Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Kimenukaaa...Madaktari Wacharuka, Wamtangaza DC Kilwa Kuwa Adui Yao Namba Moja....!!!!

$
0
0

Chama cha Madaktari (Mat) kimewataka viongozi wa serikali, hasa wakuu wa mikoa na wilaya kuacha kuwadhalilisha watumishi wa umma na kumtangaza mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Christopher Ngubiagai kuwa adui namba moja wa afya.

Mat pia imemtaka mkuu huyo wa wilaya kuomba radhi madaktari kutokana na kitendo chake cha kumuweka mbaroni Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Dk Vitalis Katalyeba baada ya kumuona mkutanoni wakati aliagiza asimamishwe kazi kwa kutuhumiwa kuchelewesha gari la kumpeleka mgonjwa hospitali na kusababisha kifo chake.

Chama hicho pia kimewanyooshea kidole wateule wengine wawili wa Rais; mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na Dk Rehema Nchimbi wa Mkoa wa Singida.

Rais wa chama hicho, Dk Obadia Nyongole alisema katika siku za hivi karibuni viongozi wengi wamejisahau na wanafanya vitendo vinavyokiuka haki na wajibu wa kada hiyo muhimu kwa afya za wananchi.

“Kitendo cha mkuu huyu wa wilaya (Ngubiagai) kinadhalilisha na kupunguza morali wa madaktari. Tuna shaka na uwezo wake,” alisema Dk Nyongole.

Kwa mtazamo wao, Mat inasema vitendo vya viongozi wa umma hasa wakuu wa wilaya au mikoa kuwanyanyasa madaktari na wafanyakazi vimekuwa vikiongezeka na vinafanywa ili kutafuta umaarufu wa kisiasa.

Alisema vitendo hivyo vinadhalilisha taaluma hiyo na kuwakatisha tamaa wanafunzi wanaosomea uganga waliopo vyuoni kwa sasa.

Ngubiagai aliagiza kukamatwa na kuwekwa mahabusu kwa Dk Katalyeba baada ya kubaini kuwa hakuwa na barua ya kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi kama alivyoagiza awali.

Ngubiagai aliagiza Dk Katalyeba asimamishwe kazi baada ya kupokea malalamiko ya wananchi na wauguzi kuwa alichelewa kupeleka gari la wagonjwa kituo cha afya cha Tingi baada ya kupigiwa simu saa 4:00 asubuhi badala yake kulipeleka saa 10:00 jioni.

Muuguzi mmoja wa kituo hicho, ambaye alidai kumpigia simu Dk Katalyeba, alisema mganga huyo alimkatia simu na alipotuma gari mtoto huyo alikuwa ameshafariki, ndipo mkuu huyo wa wilaya alipoagiza asimamishwe kazi na kuchunguzwa, lakini mkurugenzi wa wilaya hakutekeleza maagizo hayo.

Akifafanua tukio lililotokea wilayani Kilwa, Dk Nyongole alisema aliyetakiwa kuipeleka barua hiyo kwa mkuu wa wilaya ni mkurugenzi na si mganga mkuu wa wilaya kama ambavyo Ngubiagai aliegemea wakati akifanya uamuzi aliouchukua mbele ya wafanyakazi wengine walio chini ya Dk Katalyeba.

“Inafahamika, mkurugenzi wa wilaya ndiye aliyepaswa kumpa mkuu wa wilaya barua ya kumsimamisha kazi daktari. Hii inatia shaka juu ya uweledi na uwezo wa Ngubiagai katika nafasi aliyopo. Tunaishauri mamlaka ya uteuzi kuangalia upya uteuzi wake,” alisema Dk Nyongole.

Mat inamtaka mkuu huyo wa wilaya kujitathmini kama anafaa kuendelea kuwahudumia Watanzania kwa nafasi hiyo.

Askofu Gwajima: Mimi ni Mashine ya Kukoboa na Kusaga

$
0
0


Dar es Salaam.Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema yeye ni sawa na mashine ya kusaga na kukoboa ambayo ukiweka miguu unageuka sembe.                      

Gwajima amesema hayo leo asubuhi katika ibada inayoendelea kanisani kwake hivi sasa akieleza kuwa, "Baba wa familia amechokozwa kuwa anavuta unga watoto wamechachamaa wanataka baba ampige adui yake, nitaendelea kupiga bila kuogopa chochote."                  

"Watu wananiambia niache kumpiga mbona hawakumwambia yeye aache kunipiga, nitampiga tu na bado kazi inaendelea."

Ni Muhimu Makonda Amalize Utata Huu..!!!

$
0
0

Wakati Rais John Magufuli alipoteua wakurugenzi wa majiji, manispaa na halmashauri kuliibuka maneno mengi, hasa mitandaoni kuwa mmoja wa watu walioteuliwa hana elimu ya kutosha kustahimili kazi hiyo.

Maneno hayo yalifikia hatua ya watu kusema kuwa mtu huyo amesomea masuala ya hoteli. Ilikuwa bahati kwamba walioteuliwa wakati huo walitakiwa wahakikiwe elimu yao kabla ya kuapishwa.

Kabla ya kula kiapo cha maadili ya uongozi, Rais Magufuli alizungumzia suala hilo na baadaye kumtaka mtu aliyetuhumiwa kuwa hana elimu ya kutosha, aonyeshe hadharani cheti chake na alifanya hivyo.

Huo ulikuwa mwisho wa maneno dhidi ya mteule huyo.

Rais Magufuli alilimaliza suala hilo kirahisi kwa kuwa elimu si kitu cha kuficha kutokana na ukweli kuwa mtu hupata elimu hadharani na huwa pamoja na watu wengine wengi, kama walimu na wanafunzi wenzake ambao huwa kama mashuhuda kuwa alipata elimu na kumaliza kama ilivyotakiwa.

Hivi sasa kuna maneno mengi kwenye vyombo vya habari hasa mitandaoni kuhusu kile kinachodaiwa kuwa ni utata wa elimu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Mengi yameshaandikwa dhidi yake kuhusu elimu yake na hata tuhuma kuhusu jina analotumia kuwa si lake. Tunajua kuwa Makonda ana haki ya kujibu au kutojibu tuhuma hizo kutokana na ukweli kwamba kwanza ni faragha yake, na pili kama alisoma inajulikana dhahiri na kama hakusoma hawezi kuficha hilo kwa kuwa litajulikana tu.

Lakini, Makonda ni kiongozi wa umma ambaye hatakiwi kuwa na tuhuma zinazoweza kufanya watu anaowaongoza wapoteze imani naye.

Ni kweli yamesemwa mengi dhidi yake na ambayo hatungependa ajitokeze kuyazungumzia. Lakini hili la elimu liko wazi na ni jepesi kulijibu kuliko mengine mengi ambayo hata akitoa majibu sahihi vipi, bado yataacha maswali.

Isitoshe, suala la elimu halina uhusiano na wadhifa wake kwa kuwa Rais hutumia vigezo tofauti kuteua wakuu wa mikoa. Kwa hiyo, awe na elimu au asiwe na elimu, ukuu wa mkoa uko palepale.

Lakini, kwa kuwa suala lake la elimu linazungumzwa kwa jinsi ambayo inatia shaka, basi Makonda hana budi kujitokeza na kuweka hadharani elimu yake ili liishe na kuruhusu mambo mengine yaendelee.

Ni kweli kwamba inawezekana suala hilo limeanzishwa kwa sababu amegusa watu katika kampeni aliyoianzisha ya kupambana na watumiaji na wafanyabiashara ya dawa za kulevya, lakini hilo haliwezi kumfanya apuuzie tuhuma zinazohusu utata wa elimu yake.

Kuweka bayana suala la utata wa elimu yake, kutawanyamazisha hao waliomteua na zaidi kutawafanya wananchi watambue kuwa kumbe maneno yote hayo yanatokana na kugusa watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya.

Pia, kama mteule wa Rais, ni lazima Makonda aiondolee mzigo mamlaka iliyomteua kwa kuondoa utata huo. Wakati Rais alipokuwa anazungumzia maneno ya watu dhidi ya mteule wa nafasi ya ukurugenzi wa wilaya, aliweka bayana kuwa hao wanaosema hayo wanadhani ofisi yake haifanyi uchunguzi wa kutosha kabla ya kutangaza wateule.

Kuthibitisha kuwa ofisi yake ilifanya uchunguzi, alimtaka aonyeshe cheti chake juu na kuita wapiga picha wachukue tukio hilo. Rais aliona umuhimu huo kwa kuwa alijua tuhuma hizo zilikuwa zikielekea kuionyesha kuwa ofisi yake haifanyi tathmini ya kutosha kabla ya kuteua.

Hatudhani kama Rais atakuwa akifanya kazi hii kwa kila mteule wake. Kwa hiyo, ni vizuri kwa Makonda kuchukua jukumu hilo na kuiondolea mzigo mamlaka iliyomteua.

Askofu Gwajima - Nitaendelea Kumshambulia Makonda Hadi Akome,Siogopi Chochote..!!!!

$
0
0

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema yeye ni sawa na mashine ya kusaga na kukoboa ambayo ukiweka miguu unageuka sembe.                       

Gwajima amesema hayo leo asubuhi katika ibada inayoendelea kanisani kwake hivi sasa akieleza kuwa, "Baba wa familia amechokozwa kuwa anavuta unga watoto wamechachamaa wanataka baba ampige adui yake, nitaendelea kupiga bila kuogopa chochote."                   

"Watu wananiambia niache kumpiga mbona hawakumwambia yeye aache kunipiga, nitampiga tu na bado kazi inaendelea."

Sababu za Hispania Kuteua Waziri Anayeshughulika na Mapenzi...!!!

$
0
0

Moja ya habari iliyomake headline kwenye vyombo vya habari vya kimataifa ni pamoja na hii iliyotokea Hispania ambapo Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mariano Rajoy amethibitisha uteuzi wa Edelmira Barreira kuwa Waziri wa mapenzi.

Sababu zilizotajwa ni pamoja na hofu waliyonayo wanasiasa juu ya idadi ya watu inayoendelea kupungua tena kwa kasi ya kutisha.

Sababu nyingine iliyotajwa ni kuwa wanandoa
wanashiriki mipango ya uzazi pia hawana nafasi na wapenzi wao, hii inatajwa ndio imesababisha idadi ya watoto wanaozaliwa kupungua sana.

Aidha takwimu za hivi karibuni zimeitaja Hispania kama moja wapo ya mataifa yanayoongoza kwa kupungua kwa idadi ya watoto wanaozaliwa.

Waziri wa elimu wa nchi hiyo hivi karibuni aliwasilisha ripoti yake kwa serikali kwa baraza la mawaziri akilalamika kwamba madarasa ya shule hayana idadi ya kutosha ya watoto na akaonya
kwamba huenda ikaathiri Spain kiuchumi katika
miaka ijayo.

Katika kushughulikia ishu hiyo kwa haraka Waziri mkuu wa taifa hilo Mariano Rajoy amemteua Edelmira Barreira kuwa waziri anayeshughulikia mapenzi. Kazi kubwa ya waziri huyo mpya ni kuja na mbinu za mikakati ya kuwahamasisha na
kuuchochea umma kurudi vitandani na kusaidia
kutengeneza watoto ili kuijaza tena Hispania.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi Ameandika Ujumbe Huu wa Kimahaba Instagram..!!!

$
0
0

KWA maneno yaliyo jaa mahaba Mkuu wa Wilaya ya Kinondini Mkoani Dar es salaam Ali Hapi, amemsifia mkewe kwa kumvumilia kipindi chote akiwa katika utendaji wa kulitumikia taifa.

Aidha Hapi ameonesha wazi jinsi gani anampenda na kumuheshimu mkewe ambaye yeye anaamini kuwa uwepo wa mkewe unatija kubwa sana katika kuyakamilisha majukumu yake kifamilia na kitaifa pia.

“Pale unapokua umetimiza malengo na kumshukuru Mungu. Asante malkia wangu kipenzi kwa kunivumilia.” alimaliza Hapi

Simulizi ya Kweli ya Mtanzania Aliyejiunga na Freemason na Kupewa Cheo Kikubwa Afrika Mashariki,Afichua Siri Zao na Jinsi Wanavyofanya Ibada Zao...!!!!

$
0
0

KWA UFUPI

Ni Mtanzania Jayantilal Keshavji Chande, maarufu zaidi kwa jina la Sir Andy Chande, ameeleza namna alivyokua kutoka kwenye familia ya kawaida hadi kuwa kiongozi wa Freemason Afrika 
Mashariki


Dar es Salaam. Wamekuwa wakitajwa kwenye kila aina ya minong'ono. Tumeona matangazo yakialika watu kujiunga nao kama wanataka kupata utajiri na kuwa watu wenye nguvu. Lakini bado Freemason, imebaki kuwa kitendawili miongoni mwa Watanzania wengi.

Leo tunakuletea habari kuhusu Mtanzania maarufu aliyefungua kinywa na kueleza namna alivyojiunga na Freemasons, kundi lililo kongwe duniani.

Tayari watu mbalimbali watu wenye hamu ya kupata utajiri wamekuwa wakitoa ushuhuda kuhusu kundi hilo na kusikika kwenye vyombo vya habari, hasa baada ya kifo cha mwingizaji nyota, Stephen Kanumba, mwaka 2012.

Siyo hivyo tu, bali kumeibuka pia matangazo yenye namba za simu yanayoshuhudiwa kwenye nguzo za simu mitaani hadi vichochoroni yakiwataka watu wanaotaka kujiunga na Freemason kupiga simu ili wapewe utaratibu wa namna ya kujiunga kwenye ‘kisima hicho cha mafanikio'.

