Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Makonda Amkumbusha Spika Kuwapima Wabunge Kilevi

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, amemkumbusha Spika wa Bunge. Job Ndugai, kuhusu kusudio lake la kuanza kuwapima wabunge kubaini kama wametumia kilevi kabla hawajaiingia kwenye ukumbi wa chombo hicho cha kutunga sheria.

Siku chache baada ya Rais Magufuli kutengua uteuzi wa Charles Kitwanga, kwenye baraza lake la mawaziri kutokana na kuingia bungeni akiwa amelewa, Ndugai alisema kuwa kuna wabunge kadhaa huingia bungeni wakiwa wametumia vilevi vikali zaidi vikiwemo bangi, viroba na unga’

Aidha kutokana ba hatua hiyo, Spika huyo alisema wanafikiria kuweka vifaa maalumu vya kupima ulevi kwa watunga sheria hao na kutafuta wataalamu wa kutoa ushauri nasaha wa kisaikolojia, utaratibu huo haujaanza kutolewa bungeni licha ya kwamba ni miezi tisa ipite,

Jana katika hafla maalum ya kukabidhi orodha mpya ya watuhumiwa wa biashara haramu ya madawa ya kulevya Kumkaribisha Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kupambana na Kuzui Dwa za Kulevya, Rogers Siang’a, Makonda alimkumbusha Spika Ndugai kusudio lake la kuanzisha utaratibu wa kuwapima wabunge ulevi.

“Na utaratibu huu wa kuwapima wabunge wetu utakuwa mzuri sana, na ninakumbuka kuna kipindi Spika aliwahi kutangaza kuanzisha lakini sijui ukaishia wapi, nitoe tena rai kwake afikirie tena kuanzisha utaratibu huu ili tuweze kuwabaini wabunge kama wanatumia kilevi ama la,”alisema Makonda.

Diamond Platnumz Athibitisha Kuwa Mbioni Kumrudisha Q-Chief Kwenye Ramani...!!!

$
0
0

Diamond Platnumz amethibitisha kuwa amejipanga kumrudisha Q-Chief kwenye ramani ya muziki baada ya uongozi wake wa QS Mhonda kushindwa kufanya hivyo licha ya kudai kutumia zaidi ya shilingi milioni 200 bila kupata faida.

Kwa muda kulikuwepo na tetesi kuwa Diamond ana mpango wa kumsainisha msanii huyo mkongwe kwenye label ya WCB. Na sasa, ingawa hajasema kuwa amepanga kumsanisha kwenye label hiyo, Diamond amekiri kuwa kwenye mipango ya kufanya kazi na legend huyo.

“Unajua lengo langu kama mimi au sisi vijana wa sasa hivi tunajaribu kuona tunavyoweza kufanya kazi kwa ushirikiano, so tuko na maongezi na bro tunaangalia tunawezaje kufanya kazi kwasababu ni mtu ambaye kwanza mimi namfeel halafu ambaye namuamini,” Diamond ameiambia Dizzim Online.

“Ni mtu ambaye najua kabisa yaani akibonyeza button hii basi huu mji mzima umechafuka. Kwahiyo siwezi kuyaongea mengi sema Watanzania watuombee dua tunachokiplan kifanyike vizuri,” ameongeza staa huyo.

Naye Q-Chief alisema, “mimi nahisi project inayofuata Simba anahusika kwasababu ni mtu ambaye ameniita kwa ushauri nikiwa na QS, amemuambia vitu vingi vya msingi, yeye shahidi hapa, lakini kama ni mtu anayeelewa mdogo wake ameniita amesema nini mpaka mimi nimeelewa na hajafanya maybe [QS] is not ready to do business but Diamond is a business man and I am ready to join a business man so long as kuna misingi. Lakini naamini ngoma inayofuata Diamond amenipa baraka zake.”

Hivi karibuni muimbaji huyo ambaye jina lake kamili ni Abubakar Katwila amekuwa kwenye vita vya maneno na kampuni inayomsimamia ya QS Mhonda anayoishutumu kwa kushindwa kumfikisha popote licha ya uwekezaji mkubwa ilioufanya kwake.

Ndugu zake pia walihoji kuhusu mkataba wa maisha aliosainishwa mtoto wao kwenye kampuni hiyo na kwamba tangu awe chini ya kampuni hiyo hawajaona mabadiliko ya maana kwenye maisha yake.

Upepo Mchafu Wazidi Kumuandama Manji, Asakwa na Uhamiaji Kwa Kosa Hili

$
0
0
Baada ya Sakata la Madawa ya Kulevya kumuandama mpaka kufikia kulazwa Hospitalini, Uhamiaji nao wamekuja na Mpya baada ya kukamata Passport Kadhaa ofisini kwake za watu kutoka nje ambao wanafanya kazi kwenye kampuni yake bila vibali vya uhamiaji....
Tazama Hii video:

Mwanake ni Sura au Msambwanda?

$
0
0
Kuna hili suala ambalo nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua kimoja.

Ni ndoto ya kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka umbo na kwa sie waafrika toka kale tupo katika umbo tunamaanisha kalio lililoshiba vizuri yani msambwanda kwa lugha ya mtaani.

Lakini kwa bahati mbaya sio mara nyingi mtu hubahatika kupata seti iliyokamili, ndipo hapo napopenda kujua je kati ya binti mwenye sura nzuri lakini nyuma flat screen na binti asiye na sura nzuri ila nyuma amesheheni vizuri au ana umbo zuri upendalo utachagua yupi? Mimi binafsi msambwanda ndio ugonjwa wangu sura sio issue sana.

