Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

DARAJA LA DAR BAGAMOYO BADO SANA -MKONDO WA MAJI WABADILIKA

$
0
0



Kazi katika Daraja la Mpiji lililoko Mpakani mwa Dar na Bagamoyo bado ni kubwa hizi ni picha za asubuhi hii Bado wanaendelea kumwaga mawe na kifusi lakini kazi inaonekana bado ni kubwa.....Daraja lenyewe alijavunjika kilichotokea ni maji yameacha mkondo wake wa kupita chini ya daraja na kuchimbua pembeni ya daraja ambapo kuna muunganiko wa daraja na lami ....Ukiangalia picha ya Pili na ya Tatu Inaonesha Skaveta likijaribu kuchimba chini ya daraja ili kuurudisha mkondo katika njia yake ya kawaida,,,,,Ni Shida.....

WANAUME WAFANYAKAZI WANAO KUFA NA TAI SHINGONI-CHEZEA WHITE COLLAR JOBS

$
0
0
Wanaume wafanyakazi wana mengi rohoni. Kazi zenyewe hizi za watu kuganga njaa tu, mradi utoke asubuhi umeoga tu, ukweli tunaujua wenyewe maofisini. Huku nje sasa full kujistiri ile kuficha aibu manake tukisema all cards on the table tutadhalilishana watu wazima. Kibingwa tunakomaa na tai shingoni uso mkavu, mfukoni siri ya mfuko.

Bora uwe ke utachuna, ukiwa me lazima ujue kukomaa na jiji bila hivo you wont be getting any from them babes! Au ndo usipende makuu, uwe unachezea kombe la mbuzi. Manake nabiii hakubliki nyumbani kwao asilani. Wengi hatupendi kuchezea kiwanja cha nyumbani, unaenda ofisi zingine huko kuwafunga kamba, and if you are lucky unaweza mvua papa wa pande zile wakati ungekomaa ofisi moja labda umpte mfagizi( with all due respects).

Basi bwana nikamkuta mbabe mmoja anatoka my past co-worker, anamuona WA MAANA BALAAAA! Kamfunga kamba kafungika, anamuona bonge la mtu mwenye bright future!. Anmsifiaje sasa? Sasa mimi namjua kiundani coz nishafanya nae idara moja. Ndo akaanza kunipa achievement zake to make me jelousy!

Ana gari rav 4, sio ya urithi kanunua kwa nguvu zake. Hii rav 4 mi stori yake naijua nje ndani, tulifanyaga inshu hio kampuni, kuna mali flani za kampuni tulijibinafsishia. Sasa kikanuka zikaanza hearing, tukajadiliana hapa hatuponi wala nini, tukope tu NBC, au Barclays, Stanbic kokote kule, tuchukue mafao yetu mapemaaa, ukichanganya na NSSF sio haba, na pale mikopo ilikuwa insured. Baada ya kukopa tukaresign kila mtu akaishia kivyake, ndo yule bwana alinunua hio rav 4.

Kamwambia ana viwanja Arusha Njiro, wakati uongo na picha kamrushia, wakati hio picha kiwanja cha bi mkubwa wangu, mimi ndo nilimrushiaga nikamwambia nimeambiwa nikajenge nihonge basi. Kumbe aliisave. Akamuonesha na site hio site ya x gielfriend wake tulikuwa wote idara moja. Na mambo mengi ya uongo uongo tu.

Kiukweli yule bwana HANA KITU! Na ni mzee wa INSHU kitamboo coz kazini yuko toka 2007, ni jembe akiona opportunity ya kukwapua hela hakawizi wala hasiti, ndo alitupolute sisi, na mimi nimepolute vitoto vingi sanaa kwenye udokozi dokozi huu, na hivi wanapenda mambo makubwa. Sasa hawezi kudumu kazini kama sisi tu, coz ikitokea chance we risk it all for that one chance. Na huu u chori chori mwisho wake 40 unaenda jela sasa future gani hii? Mwenyewe nimetafuta kazi sishiki hela kabisaa nishakubuhu kwenye udokozi. Na hela ameshika sanaa ila hela za watu hizi wenyewe wanazijambia hufanyii chochote.