Baadhi ya watu tayari wameshanaswa na mtego huo, huku wengine wakiendelea kujaribu bahati yao kujipatia utajiri kwa njia ya ‘nguvu za giza'.

Hata hivyo Jayantilal Keshavji Chande, maarufu zaidi nchini kwa jina Sir Andy Chande, aliyejiunga na Freemason Oktoba 25, 1954 baada ya kupita kwenye usaili mzito, anaeleza namna alivyoibuka kutoka familia ya kawaida hadi kuwa kiongozi wa Freemason Afrika Mashariki.

Sir Andy Chande, ambaye amekuwa mwanachama wa kundi hili kwa karibu miongo sita sasa, anaeleza namna alivyosajiliwa na kufikia hatua ya juu ndani ya kundi hilo.

Chande alizaliwa Mombasa Kenya, Mei 7, 1928, ingawa wazazi wake walikuwa wakiishi Bukene mjini, mkoani Tabora, magharibi mwa Tanzania.

Katika kufafanua utaratibu mzima wa Freemason, Chande ameandika kitabu alichokiita; ‘A night in Africa-a journey from Bukene' (Usiku wa Afrika-Safari kutoka Bukene), pengine akitaka kuweka sawa dhana na kuondoa tofauti ili misingi inayoendesha Freemason ifahamike.

Imani ya kimaadili na thamani ya kundi hilo ilianza wakati wa mazungumzo yake na Messrs Campbell Ritchie na McLean mwanzoni mwa miaka ya 1950.

"Katika kipindi kile nilianza kutambua kuwa Freemason ipo katika msingi wake. Ni sayansi ya maisha ambayo malengo yake ni kumbadilisha mtu kiimani na kumfanya awe anavyopaswa kuwa. Ni mabadiliko ya mtu binafsi," Sir Andy Chande ameandika katika kitabu chake chenye kurasa 207.

Anasema kuwa malengo ya Freemason yamefunikwa na mafumbo, ambayo pengine ndiyo yanayoeleza utamaduni uliojificha katika utendaji kazi wake. Chande anabainisha kuwa kanuni kubwa tatu za Freemason ziliandikwa kwenye kitabu kimoja nchini Canada, kilichochapishwa na Kampuni ya Penumbra Press.
Anaandika: "Kwa hiyo, ukiwa kwenye ngazi ya kwanza (first degree), kanuni inayoongoza, inamtaka mtu awe mkweli na mwenye maadili ambayo hasa Freemason inalenga kuyaweka kwenye akili, ili mwanachama awe mzuri.

Ngazi ya pili ya utaratibu inatilia mkazo kwenye vipaji na akili kupitia sanaa na sayansi, ili kutoa mchango mzuri iwezekanavyo kwenye maisha."

Anafafanua kuwa ngazi ya tatu inampa mtu nafasi ya kutafakari uwepo wake kwa kina na kwamba kanuni zote tatu zinafahamika kama upendo wa kindugu, kujiweka huru na ukweli.

"Kwa njia hizi inamaanisha, unafundishwa namna ya kuyafurahia maisha kwa kiwango chake cha juu. Kwa kufuata hizo kanuni tatu za upendo wa kindugu, kujiweka huru na ukweli, wakati huohuo ukijitambua na kuanza kujiandaa na kutokwepeka kwa kifo," anaandika Chande.

Anaongeza kuwa, wakati kanuni hizo tatu zinapoondolewa kwenye alama ya sanaa inayofunika imani ya Freemason, ambazo zilimpa udadisi wa kupata taarifa kuhusu utaratibu huo wa kale.

Sir Andy Chande ni Kiongozi wa Freemason Afrika Mashariki.

Kanuni za Freemason zinafundisha nini?

Katika ratiba ya Freemason, anaandika Chande akieleza kuwa, kanuni ya upendo wa kindugu inawafundisha ndugu wote kuwachukulia wanadamu wote kama familia moja iliyoumbwa na nafsi moja kuu.

"Kujiweka huru, vilevile, inaleta ujumbe nilioupata kutoka kwa baba yangu, aliyesema ni kuwekwa huru kwa mtu mwenye msongo. Kama ni kuwekwa huru kutoka kwenye umaskini, matatizo au akili isiyo na furaha," anaandika Chande katika kitabu hicho.

Anafafanua kuwa ngazi ya tatu ambayo ni ukweli na pengine ndiyo muhimu zaidi ni mchango wa kimungu kwa mwanachama wa Freemason.

Anabainisha kuwa kipindi hicho ndicho kinachoheshimika kama njia ya matazamio na marekebisho na kama inawezekana, kurudiwa kwa kanuni hizo kama msingi wa kuelekea kanuni kuu nne alizozitaja kuwa ni; udhibiti binafsi, nguvu, umakini na haki.Chande anaeleza kuwa Freemason siyo kifaa cha dini, pia siyo mpinzani wa dini, lakini inakaribisha watu wote bila kujali dini zao na haijaribu kubadilisha imani zao au kushawishi kuabudu kwao.

"Inajaribu tu kuwafanya watu kuwa wema," anaandika Sir Chande akifafanua:

"Hii ndiyo dunia niliyoingizwa mwaka 1954, imekuwa na mchango mkubwa katika maisha yangu tangu wakati huo…: Roho yangu, akili yangu na nafsi yangu, vimetajirishwa na kushiriki kwangu Freemason

Gigy Money Atapeliwa Mtandaoni...!!!!!!!!!

$
0
0

BAADA ya kuhakiwa akaunti yake Instagram, Msanii wa kuuza nyago kwenye Video Queen wa Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’, ameendelea kutapeliwa na vijana  wataalamu wa mtandao ambao wanatengeneza akaunti zenye majina yake na kuvuta baadhi ya mikwanja kwa kutumia jina lake.

“Kuna account imefunguliwa eti ina jina la @gigy_pesa, hiyo account siyo yangu. Account yangu ni hii @gigy_money baada ya ku hack ile nyingine. Hiyo ya @gigy_pesa ni matapeli, kuwa nao mbali” alimaliza Gigy

Makonda Afunguka Mapya Vita Dawa za Kulevya...!!!

$
0
0

MKUU  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kelele zinazoendelea dhidi yake ni dalili za mafanikio katika vita dhidi ya dawa za kulevya.

Makonda ameyasema hayo jana alipokuwa mgeni rasmi katika tamasha la Twendezetu Kigamboni lililofanyika Kigamboni jijini Dar es Salaam ambako alisisitiza kwamba mapambano dhidi ya dawa za kulevya ni vita vya ya kufa au kupona.

“Mfahamu kuwa tunapambana kati ya mauti na uzima, kelele na mwangwi unaoendelea sasa ni dalili njema kwamba tunaendelea kunyooka,” amesema Makonda.

Makonda alisema Dar es Salaam ya sasa anaifananisha na chuma kilichopinda na sasa kiko katika hatua ya kunyooka hivyo lazima zitokee kelele nyingi kama ambavyo zinaendelea sasa.

“Huwezi kufanya kazi ya kunyoosha chuma bila kusikia mwangi, kelele na maumivu kwa sababu kazi ya kukomboa vijana dhidi ya dawa za kulevya si rahisi,” alisema Makonda.

Tamasha hilo lilihudhuriwa na vingozi wengine wa serikali akiwemo  Mbunge wa Jimbo hilo, Dk Faustine Ndungulile, Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Rahel Mhando na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo.

Robert Mugabe Ndiye Kiongozi Mzee Zaidi Duniani, Mzee Mwinyi ni wa 42 Waliostaafu...!!!!

$
0
0


KWA viongozi wazee zaidi duniani walioko madarakani, Rais Robert Gabriel Mugabe wa Zimbabwe, anaongoza orodha hiyo akiwa na umri wa miaka 93 na siku 12 leo, akiwa ameingia ikulu ya nchi hiyo akiwa waziri mkuu hadi sasa akiwa rais.

Anaye shika nafasi ya pili ni Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza aliyeshika wadhifa huo tangu mwaka 1952 hadi leo ambapo atafikisha umri wa miaka 91 hapo Aprili 21, mwaka huu.

Beji Caid Essebsi, Rais wa Tunisia tangu mwaka 2014 hadi sasa, anashika nafasi ya tatu atakapofikisha miaka 91 ifikapo Novemba 29, akifuatiwa na Mwenyekiti  Halmashauri Kuu ya Bunge la Umma la Korea ya Kaskazini, Kim Yong-nam, mwenye miaka 90 na siku 25 ilipofika Februari 4, mwaka huu.

Kwa viongozi wazee zaidi waliopo madarakani na wale waliostaafu lakini wangali hai, Mugabe anashika nafasi ya 24, Elizabeth (53), Essebsi (62) na Kim (78).

Viongozi wazee zaidi waliowahi kushika madaraka lakini wangali hai, anayeongoza ni Do Muoi aliyekuwa waziri mkuu wa Vietnam tangu 1988 –hadi 1996, akawa pia Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunist tangu 1991 hadi 1997 akiwa na miaka 100 na siku 33 leo.

Huyo anafuatiwa na Babiker Awadall,  Waziri Mkuu wa Sudan tangu 1969 aliyefikisha miaka 100 Alhamisi iliyopita (juzi) ambapo anayeshika nafasi ya tatu ni Yasuhiro Nakasone aliyekuwa Waziri Mkuu wa Japan mwaka 1982 hadi 1987 atakayefikisha miaka 98 ifikapo Mei 27.

Kwa Afrika, Mzee Ali Hassan Mwinyi aliyekuwa rais wa Tanzania tangu 1985 hadi 1995, anashika nafasi ya 42 duniani atakapokuwa na miaka 92 ifikapo Mei 8, mwaka huu ambapo aliyekuwa rais wa Zambia, Kenneth Kaunda tangu 1964 hadi 1991, anashika nafasi ya 32 duniani ambaye atakuwa na miaka 93 ifikapo Aprili 28, mwaka huu.

Rais Dawda Jawara wa Gambia aliyepinduliwa na Yahya Jammeh, anashika nafasi ya 33 duniani. Jawara alikuwa waziri mkuu wa nchi hiyo mwaka 1962 hadi 1970 na rais tangu 1970 hadi 1994 alipopinduliwa na Jammeh. Jawara atafikisha miaka 93 ifikapo Mei 16 akifuatiwa na aliyekuwa rais wa Kenya, Daniel arap Moi, tangu 1978 hadi 2002 atakayekuwa na miaka 93 ifikapo Septemba 2, mwaka huu.

Viongozi wengine wazee Afrika waliopo na waliwahi kushika madaraka ni aliyekuwa Waziri Mkuu wa Libya, Mustafa



(1954-57) ana miaka 96 na siku 34 leo (Jumamosi) akishika nafasi ya 16. Nafasi ya 17 inashikwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Katiba la Algeria, Abdelmalek Benhabyles mwaka 1992 akiwa na miaka 96 ifikapo Aprili 27.

Nafasi ya 41 duniani inashikiliwa na aliyekuwa rais wa Nigeria (1979-83) Shehu Shagari mwenye miaka 92 na siku 7 ilipofika Februari 25, mwaka huu akifuatiwa na Antoine Gizenga aliyekuwa Waziri Mkuu wa Congo-Kinshasa (2006-08) atakayefikisha miaka 92 ifikapo Oktoba 5 mwaka huu.


Mwita Waitara: Sitakubali Kudhalilishwa na Rais Magufuli,Nitahakikisha na Kula Naye Sahani Moja..!!!!

$
0
0

Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara amesema hatishwi na vitendo vya Rais Magufuli kuwashambulia wabunge wa vyama vya upinzani kwenye ziara zake.

Mwita amesema kitendo cha Rais kumshambulia Mbunge wa CUF jimbo la Lindi, kimewadhalilisha wabunge wote wa upinzani na kwamba hatamvumilia iwapo atamdhalilisha jimboni kwake atapambana naye

Rais Dr Magufuli Aipongeza Serikali ya Msumbiji kwa Kuwafukuza Watanzania..!!!

$
0
0

Rais Magufuli akiwa ktk ziara Mtwara amesema ni sawa tu kwa Serikali ya Msumbiji kwa kuwafukuza wahamiaji haramu.

Na amewataka watanzania warudi tu nyumbani kuna kila kitu ili tujenge nchi yetu.

Na ulivyokwenda ndivyo utakavyorudi kwasababu Serikali haikukupeleka Msumbiji na hata usafiri wanaopewa hauna sababu kwa sasa.

Amemshanga mtanzania kutoka Shinyanga kwenye dhahabu kwenda kuchimba madini Msumbiji.

Msumbiji ni marafiki wa Tanzania na wahamiaji haramu wasisababishe kuharibu mahusiano kati ya Tanzania na Msumbiji.

Habari Picha..Hivi Ndivyo Wema Sepetu Alivyomtembelea Mbunge wa Arusha Mjini Mhe Godbless Lema Nyumbani Kwake Leo..!!!

Barakah Da Prince na Naj Vipi? Huu Ndio Ukweli wa Penzi Lao..!!!

$
0
0

Barakah Da Prince alikaa kitako na Mtangazaji wa ABM Radio ya Dodoma, DJ Rodger kuzungumzia status ya uhusiano wake na Naj.

Kwenye interview hiyo Barakah amedai kuwa bado mapenzi yao yapo moto moto ila wameamua kutopenda sana kupostiana kwenye mitandao ya kijamii kama zamani.

Ameongeza kuwa ukurasa wake wa Instagram sasa utaendelea kujikita katika kazi zake zaidi na sio mambo ya uhusiano.

Jifunze Njia 10 za Kiasili za Kuongeza Ukubwa wa Uume Bila Kutumia Dawa..!!!

