Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live

Hofu ya Lowassa Ilikuwa Kubwa Sana na Kusababisha Magufuli Amrudie Kikwete...!!!

0
0

Tunajua kuwa alipoingia madarakani Mh Rais aliingia kwa kasi na hasira kubwa dhidi ya madudu aliyoyaona katika utawala uliopita na mara kadhaa alionekana kupinga mambo kadhaa ambayo yalionekana kuwa yamelelewa na serikali iliyopita. kauli nyingi zilitolewa na kuanza kusafisha mabaki yote ambayo aliona ni zaod la serikali iliyopita na yalikuwa na uaminifu mkubwa kule.

hali ilisababisha mambo mengi yatokee sebuleni na pia huko chumbani. na kawaida vuguvugu linalotokea chumbani huja kuonekana sebulen. kama huamini angalia mika ile wazaz wakigombana chumban wakija sebulen wataonesha tu kuna jambo hata kama watajifanya kuongea na kutabasam kinafiki.

jinamizi la lowassa liliendelea kumtesa mh rais na amesikika mara mbili huko dodoma akizungumzia suala la wa nec kuimba wana imani na lowassa. hii inaleta picha kuwa yeye hawana imani naye. asingeweza kuwafukuza wanec wote ila aliona ni bora a deal na watu kadhaa iwe onyo kwa wengine pia. 

lakini ile picha ya ridhiwani na lowassa nayo ilikuwa na mchango wenye mshtuko mkubwa sana kwa waheshimiwa. na pengine ikaanza kujenga picha kuwa inawezekana kabisa kambi ya kikwete ikahamia kwa lowassa na hivyo kumpa wakati mgumu mh ndani ya ccm. hivyo solution nzuri aliona ni kurudi kwa kikwete ikiwa ni pamoja na kumpa ubunge wa kuteuliwa mama kikwete. na pia hata jana kuamua kuupa jina ukumbi ule wa ccm la kikwete ilikuwa ni katika hali ya kutengeneza urafiki ambayo haukuwah kuwepo kati yao wawili kutokana na kauli mbalimbali ambazo zimewah kuwepo hapo nyuma toka Mh alipokuwa waziri.

ameshaona siasa imekuwa ngumu ndani ya chama na kwa nchi kwa ujumla hivyo anapaswa kujiambatanisha na kundi flan. kundi hilo ameona liwe la kikwete ambaye ndiye aliyemwachia kijiti. na tutegemee mambo kadhaa pia ili kuweza kufanya urafiki huu udumu na usiwe wa mashaka kwa maana ya kuwa mama salma kuna nafasi nzuri anaandaliwa. hii familia ndiyo ambayo inaonekana haiwezi sana kuwa karibu na lowassa ingawa pia inaonesha kuwa katika siasa anything can happen. hasa kutokana na aina ya siasa za lowassa. lowassa amekuwa ni mwanasiasa anayeheshimika hata na wanaomchukia kwa kuwa na moyo dhabiti wa kutoendesha siasa za kistaarabu sana.

lowassa anaheshimika kutokana na hali yake ya kutokuwa na siasa zakishabiki na matusi kama ambavyo tumezoea watanzania wengi kuongozwa na jazba. uvumilivu wake umekuwa ni silaha kubwa dhidi ya maadui zake ambao humsema kutwa kuchwa.

jambo hili limekuwa ni kama fumbo kubwa sana ndani ya viongoz wakubwa wa ccm kiasi kwamba pale walipo wakati wote huona kma kuna kivuli cha lowassa na hii imesababisha kuwa hata anayepinga jambo lolote ndani ya chama anaonekana ni masalia ya lowassa. 

kila alipozungusha macho mh kuangalia pande za kulia na kushoto mbele na nyuma alijiona amesimama peke yake na watu wengine wakiwa wapo lakini hawapo kutokna na woga kwao. aliona kuwa anapaswa kufanya mabadiliko na ili mabadiliko hayo yasimame anapaswa kuwakumbuka na kuwataka radhi watu kadhaa ambao hapo mwanzo walionekana kuwa ni wa hovyo kwake. na hivyo kuamua kuwaangukia. na gharama ya kuaangukia watu hawa itakuwa kubwa sana ili baadaye aweze jiamini na kuona amesimama.

Hayo ni Maoni ya Mmoja wa Wadau wa Siasa

Mama Janeth Magufuli, Tuna Mengi ya Kujifunza Kwake Kama Mama na First Lady. Mapito Yake ni Somo...!!!

