Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104706 articles
Browse latest View live

Eheee..Askofu Gwajima Kutimba Clouds Kesho,Atoa Ujumbe Huu Mzito Kwenye Instagram...!!!

$
0
0

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Bishop Josephat Gwajima amesema kuwa Jumatano hii atatembelea Clouds Media Group kwajili ya kuwapa pole kwa yaliyotokea hivi karibuni.

Ijumaa iliyopita kituo hicho kilivamiwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiwa na askari wenye mitutu kitendo kilichopingwa na wadau mbalimbali wa habari.

“Kesho Tarehe 22/03/2017 saa nne kamili asubuhi, nitatembelea Ofisi za Clouds Media ili kuwapa pole kwa yaliyotokea.” aliandika mchungaji huyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Yanga Fungu la Kukosa ,Yapangwa na Waarabu Kombe la Caf...!!!

$
0
0

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetoa ratiba ya mechi za kombe la shirikisho. Katika ratiba hiyo klabu ya soka ya Yanga imepangiwa kucheza na MC Alger kutoka Algeria.

Yanga imeingia katika hatua hiyo baada ya kutolewa katika kombe la klabu bingwa barani Afrika na Zanaco kutoka Zambia Jumamosi hii.

Timu 32 zimeingia katika hatua hiyo ambapo mechi zake zinatarajiwa kuchezwa kati ya April 7-9 na marudiano April 14-16. Vilabu 16 ndio vinahitajika ambavyo vitaingia katika hatua ya makundi ya kombe hilo.

Forbes: Dangote Bilionea Namba 1 Afrika Mwaka 2017, Mo Dewji wa 20… Orodha Yote Ipo Hapa..!!!!

$
0
0

JARIDA Maarufu ambalo hufanya tafiti na kuchapisha rekodi mbalimbali za watu kwenye tasnia kadha wa kadha duniani, Forbes limemtaja Mfanyabiashara maarufu kutoka nchini Nigeria, Alhaji Aliko Dangote kuwa ndiye tajiri mwenye mkwanja zaidi barani Afrika akikadiriwa kuwa jumla ya $12.2 bilioni.

Kuna mabilionea (wa Dola) 25 mwaka huu barani Afrika, mmoja juu ya 24 waliokuwepo mwaka jana.

Wafanyabiasha kutoka Nigeria Femi Otedola na Abdulsamad Rabiu hawakufanikiwa kuingia kwenye orodha hiyo mwaka huu.

Mtanzania Mohammed Dewji bado ndiye bilionea wa umri mdogo zaidi Afrika, utajiri wake ukikadiriwa kuwa $1.09 bilioni.

Isabel dos Santos kutoka Angola na mfanyabiashara wa mafuta Folorunsho Alakija kutoka Nigeria ndiye mabilionea wanawake pekee katika orodha hiyo mwaka huu.

Bw Dangote Dangote, ndiye mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Cement inayoongoza kwa kuzalisha saruji Afrika. Anamiliki asilimia 90 ya hisa za kampuni hiyo.

Dangote Cement huzalisha tani 44 milioni za saruji kila mwaka na imepanga kuongeza uzalishaji kwa asilimia 33 kufikia 2020.

Dangote pia anamiliki hisa katika kampuni za chumvi, sukari na unga.

Mohammed Dewji ni afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya METL iliyoanzishwa na babake miaka ya 1970. Kampuni hiyo huhusika katika biashara ya nguo, unga, vinywaji na mafuta. Kampuni hiyo huendesha shughuli zake katika zaidi ya mataifa sita barani Afrika.

Jifunze Jinsi ya Kufanya Uke Uliolegea Uwe Mnato...

$
0
0

(ngoja niseme maana wanaume wengine wanaona aibu kusema)

Ukweli ni kwamba uke uliolegea hupunguza ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume wengi

Tatizo la uke kulegea au kutepeta ni tatizo linalotokana na kulegea kwa misuli ya uke, hali hii husababisha Uke kulegea au wanaita Kutepeta(unanipata bibieee!!!!!)

Mara nyingi wanaume waliooa wake au kuwa na wapenzi ambao wana matatizo ya uke uliolegea au kutepeta hua mara nyingi inatokea wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi na hao wake zao au wapenzi wao au hata mwanaume kushindwa kumudu vyema tendo hilo kwa maana ya kutokuweza kurudia bao la pili ikiwa atajitahidi kumaliza kushusha bao la kwanza na kujikuta mzuka wooooooooote umekwisha

SABABU ZA UKE KULEGEA AU KUTEPWETA

Baadhi ya sababu zinazopelekea misuli ya uke kulegea na kusababisha mwanamke kua na uke uliolegea au kutepeta nazo ni hizi zifuatazo;

(a) Magonjwa ya uke

(b) Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara

(c) Kujifungua

(d) Usagaji

DAWA YA UKE ULIOLEGEA AU KUTEPWETA

Chukua kokwa za embe za kutosha zianike juani mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini

MATUMIZI

Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku

Fanya zoezi hilo kila siku mpaka bibi awe mnatoooo

ZINGATIA

Uke utaanza kubana siku ya tatu tu mara baada ya kuanza kutumia dawa.