$
0
0

Ukubwa wa uume unategemea vitu kama kiwango cha mhemuko, muda, hali ya hewa na unashiriki tendo la ndoa mara ngapi.

Si wanawake pekee ambao huwa bize kuona wanakuwa na maumbile mazuri na kwamba wanakuwa ni wenye kuvutia muda wote. Ni kawaida kukuta chumbani kwa mwanamke vipodozi vingi vya kila namna na ukakuta mafuta ya aina moja tu kwenye chumba cha mwanaume.

Wapo wanaume wachache sana ambao wamebarikiwa kuwa na uume mkubwa kwa asili. Aina ya maisha unayoamua kuishi yanaweza kuathiri ukubwa na uimara wa uume wako. Kwahiyo ikiwa una shaka kidogo juu ya ukubwa wa uume wako fanya mambo 8 yafuatayo kuongeza ukubwa wa uume kwa asili.

Mwanamke yeye huwa na uke wenye urefu wa inch 4 ingawa unaweza kuongezeka ukubwa kutegemea na namna anavyoandaliwa au mwanaume mwenyewe alivyo.

Kwa watu wazima, wastani wa ukubwa wa uume uliosimama ni kati ya inch 3.9 mpaka 5.8. Wapo pia wanaume wachache ambao kwa asili wana uume wa ukubwa wa inch 7 au 8.

Uume unachukuliwa kuwa mdogo ikiwa uko chini ya inch 4 ukiwa umesimama. Usiwaze ukubwa wa uume ukiwa umelala. Kuna wanaume wa aina mbili, kuna wale ambao uume ukiwa umelala huonekana ni mkubwa lakini uume utakaposimama hauwi mkubwa sana na kuna wale ambao uume ukiwa umelala uume wao unaonekana ni mdogo sana na ndiyo hao ukisimama unakuwa mkubwa zaidi hata ya wale ambao ukiwa umelala unaonekana ni mkubwa. Hivyo ukiona uume wako umelala na unaonekana ni mdogo sana usiwaze, ni hali ya kawaida, unatakiwa uwaze ukiwa umesimama kabisa.

1. Acha kuvuta sigara

Moshi na kemikali za kwenye sigara hujirundika kwenye mishipa ya damu (ateri). Hii ndiyo sababu uvutaji sigara una uhusiano mkubwa na ugonjwa wa moyo. Usambazwaji mdogo wa damu kwenye ogani hizo mwilini husababisha ufanyaji kazi wa chini ya kiwango wa ogani husika. Kumbuka uume umeundwa kwa mishipa mitupu ya damu, hakuna mfupa kwenye uume. Kama damu haitembei kwa uhuru wote katika ogani kadhaa mwilini na kwenye mishipa ya damu kwa ujumla uume wako nao unaweza kuathirika ukubwa wake.

2. Fanya mazoezi ya viungo mara nyingi

Kutengeneza mishipa na kupunguza uzito isiwe ndiyo sababu pekee ya kwenda gym. Kama unahitaji uume wenye afya au uume mrefu, unahitaji kujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara ili kusafisha mishipa ya damu na hivyo kuongeza kiasi cha utiririkaji wa damu kwenda kwenye uume.

Kama uzito wako upo juu sana na ni mnene fanya mazoezi ya kukimbia (jogging) kila siku kwa mwezi mmoja mpaka miwili. Kama uzito wako upo sahihi tu kwa mjibu wa urefu wako fanya sana mazoezi ya kuchuchumaa na kusimama. Una chuchumaa na kusimama mara 25 mpaka 30, unaweza kupumzika dakika mbili unaendelea tena kuchuchumaa na kusimama hivyo hivyo unapumzika dakika 2 mpaka mizunguko (round) 5 kila siku.

3. Epuka vyakula vyenye mafuta sana

Kula kwa wingi vyakula vyenye mafuta sana hupelekea kuongezeka kwa uzito na unene na matokeo yake unaweza kupatwa na magonjwa ya moyo na kupungua kwa ukubwa wa uume. Kutokutenga muda kwa ajili ya mazoezi huongeza kolesto katika ateri za damu na kupelekea kupungua kwa msukumo wa damu kwenda kwenye uume. Kwahiyo acha kula kula vyakula feki (junk foods) ili uwe na uume wenye afya ya kutosha.

4. Kula sana matunda na mboga za majani

Kula sana mboga za majani na matunda yenye sifa kubwa ya kuondoa sumu na taka mwilini. Mazoea haya husaidia mwili kupigana na vijidudu nyemelezi na kuongeza afya katika ateri za damu. Kwahiyo unaweza kuongeza kimo cha uume wako kwa kuamua kula mboga majani na matunda ili kuondoa sumu na taka nyingine zisizotakiwa mwilini.

5. Ondoa kitambi

Kuwa na kitambi au tumbo kubwa ni sababu inayofanya uume uonekane ni mdogo. Hata kama una uume mkubwa kwa asili ukianza tu kufuga kitambi uume utaanza kuonekana ni mdogo. Kuondoa kitambi soma dondoo namba 2 hapo juu

6. Punguza mawazo

Hamaki na mawazo mengi (stress) hupunguza ukubwa wa uume kwani mawazo hasi au stress inapozidi na kudumu kwa muda mrefu huondoa damu kutoka kwenye uume na kupelekea ugumu kwa ukuaji wake. Pia woga au wasiwasi wa kutokumfikisha mwenza wako unapodumu muda mrefu ni sababu ya kuwa na uume mdogo.

7. Oga maji ya moto

Hali ya ubaridi sana hupelekea kupungua kwa ukubwa wa uume, kwahiyo kama unaishi sehemu yenye baridi sana jitahidi uwe unaoga maji ya moto kila mara au muda mchache kabla ya kwenda kushiriki tendo la ndoa ili kuuweka mwili wako ni wa moto ili kuongeza msukumo wa damu mwilini na kwenye uume kwa ujumla.

8. Shiriki tendo la ndoa mara nyingi

Kuna stori zinasema twiga hakuzaliwa na shingo ndefu namna hii kama anavyoonekana akiwa mkubwa, bali wanasema ile tabia yake ya kupenda kula majani ya juu ya miti ndiyo ikapelekea shingo yake ikarefuka!. Inawezekana kuna ukweli kidogo wa stori hizi. Usinielewe vibaya wala usije ukasema huyu jamaa anahamasisha watu kufanya mapenzi! Hapana usiwe na haraka hivyo utanielewa tu ninachotaka kusema

Wanasayansi wa masuala ya mapenzi wanasema ikiwa mtu mzima hana msongo wowote wa mawazo (stress), ana afya nzuri tu ya kutosha na anakula vizuri basi anaweza kushiriki tendo la tendo kila baada ya masaa 24. Angalia na umsome pia mwenza wako pia angalia umri wako, sababu kuna wanawake wengine kwa asili hawapendi kushiriki tendo la ndoa kila mara pia hatuwezi kusema mtu mwenye miaka 50 atakuwa na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kila mara kama mtu wa miaka 18 hadi 40 hivi.

Ni vigumu mtu anakaa mwenzi mzima mwingine miezi miwili mwingine anakaa miezi 6 bila kushiriki tendo la ndoa na utegemee utakuwa na uume mzuri na wenye afya. Kama hushiriki tendo la ndoa kuna uwezekano mkubwa ukawa unapiga punyeto kitendo ambacho ni kibaya zaidi kwa afya ya uume wako. Kwahiyo unaweza kushiriki mara 2 hadi 3 kwa wiki na unaposhiriki tuliza akili na upate muda wa kutosha siyo haraka haraka tu (short time).

9. Tafuta wa saizi yako

Ni ukweli uliowazi kwamba kamwe hatuwezi kuwa sawa kwa kila kitu. Kuna msemo wa wahenga pia unasema waacheni wafu wawazike wafu wenzao, kadharika hata katika suala hili la tendo la ndoa mwanaume ifike wakati uamini kwamba kuna wanawake wengine si saizi yako, wapo wanaume kwa ajili yao. Hivyo jiangalie mwenyewe na umtafute mwenza ambaye anaendana na wewe.

Wakati mwingine unaweza kupata mwenza ambaye ni saizi yako lakini sababu ya mabadiliko ya kimwili na kihomoni inatokea naye anakuwa anakuzidi, ikikutokea hivi usimwache, njoo uonane na mimi zipo dawa za asili maalumu zinazoweza kurudisha uke katika umbo dogo na unaobana vizuri kama mwanzo. Au utaona aibu tena! Kuna namna ya kuongea naye.

10. Tumia mitishamba ambayo haina madhara

Ndiyo mitishamba, kuna baadhi ya mitishamba inayoweza kurekebisha mzunguko na msukumo wa damu yako na hatimaye kuongeza ukubwa wa uume. Uwe makini sana hapa kwani unaweza kusababisha hatari zaidi hapo baadaye ukienda kwa pupa. Usitumie dawa zinazoahidi kukuongezea urefu au ukubwa sana wa uume bila kujuwa nini madhara yake hapo baadaye, epuka pia dawa zenye kamikali kwa ajili hiyo.
Jambo la mhimu

Badala ya kuwa bize na ukubwa wa uume wako, jitahidi kutafuta G-spot ili uweze kumchezea mwenza wako katika maeneo yanayomsisimua zaidi. Kumchezea mwenza wako ni muhimu sana ili aweze kufikia kileleni mapema.

Kuna mwingine anaweza kusema huyu jamaa naye vipi na hizi habari za ukubwa wa uume? Na ukaanza kunishangaa. Mimi naandika chochote ninachoona kinaweza kuwa msaada kwa msomaji wangu, inawezekana wewe una msumari wa inch 6 na unaposikia habari kama hizi unaanza kushangaa na kudhani kama ni jambo lisilotakiwa kuzungumzwa. Pole sana ndugu, hapa chini ya jua kila mtu ana shida zake na shida yako haifanani na yangu wala shida yangu haifanani na yako, mimi naweza kuwa nina uhitaji wa 10000 na wewe ukawa na uhitaji wa 100,000 zote hizi ni shida na zinahitaji ufumbuzi. Kwahiyo wapo wanaume wenye uume mdogo kweli mtu ana uume wa inch tatu mwingine inch 4 je mtu kama huyu tunamsaidiaje kama tutasema hili jambo siyo la kuzungumziwa?

Kwahiyo kila shida lazima iwe na mtu anayeweza kuisuluhisha kwa ajili ya wengine, mtu asiye na aibu kwa ajili ya wengine. Na wala usilete dharau kwenye hicho kiungo, mimi na wewe tupo hapa kama matokeo ya mahusiano hivyo ni kusema bila mahusiano kusingekuwa na hii dunia na mambo madogo madogo kama haya ndiyo yanaleta mivurugano kwenye mahusiano mengi. Na mwanaume huwezi kuwa na nguvu za kufanya kazi kwa bidii ikiwa kuna makelele kwenye mahusiano yako. Ukitaka uone uume nao ni kiungo mhimu ngoja uuguwe ugonjwa wowote wa zinaa na utokwe na maji mazito mara moja utachanganyikiwa na kumtafuta daktari kokote aliko!

Biblia inasema viungo vyote ni sawa na kila kimoja kinamtegemea mwenzake ili kufanya kazi vizuri, soma  1 Wakorintho 12: 14 – 26. Kwahiyo usiseme hiki hakizungumzwi hapana, kila kiungo kina umhimu wake tena hakuna kiungo mhimu kwa mwanaume kama uume kwani ndicho hasaa kinachomfanya aitwe mwanaume! Hivyo lolote linaloathiri kazi za uume linaathiri pia utendaji kazi kwa ujumla wa mwanaume husika.


Fahamu Maajabu 41 ya Kazi ya Maji Mwilini Mwako..!!!

$
0
0

Baadhi ya sababu kwanini unywe maji kila siku:

Je unazijuwa kazi za maji mwilini? Au ukishakunywa tu na kiu kukatika basi unakuwa huelewi nini kinaendelea baada ya hapo. Mashuleni umhimu wa maji mwilini unafundishwa kwa kiasi kidogo sana na mara nyingi maji ya kunywa yamefundishwa au kuchukuliwa kuwa ni kitu cha kusafirishia viini lishe toka sehemu moja au nyingine tu.

Lakini maji yana umhimu mkubwa mwilini zaidi ya hapo.

Tunaposema maji ni uhai huenda unaichukulia kauli hii kirahisirahisi tu, lakini leo utajuwa ni kwanini maji yaliitwa ni uhai. Endelea kusoma.

Baada ya oksijeni, maji ndicho kitu pekee ili kuishi. Zifuatazo ni baadhi ya KAZI 41 mhimu ZAIDI za maji mwilini:

1. Bila maji hakuna kinachoishi. Wakati wowote unapopungukiwa maji, baadhi ya seli zako ndani ya mwili hufa.

2. Panapotokea upungufu wa maji, kitu kimoja lazima kipotee, baadhi ya kazi za seli hufa.

3. Maji ndicho chanzo kikuu cha nguvu, maji ndiyo hela ya mwili, bila kunywa maji ni sawa na kwenda dukani bila hela mfukoni.

4. Maji hutumika kama moja ya malighafi katika usanifu na ujenzi wa seli, huziweka seli pamoja.

5. Maji hukinga uharibifu wa vinasaba (DNA), Vinasaba vichache visivyo vya kawaida huzarishwa.

6. Maji kwa uwezo mkubwa yanaongeza uwezo, nguvu na kinga ya mwili, ujuzi huu wote unahusisha pia dhidi ya kansa.

7. Maji ni wakala mhimu katika mmeng’enyo wa vyakula karibu vyote, vitamini na madini.

8. Maji yanatumika kusafirisha vitu vyote mwilini, maji yanapoifikia seli, huipa pia oksijeni na kuchukuwa hewa chafu hadi kwenye mapafu ili kutolewa nje ya mwili.

