Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live

Tembelea Tovuti Pendwa ya ASILI ZETU inayohusiana na Masuala ya Tiba Asilia Kama Kusafisha Nyota na Kumvuta Mpenzi

$
0
0
Tembelea  tovuti  pendwa  ya ASILI ZETUinayohusiana na masuala ya tiba asilia, kusomewa dua na visomo, kusafisha nyota,  kumvuta mume au mpenzi aliyekuacha, tiba ya magonjwa mbalimbali yaliyoshindikana,  mvuto wa biashara.

Pia tunatoa dawa za uzazi kwa wale kina mama wenye matatizo ya uzazi walio angaika kwa muda mrefu bila kupata mafanikio yoyote, kupandishwa cheo kazini, mali isiyohuzika kama vile kiwanja, shamba, nyumba, gari n,k.

Bonyeza Hapa: https://asilizetu.wordpress.com

Tobaaah.. ,Kamanda Sirro Atumbua Jipu la Manji,Adai Anahusika Na..!!!

$
0
0

Hatimaye imedhibitika kuwa Mwenyekiti wa Timu ya soka ya Yanga na Mfanyabiashara mkubwa nchini Tanzania Yusuph Manji anatumia madawa ya kulevya na leo atapandishwa kizimbani kwa tuhuma hizo akiwa pamoja na watuhumiwa wengine wanaoshikiliwa kwa sakata kama hilo.

Katika Kipindi cha michezo katika redio moja nchini Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna,  Simon Sirro amethibitisha kuwa vipimo vya Mkemia Mkuu wa Serikali alivyofanyiwa Manji vinaonyesha kuwa ni Mtumiaji wa Madawa ya kulevya (Hakuyataja aina yake) na kusisitiza kuwa leo mtuhumiwa huyo atapandishiwa kizimbani kujibu shitaka hilo.

Akielezea afya yake tangu alazwe Hospitali, Kamanda Sirro amesema kuwa mwenyekiti huyo wa yanga yuko vizuri na sasa ameruhusiwa kutoka Hospitalini na kurejeshwa mahabusu polisi kusubiri kupandishwa kizimbani.

Sirro amesema kuwa habari kamili kuhusu sakata hilo na watuhumiwa wengine wakiwemo wasanii waliokamatwa zitatolewa leo mbele ya wanahabari Jijini Dar es Salaam.

Zitto Afunguka kuhusu kufungiwa kwa wimbo ‘I’m Sorry JK’ wa Nikki Mbishi

$
0
0
Wimbo mpya wa rapper Nikki Mbishi, I’m Sorry JK umefungiwa.

Uamuzi huo umekuja saa chache baada ya rapper huyo kuitwa na Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA Jumatano hii kujielezea kuhusiana na wimbo huo. Kupitia Instagram, Nikki amewaonya watu dhidi ya kuusambaza wimbo huo kwakuwa mkono wa sheria utawaangukia.

“Naomba niombe radhi kwa vyombo vyote vya habari kuwa sitoweza kuwapa ushirikiano wowote kuhusu wimbo wangu wa “I’M SORRY JK” uliositishwa na hii ni kwa usalama wao na wangu pia,” ameandika kwenye Instagram. 
“Napokea simu nyingi sana zikihitaji maelezo juu ya suala hilo ila kiukweli kwa watakaohitaji taarifa kamili wanaweza kufika ofisi za BASATA,naomba nisiwe msemaji tena juu ya jambo hili,” ameongeza.

Pia ameonya, “Kwa yeyote atakayeendelea kuusambaza au kuucheza popote pale mimi sitohusika naye maana technology iko huru popote duniani na siwezi kuzuia watu wasiupate kwa kuwa ushasambaa,hivyo chukua tahadhari ili usijikute mikononi mwa sheria. Asanteni sana,naomba msubiri ujio wangu mpya wa #SINGELI na aina nyingine za muziki kama #NAIJA #MCHIRIKU n.k.”

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameandika kwenye Facebook:
Serikali imepiga marufuku wimbo wa msanii Nikki Mbishi. Wallah nilidhani ni utani kumbe Kweli? Serikali hii inachoogopa ni nini? Dah kua uyaone.”