0
0

Moja ya wanawake ninaowaheshimu sana hapa Tanzania akiwepo mama yangu,mke wangu na wengineo ni mama Janeth Magufuli. nimekuwa kwa karibu sana nikimfuatilia mama huyu na kugundua ni mwanamke wa kipekee hasa ambaye katika miaka takribani 30 hajatokea First Lady wa aina yake nchi Tanzania. ni mwanamke ambaye ana moyo ulioshiba kujiamini na wenye umaskini wa majivuno.

huyu mama amekuwa akisimamia anachoamini na mara nyingi ameonekana akiwa katika picha au video mbalimbali akionesha alicho nacho moyoni ni kikubwa kuliko kile tunachokiona. ni mama ambaye aliridhika ana ameridhika na kazi yake ya ualimu pamoja na kuwa mumewe alikuwa waziri serikali iliyopita na hata sasa bado anaonekana kutamani kuendelea na kazi yake ya ualimu ingawa inakuwa ni ngumu kutokana na mazingira ya nafasi ya mumewe kwa sasa.

mama huyu ambaye amekuwa makini sana kusikiliza kila linalosemwa juu ya mumewe ambaye ni rais wa nchi na kulipokea kwa hisia nzito sana akihusisha na hali halisi ya maisha ambayo wamekuwa wakiishi na mumewe. na hii imemfanya kuwa mama wa karibu na ambaye aliamua ku msupport mumewe agombee urais katika mazingira magumu sana kisiasa nchi tanzania.

mama janeth alikubali ku msupport mumewe na kuzunguka naye nchi nzima akimfanyia kampeni akionesha ustaarabu wa hali ya juu sana. mama huyu si mwingi wa maneno... mara nyingi amekuwa mkimya na unaweza msoma vizuri kupiia sura yake ya upole na yenye utulivu.

naamini huyu atakuwa mmoja ya first lady ambao hawatajilimbikizia mali kupitia miradi na mifuko mbalimbali kama ilivyotokea huko nyuma. tuzidi kumwombea Mungu amtie nguvu na ninaamini kwa namna ambavyo amepitia mengi mpaka kufika hapo alipo tuna mengi ya kujifunza toka kwake.

na mwisho tumpongeze mh rais kwa kuweza kupata mke kama mama janeth magufuli naamini analielewa hili kwa upana kabisa kuwa amepata mwanamke ambaye ni wa aina yake katika siasa za tanzania. mwenye msimamo imara lakini pia mwenye busara na kuamini anachoamini siku zote.

Duh..Straika wa Zanaco Aliyefunga Goli la Kusawazisha Ametoa Kauli Hii Kuhusu Simba...!!!!

0
0

STRAIKA wa Zanaco ya Zambia, Kwame Attrams, raia wa Ghana, amesema anatamani siku moja kuja kukipiga Simba.

Attrams ndiye aliyeisawazishia Zanaco baada ya Yanga kutangulia kufunga  wakati walipotoka sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Akizungumza na juzi, Attrams alisema akizichezea Simba inaweza kuwa njia ya kwenda kusakata kabumbu Ulaya.

Attrams alisema lakini atakuwa tayari kuichezea Simba kwa kuwa ni timu kongwe na zinafuatiliwa na mashabiki wengi barani Afrika ikiwamo nchini Ghana.

Straika huyo aliyezichezea timu za Groupe Spotive Bazano ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Wadi Degla ya Misri, alisema malengo yake ni kutaka kuona siku moja anacheza soka Tanzania katika klabu hizo mbili zenye historia kubwa.

“Simba na Yanga ni timu kubwa,  nimeanza kuzisikia tangu nikiwa mdogo natamani siku moja na mimi nije Tanzania kufanya kazi na moja ya klabu hizi,” alisema Attrams.

Alisema anajisikia furaha kuifunga Yanga kwa kuwa ni timu kubwa na tayari ameingia katika historia ya kuwatungua Wanajangwani hao.

Attrams alisema atajisikia zaidi akicheza pamoja na Waghana wenzake wanaokipiga Simba, James Kotei na Daniel Agyei.

Tafakuri ya Said Michael Kuhusu Dhana ya "CCM MPYA"!!..!!!!

0
0
Katuni Inaongea,Unadhani Ujumbe wa Katuni Hii Unasadifu uhalisia wa CCM mpya?

Makonda Arudi Bongo kimya Kimya,Leo Aonekana Kurasini Akizindua Barabara..!!!!

0
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda amezindua barabara ya Shimo la Udongo, Kilwa EPZ iliyopo kurasini ya Kilomita moja; Iliyojengwa kwa kiwango cha zege na kampuni ya wazalendo ya Grant Tech iliyogharimu takribani milioni 350.

Mapenzi Ya Mtoto wa Kitanga Yampagawisha, Aitelekeza Familia Yake...!!!

0
0

Jamaa amekiri kabisa kuwa inawezekana amefanyiwa kitu mbaya na msichana ambaye hakumtaja jina na kumsahau mke wake na watoto na kwenda kuhamia kwa dada huyo.

Alidai kuwa alipoanza urafiki na dada huyo miezi minane nyuma alikuwa yupo katika hali ya kawaida, lakini ipipotimia kiezi mitano ya urafiki wao alijikuta akiingia katika penzi zito na dada huyo hali ambayo ilimfanya aanze kusahau kidogokidogo familia yake bila kujitambua.

Alidai kuwa alikuwa akienda kwa dada huyo na kuchelewa kurudi nyumbani kwake, mara alijikuta akishindwa kurudi kabisa nyumbani kwake na kulala hukohuko na kumpigia mke wake simu kuwa alikuwa yuko bize kazini na kurudi kesho yake.