9. Maji huzisomba taka chafu toka sehemu mbalimbali za mwili hadi kwenye Ini na Figo ili kutolewa nje.

10. Maji ni mhimu ili kulainisha sehemu zote za mwili, hivyo kuzuia kufunga choo.

11. Maji huzuia shambulio la moyo na mshituko.

12. Maji ni mhimu katika kuupooza na kuupa mwili joto.

13. Nguvu za kiumeme katika maji hutupa nguvu za kufikiri, kufikiri kunahitaji nguvu, hivyo kuhitaji maji.

14. Maji ndicho kiamusho au kichangamusho (pick-me-up) pekee bora cha miili yetu kuliko kinywaji kingine chochote duniani, bila madhara.

15. Maji yatakurudishia usingizi wa kawaida na mororo, kila tuotapo ndoto mbaya au za kutisha (nightmares), mwili huwa unatuamusha kwenda kunywa maji. Jaribu hii, siku yeyote ukiota ndoto ya kutisha, amka na kunywa glasi moja ya maji kisha rudi kulala.

16. Maji huzuia uchovu, huwapa vijana nguvu. Fikiri: unapokuwa na uchovu na ukaamua kuoga, baada ya kuoga sehemu kubwa ya uchovu hupotea. Hapo umeoga tu, je ukiyanywa maji yenyewe?!!.

17. Maji hutengeneza ngozi nyororo hivyo kuzuia kuzeeka mapema.

18. Maji yatausawazisha katika hali yake ya kawaida mfumo wa uzarishaji damu kwenye mifupa, hivyo kuzuia Leukemia na Anaemia.

19. Maji yatapunguza maumivu ya ishara za kutokea kwa hedhi.

20. Upungufu wa maji mwilini huzuia uzarishwaji wa homoni za kiume na kike, hii ndiyo sababu ya kwanza ya uhanithi (impotence) na kukosa hamu ya tendo la ndoa (negative sex libido). Kuna tatizo kubwa linaendelea kwenye jamii yetu la upungufu wa nguvu za kijinsia hasa upande wa kina baba na kwa sehemu kubwa ni matokeo ya upungufu wa maji na chumvi mwilini.

21. Kunywa maji kutakutofautishia hisia za njaa na kiu ya maji, kunywa maji kwa muda na upunguze uzito na unene bila kuacha kula (dieting).

22. Maji yatazuia homa za asubuhi kwa mama mjamzito.

23. Maji yataunganisha mawazo na kazi za mwili, yataongeza uwezo katika kutambua malengo na nia.

24. Maji yatageuza utegemezi kwa vilevi ikiwa ni pamoja na pombe, kafeina na baadhi ya madawa ya kulevya.

25. Maji huzarisha nguvu za kiumeme na nguvu za kisumaku katika kila seli ya mwili – nguvu za kuishi. Nguvu za kiumeme zinafanya kazi kama nguvu za kisumaku na kuvipanga vitu anuwai kama sumaku hivyo kutoa uwepo wake sahihi na kujihusisha na matendo ya kikemikali.

26. Maji yanatumika katika kuvikatakata vyakula kuwa vipande vidogovidogo na hatimaye umetaboli au umeng’enywaji wake.

27. Maji yatakiongezea nguvu chakula (yaani maji ni transfoma chocheo ya chakula) na hatimaye chakula kutoa nguvu kwa mwili wakati wa umeng’enywaji wake.

28. Maji yataongeza uchukuwaji wa viini lishe mhimu vilivyomo kwenye chakula. Hii ina maana gani? Ni hivi, unapokula chakula na hauna maji ya kutosha mwilini basi ni viinilishe vichache tu ndivyo vitachukuliwa na mwili wakati sehemu nyingine kubwa ya chakula itabaki kama takataka tu.

29. Maji ni kilainishi kikuu kwenye maeneo ya maungio (joints) na hivyo kuzuia ugonjwa wa yabisi na kupooza.

30. Maji hutumika kwenye ‘diski’ za uti wa mgongo kuzifanya zigongane na kufyonza maji.

31. Maji huzuia kuzibika (clogging) kwa ateri kwenye moyo.

32. Maji huzuia kupunguwa kwa umakini na usikivu kwa watoto na watu wazima (Attention deficit disorder – ADD).

33. Maji huongeza ufanisi katika kazi.

34. Maji yatazuia mfadhaiko, pupa na kukata tamaa.

35. Maji huzuia ugonjwa wa Glakoma.

36. Maji yataiyeyusha damu na kuizuia isigande wakati wa mzunguko wake.

37. Upungufu wa maji unavihifadhi vijidudu nyemelezi (free radicals) mwilini, na maji ndiye muondoaji mkuu wa vijidudu hivi nyemelezi.

38. Maji hutoa nuru na mng’aro kwa macho na kuhimili kuona kwa sababu kushughulika na taarifa za mwanga kunahitaji nguvu nyingi katika kusafirisha taarifa toka mfumo mmoja katika jicho kwenda katika mfumo mwingine kwenye ubongo ili kutafusiriwa.

39. Maji na mapigo ya moyo vinatengeneza muyeyuko na mawimbi ili kuzuia vitu visivyotakiwa kubaki kwenye mkondo wa damu.

40. Mwili wa binadamu hauna hifadhi (store) ya maji, ndiyo maana unatakiwa kuyanywa kila siku.

41. Kunywa maji halisi, safi na salama kwa kanuni sahihi, kunausafisha mwili, maji yanaiacha sehemu ya chini ya utumbo mkubwa (colon) kuwa na uwezo zaidi wa kutengeneza damu mpya (fresh blood) ijulikanayo katika lugha ya kitaalamu kama ‘Haematopaises’, kwamba difu la utumbo mkubwa na utumbo mdogo (mucousal fold) huamushwa upya kwa njia hii.

Ifike mahala tuache mazoea ya kuipa miili yetu maji ya mgawo (yaani tunapokunywa maji baada ya kusikia kiu).

Mafuta ya Habbat Soda ni Dawa kwa Kila Ugonjwa Isipokuwa Kifo..!!!

$
0
0

Inapotokea wafalme wa Misri, Malkia wa Ulaya, Mitume na wanasayansi wa kisasa wanakuja na kukubaliana katika jambo moja, ni mhimu kudadisi juu ya jambo hilo. Ingawa nyakati za sasa tunazungukwa na taarifa na elimu nyingi kuliko katika wakati mwingine wowote, bado tunahitaji kujifunza vitu kutokana na historia na maisha ya kale.

Kutoka kwa baba wa sayansi ya matibabu katika nchi za magharibi Hippocrates kwenda mpaka kwa kiongozi wa mfumo wa mwisho wa kifarao Cleopatra hadi kwa mfalme Tut na jamii iliyofuata, kitu cha pekee ambacho walikuwa wakifanana viongozi hawa kwa pamoja ilikuwa ni thamani waliyoiona katika mtishamba fulani.

Mtishamba au mmea huo ambao viongozi hao walikutana pamoja si mwingine bali ni habbat soda. Habbat soda ndilo jina linalotumika zaidi mashariki ya kati na huko ulaya hujulikana zaidi kama ‘black seeds’.

Kwahiyo niliamua kuchukua muda kusoma na kupeleleza zaidi kuhusu habbat soda kwa ajili yangu mwenyewe na ya wasomaji wangu ili hatimaye niweze kukuletea mwanga kamili juu ya mengi yanayosemwa kuhusu mafuta ya  habbat soda.

Unaweza kuwa umesikia majina tofauti tofauti ya habbat soda kutegemea na sehemu gani ya dunia ulipo. Haya ni moja ya majina yake:

Kalonji Oil
Black Cumin Seed Oil
Nigella Seeds
Graine De Nigelle
Black Onion Seeds
Schwarzkummel
Mafuta ya habbat soda yanatokana na mbegu za habbat soda na mbegu hizi huwa ni nyeusi na ndiyo maana kwa kiingereza wanaita ‘black seed’. Kuna mashine nyingi za nyumbani unazoweza kutumia kutengeneza mafuta yako mwenyewe kutoka katika mbegu za habbat soda ingawa bado nakushauri ununuwe yale ambayo yameandaliwa tayari.

Habbat soda ina sifa hizi:

Huondoa bakteria mwilini
Huondoa uvimbe
Huondoa sumu mwilini
Inaondoa fangasi
Inatibu kansa
Inatibu pumu
Inadhibiti kazi za histamini
Inaua virusi
Inazuia damu kuganda
Vitu viwili mhimu zaidi ambavyo mafuta haya yanavyo ni ‘thymoquinone’ na  ‘thymohydroquinone’.

Vimeng’enya hivi viwili ndivyo vinaweza kusemwa kuwa ndiyo sababu ya mafuta haya kuwa ni dawa kwa kila ugonjwa. Vinaimarisha moja kwa moja kinga yako ya mwili na kuifanya ipatikane wakati wowote itakapohitajika na mwili. Vimeng’enya hivi viwili ndivyo inaaminika ndiyo sababu mfalme Tut alipatikana na chupa ya mafuta ya habbat soda kwenye kaburi lake akitumaini kuyachukua na kuyatumia atakapofufuka!

Mtume Muhammad (S.A.W) amewahi kunukuliwa akisema ‘MAFUTA YA HABBAT SODA NI DAWA KWA KILA UGONJWA ISIPOKUWA KIFO’

Mbegu za habbat soda zinatoka katika majani ya mmea ujulikanao kama ‘Nigella Sativa’ na unalimwa karibu katika kila pembe ya dunia kwa sasa. Asili yake ni Afrika kaskazini, mediterania/ulaya na Asia na kutoka hapo umesambaa kila sehemu ya dunia. Habbat soda inachukuliwa kama moja ya dawa za asili bora zaidi kuwahi kutokea.

Nini yanachoweza kufanya mwilini haya mafuta ya habbat soda? kuna matumizi mengi ya habbat soda katika kutibu na kukinga magonjwa mbalimbali. Hapa nimejaribu kukusanya baadhi ya magonjwa 90 ambayo unaweza kujitibu kwa kutumia habbat soda.

Kama kawaida unapewa angalizo kutotumia dawa yoyote bila uangalizi wa karibu wa daktari

Magonjwa 90 yanayoweza kutibika na habbat soda ni pamoja na:

1. Yanaimarisha afya ya moyo

Afya mbovu ya moyo inaweza kuwa ni matokeo ya sababu nyingi lakini sababu zote chanzo chake kikuu ni matokeo ya kutokuupa moyo virutubishi unavyovihitaji.

Mafuta ya habbat soda yana asidi mafuta safi na yenye Omega 6 na 9, pia yana kirutubishi kingine mhimu zaidi kijulikanacho kama “phytosterols” ambacho husaidia kulazimisha kusinyaa na kutanuka kwa mishipa ya damu na hivyo kusaidia kuzuia damu kuganda na kujikaza katika ateri. Viinilishe hivi pia husaidia kushusha lehemu kwenye damu na kiasi cha damu sukari.

Kwa karne nyingi mafuta ya habbat soda yamekuwa yakitumika kutibu matatizo mengi yanayohusiana na moyo.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili

2. Hupigana na maambukizi ya fangasi

Maambukizi ya fangasi yanatokea wakati bakteria wanapozidi juu ya ngozi yako na kupelekea kutokea kwa magonjwa mengi ikiwemo miwasho, upele na ukurutu. Tafiti zinaonyesha mafuta ya habbat soda ni mazuri kwa tiba karibu kwa kila aina ya fangasi kitu kinachopelekea wanasayansi wengi kuamini kuwa habbat soda ni dawa ya asili na mbadala mhimu zaidi kwa kila mtu kuwa nayo nyumbani.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja. Mengine pakaa kama mafuta yako ya kupakaa sehemu yenye muwasho kutwa mara 3 hadi 3

3. Hudhibiti Aleji (mzio)

Wengi wetu tunapatwa na aleji na kutokewa na chafya au mafua yasiyoisha na kupelekea kushuka kwa kinga yetu ya mwili. Kutumia mafuta asili ya habbat soda kwa ajili ya kutibu aleji kunaweza kuleta matokeo mazuri bila gharama kubwa. Na siyo kwamba mafuta haya yatakupa nafuu kwa haraka sana dhidi ya aleji tu, bali pia yatakufanya kujisikia nafuu haraka zaidi kuliko dawa nyingine nyingi za kutibu aleji za viwandani zilizopo sokoni leo.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili.

4. Ni mafuta mazuri kwa ajili ya ngozi yako

Iwe ni muonekano au afya ya ngozi kwa ujumla, ipo sababu kwanini watu wanapenda kuwa na ngozi ya kupendeza na yenye afya. Mafuta ya habbat soda yana asidi mafuta mhimu zaidi, yana vitamini nyingi, yana viondoa sumu vya kutosha na asidi amino mhimu ambazo miili yetu huzihitaji. Mafuta ya habbat soda ni mafuta safi ya ngozi kwa nyakati zote za siku na kwa siku zote. Mafuta haya pia yanasaidia ngozi kutokuungua moja kwa moja na miale ya jua huku yakizuia usizeeke haraka kwa kuondoa mikunjo yoyote kwenye ngozi yako. Matumizi: Yawe ndiyo mafuta yako ya kupakaa mwilini kila siku

5. Hutibu kansa ya ngozi (Melanoma)

Kansa ni matokeo ya kinasaba cha damu (DNA) kujizidisha au kujizalisha mara nyingi na kwa haraka zaidi dhidi ya uwezo wa kinga ya mwili. Mara nyingi kansa hutokeza vivimbe sehemu mbalimbali mwilini. Mafuta ya habbat soda yana virutubishi vingine viwili ambavyo ni ‘thymoquinone’ na ‘thymohydroquinone’ ambavyo utafiti unaonyesha huwa vina uwezo wa kudhibiti kansa kwenye ngozi na kansa nyingine mbalimbali mwilini. Hii ni kutokana na sifa yake ya haya mafuta katika kuzuia uvimbe na bakteria, sifa kuu mbili za habbat soda.

