Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104694 articles
Browse latest View live

UREMBO Wa Mapazia Unavyopendezesha Nyumba...!!!

$
0
0

Tunapozungumzia mitindo na utanashati, tunalenga mtu binafsi pamoja na mazingira yanayomzunguka, kuanzia mavazi yake, mwonekano, miondoko, mazingira ya nyumba au makazi, yanayopaswa kuwa katika hali inayoridhisha wakati wote.

Ingawa siyo lazima, lakini ni muhimu mwonekano wa nje wa mtu binafsi kwenda sanjari na mazingira unayoishi bila kusahau nyumba na mpangilio wake kwa jumla.

Katika mitindo leo tumegeukia mwonekano wa ndani ya nyumba hasa pazia pamoja na kufunika madirisha na milango pia pazia hutumika pia kama moja ya mapambo mazuri ya nyumba.

Ili mapazia yawe na mwonekano mzuri ndani ya nyumba ni vyema yakatundikwa kwenye mabomba hayo, ambayo yametengenezwa maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.

HAYA Ndiyo Madhara Usiyowahi Kuambiwa Popote ya Utoaji Mimba....!!!

$
0
0

Utoaji wa mimba limekuwa jambo sugu na linalokuwa kwa kasi sana hasa kwa wasichana bila kufahamu madhara yake.sababu kuu ya kutoa mimba ni kupata ujauzito bila kuwa na mpango maalumu na mwenza wake,

wasichana  wengi Hubeba mimba shuleni. jambo lakushangaza Imekuwa la kawaida sana kwa watu walio kwenye mahusiano, kwani wamekuwa wakipuuzia matumizi ya kinga kwa kujidanganya utamu  wa mapenzi kupungua,wakati huohuo wakijua kuna madhara mengi sana kufanya Tendo hilo bila kuzingazitia matokeo baada ya uzembe huo…

Madhara yanayoambatana na utoaji mimba ni

vifo, kupoteza damu nyingi, kifafa cha uzazi na maambukizi hatarishi katika mfuko wa uzazi au mirija ya uzazi.

Haya yote yanaambatana na homa kali na maumivu makali, kutunga usaha kwenye kizazi na kulazimika kufanyiwa upasuaji wa dharura au haraka kitaalamu; kikubwa mara nyingi ni kifo.

Mhusika kama akipona kutokana na athari ya kuichokonoa mimba visivyo au kwa nguvu sana, 
wakati mwingine husababisha uharibifu wa mfuko wa uzazi na mirija yake, na hubakiwa na makovu kwenye ile ngozi laini ya mfuko wa uzazi, ambayo humsababishia maumivu makali anapokaribia siku zake za hedhi ama kuupoteza mzunguuko wake. Hii ni kwa muda mrefu au milele. Kitaalamu wanaita ni kupoteza heshima ya uzazi (quality of life).

Athari nyingine ni kufungwa kwa kizazi, kwamba mirija ya uzazi ikijifunga basi mwanamke huyo hawezi tena kuzaa maishani mwake.

Kutokana na kujifunga kwa mirija ya uzazi, athari ni kuwa mbegu ya yai la mwanaume ambayo ni ndogo hujipenyeza na kuingia, na mbegu ya yai la mwanamke ambayo ni kubwa hupita na yanapokutana kusabibisha mimba kutunga nje ya kizazi, ambayo kitaalamu huitwa “ectopic pregnancy”.

Kwa kuwa mimba hiyo iko nje ya mazingira ya kawaida, inaweza ikapasuka na kupoteza damu nyingi na kusababisha kifo na ikiwahiwa ni kufanyiwa upasuaji na kulifunga eneo hilo.

Athari nyingine ni ugumba ambao kitaalamu unajulikana kama “infertility”. Hali hii inatokana na uharibifu wa mazingira ya mpango wa mfuko wa uzazi na hasa kwa uchokonoaji wa mimba, hivyo kufungwa kwa kizazi, pengine hedhi inakoma na kwa kutopata hedhi wanawake wengi huchanganyikiwa.

Tatizo hili la ugumba huwa linasababishwa na kukwanguliwa kwa ile ngozi laini inayozunguka tumbo la uzazi. Kukwanguliwa huko kunatokana na ama vifaa vinavyotumiwa kuichokonoa mimba hiyo au madawa makali.

