Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104768 articles
Browse latest View live

Aibuuu: Hivi Ndivyo Demu wa Kalala Junior Alivyofumwa 'LIVE' Chumbani Akibanjuka na Mume wa Kigogo Huyu wa Serikali

$
0
0
kalala-2
DAR ES SALAAM: Mwigizaji wa Bongo Movies, Mumy Mushi ambaye miezi kadhaa iliyopita aliripotiwa kuwa kwenye uhusiano matata wa kimapenzi na mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Kalala Hamza ‘Kalala Junior’ amekumbwa na sekeseke baada ya kufumaniwa laivu akiwa chumbani na mume wa mtoto wa kigogo ambaye kwa sasa ni marehemu (jina linahifadhiwa kwa sababu maalum).

.
kalala-juniour-1
kalala-3
Tukio hilo lililofunga mtaa lilijiri kwenye hoteli moja maarufu iliyopo maeneo ya Sinza-Kijiweni, Dar baada ya mwigizaji huyo na mume wa mtoto huyo kigogo ambaye pia ni msanii aliyejulikana kwa jina moja la Dennis kuwepo katika hoteli hiyo kwa muda mrefu kwa madai kuwa wapo kambini. Shuhuda wetu aliyekuwepo eneo la tukio alilithibitishia Wikienda kuwa, Mumy alianza uhusiano na mume huyo wa mtu miezi kadhaa iliyopita wakati wakirekodi sinema bila mkewe kushtukia.

Mpashaji wetu huyo alifunguka kuwa, kuna baadhi ya marafiki wa wanandoa hao walimtonya mke huyo kuhusu Dennis kuwa na mchepuko na kupewa maelekezo  hadi sehemu walipokuwa wakijiachia na ndipo alipoandaa kikosi kazi na kwenda kuwafungia kazi usiku mnene. “Unajua mke wa jamaa ni mpole hivyo alivyoambiwa alianza kuwafuatilia na kugundua hadi sehemu walipo hivyo kuamua kuwavamia,” kilisema chanzo hicho. Chanzo chetu kilizidi kutiririka kuwa,  Mamy na Dennis

walikuwa ndani  ya hoteli hiyo kwenye chumba namba 8, wakiwa wamejisahau ndipo mke huyo na ‘jeshi’ lake alipovamia chumbani hapo na kumkuta mumewe na Mamy wakifanya yao.

“Kiukweli mwanaume alivyokutwa hakuwa na jinsi zaidi ya kutoka chumbani hapo na kwenda moja kwa moja kwenye gari lake huku mkewe akipachimba na Mamy kabla ya kushikwa asianguke kutokana na tatizo la presha alilonalo,” kilisema chanzo hicho. Baada ya kunyetishiwa ubuyu huo, Wikienda liliwatafuta wahusika ambapo lilianza na Mamy ambaye aliposomewa shitaka lake alisema kuwa anachojua Dennis alishaachana na mkewe na ndiyo maana alikuwa naye na yeye sasa hivi ni mjamzito.

“Yeye ndiye aliniambia kuwa wameshaachana na mkewe ndiyo maana mimi nikawa naye na hata huyo mwanamke alivyokuja kufumania nilijua wazi walishaachana lakini alitaka tu kunifanyia fujo na kunidhalilisha,” alisema Mamy.

Kwa upande wa Dennis ambaye mkewe alimfumania na Mamy alisema yeye kama mwanaume aliteleza lakini alijirudi na ameshamuomba msamaha mkewe na wala hana mpango na Mamy. “Jamani najua nilikosea, nikateleza, lakini kiukweli ninamheshimu mke wangu na ataendelea kuwa mke wangu siku zote,” alisema Dennis.

Gazeti hili lilipompa nafasi mtoto wa kigogo huyo aliyemfumania mumewe alisema kuwa ameshamsamehe Dennis na amempa nafasi nyingine na maisha yao yanaendelea. “Tangu mwaka huu umeanza hali ya ndoa yangu ilikuwa mbaya sana lakini sasa niko sawa na mume wangu,” alisema mke huyo.

Tazama Jinsi Wafungwa 30 Walivyouawa Kikatili na Wengine Kukatwa Vichwa Huko Brazili..!!!

$
0
0
wafungwa BRAZIL: Wafungwa zaidi ya 30 wameripotiwa kufariki dunia huku wengine wakiwa wamekatwa shingo zao kufuuatia kuzuka kwa mapigano baina ya magenge ya wafungwa katika Gereza Kuu la Alcaçuz. lililopo katika Jimbo la Rio Grande do Norte nchini Brazil.


wafungwa1Aidha polisi imeeleza kuwa imefanya jitihada za kufika eneo la tukio ili kuonea nini watakifanya kuokoa roho za mamia waliomo ndani ya gereza hilo kubwa nchini humo.wafungwa-brazil
Taarifa zaidi zimeeleza kuwa Polisi hao walipofika nje ya ukuta wa gereza hilo walisubiri hadi kutakapopambazuka ndipo waingie ndani kukabiliana na tukio hilo.wafungwaq
Mwaka jana pekee zaidi ya wafungwa 100 walifariki katika makabiliano kama hayo yaliyofanyika awali mwezi huu nchini humo katika magereza yaliyoko katika majimbo ya Amazonas na Roraima.