Karibuni wadau

Mshauri wa Rais Donald Trump Ajiuzulu

$
0
0
Mshauri mkuu wa ikulu ya White House kuhusu usalama wa taifa Michael Flynn amejiuzulu kuhusiana na uhusiano wake na maafisa wa Urusi, vyombo vya habari Marekani vinaripoti.

Bw Flynn anadaiwa kujadili vikwazo vya Marekani dhidi ya Urusi akiwa na balozi wa Urusi kabla ya Rais Donald Trump kuingia madarakani.

Anadaiwa kuwapotosha maafisa wa utawala huo mpya kuhusu mazungumzo yake na balozi huyo.

Awali, vyombo vya habari Marekani viliripoti kwamba Wizara ya Haki ilitahadharisha ikulu ya White House mapema kuhusu mawasiliano ya Flynn na maafisa wa Urusi mwishoni mwa mwezi uliopita.

Walisema Bw Flynn huenda akashurutishwa kuwa kibaraka wa urusi.

Maafisa wakuu wa chama cha Democratic walikuwa wametoa wito kwa Bw Flynn kuachishwa kazi.

Mashirika ya habari ya Associated Press na Washington Post yanasema wizara ya haki Marekani ilitahadharisha kuhusu kile ilichosema ni mambo aliyoyasema Bw Flynn kuhusu mazungumzo yake na balozi wa Urusi.

Ni kinyume cha sheria kwa raia wa kawaida kujihusisha na shughuli za kidiplomasia Marekani.

Mazungumzo kati ya Flynn na balozi wa Urusi yanadaiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka jana, kabla ya Bw Flynn kuteuliwa kuhudumu katika uatawala wa Bw Trump.

Bw Flynn, ni luteni jenerali mstaafu.

Awali alikana kuzungumza kuhusu vikwazo dhidi ya Urusi na balozi huyo, na Makamu wa Rais Mike Pence pia alijitokeza hadharani kumtetea.

Bw Flynn baadaye aliambia maafisa wa White House kwamba kuna uwezekano yeye na balozi huyo walizungumzia vikwazo hivyo.

Gazeti la Washington Post lilisema Kaimu Mwanasheria Mkuu Sally Yates aliambia White House kwamba mshauri wao mkuu wa usalama wa taifa "alijiweka katika hali ya hatari" kwa kuzungumza na Warusi kabla yake kuruhusiwa kisheria kufanya hivyo na kwamba Wizara ya Haki ilifahamu kwamba alimpotosha Bw Pence.

Mwezi uliopita, Bi Yates alifutwa kazi na Bw Trump kwa kukataa kutetea marufuku yake dhidi ya raia wa mataifa saba yenye Waislamu wengi kuruhusiwa kuingia Marekani.

Nafasi za Kazi Kwa Wanaohitaji Kazi...Hizi Zimetangazwa Leo

Ufupi kwa Wanaume ni Janga Jingne Katika Mahusiano

$
0
0
Mda si mrefu nimetoka kusikia hii habari ambayo inatia simanzi kwa wanaume wafupi.Yaani mtoto wa kike amefunguka laivu mbele ya boi wake kuwa anapenda mwanamume mrefu, mwanamume ambaye inakuwa hata raha kusimama nae, kuongozana nae.

Nukuu" binti: " mh yaan mimi napenda mwanamume mrefu, kiasi kwamba hata siku ya ndoa yangu nikivaa high hills inakuwa vizuri, hata kuongozana, sio mwnamume mfupi kama wewe, yaani wiwi ni mfupi mpaka basi".

Ufupi ni source of inferiority complex to short man en source ya kuumizwa.Pia inaaminika ya kuwa et hawa wanaume wafupi wanamapnzi ya dhati ila sasa wanaowataka ndo hvyo tena.

By Papaa Azonto

Mume, Mke Wahukumiwa Kwenda Jela Miaka 55..!!!

$
0
0

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kwenda jela miaka 55 mume na mkewe, baada ya kupatikana na hatia ya kuratibu na kuuza nyara za serikali, yakiwamo meno na mifupa ya tembo kilo 450.6 yenye thamani ya Sh. bilioni 2.2.

Washtakiwa hao Peter Kabi (45) na mkewe, Leonidia Kabi (46), walikutwa na nyara hizo sawa na tembo 93 waliouawa, wakiwa wamezihifadhi kwenye jeneza na kufunikwa na bendera ya taifa.

Mahakama hiyo chini ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi, pia iliamuru nyara walizokutwa nazo washtakiwa zitaifishwe na serikali.

Hakimu Shaidi alisema ushahidi wa mtaalamu wa wanyamapori, Emmanuel Lyimo, ulibainisha kuwa miongoni mwa hasara zinazotokana na kuuawa tembo ni uchumi kushuka.

“Washtakiwa wamekutwa na nyara hizo ambazo ni sawa na tembo 93 waliouawa ... kwa maana hiyo itachukua muda mrefu tembo 93 kuzaliwa,” alisema Hakimu Shaidi na kuongeza:

“Ninyi washtakiwa mmeamua kula matunda ya taifa hili kinyume cha utaratibu ... siyo sahihi mjinufaishe mke na mume, mnastahili kutumikia kifungo cha miaka 15 (kwa) kosa la kwanza, miaka 20 kosa la pili na 20 mingine kwa kosa la tatu na adhabu yote itakwenda sambamba.”

Akizungumzia ombi la Jamhuri kuhusu kutaifishwa nyumba iliyokuwa imehifadhi nyara hizo, Hakimu alisema upande wa Jamhuri uwasilishe maombi yenye vielelezo vya kuthibitisha umiliki halali wa washtakiwa ili mahakama yake itoe uamuzi.