Wafuasi wa Steven Wassira Waendelea Kumng'ang'ania Ester Bulaya....

$
0
0
Wapigakura wanne wa Jimbo la Bunda waliofungua shauri kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita wameendelea kumng’ang’ania mbunge wa jimbo hilo, Ester Bulaya kwa kukata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu wa kutupa maombi yao.

Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, Francis Kabwe alisema jana kuwa rufaa ya wapigakura hao, Magambo Masato, Matwiga Matwiga, Janes Ezekiel na Acetic Malagila iliyosajiliwa kwa namba 199 ya mwaka 2016, itasikilizwa mfululizo kuanzia Februari 20.

Alisema rufaa hiyo itasikilizwa jijini Mwanza na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani, Salim Mbarouk, Augustine Mwarija na Shabani Lila.

Katika maombi ya msingi waliyofungua Mahakama Kuu, wapigakura hao wanaowakilishwa na Wakili Constantine Mutalemwa, wanaiomba Mahakama kutengua ushindi wa Bulaya dhidi ya aliyekuwa mgombea wa CCM, Stephen Wasira kwa madai kuwa uchaguzi wa Oktoba 25, mwaka 2015 haukuwa huru na wa haki.

Pamoja na madai mengine, Masato na wenzake wanadai kuwa mchakato wa kampeni, upigaji kura na utangazaji wa matokeo uligubikwa na ukiukwaji wa sheria na utaratibu wa uchaguzi, vikiwamo vitendo vya rushwa, msimamizi wa uchaguzi kumnyima haki Wasira kwa kukataa ombi lake la kura kuhesabiwa upya.

Hoja nyingine ni msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo bila Wasira kuwapo ukumbini na kuchanganya tarakimu za idadi ya wapigakura walioshiriki uchaguzi.

Novemba 17, mwaka jana, Jaji Noel Chocha wa Mahakama Kuu alimtangaza Bulaya kuwa mshindi halali wa uchaguzi huo baada ya kutupilia mbali maombi ya wapigakura hao.

Sijakata Tamaa Bado, Najituma Nirudi Tena NBA – Hasheem Thabeet (Video)

$
0
0
Mchezaji wa mpira wa kikapu kutoka Tanzania Hasheem Thabeet, amesema neno kukataa tamaa halipo kwenye misamiati yake na kwamba kwa alipotoka hadi akafika kucheza NBA ni baraka tele.

Thabeet ambaye hachezi tena kwenye ligi ya NBA baada ya kiwango chake kushika, alikuwa akihojiwa na CNN Ufilipino na anatajiwa kwenda kucheza kwenye mashindano Dubai baada ya kualikwa na klabu ya kikapu ya Mighty Sports ya Ufilipino.

Amedai kuwa anapoangalia mazingira aliyopitia hadi kufikia kuchezea ligi kuu ya mchezo huo Marekani , anaamini ana uwezo wa kurudi tena juu. “Ntaendelea kuendelea sababu nimeona jinsi nilivyofika kwenye hatua hiyo najua bado kuna nafasi nyingi sababu mimi bado ni kijana, nafanya kazi kwa bidii, wachezaji wenzangu wote wananipenda, hivyo naamini bado nina nafasi ya kucheza tena,” amesema.

Staa huyo amedai kuwa alichojifunza kwenye mchezo wa kikapu ni kuwa imara muda wote na kujua kuwa kuna wakati wa kushangiliwa na kuna wakati wa kupondwa. Anadai kuwa akipata nafasi ya kurudi tena NBA mashabiki watarajie kumuona Hasheem wa tofauti na kwamba anajua Tanzania nzima inamuangalia.

Akiongea kwa kujiamini Thabeet mwenye miaka 29 sasa, amemtolea mfano Dwayne Wade mwenye miaka 35 na bado yupo kwenye timu ya wachezaji wote bora wa Marekani na kwamba hata yeye umri wake bado unamruhusu kurejea kwenye ligi hiyo.

Kwa upande wa kualikwa na Mighty Sports kwenda kushiriki kwenye mashindano ya Dubai, anasema ni heshima kubwa na dunia nzima itauona uwezo wake.

