Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Kimenukaa..Kamanda Sirro Amuita Makonda Centro,Awataka Wote Waliohusika Aonanae Nao Polisi Haraka..!!!!

$
0
0

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema suala la uvamizi wa kituo cha Clouds Tv wahusika wanatakiwa kuripoti tukio hilo Polisi haraka.Amesema atafuatilia kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Suzan Kaganda kama tayari limeripotiwa kwa hatua zaidi

Chumba cha Kaburi Alimozikwa Yesu Chafukuliwa Tena..!!!

$
0
0

Chumba kidogo kinachofunika kaburi ambako inaaminika Yesu Kristo alizikwa kimefunguliwa rasmi tena baada ya kufanyiwa ukarabati kwa miezi tisa. 

Chumba hicho ambacho kinapatikana katika Kanisa la Kaburi la Yesu Kristo katika maeneo ya mji wa zamani wa Jerusalem kilikuwa kimekuwa dhaifu sana kiufundi. 

Aidha, kilikuwa limebadilika rangi na kuwa karibu rangi nyeusi kutokana na masizi ya mishumaa mingi ambayo huwashwa eneo hilo. 

Mzozo kati ya madhehebu matatu ambayo kwa pamoja husimamia kanisa hilo - Kanisa la Kiothodoksi la Ugiriki, Kanisa la Kiarmenia na Kanisa Katoliki la Kirumi - ulichelewesha ukarabati huo kwa miongo mingi. 

Antonia Moropoulou, aliyesimamia ukarabati, amesema chumba hicho sasa kimepata tena rangi yake asili inayokaribia hudhurungi. 

Chumba hicho kilifanyiwa ukarabati mara ya mwisho mwaka 1810.

Nape - Nampeleka Makonda kwa Rais Magufuli...!!!

$
0
0

Waziri wa habari,sanaa,utamaduni na michezo Mhe Nape Nnauye amesema kuwa ataiwasilisha ripoti ya uchunguzi wa tukio la kuvamiwa kwa kituo cha clouds media kwa Rais Magufuli.

Nape amesema hayo leo hii wakati alipokuwa akipokea ripoti hiyo ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu na watu mbalimbali pamoja na wadau wa habari ambao walitaka kujua nini kitafuata mara baada ya tume aliyoiunda juzi kukamiliha kazi yake hapo jana.

Kaumbukaa..Kamati ya Nape Yafichua Jinsi Makonda Alivyowatushia Kuwafunga na Kuwataja Kwenye Orodha ya Madawa ya Kulevya Watangazaji wa Shilawadu wa Clouds...!!!

$
0
0

Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam,Paul Makonda amegundulika kuwa Aliwalazimisha na kuwatishia kuwafunga kifungo cha miezi sita jela watangazaji wa kipindi cha Shilawadu cha Clouds Tv.

Hayo yamebainishwa leo jijini Dar es salaam,wakati ambapo kamati iliyoundwa kuchunguza sakata la mkuu huyo wa mkuo kuvamia kituo cha clouds media ilipokuwa inakabidhi ripoti yake kwa Waziri a habari ,sanaa,utamaduni na michezo Mhe Nape Nnauye.

Katika ripoti hiyo,kamati imebainisha kuwa Makonda Aliwasili clouds na moja kwa moja akaingia studio ambapo kipindi kilikuwa kinaendelea,ambapo aliwalazimisha wafanyakazi wa clouds paoja na watangazaji wa kipindi cha shilawadu kukirusha kipindi alichkuwa akikitaka.

Baada ya kujibiwa kuwa haiwezekani kufanya jambo hilo,makonda aliwatishia wafanyakazi wa clouds kuwa atawataja kwenye orodha ya wahusika wa madawa ya kulevya.

Duh Doma Sana..Hiki Ndicho Alichokifanya Makonda Dhidi ya Kamati ya Nape Nnauye ,Aliwaweka Nnje wapigwe na Jua Kisha Akawatoroka Kupitia Mlango wa Nyuma...!!!

$
0
0

Katika hali isiyokuwa yakawaida,Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda Alikimbia kuhojiwa na kamati ya kuchunguza sakata la kuvamia kituo cha clouds media iliyoundwa na Waziri wa Habari Sanaa,Utamaduni na Michezo Mhe Nape Nnauye.

Mwenyekiti wa kamati hiyo hii leo amebainisha kuwa walipokwenda ofisini kwa Makonda Aliwasubirisha nnje kwa zaidi ya saa tatu ambapo alikuja msaidizi wake akawaaambia Makonda Ametoka kidogo hivyo waendelee kumkoja,

Akazidi kubainisha kuwa wakati wanamngoja Makonda Alitumia mlango wa nyuma na kuwakimbia bila ya wao kujua hali iliyowafanya wakae ofisini hapo hadi saa tisa mchana ambapo waliamua kuondoka.

Ridhiwani: Tumeishi na RC wa Dar Vizuri Ila Kutajwa Kwenye Madawa, Kama Familia Tunamwachia Mungu...!!!

$
0
0

Baada ya kuitwa kuhojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika na biashara ya dawa za kulevya, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete amesema taarifa hizo zilitingisha familia yake, lakini baba yake Jakaya Kikwete alimtia moyo.

Tofauti na watuhumiwa wengine waliohojiwa kuhusu matumizi na biashara ya dawa za kulevya, Ridhiwani hakutangazwa hadharani badala yake aliitwa kimyakimya na kuhojiwa na baadaye kuruhusiwa aendelee na shughuli zake baada ya kuonekana hana hatia.

Katika mahojiano maalumu na Mwananchi Digital yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, Ridhiwani amesema JK hakushtushwa na badala yake alimpa nguvu ya kwenda kueleza ukweli .

“Pengine aliamua kuficha hofu yake ili kunitia nguvu,” amesema Ridhiwani.

Rayvanny Akataa Penzi la Jimama la Kenya...!!!!

$
0
0

STAA wa Bongo Fleva ambaye ni memba wa Lebo ya Wasafi Classic Baby ‘WCB’ inayomilikiwa na msanii mkubwa nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Raymond ‘Rayvanny’ amekataa ofa ya penzi iliyotolewa na mwanamke mmoja kutoka Kenya, anayetambulika kwa jina la Mishi Dorah.

Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, wiki iliyopita, mwanamke huyo wa makamo, anayeonekana kuwa mkubwa kiumri kwa staa huyo wa Wimbo wa Bado, alisikika akisema kuwa anampenda mwimbaji huyo aliyeshirikishwa na Diamond katika Kibao cha Salome na kwamba atafanya kila awezalo ili aje nchini, kukutana na hatimaye kumpa penzi.

“Ninampenda Rayvanny, nitamtafuta kwa udi na uvumba nimtunuku penzi ili roho yangu itulie, nampenda sana kwa kweli,” alisema shabiki huyo.

Baada ya kutoka kwa taarifa hizo, wadau mbalimbali kwenye mitandao hiyo, walionekana wakimponda mwanamke huyo, wakimtaka kuachana na mambo hayo kwani hana sifa za kuwa na Rayvanny.