Athari nyingine kama uchokonoaji umepita kiasi na kufikia kwenye utumbo mkubwa huathirika na kusababisha utumbo kutobolewa na kuwekwa mrija wa kutolea choo kikubwa.

Vile vile hali hiyo usababisha ugandaji wa damu kwenye mishipa ya fahamu kuelekea kwenye ubongo. Hii ni hatari mno, kwani inasababisha mhusika kuwa na hali kama ya kiharusi.

Kutokana na athari hizo na hasa ugumba, wanawake hupatwa na msongo mzito wa mawazo na kuchanganyikiwa kisaikolojia, hivyo huanza kuwa na tabia za ajabu za hasira na hata chuki kwa wenzao wenye watoto na hata kuwachukia watoto wa wenzao pasipo sababu za msingi. Wanajihisi wamekosa ule ubora wa kuitwa mwanamke.

Hapa nchini, sheria inayoruhusu kutoa mimba haipo, hivyo jambo hili ni kosa na hivyo hufanywa kwa kificho, pengine katika mazingira yasiyofaa, kukosa ujuzi wa kitaalamu na vifaa visivyo sahihi.
Wakati mwingine ni wasichana wenyewe hushawishiana jinsi ya kutoa mimba na kusasabisha madhara yote haya. Inabidi kuchukua hatua nax kuacha kabisa

Baadhi ya wasichana baada ya kukumbwa na tatizo la ugumba hujifariji kuwa ati wamebaki na uzuri wao na hapo hujiingiza kwenye biashara haramu ya kuuza miili yao na kujiweka kwenye hatari ya maambukizi ya magonjwa ya ngono na kupata ukimwi pia.

Kutoa mimba huleta ulemavu wa maisha, kutokuzaa kabisa na ni kifo. Natoa rai kwa wanawake wote waachane na tabia hiyo ya kuzichokonoa mamba, na waachane na kubeba mimba wasizozipanga, pia waepuke tamaa za maisha ya starehe kwani zinawatumbukiza kwenye majanga.

WATOTO WANAHAKI YA KUISHI, KUTOA MIMBA NIKOSA LA JINAI.

MAAJABU ..Afanya ‘Honeymoon’ Peke Yake Bila Mume, Kisa…!!!

$
0
0

Katika hali isiyotarajiwa, mwanamke mmoja wa Pakistani amejikuta akifanya ‘fungate’ maarufu kwa lugha ya kigeni kama honeymoon peke yake bila mumewe, tukio linalopaswa kufanywa na wanandoa.

Mwanamke huyo aliyetajwa kwa jina la Huma Mobin alifunga ndoa miezi kadhaa iliyopita na mumewe, Arsalan Sever na wawiwili hao walipanga kwenda kufanya fungate lao nchini Ugiriki, wakiamini ni sehemu watakayokula raha zaidi.

Hata hivyo, hali haikuwa kama walivyopanga baada ya mume wa Huma kunyimwa kibali cha kuingia nchini Ugiriki (Visa), huku mwanamke akikubaliwa kuingia nchini humo.

Kwamuhibu wa mtandao wa BuzzFeed, mwanamke huyo alijikuta nchini Ugiriki peke yake akilia usiku kucha, lakini aliuambia mtandao huo kuwa mama mkwe alimtia moyo na kumtaka ale raha peke yake kadiri awezeka, “make the best of it.”

Picha na jumbe alizoweka mtandaoni mwanamke huyo zilisababisha kupata umaarufu mkubwa na kuzungumziwa na vyombo vikubwa vya habari kama BBC na CNN, hadi wawili hao walipokutana tena.

ALICHOKISEMA Nape Nnauye Kuhusu CCM Baada ya Polepole Kutaka Aadhibiwe.!!!

$
0
0

Usiku wa kuamkia jana  Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi kupitia tiketi ya CCM Nape Moses Nnauye ametumia ukurasa wake wa twitter kuandika ujumbe wake wa wazi aliyowahi kuandika kipindi cha nyuma kuhusu CCM, lengo likiwa ni kuweka kumbukumbu sawa kwa watu kuhusu CCM.

“Watu wengi wanaamini nimeisaidia sana CCM lakini ukweli ni kuwa CCM imenisaidia sana mimi kuliko mimi nilivyoisaidia, CCM ni SHULE.