Kabla ya hukumu hiyo, upande wa Jamhuri ukiongozwa na Mawakili wa Serikali, Paulo Kadushi na Elias Athanas uliomba mahakama ijielekeze katika kifungu cha 111 cha Sheria za Wanyamapori kinachotoa masharti ya lazima.

Kadushi alidai kifungu hicho kinaeleza kwamba mtuhumiwa akikutwa na hatia nyara na kitu chochote kilichotumika kuhusiana na nyara hizo, vyote vinataifishwa.

“Mheshimiwa, naiomba mahakama yako ijielekeze kwenye kifungu hicho kwa kutaifisha meno na mifupa ya tembo waliyokutwa nayo washtakiwa na nyumba iliyokuwa imehifadhi nyara hizo kwa kuwa inamilikiwa na washtakiwa wote wawili,” alidai Kadushi.

Upande wa utetezi ulipopewa nafasi ya kuomba kupunguziwa adhabu, ulidai kuwa washtakiwa ni mke na mume ambao wana watoto wawili, wazazi na ndugu wanaowategemea, hivyo uliomba mahakama kuwapunguzia adhabu na kutoitaifisha nyumba wanayoimiliki.

Hakimu alisema kwa kuwa washtakiwa walijipendelea kula keki ya taifa kinyume cha taratibu, watakwenda jela kutumikia kifungo hicho na haki ya rufani kwa upande ambao haujaridhika iko wazi.

AIBU KUBWA
Baada ya kutolewa hukumu hiyo, Mkurugenzi wa Wanyamapori, Alexandra Sogorwa, aliwaambia waandishi wa habari katika viunga vya mahakama hiyo kuwa ni aibu kubwa Tanzania kutoka kuwa na tembo zaidi ya 100,000 miaka 10 iliyopita hadi kufikia 50,000.

“Tusaidiane kupambana kutokomeza ujangili dhidi ya wanyama wetu, wakiwamo tembo," alisema kwa sababu "hali ni mbaya na ni aibu kubwa Mtanzania kuanza kupanda ndege kwenda kuangalia tembo nchini Marekani.”

“Rais ametupa majukumu kupambana na ujangili kiasi kwamba jangili akimuona tembo akimbie ... mahakama imetoa haki kwa pande zote mbili katika kesi hii.”

Naye Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Biswalo Mganga aliyekuwa katika mkutano huo na waandishi wa habari alisema:

"Familia moja inahujumu uchumi wa taifa, wamekutwa na nyara za Sh. bilioni 2.2, kwa kweli hii haiwezi kuvumilika, tusaidiane kutokomeza wahujumu uchumi.

“Washtakiwa walitumia mbinu ya kuweka meno ya tembo kwenye jeneza na kufunika na bendera ya taifa letu wakijifanya wanasafirisha maiti ya askari polisi, kwa kweli hii ni hatari.

"Tusaidiane wanahabari muwaeleze wananchi hasara tunayopata ni yetu sote.”

Biswalo alisema familia moja imeangamiza tembo 93 na kwamba huo ni uhujumu wa hali ya juu.

Katika kesi ya msingi, washtakiwa walidaiwa kuwa Oktoba 27, 2012 katika sehemu tofauti kati ya Dar es Salaam na Iringa, waliratibu kufanyika kwa makosa ya kukusanya na kuuza nyara hizo.

Katika shtaka la pili, ilidaiwa kuwa siku ya tukio la kwanza, eneo la Kimara Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, walikutwa na meno 210 yenye uzito wa kilo 450.6 yakiwa na thamani ya Sh. bilioni 2.1 sawa na tembo 91.

Katika shtaka la tatu, ilidaiwa kuwa siku ya tukio la kwanza, walikutwa na mifupa mitano ya tembo ikiwa na thamani ya Sh. milioni 47.4 sawa na tembo wawili.

Kutana na Kapteni Valentine Strasser,Alikuwa Rais wa Nchi na Sasa Ni Ombaomba Mkubwa...!!!

$
0
0

Duniani tunajifunza na kuona vitu vingi tofauti vya kushangaza, kuogofya na kufurahisha, 
Wengi wetu hatumjui Valentine Strasser ambaye aliwahi kuwa rais wa nchi ya Sierra Leone kati ya Aprili 29, 1992 hadi Januari 16 , 1996 akiwa ndiye amiri jeshi mkuu na kiongozi wa ngazi ya juu kwenye taifa hilo lililopo kaskazini-magharibi mwa bara la Afrika.

Wakati akiingia madarakani aliweka rekodi ya kuwa kiongozi mwenye umri mdogo zaidi, yaani akiwa na chini ya miaka 25.Kapteni Valentine Strasser kiongozi wa mapinduzi ya Rais Saidu Momoh.

ILIKUWAJE KUWAJE MAPAKA AKAWA RAIS MDOGO ZAIDI DUNIANI KWA WAKATI HUO?

Aprili 29, 1992, Strasser akiwa mwanajeshi kijana mwenye cheo cha kapteni, akiwa na umri wa miaka 25 tu, aliwaongoza wanajeshi wenzake kuvamia Ikulu ya Sierra Leone, walimkuta raisJoseph Saidu Momoh amejificha ndani ya kabati lililopo kwenye chumba cha kuogea, kisha wakamteka na wakamlazimisha kukimbia, naye akatorokea jijini Conakry nchini Guinea.

Baada ya mapinduzi kufanikiwa rais 

Strasser alichukua madaraka ya nchi hiyo siku tatu tangu ashehereke sikukuu yake ya kuzaliwa na baada ya kuthibitika kwamba aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Momoh kutorokea Conakry, mwanajeshi Strasser alijitangaza kuwa rais wa Sierra Leone. Aliwaongoza vijana wenzake sita waliofanikisha mapinduzi hayo na kuunda serikali ya mpito waliyoipa jina la National Provisional Ruling Council (NPRC).