Eheh..!!,Man Fongo Atamani vya Chumbani Kwa Shilole,Soma Hapa Alivyofunguka A- Z..!!!

$
0
0

Mkali wa muziki wa singeli Bongo, Man Fong amemtaja msanii mwenzake wa bongo fleva na bongo movie, Shilole a.k.a Shishi Trump kuhusika katika ujenzi wa nyumba yake ambayo anataraji kuijenga wakati wowote kutoka sasa. 


Man Fongo aliyekuwa katika mahojiano kwenye kipindi cha Ujenzi cha EATV, amesema mtu pekee aliyemuhamasisha kujenga nyumba ni Shilole, na hiyo ni baada ya siku moja kutembeea nyumbani kwa Shilole na kukuta vitu ambavyo yeye aliona ni vya ajabu na kujikuta anavipenda na kutamani kuwa navyo katika nyumba yake.

Alisema jambo la kwanza alilofanya kukusanya fedha na kununu kiwanja ambacho kiko tayari na amekinunua maeneo ya Kimara Bonyokwa na muda wowote ataanza kuporomosha mjengo wake.

Amesema hawezi kumsahau Shilole kwa kumpa hasira za kuweka mjengo huo, ambao amesema ataujenga taratibu kwa kadri atakavyokuwa anapata pesa na anatamani uwe na vitu vyote vizuri kama ambavyo huwa anaviona kwa washkaji zake hasa Shilole, licha ya kuwa yeye ni mtoto wa uswahilin

"Sina nyumba, lakini nina kiwanja Kimara Bonyokwa na Shilole ndiye aliyenipa hasira ya kumiliki mjengo wangu, mimi ni mtu wa uswazi lakini kuna vitu ningependa kuviweka kwenye mjengo wangu, natamani kuwa na vitu vizuri, kama ninavyoona kwa wenzangu..... kwa mfano pale kwa Shishi nimeona amechora chora hivi kwa pembeni, halafu juu kuna madude hivi mimi huwa naita ceiling board, nyie sijui mnaitaje (Gypsum) eheee" Amesema Man Fongo.

Amewashauri vijana hususani wasanii wenye uwezo na kipato kujenga nyumba zao, kwani ni muhimu na si lazima kujenga haraka bali kwa utaratibu kadri watakavyokuwa wakipata pesa.

"Kama mimi ndo nimeanza kupata kipato changu kidogo, nimeanza kununua kiwanja... kujenga hakuhitaji papara, kama leo ukishindwa, zamu yako itakuja kesho" Alimalizia Man Fongo

Huyu Shilole Huyu..!!,Tazama Hapa List ya Wanaume Aliotembea Nao Ujionee Jinsi Shis Baby Alivyomcharuko..!!

$
0
0

BAADA ya misukosuko ya kupanda na kushuka kwa matukio mengi, tayari mchakamchaka wa 2017 umeanza, katika burudani ya kizazi kipya mwishoni mwa mwaka uliopita msanii Darassa ndiye alikuwa habari ya mjini.


Miezi 12 iliyopita tulishuhudia matukio mengi ya kujiongezea umaarufu ‘kiki’ ya aina tofauti huku yale ya watu maarufu hasa wasanii kuandikwa na kuzungumzwa kwa wingi kutokana na maisha yao ya kimapenzi nayo yalipata nafasi kubwa.

Ukiachana na Diamond na Zari ambao uhusiano wao ulikuwa gumzo kama ilivyokuwa kwa mastaa kadhaa wakiwemo Jux na Vanessa Mdee, msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole au Shishi Baby’naye hakuwa nyuma katika upande huo.
shilole-12Shilole akiwa na mpenzi wake wa sasa Boy Caro.
Shilole, 28, ambaye alianza kutamba katika maigizo kabla ya baadaye kuegemea zaidi katika muziki, ni mama wa mabinti wawili, Joyce na Rahma.

Joyce ndiye wa kwanza na inaelezwa kuwa anaelekea kutimiza umri wa miaka 14, huku Rahma akitarajiwa kutimiza umri wa miaka 10 baadaye mwaka huu.

Pamoja na hali hiyo, ndani ya miaka mitatu iliyopita Shilole amekuwa akitajwa kuhusishwa kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wanaume kadhaa.shilole-14
Akiwaza jambo.
Licha ya mwenyewe kukiri kuwa aliwahi kuingiliwa kinguvu na mwanaume wakati akiwa na umri wa miaka 15, bado inaonyesha hajaamua kuondoa ‘jinamizi’ la mapenzi linalomuandama.

Mwaka 2013, uhusiano wake na aliyekuwa chipukizi wa Bongo Fleva, Ally Timbulo ulizungumzwa na wengi lakini baadaye wawili hao walivurugana kisha Timbulo akatua kwa staa wa Bongo Movie, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’. Mahaba ya Timbulo na Shilole yalidumu kwa zaidi ya miezi sita.

Inadaiwa kuwa baada ya hapo Shilole alikabidhi moyo wake kwa Mbongo Fleva mwingine, Elias Barnaba ‘Barnaba Classic’, ambaye sasa naye ni baba wa mtoto mmoja aitwaye Steve aliyezaa na mwanamke mwingine aitwaye Zuu.

shilole-9
Shilole akijiachia na mpenzi wake.
 