“Bahati niliyopata kwa kuwa muenezi CCM ni kufanya kazi na ndg Kinana ni mwema, mzalendo, hodari, uwezo mkubwa, upendo na maarifa mengi”  Ameandika  Nape

MTATIRO: CUF Haina Walinzi wa Chama Wenye Bastola..!!!

$
0
0

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi, The Civic United Front (CUF) Julius Mtatiro amefunguka na kusema chama cha CUF hakina walinzi wa chama wenye bastola wala hakina walinzi wanaozunguka mitaani kufanya doria.

Julius Mtatiro ametoa ufafanuzi huo leo baada ya Mkurugenzi wa Habari CUF Taifa, ambaye anamuunga mkono Profes Ibrahim Lipumba  ndugu Abdul Kambaya kukiri kuwa ni kweli wao walituma vijana kwenda kwenye Kata ya Mabibo kufanya doria.

"Siku ambapo kikao kinafanyika Vinna Hotel, vijana wetu pia walikuwa kwenye doria, tulipozungumza na vyombo vya habari tulikiri na tunaendelea kukiri hatuna sababu ya kukataa kwamba tulituma vijana wetu na walikwenda kwenye doria" alisema Kambaya

Kufuatia taarifa hiyo ya Kambaya Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi, The Civic United Front (CUF) Julius Mtatiro amefunguka na kusema wao kama CUF hawana walinzi wa chama wenye bastola hivyo amelitaka jeshi la polisi limtumie huyu Kambaya kueleza kijana aliyekuwa na bastola yuko wapi na walikodishwa kutoka wapi.

"Leo amekiri kuwa lile Zombi lililopigwa na wananchi, Mabibo, eti lilitumwa na genge la Mungiki/Lipumba ili kufanya doria kwenye kata ya Mabibo. Yani eti Lipumba ana jeshi lake linalofanya doria na kupiga watu mitaani. Sasa Polisi wasitafute mchawi, huyu Abdul Kambaya aeleze lile zombi lililokuwa na bastola liko wapi na waliikodisha kutoka wapi? Alihoji Mtatiro

Mbali na hilo Mtatiro alizidi kusisitiza kuwa wao hawana walinzi wa chama

"Halafu, eti huyo msemaji wa Lipumba anasema "Zombi" hilo lililokamatwa ni "mlinzi wa chama". Napenda ifahamike kuwa CUF haina walinzi wa chama wenye bastola, na pia hakuna chama cha siasa chenye walinzi wanaozunguka mitaani kufanya doria, wameajiriwa na serikali ipi? Alihoji Mtatiro

NOMA Sana..Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Afunguka ya Moyoni Kuhusu Matatizo ya Muungano..!!!

$
0
0

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewahimiza wananchi kudumisha na kuuenzi Muungano wa Taganyika na Zanzibar na kuwahakikishia wananchi wa pande Mbili kuwa kero chache za Muungano ambazo zimebaki zitamalizwa kwa mazungumzo kama hatua ya kudumisha Muungano huo.

Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan ametoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti katika Mahojiano na vyombo Mbalimbali vya habari katika kuelekea katika Kilele cha Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo sherehe za kitaifa mwaka huu kwa mara ya Kwanza zitafanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.

Makamu wa Rais amesisitiza kuwa tangu Muungano huo uasisiwe umekuwa na manufaa makubwa kwa pande zote Mbili kwani jamii zimefahamiani na kushirikiano vizuri katika shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo hasa uimarishaji wa ulinzi na usalama kwa wananchi wa pande Mbili.

Aidha,Amesema hatua zinazochukuliwa za kutatua kero za Muungano kwa haraka ni jambo jema na la msingi kwani linalenga kuhakikisha Muungano ambao umefikisha miaka 53 sasa unakuwa ni Muungano wa mfano wa kuigwa Duniani.

Kuhusu elimu ya Muungano wa Vijana, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan amesema upo umuhimu mkubwa kwa taasisi za Kiserikali za pande Mbili kuweka mikakati mizuri ya kuelemisha vijana wa sasa kujua umuhimu wa Muungano ili waweze kuuelewa na kuudumisha.

Amesema kwa sasa vijana wengi wanafuatilia sana mitandao ya kijamii hivyo ni muhimu kwa taasisi za kiserikali zinazoshughulia Muungano kuweka utaratibu wa kupeleka ujumbe mbalimbali kuhusu Muungano kwa jamii hasa vijana kwa ajili ya kuwaelimisha faida za Muungano.

