Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Mwalala "Kuzidiwa Ujanja Yanga Aibu Sana"

$
0
0
BEN Mwalala ametoa la moyoni na kutamka Mrundi Didier Kavumbagu na Frank Domayo hawakukosea kusaini Azam FC, lakini kinachomsikitisha ni kitendo cha Yanga kuzidiwa ujanja.

Mwalala mchezaji wa zamani wa Yanga na mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara 2008 amekiri kuwa yeye ni mpenzi wa klabu hiyo na anaongea ikiwa inamuuma moyoni.

Ameliambia Mwanaspoti kuwa:”Hata Ulaya katika klabu kubwa, wanapoona mchezaji ambaye wanamhitaji, tena ni kijana wanamsainisha mapema hata kama mkataba wake haujaisha kabisa. Anaweza kuwa amebakiwa na miezi mitatu au zaidi wao wanamwongeza ndiyo Yanga inatakiwa kuwa hivyo.”

“Unapomuongezea makataba ni faida kwa timu pia, kwani hata kama timu nyingine itakapokuwa inamuhitaji lazima mumuuze kwa pesa nyingi,”alisisitiza Mwalala ambaye ni Mkenya.

“Hiki ninachokiongea kinaniuma, ninaongelea Yanga na mimi ni Mwanayanga pia, inabidi tujipange, bila kuwa makini yanaweza kuibuka mengine mapya.

“Kwa ukubwa wa klabu ya Yanga, ndiyo inayotakiwa kuiba wachezaji, lakini siyo yenyewe iibiwe kama tukio hili lililotokea,”alisisitiza.

Jackline Wolper"Nimechoka Kutukanwa Kila Kukicha"

$
0
0
MOYO unauma! Baada ya kutukanwa matusi ya nguoni kwenye mitandao ya kijamii na blogs, kwa mara ya kwanza staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amefunguka na kudai kwamba amechoka kutukanwa kila kukicha lakini pamoja na hayo yote hatingishiki kwa lolote.

Habari zilieleza kuwa kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram, Wolper amekuwa akitukanwa kila kukicha huku tetesi zikizagaa mtaani kwamba mwanadada huyo ni msagaji. Matusi hayo yalikwenda mbele zaidi na kudai kuwa kutokana na tabia yake ya usagaji ndiyo maana hataki kumweka hadharani mwanaume wake.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Wolper alisema kuwa ni kweli amechoka lakini anawaachia nafasi watu wanaomchafua kwenye mitandao na hatishiki kwa lolote kwani maneno yao siyo ya kweli na kamwe hatamtangaza mpenzi wake kama ilivyokuwa zamani.

“Watukane sana, waseme mimi ni mwanaume lakini mimi ninatambua ninachokifanya, wakichoka wataacha. Kamwe sipo tayari kumweka mwanaume wangu kwenye vyombo vya habari, unajua kwenye mitandao kuna uchonganishi mwingi sana na mtu usipokuwa makini utajikuta ukimchukia mtu bila sababu kutokana na watu kuwa na mitazamo mbalimbali,” alisema Wolper.
Stori: GLADNESS MALLYA, GPL

Siri Imefichuka Mume wa Jack Patrick Amnasa Miss Tanzania Salha Israel

$
0
0
SIRI imefichuka! Mume (bado talaka) wa mwanamitindo maarufu Bongo ambaye kwa sasa yuko korokoroni Macau nchini China kwa msala wa kukamatwa na unga, Jacqueline Fitzpatrick Cliff, Abdulatif Fundikira ‘Tifu’ anadaiwa kumnasa kimalavu Miss Tanzania 2011, Salha Israel.

Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Tifu, wawili hao hivi sasa wako kwenye ‘mahaba niue’ na wote wawili wako tayari kufunga ndoa kwani wazazi wa pande zote wamebariki ndoa hiyo.

“Salha sasa hivi humwambii kitu kwa Tifu na kila mmoja yuko tayari kwa ajili ya kufunga ndoa na mwenzake. Lakini sisi kama marafiki wa karibu tunaona ni jambo la heri,” kilisema chanzo hicho

Mpashaji huyo alizidi kuweka wazi kuwa huko nyuma Tifu alikuwa hana imani kabisa na wanawake tena baada ya kuingia kwenye mgogoro mzito na aliyekuwa mke wake, Jack Patric, kiasi ambacho alisema hawezi kuoa tena.