Bi dada ni shosti wangu, na niko dilema nimpe facts aamue au nichune tu? Kumwambia naona its not my call to make, sina usafi huo kwa kuanzia, pili ni kitambo huenda kabadilika, tatu the guy is just tryin to survive jst like the rest of us, ni victim tu wa misallocation of national scarce resources. We are all liers in the end. Mwanamke gani anataka broke ass? The dude did what he had to do. Kutomwambi naona maisha yakimwwndea ndivo sivo nitaji laumu sana, i could do something but i didnt. Pia will she believe me? Kama mjuavyo penzi ni kipofu YOU ONLY SEE AND HEAR WHAT YOU WANT TO SEE AND HEAR.

HONGERA MARIA SARUNGI UNAITENDEA HAKI ELIMU YAKO

$
0
0
 Kama kuna Wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba ambao nimetokea kuwakubali sana hivi sasa basi Maria Sarungi ni mmoja wao.

Sio siri leo ndiyo mara yangu ya kwanza kumsikia dada huyu akitema cheche pale bungeni.

Kilichonivutia kuhusu huyu Lady kwanza kabisa ni ujasiri wake wakati anaelezea kile anachokiamini, pili ni ule uwezo wake wa kujenga na kuiwasilisha hoja yake vizuri.

Maria Sarungi ana mengi ya kuvutia kama mwanasiasa anayeinukia na mimi nimeanza kumtupia jicho la karibu kwa maana nimeanza kuona dalili za Condoleezza Rice wa Tanzania in Maria Sarungi.

She looks funky, beautiful, intelligent and tough just like Condie Rice is. I can see a bright future in her.

Keep it up Maria Sarungi, Our Condie Rice

MUONEKANO MPYA WA MWANAMUZIKI K-LYIN AMBAE KWA SASA NI MKE WA MENGI

$
0
0

Mwanadada K-lyin Akiwa katika muonekano mpya...Wazungu wanasema Ame Go Blond Sijui ...Mweee...Amependeza au La?

ONYO KWA WANAOPENDA KUCHAFUA WATU WENGINE MAKUSUDI KWA KUPITIA COMMENTS

$
0
0
Kumekuwa na Tabia ambayo imeanza kujitokeza siku za karibuni kwa watu kuchafua wengine kwa makusudi kwa kupitia comments as Anonymous kwa kusema vitu vya uongo juu yao ili mradi waonekane wabaya katika jamii .....Hiyo ni tabia isiyo vumilika kabisa katika jamiii ..kuanzia sasa inatulazimu kupitia kila comment inayopostiwa ili kuzuia uchafuzi wa Hewa  kutoka kwa baadhi ya watu wasio na maadili.....Pia napenda kuomba Samahani na kuwapa Pole wale wote waliochafuliwa kupitia Comments za watu ....Pia Bado tunafatilia ni jinsi gani tunaweza wajua waliopost hizo posts za nyuma wakichafua watu ...Otherwise Enjoy Posts zetu

MBUTA NANGA "NAUGHTY OR NICE? KANTANGAZEEE

$
0
0
Flora Lymo Haishiwi Vituko haya Kapost hiyo kwenye Mtandao wake na Kusema Haya "NAUGHTY OR NICE? KANTANGAZEEEEEEEEEEEEEEE''....

Nampenda Bure Huyu Dada ananifurahisha kwa Mambo yake .....Hahaha

NAMELESS GOES REGGAE WITH NEW SINGLE NG'ANG'ANA-WATCH VIDEO HERE

$
0
0
Nameless has a new song out. Ng'anga'ana is the second single from the star's B4iR project. The video highlights Kenyans going about their day today activities to eke out a living. Nameless says, "Ng'ang'ana is about celebrating the hustle," adding, "The hustle continues." The song is produced by Dillie while the video is shoot by Alternative Concept & J Blessing.

BREAKING NEWS:MAJAMBAZI WAVAMIA BENKI YA BARCLAYS TAWI LA KINONDONI

$
0
0
BREAKING NEWS: Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la Kinondoni na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja.
Tukio hilo limetokea muda huu saa nne , katika tawi la benki hiyo iliyopo Kinondoni eneo la Bakwata likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola.

HATIMAYE IKULU YAONYESHA HATI YA MUUNGANO

$
0
0
Baada ya mvutano wa muda mrefu bungeni kuhusu ilipo Hati ya Muungano, Ikulu jana iliamua kuitoa hadharani huku ikisisitiza kuwa, “ni halisi na haikuchakachuliwa.”

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza Ikulu jana, alisema madai ya kuonyeshwa kwa Hati ya Muungano yalianza siku nyingi na hawakufahamu kama yangefika hatua yalipofikia.

