuwa wakiimba nyimbo ya Taifa la Tanzania wanapokuja viongozi mbali mbali huku na kwenye shughuli mbali mbali za kitaifa na kimataifa ambazo huwa tunaiwakilisha nchi yetu huku ugenini. 

Watanzania wenye uraia wa Tanzania na Wale waliochukua Urai wa Hapa , pamoja na watoto wao waliozaliwa hapa ambao ni Wamarekani kwa kuzaliwa tunajisikia na tunaipenda Tanzania kama wenzetu walioko Marangu au Kimanzichana. Tofauti iliyopo ni kwamba sisi tuko huku na wenzetu wako Biharamulo. Watoto wetu wamezaliwa hapa na Binamu zao wamezaliwa Chalinze.  Sisi sote na watoto wetu ni watanzania na tunataka tutambulike na kuwa na haki sawa.

Watanzania wa Washington DC, tumekuwa tukishirikiana kwa hali na mali na Ubalozi wa Hapa  kuitanganza nchi yetu na kuitetea na kuiletea sifa nzuri Tanzania. Hivi Sasa Ubalozi wetu hapa Unaandaa sherehe za Miaka 50 ya Muungano na Ni sisi Watanzania wa Ughaibuni tutashiriki kwa Moyo Mmoja na nguvu zote kuipeperusha bendera ya Tanzania kwa niaba ya nchi nzima. Watato wetu wataonyesha utamu wa nyimbo ya Taifa la Tanzania. Viongozi wa Taifa watazungumza na watanzania wa hapa na kujadili maendelea na muelekeo wanchi.     Sisi Ni Watanzania.


Tanzania Itajengwa Na Watanzania. Sisi Na Vizazi Vyetu Huku Ughaibuni ni Watanzania.

Iddi Sandaly,

Rais Wa Jumuiya Ya Watanzania , 
Washington DC, Maryland na Virginia.

KUHUSU HABARI ZA MSANII SHETTA KUPATA AJALI YA GARI

$
0
0
Msanii Shetta wa bongofleva amepata ajali ya gari maeneo ya Minjingu akielekea Babati kwa ajili ya kufanya show ambayo maamuzi ya kuifanya yalikuja dakika za mwisho.
Wakiwahi show kwa kutumia usafiri wa gari aina ya Noah, walipata hiyo ajali jioni ya April 11 2014 baada ya gari kupinduka wakati dereva akiwa kwenye jitihada za kumkwepa Punda.
Kwenye gari hilo, Shetta alikua na Msaidizi wake pamoja na Waandaaji wa show ambapo hakuna aliepoteza maisha isipokua majeraha madogomadogo huku yeye mwenyewe akiumia kichwani na mguuni.
Shetta alipelekwa hospitali lakini baadae aliruhusiwa kuondoka na kuendelea na safari japo haijajulikana kama aliweza kufanya hiyo show baada ya kugundua kwamba alikua ameumia kidogo.

Hii picha hapa juu ni ya Shetta kwenye eneo la ajali muda mfupi tu baada ya kutokea ambapo baadae aliandika >> ‘nashukuru Mungu nimetoka salama, kweli Mungu mkubwa maana nilijua leo ndio mwisho wangu, ajali ni mbayaa sanaaaa, thanks wote mlionipa pole tupo pamoja’

NANI ZAIDI:MASOGANGE AKUTANA NA MWENYE MAKALIO MAKUBWA KAMA YAKE NA KULINGISHIANA HUKO SOUTH

$
0
0
MODO anayesifika kwa kujaliwa makalio, Agnes Jerald ‘Masogange’ amepata mpinzani lakini akachomoa kuhusu suala la kufunikwa.

Masogange alizungumza hayo juzikati baada ya kukutana na mrembo aliyejulikana kwa jina la Samia pande za Sauz

Walipopiga picha ya pamoja, Masogange alipinga baada ya paparazi wetu kumhoji.
“Hawezi kunizidi mimi, hatari wewe,” alijisifu Masogange kwa paparazi wetu.
JE wewe unasema nani zaidi hapo kwa pic?

WABUNGE WETU HAO....UNASEMAJE KUHUSU HII PICHA ?

$
0
0
Ni kama anasema "Mzee embu weka pozi moja kali hapo nikufotoe picha kali ya kuweka Facebook , Hapo hapo Kaka...."