Rafiki huyo alisema kuwa baada ya Tifu kukutana na Salha aliona ndiye anaweza kuwa mke bora (wife material) na kuamini kuwa hawezi kumtenda kama alivyofanyiwa huko nyuma.

Baada ya kupata taarifa hizo, gazeti hili lilimtafuta Tiff ili kupata ukweli wa madai hayo ambapo bila kukanusha alisema kuwa ni mapema kulizungumzia hilo kama yatakuwa tayari ataweka wazi.

“Kwa kweli hilo jambo ni mapema mno kulizungumza kwa hivi sasa lakini mambo yakikuwa tayari nitaweka wazi kila kitu,” alisema Tifu.

Kwa upande wake Salha Israel alipopatikana kwa njia ya simu na kuelezwa kuwa Ijumaa Wikienda lina hadi picha zao za kimahaba alifunguka: “Ni kweli namfahamu, ni mtu wa karibu lakini ni sawa na kaka yangu pia. Hayo mengine labda mumuulize yeye.”
Stori: Imelda Mtema, GPL

Wanawake wa Haya makabila Kitandani ni Wabovu Sana

$
0
0
Hiyoooooooooooooo ndo habari kwani kuna baadhi ya makabila ukiwa una mgegeda hata hatingishiki yeye ni kutulia kama gogo tu wala hawezi hata kukukuruka kwanza wachaga, wapare, waha, wasukuma, wangoni, wakikuyu, wakurya, waluguru, wagogo, wamasai na mengine kibao yani ni shida hadi wanafanya papuchi zao kua za baridi sana jaman badilikeni, haya toeni uzoefu wenu na ninyi

Mke Wangu Ananilazimisha Kulala Bila Nguo

$
0
0
Jaman mwenzenu hata cjui nfanyaje mana huku tulipo ni baridi lakini nkilala na boksa tu kosa.yeye anataka tulale uchi alafu gegedo langu liwe ndani ya papuchi yake mpaka asubuhi

Producer wa Wimbo wa Diamond Number 1 Alia na Waandaji wa KTMA kwa Kumnyima Tuzo

$
0
0
Producer Sheddy Clever ambae ni Mwandaaji wa Wimbo wa Diamond Number 1 uliochukua Tuzo Nyingi katika Tuzo za Kilimanjaro Awards zilizofanyika Juzi, Ameonyeshwa kukerwa Kwa Kukosa Tuzo ya Producer Bora Wakati Wimbo huo Umechukua Tuzo Nyingi ikiwemo ya Wimbo Bora , Amekaririwa akisema "Sasa ndugu zangu inakuwaje nisipewe tuzo ya Muandaaji bora wa Music wakati Number one imekuwa mwimbo bora wa Mwaka..na imemfanya Diamond Apate Tuzo Tano?

Sababu ya THT Kutokung'ara Kweye Tuzo za KTMA Mwaka Huu

$
0
0
'HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA' NA MWENYE MACHO HAAMBIWI ONA,,jana tumeshuhudia namna gani NGUVU YA UMMA inaweza kuleta mabadiliko.
tulishazoea,na ilikua kama kawaida sasa, MIAKA KADHAA ILIYOPITA UGAWAJI WA TUZO ZA KTMA ulikua unazingirwa na UTATA MKUBWA.lakini kubwa kulikoo ni pale vijana wa kutoka kundi la THT walipokua wananyakua TUZO nyingi ambazo hawastahili. we all know that RUGE na genge lake ndo alikua anawapa zile tuzo.Hili liliwezekana kwasababu wao ndo walikua wanahodhi mchakato mzima na waoaa ando walikua wanapendekeza majina na kuwakweka kwenye category mbalimbali,,,

Mwaka huu hali imekua tofauti kidogo kwani wananchi walipewa nafasi ya kupendekeza majina ya wasanii watakoaingia kwenye category mbalimbali.LAKINI PIA TUME YA KUSHUGHULIKIA MIPANGO YOTE YA UGAWAJI WA TUZO HIZI ILIKUA COMMITED KIDOGO TOFAUTI NA MIAKA MINGINE,,,hali hii imemewafanya AKINA RUGE NA MAGENGE YAKE KUSHINDWA KUPENYEZA VIBARAKA WAO WA THT kwenye KTMA.