Baada ya kupata habari hizo, Risasi Mchanganyiko lilimtafuta Rayvanny ambaye alikiri kuona habari za mwanamke huyo na kudai amekuwa akimchafua sehemu mbalimbali.

“Yaani sitaki kumuongelea kabisa huyo mwanamke, maana naona amepanga kunichafua kwani nilienda Kenya wakati f’lani nikakuta habari zake, huku nyumbani Bongo ndiyo hivi tena, sina cha kuongea maana mtu akiamua kukuchafua huwezi kuongea kitu,” alisema mwimbaji huyo.

Dah ! Huu ni Unyama wa Kupitiliza..Mtoto Mchanga Atelekezwa Gesti Akilia..!!!

$
0
0

Kichanga chenye umri usiozidi wiki moja ambacho hakikufahamika jina lake, kilitelekezwa katika nyumba ya kulala wageni inayojulikana kwa jina la Kibara, iliyopo Musoma Mjini Ijumaa iliyopita, Risasi Mchanganyiko lina mkasa mzima.

Kwa mujibu wa ofisa mmoja wa Ustawi wa Jamii katika Hospitali ya Mkoa wa Musoma, aliyejulikana kwa jina moja Clavery, kichanga hicho kilitelekezwa na mama yake mzazi, aliyefika katika gesti hiyo akiwa na watoto wake wawili, mmoja mkubwa akiwa na umri unaokadiriwa kuwa miaka miwili.

Alisema alipopanga katika nyumba hiyo, alikaa kwa muda kabla ya kumuomba mhudumu wa nyumba hiyo, amuangalizie mtoto wake huyo, wakati yeye akienda kutafuta chakula kwa ajili ya mtoto mkubwa, mfanyakazi huyo hakuwa na kipingamizi.

“Sasa akiwa anaendelea na shughuli zake, mara akasikia mtoto huyo mchanga analia, akajua ni jambo la kawaida na mzazi wake atarudi mapema, lakini muda ukazidi kwenda na hakutokea, akalazimika kuwaita akina mama majirani ndipo waliamua kwenda kutoa taarifa polisi,” alisema ofisa huyo.

“Akina mama hao waliokuwa wakimgombea ili kumtazama mtoto, hawakuamini kama mama anaweza kumtelekeza mtoto wake wa kumzaa, wakamchunguza kama ana ulemavu wowote, lakini wakamkuta mzima, ndipo wakampeleka polisi,” alisema.

Baada ya kufika kituo cha polisi na kutoa taarifa hizo, askari hao walimpeleka mtoto huyo hospitalini, ambako alipokelewa na kuanza kuangaliwa tangu siku hiyo hadi leo na mama yake hajulikani alipo.

“Alipoletwa hapa alikuwa katika hali mbaya, tumejaribu kumhudumia kwa kadiri tunavyoweza na hali yake inaendelea vizuri, hii siyo mara ya kwanza kukutana na kesi kama hizi, mwaka jana kuna mwingine aliletwa hapa naye akitorokwa na mama yake, hatukuwa tukilijua jina lake, tukaamua kumuita Eliah.

“Sasa na huyu naye ameletwa na jina lake hatulijui, kwa hiyo sisi hapa tumeamua kumwita jina la Elisha, kwa kuwa ni wa kiume, tutaendelea kuwa naye hadi hapo baadaye uamuzi mwingine utakapochukuliwa na serikali,” alisema Clavery, aliyedai kukaimu nafasi ya ofisa ustawi katika hospitali hiyo.

Jitihada za kumtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Ramadhan Ng’azi hazikuzaa matunda kwani simu yake ya kiganjani haikupokelewa kila ilipopigwa.

Meya wa Ubungo Amfungulia Mashtaka Matano Makonda...!!!

$
0
0

Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniphace Jacob amemfungulia mashitaka matano Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambayo ameyawasilisha kwenye Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Mashtaka yaliyofunguliwa dhidi ya Makonda ni pamoja na kughushi vyeti, kupokea zawadi bila kutangaza, jambo ambalo ni kinyume na sheria za utumishi wa umma, kujipatia mali kutoka kwa watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya, kuwadhalilisha watu kwa kuwataja kwenye tuhuma za madawa ya kulevya bila kuwa na vielelezo na kutumia madaraka vibaya.

Hatua hiyo ya meya Jacob, imekuja siku chache baada ya mkuu huyo wa mkoa, kudaiwa kuvamia kwenye ofisi za Clouds Media, kushinikiza kipindi kilichorekodiwa kikiwa na habari ya Mchungaji Josephat Gwajima, kirushwe hewani wakati kipindi cha Shilawadu kikiendelea.

Kitendo hicho kilimlazimu Waziri Nape Nnauye, mwenye dhamana ya kuwalinda waandishi wa habari, aunde tume maalum kuchunguza sakata hilo, ambayo ilipewa muda wa saa 24 kukamilisha kazi yake, lakini mpaka sasa bado ripoti yake haijatoka.

Fahamu Maujanja ya Kumgonga Demu Anayezingua Kukupa Mzigo..!!!

$
0
0

Wanawake bila nyinyi kuwa waongo waongo na utapeli mwingi wa fedha zetu wala tusingewaza 
kuzibuni njia hizi, Unakuta demu anakulia hela kibaao,  na kila ukiomba mzigo unapigwa kalenda sasa ikifikawakati wallet imeshaingia pancha anaanza kukukwepa,
Au 
unakuta demu mmekubaliana vizuri aje gheto kusulubishwa, anafika anaanza kukuletea vijisababu kibao wakati huo kidume umeshabugia viagra za kutosha tu miksa na vumbi la congo kudadeki genye zimejaa pomonii, Alafu demu anakufanyia ukatili wa namna hii kweli??

Sasa ili kuepuka kesi za kufumaniwa na wanyama kama mbuzi na bata Wanaume tuka'plan misheni za kuwabanjua bila kumwaga jasho,
IKO HIVI

Mwanzo vidonge vya nusu kaputi vilitusevu kinoma sasa Baada ya vidonge vya nusu kaputi kupigwa marufuku kuuzwa rejareja kwenye maduka ya pharmacy Masela tukaumiza kichwa na tukapata mbinu mpya ya kuchanganya kidonge cha paracetamol/ panadol kwenye soda hasahasa coka, Kipindi hicho masistaduu waligongwa sana kwa kushobokea soda za kupewa, Baada ya madem kushtukia mchezo wakawa hawakubali kunywa soda iliyofunguliwa( pasipo kushuudia ikifunguliwa)

Basi wahuni tukaingia kambini tena, tukasugua kichwa weeee mwisho tukaja na mbinu ya kubandika kisoda,
Yaani ilikuwa inachukuliwa soda inafunguliwa vizuuri tena kwa uangalifu ili kuepusha kisoda kupinda au kujikunja, Baadae kinawekwa kidonge kilichosagwa ili kurahisisha kijichanganye haraka, baadae kisoda kinabandikwa vizuuri then kinabanwa kwa pembeni ili kijishkize, Hapo mchezo unakuwa umeisha na tukio linalofuata ni kumsubiri demu aje gheto then unampa anywe na akijifanya analeta mahaba ya kunyweshana soda unamwambia wewe hupendelei aina hiyo ya soda kwasababu inakuletea aleji, HAPO KWISHAA HABARI YAKE.