Ukipenda SHARE wengine pia wapate faida hii

Msaada Hapa Wapendwa; Ananipa Kila Kitu Lakini Ana Kibamia..!!!

$
0
0

Naombeni misaada yenu hapa kuna kesi ya kusolviwa haraka haraka, watu wapo juu ya mawe wanaliaaa

NAZI MTARONI:
Yani Money Penny hapa ninashida ya milele
Kuna kibopa nilikutanaga nacho TRA hapo naenda kupeleka risiti za malipo ya kampuni nayofanya kazi
Kibopa sijui ndio ufisi akanitamani au akanipenda anajua mwenyewe.

Kaniomba no yangu nikamkazia, akanifuatilia mpaka kanipata. Akanipandia hewani me sijui hili wala lile nikamsikiliza mpaka mwisho
Nikamwambia hautaniweza bruh! Me mtoto wa kishua (hapo namdanganya kumbe me mtoto wa temeke)

Oh ntakuweza na nini, nikamwambia sawa nataka kuona show zako kabla ya uzinduzi. Kukata simu mil 1 hiyo tigo pesa ndani ya siku 5 nina mil 5, kila siku zinarushwa tu kama DJ khalid alivyokuwa anamrushia demu wake

Weekend natumiwa tena nikaona sasa hapa labda penyewe. Tukakutana Sea Cliff mjeda mzuuuriii mreeeefu, tukala lunch skunyingine dinner skunyingine beach party, skunyingine white party, nikadondoka Zari Party ya mwaka juzi ile 2014 kama sio 2015 mjeda analipa kila kitu me kwetu temeke hapoo

Basi kwa zile show nyingi zaki volcano, nikapandisha manyanga next level
Yeleuuuwi kufika Kunduchi Beach Hotel, me nishakolea Tipsy sio kitoto, kufungua bonet ya mbele mamamamamamamamamamamams anajisemeaga mbwiga wa clouds fm mamamamamamamama, mbwiga niaaaaajeee nikadhania nimeona vbaya labda zile pombe

Nikaenda kunawa uso, nikakaa kwenye choo mjeda anaita honney njoo buana nakusubiri kurudi, kha! KIBAMIA CLASSIC BABY
Nikijiangalia me mwenyewe nina mzigo balaa ni sawa na kumwaga chumvi baharini

Sasa kwasababu yule bwana keshanisherehesha ikabidi nikubali, kwenye kuandaa demu na mambo ya romance ni noumer lakini kwenye mechi buanaaa ni sheeedah!

Yani ikabidi tu niwe najiliza akojoe fasta tulale maana ananikera tu na kunichosha, hakukuchi wala nini mwenyewe anaona siiiifaaa! Kila saa anataka turudiane. Huu mwaka wa 3 nipo nae lakini sufuriii yani basi tu

Mjeda ananipenda mbayaaa, afu ana mawe hatari, Mengi atasubiri miaka 1000 kumfikia!

Money Penny nisaidie nafanyaje?! Maisha yangu kayabadilisha yeye sasa hivi nimepangiwa appartments oysterbay kwa mwezi dola 1000, lakini raha alioiweka Mungu siipati kabisaaa,

Mungu fundi sawa lakini wengine nahisi amewaoneaaa. Hapa nilipo nimewekewa mpaka body guard ananilinda usiku na mchana, gadame, ku cheat nahisi hakunaga!

Simu nimekuwa Tracked zoteee mazungumzo na watu labda kama hivi nimeonana na wewe tunaongea nje ya nyumba, CCTV kamera kibaaaao yani ni kerooo

Kazi nimeachishwa nimefunguliwa biashara ila kusema kweli Mungu jaman hapa amenionea sina rahaaa bora ningekuwa bikra basi lakini siooo nakumbukaje sasa mijeda yangu yenye madusheee?!
Ndoorooboooee

Jamani msaada tunaomba msaidieni Nazi Tutani
Maana hii kesi ya Mungu Muumba me imenishindaaaaa!

Utafiti..Wanaume Wengi Hawafahamu Ukubwa Sahihi wa Maumbile Yao..

$
0
0

Moja ya jambo ambalo huwaumiza kichwa wanaume wengi ni kuwa na maumbile madogo ya kiume. Wengi huamini uume mrefu na mpana ndiyo urijali wenyewe kuweza kumfikisha kileleni mwanamke.

Wanasayansi wengi wa tiba wametoa machapisho mengi ya kitafiti kuhusu urefu na upana wa uume juu ya wastani unaokubalika.
Baadhi ya wanaume wamekuwa wakiishi kwa hofu na kukosa kujiamini katika mahusiano yao kwa kuhisi wana uume mdogo usioweza kumridhisha mwenza.