TEAM ANAKONDA,,,kwa kweli hili ni bao la kisigino,,kubali ukatae hili ni pigo kwa ruge na wenzake. kitendo cha LADY JAYDEE KUCHUKUA TUZO WAKATI MWANA FA HAJAPATA HATA MOJA NI PIGO KUBWA SANA.

NB....nimefurahi sana FID Q KUCHUKUA TUZO JANA.
Source:JF

Aliye Jidai ni Mganga Wa Diamond Aonekana Tapeli ..Alisema Diamond Hata chukua Tuzo Tena

$
0
0
Yule Mganga alioteka vyombo vya habari kwa kusema yeye ndio amempa diamond umaarufu na kwa kuwa diamond amemkana hivyo hatokuja kupata tuzo tena maishani mwake na Ndio mwisho wa Music wake Ameonekana Tapeli wa Kutupwa

Watu wengi walimuamini yule mganga tapeli na wakasema ndio mwisho wa diamond kimuziki.

Diamond amezibitisha utapeli wa huyo mganga kwa kuchukua tuzo Saba katika Tuzo za KTMA zilizofanyika Juzi.
Siri ya diamond ni kupiga kazi nzuri, menejimenti nzuri bila kusahau wema sepetu na diamond amekiri ilo.....Embu tutolee Mauganga yako hapa

Mrisho Ngasa" Azam Wametushika Pabaya"

$
0
0
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngassa amesikia taarifa za kuondoka kwa Didier Kavumbagu na Frank Domayo akatamka: “Aisee hilo ni pigo kubwa kwa kikosi chetu naomba niwe muwazi.”

Akizungumza na Mwanaspoti kutoka Mwanza anakouguza majeraha ya nyama za paja, Ngassa alisema amepokea taarifa za kuondoka kwa Kavumbagu na Domayo kwa masikitiko na kuongeza wachezaji hao walikuwa wakihitajika katika kikosi chao.

Ngassa alisema maumivu zaidi yanakuja kutokana na ukweli kwamba wachezaji wote walikuwa katika kikosi cha kwanza cha Yanga, ambapo sasa uongozi unatakiwa kutuliza akili kutafuta mbadala wa nyota hao walioondoka wakiwa wachezaji huru baada ya kumaliza mikataba.

“Tuseme kweli kwamba kuondoka kwa Didier na Domayo ni pengo kwa timu, hili lipo wazi kwani walikuwa wachezaji muhimu katika timu yetu, walicheza mechi nyingi ambazo ni muhimu, ni wakati wa viongozi kufanya kazi yao ipasavyo kuhakikisha wanatafuta wachezaji wengine mahiri ili kuziba nafasi zao,”alisema Ngassa ambaye amewahi kucheza Azam na Simba.

Hatari Tupu:Wanaigeria wanalitibua soko la muziki Bongo

$
0
0
Kuna kilio kinasikika kwa mbaaali. Wanamuziki na wadau wanalalamika kuwa muziki wa Nigeria unapandishwa na Bongo Fleva inapotezewa.

Cha kujiuliza ni iwapo muziki huu unabebwa au ni ubora wa kazi hizo ndio unaowavutia mashabiki.

Mdj wanajua ili watu wasiondoke katika “dancefloor’’ ni lazima wapige nyimbo za Nigeria. Bila kupiga Testmoney, Ayee, Skelewi, Away Dance, Ginger,  Mama Africa, Adama na nyingine usiku wa mpenda burudani hauwezi kuwa umekamilika.

Ukweli ni kwamba hawa jamaa wameshaharibu fomesheni ndiyo maana sasa hivi wasanii wanabuni mbinu mbalimbali ili angalau waweze kupata kitu kidogo.

Kuwakwepa na kutafuta njia nyingine siyo dawa, kinachotakiwa ni kuhakikisha Bongo Fleva inasimama na huu ugonjwa wa ‘Naija Muziki’  unatokomea katika mlango ulioingilia.