“Ukweli ni kuwa hati hiyo ipo na ilikuwapo siku zote,” alisema Balozi Sefue na kuongeza: “Hata hivyo, tukubaliane kwamba kuna hati fulani ambazo ni kiini cha uwepo wetu kama Taifa huru, kama Jamhuri huru, kama Muungano huru ambazo zinahifadhiwa kama mboni ya jicho.

Balozi Sefue alizitaja kuwa ni Hati ya Uhuru wa Tanganyika ya mwaka 1961, Hati ya Tanganyika kuwa Jamhuri mwaka 1962 na Hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ya mwaka 1964 na kusema zinahifadhiwa maeneo maalumu ili zisipotee au kuharibika.

“Maneno yamekuwa mengi mno, tuhuma zimekuwa nyingi, dhihaka zimekuwa nyingi kiasi cha wananchi kuanza kutia shaka kuwa hati ya Muungano ipo au la,” alisema na kuongeza:

“Kutokana na agizo na ridhaa ya Rais Jakaya Kikwete, ninaleta kwenu waandishi wa habari hati halisi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliyotiwa saini Zanzibar na waasisi wetu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Abeid Aman Karume ili muione, mridhike nayo na muwajulishe wananchi.”

Baada ya kuwaonyesha aliwagawia wanahabari hao nakala ya hati hiyo na kusema Ikulu itafanya utaratibu wa kuiweka katika makumbusho ya Taifa ili kila mwananchi anayependa kuiona aende huko.

Kuhusu hati hiyo kupelekwa bungeni mjini Dodoma, Balozi Sefue alisema iwapo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ataiomba, Ikulu itaipeleka ili kuondoa mjadala wa uwepo wa hati hiyo.

“Tumesikitishwa, kusononeka na kufadhaika sana na tuhuma nzito kwamba waasisi wetu hawakuwa makini au walitufanyia kiini macho. Hatukutarajia Watanzania wenzetu wafikie hapo ni jambo zito,” alisema Balozi Sefue

Katika kipindi cha maswali, Balozi Sefue alishindwa kubainisha ilikuwa wapi wakati wote na kusisitiza: “Kazi ya leo ilikuwa ni kuwaonyesha hati hiyo na ninaomba maswali yenu yajikite katika hili.”

JAMAL MALINZI AGOMA KUJIUZULU UENYEKITI WAKE

$
0
0
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema hatajiuzulu nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Kagera (KRFA) pamoja na kuwa na majukumu ya kitaifa.
Katika taarifa yake aliyoitoa mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa KRFA mkoani hapa juzi Jumamosi, Malinzi alisema wakati anakuja kuhudhuria mkutano huo alikuwa na wazo la kujiuzulu.
Hata hivyo aliwaeleza wajumbe hao kuwa ameachana na wazo la kujiuzulu nafasi ya uenyekiti wa KRFA, kwa kuwa aliombwa na wajumbe asichukue hatua hiyo.
Alisema baadhi ya wajumbe wa KRFA walitishia kuachia nafasi zao endapo angejiuzulu nafasi yake ndani ya chama hicho ili aendelee kutumikia nafasi moja ya Rais wa TFF.
Pia alisema ameamua kuendelea ili kuzima uvumi kutoka kwa wadau mbalimbali wa soka waliodai kuwa aligombea nafasi ya uenyekiti wa KRFA ili apate tiketi ya kugombea kiti cha urais wa TFF.
Katika hotuba yake kwa wajumbe hao Malinzi aliwataka kuhakikisha wanashirikiana na halmashauri za wilaya ili kutenga maeneo ya viwanja vya michezo na kusema Uwanja wa Kaitaba utawekewa nyasi bandia baada ya kupata ufadhili wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).
SOURCE: MWANASPOTI

SITTA"KUANZIA SASA TBC1 WAKIKATA MATANGAZO HATUWEZI KUKATISHA KUENDELEA NA BUNGE"