Hofu hiyo inawezekana ni kutokuwa na ufahamu sahihi juu ya maumbile yao yanavyotakiwa kuwa. Wengi wanakosa taarifa sahihi kutoka kwa wataalam wa afya wenye uelewa wa kutosha wa jambo hili.

Hofu ya wanaume inapanda zaidi kila siku hasa kutokana na utitiri wa matangazo ya magazeti, mitandaoni, stori za vijiweni na matangazo ya matabibu wa mtaani wanaojitangaza kuwa na dawa na vifaatiba vya kukuza uume.

Dondoo zifuatazo zinajumuisha machapisho ya kitafiti yakiwamo yaliyochapishwa katika majarida makubwa na maarufu duniani kama vile Science Today, Men’s Health na British Journal of Urology International.

Asilimia 85 ya wanawake wanaridhika na urefu na upana wa maumbile ya uume wa wenza wao ingawa wanaume wenyewe hawana uhakika wa jambo hilo huku asilimia 45 ya wanaume wanaamini wana maumbile madogo.

Utafiti unahitimisha kuwa wastani wa urefu wa uume ukiwa tepetepe yaani kabla ya kusimama ni kati ya sentimita saba mpaka 10 au inchi 2.8 hadi 3.9. urefu huu unapimwa kuanzia kwenye shina la uume mpaka kichwani.

Urefu wa uume unapokuwa umesimama ni kati ya sentimita 12 na16 au ichi 4.7 hadi 6.3. Urefu wa mzunguko wa uume ukiwa umesimama ni kati ya sentimita 12 au inch 4.7.

Dondoo nyingine zinaonyesha wanaume wenye unene uliopitiliza na wenye umri mkubwa wengi wao wana urefu mfupi wa uume ukiwa umesimama.

Maumbile ya uume yanatofautina kati ya jamii moja na nyingine, bara moja na jingine. Wanaume wanaotokea Asia wana maumbile madogo ya uume ukilinganisha na wanaume wa Afrika.

Wanawake wengi huwa hawajali urefu na upana wa uume wa wenza wao pengine kutokana na ukweli kuwa kufika kilele cha tendo kwa wanaweka si lazima kumuingilia, wanaweza kufanya hivyo hata kwa kutomaswa tu au njia nyinginezo.

Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake, Ernst Grafenberg wa Ujerumani aligundua sehemu muhimu inayoelezwa kuwa na msisimko wa kipekee kuliko nyingine yoyote katika sehemu za kike.

Sehemu hiyo ijulikanayo kama G-spot ambayo ipo sentimeta 5.1-7.9 au nchi 2-3 tu kuanzia nje ya uke kuingia ndani. Inaelezwa, unaweza kuwa na uume mdogo lakini ukamridhisha mwenza wako na kumfikisha kileleni ukiweza kuisisimua sehemu hiyo.

Wanaohisi kuwa na maumbile madogo wasikimbilie dawa za mtaani kwani utapeli ni mwingi bali waende kwa watoa huduma za kisasi za afya zinazotambulika kwa ajili ya ushauri..

Sababu za Kitaalamu na za Kisayansi Kwanini Wanaume Waoe Wake Wengi na Waruhusiwe Kuchepuka..!!!

$
0
0

1. Takwimu za kidunia zinaonyesha kuna idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume ,wanawake wamewazidi wanaume kwa 20%.Tukichukua ratio kila mwanaume asimame na mwanamke basi 20% ya wanawake watabaki pekee yao,

Je kila mwanaume aoe mwanamke mmoja hawa 20% wataolewa na kusitiriwa na nani? unakuta mwanamke ana miaka 36 yupo single siyo kwamba kapenda ila Takwimu za kidunia zimemfanya awe single.

2. Takwimu zinaonyesha wanaume ndio wanafungwa jela sana tofauti na wanawake, ukienda magereza mbali mbali na kutafuta idadi ya wafungwa basi utaona wafungwa wa kiume wapo wengi kuliko wa kike ,asilimia 90 ya wafungwa ni wanaume na 10% ni wanawake

3. Sababu nyingine ni matukio ya vifo ni wazi kwamba wanaume wanakufa mapema na kwa wingi kuliko wanawake,idadi ya vifo ya wanaume kwenye vita ni kubwa , 

Mara nyingi kwenye vita wanaume ndio hupelekwa mstari wa mbele kupigana na machafuko yote wanaume ndio hupigana na idadi kubwa ya wapiganaji hupoteza maisha pia wanaume hufa sana kwenye ajali kama za pikipiki. Leo hii ukienda hospitali za Muhimbili na Mwananyamala na kutafuta idadi ya waliokufa kutokana na bodaboda basi asilimia kubwa ni wanaume, 