Alisema mbaya zaidi alijiona kama yuko tofauti na kuanza kumuona mke wake kama mtu wa kawaida na kumuona dada huyo kama ni mke wake na kuona kamda kitu cha kawaida.

Kutokana na hali hiyo ya kuzidi kusahau familia yake alidai mke wake alikwenda kuripoti kwa ndugu zake yeye na kuulizwa na kukana kuwa si kweli.

Hivyo kadri siku zilivyozidi kwenda hali ndiyo ilizidi kuongezeka ya kusahau familia yake na mke wake kuwataka baadhi ya ya shemeji zake wafike nyumbani kwake walale ili wathibitishe maneno ambayo alikuwa akiwaambia ya kuwa mume wake alikuwa harudi nyumbani.

Shemeji zake hao walithibitisha tukio hilo na kuanza kulifanyia kazi susala hilo na kumfatilia ndugu yao huyo na kugundua kuwa alikuwa akizuzuliwa na mwanamke huyo.

KWa kuwa alikuwa hajitambui ilibidi ndugu hao wamkanye na kumtaka aachane na mwanamke huyo nay eye kukiri ni kweli alikuwa na mahusiano na huyo dada na kuwambia alikuwa anatamani aondokane na hali hiyo lakini alikuwa anashindwa kujinasua kuachana na huyo dada.

“yaani rafiki yangu inawezekana nimeshalishwa limbwata na yule dada kama watu wanavyosema, yaani nimefikia hatua sirudi nyumbani kwangu hii kali? Alisema kaka huyo kwenye mazungumzo na mwandishi wa habari hii

“Na sitamani kumuacha, nimewaambia ndugu zangu mwenye kujua dawa ya kunifanya nirudi nyumbani kwangu anitafutie anipe ili nisisahau kurudi nyumbani kwangu nikienda kwa yule dada, nampenda mkewangu ila ndio hali imenikuta hii” alidai

Unataka Mapenzi Moto Moto Kitandani. KUNYWA UJI!

0
0

Ni ndoto ya kila mwanamume kuwa bingwa kitandani lakini nyakati zingine ngoma hukosa hata kushika kasi, na kuwafanya wanaume hao kukandamizwa na mawazo

- Watafiti, hata hivyo, wamebaini vyakula fulani ambavyo wanakushauri kuvitumia kuimarisha ngoma

1. Kahawa

Kikombe cha chai ya kahawa huwa na kafeini ambayo huimarisha metaboli ya mwili. Vile vile, hufanya moyo kudunda haraka na kwa nguvu na hivyo kusambaza damu kwa kasi mwilini, hadi kwa mzinga. Haya ni mambo muhimu kwa mwanamume kushiriki mapenzi vilivyo.

Utafiti unaonyesha kuwa kafeini pia humpa mwanamume uwezo wa kudumu kileleni, na hivyo kumwezesha kuhifadhi nguvu za kutumia wakati ngoma inahitaji nguvu mpya.

2. Soseji

Ni muhimu kwa neva za mzinga kuwa ngangari ili kukupa uwezo wa kufanya shughuli kitandani.

Utahitaji kula vyakula vya Vitamini B1, ambazo hupatikana katika soseji ya nguruwe. Iwapo hupendi kula soseji, pata vitamini hizo kwa maharagwe ama mkate ulioundwa kutokana na unga ambao haujakobolewa.

3. Divai

Divai ni kinywaji tosha kuimarisha nguvu za kiume, hususan divai nyekundu. Hii imebainika kutoa virutubishi vya kemikali ya nitric oxide ambayo husaidia kupanua mishipa mikuu ya damu na kuimarisha mtiririko hadi kwa mzinga.

Kemikali hiyo hufanya kazi kama tu Viagra – kupanua kabisa mishipa mikuu ya damu – ingawa tofauti ni kuwa vidonge hivyo husababisha mishipa hata midogo katika eneo la uume kupanuka.

Tahadhari: usinywe glasi nyingi kwani itakuletea madhara.

4. Uji

Uji huchukuliwa kama kinywaji cha watoto, lakini uji uliotengenezwa kutokana na unga ambao haujakobolewa huwa na nyuzi zinazosaidia kuondoa kolestorol kwenye damu.

Damu ikiwa sawa mtiririko ni haraka na mishipa inaweza kustahimili kishindo kinachotokana na shughuli nzima ya ngoma. Iwapo unataka mzinga kusimama wima kileleni, kopo la uji litakufaa!

5. Ndizi

Ndizi hukupa Vitamini B inayokuwezesha kuhifadhi nguvu za kimwili na kukuondolea mawazo. Vile vile, zimejaa homoni za serotonin na potasiamu ambazo zinatumika kuunda homoni za mahaba na ile ya bromelain, ambayo ni aina ya kemikali inayoimarisha mtiririko wa damu mwilini.

Fahamu Faida za Kushiriki Mapenzi Mara kwa Mara na Mwezi Wako...!!!