$
0
0
Jumamosi iliyopita matangazo ya Television ya taifa yalikatika wakati ikiwa live kwenye bunge la katiba ambapo Mh. Tundu Lissu alikua akiwasilisha maoni ya wachache ambako kulisababisha Mwenyekiti kuahirisha bunge hilo mara moja baada ya kugundulika hawakuwa wanaonekana live.
Kukatika huko kwa matangazo ambako badae kulitangazwa kwamba ni kutokana na hali ya hewa kulifanya TBC itupiwe lawama au malalamiko yakiwemo kutoka kwa baadhi ya viongozi na Wananchi huku baraza la habari likisema ni kitendo cha aibu na watafatilia kujua kama ni kweli hali ya hewa au hujuma.
Baada ya hayo yote na kauli zilizotolewa na Wanasiasa mbalimbali baadae, Samwel Sitta ambae ni Mwenyekiti wa bunge la katiba hapa 104.4 Dodoma ametoa taarifa rasmi akisema >> ‘kuanzia sasa matangazo ya live bungeni TBC1 yakikatika hatutawezi kukatisha kuendelea na bunge’
‘Tunazingatia kwamba ipo Radio na Wananchi wengi wa Tanzania wanasikiliza radio na mtu mwenye TV hawezi kushindwa kununua radio kwa hiyo hatuwezi kukatiza kila wakati, ikiwa radio inaendelea kazi yetu humu ndani itaendelea’ – Samwel Sitta

MAKALIO YA MWALIMU WA SEKONDARI YASABAISHA WANAFUNZI WA KIUME KUSHINDWA KUSOMA WAZAZI WAOMBA AONDOLEWE ILI KUWANUSURU WANAFUNZI HAO

$
0
0
Mtandao huu umetumiwa picha hii ya mwalimu wa shule moja ya Sekondari iliyopo Mkoani Kagera vijijini ambae amelalamikiwa na wazazi kufuatia wanafunzi wa shule hiyo kushindwa kusoma vizuri kisa makalio yake makubwa ambayo kipindi akiwa anaandika somo ubaona huku nyuma yakitikisika kwa staili ya kipekee.
Kwa mujibu wa mzazi huyo ambae alimvizia dada huyo akiwa kwenye nyumba za walimu na kumpiga picha inayoonekana hapo juu alisema" Unajuwa huyu mwalimu anafundisha kidato cha kwanza huku ifahamike wanafunzi wengi wa umri huo ni wale wanaobarehe hivyo inawauwiya vugumu kuvumilia shughuri aliyonayo mwalimu huyo nyuma" Alisema mzazi huyo ambae aliomba hifadhi ya jina lake 

MUME WA MTU MBONA HANIACHI JAMANI MIAKA 6 SASA AMENIGANDA

$
0
0
Habar ndugu zangu, Nashindwa kuelewa mpk sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano cjawahi kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yupo single, amekuwa akinisaidia sana katka maendelea yangu mume wa mtu huyu ndie mshaur wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda sana mara nyingne nawaza siwez kufika naye mbali tayar yy ameshakuwa na familia yake na Mimi nilazima nitakuwa na familia Yang tutaishi maisha haya mpk lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha lakini jamaa na yeye anapigana kutokuniacha mke wake mpk leo hajui kama mume wake ana mchepuko nje, nishaurini nahitaji na Mimi kuwa na maisha yangu nimpata mume wangu nitamtumikia huyu jamaa mpk lini? Nipeni hata njia mbadala matata ili niachane naye

KUFURU:MAPOLISI DUBAI HUTUMIA LAMBORGINI NA FERRARI KUFANYA DORIA

$
0
0
Amini usiamini brand za magari zilizojaa katika garage ya polisi ya Dubai ni Lamborgini, McLaren MP4-12C, Aston Martin, Ferrari, Bentley na Chevrolet.
Source:Bongo5
Mwaka jana tuliwahi kuandika kuhusu chuo cha Dubai ‘American University in Dubai’ chenyewanafunzi wengi wanaomiliki magari ya kifahari duniani, lakini sasa ni polisi wa Dubai ambao wamenunuliwa magari hayo kwaajili ya kufanya patrol za kawaida mitaani.
Dubai-police-cars4
Hata maaskari wenyewe wa Dubai wamekiri kuchanganyikiwa baada ya kupewa magari hayo kwaajili ya kufanyia kazi.
Dubai-police-cars5
Mmoja wa askari hao aitwaye Mariam Ahmed, ambaye binafsi anamiliki Toyota Land Cruiser amesema alipokabidhiwa kuendesha Ferrari FF kwaajili ya doria mitaani hakuamini, na huwa anatamani asipate Off awe kazini muda wote sababu ana enjoy kuwa kwenye Lamborgini awapo zamu.
“Ni mara yangu ya kwanza kuendesha Sport car”, alisema “waliponichagua sikuamini, ni raha sana kuiendesha, nikiwa off huwa naimiss sana siwezi kuifananisha na Land Cruiser yangu”.
Dubai-police-cars7
Aliongeza, “inafurahisha sababu kuna watu huwa wanatuomba tuwakamate kwa sababu yoyote ya kubambikiza ili tu wapande Ferrari wakati wa kwenda polisi”.
Dubai-police-cars8
Askari mwingine aitwaye Abdullah Mohammed , alisema magari hayo yamewaongezea ujiko wanapokuwa wanayaendesha mitaani.
“Kinachofurahisha zaidi katika kuendesha gari kama hiyo ya kifahari ni jinsi watu wanavyokutazama na tabasamu kubwa”.
Dubai-police-cars9
Kwa mujibu wa GeeksTopten Dubai ndio inakamata nafasi ya kwanza katika Top 10 ya nchi zinazoongoza kwa kuwa na magari ya polisi ya gharama zaidi 2014, ‘Top 10 Countries Having Most Expensive Police Cars in 2014’.