Kuna tukio la hivi karibuni limetokea kwenye burudani ya Muziki. Mwanamuziki Davido alipotembelea nchini mwaka jana huenda alituibia kitu na sasa ndicho kinamfanya akombe mamilioni ya pesa.

Inawezekana Davido alipokuja alikusanya CD nyingi za kundi la Offside Trick kama siyo za AT na kwenda kutoka na wimbo mkali ambao sasa unafanya vizuri.

Ukisikiliza wimbo wake, “Aye” una kila sababu ya kuamini kuwa Davido ameiba mahadhi ya mduara wetu na kwenda kufanya mambo mbele ya safari.

Huu ndio ukweli

Bongo Fleva haipo dukani halikadhalika muziki wa Nigeria. Maana yake ni kwamba hakuna duka lolote sasa hivi linalouza cd za muziki. Nyimbo zote unazozisikia mitaani ni za kunyonya kutoka mtandaoni.

Kuwezeshwa kwa mitandao kumeifanya dunia iwe kijiji. Leo hii huwezi kumdanganya mpenda burudani kuhusu wimbo mpya au sinema mpya iliyotoka. Ukifumba na kufumbua utakuta tayari anayo; iwe kwenye simu, kompyuta au cd.

Kwa maana hii kumlaumu mtu fulani kuwa ndiye chanzo cha muziki huu kushika nchini hoja hii haitakuwa na ukweli wowote.

Muonekano wa Lulu Michael Siku ya Tuzo za KTMA

$
0
0
Lulu Michael Alitoklezea Namna hii Siku ya Tuzo za Kilimanjaro, Cute Sanaaa

Photos" Jinsi Wema Sepetu Alivyo Vaa Siku ya Tuzo za Kilimanjaro Music

$
0
0
This is  how stunning Wema looked in Eve Collections at the KTMA2014 awards. You can see the lustrous covered lace fabric use and the net on top patched lace elegantly places on the neck , back and the arms. One cannot miss the intricate beadwork beautifully placed on sweetheart neckline round to the lower back. The fit was flawless with the make up.
The show stopper of the night Mrs Chibu Dangote to be aka Wema Sepetu dressed by Eve Collection, Make Up by Glam Box. Wema was also dressed by Eve Collection for the #KTMA2014

‘JK, Shein ndiyo Wanaoweza Kuirejesha Ukawa Bungeni’

$
0
0
Dar es Salaam. Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Juma Duni Haji amesema watu pekee wanaoweza kulinusuru kundi la Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), kurejea bungeni ni Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.

Duni ambaye pia ni kiongozi wa CUF, alisema hayo jana kwenye mdahalo kuhusu Bunge Maalumu la Katiba tunayoitaka uliofanyika Dar es Salaam.

“Ngoma hiyo imeshakwama, kamwe haturudi bungeni kujadili mambo ya CCM kwani hayatuhusu. Kwa mazingira yaliyopo, ule sasa umegeuka kuwa mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM, wanaweka mambo yenye masilahi kwa chama chao, kamwe haturejei,” alisema.

Alisema kama viongozi hao hawazioni dosari zinazofanywa na wajumbe wa CCM, basi suala la kupata Katiba Mpya ni ndoto kwa sababu Ukawa hawako tayari kurejea katika Bunge hilo.

“Tunawaachia CCM waandae Katiba ya Watanzania, sisi hatutashiriki kwa sababu tumegundua rafu hiyo mapema,” alisema.

Hata hivyo, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Vuai Ali Vuai alisema hata kama Ukawa hawatarejea bungeni, vikao vitaendelea kama kawaida kwa sababu kanuni zinawaruhusu kufanya hivyo.

“Katika Bunge Maalumu la Katiba, wapo wabunge wa CCM na wale 201. Walioteuliwa na Rais ambao walitoka nje pamoja na Ukawa ni wajumbe 25 na wamebaki 176, hivyo watu wasiseme waliobaki ni wajumbe wa CCM,” alisema.

Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Humphrey Polepole alisema Bunge Maalumu la Katiba halina mamlaka ya kubadilisha rasimu hiyo, bali kuiboresha.