KAMA KAWAIDA MADARAKA YANALEVYA

Baada ya kuwa rais kamili,maisha yakabadilika kwakuwa tu ashakuwa mkuu wa nchi, kwa hiyo hakutaka kuishi kwenye nyoyo za wananchi wake Sierra Leone,Hakukumbuka tena kulipa malimbikizo ya mishahara ya wanajeshi na watumishi wengine wa umma,alifuja almasi ya Sierra Leone na rasilimali zingine na kupelekea kuchukiwa na wananchi na wanajeshi wenzake kwa mda mfupi,

Maajabu mengine ya bwana huyu

kwa vile jina lake ni Valentine, basi sikukuu ya Valentine’s Day ambayo dunia yote huazimisha kila ifikapo tarehe 14 ya mwezi 2,akaifanya kuwa sherehe hiyo kuwa miongoni mwa sherehe za kitaifa yenye mapumziko huku sherehe kubwa ikiandaliwa ikulu ya nchi hiyo na kula bata sana.

Bwana huyu alikuwa bingwa wa mbwembwe na starehe

Rais Strasser alikuwa mtu wa mbwembwe nyingi na kupenda sifa na kusifiwa,kwa mfano mwaka 1993 katika mkutano wa wakuu wa serikali katika nchi za Jumuiya ya Madola, uliofanyika Limassol nchini Cyprus, alitinga kwa mbwembwe akiwa amevaa suruali ya jeans na fulana yenye maandishi Sunny Days in Cyprus (Siku za Jua Kali Cyprus) ,kitu kilichokuwa kama dharau kwa waCyprus,alikuwa mtu wa starehe sana,mbabe, vurugu nyingi,na mpenda wanawake (womenizer),pia kipindi cha utawala wake aliua watu wasio na hatia,na hasa wapinzani wake.

Rais Strasser alisahau na kujisahau kuwa ipo siku uongozi hautakuwa kwenye mikono yake, na ambacho kinaweza kumfaa ni kuishi ndani ya mioyo ya watu ili wamtetee na kumpigania baadaye.

Waswahili wanasema ukiuwa kwa upanga nawe utakufa kwa upanga na malipo ni hapahapa duniani,ilikuwa ni january 16, 1996, rais Strasser naye alipinduliwa na msaidizi wake, Brigedia Jenerali Julius Maada Bio,

Baada ya kupinduliwa,ilibidi bwana Strasser akimbilie nchini Uingereza, ambapo akiwa huko akajiunga na Chuo Kikuu cha Warwick, kilichopo mjini Coventry, akaanza kusomea masomo ya sheria,huku akijinasibu kutaka kuwa wakili na kuja kuwatetea waafrika alioshindwa kuwatetea akiwa madarakani kama rais,

Baada ya mwaka mmoja wa masomo, Strasser aliishiwa fedha na kumbidi kuacha chuo,na kuingia mtaani nchini uingereza,

Maisha ya Uingereza yakawa magumu kwake na kuamua kukimbilia nchini Gambia,ambapo inadaiwa nako kukawa pagumu, mwishowe akaamua kurudi nchini mwake alipozaliwa yaani Sierra Leone mjini Grafton, mashariki mwa mji mkuu wa nchi hiyo Freetown.

Kazi ya kwanza ambayo Strasser aliifanya ni kuanzisha chuo kidogo cha kufundisha kompyuta na teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama),ambapo napo laana ya na dhambi ya kuwanyanyasa raia wakati akiwa rais ikazidi kumwandama na hatimaye maisha ya kuendesha chuo chake yakamshinda pia na baada ya kila kitu kwenda kombo, Strasser alirudi nyumbani kwa mama yake mzazi na kuishi kwenye banda la uani,ambapo mpaka sasa, akiwa na umri wa miaka 49 bado anaishi hapo bila kazi na kunywa pombe za kienyeji mtaani huku akiishi kwa kuombaomba bila kujali kama alishawahi kuwa rais wa taifa kubwa na tajiri kama Sierra Leone.

Naamini kila mmoja wetu aliesoma andiko hili atapata cha kujifunza.
source :C&P 4m JF

Watanzania 58 watimuliwa Msumbiji, wanyang’anywa mali na vitambulisho

$
0
0
Raia 58 wa Tanzania waliokuwa wanaishi nchini Msumbiji wamefukuzwa nchini humo na kurudishwa Tanzania huku wakidai kunyang’anywa mali zao, vitambulisho pamoja na hati za kusafiria na askari wa Msumbuji pasipo kujua sababu.


Raia hao watanzania ambao wamefukuzwa nchini Msumbiji wamesema wameacha mali zao, fedha walizokuwa nazo mifukoni wameporwa na askari wa Msumbiji wakati wanakamatwa. Wamedai sehemu zao za biashara ambazo walikuwa wamefungua wameziacha wazi. Bila kufuata taratibu raia hao waliwekwa mahabusu na baada ya siku tatu wakafikishwa kwenye mpaka Tanzania na Msumbiji, Kilambo mkoani Mtwara.

Miongoni mwa watanzania hao ni Ambali Ausi, Martida Mwakipesile, Mikidadi Abdallah, na Sakoma Mayamba walisema walikamatwa na kupakiwa kwenye gari na kuvushwa katika kivuko cha Kilambo, Mtwara.

Aidha mmoja kati ya watanzania waliofukuzwa aliyejulikana kwa jina la Mwakipesile alisema kuwa alikuwa ni mfanyabiashara wa chakula.