Penzi la Shishi na Barnaba nalo halikuchukua muda mrefu, sababu haikujulikana lakini Barnaba akaamua kuelekeza nguvu kwa mchumba wake wa siku nyingi, mama Steve ambaye ndiye anayeishi naye mpaka sasa.

Kama filamu vile, Shilole akatulia kwa muda kisha akamkabidhi moyo wake Nurdin Mlawa a.k.a Nuh Mziwanda ambaye aliuchukua moyo huo na kuusafisha vizuri kisha akamfanya ‘mtoto’ kuwa mtu mwenye furaha kubwa.shilole-7
Wapenzi hao walionyeshana mahaba yao waziwazi, kuanzia kwenye mitandao, mitaani, kwenye shoo na hata sehemu nyingine nyingi walikuwa pamoja wakiongozana.

Ikadaiwa kuwa ubabe wa Shilole ukawa kikwazo kwa Nuh ambaye mara kadhaa aliwahi kupokea vibao vya hapa na pale hadharani kutoka kwa laazizi wake huyo, baada ya hadithi za wameachana-wamerudiana kutokea mara kadhaa, mwisho wake wakamwagana rasmi.

Wiki kadhaa baada ya penzi hilo kufa, tetesi zikaibuka kuwa Shishi Baby ameanguka mikononi mwa dogodogo mwingine, Nedy Music ambaye ni mwanamuziki wa Bongo Fleva.

Boti ya mapenzi ya wawili hao inadaiwa haikudumu hasa kwa kuwa haikupata kiki, muda mfupi baadaye Shilole kwa mara nyingine ikaelezwa kuwa kijana kutoka Tanzania House of Talent (THT), Hamadai kanasa kwenye penzi la mama wawili huyo.

Watu wa karibu wa wasanii hao wakafunguka kuwa utofauti wa tabia zao ndiyo uliofanya maisha yao ya kuwa penzini kuwa mafupi.shilole-13
Mwishoni mwa mwaka jana mpaka sasa, Shishi Baby amenasa kwenye mikono ya kijana anayeitwa Adam maarufu kwa jina la Boy Caro.

Wameonekana kuwa pamoja wakiongozana sehemu nyingi, wakipiga picha, wakifurahia maisha na wamewahi kuhojiwa kwenye kituo kimoja cha redio hivi karibuni ambapo wakaelezea jinsi wanavyopendana na mipango yao ya baadaye. Boy Caro siyo msanii ila ni mzoefu wa jiji na anafanya biashara.

shilole-4
Shishi amechagua maisha yake ya mapenzi yawe sehemu ya umaarufu wake na ndiyo maana kila anapohama kutoka kwa mmoja kwenda kwa mwingine inakuwa rahisi kujulikana na anaitumia kama sehemu ya kujiongezea kiki.

News : Pitia Vichwa Vya Magazeti ya Leo 16/1/2017..!!!

Miujiza ya Shekh Sharifu Rashid Kutoka Bagamoyo..Anarudisha Mausiano ya Mapenzi na Kusafisha Nyota

$
0
0

MIUJIZA YA SHEKH SHARIFU RASHID KUTOKA BAGAMOYO PWANI, (RUDISHA MAHUSIANO YAKO NDANI YA MASAA 48 TU) ASANTE KWA KUENDELEA KUMPIGIA SIMU SHEKH SHARIFU RASHID KWA WALE WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA SHUKRANI:

SHEKH SHARIFU RASHIDI ni mtaalamu wa tiba mbalimbali za asili, anatumia kitabu cha quran, dawa za asili, dawa za kiarabu na majini, anazo dawa za mapenzi, nguvu za kiume, chango, ngiri maji na n.k, anakuvutia mpenzi alie kuacha au alie mbali, pia anatoa pete za bahati zilizoambatanishwa na jini mali kulingana na nyota yako, anaouwezo mkubwa wa kutumia jina la muhusika kwa kutatua tatizo lako, anaouwezo wa kumrudisha mtu aliepotea kimiujiza, pia anatibu kwa njia ya simu popote ulipo,

WASILIANA NAE KWA SIMU NA WHATSAPP NO: 0718-668347. 0685-224047, 0767-204308 na 0627-251404 au follow@shekh_sharifu_rashid, Email:shekhsharifurashid@gmail.com

Serikali Yashindwa Kukamilisha Upelelezi ya Kesi inayomkabili Mmiliki wa Jamii Forums...Kesi Yahairishwa tena

$
0
0

Kesi namba 458 yenye makosa 2 inayomkabili Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hata hivyo kesi hiyo imeahirishwa hadi tarehe 16 Februari 2017 itakapotajwa tena kwa Hakimu Nongwa kwasababu ya kutokamilika kwa upelelezi upande wa Jamhuri.

Pichani ni Mkurugenzi wa Jamii Media, @macdemelo (Wa pili kulia) akiwa na Wanasheria na wadau waliofika mahakamani Kisutu leo.

Wanaojitangaza Kutibu UKIMWI Waanza Kusakwa

$
0
0

Tume ya Taifa ya Kudhuibiti Ukimwi Tanzania TACAIDS kwa kushirikiana na vyombo vya dola inatarajia kuanza oparesheni maalum ya kuwasaka baadhi ya viongozi wa dini na waganga na tiba za asili wanaodai kuwa na uwezo wa kutibu ugonjwa wa UKIMWI


Tume hiyo imesema kuwa watu hao wamekuwa wakiwapotosha wagonjwa wenye virusi vya Ukimwi wanaotumia dawa za kufubaza virusi hivyo kwa kuwashawishi waache kutumia dawa hizo badala yake waishi kwa imani ya njia ya miujiza.