Mabinti Wajiuza Shil 2000 Tu Unakula Mzigo Bustanini

$
0
0

BAADHI ya wakazi wa jijini Tanga, wameomba uongozi wa Wilaya ya Tanga kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kuweka mkakati endelevu, utakaodhibiti wimbi la vijana wa kike wanaojiuza miili yao nyakati za usiku kwenye baadhi ya barabara za katikati ya mji na bustani za kupumzikia.

Wamesema hatua hiyo, itasaidia kukomesha vitendo hivyo vinavyoendelezwa bila woga na kudhibiti kasi ya ongezeko lao, hasa katika barabara ya Independence na Bustani ya Forodhani nyakati za jioni.

Aisha Zahoro, mkazi wa Chumbageni alisema hali ni mbaya zaidi katika Bustani ya Forodhani, ambapo wasichana wadogo hasa wale wenye umri wa kusoma shule za sekondari, wamefikia hatua ya kuvua nguo zao ili kuonesha wazi maumbile yao kwa baadhi ya wanaume, wanaofika eneo hilo kwa lengo la kuwachukua.

“Sikuamini macho yangu usiku wa saa 2 hivi, nikiwa hapo bustanini nimeketi kwenye viti vilivyoko karibu na miembe mikubwa, pembeni walisimama wasichana kadhaa nikadhani nao wamekuja kupunga upepo au kupata vyakula hapo. Lakini kumbe sivyo, wenzangu hao walikuwa kazini…nilishangaa kwani walipofika wanaume wawili, wenzangu walianza kuzungumza nao biashara, ghafla mmoja kati yao akafunua nguo alizokuwa amevaa, akitamba kwamba ‘nitazame mimi sina kovu hata moja mwilini,” alisema.

Alisema wasichana hao wanajiuza kwa bei za kati ya Sh 2,000 kwa huduma ya haraka (chapchap) hapo hapo bustanini, Sh 5,000 kinyume na maumbile na Sh 10,000 ndani ya gari la mteja.

Alidai kwamba vitendo hivyo, sasa vimevuta wasichana wengi wadogo, ambao walipaswa kuzingatia masomo.

Hassan Sadoki alisema ili kusaidia kudhibiti hali hiyo, ambayo sasa inaleta sifa mbaya ndani ya Jiji ni vema ufanywe msako endelevu wa kuwakamata na kuwaadhibu ili iwe mfano kwa wengine, wanaotaka kuendeleza vitendo hivyo, kwa lengo la kujipatia fedha ya kujikimu kimaisha.

Kwa upande wake, Audax Msofe, mkazi wa Namiani, alisema binafsi anaamini vijana wanaofanya biashara ya ngono katika mitaa mbalimbali ya jijini humo, ikiwemo kwenye bustani, wanahitaji kujengwa kwa maadili ya kidini ili wawe na hofu ya Mungu.

“Naamini msako wa polisi peke yake hautatosha kuwadhibiti, badala yake viongozi wa dini nao washirikishwe katika suala hili kwa kuendelea kuzungumza na waumini wao hasa vijana, ambao hivi sasa wanaonekana hawana kabisa hofu ya Mungu mioyoni mwao na hivyo kuamua kujiingiza kwenye vitendo viovu”, alisema.

Kinana Amtaka Maalim Seif Ajiuzulu

$
0
0
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kama kweli hataki Muungano wa serikali mbili, amuandikie barua Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein na kujiuzulu wadhifa wake wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.

Tamko hilo lilitolewa jana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakati akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara, uliofanyika kwenye viwanja vya Kibandamaiti mjini Unguja.

Kinana alisema anachokifanya Seif ni sawa na kuwaramba vichogo wanasiasa wenzake wa upinzani, wakati yeye akipata mshahara na marupurupu mengine, yanayomwendeshea maisha yake chini ya serikali ya CCM.

Alisema kama kweli Maalim Seif anajigamba ni jasiri, achukue uamuzi sahihi wa kujiuzulu wadhifa wake, ili apate nafasi ya kutosha kuwatumikia wananchi nje ya Serikali.