“Tulipakiwa kwenye lori na kupelelekwa kwenye kituo cha polisi cha Mtepweshi na kuwekwa ndani kwa siku tatu bila hata kula kitu chochote nikiwa na watoto wangu. Simu zetu pamoja na fedha zote walichukua, tunaiomba serikali itusaidie kutokana na unyama ambao tumefanyiwa,” alisema.

Kwa upande wake Abdallah ambaye ni mmoja waliofukuzwa pia alisema, “Hadi sasa bado hatujaelewa tatizo ni kitu gani kwa sababu asubuhi nimeamka na kwenda dukani kwangu nifungue, lakini nikakutana na askari nikafungwa pingu mkononi, nilipouliza nikajibiwa hakuna kuuliza, nikapelekwa kituoni tukafungiwa ndani kisha tukavushwa kurudi huku Tanzania.

Naibu kamishina wa uhamiaji ambaye ni afisa uhamiaji wa mkoa wa Mtwara Rose Mhagama anasema kitendo hicho kinatoa taswira mbaya kati ya nchi hizi mbili za Tanzania na Msumbiji licha ya kuwa na uhusiano mzuri na ujirani mwema.

Zari the Bosslady: Uraia wa Nillan ni Complicated Kidogo

$
0
0
Zari the Bosslady amekiri kuwa uraia wa mwanae wa kiume, Nillan uko ‘complicated’ kidogo.

Kwenye mahojiano yake na Dizzim Online, mchumba huyo wa Diamond amesema pindi tu mtoto wake amezaliwa huko nchini Afrika Kusini, alipewa uraia wa nchi hiyo.
“Yaani hiyo iki complicated because amezaliwa kule akapata immediate citizenship lakini vile amerudi nyumbani sasa hivi tutarudisha ile citizenship ya South Africa halafu atachukua ya Tanzania,” alisema Zari.
40 ya Nillan ilifanyika Jumamosi iliyopita nyumba kwa Diamond, Madale jijini Dar na kuhudhuriwa na mastaa kibao. Ni mtoto wao wa pili baada ya Tiffah mwenye mwaka mmoja na miezi kadhaa sasa. Tiffah alizaliwa Tanzania. Mtazame Hapa Akiongea:

Manji Azidi Kutikiswa,Wafanyakazi Wake 126 Wakamatwa Haraka Haraka kwa Kukosa Vibali vya Kufanya Kazi Nchini

$
0
0

Upepo Mchafu Wazidi Kumuandama Manji, Baada ya Sakata la Madawa ya Kulevya kumuandama mpaka kufikia kulazwa Hospitalini, Uhamiaji nao wamekuja na Mpya baada ya kukamata Passport 126 ofisini kwake za watu kutoka nje ambao wanafanya kazi kwenye kampuni yake bila vibali vya uhamiaji....

John Msumule ambaye ni Afisa Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam amesema, hii Kampuni ya Quality Group ipo katika jengo la Quality Center Barabara ya Nyerere kama unaelekea Uwanja wa ndege wa JNIA ni mkono wa kushoto. tumefanya kazi Ijumaa baada ya kuwekwa tu ndani yaani kesho yake jumamosi, tukapata Passport 126, Hizi ndizo zenye makosa. Tumechambua, passport 25 hawana vibali vya kufanya kazi, kwahiyo wanafanya kazi kinyume na utaratibu. Wote hawa hatua zitachukuliwa na watapelekwa Mahakamani.

Lakini lazima niseme ukweli, hawa hawatapelekwa peke yao mahakamani, lazima Yusuf Manji ambaye ndiye mwajiri wa watu hawa ambaye ndiye Mmliki wa Kampuni hii lazima afikishwe mahakamani kujibu shitaka la kuajiri watu wageni wasio na vibali. Jana tulikuwa tumkamate alale mahabusu na leo ndio tumpeleke Mahakamani, Bahati mbaya tulipokwenda kumkamata, tukaapewa taarifa kwamba amelazwa Hospitalini hadi sasa.

Mara tu atokapo, aliport ofisi hii ili tumuunganishwe kwenye kesi hii ya kuajiri watu wasio na vibali. Hatutajali ukubwa wa hela yako, hatutajali cheo chako cha mahali popote pale, hatutajali kwa njia yoyote ile una mamlaka gani katika nchi ya Tanzania.

Pichaa..Zari na Diamond Wakijiachia Kimahaba Kwenye Swimming Pool...!!!

Maneno ya Zitto Baada ya Kamishna wa Kupambana na Madawa ya Kulevya Kukabithiwa Majina 97 Bila ya Kutajwa

$
0
0
6/2/2017 nilisema Bungeni.
"Huu ni mtego wa panya, hujui utamnasa nani. Wajibu wetu ni 1) kuunga mkono na kushiriki vita dhidi ya madawa ya kulevya na 2) Kuisimamia Serikali kuhakikisha kuwa inaendesha vita hii kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi yetu".
Sasa tumerudi kwenye misingi ya sheria. Sote tupambane na tusimwonee mtu.

"He seems a great man. A man of PRINCIPLES and law abider.
Tutafata sheria ". Hilo Ndio tunataka.

Askofu Ajitokeza Kumtetea Mbowe Juu ya Issue ya Kuuza Madawa ya Kulevya..!!!

$
0
0

MWENYEKITI wa Kamati ya Kitaifa ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Viongozi wa Dini, Askofu Wiliam Mwamalanga, amesema amesikitishwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kumtaja Freeman Mbowe kuwa miongoni mwa watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Askofu Mwamalanga alisema kamati yao ilitilia shaka Bilicanas iliyokuwa inamilikiwa na Kampuni ya Mbowe Hotels, kwamba ni moja ya maeneo yanayotumiwa na wafanyabiashara wa dawa za kulevya kufanya biashara zao, lakini si mwanasiasa huyo.