0
0

Ngono si desturi ya kila siku hata kwa wapenzi walio mabingwa kitandani. Hata hivyo, kukosa kushiriki ngono kwa muda mrefu kuna madhara yake ambayo watu wengi hawayafahamu.

Utafiti uliofanywa na British Association for Sexual Health and HIV ulibaini madhara haya yaliyowakumba wapenzi wengi:

Mafadhaiko na wasiwasi mwingi

Kushiriki mapenzi kutakuletea raha sasa hivi na siku nzima.

Homoni ya endorphins ambayo hutolewa wakati na baada ya kulishana mahaba husaidia kukuchangamsha na hivyo kukuondolea mawazo. Ukizima mapenzi hutanufaika na kitulizo hiki.

Mwanamume anajinyima fursa ya kumzuia kupatwa na kansa ya tezi

Imebainika kuwa wanaume ambao huacha kufanya ngono hukosa manufaa ya ziada ya ulinzi dhidi ya kansa ya tezi.

Utafiti uliowasilishwa kwa shirika la American Urological Association ulipata kuwa wanaume ambao hushiriki mapenzi zaidi hujipunguzia hatari ya kupatwa na maradhi hayo kwa asilimia 20.

Sababu kuu ni kuwa shughuli ya kufyatua mzinga mara kwa mara yaweza kutupa nje vitu hatari kutoka kwa tezi hiyo.

Utaishi kutoa kamasi na kulalamika homa

Watafiti pia wamethibitisha kuwa shughuli nzima ya kusakata ngoma huimarisha kinga ya mwili.

Watu ambao hushiriki mapenzi mara moja ama mbili kwa wiki huimarisha kinga yao ya immunoglobulin A kwa asilimia 30 ikilinganishwa na wale ambao hula mahaba mara chache ama hukosa kabisa.

Kudidimia kwa udhibiti wa kibofu na nguvu za kiume

Ngono pia hukusaidia kufanyisha zoezi misuli ya kibofu na kukuondolea matatizo ya nguvu za kiume. Unavyozidi kushiriki mapenzi ndivyo unazidi kuimarisha fursa ya mzinga kusisimka.

Kiwango cha mafadhaiko huongezeka

Utafiti umethibitisha kuwa ukishiriki ngono mara kwa mara huwezi kukumbwa na mawazo kwa sababu kuna ongezeko la homoni zinazohusika kukuletea uchangamfu. Ngono hukusaidia kudhibidi mafadhaiko yanayokukumba.

Ndoto zako hubadilika

Ukikosa mapenzi utaanza kuota ukishiriki ngono ama hata kushikwa na nyege usingizini. Tatizo ni kuwa hii ni ndoto tu!

Ubongo huduwaa

Wanasayansi wamebaini kuwa tendo la ngono huimarisha ukuaji wa neva katika eneo la ubongo linalohusika na shughuli ya kudumisha kumbukumbu, hippocampus.

Kama tujuavyo kumbukumbu nzuri ni kifaa muhimu masomoni kwani itakuwezesha kuyakumbuka mambo uliyofunzwa darasani ama kusoma vitabuni, na hiyo itakuweka pazuri wakati wa mtihani.

Kisima cha mwanamke hulegea

Ngono ni zoezi mwafaka kwa kisima chako. Shughuli ya misuli kujikunyata na kuachilia huchangia kubana kisima.

Kwa upande mwingine, ukosefu wa ngono hufanya misuli hiyo kulegea na kisima kuwa legevu.

Utafiti..Matajiri Hushiriki Mapenzi Vyema Zaidi Kuliko Maskini..!!!

0
0

Kauli ya mhariri: Ngono ni kama pesa, gofu au pombe aina ya whisky. Hata inapokuwa mbaya, ni nzuri. Kulingana na utafiti uliofanywa majuzi, pesa nyingi zinakusaidia kuwa na maisha mema ki mapenzi. Ian Isherwood anatoa sababu tano ambazo zitakufanya kufikiria mara mbili kuhusiana na wasichana wanaofanya ngono ya kulipwa kulingana na utafiti uliofanywa.

1. Huwa hawajali

Usemi kuwa pesa haziwezi kununua furaha hutumiwa na watu walio na pesa kuwafanya wenzao kutojihurumia kwa kukosa pesa. Hii ni kwa sababu matajiri hawana shinikizo yoyote maishani kifedha.

Ukweli ni kuwa, ikiwa una shinikizo, hauwezi kupata ngono ya kuridhisha kwa sababu shinikizo huua matamanio ya kufanya ngono. Hii ni kufikiria kuhusiana na masuala kadhaa yanayokuathiri kutokana na ukosefu wa fedha.

2. Wanaume walio na pesa huwa wazuri zaidi kitandani

Wanawake wengi hawawezi kubeba mimba ikiwa hawana uhakika kama mtoto atatunzwa vyema, hivyo mwanamke kama huyo akipatana na mwanamume tajiri, kazi nyingi huwa kitandani na huwa hana hofu yoyote akishiriki ngono na mwanamume wa aina hiyo. Ikiwa mwanamke hana hofu, kuna uwezo zaidi wa kufikia kilele mara nyingi. Hivyo wasichana hukimbiza sio pesa pekee bali pia kuridhika!