Makamu wa Rais pia amehimiza makundi mbalimbali ya kijamii wakiwemo viongozi wastaafu nchini waendelee na jitihada zao katika kuelimisha umma ili kuuelewa vizuri Muungano kwa ajili ya faida ya jamii nzima na ya Taifa kwa ujumla.

Imetolewa na
Ofisi ya Makamu wa Rais
DODOMA.
25-April-2017

KUPIMA Malaria Sasa ni Bure..!!!

$
0
0

Serikali ya Tanzania imepiga marufuku vituo vya Umma kuwalipisha wananchi wanaokwenda kupima maambukizi ya ugonjwa wa Malaria kwa kipimo cha MRDT na utoaji wa dawa za mseto (ALUU) zinazotumika kutibu ugonjwa huo kuanzia sasa.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya Malaria duniani mjini Dodoma, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Ummy Mwalimu amesema vipimo hivyo ni bure na pia mgonjwa asilipishwe fedha kwa dawa za mseto.

“Napenda kusisitiza vituo vya umma vinavyotumia vipimo vya MRDT kwa wagonjwa wa malaria, vipimo hivyo ni bure na pia mgonjwa asilipishwe fedha kwa dawa za mseto ama yule anayelazwa kuchomwa sindano ya ugonjwa huo….Waganga wakuu wa mikoa na wilaya, hakikisheni kuanzia sasa mnafuatilia wahudumu wote na watakaokiuka agizo hili watachukuliwa hatua za kisheria mara moja”. Alisema Bi. Ummy

Aidha, Bi. Ummy amewataka wananchi kushirikiana na serikali kuwafichua wahudumu wa Afya ambao watawalipisha fedha pindi watakapo kuwa wanapima huduma ya Malaria kupitia kipimo cha MRDT ama watakapohitajika kupewa dawa ya mseto (ALUU), pia amezionya maabara binafsi ambazo  zimekuwa zikifanya kazi zake kwa kuangalia zaidi fedha badala ya maisha ya mtu kama kuwaambia wana maambukizi ya malaria wakati hawana.

Pamoja na hayo, amesema takwimu kutoka katika vituo vinavyotolea huduma za afya zinaonyesha takribani watu milioni 12 wanaugua ugonjwa huo kwa mwaka ambapo katika tafiti hizo mkoa wa Kagera, Geita na Kigoma ziliweza kuonekana na viwango vikubwa vya maambukizo kwa mwaka 2015 na 2016 huku wajawazito na watoto chini ya miaka mitano kuonekana kuathiriwa zaidi.

IMEFICHUKAA..Hii Hapa Ndio Sababu Kubwa ya Serikali Kumtimua Nchini Bosi wa UN...!!!

$
0
0

Serikali imesema imefikia uamuzi wa kumuondoa nchini Mkurugenzi Mkazi wa UNDP Awa Dabo kwa sababu mbalimbali ikiwamo ya kutokuwa na maelewano mazuri na watumishi wenzake.

Taarifa iliyotolewa jana na kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inasema maelewano hayo mabaya na watumishi wenzake yalizorotesha utendaji kazi wa shirika hilo.

KUDADEKII...Ngoma Bado Mbichi Mkuranga, Kibiti Polisi Watanda Kila Kona..!!!

$
0
0
:

 Ngoma ni mbichi mkoani Pwani hususan katika Wilaya za Mkuranga, Kibiti na Rufiji baada ya polisi wanane kuuawa kwa kupigwa risasi na wahalifu wanaotumia silaha za kivita, Uwazi limetembelea.

Mwandishi wetu aliyekuwa katika wilaya hizo anaripoti kwamba, hali ni tete kutokana na tukio hilo kwani sasa wakazi wa eneo hilo wana wasiwasi mkubwa baada ya wauaji hao kutekeleza mauaji yao bila kuwa na lengo la kuiba mali au fedha.

Baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti hili mjini Kibiti huku wakiomba majina yao kuhifadhiwa, walisema watu kadhaa wamekuwa wakikamatwa na polisi ambapo Jumapili ya Pasaka, Uwazi lilishuhudia watu wanne waliokuwa wamevaa kanzu wakiwa ndani ya gari la polisi lililokuwa likiliza king’ora, wakashushwa Kituo Kikuu cha Polisi Kibiti.