Akizungumza na waandishi wa habari mwanasheria wa TACAIDS Elizabeth Mselu amesema sheria namba 27 inayohusiana na masuala ya kinga dhidi ya magonjwa ya Ukimwi iliyotungwa mwaka 2008 inamzuia mtu yeyeote kutangaza kuwa anatibu Ukimwi au ana mkinga mtu asipate Ukimwi.

Amesema zoezi hilo linaanza leo (Jumatatu) kwa kushirikiana na vyombo vya dola katika mkoa wa Dar es salaam na kwa wale wa mikoani watawatumia watu wao katika kufanikisha zoezi hilo ili kuzuia tatizo hilo lisiendelee kujitokeza na kusababisha usumbufu kwa wagonjwa ambao wakizidiwa hurudi tena hospitali wakiwa na hali mbaya zaidi.

Sumaye - Sishtushwi na Utendaji Kazi wa Magufuli Kwani Anatekeleza Ilani ya Chadema

$
0
0

WAKATI Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli akitekeleza masuala mbalimbali aliyowaahidi Watanzania, ikiwa ni pamoja na kurejesha uwajibikaji na kupambana na ufisadi, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema hashtushwi na utendaji huo wa rais, kwani amekuwa akitumia baadhi ya hoja na mikakati ya Chadema kuongoza nchi.


Akizungumza wakati wa kumnadi mgombea wa udiwani katika kata ya Isagehe wilayani Kahama, Sumaye ambaye alijiunga Chadema Agosti mwaka juzi baada ya kuachana na CCM, alisema mengi anayofanya rais ni sera za Chadema ila chama hicho cha upinzani hakikuwa na sera ya kubana na fedha.


Hata hivyo, Sumaye ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema hakuweka wazi hoja na mikakati ya Chadema inayotekelezwa na Rais Magufuli ambaye tangu aingie madarakani ameweka msimamo katika suala la kubana matumizi ya Serikali, kudhibiti watumishi hewa na safari za ndani na nje zisizo na tija na rushwa.


Katika mkutano huo ambao pia Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa alihutubia, Sumaye alisema kama wananchi, wangemchagua Lowassa kuwa Rais, angewaletea neema ya hali ya juu kwa kuwa angekuwa na misingi katika sera anazozitekeleza.


“Mmechagua Rais mzuri (Magufuli), lakini anafuata sera za chama chetu (Chadema) ambazo tungezitumia kama tungekuwa madarakani. Wananchi wa Kanda ya Ziwa mnatakiwa kumtumia Rais Magufuli ili kufanikisha malengo yetu,” alisema huku akisisitiza kuwa hata Lowassa wananchi wangeweza kumtumia kufanikisha malengo yao.


Huku akimnadi mgombea udiwani wa kata hiyo, John Luzinga, Sumaye aliwataka wananchi kutofanya makosa tena ya kuichagua CCM, ili wasije kujuta kwa maelezo kuwa watalazimika kuchagua diwani mwingine mwaka 2020.


Alisema Chadema kinaendeshwa kwa kufuata misingi ya demokrasia, huku akikosoa vyama kubanwa wakati nchi iriuridhia mfumo wa vyama vingi vya siasa. 


Akizungumzia sababu za kuhama CCM, alisema kulitokana na nchi kukumbwa na hali mbaya ya uchumi sambamba na kukosekana kwa utawala bora.


“Serikali pamoja na kubana matumizi, hali ya uchumi imekuwa mbaya. Inatakiwa kuachia fedha ili kuwafikia wananchi waweze kumudu ugumu wa maisha unaowakabili kwa sasa. Haiwezekani kila Serikali isijifunze katika hili wakati hata wataalamu wanazungumza na kushauri masuala mbalimbali,” alisema Sumaye.


Alisema kitendo cha halmashauri tatu za wilaya ya Kahama kuongozwa na CCM, huku diwani mmoja tu ndio akiwa wa Chadema, kitawafanya wananchi hao kukosa watu sahihi wa kuwasemea mambo yao.


Uchaguzi katika kata hiyo utafanyika Januari 22 sambamba na kata nyingine 21 katika maeneo mbalimbali nchini.

Wachunguzwa Kwa Matumizi ya Milioni 300 za Benki ya Dunia..!!!

$
0
0
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela amewasimamisha kazi watendaji watatu wa  Halmashauri ya Wilaya ya Magu mkoani hapa, ili kupisha uchunguzi wa matumizi ya fedha zaidi ya sh. milioni 300, zilizotolewa na Benki ya Dunia kwa ajili ya maendeleo wilayani humo.

Waliosimamishwa kazi ni pamoja na mweka hazina, mchumi na Mhandisi wa Halmashauri hiyo. Kwa pamoja wanadaiwa kubadili matumizi ya fedha za kutekeleza miradi ya SEDEP, zilizotolewa na benki hiyo kwa ajili ya kuboresha mazingira ya kusomea wanafunzi wa shule za sekondari.