TCRA Yakanusha Kurekodi Mazungumzo ya Watumiaji wa Simu

$
0
0
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewaonya watumiaji wa huduma za mawasiliano kuacha kutoa taarifa zinazowapa taharuki wananchi kuwa mamlaka hiyo imeanza kurekodi mazungumzo ya kwenye simu.

Akizungumzia ujumbe ambao unasambazwa kwenye mitandao ya kijamii, Kaimu Meneja wa Mawasiliano wa TCRA, Semu Mwakyanjala alisema ni kosa la jinai kwa mtu kueneza taarifa za uzushi zenye lengo la kuibua taharuki miongoni mwa jamii.

Mwakyanjala alisema si kweli kuwa mazungumzo ya simu yanarekodiwa na TCRA, kwani kwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria na haki ya mtumiaji wa huduma za mawasiliano.

“Mawasiliano ya simu ni masuala ya siri kati ya wahusika, sheria hairuhusu kusikiliza wala kurekodi mazungumzo, hata kama kampuni za simu zitatoa taarifa za wateja wao kwa mtu mwingine tunazichukulia hatua.
“Kama kuna suala la uvunjifu wa amani ambalo linatakiwa kufuatiliwa, basi kuna vyombo vya usalama ambavyo ndio pekee vinaruhusiwa kupewa taarifa hizo na si vinginevyo,” alieleza ofisa huyo wa TCRA.
Mwakyanjala alisisitiza kuwa maofisa wa TCRA wanafanya kazi kwenye ofisi za mamlaka hayo na si kwenye maduka au minada, na kuwa kama kuna mabadiliko au taarifa zozote, basi zitatolewa na ofisi husika itatoa taarifa.

Tangu juzi kumekuwa na ujumbe ambao umekuwa ukitumwa kwenye mtandao wa WhatsApp ikimnukuu mtu anayedai kukutana na ofisa wa TCRA wakiwa dukani na alimwambia kuanzia sasa simu zote zitarekodiwa hivyo wajihadhari na kuzungumza mambo ya uzushi ya watu wa serikalini au mambo yanayohusu siasa.

Ujumbe huo pia umezidi kueleza kuwa ili kujua simu inarekodiwa basi utasikia milio tofauti tofauti kabla ya simu kuanza kuita.

Kutana na Maalim Hussein Mtabibu wa Nyota za Binadamu Africa na Dunia Nzima,

$
0
0

Kutana na Maalim Hussein Mtabibu wa nyota za binadamu Africa na dunia nzima,
Anatoa TIBA MAENEO YOTE NCHINI, KWA WALE WENYE KUHITAJI TIBA ANATIBU YAFUATAYO,
Husafisha nyota na kutoa Pete za bahati na kwa wale walia sumbuka kwaajili ya matiba na hawakufanikiwa njoo ujionee muujiza wa papo kwa papo-humpa mtu jini la mali kwa yule anaetaka kumiliki mali bila masharti yoyote,
Anatibu magonjwa yalio shindikana-Mpenzi/MUME/MKE Aliekukimbia Anakurudishia Ndani ya saa 72 tu, Pia tunatoa dawa za Nguvu za KIUME na Kurefusha kwa saizi unayo Taka-Anatoa Dawa za BIASHARA NA MVUTO-Tunatoa Dawa za Uzazi kwa kina Mama kwa wale wenye Tatizo Sugu-Anatoa Zindiko ya Nyumba,Mwili, na Mvuto kazini- Tunamaliza kesi zilizo kaa muda Mrefu bila kumalizika, Tung'arisha Nyota na Cheo kazini. Tunarudisha Mali zilizopotea au Kuibiwa na Mengine Mengi ya Siri tuwasiliane kwa Simu-Whatsapp +255674835107
+255 629254849

Breaking News: Serikali imevifuta Vituo vyote vya huduma za Afya ya VVU Na Ukimwi

$
0
0
Serikali kupitia Wizara Ya Afya imevifuta Vituo vyote vinavyotoa huduma za Afya ya VVU Na Ukimwi kwa Makundi Maalum baada ya kubainika kwamba Vituo hivyo vinahusika na kuhamasisha Mapenzi ya Jinsia Moja na Ushoga.