Hakuna polisi aliyekuwa tayari kusema watu hao walikuwa nani na kwa nini walikimbizwa kituoni hapo kwa gari la polisi lililokuwa likiliza king’ora.

WANANCHI WAZUNGUMZA NA UWAZI

Hata hivyo, baadhi ya wananchi waliozungumza na Uwazi kwa sharti la kutoandikwa majina yao gazetini walidai kwamba, wamekuwa wakiishi kwa wasiwasi mkubwa kwani kuna polisi wamekuwa wakiwapiga bila sababu za msingi na kusababisha raia kuogopa kutembea sehemu mbalimbali, ikiwemo kwenda mashambani.

“Hakuna siri, polisi wanapiga raia hovyo na wamekuwa wakali kana kwamba sisi ndiyo tulioua polisi wakati ukweli ni kwamba hata sisi viongozi wetu wameuawa na wahalifu hao,” alilalamika mwananchi mmoja.

Mwananchi mwingine alidai kuwa, kwa sasa kuendesha pikipiki ‘bodaboda’ katika maeneo ya kuanzia Mkuranga, Mwarusembe, Kibiti hadi Ikwiriri ni hatari kwa sababu wakikutwa na polisi wanakamatwa.

UKAGUZI WA MAGARI USIKU

Uwazi likiwa kwenye gari mwishoni mwa wiki iliyopita, saa 1:30 usiku lilishuhudia kizuizi cha barabarani karibu na Kijiji cha Mwarusembe, Kibiti ambapo kulikuwa na askari polisi zaidi ya 30 waliokuwa wamepelekwa hapo kukagua kila gari lililokuwa likipita kutoka Lindi kwenda Dar au kutoka Dar kwenda Lindi.

Basi dogo lililopandwa na Uwazi mara baada ya kusimama, polisi walimvamia dereva na kumhoji huku wengine wakidai kwamba inawezekana aliwabeba wahalifu. Hata hivyo, mkuu wao aliyekuwa na nyota mbili alijitokeza na kuruhusu basi hilo kuondoka baada ya kukaguliwa ndani.

MADUKA YAFUNGWA

Uwazi pia lilishuhudia maduka mengi yaliyopo kando ya barabara kuu ya Dar – Lindi kati ya Kibiti na Ikwiriri yakiwa yamefungwa saa 11 za jioni na walipoulizwa wenyeji wa Jaribu Mpakani sehemu ambayo aliwahi kuuawa Mkuu wa Upelelezi Kibiti, OC-CID, Peter Kubezya na watu wengine wawili, walisema wao siku hizi hulala saa 9 alasiri kuhofia kukamatwa na polisi.

“Kama mnavyoona, tumekuwa tukijifungia majumbani mapema, unaona maduka yote kuanzia Ikwiriri hadi hapa Mwarusembe Kibiti yamefungwa. Hii ni kwa usalama wetu lakini ukweli ni kwamba hatuna raha,” alisema mwananchi mwingine wa kijiji hicho.

Pia kuna habari kwamba, baadhi ya raia wema wamekuwa wakijisaidia ndani usiku kwa kushindwa kutoka kwenda vyoo vya nje wakihofia usalama wao kutoka kwa wahalifu hao ambao polisi wanawasaka usiku na mchana mitaani.

MAANDAMANO YALETA BALAA

Mwananchi mwingine wa Kibiti aliliambia Uwazi kwamba, maisha ya wananchi wa Jaribu Mpakani wilayani Kibiti ni ya hofu baada ya Jumamosi iliyopita, polisi kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kuwatawanya wananchi waliokuwa wakiandamana, kitendo kilichosababisha mmoja kujeruhiwa.

Shuhuda huyo alisema tukio hilo lilitokea mchana baada ya wananchi wa eneo hilo kukaidi amri iliyotolewa na jeshi la polisi ya kuwataka kutawanyika baada ya kutaka kuandamana kwa kudai kwamba wanaonewa.

“Tulikuwa tukiandamana kupinga uonevu wa polisi tukiwa na matawi ya majani, tulipowaona polisi tulikimbia kunusuru maisha yetu kwa sababu walikuwa wakifyatua risasi za moto na mwenzetu mmoja zilimpata,” alisema shuhuda huyo.

Uwazi: “Huyo mwenzenu aliyepigwa risasi kwa sasa yupo wapi?”