Licha njia hiyo, kuna hii nyengine ila sio maarufu sana, Hii unamchanganyia Habat souda ya maji unamuwekea kwenye uji, Hii demu anawekewa kwenye uji au vinywaji vya asili na haitakiwi kukumbana na kemikali yoyote cuz Ukimuwekea kwenye Vinywaji vya viwandani ni risk sana na anaweza kuzima mazima,

Kwa wale wasio zijua Habat souda huwa zinapatikana kwenye maduka ya dawa za asili au kisun'na.
Zipo teknik nyingi (mf. Vidonge vya piriton n.k)  so nitazielezea nitakapoona inafaa,
ONYO:
Do at your own risk

Unampenda Mtu Lakini Yupo na Mpenzi Wake?Basi Ukifanya Yafuatayo Lazima Uumpate..!!!

$
0
0

TUMSHUKURU Mwenyezi Mungu ambaye ametuwezesha kuonana tena tukiwa wazima. Lakini pia tumshukuru kwa kutuletea kitu kinachoitwa mapenzi. Mapenzi yamekuwa yakichukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku na yamekuwa yakichangia kwa kiasi kikubwa furaha kwa kila mtu.

Kama huamini, angalia wale waliotokea kupenda na wao wakapendwa, utabaini nyuso zao zimetawaliwa na
furaha isiyo na kifani. Lakini mapenzi hayo hayo yamekuwa ni chanzo cha vilio kwa baadhi ya watu.

Mpenzi msomaji wangu, kupenda hakuna macho! Moyo ukishapenda hausikii la kuambiwa. Katika hili ndiyo maana unaweza kumuona mwanaume kazimika kwa demu ambaye hawaendani kabisa lakini moyo wake ndiyo umeshapenda.

Ilishawahi kutokea msichana akampenda kijana mmoja ambaye ni fukara kupita maelezo. Yeye akawa ndiyo anamhudumia kwa kila kitu. Akamfanyia mpango wa ajira na mwisho wake wakafunga ndoa.

Sasa hivi wanaishi maisha ya furaha na amani. Wamegeuka mfano wa kuigwa kwa jinsi wanavyopendana lakini huko nyuma msichana huyo alikuwa akichekwa kwa kutoa penzi kwa mwanaume asiye na mbele wala nyuma.

Hayo ndiyo mapenzi jamani! Lakini pia katika kufurukuta kumtafuta mpenzi wa kuwa naye maishani, mwanaume anaweza kujikuta unaangukia kwa demu ambaye tayari ana mpenzi wake.

Moyo wako unakuambia yeye ndiye mtu sahihi katika maisha yako lakini tayari ana mtu wake, unafanyaje ?.

Utapambana kuhakikisha unapata kile ambacho moyo wako umekipenda au utakubaliana na ukweli kwamba huwezi kuwa naye kwa kuwa ana mtu wake? Inapofikia hatua hiyo unaweza kujikuta upo njia panda hasa pale ambapo huyo mwenye mtu wake naye anaonesha kuwa na chembechembe za mapenzi kwako.
Kuna mambo kadhaa ya kukusaidia kukabiliana na hali hii.

Chunguza. 
Tumia muda wako mwingi kuchunguza juu ya uhusiano wake. Uhusiano wao umesimama na wanaonekana ni watu wenye ‘future’? Nasema hivyo kwa sababu, yawezekana uhusiano wa huyo uliyetokea kumpenda ni wa kuzuga tu na huenda wewe ndiye mwenye ‘future’ naye. Ndiyo maana nikasema chunguza uhusiano wake kwanza.

Usitafute uadui. 
Baada ya kuchunguza, ukibaini kwamba uhusiano wao hauko ‘siriasi’, vuta subira, lolote linaweza kutokea na likaufurahisha moyo wako. Lakini kama utaona ni watu walio siriasi na wanaelekea kuoana, usitafute uadui bure, kaa pembeni.

Una nafasi kwake ?.
Sawa umetokea kumpenda msichana aliye na mtu wake, umeshawahi kujiuliza kama una nafasi ndani ya moyo wake? Anaonesha dalili fulani za kukupenda kama unavyompenda na ni mtu anayeonesha kukumisi anapokuwa mbali na wewe? Utakapobaini una nafasi kwake, uamuzi wa kumpotezea hautakuwa na nafasi.

Ni rahisi kubadili uamuzi wake ?. 
Unadhani huyo uliyetokea kumpenda anaweza kubadili maamuzi ya kumuacha huyo aliyenaye kama kweli hawana ‘future’? Utagundua hilo kwa kuongea naye na kumsikia kama anaweza kufanya maamuzi hayo ili awe na wewe.

Pingana na moyo wako 
Ifike wakati upingane na moyo wako. Unajua moyo wako kukuambia kuwa unataka kuwa na uhusiano na demu ambaye tayari ana mpenzi wake wakati mwingine utakuwa unakupotosha.

Kwa hiyo ukiona vipi, pingana nao. Acha kumng’ang’ania msichana mwenye mpenzi wake licha ya ukweli kwamba, huenda wewe ndiye mwenye nafasi ya kuwa mume wake na siyo huyo aliye naye.

Urafiki ni poa ?. 
Umempenda sana na hauko tayari kumkosa katika maisha yako lakini imetokea kwamba tayari yuko na mtu na umebaini huna nafasi kwake kabisa? Usiumie, omba angalau urafiki. Siyo urafiki wa kivile sana ila angalau pale unapotaka kusikia sauti yake kwa kumsalimia tu, upate nafasi hiyo.

Usiumie, yupo mwingine. 
Haina haja ya kujitafutia vidonda vya tumbo bure kwa kuwa tu umebaini uliyetokea kumpenda tayari ana mtu. Chukulia ni hali ya kawaida, mademu wazuri ambao wanaishi singo wapo kibao huko mtaani, ni suala la wewe kutulia tu. Amini yupo mwingine ambaye atayafanya maisha yako yawe ya furaha.

Naomba nihitimishe kwa kusema kwamba, unapotokea kumpenda mtu fulani, pambana kuhakikisha unampata kwa sababu ukimkosa maisha yako yanaweza kuwa gizani. Ila pale utakapoona uwezekano wa kuwa naye haupo, usilazimishe ndugu yangu. Kumbuka haya ni maisha tu!

Unakawaida ya Kukimbiwa na Warembo Bila hata ya Kuwagusa..?Usijali Maujanja Haya Yanakuhusu Jaribu Kuyapitia..!!!

$
0
0

Wewe mwanaume unayesoma hapa, jiulize; huwa unadumu na mwenzi wako? Unaachwa au kukimbiwa baada ya muda mfupi? Kama jibu ni ndiyo, hapa utapata tiba. Sikia nikuambie, wapo wengi ambao kila wakianzisha uhusiano, siku mbili tatu, mwanamke anamkimbia. 