Diva Adai Hawezi Kutoka na Mwanaume Ambaye Hajui Kuongea Kingereza

$
0
0
Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva The Bosslady amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kudate na mwanaume ambaye hajui kuongea kingereza kwa kuwa yeye katika maisha yake huongea kingereza zaidi kuliko kiswahili.

Akiongea na waandishi wiki hii, Diva amedai wanaume ambao amewahi kutokana nao wanazungumza lugha hiyo ambayo amedai inamvutia sana.

“Sipendi mwanaume ambaye hajui kingereza, napenda kudate na mwanaume ambaye anajua kingereza,” alisema Diva. “Yaani imetulia na inapendeza kwa sababu siyo local local, wapo ambao waliwahi kunitokea lakini baada ya kujua hawajui kingereza nikawatosa,”

Alisema wanaume wake wengi anakutana nao kwa mara ya kwanza kupitia kipindi chake cha Ala za Roho kwa kuwa ndio sehemu ambayo atakutana na watu mbalimbali.

Mtangazaji huyo ambaye pia ni muimbaji wa muziki kwa sasa anatoka kimapenzi na muimbaji ‘Heri Muziki’.

Wanaelekea Kumpata...Masogange Apelekwa kupimwa Damu Kubaini Iwapo Anatumia Madawa ya Kulevya Ama Lah..!!!

$
0
0

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Simon Sirro amesema mtuhumiwa Agness Gerald, maarufu Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuchukua vipimo vya damu ili kubaini kama anatumia dawa za kulevya.

Masogange ambaye ni mrembo maarufu anayetamba katika video za wasanii mbalimbali wa bongo fleva alikamatwa na polisi juzi.

Kamishna Sirro amewaambia wanahabari leo kuwa Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kwamba majibu yakipatikana kesho atafikishwa mahakamani

"Tunamchunguza Masogange katika mambo matatu ili kujua kama anauza , anatumia au anasafirisha dawa za kulevya, " amesema Kamishna Sirro.

Katika hatua nyingine, Kamishna Sirro amesema watuhumiwa 349 wamekamatwa kwenye operesheni ya kupambana na dawa za kulevya iliyoanza Februari Mosi mwaka huu.

Video..Makonda Amagiwa Maji Clouds Fm

Manji Atoka Selo na Kurejea Uraini Kwa Masharti Haya

$
0
0

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji ameachiwa kwa dhamana ya shilingi milioni 10. Manji alipandishwa kizimbani leo kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa shtaka la kutumia dawa za kulevya.


Manji amedhaminiwa na Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa. Kabla ya hapo mfanyabiashara huyo alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya Muhimbili kutokana na matatizo ya moyo yaliyompata baada ya kushikiliwa kwenye kituo kikuu cha polisi Central.

Imefichuka,Kumbe Wasumbiji Wanawafukuza Watanzania Nchini Kwao kwa Sababu Hizi,Ikiwemo Umbeya na Majungu..!!!

$
0
0

Mara baada ya kupata taarifa za Watanzania wenzetu ' kufurumushwa ' nchini Msumbiji niliweza kufanya mazungumzo na Mtanzania mmoja aitwae Bwana Hamidu ni Mfanyabiashara mkubwa kati ya Tanzania, Msumbiji na Afrika ya Kusini na kwa Wale Watanzania muishio Afrika ya Kusini hasa mji wa Cape Town kati ya Mtaa wa Mowbry na Randebosch mtakuwa mnamjua sana huyu Hamidu na amewahi pia kuishi mno Kibiashara nchini Msumbiji.

Mazungumzo yangu na Kaka Hamidu yalilenga hasa katika kutaka kujua nini ' Kiini ' cha kilichowakuta Ndugu zetu Watanzania huko ugenini nchini Msumbiji na ndipo akaniambia sababu kadhaa ambazo naziweka hapa Kwenu ili mzijue na ikiwezekana tuzijadili.

Na ikumbukwe nimesukumwa pia kulifuatilia hili suala hasa kwa kuangali Uhusiano mzuri katika tena wa Kindugu ambao uliwekwa vizuri kabisa na Waasisi wa nchi zetu hizi mbili Hayati Mwalimu Nyerere na mwenzake Hayati Samora Machael.