Shuhuda: “Alichukuliwa na polisi na kupelekwa Hospitali ya Misheni ya Mchukwi. Alionekana kujeruhiwa mkononi jirani na kwapa.”

Uwazi: “Kuna mtu amefariki dunia katika tukio hilo?”

Shuhuda: “Hapana, labda sehemu nyingine tofauti na hapa.”
Uwazi: “Hali ikoje kwa sasa kijijini hapo?”

Shuhuda: “Kwa kweli hali ni shwari lakini wananchi wana wasiwasi mkubwa na maisha yao.”
Uwazi: “Wana wasiwasi wa nini wakati polisi wenye silaha wapo kuwalinda?”

Shuhuda: “Ni kweli kuna ulinzi mkali eneo hili, lakini kwani huyo mwananchi aliyejeruhiwa na kukimbizwa hospitali ya Mchukwi, amejeruhiwa na majambazi? Ni polisi.”

WANANCHI NA WAHALIFU

Wakati wananchi wakilalamikia hilo, kuna madai kwamba, baadhi yao wamekuwa wakishirikiana na wahalifu hao kwa kuwaficha au kuwapa ushirikiano wa namna moja au nyingine hivyo kulifanya jeshi la polisi kupata wakati mgumu katika kuwasaka wahalifu na kulazimika kutumia akili ya ziada na sasa, wahalifu wamezidiwa nguvu.

KAMANDA WA POLISI PWANI

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Pwani, SACP Onesmo Lyanga alipopigiwa simu na Uwazi na kuulizwa hali ilivyo Mkuranga, Kibiti na Rufiji na juu ya mapambano hayo hakuthibitisha wala kukanusha.

“Matukio yote ya huko tunafuatilia,” alisema kwa kifupi kamanda huyo bila kutoa ufafanuzi zaidi.

KUTOKA HOSPITALI

Afisa mmoja wa Hospitali ya Misheni ya Mchukwi aliyejitambulisha kwa jina moja la Emmanuel alikiri kumpokea majeruhi aliyejeruhiwa kwapani kushoto kwa risasi ambapo alisema alivunjwa mbavu mbili pamoja na kuharibiwa pafu lake.

“Hivi sasa tunafanya mpango ili mgonjwa apelekwe Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi,” alisema.

Wilaya hizo za Mkoa wa Pwani zimekuwa zikikumbwa na matukio ya viongozi wa vijiji na watendaji pamoja na askari kuuawa hali inayozua hofu kubwa na kulifanya eneo hilo kutokuwa salama. Katika tukio la hivi karibuni, polisi wanane waliokuwa wakitoka zamu walishambuliwa kwa risasi na watu waliokuwa wamejificha kichakani kando ya barabara.


Tumia Bidhaa za Asili Kupendezesha Mwili Wako Toka Kwa Markson Beauty...Kungarisha Ngozi na Kuongeza Makalio

$
0
0
OFFER, OFFER, OFFER 
Pata bidhaa halisi za MARKSON BEAUTY kwa bei ya punguzo msimu huu wa sikukuu. Bidhaa zetu zina matokeo ya haraka na garantii na zimethibitishwa kiafya. 
🍓🍅🍉🍎🍍🍉🍓🍒🍉🍎
HANDSOME UP ni kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa uhakika na bila madhara na kuimarisha misuli ya uume iliyo legea. Inapatikana kwa @190,000/=tu. 
PIA TUNA👇👇👇👇

1.Gely ya kupaka @120,000/=
2.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume hata kwa wenye kisukari na hamu ya tendo la ndoa kwa wanaume @120,000/=.
3.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni kwa mwanaume (pre-mature ejaculation problem solution) @110,000/=
4.Dawa ya kutengeneza shepu (hips, makalio na mapaja) @190,000/=
5 .Kupunguza unene na manyama uzembe @ 140,000/=
6.Kupunguza maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @120,000/=
NB.Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON $ CO na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. 
Popote ulipo duniani 
Wasiliana nasi kwa (+255)
0767447444 au 
0714335378.


Follow us Instagram 
@Markson_beauty_pr 

RASMI..Cuf ya Lipumba Wafunguka Sababu Hizi za Kuvamia na Kufanya Vurugu Kwenye Mkutano wa Maalim Seif

$
0
0

Siku chache zilizopita baada ya kutokea fujo kwenye mkutano wa CUF uliokuwa umeandaliwa na upande wa wafuasi wa Maalim Seif Sharif Hamad, upande wa pili umejitokeza na kukiri hadharani kuwa vijana waliofanya fujo katika mkutano huo walikuwa ni wa CUF.