Kinana alieleza kuwa kutembea nchi nzima kwa Seif, si kitendo cha uungwana kufanywa na kiongozi mwenye wadhifa wa Makamu wa Kwanza wa Rais, akiwa ndani ya Serikali inayomlipa mshahara na huduma nyingine muhimu, akaamua kuwachochea wenzake, ambao wako nje ya Serikali kuleta chokochoko dhidi ya Serikali anayoitumikia.

Maalim Seif ameshatuhumiwa kuwa kigeugeu katika maisha yake ya kisiasa, ambapo hivi karibuni Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Mohammed Seif Khatib, alielezea namna kiongozi huyo wa CUF, alivyowahi kuwa mtetezi wa serikali mbili alipokuwa kiongozi katika Serikali ya CCM, ambako alitumia nguvu kubwa kupinga vuguvugu la kudai serikali tatu mwaka 1984.

MTV Base's "Road to MAMA 2014" Hits Tanzania

$
0
0
MTV BASE'S "ROAD TO MAMA 2014" HITS TANZANIA
AS COUNTDOWN CONTINUES TO

"THE MTV AFRICA MUSIC AWARDS KWAZULU-NATALSUPPORTED BY ABSOLUT & THE CITY OF DURBAN"

Hot Club Night & Nominee Celebration To Take Place At Club Bilicanas, Dar es Salaam, 16 May

Dar es Salaam, 5 May 2014: As the countdown continues to the 2014 MTV Africa Music Awards (MAMA), an all-star line-up of the hottestMAMA nominees and DJs are set to headline Tanzania's very own Road To MAMA party.  The pan-African party tour arrives in Dar es Salaam on 16 May before heading onto Lagos at the end of the month.

Featuring contemporary artists and music that are making waves across the continent, Road To MAMA Tanzania is a pan-African club tour, criss-crossing the continent in the build up to the MAMA awards.  The party will take place at Club Bilicanas, Indira Ghandi/Mkwepu Street, Dar Es Salaam on 16 May.  Doors open at 21:00 CAT.  Tickets are available on the door atClub Bilicanas, priced TSH 15,000.

Leading the line-up at the Road To MAMA Tanzania will be Diamond, Tanzania's own MAMA nominee in the Best Male & Best Collaborationaward categories, while South African kwaito legend and dance floor fillerProfessor will be showing off the style that earned him a nomination for Best Collaboration.  They'll be joined by Kenyan Best Group nominees Sauti Sol, alongside Radio and Weasel, Uganda's hotly tipped nominees for Best Collaboration, following their successful pairing with Amani on "Kiboko Changu".

Making sure the party goes with a bang are star Tanzanian DJs, DJ Zero, DJ Stevie B and DJ Mafuvu, while MTV Base "Mixology" star DJ Tira will be flying in from Durban, South Africa, to show off his legendary turntable skills. 

Road to MAMA Tanzania provides an electrifying foretaste of the upcomingMTV Africa Music Awards, which are taking place in South Africa for the first time at the ICC, Durban on 7 June 2014.  Nominations for the awards were revealed on 16 April in 15 different categories including Best Male, Best Female, Song of the Year and Artist of the Year.  Tied for first place in the nominations for the 2014 MAMA are South African artists Mafikizolo andUhuru, and Nigerian artist Davido, who each scored 4 nominations while going directly head-to-head for Song of the Year, Artist of the Year and Best Collaboration.  Following closely behind with 3 nominations each were Nigerian artists P Square (Best Group, Artist of the Year, Song of the Year), South Africa's Mi Casa (Best Group, Artist of the Year, Song of the Year),and Angolan artist Yuri Da Cunha (Song of the Year, Best Lusophone andBest Collaboration).  Hot on their heels with two nods each are Diamond from Tanzania (Best Male, Best Collaboration).  To download a full list of nominees click here.