Anampenda sana, anamfanyia kila kitu ambacho yeye anaamini kinakidhi kwa mwanamke wake, lakini baada ya muda mfupi sana, anaachwa! Anabaki kujiuliza maswali yasiyo na majibu. Rafiki yangu, lazima ujue kwamba pamoja na kuwa mapenzi hayana kanuni za moja kwa moja, zipo ndogo ndogo ambazo zikifuatwa, mateso kwako yatakuwa ni kitendawili.

Huwezi kukimbiwa na wanawake bila sababu za msingi, lazima kuna kitu kinachosababisha uachwe. Hapo sasa hakuna sababu moja, wewe ukiachwa kwa sababu hii, mwingine atakimbiwa kwa sababu ile. Katika darasa hili, ukijifunza kwa umakini utaweza kujua kasoro yako ilipokuwa na kufanya mabadiliko ili ‘usiachike’ tena!

Wanaume huwa wanawalaumu zaidi wanawake kutokana na sababu za hapa na pale zinazosababisha kuachana kwao. Lakini wengine hutoswa bila kuelezwa sababu za msingi, akibaki na maswali mengi lakini mwisho hupata msichana mwingine kabla ya kuachana naye tena bila kujua sababu halisi.
Wakati mwingine sababu zenyewe huwa za maana lakini zingine mh! Ni aibu kuzitaja hadharani. Hata hivyo, kuna wengine huamua kuachana na wapenzi wao kwa makosa ambayo wao hudhani ni makosa kumbe wao ndiyo wanaokosea! Hebu tuone…



UKOJE?
Kama una tatizo la kuachana na wapenzi kila wakati, kipegele hiki kinakuhusu! Anza kuangalia tabia zako upya. Unaishije na mpenzi wako, jirani zako na watu wanaokuzunguka? Unatumiaje ulimi wako? 
Wasichana wengi wanapenda wanaume wachangamfu na wacheshi wakiamini kwa namna moja ama nyingine, ni burudani kwao lakini huwa hawapendi kabisa uwachangamkie wengine kupita kiasi.
Wanaume wengi hupingana na hili lakini utafiti unaonyesha kwamba, asilimia 70 ya wanaume wanaowachangamkia sana wanawake, mwisho wake hufanya nao mapenzi kama siyo kuingia katika uhusiano moja kwa moja. 

Usibishe, tafiti uone!
Kama una tabia hii, hata kama unaamini kwamba uchangamfu wako siyo wa nia mbaya kwa wanawake, achana nao maana unamkwaza mpenzi wako bila kujua. Wakati mwingine anaweza kuonyesha wivu lakini mwingine hawezi kusema, hivyo hubaki akiumia moyoni mwake lakini akichoka huamua kuachana na wewe hata kama anakupenda akihofia kuwa katika penzi la kuchangia. Angalia vizuri tabia zako katika kipengele hiki.



MWANAMKE MATUNZO!

Hapa jamani inabidi tuambiane ukweli, tena bila kufichana! Kuna baadhi ya wanaume ni wabahili sana, yaani kutoa fedha kwa wapenzi wao wanaona shida sana. Visingizio vya kwamba wao siyo mabuzi ndiyo vimewajaa akilini mwao.
Utawasikia wakisema; “Mimi siyo buzi bwana, demu wangu halafu nimlipie? Haiwezekani!” Achana na hizo fikra ndugu yangu. 

Unatakiwa utoe matunzo kwa mpenzi wako. Siyo lazima mpaka akuambie! Ni jukumu lako kufahamu aina za vipodozi anavyotumia.
Mnunulie bila kukuambia, mpelekee, kuwa mbunifu, ukiona nywele zake zinaanza kufumuka, mpe fedha ya saluni, tena ikiwezekana mchagulie mtindo uupendao.

 Leo asuke rasta za kimasai, baada ya wiki kadhaa unambadilishia mtindo mwingine.
Jiulize kama wewe ndiye mpenzi wake halafu unakataa kumpa matunzo, unataka nani amhudumie? Hivi ulivyokutana naye akiwa mzuri, anapendeza unadhani ni nani aliyekuwa anamhudumia?


Nakuhakikishia ndugu yangu, kama huna utamaduni wa kutoa matunzo kwa mpenzi wako tarajia kukimbiwa! Kwa maneno mengine ni kwamba, kama hutoi matunzo kwa mpenzi wako ni kama umemruhusu awe katika uhusiano na mwanaume mwingine ambaye atatoa matunzo.


Ni wajibu wako kumnunulia mavazi, manukato na hata fedha za matumizi yake binafsi. Tatizo hili huwakumba hata wanandoa, hawataki kuwahudumia wake zao, wakidai kwamba wameshaoa! Usimpompendezesha atapendeza? Na asipovutia unadhani nini kitafuata kama siyo kutafuta mwanaume mwingine nje? Upo tayari kusalitiwa?


Inawezekana unashangaa kwa nini wanawake wanakukimbia kila siku, kumbe kuna sehemu fulani huwa unakosea bila kujua. Hapa ndipo kwenye dawa. Ndiyo sehemu pekee utakayoujua ukweli na kuchukua hatua.
Katika sehemu ya kwanza, wiki iliyopita nilianza kwa kuelezea tabia mbili; moja ikiwa kujiangalia upya tabia zako na pili ni kumpa matunzo mwenzi wako.

Lazima wanaume mfahamu kwamba hata gari linapoharibika huhitajika kupelekwa gereji kwa kufanyiwa ukarabati. Vivyo hivyo hata mwanamke anahitajika kupewa matunzo ili aendelee kuwa bora na anayekuvutia.

Ukweli ni kwamba, wanaume wengi hukwepa kutoa matunzo ya karibu kwa wapenzi wao wakidai wanachunwa! Nani amekudanganya ndugu yangu? Kumtunza mpenzi wako siyo kuchunwa!

Mpendezeshe apendeze, usipofanya hivyo wewe unataka nani akutunzie? Kama una tabia hii badilika haraka, maana wanawake wa sasa wapo makini kuangalia wanaume ambao wanatambua wajibu wao.
Kuna mwingine huwa hatoi fedha mpaka siku atakayolala na mpenzi wake, hiyo ni mbaya zaidi maana hisia za kwamba umemnunua huanzia hapo.

Najaribu kuwaweka sawa na kuwakumbusha kwamba mwanamke anahitaji matunzo na kama ukishindwa kumtunza utakuwa unampa mwanya wa kutafuta mwanaume mwingine. Hapo ndiyo mwanzo wa usaliti.

UKOROFI, UKALI SI DAWA!

Watu wanatambua kwamba mwanaume ndiye kichwa cha nyumba, lakini hilo lisiwe kigezo cha wewe kuwa mkorofi na mjeuri hata kwa mambo mengine yasiyo ya msingi.
Mwanamke anahitaji mwanaume mwenye msimamo, asiyeyumbishwa, lakini pia anatamani sana kusikilizwa mawazo yake. Mwanamke anahitaji kuliwazwa na mpenzi wake.