Hayo yamesemwa mapema hii jana Makao Makuu ya Chama hicho yaliyopo Buguruni Jijini Dar es salaam na Mkurugenzi wa Habari wa CUF, Abdul Kambaya alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, amesema vijana waliofanya fujo kwenye mkutano huo walikuwa ni Chama hicho.

Amesema kuwa vijana walikuwa katika doria la kawaida kwani tayari walikuwa wameshapata taarifa za mkutano huo ambao haukutakiwa kufanyika mujibu wa katiba ya chama hicho.

“Mtu yeyote asipindishe kitu, wale hawakuwa majabazi, ni vijana wetu wa CUF na walikuwa kwenye doria kwa sababu tulishasikia mikakati yao wanayoipanga na Chadema, hatuwezi kupangiwa mipango na Ukawa wakati sisi ni Chama halali,”amesema Kambaya.

Aidha, Kambaya ameongeza kuwa mchezo mchafu anaoucheza Meya wa Ubungo, Boniface Jacob na Chadema kwa ujumla wa kutaka kuisambaratisha CUF hautafanikiwa.

Hata hivyo, katika hatua nyingine, Kambaya amesema kuwa Chama Cha Wananchi (CUF),kinaomba radhi kwa waandishi wa habari, Jukwaa la Wahariri pamoja na vyombo vyao kwa tukio hilo lililolsababisha taharuki kubwa.

MEYA wa Dar Akwea Pipa Kuelekea Irani Kujifunza..!!!

$
0
0

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita anatarajia kuhudhuria mkutano wa Majiji utakaofanyika katika Mji wa Bashar Nchini Iran, ambapo mara baada ya mkutano huo atapata fursa ya kukutana na Rais wa nchi hiyo, Hassan  Rouhani kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Meya wa Jiji la Dar es salaam, imesema kuwa baada ya mkutano huo ataelekea katika Jiji la Tehran kwa mwaliko wa Meya ya Jiji hilo.ambapo watajadiliana masuala ya mahusiano ya kibiashara kati ya majiji hayo mawili.

“ Iran na Tanzania ni nchi marafiki kwa kipindi kirefu kwa hiyo utaona kwamba mambo mengi wamekuwa wakishirikiana na sisi, ni fursa pia kwa majiji haya mawili kubadilishana uwezo wa kuendeleza jiji letu, “ amesema Mwita.

Aidha, ameongeza kuwa akiwa nchini humo atapata fursa ya kushuhudia kampeni za uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo ambapo miongoni mwa wagombea wa nafasi ya urais ni Meya wa Jiji la Teheran.

Hata hivyo, Meya ametoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar es salaam wanaoishi mabondeni kuchukua tahadhari kwani bado mvua zinaendelea kunyesha hivyo wajikinge na mafuriko.

TRA Yajikakamua Kufikia Malengo ya Ukusanyaji Kodi...!!!

$
0
0

Katika kuhakikisha mafanikio ya ukusanyaji kodi yanafanyika kwa uhakika na kuongeza pato la Taifa, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Trilioni 10.87 mpaka kufikia Machi mwaka huu kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Hayo yamesemwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo, Charles Kichere wakati wa mahojiano na Televisheni ya Taifa (TBC) katika kipindi cha Tunatekeleza.

Amesema, kuwa mwaka huu wa fedha 2016/2017 TRA inatakiwa kukusanya Trilioni 15.105 hadi kufikia Machi mwaka huu TRA imefanikiwa kukusanya Shilingi Trilioni 10.87.

Aidha, ameongeza kuwa mpaka kufikia Juni mwaka huu TRA itahakikisha inatimiza lengo la kukusanya Shilingi Trilioni 15.105 ili kusaidia  Serikali kuleta maendeleo kwa wananchi wake.

“Tunatumia mfumo wa Tehama kukusanya kodi na mifumo mingine mbalimbali ili kurahisisha watu kulipa kodi wakiwa nyumbani na kuepuka usumbufu,” amesema Kichere.

Hata hivyo, Kichere ameongeza kuwa kwa mwaka huu wa fedha mapato yameongezeka mpaka kufikia asilimia 9.9 hadi 10 licha ya kuwa kuna baadhi ya maeneo hawakuweza kukusanya.