Broadening the scope of the MAMA awards in 2014, achievement in non-music fields is recognised in three "lifestyle" categories including "Personality of the Year", "Transform Today by Absolut", and the "MTV Base Leadership Award".  The "MTV Base Leadership Award" is awarded to a young African man or woman under the age of 40 who is inspiring young Africans by their leadership and extraordinary achievement in a prominent field (including but not limited to: the arts, business, politics, science, entrepreneurship and charitable work).  "Personality of the Year" recognises personalities and achievers active outside of the music space who are excelling in their chosen field and who are representing Africa in a positive light, both at home and abroad, in disciplines such as comedy, fashion literature and sport.  "Transform Today by Absolut", which forms part of ABSOLUT's Transform Today campaign, is aimed at celebrating the power of young individuals who transform the image of Africa through their creativity and vision.
The MTV Africa Music Awards KwaZulu-Natal supported by Absolut & The City of Durban will premiere live across the continent on 7 June at 21:00 CAT on MTV Base (DStv Channel 322) and MTV (DStv Channel 130), and subsequently broadcast around the world to half a billion music fans worldwide on MTV and affiliate channels.  Celebrating musicians and achievers who have made the most impact on African youth culture throughout the year, MAMA 2014 will feature dazzling performances from African and international artists, including the awards' signature collaborations between artists of different genres and cultures – a high point of every show.
Voting for the MTV Africa Music Awards is open at www.mtvbase.com from 16 April 2014 until midnight on 4 June 2014.

For more information on the MTV Africa Music Awards KwaZulu-Natal supported by Absolut & The City of Durban, please go www.mtvbase.com, like us on Facebook at www.Facebook.com/MTVBaseVerified, or follow us on Twitter @MTVBaseAfrica. To join the conversation about the awards please use the hashtag #MTVMAMA.

Clouds FM is the official radio media partner of the 2014 MTV Africa Music Awards KwaZulu-Natal supported by Absolut & The City of Durban.

ENDS

Sikiliza na Download Single Mpya ya Mwana FA Feat G.Nako

$
0
0
Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza.

Hatimaye Diamond Aongea Kuhusu Tuzo Saba Alizoshinda

$
0
0
Mbali na headline mbalimbali zilizoanza kutoka mara baada ya kukabidhiwa kwa tuzo hizi 7 za Kilimanjaro Tanzania Music Award Diamond Platnumz amekua msanii wa kwanza kupata idadi nyingi ya tuzo tangu kuanzishwa kwake,ukitoa 20% ambaye mwaka 2011/2012.
Diamond ameandika hiki baada ya kukabidhiwa tuzo hizi.


Hajaanza Leo: Warioba ni "Bwana Kero" Tokea Zamani

$
0
0
Kama alivyoandikika Edson Kamukana katika makala yake moja "ukiachilia mbali wasomi kadhaa walioamua kulamba matapishi yao na kumtusi Jaji Warioba na wana-CCM wengi wanaotukana bila kujua wanamtusi nani, katikati yake utaona wanaosalia si bure wana jambo na sababu za kufanya hivyo, hawa bila shaka wanalipa kisasi."

Mnamo tarehe Julai 17, 1997, Rais Mkapa alimteua Jaji Warioba kuongoza Tume ya Rais (Warioba Commission) kuchunguza na kubainisha mianya na vyanzo vikuu vya rushwa nchini. Baada ya kufanya mapitio ya sheria, kanuni na taratibu ndani ya serikali na kuonyesha mianya ya kukua na kuongezeka kwa rushwa nchini, Tume ya Warioba ilichapisha ripoti yake (Ripoti ya Warioba) tarehe 7 December 1997.

Baadhi ya mambo ambayo Tume ya Warioba iliyakuta ni pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa umma kuchukua rushwa kama sehemu ya kujazia mishahara yao (petty corruption) midogo. Lakini pia Tume ya Warioba ilikuta kuwa kulikuwa na rushwa nyingine (grand corruption) aka ufisadi iliyohusisha maafisa wa ngazi za juu na baadhi ya wafanyakazi wa serikali walio na ulafi wa kujilimbikizia mali.

Tume ya Warioba ilitoa mapendekezo ya hali ya juu yaliyogusa wizara na idara zote za serikali. Ripoti ya Warioba iligusa mioyo ya walalahoi na wengi waliotoa maoni ya kumtaka Rais Mkapa awafikishe mahakamani wale wote waliohusishwa na ufisadi kwenye Ripoti ya Warioba. Hata hivyo, ripotii hiyo iliwekwa kabatini na kutiwa kofuli. Ripoti ya Warioba ni imekuwa adimu sana kupatika ilivyokuwa kwa Hati ya Muungano.