Habbat soda hufanya hivyo kwa kuzilenga seli zako nyeupe za damu kwa kuziongezea kinga ya mwili na hivyo kuua seli za kansa. Matumizi: kama namba 4 hapo juu.

6. Hutibu chunusi

Chunusi ni matokeo ya moja kwa moja ya vivimbe kwenye ngozi hasa ya paji la uso na usoni kwa ujumla. Mafuta haya yanaondoa uvimbe wa aina yoyote kwenye ngozi na kuitengeneza upya ngozi huku yakiiacha nyororo na muonekano wake wa asili. Mafuta ya habbat soda yamekuwa yakitumika kwa ajili hii ya kutunza na kutibu maradhi mbalimbali ya ngozi na wafalme na malkia wengi katika historia yote ya dunia.

Matumizi: Yawe ndiyo mafuta yako ya kupakaa mwilini kila siku. Unaweza pia kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku kusafisha mwili ndani

7. Hutibu maambukizi

Maambukizi ya aina yote hupigwa na kinga ya mwili hasa na seli nyeupe za damu ndizo zinazohusika na kazi hiyo. Kwa kuiongezea nguvu kinga ya mwili moja kwa moja, mafuta ya habbat soda yanausaidia mwili wako kupigana na maambukizi kutoka kwenye nywele kichani mpaka kwenye kucha. Hii ni sifa ya pekee ya habbat soda ambayo imekuwa ikijulikana kuwa nayo katika historia yote ya dunia tangu enzi hata leo bado ni moja ya dawa za asili zenye nguvu ya kupigana na maambukizi ya aina nyingi ya mwili.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kwa mwezi mmoja mpaka miwili

8. Hutibu tatizo la ugumba

Ugumba unaweza kutokea kutokana na sababu nyingine nyingi, ingawa imethibitishwa pasipo na shaka kwamba mafuta ya habbat soda yamewasaidia wengi kuimarisha afya zao za uzazi. Kwa wale wote wenye tatizo la uzazi au ugumba tambueni kuwa mafuta ya habbat soda yamekuwa yakitumika kutibu matatizo ya ugumba kwa zaidi ya miaka 2000 sasa. Mpaka leo bado mafuta ya habbat soda yanaendelea kuripotiwa kama ndiyo dawa bora zaidi ya asili kwa ajili ya kurekebisha tatizo la ugumba kwa watu wa jinsia zote mbili.

Wakati huo huo mafuta ya asili ya habbat soda yamethibitika kuwa dawa bora zaidi ya kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na hutibu tatizo la nguvu za kiume hata kama mwanaume utakuwa na umri wa miaka 120. Unachohitaji ni kuyatumia kwa kipindi kirefu hata miezi miwili au hata zaidi mfululizo kama tatizo limekuwa sugu sana.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1

9. Huotesha nywele

Moja ya matumizi makubwa ya mafuta haya ni kuotesha nywele. Bidhaa nyingi sokoni zinazotumika kwa ajili ya kuotesha nywele zinaacha madhara makubwa zaidi kuwa mtumiaji kuliko faida zake. Kwahiyo kwa wale wenye tatizo la upala, nywele zisizokuwa na kwa wale ambao nywele zao hazina afya mnashauriwa kuchagua mafuta haya kwa matatizo haya yote. Ingawa haieleweki ni kwa namna gani mafuta haya yanakuza nywele lakini wanasayansi wanaamini haya yanaweza kuwa ni matokeo uwezo wake mkubwa wa kuondoa sumu na protini nyingi ndani yake. Mafuta ya habbat soda kwa ajili ya nywele yenyewe ni meusi kabisa kabisa na huwa mazito kidogo.

Matumizi: Sugulia kipande cha limao fresh eneo ambalo nywele zimenyonyoka na kisha pakaa kijiko kikubwa kimoja cha mafuta ya habbat soda ya nywele na uache kama dakika 15 hadi 20, unaweza kuacha hivyo hivyo au ujisafishe na maji safi, unaweza kufanya kutwa mara 1 au 2 kwa mwezi mmoja hadi miwili

10. Hutibu mafua na homa

Mafua na homa ni matokeo ya kushuka kwa kinga ya mwili na kadri unavyoendelea kuyavumilia magonjwa kama haya ndivyo unavyozidi kuidhoofisha zaidi kinga yako ya mwili. Kama tulivyoona kabla kuwa mafuta ya habbat soda huongeza kwa haraka sana kinga ya mwili, huondoa haraka sumu mwilini na bakteria mbalimbali na hivyo kufanya kuwa ndiyo dawa nzuri ya asili dhidi ya mafua na homa za mara kwa mara.

Chukua kijiko kikubwa kimoja cha mafuta haya na vijiko vitatu vikubwa vya asali changanya katika glasi moja (ml 250) ya maji ya uvuguvugu na unywe kutwa mara moja kila siku. Kitendo hiki hakitakuondolea mafua na homa pekee bali pia kitaimarisha afya yako kwa ujumla. Fanya kwa siku 7 hadi 14

11. Hutibu majipu

Liwe ni jipu moja au majipu mengi kwa pamoja, mafuta ya habbat soda ndiyo dawa nzuri kukupatia nafuu ya haraka. Hii ni kwa sababu kwa sehemu kubwa majipu ni matokeo ya maambukizi ya bakteria na mchafuko wa damu. Na mafuta ya habbat soda ni wakala mzuri wa kuondoa bakteria na kusafisha damu na hivyo kuwezesha majipu kuwa chini ya ulinzi.

Unaweza kupakaa mafuta haya juu ya jipu moja kwa moja na wakati huo huo mengine unywe kama ilivyoelezwa kwenye namba 9 hapo juu. Hata hivyo ikiwa jipu ni kubwa sana na huoni nafuu hata baada ya kujaribu mafuta haya muone daktari kwa msaada zaidi.

12. Hutibu kikohozi na Pumu

Ile sifa yake kuu ya kuondoa vivimbe kwenye tyubu za koo, kitendo chake cha kuongeza kinga ya mwili, kuua bakteria na virusi ndiyo sababu za mafuta haya kutumika kutibu kikohozi na pumu.

Imeandikwa katika historia kuwa mababu wa zamani wa Misri walikuwa wakitumia mafuta ya habbat soda hasa kwa ajili ya kuimarisha afya ya mfumo mzima wa upumuwaji.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kwa wiki 3 hadi 4 hivi

13. Hutibu kuharisha

Mara nyingi kuharisha ni matokeo ya maambukizi ya virusi na bakteria na kama tulivyoona mafuta ya habbat hudhibiti baktria na virusi mbalimbali mwilini na hivyo kufanya ndiyo dawa nzuri mbadala kwa ajili ya kutibu au kuzuia kuharisha. Huweka sawa mfumo wa umeng’enyaji wa chakula na tumbo kwa ujumla na hivyo kuzuia mwili wako kupatwa na tatizo la kufunga choo. Inashauriwa kuchanganya kijiko kidogo kimoja cha chai au viwili vya mafuta ya habbat soda na kikombe kimoja cha mtindi na utumie asubuhi na usiku kwa siku mbili hivi na kuharisha kutasimama.

14. Hutibu shinikizo la juu la damu

Mafuta ya habbat soda kwa ajili ya shinikizo la juu la damu ni moja kati ya matumizi makubwa ya mafuta haya kwa sasa. Ingawa haijathibitishwa rasmi kama dawa ya kutibu shinikizo la juu la damu lakini wagonjwa wengi wa shinikizo la juu la damu wameripoti kushuka kwa kiwango kikubwa cha mashinikizo yao ya damu wakati wanapotumia mafuta haya ya habbat soda.

Tafiti kama hizi => http://goo.gl/VOSJp4 zimepelekea wengi kuanza kutumia mafuta ya habbat soda kama dawa ya asili kwa ajili kutibu shinikizo la juu la damu.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kwa wiki 3 hadi mwezi mmoja. Pia hakikisha unakuwa na uzito sawa kulingana na urefu wako. BP ya juu inaweza kuchelewa kupona ikiwa uzito wako upo juu ya inavyotakiwa uwe nao.

15. Huondoa tatizo la kukosa usingizi

Tafiti zinaonyesha mafuta ya habbat soda ni dawa nzuri ya asili dhidi ya tatizo la kukosa usingizi na matatizo mengine kama hayo ya kuvuruga utulivu wa usingizi kwa ujumla. Watu wengi wameripoti kupata usingizi mororo na utulivu kwa ujumla kwa kutumia habbat soda.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa.

16. Huzuia mishtuko na kukakamaa kwa mishipa

Mafuta ya habbat soda ni dawa nzuri ya kuzuia kukakamaa na mishtuko mbalimbali kwenye mishipa. Unaweza kuyanywa mdomoni au unaweza kupakaa na kuchua moja kwa moja sehemu ya mishipa yenye matatizo kwa ajili ya matokeo mazuri ya haraka.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa. Pakaa pia sehemu ya mishipa yenye matatizo

17. Huondoa kichefuchefu na mvurugiko wa tumbo

Mafuta ya habbat soda kwa ajili ya kuondoa kichefuchefu na kuvurugika wa tumbo ni moja ya sifa nyingine kubwa ya mafuta haya.

Uwezo wa mafuta haya kutibu haya matatizo mawili unatokana na nguvu yake kuhamasisha vimeng’enya vyakula vya mwili wako na kuondoa gesi tumboni.

Matumizi: Kwa ajili ya kuondoa kichefuchefu changanya kijiko kidogo kimoja cha mafuta ya habbat soda na glasi moja ya juisi ya tangawizi na unywe glasi moja asubuhi na nyingine jioni kila siku kwa siku mbili tatu.

18. Dawa bora kwa matatizo ya meno

Dawa nyingine nzuri kwa matatizo ya meno kama jino kuuma, kuoza, kutoboka, kulegea nk ni mafuta ya asili ya habbat soda. Kuondoa maumivu ya jino unachohitaji kufanya ni kunyunyiza matone kadhaa ya mafuta haya juu ya hilo jino na utulie tuli kama dakika mbili hivi kutwa mara mbili.

19. Huua seli za kansa ya damu

Tafiti zinaonyesha mafuta ya habbat soda yanacho kitu mhimu sana kiitwacho kwa kitaalamu kama “thymoquinone” ambacho huziua seli za kansa ya damu (leukemia HL-60 cells).

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa

20. Hutibu saratani ya matiti

Mafuta ya habbat soda yana uwezo wa kuzuia seli za saratani ya titi kuendelea kujizalisha na inashauriwa kwa ajili ya kutibu saratani ya titi yatumike kwa kipindi kirefu miezi hata miwili au zaidi.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku

21. Hutibu saratani ya utumbo mpana

Kimeng’enya kiitwacho ‘thymoquinone’ kilichomo kwenye mafuta ya habbat soda na sifa yake kubwa ya kuondoa sumu ndivyo vitu viwili vinavyoyawezesha mafuta ya habbat soda kuzishambulia na kuziua seli za saratani ya utumbo mpana (colon cancer). Yanabaki kuwa ndiyo dawa mbadala bora zaidi kwa saratani ya utumbo mpana inayosumbua watu wengi miaka ya karibuni.

Habbat soda si dawa ya magonjwa mengine mengi tu bali pia ni moja ya vitu mhimu sana katika kuzuia kukua, kujizidisha au kujizalisha upya kwa seli mbalimbali za kansa.

Uwezo wa mafuta ya habbat soda kudhibiti uongezekaji wa seli za kansa unashawishi sana kiasi kwamba madaktari wengi wamekiri kuwa ni dawa moja bora sana mbadala dhidi ya saratani ya kwenye utumbo mpana.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone

22. Hutibu fangasi ya ngozi na mapunye

Fangasi, mapunye, ukurutu na magonjwa mengi ya ngozi yanaweza kutibika kwa kutumia mafuta ya habbat soda. Fangasi na mapunye ni tatizo linalowapata watu wengi karibu kila sehemu katika nchi tajiri hata katika nchi maskini pia.

Unaweza kuyanywa mdomoni na wakati huo huo ukapaka moja kwa moja juu ya ngozi sehemu yenye tatizo kwa majuma kadhaa. Kama ni kunywa basi kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kila siku mpaka upone

23. Husaidia kupunguza uzito

Uwezo wa mafuta ya habbat soda kushusha uzito unatokana na sifa yake ya kuweza kupunguza sukari katika damu. Zaidi ya kuwa ni wakala muondoa sumu mwilini wa asili, mafuta ya habbat soda husaidia pia kuongeza nguvu katika mfumo wa umeng’enyaji wa chakula na kupunguza kiasi chako cha njaa. Hii ya kudhibiti kiasi cha njaa ni mhimu sana hasa wakati unataka kudhibiti mfumo wa vyakula unavyokula.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa, usisahau pia kufanya mazoezi ya kukimbia (jogging kila siku)

24. Hutibu Kisukari

Kitu gani kimeyafanya mafuta ya habbat soda kuwa ndiyo dawa nzuri ya asili dhidi ya Kisukari? Ni ule uwezo wake mkubwa wa kushusha shinikizo la damu na kusaidia wagonjwa wa Kisukari wote ambao ni tegemezi au si wategemezi wa insulin. Ni dawa nzuri kwa watu wote wenye kisukari aina ya kwanza na Kisukari aina ya pili kwa wakati mmoja. Pia huboresha kwa ujumla AFYA ya damu yako.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 2 kila siku kwa mwezi mmoja hadi miwili

25. Hutibu kifafa na mishtuko ya moyo

Dawa nyingi za kisasa zinazotumika kutibu kifafa na mishtuko ya moyo huwa zina orodha ndefu ya madhara mabaya (negative side effects) pia. Bahati nzuri kwa upande wako wewe unayesoma makala hii ni kuwa mafuta ya asili ya habbat soda (black seed oil) ni dawa nzuri ya kutuliza kifafa na matokeo yaletwayo na kifafa.