Bwana Hamidu alisema kuwa vinavyotugharimu Watanzania hasa tuwapo ugenini na ndivyo pia vimewagharimu wenzetu waliokuwa nchini Msumbiji ni vifuatavyo:

Uwizi uliotukuka na hasa wa Simu na Magari, Matusi na kuwadharau Wazawa.

Uuzaji uliotukuka kabisa wa Dawa za Kulevya na hasa hasa Bangi / Bange.

Kuendekeza ' ushirikina ' wetu tuliotoka nao Tanzania na kuwaroga Wenyeji bila huruma.

Kutopenda kufanya Kazi na kuishi kwa ' kuomba omba ' sana hadi wametuchoka.

Umalaya na hapa hakuficha akasema kuwa Wanaume wa Kitanzania wanapenda sana ' kuwabandulia ' Wasumbiji wake zao na Wanawake wa Kitanzania ni ' maarufu ' kwa kupenda ' kubanduana ' na Wanaume wa Msumbiji.

Majungu. Hapa alisema kuwa Watanzania wakiwa wanatafuta Kazi au wawapo Kazini huku hupenda mno kuwapiga ' Majungu ' wazawa kwa Matajiri ili wafukuzwe Kazi kisha wabakizwe wao na ambapo na Wao pia huwaleta Ndugu zao wengi kutoka nchini Tanzania.

Utapeli uliotukuka kwa wanaowafanyia Wazawa wananchi wa Msumbiji. Na katika hili Bwana Hamidu alisema kuwa si jambo geni uwapo nchini Msumbiji kumsikia Mtanzania uliyemjua tokea huku huku Bongo akiitwa Kassim lakini huyo huyo ukikutana nae Maputo huko anaitwa George na ukibahatika tena kukutana nae mji wa Cabo Delgado utasikia anaitwa Benjamin na wamekuwa wakiwatapeli Wasumbiji huku wakihama hama miji ili kujificha na wasijulikane na waweze kufanikisha wanachokitaka na maisha yanaendelea.

Wandugu hizo ndizo sababu ambazo Mmoja wa Watanzania ambaye ameishi sana huko Bwana Hamidu amenipa na kasema kuwa hakuna Watu ' Wavumilivu ' kama Wasumbiji ila kwa vitendo hivyo saba ( 7 ) nilivyoviorodhesha hapo uvumilivu wao Kwetu Watanzania umewashinda na kama ' mbwai mbwai ' tu.

Naomba kuwasilisha na nimshukuru tu Bwana Hamidu wa Cape Town Afrika ya Kusini kwa ushirikiano wake mkubwa juu ya kunifunulia nini hasa kiini cha tatizo la Watanzania wenzetu ' kufurumushwa ' nchini Msumbiji.

Video..Hivi Ndivyo Watanzania Wanavyofanyiwa Unyama Msumbiji...!!!

Baada ya Kuona Kila Sehemu ni Ovyo,Chadema Waufufua UKUTA rasmi..!!!

$
0
0

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa huu ni wakati muafaka wa kuendeleza maazimio ya Ukuta kwa sababu waliyoyatabiri ndiyo yanayotokea sasa.

Akizungumza na waandishi wa habari makamu mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Abdallah Safari amesema lengo la ukuta lilikuwa endelevu nz lenye lengo la kukemea udikteta nyemelezi.

Alisema yale yaliyokuwa yakipingwa ndiyo yanajitokeza sasa, hivyo ni wakati wa kuuamsha kwa nguvu moja.

Video..Ray C Afunguka Mazito Juu ya Madawa ya kulevya,Atoa Kauli kwa Makonda..!!

Ehe,Nay wa Mitego Vipi Jamani..?Eti Anataka Kujenga Kanisa ili Awe Bilionea kwa Pesa za Sadaka..!!!

$
0
0

Msanii wa muziki Nay wa Mitego amesema kuwa ana mpango wa kumiliki kanisa siku za usoni kwa kuwa anaamini kwa sasa dini ndiyo biashara inayolipa zaidi ndani ya nchi na Afrika kwa ujumla.

Kauli hii imetoka kinywani mwa Nay wakati akijibu maswali ya mashabiki kupitia kipindi cha KIKAANGONI

Amesema kuwa kuwa yeye anatarajia kuwa mmiliki wa kanisa la imani anayoiamini yeye menyewe na kuongeza kuwa hiyo ni biashara inayolipa zaidi kwa sasa.