3. Pesa zinaweza kununua mapenzi

Watu wengi matajiri wamegundua kuwa pesa zinaweza kuwapa uwezo wa kuwa na ujasiri. Ukichanganya hayo pamoja, matokeo yatakuwa ngono yenye kuridhisha. Huwa na pesa za kununua nguo na kujimwaya hivyo, hujiamini, hata kitandani!

4. Afya yako, mali yako

Matajiri huwa wanakula vyema kwa sababu wana pesa za kununua chakula. Huwa pia wanafanya mazoezi mara kwa mara kuhakikisha kuwa wamesalia wenye afya. Ukiwa na afya nzuri, ina maanisha kuwa una uwezo mkubwa wa kufanya vyema kitandani.

5. Wana wakati mwingi wa kutembea

Watu ambao ni matajiri huwa mara nyingi na uwezo wa kukubali kufanya mambo yaliyo hatari. Kutokana na utafiti, kufanya hivyo kunaweza kuimarisha hamu ya kushiriki ngono. Hii ni kutokana na kuwa watajaribu mitindo mipya kitandani.

Magufuli amewapasulia jipu wabunge wa CCM

0
0

Rais John Magufuli amewapasulia jipu wabunge wa CCM kuwa anamuunga mkono Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa hata kama wapo miongoni mwao wanaompinga.


Mbali ya kumkingia kifua Majaliwa, Mwenyekiti huyo wa CCM pia amewaonya wabunge wa chama hicho wanaotoa muda wao wa kuchangia bungeni kwa wapinzani, huku akieleza kukerwa na wabunge wanaofifisha vita dhidi ya dawa za kulevya na mmoja akimtuhumu kutoa siri za chama kwa upinzani.


Rais Magufuli aliyekutana jana na wabunge hao Ikulu ndogo ya Chamwino mjini hapa, pia aliwaambiwa kwamba yeye ndiye aliyeamua kusitisha mikutano ya Bunge kuonyeshwa moja kwa moja katika televisheni.


Kikao hicho cha ndani kimefanyika siku moja baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa CCM mjini hapa na kupitisha mageuzi makubwa ya kikatiba na kanuni kwa chama hicho tawala.

Upasuaji wa Kupunguza Unene wa Mwanamke Mwenye Kilo 500 Wafanyika India..!!!

0
0

Mwanamke wa Misri anayeaminiwa kuwa mwenye uzito wa juu zaidi duniani akiwa na kilo 500, amefanyiwa upasuaji wa kupunguza unene chini India.

Msemaji wa hospitali ya Saifee mjini Mumbai amesema kuwa Eman Ahmed Abd El Aty, mwenye umri wa miaka 36, amepungua kilo 100 baada ya upasuaji.

" Tunajaribu kumuwezesha kuwa mwenye nguvu za mwili kuweza kusafiri nyumbani Misri haraka iwezekanavyo," ilieleza taarifa ya hospitali.

Familia yake ilisema kuwa hajawahi kuondoka nyumbani kwao kwa miaka 25 hadi siku aliposafirishwa hadi India mwezi Januari kwa ndege.

Msemaji wa hospitali ya Saifee ameiambia BBC kuwa anaweza kupungua kilo za mwili zaidi katika kipindi cha miezi kadhaa ijayo.

Upasuaji huo ulifanywa na kundi la madaktai walioongozwa na daktari bingwa wa upasuaji wa kupunguzunene wa mwili, Dkt. Muffazal Lakdawala.

Upasuaji wa kupunguza uzito na unene wa mwili unaofahamika kama -Bariatric surgery, kwa lugha ya kitaalam hutumiwa kama suluhu la mwisho kumtibu mtu ambaye ana uzito unaohatarisha maisha yake.

amilia ya Bi Abd El Aty' wanasema kuwa alikuwa na kilo 5 wakati alipozaliwa na alipatikana na ugonjwa wa matende, unaosababisha sehemu za mwili kuvimba kutokana na maambukizi ya wadudu aina ya kupe.

Wakati alipofikia umri wa miaka 11, uzito wake ulikuwa umeongezeka haraka na akapata kiharusi, hali iliyomfanya kuishi kitandani.

kwa sasa anahudumiwa ma mama pamoja na dada yake.

Hata hivyo Dkt. Lakdawala aliiambia BBC mwezi Disemba kwamba anaamini Bi Abd El Aty hana ugonjwa wa matende bali anaumwa unene wa kupindukia unaosababishwa na kuvimba kwa miguu.

Upasuaji wa bariatric unafanyika vipi

Bariatric surgery, ambao pia unafahamika kama upasuaji wa kupunguza uzito wa mwili, hufanyika kama suluhu la mwisho la tiba ya mtu mwenye unene wa kupindukia na mwenye kiwango kikubwa cha mafuta mwilini.