KABLA GURUMO HAJAFARIKI ALIMWANDIKIA DIAMOND WIMBO KAMA ZAWADI

$
0
0
Star wa Bongo fleva Diamond Platnumz amesema kuwa siku chache kabla mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Maalim Muhidin Gurumo hajaaga dunia alikuwa amemuandikia wimbo kama shukrani kwa kumpa zawadi ya gari mwaka jana.

Diamond alimzawadia mzee Gurumo gari mpya mwaka jana wakati wa uzinduzi wa video yake ya ‘Number 1’.

Platnumz amesema meneja wake Babu Tale alimpa taarifa hiyo njema ya kuandikiwa wimbo na Gurumo lakini kwa bahati mbaya mzee Gurumo alifariki kabla hajamkabidhi wimbo huo.

“Juzi kampigia simu Tale akamwambia kuna nyimbo nimemtengenezea Diamond kwasababu kwa alichonifanyia mimi nimeshukuru sana cha kumlipa mimi sina lakini nimemuandikia nyimbo” amesema Platnumz kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm.

“so alikuwa anamwambia Tale kama ameniandikia nyimbo, so angependa anipatie nikamwambia sawa. Kama siku tatu hivi nyuma, jana ndio nasikia taarifa hizi so najiona kama nimechanganyikiwa hivi.”

Platnumz ameongeza kuwa mara ya mwisho kuonana na Gurumo ilikuwa ni takribani wiki tatu zilizopita baada ya mwimbaji huyo mkongwe kumsurprise kwa kuhudhuria katika show aliyokuwa anatumbuiza Diamond kwa lengo la kutaka kumwona na kumshukuru kwa zawadi ya gari aliyompatia.

“Mara ya mwisho kukutna naye nilikuwa nafanya show Coco akaja maskini ya Mungu mpaka kwenye show…kama wiki moja nyuma kama sikosei au wiki mbili. Akaja akasema nimekuja hapa kukuona, alipenyapenya hadi akaweza kufika pale…nilivyomuona anakuja ilibidi pale nikatishe show nikamsalimia kidogo halafu nikaendelea na show, halafu baadae nikawa niko nae backstage na nini nikazungumza nae.So akasema nimekuja kukushukuru sana sana sana, akasema ningependa uje nyumbani nikamwambia sawa.”Amesema Diamond.

Mwili wa marehemu mzee Gurumo umepelekwa kijijini kwake Masaki, wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani kwaajili ya mazishi yanayofanyika leo.
Bongo5

SOMA BAADHI YA MIPASHO NDANI YA BUNGE LA KATIBA

$
0
0
ULIFANIKIWA KUSIKIA MIPASHO NDANI YA BUNGE LA KATIBA JANA (14/4/2014)? KAMA ULIKOSA SOMA HAPA USOME BAADHI YA MIPASHO ILIYOJILI.....

Haya ni maneno yaliyosemwa na baadhi ya wajumbe wa bunge maalumu la katiba leo tarehe 14 Aprili 2014.
Tanganyika ikirudi itazaa jamhuri ya Makonde, Nyamwezi!
Mbona Comoros haijawa Hong Kong?
Unadai cheti cha kuzaliwa cha baba yako ili iweje?
Mtu anayefanya mambo kipekeyake anaitwa mchawi!
Nyerere alikufa akiwa mwana CCM na alikufa akiwa ahajabadili msimamo wake, lakini alifariki baada ya tume zote kufanya mambo yake!
Kero za muungano zitamalizwa na taratibu mtakazoziweka....na mkishindwa kusikilizana wageukieni viongozi wa dini, mfano, Pengo alisema Serikali mbili zinatosha!
Tunaomba rasirimali zirudi mikononi mwa wananchi.
Kaa kitako, mjinga tu (imesikika kwa pembeni).
Zanzibar ni nchi na JK anajua hilo. Ndiyo maana alipoenda kwenye sherehe za mapinduzi alikaa na akamsubiri mwenye nchi. Na katika kuondoka aliondoka kwanza Rais wa wa Znzibar mwenye nchi.
Hamna lolote...mnaogopa gharama nyie kweli? Mbona mmeweka mawaziri mpaka wasio na wizara maalumu?