Ukienda migodini idadi ya watu wanaofukiwa na vifusi ni wengi, Mapigano baina ya wakulima na wafugaji wanaopoteza maisha wengi ni wanaume bado hatujazungumzia wanaokufa maji kutokana na shughuli za uvuvi . Wanaume pia huongoza kuuliwa kutokana na wizi na ujambazi , Mifano tunayo mingi mamia ya watu huchomwa moto, hupigwa mpaka kufa kutokana na uporaji, ukwapuaji nk na 99% ni wanaume

4. Sababu nyingine ni ongezeko la mashoga ni wazi kwamba kwenye ulimwengu wa sasa wa utandawazi kumekuwepo na matatizo ya wanaume kugeuzwa kuwa wanawake na tumeona mataifa makubwa duniani yakipigania haki za mashoga na kumekuwa na NGOs nyingi zinazopigania haki za mashoga

Kama umebahatika kuona maandamano ya LGTB huko USA hakika utaona msururu wa maelfu ya wanaume mapusti yakipigania haki zao na hata huku Tanzania kuna idadi kubwa ya mashoga ukienda mitandaoni utawakuta wengi tena wengine wanajitangaza wazi, ukienda kwenye njenje, taarabu, klabu nk utakutana na wanaume wasioridhki wengi..

5. Kuna idadi kubwa ya wanaume wasiokuwa na uwezo wa kuzalisha na wana upungufu mkubwa wa nguvu za kiume, Leo hii ukipita barabarani utakutana na matangazo mengi ya kutibu nguvu za kiume, wauzaji wa mihogo mibichi wameongezeka nk, uwepo wa vyakula feki zenye sumu na mafuta mengi yamewafanya baadhi ya watu kupoteza nguvu za kiume na uwezo wa kuzalisha.

6. Ongezeko ya watumiaji wa dawa ya kulevya "mateja". Hakika dunia ya leo imekumbwa na idadi kubwa ya watu wasiokuwa na mbele wala nyuma "mateja" tuchukulie mfano hapa kwetu Tanzania tumeona vijana wengi walioathiriwa na dawa za kulevya walivyopotea, watizame mateja waliopo stendi za mabasi, mitaani walivyochoka na kudhoofika na teja siku zote hawazi mwanamke yeye mwanamke wake ni heroin na teja haoi,

Kuna mateja wa aina nyingi hawa mateja matajiri tuwaache tuwazungumzie mateja wasiokuwa na pesa ambao wanashinda stendi, vibarazani, vichochoroni n.k na wapo wengi sana 

Takwimu zinasema wanawake wapo wengi kuliko wanaume duniani na shirika la utafiti duniani wamesema wanawake wamewapita wanaume kwa wingi wa 20% ,Leo hii kila mwanaume apewe msichana 1 hakika 20% ya wanawake watabaki single ..

Sasa kama wanawake wapo wengi kwa 20% kuliko wanaume ukijumlisha na ongezeko kubwa la mashoga, idadi kubwa ya vifo kwa wanaume, idadi kubwa ya wafungwa wanaume kuliko wanawake, idadi kubwa ya mateja wasiokuwa na future, idadi kubwa ya watu wasiokuwa na uwezo wa kuzalisha na wenye upungufu mkubwa wa nguvu za kiume. Hakika wanawake wengi zaidi watakosa wanaume..

Kama kiidadi tu wanawake wengi wapo single kutokana na upungufu wa idadi ya wanaume, je vipi factors 5 hizo zingine si itakuwa hatari zaidi ,ongezeko ya wanawake wengi kuwa single itakuwa kubwa zaidi

NB: Ewe mwanamke ukimuona mwanaume wako anachepuka usikasirike sababu wanawake wenzako pia wanahitaji kusitiriwa sababu nature wanaume wapo wachache sana je wewe ukiwa mchoyo wenzako watapata huduma wapi na pia watakuwa single milele

Pia nashauri wanaume tuoe wanawake wengi au tuchepuke sababu demand ya wanaume ni kubwa ,supply ni chache kutokana na scarcity ya wanaume iliyopo ..hivyo tusipo oa wengi na kuchepuka tutakuwa hatuwatendei haki wanawake

Hii ndio Sababu iliyofanya 'Mashoga' Kutotajwa Hadharani

$
0
0


Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt Hamis Kigwangalla kwa mara ya kwanza ametoa sababu ya yeye kushindwa kuweka wazi orodha ya watu wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja (mashoga)

Amesema hakuaua kuyataja hadharani majina hayo kwa kuwa nikusikiliza ushauri aliopewa na jamii inayomzunguka.

“Mimi nashaurika, sikuweka majina hadharani kwa sababu nashaurika, listi ya watu ninayo na tunachukuwa hatua kimya kimya hili ni kosa la jinai na mtu anayekutwa na hatia anafungwa kifungo cha miaka 30 jela” Amesema Dkt. Kigwangalla
Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema, hayo wakati akiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Ustawi wa Jamii Duniani ambayo kitaifa imefanyika jijini Dar es Salaam, katika maadhimisho hayo Kigwangalla ameeleza kuwa kufanya mapenzi ya jinsia moja ni kosa kibaiolojia na hairuhusiwi mtu kuvutiwa na mtu wa jinsia yake.