Aina mbili zinazofanyika mara kwa mara za upasuajiwa kupunguza uzito wa mwilini ni:

Gastric band, upasuaji ambao hufanyika kuzuwia ukubwa wa tumbo ili kiasi kidogo cha chakula kiweze kumshibisha mtu

Gastric bypass, huu ni upasuaji ambapo mfumo wa kusaga chakula hubadilishwa na kuufanya kupokea chakula kidogo tu cha kusaga na hivyo chakula kidogo ndicho huruhusiwa kusagwa ili kumfanya mtu kuhisi ameshiba.

Vanessa Mdee Aachiwa kwa Dhamana..!!!

0
0

Baada ya kushikiliwa na polisi kwa takriban siku 4, Vanessa Mdee ameachiwa kwa dhamana Jumatatu hii.

Vanessa ambaye alishikiliwa muda mfupi baada ya kurejea kutoka Afrika Kusini ni miongoni mwa mastaa waliotajwa kwenye orodha ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutokana kuhusishwa na matumizi na biashara ya dawa za kulevya.

Inadaiwa kuwa Vee anatetewa na mwanasheria maarufu, Peter Kibatala.

Watu wengi wakiwemo mastaa nchini walikuwa wakimtetea kutaka kuachiwa huru kutokana na kile wanachoamini kuwa anaonewa.

Wazo la Wimbo ‘Niambie’ Nilitaka Wolper Aniambie Kwanini Ananipenda – Harmonize...!!!

0
0

Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amedai idea ya wimbo wake mpya ‘Niambie’ ilitokana na aliyekuwa mpenzi wake, Jacqueline Wolper.

Muimbaji huyo amedai alishindwa kujua ni kwanini malkia huyo wa filamu alimpenda na kuwatosa wenye pesa zao ambao walikuwa wanamnyapia nyapia.

“Watu wamekuwa wakisema hatuendani mimi na Wolper huenda kwa sababu yeye alianza kuwa staa kabla yangu wakati huo nikiwa kijijini au hatuendani kwa kuwa yeye anapesa nyingi pengine kuliko mimi!,” Harmonize aliiambia Global TV Online.

Aliongeza, “Licha ya hayo yote lakini alikuwa ananionesha ananikubali, kunifanya niwe mwanaume hata kunitangaza kwenye jamiii. So sometime nikiwa nazi-appreciate zile treatment anazonipa kwa sababu wengi wenye pesa walikuwa wanamtaka. So nikapata idea ningependa siku moja uniambie kitu ambacho kinakufanya mimi unipende wakati mimi sina chochote,”

Wimbo huo mpya wa muimbaji huyo unapatikana kwenye mtandao wa www.wasafi.com.

Fake News: Watangazaji 9 wa TBC Waliotangaza Trump Amsifia Rais Magufuli, Wasimamishwa Kazi...!!

0
0

Watangazaji tisa(9) wa TBC 1 walioandaa, kuandika na kutangaza habari juu ya Rais wa Marekani Donald Trump kumsifia Rais Magufuli wamesimamishwa kazi.

Mkurugenzi wa TBC Ayubu Ryoba alikasirika sana na kuamua kuwasimamisha wafanyakazi hao wakiongozwa na Gabriel Zhakaria.

Kazi Imeanza..Ridhiwani Kikwete Ahojiwa na Tume Dawa za Kulevya, Asema Haya...!!!

0
0

Mbunge wa Chalinze jana alihojiwa na tume ya kupambana na kudhibiti madawa ya kulevya. Alipoulizwa kuhusu kuitwa huko, mwenyekiti wa tume hiyo, jaji Siang'a amesema kila aliyetajwa kwenye orodha ya wanaohusika ataitwa. Naye Ridhwani amesena maelezo aliyopewa yamemsuuza moyo.

Kimenuka CCM..Sophia Simba Amvimbia Magufuli,Asema Ahami na Haondoki CCM Ng'oo...!!!!

0
0

Siku moja baada ya mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA kuwakaribisha kwenye chama chake kipya waliofukuzwa CCM kwenye mkutano maalum, aliyekuwa mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba amesema amukua kwenye chama hicho kwa miaka 46 na hataenda chama kingine bali atabaki kuwa mkereketwa mwaminifu wa chama cha mapinduzi.

TFF hali si shwari’, Mgogoro wafukuta

0
0

Hali si shwari ndani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumebainika kuwa mgogoro baina ya watendaji wa shirikisho hilo.


Habari za ndani zinaeleza, rais wa TFF, Jamal Malinzi amewekwa kiti moto baada ya kudaiwa kuwabadilisha watia saini wa benki huku Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ikianza kuwahoji baadhi ya viongozi wa shirikisho hilo.


Ingawa Takukuru haikuwa tayari kulizungumzia suala hilo, lakini habari zaidi zinasema viongozi kadhaa wa TFF wamehojiwa na Taasisi hiyo wakihusishwa na matumizi mabaya ya fedha za shirikisho hilo.