MTIKILA "WAKATI WA KUDANGANYANA KUHUSU MUUNGANO SASA UMEKWISHA"

$
0
0
Mjumbe  wa Bunge Maalum la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila, amesema kuwa hivi sasa ndiyo muda mwafaka wa Watanzania kuambiana ukweli kuhusu Muungano. Mchungaji Mtikila (pichani) alitoa kauli hiyo bungeni jana alipoomba mwongozo wa Mwenyekiti wa Bunge hilo Samuel Sitta, baada ya mjumbe Tundu Lissu, kutoa ufafanuzi wa wa maoni ya wajumbe wachache wa Kamati namba 4.

Mchungaji Mtikila baada ya kuruhusiwa kuzungumza, alisema alisema kuwa kwa zaidi ya miaka 50 Watanzania hawajawahi kuambiwa ukweli kuhusu Muungano na kusema kwamba badala yake wamekuwa wakiambiwa uongo na kwamba ndiyo maana Mungu hakuibariki Tanzania kwa kipindi hicho chote.

“Tulijengwa katika uongo na ndiyo maana Mungu hakutubariki kwa miaka 50,” alisema Mchungaji Mtikila.

Mchungaji Mtikila akijibu kauli ya Peter Serukamba, aliyehoji kuwa wajumbe hao wapo bungeni hapo kama nani kama Muungano hauna uhalali kama alivyosema Lissu, alisema:

Ndiyo maana tumekuja kufanya kazi ya kutengeneza Katiba na kuandika upya historia.”

Mchungaji Mtikila alisema kwamba hivi sasa Tanzania ina watu milioni 45 na kwamba hakuna sababu ya kuendelea kuwaeleza uongo kuhusu historia ya Muungano.

Mchungaji Mtikila ambaye kwa miaka mingi amekuwa akiupinga Muungano, alisema kuwa kinachotakiwa kwa sasa ni kuambiana ukweli.

Aliongeza kuwa Watanganyika wanahitaji kuwa na haki ya kupata serikali yao pamoja na Wazanzibari kujitambua na kuwa na taifa lao.
CHANZO: NIPASHE

KUTANA NA MAPACHA WANAOCHANGIA KILA KITU MPAKA BOYFRIEND WAO NI MMOJA

$
0
0
Growing up, twins Victoria and Amanda Hepperle were raised to share everything - toys, clothes and their deepest secrets. “What’s mine is hers,” has been the guiding principle all their lives, to the delight of their proud parents. Until now. For the 27-year-old sisters have taken the divvying up to shocking extremes – by sharing the bed of the same boyfriend. Their exhausted joint lover, Ian Diaz, admits that he feels like “the luckiest man alive”, but adds: “Some men might think sleeping with twins is a dream come true, but it’s not always an easy ride.” But his two girlfriends can’t ­understand what all the fuss is about. Victoria says: “We are a threesome now and we don’t find it weird at all, although I wish the same could be said for our parents and friends. We have a healthy sex life, even if we have to decide between ourselves who has Ian on any given night. Ian knows the closeness of our bond. He understands us and just gets us. I think any guy would want double the attention. People come up to him and say, ‘Wow! You’re so lucky’.” Delivery boss Ian, 27, started out as Victoria’s sweetheart, and for four years they had a perfectly normal relationship. But in 2012 Amanda suffered a painful break-up with her then boyfriend which left her devastated. 


Seeing her sister alone and unhappy, Victoria hatched a bizarre plan – Ian would become boyfriend to them both. All she had to do was persuade him. She says: “Ian and I had an undeniable physical attraction and a strong bond. We have a solid relationship built on trust and understanding. Ian knows that my relationship with Amanda has always been a huge part of my life and that I would do anything for her. So when she broke up with her boyfriend just over two years ago, I shared her pain and her heartbreak. It was devastating to see her so unhappy. It hurt me almost as much as it hurt her. It seemed to me almost natural to invite her to join us in our loving ­relationship. Ian was unsure at first, particularly as he knew that his parents wouldn’t be very happy, but now we’re all ­blissfully in love. He loves us equally– albeit in quite different ways. He considers me his rock. I am always there to cater for his emotional needs. Sometimes I get jealous of the ­relationship he has with Amanda, but I know that he loves me. We have spoken about marriage and I’m looking forward to the day when we wed, but if Amanda and Ian get married ­afterwards then that’s fine. The ­important thing is we’re all together, and all happy.”