Alisema ukumbi huo wa starehe kuhusishwa na biashara hiyo, haikumaanisha kwamba mmiliki wake ambaye pia ni Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anahusika.

“Sisi tulisema klabu ya Bilinacas inajihusisha na uuzaji na usambazaji wa dawa za kulevya kwa sababu walikuwa wanaingia watu mbalimbali ambao walikuwa wakiendesha shughuli hizo, lakini hatukumtaja mmiliki wake Mbowe ndiye anayejihusisha na dawa hizo,” alisema Askofu Mwamalanga.

Alisema kamati hiyo itashirikiana na Serikali ili kuhakikisha biashara ya dawa za kulevya inatokomezwa na wahusika wote wanafikishwa kwenye mikono ya sheria.

Kamati hiyo pia imempongeza Rais Dk. John Magufuli kumteua Kamishna wa Tume ya Kudhibiti Dawa za Kulevya mwenye taaluma ya kusimamia suala hilo, jambo ambalo limesaidia kutotajwa watuhumiwa hadharani badala yake wahusika waweze kuchukuliwa hatua.

ARUSHA: Askari Polisi Ashikiliwa kwa Kujihusisha na Dawa za Kulevya...!!!

$
0
0

Jeshi la polisi mkoani Arusha linawaashikilia watuhumiwa 14 na jumla ya kete 167 za madawa ya kulevya aina ya HEROIN. Mbali na watuhumiwa hao wa madawa ya kulevya misako hiyo ilifanikisha kukamata madawa ya kulevya aina ya mirungi kilogram 33 pamoja na watuhumiwa 12

Pia kamanda wa polisi ameeleza kuwa tangu kuanza mwezi huu wa pili jeshi la polisi limekuwa likifanya misako mbali mbali katika Bara Bara, mitaa na vitongoji mbali mbali ndani ya wilaya zote za mkoa huu wa Arusha ambapo jumla ya misokoto 3845 ya bangi ilipatikana na jumla ta watuhumiwa 54 walikamatwa na kufunguliwa kesi katika vituo mbali mbali vya polisi.

Kati ya watuhumiwa hao waliokamatwa na Bangi Kuna wauzaji wa madawa hayo ambapo idadi Yao Ni 40, msafirishaji mmoja na Askari mmoja kwenye namba za kijeshi F.6978 D/CPL ZAKAYO ambae nae anashikiliwa huku uchunguzi dhidi yake ukiendelea kufanyika.

Jumla ya watuhumiwa 12 wa mirungi na 14 wa heroin wote wana makosa ya kupatikana na madawa hivyo kufanya jumla ya watuhumiwa wote kufikia 80.

Video..Joti Afunga Ndoa..!!!

Mchungaji Atoa Siri Alivyojihusisha na Biashara ya Madawa ya Kulevya...

$
0
0

Mchungaji Donald Mwakisambwe wa kanisa la Kipendekoste la Kiinjili Tanzania, kwenye ofisi za gazeti hili wakati akitoa ushuhuda wa kufanya biashara haramu ya madawa ya kulevya.

Kinara wa kimataifa wa kuuza madawa ya kulevya aliyezunguka sehemu mbalimbali duniani kuuza mihadarati, ameacha biashara hiyo na sasa anahubiri Injili kupiga vita dawa hizo. Kigogo huyo Mtanzania na mzaliwa wa Mbeya, ambaye sasa anajiita kiumbe kipya katika Kristo, ni Mchungaji Macdonald Mwakisambwe wa Kanisa la Kipentekoste la Kiinjili jijini Dar es Salaam.

Akizungumza katika mahojiano maalumu na NIPASHE Jumamosi jana, Mwakisambwe alisema alianza biashara ya unga mwaka 1990 na kuifanya kwa miaka 10, akisafirisha dawa kwa maelfu ya wateja walioko Afrika, Asia, Ulaya na Amerika. Alisema katika kutimiza azma hiyo, alitumia pasi za kusafiria za mataifa mbalimbali zenye majina tofauti, zikimuonyesha kuwa ni raia wa Msumbiji, Tanzania, Kenya, Namibia, Afrika Kusini na Namibia.

Alieleza kuwa, kumiliki pasi hizo kulilenga kuficha wanausalama wasimgundue kuwa ni ‘mzungu wa unga’ aliyekuwa anasafiri nchi mbalimbali duniani ndiyo maana kila alipomaliza mzunguko aliziharibu pasi hizo . Alisema mwaka 1999, Yesu Kristo, alimtokea akiwa rumande kwenye gereza la Industrial Area jijini Nairobi, baada ya kuwasili Kenya akitokea Karachi, Pakistani akiwa na karibu kilo moja ya kete za heroin tumboni. 

Mwakisambwe alisema alipotua Nairobi, alikamatwa na maofisa wa polisi kadhaa waliomueleza kuwa ni muuza unga wa kimataifa na kuwekwa chini ya ulinzi kwenye kizuizi cha Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta. “Nilikuwa na pasi ya Msumbiji yenye jina la Danilo Silva Jalla, licha ya kwamba ni Mtanzania”,anasema.

Anaongeza kusema kuwa ili kupata pasi hizo, alibadilishwa sura halisi kwa kujiwekea ndevu za bandia, nyusi na nywele nyingi zilizompa sura tofauti na muonekano mpya kila alipouhitaji. Alisema pasi hizo zilikuwa zikitengenezwa na magenge ya wanaojihusisha na madawa hayo ambao wapo kila mahali na wamewekwa mahsusi kufanikisha usambazaji wa mihadarati kila sehemu inapohitajika. 