Akizungumza akiwa katika ziara wilayani humo juzi, Mongela alisema ni lazima uchunguzi wa kina ufanyike, kwani thamani ya vyumba vya madarasa na vyoo vilivyojengwa kutokana na fedha za mradi huo, hailingani na fedha zilizotumika.

“Kunzia Jumatatu (leo), kuna timu ya wakaguzi itakuja hapa Magu kukagua na kuchunguza thamani ya fedha zilizotumika kwenye miradi hii ambayo nimeikagua. Miradi hii inajumuisha miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa na vyoo ambayo inaonyesha wazi kuna uchakachuaji umefanyika,”alisema Mongela.

Mkuu Wilaya ya Magu, Hadija Nyembo alisema mambo yaliyokwamisha miradi ya ujenzi huo ni kuelekeza fedha hizo katika ujenzi wa maabara tofauti na matumizi ya fedha yalivyopangwa.

Hata hivyo, mabadiliko ya matumizi ya fedha hizo, yanadaiwa kuwa yalifanyika bila  kuthibitishwa na Wizara ya Fedha na Mipango ili yapewe baraka kwa kuwa Wizara hiyo, ndio yenye mamlaka ya kutoa idhini ya mwisho ya matumizi ya fedha za Umma.

Kutokana na sababu hizo mkuu huyo wa Mkoa aligoma kuzindua vyumba viwili vya madarasa vya shule ya msingi Nyanguge vilivyojengwa kupitia kiasi hicho cha fedha, kutokana na madai kuwa vyumba hivyo pamoja na ujenzi wa vyoo vimejengwa chini ya kiwango.

Msajili wa Siasa Aibuka na Mapya Juu ya Cuf...!!!!

$
0
0
 
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imesisitiza msimamo wake  kwamba Chama cha Wananchi (CUF) ni kimoja, hivyo yeyote mwenye malalamiko ayapeleke ofisini ili yashughulikiwe na si kulalamika kupitia vyombo vya habari.

Kauli hiyo imekuja baada ya  mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa CUF, Julius Mtatiro kueleza jinsi Profesa Ibrahim Lipumba alivyochukua fedha za ruzuku zaidi ya shilingi milioni 369 kutoka Hazina.

Mtatiro anamtaja msajili, Jaji Francis Mutungi kuwa anafahamu na kuidhinisha mchakato huo wakati Oktoba 10 mwaka jana, aliandika barua ya kusitisha utoaji wa ruzuku kwa chama hicho kutokana na mgogoro hadi hali itakapokuwa shwari kiutendaji.

Lakini mwishoni mwa juma, mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano katika ofisi hiyo ya Msajili, Monica Laurent alieleza kuwa kuna chama kimoja tu cha CUF.

“Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa inatambua CUF iko moja tu, Kama CUF kuna watu wana malalamiko ya msingi wayalete rasmi ofisini, huo ndiyo msimamo wetu,” alisema Laurent.

Aidha aliwataka kutumia mfumo rasmi wa kuwasilisha malalamiko hayo kwenye ofisi ya msajili, akibainisha kuwa ofisi hiyo haiwezi kujibu masuala hayo kwenye vyombo vya habari.

Hivi karibuni Mtatiro akizungumza na vyombo vya habari alieleza kuwa tangu Msajili aandike barua ya kusitisha ruzuku, chama kinadai Hazina sh. 635 Milioni, hivyo CUF haitambui  utaratibu mwingine uliotumika kuigawa ruzuku hiyo hadi Lipumba akapata mgawo wake.

Alisema chama kimeibiwa fedha za ruzuku sh. 369 ambazo zilitoroshwa kutoka Hazina ya Serikali Kuu Januari 5 na kuingizwa kwenye akaunti ya NMB tawi la Temeke yenye jina la The Civic United Front, ikiwa ni akaunti namba 2072300456.

Hatarii..! Hawa Ndio Matajiri Nane Wanaomiliki Mali za Watu Bilioni 3.6,Soma Hapa livee Kuwajua..!!!

$
0
0

Utafiti uliofanywa na shirika la Oxfam la Uingereza unaonesha mabilionea wanane wanamiliki mali sawa na mali ya watu 3.6 bilioni kwa pamoja.


Takwimu za shirika hilo, ambazo zimepingwa na baadhi ya wakosoaji, zinatokana na maelezo na habari za kina zilizokusanywa na shirika hilo, na zinaonesha pengo kati ya matajiri na maskini ni kubwa kuliko ilivyodhaniwa awali.

Ripoti hiyo ya Oxfam imetolewa wakati mkutano mkubwa kuhusu uchumi wa dunia unaanza mjini Davos. Mark Littlewood, wa Taasisi ya Masuala ya Uchumi, amesema Oxfam badala yake wanafaa kuangazia njia ya kusisimua ukuaji.

“Kama shirika linalopiga vita umaskini, Oxfam wanaonekana sana kuangazia zaidi matajiri,” Mkurugenzi mkuu huyo wa shirika hilo la ushauri amesema.

Kwa wale ambao wana malengo ya “kutokomeza kabisa umaskini uliokithiri”, sana wanafaa kuangazia hatua za kusisimua ukuaji wa uchumi, ameongeza.

Ben Southwood, ambaye ni mkuu wa utafiri katika Taasisi ya Adam Smith, amesema la muhimu zaidi si kiasi cha mali inayomilikiwa na watu matajiri zaidi duniani, bali ni hali ya maisha ya watu maskini zaidi duniani, ambayo inaimarika mwaka baada ya mwaka.