Japokuwa ripoti hiyo iliwekwa kabatini, iliwagusa moja kwa moja vigogo kadhaa hasa wa CCM na wengi wao au watoto, ndugu na jamaa zao ndio wanaoshika madaraka leo. Kama mnakumbuka baada ya ile ripoti, ndipo vyombo vya habari vilianza kuripoti masuala ya rushwa, ikiwemo ile skendo ya IPTL iliyomfanya Mwalimu Nyerere aseme kuwa "kama huu ndiyo ushirikiano wa nchi za kusini, basi bora ukoloni urudi." Waliounga mkono au kuipinga IPTL wanajulikana. Wengine mtakuwa mnawakumbuka hata watawala wa miaka hiyo na wizara/idara walizokuwa wanaziongoza.

Akihojiwa na gazeti la Raia Mwema Mei 13, 2008, Jaji Warioba alisema kuwa "Baadhi yetu tumepiga kelele muda mrefu kuhusu hali ya rushwa nchini mpaka ikafika mahali ikawa watu wanatoa dhihaka tu. Kuna rafiki yangu mmoja, yeye alinipachika jina la ‘Bwana Kero’ kwa sababu ya taarifa ile ya Tume ya Kero ya Rushwa. Alisema mimi nimegeuka kuwa kero kwa kuzungumzia rushwa kila wakati." Bado anaendelelea kuwa "Bwana kero" kwa kutetea Rasimu ya Katiba Mpya.

Kama alivyouliza Edson Kamukana, inawezekana kweli hao vigogo au watoto wao, ndugu na jamaa zao walioguzwa moja kwa moja na ile ripoti wakamsifu "Bwana Kero" wakati alishawaharibia kitumbua chao? Hatuoni vigogo hao wanautumia mchakato mzima wa Katiba mpya kama mwanya pekee was kumdhoofisha "Bwana Kero" na kujaribu kuendelea kuficha madhambi yao yaliyoyafichuliwa na "Bwana Kero" kwenye ile ripoti yake ya kero za rushwa 1997?

Kwa wale ambao hawakuwahi kuisoma Ripoti ya "Bwana Kero" itafuteni muisome halafu muone "kero" ambazo "Bwana Kero" aliziodhoresha kwenye ripoti yake. Halafu muunganishe the dots kwa kujiuliza ni kwa nini kigogo A na B au mtoto/ndugu/jamaa wa Kigogo C "anakereka" sana mpaka kumtusi "Bwana Kero"? Mara ya mwisho nilisoma muhtasari wa ripoti kwenye maktaba ya HakiElimu. Ilikuwa imejaa vumbi kweli kweli. Inaitwa "The Report of the Presidential Commission of Inquiry Against Corruption", kwa kifupi "The Warioba Report".

Hizi Ndio Sifa za Wanaume Mashombe Shombe Kwenye Mapenzi

$
0
0
Wanaume shombe shombe ni wanaume mchanganyiko wa kiafrika na rangi nyingine inaweza kuwa ya kizungu, kiarabu au kichina n.k

Nisiwachoshe hizi ndio sifa za wanaume shombe shombe.

Wanajua kujali sana kwenye mapenzi na wana roho nzuri na huruma pia. Shombe shombe wengi dunian wamelelewa na mzazi mmoja tena mama kutokana sababu mbalimbali.

Hivyo kutokana na kulelewa na mama tu wanakuwa wameadapt roho nzuri na wanajua kujali na wana huruma sana kama mama zao.

Wanayajua mapenzi sana. Kutokana na kutembea sehemu tofauti .hivyo wana eksiposha kuhusu mapenzi yanavyokuwa kutoka nchi tofauti walizofika na hatimaye wakipata mpenzi wanamuonyesha upendo wote.

Wanaume mashombe shombe wana upendo wa dhati na hawapendi kuumiza mwanamke. Kutokana na wengi kulelewa na mama tu wamejikuta hawapendi kuumiza mwanamke

Ata 6 kwa 6 wanaume shombe shombe wako vizuri .

Kazi kwenu wadada kuchagua kusuka au kunyoa
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images