Ukali kupindukia hupunguza mapenzi na hujenga woga na hofu. Wakati mwingine hushindwa kukushirikisha katika mawazo yake mazuri ambayo yangeweza kujenga kwa kuhofia ukali wako.
Ni vizuri kuwa makini katika hili, huna sababu ya kuwa mkali kwa mpenzi wako. Mwanamke ni mtu wa kuelewa, kama kuna mahali amekosea, zungumza naye taratibu huku upendo wa kweli, utii na utu ukionekana usoni mwako na hata kinywani mwako.

UMAPEPE

Kuna baadhi ya wanaume wana tabia ya umapepe, nikisema hivyo naamini naeleweka. Hili ni tatizo lingine wasilopenda wanawake. Siyo wanawake pekee bali hakuna mtu atakayejisikia vizuri mpenzi wake kuwa na tabia ya umalaya. Kila mmoja anapenda kuwa na penzi la peke yake na siyo la kuchangia!

Ikiwa una tabia za kupenda kubadilisha wanawake kila wakati, tarajia kuachana nao kila siku. Lazima mwanaume uwe na staha, mapenzi ya kweli na mtulivu kwa mwenzio.
Naomba nieleweke kitu kimoja hapa, wakati mwingine hata tabia zako za ajabu ajabu, zinamkosesha raha mpenzi wako na fikra za kuachana na wewe zikizidi kuusumbua ubongo wake.
Epuka tabia ya kusifia wanawake wengine vijiweni au ukiwa na mpenzi wako katika matembezi. Unapaswa kujiheshimu. Heshima unayoionesha kwa mpenzi wako ni kithibitisho tosha kwamba unampenda na kuheshimu uwepo wake.

MPE KIPAUMBELE

Mwanamke mwenye mapenzi ya kweli kwako, lazima atatamani kujua mambo mengi kuhusu wewe, lakini kubwa zaidi ni uwazi kuhusu maisha yake pamoja na kutoa ushauri kwako pale utakapohitajika.

Anapenda kuona ukimpa nafasi ya kwanza katika maisha yako, uwe wazi kwa kila kitu kinachoendelea katika maisha yako. Nafasi ya kwanza ninayoizungumzia hapa ni pamoja na kuwa naye karibu na kumpa taarifa za mipango yako ijayo, lakini katika hilo, pia, mwanamke anapenda kuona unaitambua thamani yake na kuyashika maisha yake ipasavyo.

Mwanamke akiona hapewi kipaumbele na mpenzi wake, hupoteza imani ya kuwa na mwanaume huyo. Kama una tabia hizi, ndugu yangu achana nazo, vinginevyo kila siku utaishia kubadilisha wanawake kama nguo

Kwa Taarifa Yako Tu..Hiki Ndicho Ambacho Wanawake Huvutiwa na Kukipenda Kutoka kwa Wanaume ,Kama Huna Jitahidi Kuwa Nacho...!!!

$
0
0

Kama mwanaume lazima upate wakati wa kujua unatakiwa kufanya nini kwa ajili ya kulifanya penzi lako lizidi kuchanua. 

USAFI BINAFSI

Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda sana usafi. Ni aghalabu sana kukutana na mwanamke asiyejipenda. Ndiyo maana wanaitwa mapambo ya nyumba au la nyumba! Ni kwa sababu ya hulka yao ya kupenda sana usafi.

Mwanamke anavutiwa sana na mwanaume mtanashati. Usafi wako unamfanya ajiamini kuwa na wewe. Hata nyumbani kwako, lazima uishi katika nyumba safi. Hata anapokuja kukutembelea, anakuta mazingira masafi kuanzia sebuleni hadi chumbani.

Anapokukuta katika hali ya usafi, inakuwa rahisi zaidi yeye kuanzia hapo alipokukuta na kuendelea mbele.

KUJIAMINI

Mwanamke anajisikia salama zaidi akiwa na mwanaume ambaye anajiamini – mwenye uwezo wa kutetea hoja zake na kujieleza sawia. Siyo anayebabaika. Suala la msimamo binafsi, kwa mwanamke ni kubwa kuliko hata kumnunulia manukato mapya!

Mathalani unakuwa naye katika mtoko, angependa kukuona ukiwa katika hali halisi ya maisha yako, usiyeyumbishwa na mwenye kutoa maamuzi yasiyoyumba.

Wakati mwingine, mwanamke anaweza kukupima hata katika jambo ambalo amekosea yeye, ataangalia unavyotoa maamuzi yako, lakini pia atafuatilia kuona kama utakuwa mwepesi wa kuyabadilisha.
Anataka kuona msimamo wako muda wote. Mwenye kujiamini na mawazo yasiyo na matege wala makengeza!

KUJITETEA

Kipengele hiki hakina tofauti kubwa sana na kilichopita, lakini hapa ni kwenye upande wa kujitetea zaidi. Wakati unapodai haki yako mbele ya mwanamke wako, suala la kujitetea linapewa nafasi kubwa sana.
Wanawake hawapendi kuwa na wanaume ambao wapo tayari kuonewa. Wanataka wenye uwezo wa kusimama kidete kuona haki zao hazichukuliwi kirahisi.

Hili si suala la kutetea tu haki yako pekee kama mwanaume, bali inapobidi kusimamia haki ya mwanamke wako. Nisieleweke vibaya katika hili, lakini mwanaume imara ni yule ambaye ana nguvu – anafanya mazoezi na ambaye yupo tayari kwa lolote!

Inapowezekana, uwe na uwezo wa ‘kuzichapa’ ikiwa mtakutana na vibaka au watu wabaya wenye lengo wa kukudhuru/kuwadhuru au kumdhuru mpenzi wako.

Mwanaume aliye ‘fiti’ ni chaguo la wanawake wengi. Si mnyonge. Mpole kupitiliza na aliye tayari kuonewa! Huyu hana nafasi.

KUJALI

Wanawake wanapenda sana wanaume wanaojali. Wanawaona wao ni kila kitu na wanaotoa kipaumbele kwao. Kama huna tabia hiyo, ujue upo katika nafasi kubwa ya kumkwaza mpenzi wako. Mjali mpenzi wako kwa kila hali.

Kumjulia hali kila wakati na kutaka kujua maendeleo yake, kutakupa nafasi kubwa sana ya kuendelea kudumu katika uhusiano hai.

UKARIBU

Kati ya vitu vinavyowapa mshawasha mkubwa wanawake ni pamoja na kusogezwa karibu. Hapa ni kuwa naye katika mambo mengi unayoyafanya kila siku.

Ni vizuri kuwasiliana naye mchana, ukitaka kujua aina ya chakula alichokula siku hiyo au ikiwezekana mchagulie. Ni mambo madogo sana lakini yanayoongeza nakshi katika mapenzi.

Yapo mengi sana ambayo kwa kuyafanya utakuwa umemsogeza mpenzi wako karibu yako. Hebu tumia ubunifu wako ili uweze kuteka hisia za mwenzi wako kisawasawa!