Alisema hata hapa Tanzania, kuna magenge hayo ya ‘mafia’ na mtandao huo unashirikiana na maofisa wa Idara ya Uhamiaji wasio waaminifu. Mchungaji Mwakisambwe alisema kupitia biashara hiyo, alijenga nyumba kadhaa zilizoko Dar es Salaam na Mbeya pia alikuwa na utajiri mkubwa wa magari ya kifahari na mengine ya kutanulia. 

Alieleza kwa kirefu jinsi dawa hizo zinavyomezwa na kusafirishwa na kukanusha madai kuwa yanaingizwa tumboni kupitia njia ya haja kubwa. Alisema yanamezwa kama vidonge vingine baada ya kufungwa ndani ya vifuko ya nailoni, kisha kuzungushiwa gundi ya karatasi ya nailoni, kuzongwa na vipande vya glovu nyepesi ambazo hufungwa kikamilifu na kuchomwa kwa moto kama pipi kifua ili kuvidhibiti visifunguke na dawa kuyeyuka tumboni. “Kete zinazomezwa zina ukubwa wa kidole gumba cha mtu mzima na hutofautiana kwa uzito, zipo zenye gramu 10 na ndogo zina gramu tano.

Ukiwa mzoefu unaweza kumeza hata 100 na kubeba pipi zenye uzito wa kilo moja. ”

Mchungaji huyo ambaye sasa anasema anachohitaji ni kuwaeleza watu kuwa Mungu hapendi biashara ya madawa na kutangaza wokovu, na kusisitiza kuwa aliyemuondoa kwenye biashara hiyo ni Yesu Kristo.

Sababu za Kitaalamu na za Kisayansi Kwanini Wanaume Waoe Wake Wengi na Waruhusiwe Kuchepuka...!!!!

$
0
0

1.Takwimu za kidunia zinaonyesha kuna idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume ,wanawake wamewazidi wanaume kwa 20%.Tukichukua ratio kila mwanaume asimame na mwanamke basi 20% ya wanawake watabaki pekee yao,je kila mwanaume aoe mwanamke mmoja hawa 20% wataolewa na kusitiriwa na nani? unakuta mwanamke ana miaka 36 yupo single siyo kwamba kapenda ila Takwimu za kidunia zimemfanya awe single.


2.Takwimu zinaonyesha wanaume ndio wanafungwa jela sana tofauti na wanawake,ukienda magereza mbali mbali na kutafuta idadi ya wafungwa basi utaona wafungwa wa kiume wapo wengi kuliko wa kike ,asilimia 90 ya wafungwa ni wanaume na 10% ni wanawake 

3.Sababu nyingine ni matukio ya vifo ni wazi kwamba wanaume wanakufa mapema na kwa wingi kuliko wanawake,idadi ya vifo ya wanaume kwenye vita ni kubwa ,Mara nyingi kwenye vita wanaume ndio hupelekwa mstari wa mbele kupigana na machafuko yote wanaume ndio hupigana na idadi kubwa ya wapiganaji hupoteza maisha pia wanaume hufa sana kwenye ajali kama za pikipiki Leo hii ukienda hospitali za muhimbili na mwananyamala na kutafuta idadi ya waliokufa kutokana na bodaboda basi asilimia kubwa ni wanaume ,ukienda migodini idadi ya watu wanaofukiwa na vifusi ni wengi,mapigano baina ya wakulima na wafugaji wanaopoteza maisha wengi ni wanaume bado hatujazungumzia wanaokufa maji kutokana na shughuli za uvuvi .Wanaume pia huongoza kuuliwa kutokana na wizi na ujambazi ,mifano tunayo mingi mamia ya watu huchomwa moto,hupigwa mpaka kufa kutokana na uporaji,ukwapuaji nk na 99% ni wanaume 

4.sababu nyingine ni ongezeko la mashoga ni wazi kwamba kwenye ulimwengu wa sasa wa utandawazi kumekuwepo na matatizo ya wanaume kugeuzwa kuwa wanawake na tumeona mataifa makubwa duniani yakipigania haki za mashoga na kumekuwa na NGOs nyingi zinazopigania haki za mashoga kama umebahatika kuona maandamano ya lgtb huko USA hakika utaona msururu wa maalfu ya wanaume mapusti yakipigania haki zao na hata huku Tanzania kuna idadi kubwa ya mashoga ukienda mitandaoni utawakuta wengi tena wengine wanajitangaza wazi,ukienda kwenye njenje,taarabu,klabu nk utakutana na wanaume wasioridhki wengi..

5.Kuna idadi kubwa ya wanaume wasiokuwa na uwezo wa kuzalisha na wana upungufu mkubwa wa nguvu za kiume,Leo hii ukipita barabarani utakutana na matangazo mengi ya kutibu nguvu za kiume,wauzaji wa mihogo mibichi wameongezeka nk,uwepo wa vyakula feki zenye sumu na mafuta mengi yamewafanya baadhi ya watu kupoteza nguvu za kiume na uwezo wa kuzalisha.

6.ongezeko ya watumiaji wa dawa ya kulevya "mateja". Hakika dunia ya leo imekumbwa na idadi kubwa ya watu wasiokuwa na mbele wala nyuma "mateja" tuchukulie mfano hapa kwetu Tanzania tumeona vijana wengi walioathiriwa na dawa za kulevya walivyopotea ,watizame mateja waliopo stendi za mabasi,mitaani walivyochoka na kudhoofika na teja siku zote hawazi mwanamke yeye mwanamke wake ni heroin na teja haoi ,kuna mateja wa aina nyingi hawa mateja matajiri tuwaache tuwazungumzie mateja wasiokuwa na pesa ambao wanashinda stendi,vibarazani,vichochoroni nk na wapo wengi sana ,

Takwimu zinasema wanawake wapo wengi kuliko wanaume duniani na shirika la utafiti duniani wamesema wanawake wamewapita wanaume kwa wingi wa 20% ,Leo hii kila mwanaume apewe msichana 1 hakika 20% ya wanawake watabaki single ..