Aidha, amesema katika sheria iliyotungwa mwaka 2012 ya kukazia adhabu ya mapenzi ya jinsia moja, kuna kipengele kinachotaka mtu achukuliwe hatua endapo ikithibitika amekaa mapozi yasiyoeleweka na ikabainika kuwa ni kwa lengo la mapenzi ya jinsia moja atafunguliwa mashtaka.

Mhe. Kigwangalla amewaonya wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kusisitiza kwamba serikali inawachukulia hatua kimya kimya.

Siri Muhimu Unazotakiwa Kuzijua Kuhusu Wanawake...!!!

$
0
0

Wanawake wana siri nyingi sana mioyoni mwao na kwa kawaida huwa hawawezi kuonesha hisia zao za ndani moja kwa moja. Ni watu ambao mara nyingi hupenda kuwasilisha vilivyomo ndani yao kwa ishara.

 Kwa mtindo wa maisha ya wanaume wengi wa sasa ni vigumu kusoma ishara hizo na kujua mahitaji ya mwanamke husika. Bahati mbaya ni kwamba, ukienda kinyume na mahitaji yao, utashangaa kila siku mnaingia kwenye mikwaruzano isiyo na msingi.

Wiki iliyopita nilieleza machache, leo tunaingia katika sehemu ya mwisho. Hebu fuatilia kwa makini ujue mwanamke anapenda vitu gani hasa ili uweze kuishi naye kwa amani.

KUSIKILIZWA

Ukitaka kumpatia mwanamke, msikilize. Kumbuka wanawake wengi wana hulka ya kuongea sana! Ndivyo walivyo.

Wakati fulani, mwanamke anapenda kuzungumza mambo fulani na mwanaume wake.

Pengine anapenda kumshauri au kujadiliana naye jambo fulani; huenda ana mawazo mazuri lakini mtindo wao wa kuongea sana unaweza kukatisha tamaa. Usifanye hivyo. Mpe nafasi.

Msikilize kwa makini, mwishowe unaweza kupata manufaa makubwa kutokana na maneno yake. Amini usiamini, hata katika mambo yanayohusu mafanikio, ukimshirikisha mkeo, huwa na mawazo mazuri yanayochochea kuifukuzia ndoto yako.

Ukiachana na hilo, mwanamke anaweza kukuambia, hapendi mavazi yako – hapendi nguo fulani unayovaa, labda kwa hoja kuwa haikupendezi! Usimdharau. Sikiliza hisia zake.

Kumbuka upo kwa ajili yake, anaweza kujiuliza, kama anakuambia mavazi hayo si mazuri kulingana na umbo lako na ung’ang’ania, unamvalia nani huko nje? Msomaji mmoja aliwahi kuniambia: “Yaani kaka Shaluwa, mume wangu ananishangaza sana.

“Anapenda kuvaa suruali za vitambaa, pana na mashati makubwa kama Mzaire. Nimeshamwambia mara nyingi kuwa sipendi na hapendezi, lakini bado analazimisha kuvaa. Ananinyima raha sana, maana hata nikiongozana naye, nakuwa kama nipo na mtu mzima!”

Unaweza kuona namna gani wanawake wanavyokereka na mambo madogo tu lakini wakiyapa uzito 
wa hali ya juu.

MSIMAMO

Wanawake wanapenda mwanaume mwenye kujiamini na kusimamia msimamo wake. Unaweza kushangaa lakini wakati mwingine mwanamke anaweza hata kukuweka kwenye mtego; mnakubaliana jambo lakini baadaye anajifanya kukupinga ili kuona msimamo wako.

Wanaamini katika mwanaume anayejielewa na asiyeyumba wala kuyumbishwa. Kwamba, mwanaume wa aina hiyo ni rahisi kufikia ndoto za familia – yeye kama kiongozi wa nyumba.

ZAWADI

Si lazima ununue gari jipya na kumpelekea kama zawadi. Kumchagulia wimbo mzuri redioni, kadi yenye mashairi mazuri ya kimapenzi, bangili, vipodozi na vitu vingine vidogovidogo huwafurahisha sana wanawake.

MTOKO

Hata kama ni mara moja baada ya miezi miwili, ukitoka na mwenzako na kwenda naye kupata chakula cha jioni mgahawani huongeza mapenzi. Kwa mwanamke ni jambo kubwa lenye thamani sana.

Weusi Wachukua Kijiti Cha Ubalozi wa Airtel Toka kwa Navy Kenzo

$
0
0
Weusi wametangazwa Jumanne kuwa mabalozi wapya wa Airtel Tanzania. Wametangazwa kuwa mabalozi wa huduma mpya ya kampuni hiyo iitwayo HATUPIMI BANDO.