KUMSIFIA

Wanaume wengi hupuuzia hili, huona kama ni jambo lisilo na maana sana kwao na wenzi wao. Hali ni tofauti sana kwa wanawake ambao hupenda kuwasifia wanaume zao. Nitakupa mifano miwili ya namna wanandoa wa jinsia mbili tofauti wanavyotambulishana kwa jamaa zao. 

MWANAUME: “Peter kutana na mke wangu, anaitwa mama Diana. Nipo naye mwaka wa tatu sasa, tuna watoto wawili, huyo Diana na mwingine anaitwa Cris. Mama Diana, huyu ni Peter nilisoma naye A – Level, Tosamaganga Sekondari.”

MWANAMKE: “Suzan, huyu ndiye mume wangu mpenzi...anaitwa Elifaraja lakini mimi napenda zaidi kumuita Elly. Kiukweli nampenda sana mume wangu jamani, tuna mtoto wetu mmoja, anaitwa Agness. (Akimgeukia mumewe) Baby, huyu hapa ni rafiki yangu Suzan. Yaani tumekua naye mtaa mmoja huko Arusha.”

ANGALIA TOFAUTI

Bila shaka kwa namna wawili hao walivyotambulishana unaweza kuona tofauti kubwa. Mwanaume amemtambulisha mkewe kawaida kabisa, hajaonesha manjonjo au namna anavyompenda na kumthamini mwenzake, lakini mwanamke amefanya hivyo.

Sikia nikuambie, KUMSIFIA mwanamke, kuna nafasi kubwa sana kwake. Chunguza kwa makini, hata kunapokuwa na mgongano katika familia, halafu wakatokea wageni, baada ya utambulisho na mazungumzo ya hapa na pale, wageni wakiondoka kunakuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kumaliza mpasuko katika familia.

Jenga utamaduni wa kumsifia mpenzi wako, unamuweka katika kilele cha upendo. Anajiona kamili, peke yake na mwenye nguvu kwako. Anajiamini na unamfanya azidi kukupenda kwa kuwa anaamini yupo na mwanaume ambaye anajivunia kuwa naye.

MALENGO

Wanaume wengi wana ulemavu mmoja; hawapendi kuwashirikisha wanawake katika mambo yao. Wanapenda kufanya mambo yao kwa siri na wakati mwingine ikilazimika kumwambia mkewe basi kwa mshtukizo baada ya kukamilisha jambo husika.

Hii si sahihi. Dunia ya leo imebadilika rafiki zangu. Inawezekana wazee wa zamani walikuwa sahihi, maana ilikuwa ni suala la kununua ng’ombe na kuwaweka katika zizi kwenye kijiji cha jirani, halafu wanapewa malisho mazuri, baada ya miaka miwili wanazaliana, hapo ndipo anamweleza mkewe.

Siku hizi dunia imebadilika, kuna mambo mengi. Kuna suala la hasara katika biashara, utapeli n.k. Mkeo ndiye rafiki yako mkubwa kuliko wote, ndiye ndugu yako wa karibu zaidi kuliko yeyote. Yes! Mkeo ndiye ndugu yako maana umetengeneza naye familia. Mmeshirikiana kuzaa watoto na kujenga maisha pamoja.
Yeye anapaswa kujua mambo yako, ndiye mtetezi wako nambari wani. Mweleze juu ya malengo yako, wakati mwingine anaweza kukusaidia sehemu ambayo hukutarajia.

Hata hivyo, kumshirikisha katika malengo yako, kunampa nguvu na nafasi ya kujiona mama katika familia yenu. Msaidizi kamili wa nyumba yenu.

KIPAUMBELE

Kuna wakati wanawake huwa na mambo yao binafsi. Kazini au kifamilia. Inawezekana akatatizika katika eneo fulani ambalo kwa namna moja ama nyingine atahitaji usaidizi wako. Ikitokea mkeo akawa katika hali hiyo, msikilize.

Mathalani ana tatizo la kifamilia, amekuambia mmoja wa wazazi wake anaumwa, msaidie. Si lazima kifedha, lakini kuonesha kujali kwako tu, kutampa matumani kwamba anaishi na mtu sahihi. Acha kupuuza mambo yake; hata yale madogo, kama ya ‘mtoto wa dada amerudishwa ada shuleni’.

Msikilize, mshauri panapofaa kufanya hivyo na ukiweza msaidie hata kifedha. Katika upande wa pili ni hivyo hivyo. Labda una tatizo binafsi, kazini kwako au kifamilia, mshirikishe.

Unaweza kushangaa jambo ambalo uliamini unaweza kulimaliza peke yako, kwa kumshirikisha likawa jepesi zaidi na mambo yakaendelea vyema. Kipaumbele kwa namna yoyote ile, kunaongeza mapenzi zaidi kwa mwanamke.

TENDO LA NDOA 

Hiki ni kipengele nyeti, kinachohitaji lugha nzuri ya kirafiki kukifafanua. Hakuna siri, tendo la ndoa ni moja ya kiwakilishi cha ndoa. Maana hata maandiko yanasema: “Mwanamke ataacha wazazi wake na kwenda kwa mumewe, nao watakuwa mwili mmoja.”

Kimsingi tendo la ndoa lina nafasi yake. Ni muhimu likaheshimiwa na kutengewa muda maalum wa kufurahia. Si papara. Kwa bahati mbaya wanaume huwa si wafuatiliaji sana wa kujua namna ya kuwafurahisha zaidi wenzao. Wenyewe wanajiwazia wenyewe. Wanafikiria namna ya kuwakomoa wenzao.
Si sahihi. 

Tendo la ndoa halina maana ya kukomoana. Jenga mazoea ya kufanya maandalizi kamili kabla ya tendo. Sikiliza hisia za mwenzako. Ukiweza kumjulia mke wako katika eneo hili, ni wazi kwamba utazidisha upendo wake kwako, lakini pia atakuwa katika kuta za uaminifu. Akatafute nini nje wakati wewe ndiye mganga wake unayeweza kumtibu barabara?

Kuna kitu nimesahau kweli? Kama kipo nitafute pembeni, kwa hapa haya yatoshe kukufanya uelewe nilichotaka kukuelekeza. Nikuache na neno moja; uamuzi wa kuijenga ndoa yako upo mikononi mwako. Ukitaka iwe shaghalabaghala, pia ni wewe tu!

Ukweli Mchungu..Kina Dada Tumieni Tu Pedi,Lakini Haya Ndiyo Yaliyofichwa Katika Pedi Ambayo Yanawamaliza Taratibuuuu...!!!

$
0
0

Kumekuwa na ongezeko kubwa la magonjwa ya mfumo wa mkojo (UTI) na uzazi kwa wanawake, hii inasababishwa na sababu nyingi ikiwemo ya kukosa uelewa sahihi wa kanuni za afya na usafi wa mwili pamoja na mazingira yanayomzunguka mwanamke. 