"Broo wewe kama una kiwanja chako jenga kanisa ni biashara inayolipa sana. Mimi natarajia siku za karibuni nitakuwa mmiliki wa kanisa kwa dini ninayoiamini mimi. Sitakuwa mchungaji lakini nitakuwa mmiliki wa kanisa" Nay aliwaeleza watazamaji wa KIKAANGONI.

Nay 'The true boy' ameongeza kwamba  katika orodha ya matajiri kwa sasa barani Afrika ni viongozi na wamiliki wa makanisa.

Mzee wa Upako Aibuka Tena,Safari Hii Aja na Mpya Kuhusu Magari..!!!

$
0
0

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo-Kibangu jijini Dar es Salaam, Anthony Lusekelo 'Mzee wa Upako' amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye anapenda sana magari na katika magari hayo yeye anapendelea zaidi magari makubwa makubwa. 

Akiongea kwenye kipindi cha KIKAANGONI , Mzee wa Upako alisema kuwa hapendi kabisa "vigari vidogo vidogo" na kudai kuna gari hawezi kabisa kuendesha.

"Mimi napenda sana magari mazuri mazuri kwa sasa natumia gari aina ya V8 Land Cruiser ile kubwa kabisa. Napenda gari kubwa Benz, BMW, Land Cruiser zile kubwa kabisa hizi ndiyo gari nazopenda sana kwa hiyo hizo zingine inategemea naweza kuendesha maana wakati mwingine unaangalia na hali kama hali ikiwa mbaya basi unatembelea hata bajaji ila mimi napenda magari makubwa" alisisitiza Mzee wa Upako 

Pia hakusita kutaja aina ya gari ambayo hawezi kuendesha kuwa ni Vits "Kuendesha Vits hata siku moja siwezi, hivi vigari vidogo vidogo hivi hapana sitaki, yaani sipendi"

Mbunge Afichua Kiini cha Ugomvi Wao na Makonda..!!!

$
0
0

Baada ya kuwepo kwa dhana ya huenda wabunge wanapingana na vita dhidi ya dawa za kulevya iliyoasisiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, mmoja kati ya wabunge wa bunge hilo ameibuka na kutoa ufafanuzi kuwa dhana hiyo siyo ya kweli.

Mbunge huyo ni Elibariki Kingu, wa Singida Magharibi, ambaye alikuwa kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, cha EA Radio ambapo amesema kuwa wabunge wote kwa ujumla wanaunga mkono vita hiyo, lakini hawakubaliani na njia anayoitumia Makonda ya kutaja majina ya watu hadharani bila kuwa na ushahidi wa kutosha.

Pia Kingu amesema suala lingine ambalo ndilo lililowakwaza wabunge ni kauli iliyotolewa na makonda inayoonesha dharau na kushusha hadhi ya Bunge.

Pia ametumia nafasi hiyo kumpongeza Rais Magufuli kwa uteuzi alioufanya wa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya, Dkt. Rogers Sianga, huku akimshauri kushulikia majina ya wote waliotajwa.

Hii Ndio Jumla ya Nyumba Anazomiliki Nay wa Mitego na Thamani Yake...!!!!

$
0
0

Baada ya kufanya vizuri na hit songs kadhaa zilizompelekea kufanya shows nyingi hatimaye mkali huyo wa kujiamini katika game ya Bongo Flava Elibariki Munisi maarufu kama Nay wa Mitego ameyaweka wazi mafanikio yake aliyoyapata kupitia muziki wake.

Nay aliyasema hayo hivi karibuni nilipozungumza naye kwa kunifungukia idadi ya nyumba tatu anazomiliki zenye jumla ya thamani zaidi ya milioni 400 na magari matatu ya kutembelea yenye jumla ya thamani ya milioni 110.

Aidha Nay alimalizia kwa kusema kuwa umiliki wake wa mali hizo kushawahi kumletea matatizo mara kadhaa mpaka kumpelekea kutoa nafasi kwa mwenye wasiwasi na mali zake basi amfate amuulize.
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live




Latest Images