Kundi hilo linaloundwa na Joh Makini, Nick wa Pili na G-Nako limechukua nafasi hiyo kutoka kwa kundi la Navy Kenzo ambao walikuwa mabalozi wa huduma nyingine mwaka jana.

Zitto - Uvamizi wa Makonda Clouds Media Unabaraka za Rais Magufuli,Ushahidi Huu Hapa...!!!!

$
0
0

Nimefahamishwa kuwa waliomsindikiza RC wa Dar Clouds Media ni walinzi maalumu ambao kibali cha kuwatumia hutolewa na Rais au DG Usalama .

Kuna ulazima wa kuwapo Kwa uchunguzi Wa kibunge wa matumizi ya kikosi maalumu cha kumlinda Rais. Ni jambo baya na halivumiliki hata kdg

Bilionea Rockefeller Aliyejenga Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Afariki Dunia..!!!

$
0
0

Bilionea maarufu nchini Marekani aliyefahamika zaidi kwa kutoa pesa kuwasaidia watu wasiojiweza sehemu mbalimbali za dunuia, David Rockefeller amefariki dunia akiwa usingizini nyumbani kwake Poncantico Hills, New York akiwa na umri wa miaka 101.

Kupitia Taasisi yake ya The Rockefeller Foundation  alifanikiwa kufadhili ujenzi wa majengo marefu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mwanzoni mwa miaka ya 1970.

Rockefeller alikuwa mtoto wa mwisho kwenye familia watoto watano wa kiume wa John D Rockefeller Jr. Ndiye aliyekuwa mjukuu wa mwanzilishi wa kampuni ya Standard Oil John D Rockefeller.

Mzee huyo ndiye aliyekuwa anasimamia mali na biashara za familia hiyo, pamoja na miradi yake ya kusaidia jamii, ingawa hakuwahi kutafuta wadhifa wowote wa kisiasa, kaka zake wawili walihudumu serikali.

Nelson Rockefeller alifanya kazi kama gavana wa New York na kwa muda kama Makamu wa Rais wa Marekani huku Winthrop Rockefeller naye alikuwa gavana wa Arkansas.

David Rockefeller alihitimu kutoka chuo kikuu cha Harvard mwaka 1936 na kutunukiwa Shahada ya Uzamifu Katika Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Chicago mwaka 1940.

Alitumikia Jeshi wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia na baadaye akafanya kazi katika benki ya Chase Bank, ambayo baadaye ilikuwa benki ya JP Morgan Chase.

Bw Rockefeller alimiliki kazi za sanaa za thamani ya $500m (£404m).

Alipokuwa anasherehekea kutimiza miaka 100 mwaka 2015, alitoa ardhi ya ekari 1,000 kwa mbuga ya taifa katika jimbo la Maine.

Juhudi zake za kusaidia jamii zilimfanya kutunukiwa Nishani ya Uhuru ya Rais mwaka 1998.

Alikuwa na watoto wanne – David Jr, Richard, Abby, Neva, Margaret na Eileen. Mkewe Margaret (jina lake la kuzaliwa McGrath) alifariki 1996.

Ruge Amjibu Magufuli: Hatujakupangia Umtumbue Makonda, Ila Anatakiwa Aombe radhi..

$
0
0

Mkurugenzi wa Clouds Media Ruge Mutahaba amejibu kauli ya Magufuli kuwa hapangiwi kumuwajibisha mtu; Ruge amesema hawajampangia kumuwajibisha Makonda ila alichofanya sio sahihi na anatakiwa aombe radhi.

Huu Ndio Ujumbe wa Mbunge Husein Bashe wa CCM,Ambao Umekuwa Gumzo Mitandaoni

$
0
0

Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe (CCM)amechapisha ujumbe kupitia ukurasa wake wa Instagram wenye maneno haya.

“Kama taifa wazee wetu walipoanzisha harakati za kudai uhuru na hatimaye tukaupata mwaka 1961 walikuwa na malengo‘

“Upo uwezekano mkubwa kwamba sisi viongozi wa sasa tumewaangusha ninyi raia katika kufikia malengo ya waasisi wetu

‘Msikubali kuangushwa na sisi wachache, nyinyi ni wengi mna mamlaka na nguvu ya kututaka sisi kuwafikisha kwenye malengo ya Uhuru‘ –Hussein Bashe

‘Ni jambo la hatari kwa taifa inapotokea viongozi wakakosea na kutoka nje ya malengo, wananchi wakakaa kimya na kuogopa kuonya, kushauri, kukosoa au hata kukemea sababu tu ya woga au hofu.