Sasa kama wanawake wapo wengi kwa 20% kuliko wanaume ukijumlisha na ongezeko kubwa la mashoga,idadi kubwa ya vifo kwa wanaume,idadi kubwa ya wafungwa wanaume kuliko wanawake,idadi kubwa ya mateja wasiokuwa na future,idadi kubwa ya watu wasiokuwa na uwezo wa kuzalisha na wenye upungufu mkubwa wa nguvu za kiume. Hakika wanawake wengi zaidi watakosa wanaume..

kama ki idadi tu wanawake wengi wapo single kutokana na upungufu wa idadi ya wanaume, je vipi factors 5 hizo zingine si itakuwa hatari zaidi ,ongezeko ya wanawake wengi kuwa single itakuwa kubwa zaidi 

NB: ewe mwanamke ukimuona mwanaume wako anachepuka usikasirike sababu wanawake wenzako pia wanahitaji kusitiriwa sababu nature wanaume wapo wachache sana je wewe ukiwa mchoyo wenzako watapata huduma wapi na pia watakuwa single milele 

Pia nashauri wanaume tuoe wanawake wengi au tuchepuke sababu demand ya wanaume ni kubwa ,supply ni chache kutokana na scarcity ya wanaume iliyopo ..hivyo tusipo oa wengi na kuchepuka tutakuwa hatuwatendei haki wanawake

Kufanya Mapenzi: Mitindo ya Pekee Kwaajili Yake Usiku wa Leo (+18.).!!!

$
0
0

Kufanya Mapenzi

Baada ya  kuwekana sawa/tayari kwa kufanya mapenzi mlaze mpenzi wako juu ya kitanda/mkekani au kwenye sakafu (inategemea mnapenda wapi na usisahau kuwa comfortable), panua na wakati huohuo shikilia miguu kitendo kitakachofanya mapaja yake yainuke pia alafu wewe jiweke kati (rejea jinsi ya kusaga “ntili” ukiwa umepiga magoti hapo juu).

Alafu sogeza mikono yako mbele zaidi ili ushike sehemu yake ya mapaja pale ktk ili usije ukaangaka, mara baada ya kuwa kwenye “control” jisogeze mbele ili uume ukuingie ukeni na kisha anza kwenda mbele-nyuma taratibu huku na badilisha mwenda jinsi uwezavyo.

Wakati wewe unafanya hivyo yeye anatakiwa kuzunguusha kiuno (sio wanawake tu wanaotakiwa kukata viuno, wanaume pia wanatakiwa kujua kucheza ngoma ei zile za asilia……..) au hata kujisogeza huku na huku ili agonge pembe zote za uke na kuwafanya wote mfurahie mnachokifanya.

Ikifikia wakati umechoka au unakaribia kufika kunako utamu basi jaribu kufanya kama vile unamlalia…….bila kuachia miguu/mapaja yake, kufanya hivyo kutasababisha kisimi kiguse sehemu ya juu ya eneo la uume wake na kukusababishia upate ile wanaita “Double Orgasim”.

Sultan!

Ktk mkao huu mwanamke anakuwa mtendaji mkuu, mwanaume hapa anatakiwa kutulizana, kufuata maelekezo na kusogea akisogezwa,kuvutika akivutwa yaani yeye ni kufurahia utendaji wako wa mwanamke.

Jinsi ya kufanya.

Mkae mkiangaliana na wakati huohuo miguu imepanuliwa kwamba yeye atapitisha miguu yake sehemu ya kiuno na hapo mnaweza kuanza kupeana mahaba kwa kukumbatiana, pigana busu, shikana, kumbatiana, papasana na hata kuambiana yale maneno matamu ambayo ukiwa nje ya chumba ni machafu si wayajua eeh? hey yaongee ikiwa unapenda au anapenda na yanawaongezea hamasa!

Taratibu mlaze mpenzi wako chali kitandani ukiwa katika mkao ule ule kwamba uko mbele yake na umepanua miguu yako (yeye akiwa katikati), ikunje miguu yako sehemu ya magoti na nyanyua miguu yake na kuiweka kwenye mabega yako jivute kwa mbele ili mboo ikuingie vema.


Ktk mkao huu kiuno kinakwenda vema kabisa kwa vile wewe ndio mtendaji mkuu na yeye atakuwa ametulia tu akisikilizia utamu, huitaji kuharakisha au kumharakisha na badala yake chukua muda kum-pamper huku wamtomba (hey hapo mwanamke anatomba japo hahahah) pia unaweza ukabadilisha mwendo kwa kupiga nje-ndani (nenda mbele na nyuma) taratibu huku ukilamba/nyonya vidole vyake vya miguuni na anapofika kileleni mnyonye kwa kuvuta dole gumba la mguuni ili kumuongezea utamu (baadhi ya wanaume hupenda hiyo hivyo mjaribu na wako).

Spoony

Baada ya kuandaliwa unalalia ubavu kisha yeye mpenzi wako analala kwa nyuma,kisha wewe unapanua mguu ili aweze kuingiza uume kisha rudisha mguu juu ya mguu mwingine (kama ulivyokuwa) na yeye anaendelea kukufanya taratibu mpaka wote mtakaporidhika au maliza haja zenu.
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images