Baadhi ya tafiti zimeonyesha watu wenye kifafa na mishtuko ya moyo waliacha kuonyesha tabia au dalili za kifafa au mishtuko ya moyo walipotumia mafuta ya habbat soda kwa wiki 4 hadi 6 huku wakitumia sambamba na dawa walizopewa hospitalini. Watafiti wengi wanasema hii ni kutokana na kiinilishe mhimu kilichomo kwenye mafuta haya kijulikananacho kama ‘thymoquinione’. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.

26. Hutibu vidonda vya kooni

Mafuta ya habbat soda yamethibitishwa kutibu vidonda vya kooni (tonsils) na kuondoa kila aina ya maumivu kooni na kuondoa uhitaji wa dawa za kuondoa maumivu (pain killers).

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa

27. Hutibu kidonda ndugu (MRSA)

Kidonda ndugu au kama kinavyojulikana kwa kitaalamu kama ‘Methicillin resistant Staphylococcus aureus (MSRA)’ ni ugonjwa unaoendelea kuwasumbua wataalamu wengi katika mahospitali maeneo mengi duniani. Mara nyingi hutokea kama matokeo ya kudhoofika kwa kinga ya mwili. Uwezo wa kuondoa uvimbe na sumu wa mafuta haya unayafanya kuwa dawa mbadala yenye ufanisi zaidi katika kutibu kidonda ndugu.

Mafuta ya habbat soda yatakusaidia kutibu kidonda cha aina hii bila shida yoyote, yatazuia pia kuendelea kuongezeka au ksambaa zaidi kwa kidonda hiki.

Kama kuna matumizi mhimu sana ya dawa hii basi ni hili la kutibu vidonda mbalimbali ikiwemo kidonda ndugu kidonda ambacho huletwa na bakteria na kuwa sugu kutibika kwa dawa nyingi za kawaida.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa pia pakaa haya mafuta hasa yale ya grade 1 kwenye kidonda kutwa mara 1

28. Huondoa utegemezi wa madawa ya kulevya

Kutumia mafuta ya habbat soda kuondoa utegemezi (uteja) kwa madawa ya kulevya na vilevi vingine ni moja ya kazi nyingine zilizothibitika kufanywa na mafuta haya.

Katika majaribio, mafuta ya habbat soda yameonyesha kuwa msaada mkubwa kutuliza hali ya kujisikia vibaya na mauzauza mengine yatokanayo na kuacha kutumia dawa za kulevya na wakati huo huo yameonyesha kudhibiti hamu ya kutaka kurudia tena matumizi ya madawa ya kulevya baada ya mtu kuamua kuacha.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja na nusu mpaka miwili

29. Huondoa makovu

Iwe ni makovu ya upasuaji uliopita au ni makovu mengine yoyote, mafuta ya habbat soda ndiyo dawa nzuri kwa ajili ya kuondoa makovu. Ni moja kati ya dawa mbadala chache ambazo zimethibitishwa kuondoa na kutibu makovu moja kwa moja.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1

30. Hutibu kansa ya mlango wa kizazi

Kansa nyingine ambayo mafuta ya habbat soda yamethibitika kuitibu ni kansa ya mlango wa kizazi (cervical cancer). Hii tena inawezekana kutokana na kimeng’enya ‘thymoquinione’ kipatikanacho kwenye haya mafuta, tafiti zinaonyesha kuwa husaidia pia kwa kuziongezea nguvu na idadi seli nyeupe za damu na kuzidhibiti seli za kansa kuendelea kujizalisha.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1

31. Huzuia madhara ya miale ya jua

Tafiti zinaonyesha kuwa watu waliokuwa wakitumia mafuta ya habbat soda na kukaa kwenye jua masaa mengi walipatwa na madhara machache ya miale ya jua kulingalisha na wale ambao walikaa juani muda mrefu bila kutumia habbat soda.

Kiasi kikubwa cha kinga ya mwili kilionekana kwa watu waliokuwa wakitumia mafuta ya habbat soda. Kuna tafiti pia zinazothibitisha habbat soda kuwa msaada mkubwa kwa wagonjwa wa kansa walio kwenye matibabu ya mionzi.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa kama mafuta yako ya kupakaa kwenye ngozi kila siku

32. Huzuia na kutibu athari za sumu ya risasi

Sumu ya risasi (lead) ndiyo moja ya sumu zinazowapata watu wengi dunia nzima sababu ya maendeleo ya viwanda na matumizi ya madawa ya mashambani. Risasi inaweza kuleta shida na mambo mengi kuhusiana na kazi za mwili wako kwa ujumla na kuleta matatizo katika moyo, tumbo, figo, mfumo wa fahamu, mifupa na hata katika mfumo wako wa uzai.

Tafiti zimeonyesha kwamba mafuta ya habbat soda kuwa na uwezo mkubwa kuzuia na kurekebisha madhara katika ubongo yaliyotokana na sumu ya risasi.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa kichwani kila siku yale ya nywele nayo yamethibitika kuwa yanatibu maumivu ya kichwa na matatizo mengine mengi kuhusiana na kichwa

33. Huimarisha ukuwaji wa ndevu

Tafiti zimeonyesha mafuta ya habbat soda yanaweza kuhamasisha ubora na ukuwaji wa ndevu kidevuni. Ingawa hii siyo kazi yake hasa ya msingi, unaweza kupakaa moja kwa moja mafuta ya habbat soda ya nywele juu ya kidevu chako na utaona ndevu zinakuwa na afya nzuri, zinakuwa haraka na kuziacha zenye unyevunyevu pia.

34. Hutibu maumivu ya kuumwa na nyuki na nyigu

Unga wa habbat soda ukichanganywa na maji kidogo ni dawa nzuri kabisa ya asili kwa maumivu au uvimbe kutokana na kuumwa na wadudu kama nyigu na nyuki. Chua sehemu iliyoathiriwa na mchanganyiko huu kutwa mara mbili kwa siku 2 au 4 hivi.

35. Huondoa msongamano kifuani

Mwagia na uchue kwa dakika kadhaa juu ya kifua chako na mafuta ya habbat soda kuondoa msongamano (makohozi, gesi nk) kifuani. Utapata matokeo mazuri zaidi kama utachanganya mafuta haya na asali kwa ajili ya hili zoezi. Unaweza pia kuamua kunywa mdomoni kijiko kidogo kimoja cha chai kila siku badala ya kupaka juu ya kifua.

36. Hutibu maumivu ya sikio

Mafuta ya habbat soda yakichanganywa na mafuta ya zeituni yanaweza kutibu maumivu ya sikio na miwasho mingine masikioni. Changanya nusu kijiko kidogo cha mafuta ya habbat soda na nusu kijiko kidogo kingine cha mafuta ya zeituni, pasha moto kidogo mchanganyiko huu na kuweka matone mawili matatu sikioni sehemu iliyoathirika.

Unaweza kuweka skafu au kofia juu ya sikio dakika 2 baada ya kunyunyiza matone ya mchanganyiko huu na utulie sehemu moja kwa dakika kadhaa.

37. Dawa nzuri ya magonjwa ya macho na kuona

Mafuta ya habbat soda yanaweza kutumika pia kutibu maambukizi ya kwenye macho na wakati huo huo kuongeza uwezo wa macho kuona (eyesight and vision). Yametumika pia na watu wengi kutibu maambukizi ya kwenye macho yao ambayo hupelekea macho kuwa mekundu.

Ili kutibu hayo unaweza pakaa mafuta haya sehemu zinazozunguka jicho lako kabla ya kwenda kulala na unaweza kufanya zoezi hili kila siku kwa matokeo ya haraka zaidi.

38. Hutibu kiharusi

Unapougua kiharusi hasa usoni, mafuta ya habbat soda yanaweza kuleta nafuu haraka. Weka kiasi cha mafuta ya habbat soda kwenye bakuli au sahani na usogeze pua yako karibu na mafuta na unuse nuse mafuta hayo. Chukua sekunde 10 mpaka 20 kuvuta pumzi ndani kwa nguvu na urudie zoezi. Fanya zoezi hili kila siku mpaka upone.

39. Huondoa msongamano puani

Habbat soda pia hutumika kuzibua na kuondoa msongamano puani. Hii ni moja ya kazi ambayo mafuta haya yanazifanya vizuri zaidi. Unaweza kuyanywa na wakati huo huo kuyanusa puani kama nilivyoeleza kwenye namba 38 hapo juu.

40. Huondoa mawe kwenye kibofu cha mkojo

Kutumia mafuta ya habbat soda kwa ajili ya kuondoa mawe kwenye kibofu cha mkojo ni njia nzuri ya kuondoa maumivu na mawe katika kibofu cha mkojo kwa pamoja. Uwezo mkubwa ulionayo mafuta haya katika kuondoa vivimbe na sifa yake ya kuondoa sumu ndivyo vitu vinavyoyafanya mafuta haya kuwa dawa bora ya asili ya kuondoa mawe katika kibofu cha mkojo.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.

41. Huondoa mawe katika Ini

Kama ilivyo kwa mawe katika kibofu cha mkojo, mawe katika ini pia yanaweza kusababisha maumivu na madhara mengine makubwa wakati ukijitibu kwa kutumia dawa za viwandani. Sifa za mafuta ya habbat soda huondoa mawe katika ini kwa hali ya mwendelezo mpaka yatakapoondoka yote. Kunywa mafuta haya yakichanganywa na asali kwa matokeo mazuri zaidi. Kijiko kidogo kimoja unaongeza na asali kijiko kidogo kimoja. Tumia kwa mwezi mmoja hivi

42. Huondoa gesi tumboni

Mafuta ya habbat soda huusaidia mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula na hivyo kukusaidia kuondoa gesi. Pia yamethibitika kuondoa mvurugiko wa tumbo na takataka nyingine tumboni kwa haraka zaidi.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku mpaka upone kabisa

43. Hutibu bawasiri

Dawa nyingi zinazotumika kutibu bawasiri zina madhara mengine mabaya na nyingi ya hizo hazitibu kabisa bawasiri na kulazimisha wengine kufanya upasuaji. Mafuta ya habbat soda kwa upande wake yanatoa suluhu ya haraka katika kutibu bawasiri na tafiti zinaonyesha yanao uwezo wa kuzuia kusambaa au kuongezeka kwa ugonjwa huu.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku hasa habbat soda grade 1, pia pakaa sehemu yenye tatizo nje na ndani kutwa mara 2 kwa majuma kadhaa

44. Huondoa maumivu ya kichwa

Faida nyingine mhimu ya mafuta ya habbat soda ni uwezo wake katika kutibu maumivu ya kichwa na kipanda uso. Kwa karne nyingi Waarabu na Wazungu wamekuwa wakitumia mafuta haya kwa kupaka maeneo ya karibu na pua, macho na sehemu ya mbele ya kichwa ili kuondoa maumivu ya kichwa. Hata ukiyanywa kijiko kidogo kimoja kila siku maumivu ya kichwa yatapotea.

Pia yale meusi kwa ajili ya nywele nayo yanaondoa maumivu ya kichwa na hili nimelishuhudia mimi mwenyewe nilikuwa na tatizo la kuumwa kichwa mara kwa mara sababu ya kukaa kwenye computer masaa mengi lakini tangu nianze kutumia mafuta haya sijawahi kuumwa kichwa tena.

45. Huongeza kinga ya mwili

Unaweza kutumia mafuta ya habbat soda kuimarisha kinga yako ya mwili kwa ujumla na hivyo kuongeza ulinzi wa mwili wako dhidi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo dhidi ya bakteria na virusi. Mafuta ya habbat soda ndiyo bidhaa pekee ya asili iwezayo kuimarisha kinga yako ya mwili kwa muda mfupi.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku mpaka kinga yako imeimarika. Unaweza kutumia pia mafuta haya hata kama huumwi chochote.

46. Husaidia mama anayenyonyesha

Mafuta ya habbat soda yakitumika na mama anayenyonyesha husaidia kuongezeka kwa uzalishwaji wa maziwa. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku.

47. Huongeza kumbukumbu

Utafiti unaonyesha kuwa mafuta ya habbat soda yana uwezo wa kuongeza uwezo wako wa kumbukumbu, ufahamu na umakini. Karibuni imethibitika habbat soda yanaweza kuongeza uwezo wa kukumbuka vitu kwa haraka vikiwemo vya muda mfupi hata vile vya muda mrefu.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku mpaka hali yako ya kukumbuka vitu imekaa sawa.

48. Huondoa madoa meusi kwenye ngozi

Moja ya kazi za mafuta ya habbat soda ambazo wengi hawazijuwi ni hii ya kuondoa madoadoa au mabaka meusi juu ya ngozi. Unachohitaji ni kuyatumia kama mafuta yako ya kupakaa kila siku na hutachelewa kuona matokeo.