‘Tutakua tunajenga taifa la raia waoga msiingiwe na woga juu ya kudai haki zenu na kututaka sisi viongozi kutimiza wajibu wetu

‘Kwa kushindwa kwenu kutukemea au kutushauri tunapokengeuka sote tunaingia katika kundi moja la kuwakosea na kuwasaliti wazee waliopigania UHURU wa taifa letu. TUJISAHIHISHE‘ –Hussein Bashe

Kimenukaa..Hospitali ya Apolo ya India Yasitisha Kupokea Wagonjwa Kutoka Tanzania,Sababu ni...!!!!

$
0
0

Hospitali ya Apollo India huenda ikasitisha kupokea wagonjwa kutoka nchini Tanzania kutokana na deni kubwa inayodai.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema hayo leo wakati alipokuwa akizindua bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Tiba ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).

Waziri Ummy amesema Apollo inadai Tanzania kiasi cha shilingi bilioni 30 na kwamba wameshaanza kulipa deni hilo.

"Tulikuwa tunapeleka wagonjwa wengi kufuata matibabu nje ya nchi, tumeanza kulipa deni hilo na tunashukuru idadi imepungua hadi wagonjwa 304 mwaka 2016 kutoka wagonjwa 533 2015 sawa na asilimia 45.

Gari Mpya Aina ya Toyota Passo Inauzwa...Haijatumika Tanzania..Ipo Dar Tegeta

$
0
0

Gari aina ya Toyota Passo Inauzwa ...
Haijatumiwa Tanzania kabisa Imetolewa Bandarini Wiki iliyopita
Namba DKD
Kilometer 90,000
Engine CC 1,000
IPO dar Tegeta Kibo Complex
Inauzwa Million 7.5

Kwa Mawasiliano zaidi Piga simu namba 0714604974


Picha zaidi za gari hizi hapa chini:




Kimenukaa..Vyombo vya Habari Nchini Vyaungana Kutoa Tamko Dhidi ya Makonda,Vyatangaza Kumfungia Kuonekana Kwenye Tv,Magazeti na Kusikika Redioni,Wampa Onyo Hilo Pia JPM...!!!

$
0
0

Jukwaa la Wahariri Tanzania limelaani kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar na kutangaza atakayeshirikiana naye, *hawatarusha matangazo yake.*

"Utekelezaji agizo la kutokufanya kazi na RC Dar unaanza mara moja kwa vyombo vyote vya habari nchini, uamuzi huu waungwa mkono na UTPC"-TEF.

Wananchi Wasikitishwa na Yaliyomkuta Mange Kimambi, Wataka Kumchangia.

$
0
0

Watu wengi wameoneshwa kusikitishwa na jambo lililomkuta Mange Kimambi kuhusu kupigwa mnada kwa Hoteli ya familia yao ambayo Mange anahisa 25%.


Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni wanalodaiwa.


Huu Ndio Umafia Unaofanywa Nyuma ya Pazia Kuhakikisha Makonda Anatumbuliwa Ukuu wa Mkoa......!!!!

$
0
0


Imebainika kuwa njama za kumtoa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe Paul Makonda zilianza Bungeni kwa kuratibiwa na baadhi ya wabunge wanaohusishwa na mtandao wa dawa za kulevya.

Katika kudhibitisha hili, walifanya kikao Dodoma kilichohusisha baadhi ya wabunge na kukubaliana kuunganisha nguvu na wafanyabiashara na Viongozi wa Dini waliohusishwa na biashara ya Dawa za kulevya.

UTEKELEZAJI WAKE :-
1. Walikubaliana kuungana na baadhi ya viongozi wa ukawa ambao hapo awali walikuwa mahasimu wao kisiasa, zoezi lililoratibiwa na mbunge mmoja ambae ni mtoto wa kiongozi mstaafu, rejea picha za matukio mbalimbali wakati wa mechi ya simba na yanga (zoezi lilifanikiwa)

2. Kuwaunganisha kwenye mtandao wafanyabiashara wakubwa waliotajwa na Makonda pamoja na kumuunganisha Askofu mmoja alietuhumiwa kujihusisha na mtandao wa dawa za kulevya, lengo la kuwaunganisha hawa ni kupata ufadhili wa fedha za kutosha, rejea kauli za baba askofu akidhibitisha kujizatiti kumuondoa Makonda Dar (zoezi lilikamilika)

3. Kushawishi marafiki wakubwa wa makonda ambao walikuwa wakimsaidia Makonda katika vita ya dawa za kulevya kwa kuwarubuni kumgeuka makonda na kuungana katika kambi yao kwa makubaliano kuwa makonda akiondoka Dar watashinikiza kupatikana kwa mkuu wa mkoa ambae atakuwa hana purukushani za dawa za kulevya, udhibitisho wa hili ni RUGE KUMGEUKA MAKONDA(zoezi limefanikiwa)

4. Kutumia baadhi ya mawaziri ambao watu wao walijeruhiwa kwenye kampeni za uchaguzi na kuwaingiza kwenye mtandao wa kumtoa Makonda Dar, ushahidi wa hili ni alliance ya Mgombea wa Urais kutoka Lindi, mahusiano yake na waziri ambae amejitoa Muhanga kumpinga Makonda hadharani.(zoezi lilikamilika tangu dodoma)

5. Kutengeneza tukio ambalo litamfanya makonda apate aibu mjini, kisha wamtake makonda aaibike, wakishapanga mtego mmoja makonda akaujuaga mida ya nyuna akukwepa, sasa hili tatizo la makonda kwenda CLOUDS usiku lilivyotokea wakaamua KUKANYAGIA HAPO HAPO.