PICHA KADHAA ZA AJALI YA NDEGE YA KENYA AIRWAYS ILIYOTOKEA JANA JNIA

$
0
0
Dar es salaam imekua ikipokea mvua kubwa sana kwenye siku hizi za karibuni ambayo imehusika sana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kwa watu kuonyesha jinsi madimbwi yalivyotawala hata kwenye sehemu ambazo hazikutarajiwa barabarani.
Ukubwa wa hizi mvua ulisababisha ukungu mkubwa sana April 11 2014 mchana wakati ndege ya shirika la Kenya na abiria 49 ikiwa inatua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam ikitokea Kenya.
Marubani walipata tabu wakati wa kutua hivyo ikatua kwa kishindo kilichopelekea ishindwe kutua kwenye barabara kama inavyotakiwa na badala yake ikaingia mpaka kwenye majani.
Screen Shot 2014-04-12 at 4.29.25 AMPolisi ilipozungumza na Radio One, imesema ajali hiyo ilisababisha kusitishwa kwa safari zote za ndege kuondoka na kutua huku abiria waliokuwemo ndani ya hii wakishushwa kwa dharura kama moja ya hizi picha inavyoonyesha hapo chini mwisho.
Sehemu ya injini ya upande wa kulia ya ndege hii iliyokua na Wafanyakazi saba ndani yake, imeharibika kutokana na kukita chini kwa kishindo wakati wa kutua.
Screen Shot 2014-04-12 at 4.29.39 AMHakuna yeyote aliepoteza maisha isipokua kuna taarifa chache za waliopata majeraha kidogo kwenye ngazi wakati wakishuka kwa dharura kama inavyoonekana kwenye picha ya mwisho chini.
Screen Shot 2014-04-12 at 4.29.49 AM
Screen Shot 2014-04-12 at 4.29.06 AM
Screen Shot 2014-04-12 at 4.29.00 AM
Screen Shot 2014-04-12 at 4.28.53 AM
Screen Shot 2014-04-12 at 4.28.32 AM
Screen Shot 2014-04-12 at 4.28.22 AM
Screen Shot 2014-04-12 at 6.24.25 AM
Screen Shot 2014-04-12 at 5.51.54 AMSource:Millaradayo

BAADA YA OSTAZ JUMA KUTANGAZA NDOA KUMUOA JOHARI, JOHARI AFUNGUKA "OSTAZ HANA PESA WA HADHI YA KUNIOA MIE"

$
0
0
NI mtafutano! Staa mkubwa wa sinema za Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameingia kwenye vita ya maneno na bosi wa Mtanashati Entertainment, Ostaz Juma Namusoma ikiwa ni siku chache tangu jamaa huyo alipotangaza kumuoa mwanadada huyo.

Wakizungumza na Risasi Jumamosi kwa nyakati tofauti, kila mmoja alitoa la moyoni huku Johari akionekana kukasirishwa mno na ishu hiyo.
KILICHOMPONZA JOHARI
Ilidaiwa kuwa baada ya Ostaz kutangaza kwamba atafunga ndoa na Johari, vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii vililichukulia jambo hilo kwa ukubwa wake kwani mwanadada huyo hakufunguka sawasawa.
WENGINE WADAI KULIPA KISASI
Habari zinasema baada ya ishu hiyo kugeuka habari ya mjini ilidaiwa kwamba labda Johari aliamua kufanya hivyo kwa kuwa mkurugenzi mwenzake wa RJ Film Production ‘RJ’, Vincent Kigosi ‘Ray The Greatest’ naye alidaiwa ‘kuchepuka’ na Chuchu Hans.

Kuenea kwa habari za Johari kuolewa na Ostaz kulimsababishia usumbufu mkubwa mwanadada huyo kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki wakihoji ukweli wa ishu hiyo ili kujiandaa na cherekochereko.
MADAI YA AWALI YA OSTAZ
Katika maelezo yake ambayo yapo kwenye rekodi zetu, Ostaz alidai kuwa Johari anajua kila kitu kwani walifahamiana kitambo hata kabla ya mrembo huyo kujuana na Ray.
Hakuishia hapo, Ostaz alidai kuwa tayari amemfungulia Johari kampuni ya kutengeneza sinema pamoja na vifaa vyote hivyo yupo kwenye mishemishe za kumuoa.
JOHARI SASA
Ili kuondoa utata huo, gazeti hili lilimtafuta Johari kwa udi na uvumba na kutaka kujua undani wa ishu hiyo ambayo imezua maswali mengi hasa kwa mashabiki wake.Johari: Sijawahi, sina na wala siwezi kuwa na uhusiano na mtu mpuuzi kama yule (Ostaz Juma). Mwanzoni nilidhani utani, nashangaa imekuwa ishu kubwa.