49. Huondoa maumivu ya kung’atwa na wadudu

Wadudu kama mbu na wengine wanapokuuma huacha pia maumivu fulani na hata uvimbe. Kupaka mafuta haya juu ya eneo lililoathirika kutasaidia kuondoa maumivu na uvimbe au muwasho wowote sababu ya wadudu hao.

50. Hutibu kukauka kwa midomo (Lips)

Tatizo hili la midomo ya nje (lips) kukauka limepelekea kutengenezwa kwa bidhaa nyingi za viwandani kwa ajili hiyo na wanawake ndiyo wanaonekana kuzitumia zaidi huku baadhi ya bidhaa hizo zikiripotiwa kusababisha baadhi ya saratani.

Mafuta mhimu (essential oils) yapatikanayo katika mafuta ya habbat soda yanaweza kuzuia kukauka kwa mdomo na kuzalisha upya ngozi kwenye sehemu za nje ya mdomo (lips) na kukuachia rangi safi ya asili ya lips zako bila madhara yoyote mabaya hapo baadaye.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai cha mafuta ya habbat soda kutwa mara 1 kila siku, pia pakaa sehemu ya lips zako kila siku.

51. Yanatibu kufunga choo

Kama vile yanavyokusaidia katika mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula ndivyo yanavyokusaidia pia kwa tatizo la kufunga choo au kupata choo kigumu sana. Kuna watu wengine asipopata choo hata siku mbili haoni kama ni tatizo kwake na mwingine amezoea kupata choo kigumu kila siku na anaona ni kawaida tu.

Kufunga choo au kupata choo kigumu sana kila mara ni ishara mbaya kuhusu afya yako. Ni dalili ya moja kwa moja kuwa huna maji ya kutosha mwilini au maji unayokunywa hayabaki mwilini na yanapitiliza kwenda nje bila kutumika na mfumo wako wa mmeng’enyo wa chakula.

Mafuta ya habbat soda yanatibu tatizo la kufunga choo (constipation) bila shida yoyote. Kunywa kijiko kidogo kimoja cha mafuta haya kila baada ya chakula cha mchana na baada ya chakula cha usiku kwa matokeo ya haraka.

52. Hutibu maumivu ya mgongo na mishipa

Unaweza kupunguza mahitaji ya dawa za kuondoa maumivu ya mgongo na mishipa kwa kupaka au kujichua na mafuta ya habbat soda sehemu yenye maumivu moja kwa moja. Hutakawia kuona nafuu kwa haraka.

53. Husaidia kuondoa maumivu ya tumbo

Kwa matatizo mengi ya tumbo, mafuta ya habbat soda yanaweza kuwa msaada mkubwa wa kukupa nafuu kwa haraka. Kuondoa maumivu ya tumbo ni moja ya kazi kubwa inayotambulika na wengi ya mafuta ya habbat soda. Kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku baada ya kula chakula kwa matokeo ya haraka.

54. Huondoa maambukizi kwenye fizi

Maumivu na maambukizi kwenye fizi za meno vinaweza kuondolewa kwa kutumia mafuta ya habbat soda. Uwezo wake wa kuondoa sumu na uvimbe ndiyo sababu ya madaktari wengi kupendekeza itumike kutibu maambukizi kwenye fizi. Unaweza kutumia kama dawa yako ya mswaki pia uyanywe kijiko kidogo kimoja kila siku.

55. Hutibu U.T.I

Maambukizi na matatizo mengi kwenye kibofu cha mkojo na njia ya mkojo kwa ujumla yanatibika na mafuta ya habbat soda ikiwemo ugonjwa wa U.T.I unaowasumbua watu wengi miaka ya karibuni.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1

56. Huzuia mdomo kukauka

Kutibu tatizo la mdomo kukauka chukua kijiko kidogo kimoja cha mafuta haya na weka mdomoni kwa sekunde 30 hivi. Jigeuzegeuze kichwa na mdomo kuhakikisha mafuta yanagusa kila sehemu za mdomo wako kabla ya kutema au unaweza hata kuyameza. Kisha safisha mdomo na kinywaji kingine kitamu kama juisi hivi au asali kuondoa radha yake ya ukakasi.

57. Huzuia pua kuvuja damu

Haya ni moja ya matumizi ya asili ya mafuta ya habbat soda nyakati za joto katika majira ya kiangazi katika jamii nyingi mashariki ya kati. Kama unapata tatizo la pua kuvuja damu unachotakiwa kufanya ni kuweka matone mawili au matatu ya mafuta haya ndani ya pua zako na ukae utulie uone kazi ya mafuta ya habbat soda kuzuia damu kuvuja puani.

58. Huondoa majeraha ya kuungua moto

Kupaka mafuta ya habbat soda juu ya majeraha ya kuungua kwa moto au maji ya moto kumethibitika kuponya majeraha hayo na kuzalisha upya ngozi. Kuondoa majeraha hayo chua eneo lenye athari ukitumia mafuta ya asili ya habbat soda kwa kuondoa maumivu haraka na kuizalisha upya ngozi yako.

59. Hutibu mba kichwani

Mafuta haya si mazuri kwa ajili ya kukuza au kuotesha nywele zako tu, bali pia huhamasisha ukuwaji wa vinyweleo vya ngozi na hata kuzuia na kutibu mba. Unachohitaji kufanya ni kupaka mafuta ya kutosha ya habbat soda kichwani kwako na uache kama dakika 30 hadi 60 hivi na unaweza kujisafisha au kuacha hivi mpaka utakapoenda kuoga tena.

Na mafuta haya unapoweka kichwani yanadondoka kidogo kidogo hadi kwenye ubongo na utaona vitu kama maumivu ya kichwa vinaanza kuisha taratibu.

60. Huondoa maumivu kwenye maungio

Moja ya matumizi yanayojulikana na wengi zaidi ya mafuta ya habbat soda ni kutibu maumivu ya kwenye maungio (joints) mbalimbali mwilini. Utapata nafuu ya haraka ukitumia mafuta haya kuondoa maumivu katika maungio.

Unaweza kujichua ukitumia mafuta haya moja kwa moja sehemu yenye maumivu kwa matokeo ya haraka zaidi. Pia kunywa kijiko kidogo kimoja kila siku kwa matokeo mazuri zaidi.

61. Huzuia kudhurika kwa figo kama matokeo ya Kisukari

Ukiacha ukweli kwamba mafuta ya habbat soda ni dawa mbadala nzuri kabisa ya kutibu Shinikizo la juu la damu na Kisukari pia ni dawa ya kuzuia kudhurika kwa figo kama matokeo ya kuugua ugonjwa wa kisukari.

Sababu ya hili ni kutokana na viinilishe mhimu sana vilivyomo kwenye habbat soda ambayo hujulikana pia kama ‘nigella sativa’ au ‘black seeds’.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku

62. Huweka sawa mzunguko wa hedhi

Mafuta haya yana kazi mhimu sana linalopokuja suala la kulinda na kutibu matatizo mbalimbali ya uzazi. Matatizo karibu yote ya uzazi kama maumivu ya tumbo chini ya kitovu, siku za mwezi zisizoeleweka au kutokuwa na mzunguko maalumu, kukosa hedhi, matatizo katika mfuko wa uzazi na hata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Ni dawa nzuri kutumika hata kwa wamama wakubwa wanaopatwa na matatizo kutokana na kusimama kuona siku zao. Unaweza kuyanywa kijiko kidogo kimoja kila siku na hata kupaka ndani ya uke mara kwa mara kwani hutumika pia kutibu .U.T.I na fangasi za ukeni.

63. Mazuri wakati wa ujauzito

Inasisitizwa kuwasiliana na daktari wako wakati wa ujauzito kabla ya kuamua kutumia dawa yoyote. Hata hivyo mafuta ya habbat soda yameonyesha matokeo chanya hata yakitumika wakati wa ujauzito ingawa bado hakuna hitimisho la jumla ikiwa yatumike kwa mama mjamzito au yasitumike sababu katika baadhi ya kesi yanaonyesha kupunguza kukazika kirahisi kwa misuli ya mfuko wa nyumba ya uzazi.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku

64. Hutibu baridi yabisi (Arthritis)

Mafuta ya habbat soda yamethibitika kuwa dawa bora dhidi ya ugonjwa wa baridi yabisi, maumivu kwenye mishipa na hali ya mwili kuwaka moto kwa ujumla.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku mpaka upone.

65. Hutibu vidonda vya tumbo

Ni moja ya dawa za asili chache zinazoweza kutibu vidonda vya tumbo moja kwa moja. Tafiti nyingi zinathibitisha mafuta ya habbat soda yanatibu aina zote za vidonda vya tumbo!

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hadi siku 60 hasa habbat soda grade 1. Vidonda vya tumbo pia upate unga wa asili wa majani ya mlonge na mbegu za maboga kwa matokeo mazuri na ya uhakika, kumbuka pia kunywa maji mengi ya kutosha kila siku, epuka pia vinywaji na vyakula vyenye asidi nyingi.

66. Yanaondoa maumivu mbalimbali

Mafuta ya habbat soda yanaondoa mahitaji yako kwa dawa nyingi za kuondoa maumivu (painkillers) mbalimbali mwilini. Katika kesi nyingi mafuta ya habbat soda yanaweza kuondoa kabisa mahitaji ya dawa za kuondoa maumivu.

Uwezo wake wa kuondoa vivimbe unayafanya kuwa chaguo zuri zaidi katika kutibu maumivu yote ya mwili wako kutoka kwenye nywele mpaka kwenye kucha.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1

67. Hutibu kansa ya Ubongo

Mafuta ya habbat soda ni msaada mkubwa katika kudhibiti na kusambaratisha vivimbe kwenye ubongo na seli za kansa kwenye ubongo wako. Makundi kadhaa ya watafiti wamehitimisha kuwa mafuta ya habbat soda ni dawa halali ya asili kwa ajili ya kutibu kansa ya ubongo na uvimbe katika ubongo.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1. Pia pakaa kichwani moja kwa moja ama mafuta ya habbat soda ya kawaida au hata yale ya nywele kila siku.

68. Yanapunguza wasiwasi (Anxiety)

Tafiti zimeonyesha mafuta ya habbat soda kuwa msaada mkubwa katika kudhibiti tabia za kuhamaki na wasiwasi na hivyo kukuwezesha kujisikia vizuri kila mara. Na utaona matokeo haya baada ya matumizi ya habbat soda kwa siku 30 hivi.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku 1

69. Huondoa huzuni na mfadhaiko/stress

Tafiti kadhaa zimeonyesha watu waliokuwa wakitumia mafuta ya habbat soda wanakuwa ni watu wenye furaha ya asili na kuwa si wepesi kuwa na huzuni au kufadhaika. Kazi hii ya mafuta ya habbat soda ndiyo mhimu kuliko zote sababu mamilioni ya watu wanakabiliwa na tatizo la kuwa na huzuni/stress na mifadhaiko ya akili kitendo ambacho kinaweza kuharibu kinga zao za mwili na maisha kwa ujumla.

Ni vigumu sana kupata mtishamba ambao unaweza kutibu matatizo yanayohusiana na saikolojia moja kwa moja lakini mafuta ya habbat soda yanaweza kutumika kwa dhumuni hili la kutuliza, kupunguza na kutibu tatizo la huzuni au kufadhaika kwa akili.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku hasa habbat soda grade 1 na kwa matokeo mazuri pata pia mbegu za maboga zilizokaangwa kidogo na chumvi ya mawe ya baharini na utafune kiganja kimoja cha mkono wako kila siku mpaka upone, tumia muda mrefu hata miezi miwili hata zaidi ikibidi.

70. Hutibu kizunguzungu

Historia nyingine katika matumizi ya mafuta ya habbat soda ni katika kutibu kizunguzungu. Mafuta ya habbat soda yanatambulika kwa kutibu kizunguzungu na kile unachotakiwa kufanya ni kujichua shingoni na mashavuni kwa kutumia mafuta ya habbat soda na dalili za kizunguzungu zinatakiwa zianze kupotea mara moja. Fanya zoezi hili kwa wiki 2 hivi

71. Hutibu Kiungulia

Faida nyigine kubwa ya mafuta ya habbat soda ni kuwa ni dawa ya asili dhidi ya kiungulia. Ingawa kuna tafiti chache zinazoweza kuthibitisha hili, bado historia inaonyesha mafuta ya habbat soda yamekuwa yakitumika kutibu kiungulia kwa karne nyingi.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa

72. Huzuia na kutibu tatizo la kupoteza kumbukumbu

Kumekuwa na tafiti nyingi hivi karibuni ambazo zimeonyesha mafuta ya habbat soda kuwa msaada mkubwa kwa kuzuia na kupunguza kuongezeka kwa dalili za ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (Alzheimer). Matokeo yalionyesha kwamba yakitumika kila siku kijiko kidogo kimoja hadi viwili vya chai huleta matokeo mazuri zaidi.

73. Hutibu homa ya uti wa mgongo

Nguvu za mtishamba huu zimethibitika kuwa msaada mkubwa katika kutibu homa ya uti wa mgongo (meningitis). Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa mafuta ya habbat soda ni moja ya tiba asili nzuri zaidi kwa ajili ya homa ya uti wa mgongo inayoaminiwa hadi sasa. Kunywa kijiko kidogo kimoja hadi viwili vya mafuta haya kila siku kwa majuma kadhaa.