Mada za usafi wa mwanamke ni pana sana siwezi kumaliza kusema kila kitu, hivyo leo nitajikita zaidi katika matumizi sahihi ya pedi na mambo ya kuzingatia kabla ya kunua pedi. Wadada wengi wamekuwa wakitumia pedi na kuziacha zikizagaa mitaani hali inayofanya nijiulize kama tu ameshindwa kujua sehemu sahihi ya kuhifahi au kutupa pedi aliyotumia yeye mwenyewe, 
Je anauelewa upi katika matumizi sahihi ya pedi hizo kabla hajazitumia?
 Somo la leo nitajikita katika njia sahihi ya kuchagua na kutumia pedi, makosa yanayofanywa katika matumizi ya pedi na ushauri juu ya matumizi sahihi ya pedi na vitambaa kwa wale wanaovitumia.

Yafuatayo ni makosa yanayofanywa katika uchaguzi na matumizi ya pedi kwa wanawake:

1. Kutonawa mikono kabla na baada ya kutumia pedi. Mikono hushika sehemu mbalimbali hivyo kuna uwezekano ikawa na vimelea vinavyosababisha magonjwa kwa hiyo kushika pedi bila kunawa mikono kwa sabuni kunaweza kuhamisha vimelea hivyo kutoka mikononi na kwenda kwenye pedi inayotegemewa kuvaliwa.

2. Kutunza pedi bafuni au chuoni. Wadada wengi hupendelea kutunza pedi zao chooni/bafuni. Vyumba vingi vya choo/bafu havina mwanga wa kutosha na kuwa na unyevunyevu hali inayoweka mazingira mazuri ya ukuaji wa vimelea vya magonjwa kama bacteria na kitendo cha kutunza pedi katika sehemu hizo kunaweza kusababisha kuhama kwa vimelea hao kutoka bafuni/chuoni kwenda kwenye pedi isiyovaliwa na kupelekea pedi hizo kuwa na vimelea vya magonjwa na mwanamke anakuwa katika hatari za kupata maambukizi.

3. Kutoangalia muda wa matumizi wa pedi kabla ya kutumia au baada ya kuzihifadhi kwa muda mrefu hali inayopunguza kiwango cha ufanisi cha pedi sababu ya kuisha kwa muda wake wa matumizi.

4. Kununua pedi zinazouzwa kiholela kwa njia ya utangazaji na za bei rahisi (promotion) ambazo baadhi zimeonekana kutengenezwa kwa malighafi zilizo chini ya kiwango au kukaa kwa muda mrefu hivyo kuuzwa kwa bei rahisi ili zitoke na kutumika haraka kabla ya kuisha muda wake.

5. Kutumia pedi ambazo zipo katika majaribio maalum. Kama tunavyojua kuna kila aina za pedi mpya katika soko kwa kadri siku zinavyozidi kwenda na baadhi ya pedi huingizwa sokoni kinyemela pasipo tafiti za kutosha na bila hata kuthibishwa na mamlaka husika.

6. Kutumia pedi kwa muda mrefu. Wanawake wengi hususani katika nchi zinazoendelea huwa hawamudu kutumia pedi moja kwa muda wa masaa mawili kama inavyoshauriwa na wataalamu hivyo kujikuta katika hatari ya kupata magonjwa ya mfumo wa mkujo na njia za uzazi .

7. Kupendelea pedi zenye uwezo mkubwa wa kufyonza unyevunyevu ili ivaliwe muda mrefu pia ni tatizo sababu kwa kadri muda wa kuvaa pedi moja unapozidi kuongezeka na hatari za maambukizi ya magonjwa pia inazidi kuongozeka.

Wanawake wanashauriwa kufanya yafuatayo ili kuhakikisha usalama wa afya zao :

1. Kunawa mikono vizuri kwa sabuni kabla ya kugusa pedi ambayo unatarajia kuivaa na baada ya kuvaa kunawa tena mikono vizuri.

2. Kutohifadhi pedi bafuni au chuoni au sehemu yote yenye unyevunyevu na isiyo na mwanga wa kutosha ili kutotengeneza mazingira ya kukua kwa vimelea vya magonjwa ndani ya pedi.

3. Kuangalia kwa makini muda wa matumizi ya pedi kabla ya kununua au baada ya kutunza pedi kwa muda muda mrefu ili kuepuka kutumia pedi zilizopita muda wake wa matumizi.

4. Kuepuka kununua pedi zinazouzwa kiholela na zisizothibitishwa na TBS na mamlaka nyingine zenye dhamana ya kuangalia ubora wa pedi hizo. Mwanamke anatakiwa kuangalia nembo ya uthibitisho wa mamlaka hizo na kujiridhisha kuhusiana na usalama wa pedi hizo kabla hajanunua.

5. Kubadilisha pedi kila baada ya masaa mawili, kama tunavyojua damu ni moja wapo ya chakula kizuri sana kwa vimelea vya magonjwa kama bacteria ,unyevunyevu unaosababishwa na kuvaa pedi kwa muda mrefu pia unapelekea ustawi wa bacteria hao na joto ambalo lipo katika maumbile ya ndani ya mwanamke vikiungana kwa pamoja vinatengeneza mazingira mazuri ya ukuaji wa bacteria , hivyo wanawake wanashauriwa kutovaa pedi hizo kwa muda usiozidi masaa mawili ili kuepuka mazingira hayo.

6. Kuchagua aina sahihi inayokutosha ina kuepuka pedi zinazobana sana kupita kiwango sababu zinaweza pia kukufanya usiwe huru na kutengeneza joto la ziada na michubuko katika maumbile ya mwanamke,hivyo mwanadada unashauriwa kutumia pedi itakayokukaa vizuri(isilegee sana wala kuachia sana)

7. Kwa wadada wanaotumia vitambaa badala ya pedi ni muhimu pia kuzingatia kanuni za kiafya na usafi kabla na baada ya kutumia vitambaa hivyo kama vile kuchagua kitambaa angavu ,kukiloweka na kukifua vizuri, kuanika kwenye sehemu yenye mwanga wa jua wa kutosha na upepo wa kutosha pasipo na unyevunyevu ,kupiga pasi kabla ujakihifadhi na kabla ya kutumia ili kuuwa vimelea vya magonjwa na kuvitunza sehemu nzuri ambayo haina unyevunyevu, penye hewa na mwanga wa kutosha na mwisho ni kubadilisha kitambaa hicho kila baada ya masaa mawili pamoja na kunawa mikono vizuri kabla na baada ya matumizi ya vitambaa hivyo.

Stooop..Snura Mushi Akataa Watoto Wake Kumuangalia...!!!

$
0
0

Kama mama, kama mtoto hilo halipo kwa Snura. Mrembo huyo amefunguka kuwa hataki watoto waje kuwa wanamuziki kama yeye.

Akiongea na gazeti la Risasi, hitmaker huyo wa ‘Shindu’ ambaye kwa sasa ana watoto wawili amesema maisha ndiyo yaliyomsababisha yeye aingie kwenye fani hiyo lakini hapendi watoto wake waingize mguu kwenye tasnia hiyo.

“Nafanya muziki kwa kuwa natafuta hela. Maisha yamenifanya niingie kwenye fani hii lakini siyo kwamba ndiyo naipenda mpaka niwarithishe na wanangu. Sitaki kabisa wawe kama mimi, ukiniuliza kwa nini jibu langu ni hilo,” amesema Snura.