Mbali na Takukuru, pia imeelezwa kuwepo kwa maelewano mabaya baina ya viongozi wa Kamati ya Utendaji ya TFF huku kikao cha Machi 26 kikipangwa kutumika kumuhoji Malinzi juu ya madai ya kughushi muhtasari na kubadili watia saini.


Baadhi ya wajumbe katika kikao hicho wameeleza kutojua ajenda ingawa tayari wamepokea barua za wito wa kikao.


Ofisa Habari wa TFF, Alfred Lucas ilisema jana kuwa kikao kitafanyika Dar es Salaam na ajenda kuu itakuwa kupanga tarehe ya uchaguzi mkuu wa shirikisho utakaofanyika baadaye Oktoba.


“Wataanza kufungua kikao, kisha mengineyo na baadaye kufunga kikao, masuala mengine yanayosemwa ni siasa hakuna chochote,” alisema Lucas.


Makamu wa rais wa TFF, Walence Karia alikiri kupewa taarifa za kikao, lakini akasisitiza masuala mengine aulizwe katibu mkuu, Celestine Mwesigwa.


“Habari za kughushi muhtasari na kubadili watia saini wa benki mimi siwezi kulizungumzia, hilo ni suala la Katibu Mkuu kwanza silifahamu,” alisema Karia kwa kifupi.


Katibu Mkuu wa TFF, Celestine Mwesigwa alipotafuwa alisema yuko na majukumu mengine hawezi kuzungumza chochote.

Simama Upande wa Lulu...!!!

0
0

Kama binadamu na Kama mzazi ukiacha mapungufu yote ya Lulu. Elizabeth Michael naye ni binadamu mwenye hisia kama wengine! Anastahili kupata kila unachostahili wewe, upendo ulinzi kujaliwa utu wake kusifiwa privacy nk nk 

Kuna watu wana kipawa cha kuwa maarufu kiasili Lulu ni mmojawapo na tatizo limeanzia hapo 
Ni binti ambaye nyota yake iliwaka akiwa mdogo kabisa, umaarufu wake kuna watu wameusotea miaka bila kuupata..hili ni tatizo la pili

Nyota yake hiyo ikaenda sambamba na matatizo, katika Umri mdogo kabisa akapata mpenzi ambaye mamilioni ya wanawake wangetamani kumpata na ikibidi kummiliki milele..hili ni tatizo la tatu na msingi wa mada

Hulka yake binadamu ni kufurahia ama kuona mwingine anashindwa hasa yule anayedhani kamzidi hiki ama kile...ishu za haters huanzia hapa 

Tangu wakati huo Lulu hajawahi kupumua ikawa ni bandika bandua ya matatizo, sehemu kubwa ya jamii ikajitenga naye bila kutafakari kwamba nje ya ustaa na umaarufu wake Lulu ni binti kama binti mwingine yoyote anayepitia hatua za kawaida kabisa za makuzi na anakumbana na mengi.... Mabinti wengi huchukua maamuzi mabaya ya kujiua kwenye changamoto ndogo tu za ukuaji 

Jamii ikamtenga fulani hivi wachache wakampa moyo wa kusonga mbele anaweza kusimama na kuendelea mbele NAMSIFU

matatizo yamemkomaza yuko imara kuliko maelfu ya watu, lakini ni nani anayependa kuambiwa kuwa ana nuksi? Ama kimavi? Ni nani anayependa kuitwa kuwa yeye ni malaika wa kifo? Hakuna!!!! 

Lulu katika binadamu wake anapenda maisha yake amani furaha na upendo... Lakini kagundua kuna tatizo mahali... Kaenda kusaka tiba mbadala, limekuwa ni tatizo kubwa! 
Ni nani ambaye hapendi kujaribu njia nyingine kama akiona mambo hayaendi? Tuacheni unafique kiwango cha PhD

Ijue kwa Undani Nchi ya Brunei Ambako Raia Hawalipi Kodi ni Kula Bata Tu...!!!

0
0

1. Brunei ukipenda iite 'Darusalaam' ama nyumba ya amani ni nchi ambayo raia wake hawalipi kodi yeyote (All citizens in Brunei, including expats, do not have to pay for taxes, for it is absolutely free.), Hata maisha ya wananchi wake ni mazuri na mshahara wa chini kabisa ni dola 25 kwa saa (Tshs 50,000) huku ukosefu wa ajira ukiwa ni wastani wa 5% tu.

Serikali inalipa gharama zote muhimu, mpaka chakula kinalipiwa ruzuku. ukifanya kazi kule hakuna income tax (There is no personal income tax or capital gains tax). Sultani anasimamia vizuri sana export ya mafuta na gesi na wanachi wanakula bata watakavyo.

GDP ya Brunei imepanda hadi 56% kuwa nchi ya tano duniani (16.11 billion USD in 2013) na IMF wanasema nchi hiyo haidaiwi HATA MIA....