Risasi Jumamosi: Kwani hufahamiani na Ostaz? Mbona anasema anakujua tangu unaishi Mburahati, Dar na enzi ukiwa Kaole?
Johari: Ni kweli Ostaz alikuwaga anakuja pale Kaole tulipokuwa tunafanya mazoezi lakini si yeye waliokuwa wanakuja ni wengi.
Risasi Jumamosi: Je, hajawahi kuleta maombi ya kukuoa?
Johari: Hakuwahi kunitongoza ila kila nilipokutana naye nilikuwa najua kwa kumwangalia tu machoni. Alikuwa anaonesha kabisa ananitaka lakini hakuwahi kunitamkia.
“Hajawahi kuniambia anataka kunioa. Kwanza mimi ni Mkristo. Sina ndoa mbili. Siwezi kuolewa mke wa pili na mpuuzi kama yeye.
Risasi Jumamosi: Je, zile picha zilizosambaa ukiwa umepozi kimahaba na Ostaz zilitoka wapi?
Risasi Jumamosi: Ilikuwa nje ya RJ, nilipiga picha na watu wengi kama Dogo Janja akiwemo na huyo Ostaz. Nilipigwa na butwaa nilipoziona mitandaoni eti nina uhusiano na Ostaz huku naye akiulizwa na kudai ni kweli.
“Kwani kupiga picha na mtu ndiyo tayari mmekuwa wapenzi au wachumba? Labda yeye anachukulia hivyo kwamba ukishapiga picha na mwanamke tayari anakuwa mpenzi wako.”
Risasi Jumamosi: Kuhusu dini, Ostaz alisema atakubali uwe Mwislamu na jina lako litakuwa Rahma. Je, alishakuambia juu ya hilo?

Johari: Hajaniambia, hata  hivyo, sina mpango wa kubadili dini ili niolewe na yeye.
Risasi Jumamosi: Vipi kuhusu Ostaz kukufungulia kampuni na vifaa vya kutengenezea sinema?
Johari: Mh! Achana na kampuni au vifaa, hata simu tu hajawahi kuninunulia, kwanza hana fedha. Halafu ajue kabisa kwamba mimi ni tofauti na hao wasanii wengine wanaoishi kwa kutegemea kuhongwa. Mimi ni super woman, siku hizi huwa fedha kwangu ni makaratasi. Huyo Ostaz ana fedha gani?
“Haniwezi, mimi siyo kama hao watoto anaowadhalilisha kwa kuwapigisha magoti na akome kabisa kutumia jina langu kama daraja. Hakuna kitu ninachochukia kama mtu kutaka kutumia jina langu kujitafutia umaarufu, ana hadhi gani ya kuwa na mimi, akome kabisa, mimi nimesota, ninyi Global mnajua.”
Risasi Jumamosi: Umekana kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Ostaz, je, una mchumba au mpenzi?
Johari: Mimi ni mwanamke niliyekamilika. Nina mchumba na ‘soon’ nitamtambulisha kwa mashabiki wangu. Lakini ijulikane kuwa siyo Ostaz kwani hawezi kuwa mchumba wangu.
Risasi Jumamosi: Au unataka kurudi kwa Ray?
Johari: (mshtuko) hivi ni nani aliwahi kutamka kwamba mimi na Ray ni wapenzi. Hapana, siyo Ray.
Risasi Jumamosi: Kwani Ray ni nani kwako?
Johari: Ray ni mkurugenzi mwenzangu wa RJ. Nje ya kazi tuna maisha yetu mengine.
Risasi Jumamosi: Je, ni mtu maarufu?
Johari: Nimeshasema nitawatambulisha subirini. Unajua mimi siyo mtu wa matangazo.
Baada ya kumsikia Johari, gazeti hili lilimgeukia Ostaz ambaye hakupatikana, lakini rafiki yake wa karibu alidai kuwa Johari amechanganyikiwa kwani Ostaz alikuwa amuoe kweli lakini hamuelewi mwenendo wake wa sasa.
“Johari amechanganyikiwa,” alisema rafiki huyo.

GPL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images