6. Kuwashawishi baadhi ya wabunge wa chama tawala kutoa vitisho kama Makonda hataondolewa kwenye ukuu wa mkoa basi watajiuzulu , ushahidi wa hili ni post ya face book ya mhe Kingu(zoezi lilifanikiwa)

HITIMISHO
-Jiulize tangu lini clouds na mmiliki wa ipp walishakuwa na mahusiano ya karibu kama juz?

- Jiulize tangu lini EFM na CLOUDS walishakuwa marafiki?

- Jiulize tangu lini Askofu alishawai kukaa karibu na CLOUDS?

- Jiulize tukio linalotajwa la uvamizi limetokea ijumaa, kelele zimeanza kupigwa Jumatatu hii ni baada ya hawa mabwana kukutana jumamosi na kufanya kikao cha pamoja jumaosi na jumapili hela ikatoka kanisani kwa askofu kwa kazi maalum Jumatatu.

-Jiulize hiyo jumatatu jamaa kafanya mahijiano live asubuhi, kisha saa nne asubuhi Mhe waziri anatinga CLOUDS akiwa na mzee wa ipp, na hapo hapo kamati ya huduma za bunge inakwenda CLOUDS mchana huo huo? 

-Jiulize kwa nini wote wameshinikiza Makonda aondolewe Dar?
Na mwisho kabisa, baada ya Mhe Rais Dkt. John Magufuli kustukia njama zao kutokana na kuwa na kikosi imara cha ujasusi katika maeneo mbalimbali akawabomoa LIVE bila chenga pale ubungo wakati wa uzinduzi wa mradi wa flyover.

TUKIDHANI WATAMUELEWA MHE RAIS WAMEGOMA NA KUMSHAWISHI MHE WAZIRI KUUNDA KAMATI WAKATI WANAJUA MHE RAIS AKISHAONGEA MJADALA UMEKWISHA, LAKINI WAO WAMEAMUA SASA KUPAMBANA NA NGUVU ZA MHE RAIS KWA KUSHINIKIZA BAADHI YA WABUNGE WAJIONDOE KWENYE NYADHIFA ZAO.

NB:Hayo ni Maoni ya Mmoja wa Msomaji Wetu na Wla Si Msimamo wa Blog Hii,Sisi Kazi Yetu ni Kufikisha Taarifa Tu,na Hata Wewe  Unaweza Kuwasiliana nasi kuweza Kuandika  Makala ya Maoni Yako Hapa

Noma Sana..Mchungaji Msigwa Atoa ya Moyoni Kuhusu Rais Magufuli Kuendelea Kumnyamazia Makonda..!!!

$
0
0

Abraham Lincoln...mmoja wa marais wa zamani wa USA alipata kusema serikali bora ni ile ya watu, inayotokana na watu, kwaajili ya watu". Katiba ya Jamhuri ya Muungano imesisitiza kuwa wananchi ndiyo msingi wa madaraka yote na serikali itapata madaraka na mamlaka yote kutoka kwa wananchi. Katika ulimwengu wa kidemokrasia, kushirikisha na kuheshimu maoni ya wananchi ndiyo njia ya kwanza na ya msingi kabisa kwa serikali kutimiza mamlaka ya mwisho waliyonayo wananchi. 

Sasa huyu anayepuuza maoni, malalamiko na ushahidi wa wazi wa wananchi dhidi ya Bashite, amepoteza sifa zote za uongozi zinazokubalika duniani. 

Baba wa Taifa, Nyerere, alipata kusema "madaraka hulevya, na madaraka zaidi hulevya zaidi"

Huyu anayesema hapangiwi, haonyweshi njia ya kupita, eti aliamua mwenyewe kuwa Rais baada ya kujiona anafaa; huyu anayedhani kujiamini ni kutosikiliza wananchi na kumlinda yule ampendaye yeye tu; sio Kiongozi tena. Ni Mlevi wa Madaraka. Hii ni fursa nyingine kwa Watanzania kutafakari na kuchukua hatua sahihi dhidi ya hatari inayotukabili ya kuendelea kuongozwa na Mlevi

Pale uvunjaji wa sheria na ukosefu wa haki inapokuwa , jambo la kawaida katika jamii yetu .hasa inapofanywa na viongozi wetu ,kuipinga hali na tabia hiyo inapaswa kuwa wajibu wetu sote!
Peter Msigwa The MP
Viewing all 104706 articles
Browse latest View live




Latest Images