“Kila mwaka, tunapotoshwa na takwimu za Oxfam. Takwimu ziko sawa – zinatoka kwa Credit Suisse – lakini ufasiri wa takwimu hizo si sahihi.”

Mkutano wa Davos‘ 

Mkutano unaofanyika mjini Davis, Uswizi huwavutia viongozi wengi wa kisias ana kibiashara duniani.

Katy Wright, mkuu wa mambo ya nje wa Oxfam, anasema ripoti hiyo imesaidia shirika hilo kuwauliza maswali viongozi wa kisiasa na kiuchumi.

“Tuna uhakika kwamba Davos ni mkutano tu mwingine wa kupiga gumzo miongoni mwa viongozi na watu wenye ushawishi duniani, lakini tunahitaji kujaribu na kupata mwelekeo,” aliongeza.

Breaking News..!!Majaliwa Afunguka Juu ya Uhaba wa Chakula,Azitaja Nchi Jirani Kuhusika..!!!

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza sababu ya kupanda kwa bei ya vyakula masokoni, na kusema hali hiyo inasababishwa na uhaba wa chakula katika nchi jirani 


Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma na amekiri baadhi ya mazao katika masoko yamepanda bei kutokana na uhitaji wa nchi za jirani zikiwamo za Afrika Mashariki kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda, Kenya, Somalia na Sudan ambazo zinategemea kupata chakula kutoka Tanzania.

Pia amesisitiza kuwa nchi haijakumbwa na baa la njaa huku amewataka Watanzania utosikiliza kampeni za upotoshwaji zinazofanywa na baadhi ya wafanyabiasha kuhusu hali ya chakula kwani si za kweli bali ni za uzushi zenye lengo la  kupandisha bei za vyakula.

“Mwaka jana nchi ilikuwa na akiba ya chakula cha zaidi ya tani milioni tatu hali iliyopelekea baadhi ya Wabunge na wafanyabiashara kuomba kibali cha kuuza nafaka nje ya nchi, ambapo Serikali ilitoa kibali hicho baada ya kujiridhisha kuwepo kwa akiba ya kutosha ya chakula,” amesema.

Amesema baada ya kutolewa kwa kibali hicho tani milioni 1.5 ziliuzwa nje ya nchi na kiasi cha tani milioni 1.5 zilizobaki zilihifadhiwa kama akiba ambapo tayari wameruhusu ziuzwe hapa nchini ili kupunguza kupanda kwa bei za vyakula nchini. 

“Naomba wananchi msiwe na wasiwasi juu ya hali ya chakula nchini. Msisikilize kelele zinazopigwa na watu mbalimbali pamoja kwenye baadhi ya vyombo vya habari yakiwemo magazeti kwani taarifa hizo si za kweli. Chakula kipo cha kutosha licha ya mvua kusuasua katika baadhi ya maeneo nchini,” amesema.

Hata hivyo Waziri Mkuu amesema kuwa kwa sasa mvua zimeanza kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo amewaomba wananchi kuzitumia kwa kulima mazao ya muda mfupi yanayostahimili ukame.

Kwa Mipago Hii ya Mzee Majuto Asipokuwa Milionea Mwaka Huu,Hawi Tena Maisha Yake Yote..!!!

$
0
0

Muigizaji wa filamu nchini mzee Majuto amefunguka na kusema kuwa mwaka 2017 amepanga kufanya mambo matatu ambayo yote anataka yaende pamoja. 


Jambo la kwanza ni kuhusiana na sanaa yake ambapo amepanga kwa mwaka huu wa 2017 kuhakikisha kazi zake za sanaa anazisambaza mwenyewe na kuachana na wasambazaji wengine.

Mzee Majuto amesema jambo la pili katika mwaka huu ambalo pia atalifanya sana ni kuhakikisha ana mcha Mungu sana na jambo la mwisho ni kufanya kilimo na ufugaji ili kijiongezea kipato chake.

"Mwaka huu nimepanga mambo matatu kwanza kumcha Mungu sana, kuigiza kama kawaida na mwaka huu nataka kazi zangu nizisimamie mweyewe kusambaza na kuachana na wasambazaji wengine katika kazi zangu lakini jambo lingine kulima na kufanya ufugaji, maana saizi nimejiunga na mtandao wa kijani, nafuga Sungura, nalima mchai chai" alisema Mzee Majuto 

Majaliwa Aipeleka Bombardia Dodoma Kwa Mara ya Kwanza..!!!

$
0
0

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua safari za ndege za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Makao Makuu ya Nchi, Dodoma. 


Akizindua safari hizo leo amesema safari hizo zitawezesha wafanyabiashara na wananchi wengine kutoka Dodoma na kwenda katika maeneo mengine kwa urahisi.

“Tuna ndege nzuri. Tuzitumie kwenda katika maeneo mengine kwani gharama zake ni nafuu. Kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam ni sh. 165,000, kwenda na kurudi ni  sh. 299,000,” amesema.

Amesema ndege nyingine kama hiyo inatarajia kuwasili nchini Juni mwaka huu jambo ambalo litaongeza idadi ya safari za ndege hizo nchini na maeneo mengine ya nchi jirani.