74. Huongeza afya ya figo

Kuanzia kwenye ugonjwa wa figo hadi kwenye mawe ya kwenye figo, mafuta ya habbat soda yamethibitika kuwa msaada mbadala kwa matatizo ya figo.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa

75. Huimarisha afya ya mbegu za kiume

Ukiacha uwezo wake katika kuongeza stamina na nguvu kwa wanaume na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake, mafuta haya pia hutumika kutibu tatizo la afya dhaifu la mbegu za kiume na kuongeza wingi wake kwa ujumla (semen count). Kwa mjibu wa tafiti mbalimbali, mbegu za kiume zinaonekana kuimarika na kuwa nyingi za kutosha baada ya kutumia dawa hii kwa miezi miwili kila siku.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku hasa habbat soda grade 1

76. Huimarisha mifupa

Tafiti zimeonyesha kuwa mafuta ya habbat soda yanaongeza ukuwaji wa seli za uboho wa kwenye mifupa kwa asilimia 150 yanapotumika. Hii ni kwa mjibu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa kwa watu wengi mbalimbali. Kile kinashangaza zaidi ni kuwa mafuta haya yameonekana kuwa na uwezo wa kuzuia uongezekaji wa vivimbe mbalimbali walau kwa zaidi ya asilimia 50.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja hata miwili.

77. Yanatibu VVU

Matumizi mengine ya dawa hii ya asili yammekuwa ni katika kutibu VVU na UKIMWI kwa ujumla. Na hapa najua kutakuwa na maswali mengi sana!

Kwa mjibu wa tafiti za hivi karibuni, mafuta ya habbat soda yameonekana kuwa msaada mkubwa kwa kutibu VVU. Dawa hii ya asili imeleta nafuu kwa watu wengi kutoka katika dalili mbaya zaidi za ugonjwa huu. Kwa baadhi ya watu inachukua wastani wa miezi 6 hivi ya matumizi ya habbat soda kutibu VVU na kutoweka kabisa katika damu na kutokomea mbali kabisa.

Sasa, mimi nimekupa habari na dondoo kwa ufupi, ni juu yako sasa kupeleleza kwa undani jambo hili. 

78. Tiba asili ya chango kwa watoto

Ukiwa na mtoto anayesumbuliwa na chango au msokoto wa tumbo linaweza kuwa ni jambo linalokupa msongo wa mawazo maishani. Ingawa visababishi vya chango kwa watoto bado havijulikani bayana, kile ambacho kimethibitishwa ni kuwa mafuta ya habbat soda ni tiba asili kwa chango au msokoto wa tumbo kwa watoto.

Ni mhimu kuanza na kiasi kidogo sana kama matone matatu hadi matano na uendelee kuongeza kiasi cha dawa kidogo kidogo kila siku.

79. Hurekebisha matatizo katika tezi dume

Afya ya tezi dume ni ishu kwa wanaume wengi duniani kote na kupata dawa ya asili nzuri kwa ajili hiyo inaweza kuwa mtihani kwa wengi. Kwa bahati nzuri mafuta ya habbat soda yamekuwa yakitumika kwa ajili ya kuimarisha afya ya tezi dume kwa karne nyingi sasa. Tafiti zinaonyesha kuwa ni dawa nzuri hata kwa saratani ya tezi dume.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 6 hasa habbat soda grade 1 (kama yanapatikana lasivyo hata grade 2 yanafaa).

80. Huondoa udhaifu wa mwili kwa ujumla (lethargy)

Wengi wetu tunapatwa na kupungukiwa na nguvu za mwili wakati fulani nguvu zote za mwili kwa ujumla na nguvu za ubongo na za kiroho pia. Kwa ajili ya matatizo ya udhaifu wa mwili iwe kimwili, kiakili na hata kiroho hakuna dawa nyingine ya asili iwezayo kurekebisha hali hizo kama yawezavyo kufanya hivyo mafuta asili ya habbat soda.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku

81. Huondoa uchovu sugu

Kutoka kwenye maelezo yaliyotangulia hapo juu, mafuta haya pia yamethibitika kuondoa uchovu sugu wa aina zote na kuupa nguvu mpya mwili. Matumizi yake ni kama kwenye namba 81 hapo juu.

82. Huhamasisha uzalishwaji wa mkojo

Faida nyingine kubwa ya mafuta ya habbat soda ni uwezo wake wa kuhamasisha uzalishwaji wa mkojo. Matatizo mengi ya kibofu cha mkojo na tezi dume yamekuwa yakitibiwa kwa kutumia mafuta ya habbat soda kwa zaidi ya miaka 2000 sasa na tafiti zimethibitisha hivi karibuni faida hizi za mafuta ya habbat soda katika majaribio ya kimaabara yakionyesha kuimarika sana kwa afya ya tezi dume na kazi zake kwa ujumla.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1

83. Huzuia madhara yatokanayo na shambulio la moyo

Kama tulivyoona pale mwanzo kabisa kuwa mafuta ya habbat soda yamekuwa yakitumika miaka mingi kutibu matatizo mbalimbali ya moyo, vivyo hivyo yameonekana kuzuia madhara ya pili yatokanayo na shambulio la moyo (heart attack) na magonjwa mengine kwenye mfumo wa upumuwaji kwa ujumla.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1

84. Husaidia kuongeza damu mwilini

Wengi wetu tunakumbwa na tatizo la kupungukiwa damu (anemia) na hili linaweza kuiweka miili yetu katika hali ya hatari zaidi. Kwa mara nyingine tena mafuta ya habbat soda yanaonekana kuokoa tatizo hili baya la kiafya.

Yamethibitika kutibu tatizo la upungufu wa damu moja kwa moja.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa

85. Huondoa vimelea vya magonjwa

Mafuta ya habbat soda ni kinga dhidi ya vimelea (parasites) vingi vya magonjwa na huvitafuta na kuviua vimelea hivi popote vitakapokuwa ndani ya mwili. Hufanya kazi hii kwa kuvilevya hivyo vimelea na kuupa urahisi mwili kuviangamiza.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa

86. Husaidia kupunguza uzito

Kwa sababu uzito na unene kupita kiasi huhusiana pia na matatizo mengine ya kutofanya kazi kwa kinga ya mwili, ukaidi wa insulin, kansa na matatizo mengi katika mfumo wa upumuwaji, ndipo mafuta ya habbat soda yanapokuja kuwa mhimu kwa ajili ya kupunguza uzito na unene kupita kiasi.

Mafuta ya habbat soda yamethibitika na watafiti wengi kote duniani kuwa msaada mkubwa kwa wale wanaotaka kupunguza uzito.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 6 hasa habbat soda grade 1, usisahau pia kufanya mazoezi ya kukimbia (jogging) kila siku, epuka kukaa kwenye kiti masaa mengi na ubadili chakula unachokula kila mara hasa uepuke vyakula vya wanga na vile vyenye mafuta mengi na unywe maji ya kutosha kila siku.

87. Huziua seli za kansa za aina nyingi

Hutibu na kuziua seli za karibu kansa za aina zote, kansa ya mdomoni, kansa ya ini, kansa ya kongosho nk. Tafiti zimeonyesha mafuta ya habbat soda kuwa dawa nzuri dhidi ya kansa mbalimbali mwilini kwa kuzuia uongezekaji wa seli za kansa na kusambaratisha na kansa zenyewe katika baadhi ya kesi.

Hufanya kazi hii kwanza kwa kuiimarisha kinga yako ya mwili na kuziua seli zenyewe za kansa moja kwa moja.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa mwezi mmoja hadi miwili.

88. Huongeza afya ya ini

Mafuta ya habbat soda yanaimairisha afya ya ini kwa ujumla na kuimarisha kinga ya mwili. Ni dawa nzuri kutibu matatizo mengi ya ini hata kama familia yenu wote mna historia ya kuugua ugonjwa wa ini.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1

89. Huondoa sumu mwilini

Tatizo la mwili kuwa na sumu ni tatizo kubwa kwa watu wengi miaka ya karibuni na kupata mtishamba au dawa ya asili kwa ajili ya kuondoa sumu bado ni mtihani kwa watu wengi. Kwa bahati nzuri kwa upande wako umepata mafuta ya habbat soda. Mafuta ya habbat soda yamethibitika kuondoa sumu kila sehemu ya mwili yanapotumika.

Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa wiki 4 hadi 6

90. Huondoa hali ya kuchanganyikiwa (Schizophrenia)

Kutokana na sifa yake ya kuondoa vivimbe na sumu mwilini mafuta ya habbat soda yanaweza kutumika pia kutibu ishara na dalili za kuchanganyikiwa. Tafiti zimeonyesha mafuta ya habbat soda yakitumiwa na watu wenye kuchanganyikiwa wanapata nafuu haraka ya tatizo hilo ukilinganishwa na wale wasiotumia mafuta haya. Matumizi: Kunywa kijiko kidogo kimoja cha chai kutwa mara 1 kila siku kwa majuma kadhaa hasa habbat soda grade 1

Hitimisho:

Ni rahisi kuelewa kuwa faida nyingi ambazo mafuta ya habbat soda inazo zinawashangaza bado watu wengi. Unaweza kudhani hayo hayawezekani kwa mtishamba wa asili kutoa tiba kwa magonjwa mengi namna hiyo! Kile ninachojuwa ni kuwa ukweli hujieleza wenyewe.

Kiasi cha faida kinachopatikana katika mafuta haya ukilinganisha na bei yake ndicho kinachowafanya watu wengi wabaki na mshangao usioisha!

Watu wengi wanashangaa ni kwanini makampuni mengi ya madawa yatumie mabilioni ya pesa kutengeneza dawa mbalimbali kwa magonjwa mengi ambayo yangeweza kutibika kwa kutumia mafuta ya habbat soda tu kama tulivyoona hapo juu.

Ukiacha hayo, kupata hospitali na ukapata matibabu sahihi na kwa gharama nafuu bado ni changamoto katika nchi nyingi maskini na nyingi ya dawa zinakulazimu kuendelea kuzitumia kwa kipindi kirefu na pengine bila hata uhakika wa wewe kuja kupona.

Bahati nzuri kwa wewe ambaye umebahatika kupata habari hizi za habbat soda na umeweza kuona ni magonjwa mangapi unaweza kutumia kujikinga na kujitibu nayo.

Na jambo zuri kuliko yote ni kuwa huhitaji kutoka hata jikoni kwako ili kupata nafuu ya ugonjwa wowote ukiwa na mafuta ya habbat soda karibu yako.

Mtishamba huu wa ajabu utaendelea kubaki kwenye vitabu vizazi na vizazi vingi vijavyo kama moja ya tiba asili mhimu zaidi iliyowahi kujulikana na binadamu.

PICHA: Ajali ya Mabasi iliyotokea Mlima Kitonga Leo Machi 5

$
0
0

IRINGA: Basi la Abood lililokuwa likitokea Iringa kwenda Dar es Salaam limeligonga kwa nyuma basi la Happy Nation lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam kwenye milima ya Kitonga ambapo basi hilo liligonga lori la mizigo aina ya Fuso.

Katika tukio hilo mabasi hayo mawili yalitumbukia kwenye korongo lakini taarifa ya kifo au majeruhi bado hazijapatikana.

Matumaini ya Timu ya Yanga Yazimwa na Mtibwa Sugar

$
0
0

YANGA SC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.


Sare hiyo inayokuja siku moja baada ya mahasimu wao, Simba kulazimishwa sare ya 2-2 na Mbeya City katika mchezo mwingine wa Ligi Kuu jana inawanyima nafasi nzuri ya kupanda kileleni Yanga.


Yanga inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 24 ikiendelea kuzidiwa pointi mbili na Simba SC yenye pointi 55 za mechi 24 pia. 


Simon Msuva alipoteza nafasi nzuri ya kuifungia Yanga bao la mapema tu dakika ya 35 baada ya kupiga juu shuti la mkwaju wa penalti, kufuatia Ally Lundenga wa Mtibwa Sugar kuunawa mpira kwenye boksi.


Sifa zimuendee mshambuliaji Mzambia, Obrey Chirwa aliyempisha kwa mbele Lunenda wakati beki Oscar Joshua anarusha mpira na mchezaji huyo wa Mtibwa akaunawa mpira kwa bahati mbaya.


Pamoja na penalti hiyo, timu zote mbili zilishambuliana kwa zamu kwenye mchezo huo ambao ulipoozeshwa na hali mbaya ya Uwanja wa Jamhuri licha ya ukarabati uliofanyika.


Kikosi cha Mtibwa Sugar kilikuwa; Said Mohammed, Shaaban Nditi, Haroun Chanongo/Kevin Friday dk75, Stahmil Mbonde/Hussein Javu dk83, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’, Ally Lundenga, Salim Abdallah, Mohammed Issa, Jaffar Ally, Ally Shomary na Ally Makarani. 


Yanga SC; Deogratias Munishi ‘Dida’, Hassan Hamisi, Oscar Joshua, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Vincent Bossou, Kevin Yondan/Said Juma ‘Makapu’ dk70, Simon Msuva, Justine Zulu, Obrey Chirwa, Malimi Busungu/Juma Mahadhi dk31 na Emmanuel Martin/Geoffrey Mwashiuya dk60.

Babu Tale Afunguka Baada ya Mwili wake Kupungua Ghafla...Awataka watu Kuepuka Matapeli

$
0
0


Babu Tale Afunguka Baada ya Mwili wake Kupungua Ghafla...Awataka watu Kuepuka Matapeli

Afunguka haya:

"Epuka na matapeli haya ni matokeo ya gym sio dawa yoyote😂😂😂😂 kuna wapuuzi wanasema nime bana tumbo sasa jamani sinaweza kujinyea maana mtumbo ulivyo mkubwa then uishie kuubana😂😂😂 ukitaka kupungua fanya mazoezi sio unywe dawa utakuja kusaga vitu tumboni"
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images