2. Sultan wa Brunei Mohammad Hassan Bolkiah ndiye Raisi tajiri kuliko maraisi wote duniani, Maarufu kwa utumiaji wa dhahabu kwa kila kitu, hali ila na vijiko vya dhahabu, na nguo anazo vaa zimepambwa kwa dhahabu na fedha. Huyu anamiliki Jumla ya MAGARI 5000 YA KIFAHARI (tazama kasri na moja ya gari lake lake la dhahabu tupu pichani).

Sultan huyu anamiliki pia ndege aina ya Boing 747 thamani yake ikiwa ni dola milion 100 ambamo pia nakshi pekee ni dola milioni 120 humo utakuta vyoo na vyumba vya dhahabu, pia anamiliki ndege ndogo sita na helicopta moja. Arusi ya mtoto wa Sultan wa Brunei ilifanyika kwa muda wa siku 14 kwa gharama ya 5 milion dolla huku watu wote walioalikwa wakila na kunywa na kusaza, na kuhudhuriwa na zaidi ya maraisi 25.

3. Elimu ni Bure kabisa na watoto chini ya miaka 12 HUTIBIWA BURE huku watu wazima wakilipia dola 1 tu kwa Matibabu. Kadhalika ukioa tu unapewa na gari. Ni nchi mojawapo ambayo ina uwiano mkubwa wa watu na magari (1:209)-Ikiwa hakuna tiba ya ugonjwa wako Brunei unapelekwa nje ya nchi hasa Malaysia na Singapore kwa gharama za serikali

4. Pombe imepigwa marufuku kabisa kisiwani Brunei ingawa wageni wanaweza kuagiza kiwango chenye ukomo na Hakuna NOA/NGURUWE hata mmoja nchi nzima....................

5. . Ukiwa Brunei marufuku kupoint kutumia kidole cha shahada kuonesha kitu. Kidole gumba tu hutumika kupoint kitu na ni Lazima kuvua viatu unapoingia nyumba yeyote ndani ya Brunei

6. Hii inatumia mfumo wa SHARIA ambapo 'Wezi hukatwa mikono na wazinifu kupigwa mawe'. Mwaka 2014 ilipitisha sheria ya kupigwa kwa mawe hadi kufa yeyote atakayebainika anafanya USHOGA (Homosexual) lakini kwa uthibitisho wa mashahidi WANNE.....Unaweza kusherehekea Noeli (X-mass) lakini si kwa kuweka mapambo yake kama vilemti wa Xmass nk..........

7. Ingawa Kisiwa cha Brunei Kina BUNGE lakini nchi hiyo HAINA UCHAGUZI......Uchaguzi wa mwisho ulifanyika mwaka 1962, kuna chombo kimoja tu cha habari kinachomilikiwa na Serikali...ni aghalabu sana kwa media kuipinga serikali

8. 93% YA WATU WOTE WAMEENDA SHULE KWA KIWANGO CHA LAMI (Degree)

Jicho la Tatu: Paul Makonda Anafurahia Tuhuma za Cheti Dhidi Yake..!!!

0
0

Inabidi wafuatiliaji wa tuhuma hizi tufikie hitimisho hilo. Kuanzia kwenye mitandao,kanisani,runingani,magazetini,redioni hadi mitaani,mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda anasemwa kuwa anatumia cheti cha mtu mwingine.

Cheti kinachosemwa ni cheti cha kidato cha nne. Inasemwa kuwa Paul Makonda haitwi hivyo. Jina lake halisi linatajwa kama ni Daudi Albert Bashite. Daudi anasemwa kuwa alifeli kidato cha nne kwa kupata sifuri na hivyo hana cheti

Inasemwa kuwa Daudi akatumia cheti cha kidato cha nne cha Paul Christian kuendelea na masomo na kufika alipofika akijulikana kama Paul Makonda. Kimsingi,kulingana na cheo na hadhi ya Makonda,tuhuma hizi dhidi yake ni nzito sana. 

Uzito wa tuhuma hizo ni mambo ya kijinai yaliyopo na hata masuala ya kimaadili. Tuhuma hizi zinawagusa hata wazazi wake ambao wanamtambua Paul Makonda hivyo badala ya Daudi Albert Bashite anavyopaswa kutambulika kulingana na tuhuma

Paul Makonda hapaswi kuwa kimya. Anapaswa kusema au kutenda jambo kuhusu tuhuma hizi nzito za kijinai za kutumia cheti cha mtu mwingine. Kama tuhuma ni za kweli,Makonda aachie ngazi mara moja na sheria ichukue mkondo wake. Kama tuhuma si za kweli,Makonda awaburuze mahakamani wote wanaozisema tuhuma hizo akiwemo Mch. Gwajima.

Lakini,suluhisho kubwa zaidi ni kuonyesha cheti cha kidato cha nne hadharani kama ilivyofanyika kwa DAS mmoja pale Ikulu ambaye naye alituhumiwa kuhusu elimu yake. Kukaa kimya ni kufurahia. Umaarufu wa kuchafuliwa haufai,Makonda afanye jambo. Tuhuma hizi hazipuuziki kirahisi.
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live




Latest Images