Ian has his own flat in Guttenberg, New Jersey, and the girls, non-identical twins born just 30 minutes apart, live just a few streets away with their appalled parents. He admits that juggling his ­relationships with the twins can be quite a challenge – but insists that it’s worth all the effort. “I’m in love with them both the same, although I expect Vicky and I will get married first. Victoria and I have a much more traditional relationship. It’s very loving and quite harmonious. I tend to be the dominant one with her. But with Amanda, there is no ­question that she wears the trousers. She is ­incredibly feisty and rules the roost. In bed it is very sensual with Victoria while with Amanda it’s wanton. They wear me out. There are times when I just want to have a few days’ peace. That said, it’s a little like being a multi-millionaire. Do I ever really have a bad day?” Ian says. 

Well, maybe – when he has to face the parents. Both sides of the family are deeply unhappy about the three-sided arrangement. The twins’ father, David, who raised his girls in the Catholic faith, describes the relationship as being like “a pair of two-year-old shoes still not broken in yet”. David, along with wife Ingrid, hope that their girls “will see sense” one day and that Amanda will quit the ­relationship leaving Ian and Victoria to have a ­conventional marriage. But the twins just don’t see that there’s a problem. They admit they argue constantly but insist that the one thing they agree on is their love for Ian. Amanda says: “One day, I hope that I might find a man of my own but at the moment this is working well for us all.” Right from the start, when Victoria suggested it, Amanda thought it was a great idea. “I was devastated after my previous relationship ended. My self-esteem was on the floor. So when Vicky invited me to join her in her relationship with Ian, I felt grateful – and excited. My sister and I traditionally have different tastes in men, but I’ve always found Ian attractive, and it was easy falling in love with him. Me and Vicky shared everything growing up. Now we share the same soulmate.” But Amanda readily agrees that each twin brings something very different to the ­arrangement. “Vicky and Ian are very much more lovey-dovey together than I am with him. My relationship with Ian is a lot more fiery. It’s much more physical and we enjoy each other sexually with great passion. Although one of the ground rules is that the three of us never make love at the same time, that’s just not my thing. I want to share my life with someone who gives me everything and although Ian is shared with my twin, I feel he gives me that. We’re living every day blissfully, and that’s what counts. Our relationship might be unusual, but it works for us.” 

MAAJABU YA MWAKA:MZAZI AMTUPA MWANAWE USIKU ILI ALIWE NA FISI

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mkazi mmoja wa kijiji cha Songambele wilayani Maswa mkoani hapa, kwa tuhuma za kutaka kumuua mtoto wake kwa kumtupa na kumtelekeza nje ya nyumba ili aliwe na fisi. Kamanda wa polisi mkoani Simiyu, Charles Mkumbo alisema ofisini kwake mjini hapa jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa nane za usiku wakati mtuhumiwa Baya Seni (30) akiwa amelala na familia yake kijijini hapo, ndipo alipokurupuka ndani akampiga mtoto wake Amos Baya (3) na kisha kumtupa na kumtelekeza nje ya nyumba. Alisema, Seni katika maelezo yake kituo cha polisi alisema alifikia uamuzi huo kwa kuwa hakuona thamani ya mtoto wa kiume kwenye familia yake kwani uzoefu umeonesha kuwa watoto wa kiume wakikua hudai kupata mirathi kutoka kwa wazazi wao . Alisema kinyume chake watoto wa jinsia ya kike wakikua watamuongezea utajiri wa mifugo atakapolipwa mahari ili waolewe na baada ya kuolewa hawawi mzigo tena kwenye familia yake bali mzigo huo huhamia kwenye familia atakayoolewa. Mtoto huyo aliokolewa na majirani baada ya kusikia kilio. Mama wa mtoto huyo Elizabeth Paulo alisema, mume wake alikuwa akimtesa sana mtoto wake akimbagua kwa vile yeye ni wa jinsia ya kiume na kwamba hana faida kwake.