Kwa upande wake Kaimu Mtendaji Mkuu wa ATCL. Kapten Richard Shaidi ametumia fursa hiyo kuipongeza Serikali kwa ujio wa ndege hizo na kwamba hiyo ni moja ya mikakati ya Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli ya kufufua ATCL.

“Hivi karibuni tunaanza kwenda nchi jirani. Mwakani tutapata ndege nyingine kubwa itakajayokuwa inafanya safari za masafa ya kati na ya mbali” amesema.

Aidha, Mwenyekiti wa Bodi ya ATCL, Bw. Emmanuel Korosso amesema hivi karibuni shirika hilo linatarajia kuanza safari za kwenda katika miji ya Tabora, Songea, Mtwara, Mpanda, Mafia na Jiji la Tanga.

Akizungumzia kuhusu safari za Dodoma amesema zitafanyika mara mbili kwa wiki, siku ya Ijumaa na Jumatatu. Hata hivyo wanatarajia kuongeza safari hapo baadae.

Naye Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai ametoa wito kwa wakazi wa Dodoma kutumia vizuri fursa hiyo ya safari za ndege za ATCL kwa kuwa utawawezesha kusafiri kwa muda mfupi tofauti na vyombo vingine vya usafiri.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bw. Jordan Rugimbana ameshukuru kwa uanzishwaji wa safari hizo kwa kuwa zitarahisisha kutoka katika Makao Makuu ya nchi na kwenda katika mikoa mingine nchini.

Jacqueline Wolper Apigilia Msumari ishu ya Kumpiga chini Harmonize

$
0
0
Malkia wa filamu Jacqueline Wolper amedai kwa sasa anauguza majareha ya moyo aliyoyapata kutoka kwa aliyekuwa mpenzi wake wa zamani, Harmonize.


Wiki moja iliyopita muigizaji huyo aliweka wazi kuwa hayupo tena kwenye mahusiano na muimbaji huyo wa wimbo ‘Matatizo’ kauli ambayo ilileta ukakakasi cha mashabiki wakidhani huwenda ikawa ni kiki.

Jumamosii hii malkia huyo wa filamu alirudi tena na kuweka wazi kuwa hayupo kwenye mahusiano Harmonize na kudai habari zinazoendelea katika mitandao kwamba wapo pamoja sio za kweli.

“Kuna watu wengi napokea simu zao na wengine mmekuja hadi dukani kuniuliza kama mnayoona niya kweli au lah wengi nimewaambia sina la kusema ila baada ya kutafakari nimeona bora niwaambie upande wangu. Since i’m young yaani hata ukiuliza wanaonizunguka watakuambia mi napenda mapenzi, na naheshimu sana mahuasiano. Yaani kutoka rohoni usanii pembeni as a person mimi Jacky ukiniona niko na mtu na nimemuweka hadi public basi ujue nina mapenzi nae kingine nina moyo wa nyama ninayo ambayo naweza kubeba kifuani mengine siwezi kuumizwa moja wapo,” aliandika Wolper Instagram.

Aliongeza, “Yaani nawaapia mimi kitu kidogo naweza kikanikaba rohoni nikawa naumia muda wote. Halafu ikishakuja kwenye maumivu siwezagi tena drama, naongeaga ukweli hata uwe wa aina gani, mashabiki zangu nyie mashahidi ninaelezeaha story nzima pasipo kuficha japo yaweza kuwa na aibu ama vitu nilivyokua navumilia yakinishinda naongeaga. Kwa sasa hivi naugulia moyoni. Hizi drama na story za kutunga zinazoendelea please please.. naomba! Heshimuni feelings zangu na mimi nina moyo, naombeni nideal na hili personal kwanza nikiweza kulimeza nitawashirikisha. Hayo mengine mnayosIkia nawahakikishia ni drama tu na kiki ambazo watu wanajitengenezea story wapate listeners, followers na likes,”.

Breaking News..!! Lowassaa Akamatwa na Polisi Akiwa Mkutanoni,Kisa Ni Kusema Nchi Ina Njaa..!!!

$
0
0

Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa mgombea urais kwa CHADEMA Mh. Edward Lowassa na mbunge wa Geita (M) Viti maalum Upendo Peneza wamekamatwa Geita mjini. Kwa sasa wako kituo cha polisi...


Kosa ni Mh. Lowassa na Upendo kusalimiana na wananchi wakiwa njiani kuelekea katika kampeni kata ya Nkome, Geita vijijini

Ikumbukwe Ni siku ya Ijumaa Mh. Peneza alikamatwa na kuachiwa kwa dhamana, kwa kosa la kusema kuna njaa nchini, hivyo serikali ichukue hatua za haraka kusaudia wananchi. Leo kakamatwa tena. Na pia, siku hiyo hiyo Mh. Mnyika, Katambi na wengine 3 walikamatwa hapo hapo Geita Mjini

Taarifa zaidi zitaendelea kuja......

News Alert: Rais Magufuli Amteua Meneja Kampeni Wake Kwenye Uchaguzi wa Mwaka 2015 Kuwa Mbunge..!!

$
0
0
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhmi ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 16 Januari, 2017 amefanya uteuzi wa Wabunge wawili wa Bunge la Jamhuii ya Muungano wa Tanzania na Balozi mmoja.