“Sina sababu ieleweke hivyo tu, nashukuru Mungu wanangu nao hawana muda na fani hii na ninapenda waendelee kuwa hivyo kwani sipendi wanangu wafanye kazi hii,” ameongeza.

Kamati Iliyopewa Kazi ya Kuandaa Ripoti ya Sakata la Makonda Kuvamia Clouds Yabaini Mazito...!!!

$
0
0

Hatimaye kamati maalum iliyoundwa na waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye kuhusu tukio la mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuzivamilia studio za Clouds Media Group, Ijumaa iliyopita akiwa na askari wenye silaha nzito, imekabidhi ripoti yake.

Kamati hiyo iliyoundwa na watu mbalimbali akiwemo mhariri mtendaji wa New Habari Corporation, Deodatus Balile, imethibitisha kuwa ni kweli Makonda alienda katika kituo hicho usiku wa Ijumaa akiwa na askari na kuwashinikiza watangazaji wa kipindi cha Da W’keend Chat show (Shilawadu) warushe kile alichokiita kipindi chake na baada ya kugoma aliwatishia mambo kadhaa.

Kamati hiyo imesema moja ya vitisho hivyo ni kuwakagua watangazaji hao kama wanahusika na uuzaji wa madawa ya kulevya ‘ama kuwabana wadhamini wa kipindi hicho na pengine kuwaingiza kwenye orodha ya kuuza dawa za kulevya.’

Imedai kuwa watangazaji wa kipindi hicho walipatwa na taharuki kubwa kiasi cha kujikuta wakilia na kushindwa kufunga kipindi chao. Imesema mkuu huyo wa mkoa alitumia takriban saa nzima katika kituo hicho na kuwataka wafanyakazi wake kuwa yaliyotokea yabaki ndani ya siku hizo.

Kamati hiyo imesema tukio hilo limeingilia uhuru wa uhariri na uvunjifu wa amani kutokana na vitisho alivyovitoa mkuu huyo wa mkoa. Pia kamati imekiri kuwa Makonda alikuwa ‘mgeni mwenyeji’ kwenye kituo hicho na March 14 alikaaa katika ofisi hizo hadi saa 10 alfajiri kuhariri na watayarishaji kipindi maalum cha kuadhimisha mwaka mmoja wa uongozi wake.

Hata hivyo wafanyakazi wa kituo hicho wamedai kuwa mkuu huyo wa mkoa hakuwahi kwenda na askari wenye silaha katika siku zingine kabla ya March 17. Pia imedai kuwa hakuna mtangazaji aliyepigwa wala kuumizwa kwenye tukio hilo.

Mapendekezo ya kamati hiyo ni:

1. Mkuu wa mkoa aombe radhi Clouds na kwa wanahabari wote

2. Waziri husika atoe taarifa kwa mamlaka husika ili Mkuu wa Mkoa achukuliwe hatua

3. Vyombo vya usalama kufanya uchunguzi juu ya askari kuingia Clouds na silaha za moto

4. Kampuni ya Clouds ipitie upya kanuni, miongoni na sheria za utangazaji ili kuwa na udhibidi wa watu kuzoea kuingia mara kwa mara pasipo kuwa na taaluma ya habari

Rasmi..Gwajima Aziunganisha Clouds Fm na Efm,Baada ya Jana Kufanya Yake kwa Ruge,Leo Anatuma kwa Majizo wa EFM...!!!

$
0
0

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Bishop Josephat Gwajima amesema kuwa leo hii atatembelea kituo cha redio cha Efm pamoja na TVE kwaajili ya kuwapa pole wana tasnia ya habari kwa yaliyotokea.

Ijumaa iliyopita kituo cha Clouds kilivamiwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa na askari wenye mitutu kitendo kilichopingwa na wadau mbalimbali wa habari.

“Kesho Tarehe 23/03/2017 Saa nne kamili asubuhi, nitatembelea Ofisi za EFM na TVE ili kuwapa pole wana tasnia ya Habari kwa yaliyotokea.” aliandika mchungaji huyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Askofu huyo jana alitembelea kituo cha Clouds kwaajili ya kutoa pole kwa yaliyotokea.

Sumaye: Kama kweli Makonda Alifeli Kidato cha Nne, Simlaumu kwa Anachokifanya..!!!

$
0
0

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema kama yasemayo kuhusu elimu ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ni kweli, hamlaumu kwa maamuzi yake mbalimbali ambayo yamekuwa yakikosolewa vikali na wananchi.

Akiongea na waandishi wa habari Jumanne hii jijini Dar es Salaam, Sumaye alidai kuwa Makonda amepewa cheo kikubwa ambacho elimu yake haikimudu.

“Kama ni kweli [Makonda] amefeli darasa la saba kabisa, form four akafeli zote kabisa, kama ni kweli hivi ulitegemea afanyeje? Aendeshe mkoa sawa sawa?” alihoji Sumaye.

“Kama hizi failure ni kweli, huo uwezo wa kubeba hata wilaya uko wapi? Kwahiyo mimi simlamu Makonda. Yule bwana kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa level of incompetency,” ameongeza.

Amedai kuwa huenda katika nyadhifa za chini Makonda alionekana kufanya vizuri hali iliyopelekea kupandishwa daraja haraka hadi kufikia kwenye kiwango ambacho hana uwezo nacho.

“Maana kama umefika mahali unavamia vituo vya habari, anakwenda waziri anayehusika na sekta hiyo anasikitika, anaeleza maelezo yale ambayo tumeyasikia sisi kwenye mitandao mengine mimi siwezi hata kuyarudia lazima kuna tatizo.”

Sumaye amesisitiza kuwa Makonda amefika mwisho wa uwezo wake.

Pia Sumaye amemshauri Rais Dkt John Magufuli kutii hisia za wananchi wake katika maamuzi anayoyafanya.

Wahi Offer za Water Dispenser Kwa Matumizi ya Nyumbani na Maofisini

$
0
0

*OFA KABAMBE..DONT MISS IT..*

sass Kwa bei Nafuu Kabisa unajipatia *WATER DISPENSER*,Kwa matumizi ya OFISINI NA NYUMBANI, Upate Maji BARIDI na MOTO.

Tunakuletea Oda yako kwa Wakati na Mikoani tunatuma Oda zenu pia.

Tunatoa DHAMANA ya Mwaka 1.

BEI 195000/= TU HAINA FRIJI.

BEI 290000/= INA FRIJI CHINI

CALL/WHAT'SUP. 0743757575

BIDHA ZINGINE TUFATE INSTAGRAM PAGE YETU.

👇🏽👇🏽👇🏽

@beinafuu_shop
@beinafuu_shop
@beinafuu_shop
@beinafuu_shop

BREAKING: Rais Magufuli Atengua Uwaziri wa Nape Nnauye

$
0
0


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri ambapo sehemu ya mabadiliko hayo ni kumteua Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo… na taarifa kamili ndio hii hapa chini kutoka IKULU.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images