BINTI WA ADVANCED LEVEL ANANIKOSESHA RAHA NDANI YA NDOA YANGU

$
0
0
Wajumbe mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 Ni Mwajiriwa wa Serikali, nimeoa na nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3.
Licha ya kwamba niko kwenye ndoa, lakini ilitokea siku moja asubuhi nikiwa barabarani na gari langu nikitokea nyumbani kwangu Mitaa ya Kihonda Magorofani nikielekea kazini Morogoro mjini.Nilikutana na Mwanafunzi kavaa sare za shule na alikuwa akielekea shuleni nae.Nilisimamisha gari na kumuuliza kama anaenda shuleni maana baada ya kuona sare alizovaa niliweza kutambua ni shule gani anasoma.Baada ya kumuuliza kama anaenda shule aliitikia kwamba anaenda shuleni, nilitoa Lock ya Milango ya gari nikamwambia apande nimsogeze kidogo.

Cha kushangaza niliona akifungua mlango wa mbele na kuingia maana nilikuwa peke yangu.Niliondoa gari tayari kuendelea na safari,tukiwa njiani niliweza kumuuliza jina lake, wazazi wake kadharika tulipeana hadi namba za simu.

Baada ya siku mbili alinitumia msg iliyosomeka hivi."Shikamoo, Habari ya kazi?Nimeona sio vizuri kukaa kimya wakati juzi ulinisaidia nikawahi shuleni.Jioni Njema na karibu nyumbani." Bahati mbaya hiyo msg sikuweza kuijibu maana nilikuwa niko na wife na zaidi niliifuta baada ya kuisoma.Baadae nilitafuta nafasi nikampigia kumjulisha msg yake nimeipata akadai amefurahi sana kusikia sauti yangu.Na mimi kama mwanaume nikamuomba atafute muda japo siku moja tukutane tena tuongee.Alikubali na kuniahidi nimtafute siku za Ijumaa jioni, Juma mosi na jumapili maana hizo siku anakuwa free.

Ilipofika Ijumaa nilimtafuta tukaenda Hotel moja nje kidogo ya Mji tukaongea sana na ikafikia hata mimi nikamwambia namtaka, alionekana mpole na akakubali ombi hilo pia akaomba tukutane siku inayofuatia ambayo ni Juma Mosi.Tuliingia kwenye gari nikamuacha jirani na nyumbani kwao na mimi nikarudi kwangu

Jumamosi mida ya saa 8 alinibeep nikampigia then nikamwambia ajiandae ndani ya nusu saa nitampitia. Time ilipofika nilimpitia sehemu tuliokubaliana tukaelekea sehemu husika, huko huko ndio tulipeana mapenzi(Nilimgegeda effectively). Baada ya siku hiyo kugegeda ikawa Continuously.

Ila shida imekuja sasa huyu binti anadai nimpeleke nyumbani kwangu ili nikamtambulishe kwa Mke wangu ili wafahamiane. Nimejaribu kumshauri kwamba yeye bado ni mwanafunzi hivo atulie kwanza amalize masomo yake lakini hanielewi

Anadai kila siku asubuhi niwe nampeleka shuleni na jioni kumrudisha kwa gari langu.Hilo nalo nikamshauri kwamba isiwe kila siku ila pale tukapoona inafaa bado haelewi.

Nimemkataza kunipigia simu au kutuma msg hasa mida ya usiku maana mke wangu atanielewa vibaya hilo nalo haelewi

Amechukua namba ya simu ya mke wangu kwenye simu yangu bila mimi kujua na kumpigia simu mke wangu nae akiwa kazini kwake akimtaarifu kuwa yeye ni mke mwenzie na baadae kurusha msg kibao akidai huo ni utambulisho tosha.Kwa ujumla siku hiyo hayo yote yalipotendeka mimi na mke wangu hatukulala kwa amani kabisa,Wife alilia karibu akataka kukesha.

Nilimfuata yule Binti nikamuonya vikali nusura kuchapa makofu na nikamwambia simuhitaji tena ila yeye kakomaa kwamba kama nataka kumpiga sababu ya mke wangu basi na nikimuacha anajiua na kuacha ujumbe.Ameenda mbali kuniambia kwamba nimemuharibia akili zake maana toka nifanye nae mapenzi hana hamu kabisa ya kusoma au kwenda shuleni.

Wakuu nifanye hapo, Kuna hatari mbili ambazo ni:
1. Ndoa kuvunjika (Wakati tayari tuna mtoto)
2. Kwenda Jera (ukizingatia huyu ni Mwanafunzi)
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images