Wabunge walioteuliwa ni Alhaji Abdallah Majula Bulembo na Prof. Palamaganiba John Aidan Mwaluko Kabudi. Wabunge wateule hawa wataapishwa kwa taratibu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Benedicto Martin Mashiba kuwa Balozi. Kituo cha kazi na tarehe ya kuapishwa kwa Balozi Mteule Benedicto Martin Mashiba itatangazwa baadaye.

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU
Dar es Salaam
16 Januari, 2017

Mtoto wa Ajabu:Soma Ujeuri wa Huyu Mwanafunzi,Ameyajibu Maswali Haya ya Kikubwa Mbele ya Mwalimu Wake

$
0
0

Dogo wa darasa la tatu anataka apelekwe darasa la 5.. Mwalimu wa darasa akamfikishia habari mwalimu mkuu wakamwita kwa maswali..

.
M/MKUU:
Wewe ndio Samweli?.
.
SAMWELI:
Ndio mimi mwalimu.
.
M/MKUU:
Mwalimu yeyote amuulize swali Samweli.
.
Mwalimu # Vero akaanza na maswali
.
MWALIMU:
Ni vitu gani ambavyo Ng'ombe
anavyo vinne lakini mimi ninavyo viwili?.
.
SAMWELI:
Miguu.
.
MWALIMU:
Unanini ndani ya kaptura yako
lakini mimi sina?.
.
SAMWELI:
Mifuko ya kaptura.
.
MWALIMU:
Ni kitu gani kimezungukwa na manyoya cha mviringo na kina maji mweupe?.
.
M/mkuu akiwa katumbua macho.
.
SAMWELI:
Nazi.
.
M/mkuu akashusha pumzii!!..
.
MWALIMU:
Nikitu gani huingia mwilini kikiwa kikavu na hutoka kimelowa?.
.
M/mkuu jasho jembamba likiwa linamtoka.
.
SAMWELI:
Jojo Au Bigiji.
.
MWALIMU:
ni neno gani huanzia na F na huishia na K pia kama usipopata utatumia mikono yako.
.
SAMWELI:
Fork "uma".
.
MWALIMU:
Ni kitu gani kila mwanaume anacho, nikirefu kwa wanaume pia nikifupu kwa wengine. Mapadri na Ma papa hawakitumii na mwanaume humpa mwanamke wake baada ya kuoana?.
.
M/mkuu akiwa anataka kumsimamisha dogo asijibu Samweli akajibu.
.
SAMWELI:
Jina la Ukoo (surname).
.
MWALIMU:
Ni sehemu gani katika mwili wa Mwanaume haina mifupa, Lakini ina misuli na mistari kama ya maboga?.
.
.M/mkuu akiwa anahaha na maswali magumu.
.
SAMWELI:
Moyo.
Mwalimu Mkuu akadakia. "Huyu kijana apelekwe Sekondar"...
.
.
NAJUA WEWE MASWALI YANGEKUSHINDA MAANA AKILI ZAKO UNAZIJUA MWENYEWE...

Fahamu Ukweli Uliojificha Juu ya Samaki Nguva Anayefananishwa na Binadamu..!!!

$
0
0

Mnyama aina ya Nguva ambaye watu wamek
uwa wakimwelezea kwa namna tofauti tofauti na endapo mazingira ya bahari yataendelea kuchafuka kuna uwezekano wa kiumbe hicho kutoweka.


Hii habari ya kiumbe kinachoitwa nguva ni kweli yupo ila ni samaki tuu na sio kweli kuwa ni nusu mtu nusu samaki!. Picha zote za kiumbe hicho unazoziona ni za kutengeneza, yaani ni hoax.
[​IMG]
1. Nguva ana rangi ya kijivu na umbo la mwili wake ni nyofu na uso wa umbo la nguruwe. Awapo katika maji hutoa kichwa chake juu ya maji kuvuta hewa kwa kutumia mashimo mawili ya pua yaliyopo upande wa juu wa kichwa chake.

2. Nguva ni mnyama anayezaa na kunyonyesha kama walivyo wanyama wengine na wakati akinyonyesha husimama na kukumbatia mtoto wake hali inayoweza kumfanya mtu aliyemuona kudhani kuwa ni mtu.

3. Mnyama huyo huzaa kila baada ya miaka mitatu au saba na huzaa mtoto mmoja pekee hivyo nguva anahitaji kuhifadhiwa kwa kutovuliwa kwa manufaa ya kizazi kilichopo na kijacho ima kuweka kwenye maeneo tengefu.
[​IMG]
4. Mtoto wa mnyama huyo anapozaliwa huwa na kati ya kilo 153 hadi 200, wakati nguva mkubwa huwa na kati ya kilo 400 hadi 1, 000 huku chakula chake kikuu kikiwa ni majani

5. Alikuwa akionekana Dar es Salaam, Kimbiji, Buyuni, lakini sasa haonekani tena kwani ni mnyama mwenye aibu sana na anapogundua kuwa maeneo alipo kuna binadamu huamua kuhama na kwenda mbali zaidi kwenye utulivu.

6. Kuna simulizi za ajabu ajabu kuhusu huyu samaki; kwa mfano wanasema kwamba mvuvi akimvua lazima kwanza afanye naye tendo la ndoa kama tambiko.)
Viewing all 104768 articles
Browse latest View live




Latest Images