TUNDU Lissu: Haijawahi Tokea Nafasi ya Jaji Mkuu ikawa Wazi Kwa Miezi 5 Toka Uhuru

$
0
0
Akiwasilisha bajeti kivuli ya wizara ya katiba na sheria.Mhe.Tundu lissu amesema ni aibu kubwa kama taifa kuwa na mhimili ambao haujakamilika kwa zaidi ya miezi 5

Lissu ametolea mfano mhimili wa serekali na bunge na kusema una viongozi wake.Rais kwa serekali na Spika kwa bunge wapo.

Amehoji iweje mahakama mpaka leo haina jaji mkuu?Amesema ni kumaanisha kuwa ma jaji wa mahakama kuu na rufaa na mawakili nchini wote hawana sifa ya kushika nafasi hiyo?Amesema vipi kuhusu majaji wa jumuiya ya madola?Si wapo kama nchini hamna mwenye sifa?

Amemaliza kwa kusema toka tumepata uhuru hamna rais aliicha mahakama bila jaji mkuu kwa kipindi kirefu kama Magufuli.

TUMBUA Tumbua ya Majipu Yamuibua Msiga na Maswali Haya Dhidi ya Ofisi ya Rais..!!

$
0
0

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameitaka Serikali ieleze sababu za kuwatumbua watumishi bila ya kuwapa nafasi ya kujitetea.

Hata hivyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora) Angella Kairuki alikana madai hayo akisema hakuna mtu anayetumbuliwa bila ya kufuata utaratibu.

Katika swali la nyongeza, Msigwa alitaka kujua haki za watumishi wanaotumbuliwa kwa kile alichokiita kwa mafungu, lakini bila ya kuwapa nafasi ya kujitetea.

Pia, alihoji wanatakiwa kutafuta haki yao wapi hata kama wametumbuliwa na Rais.

Katika swali la msingi, Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Ruth Mollel alitaka kujua ikiwa Tanzania inaongozwa kwa kuzingatia Katiba, sheria na kanuni ni kwanini baadhi ya watumishi walioajiriwa wamekuwa wakisimamishwa kazi na Rais, wakuu wa mikoa na wilaya bila ya kuzingatia sheria ya utumishi wa umma na kanuni zake.

Akijibu, Waziri alisema kanuni za utumishi wa umma hutekelezwa kwa kuzingatia katiba, sheria, kanuni, utaratibu na miongozo na kwa mujibu wa ibara ya 36 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1977, Rais ndiye mwenye mamlaka ya mwisho kuhusu usimamizi na uendeshaji wa utumishi wa umma.

Alisema ibara ya Katiba imempa uwezo Rais wa kukasimu madaraka mbalimbali kwa ndani ya utumishi lakini kukasimu huko hakuwezi kutafsiriwa kuwa Rais hana mamlaka hayo tena kama ilivyofafanuliwa katika ibara 36 (4) ya Katiba na Kifungu cha 21 (4) na Sheria ya Utumishi wa Umma Sura ya 298.

Kairuki alisema hata watumishi waliofukuzwa au kusimamishwa kazi na Rais, wana nafasi ya kukata rufaa kwa mamlaka zingine na ikibainika kuwa walionewa, watapewa haki yao.

Katika majibu ya nyongeza, Waziri wa Nchi Ofisi ya Tamisemi, George Simbachawene alisema wakuu wa mikoa na wilaya wanayo mamlaka lakini wanapotoa uamuzi wa kuwasimamisha kazi watumishi, huwa si mwisho bali wakurugenzi ndiyo hutakiwa kuchukua hatua au makatibu tawala wa mikoa.

MAREKANI Yaweka Mtambo Kuilinda Korea Kusini Dhidi ya Makombora ya Korea Kaskazini..!!

$
0
0

Korea Kusini imesema wanajeshi wa Marekani wameanza kujenga mtambo wa kisasa wa kuzuia makombora katika eneo moja kusini mwa nchi hiyo.

Mtambo huo wa kujilinda dhidi ya makombora ambao hufahamika kitaalamu kama Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) unasimikwa kutokana na wasiwasi wa tishio kutoka Korea Kaskazini ambayo imeendelea kufanyia majaribio makombora yake.

Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imesema mtambo huo utakamilishwa na kuwa tayari kutumika katika kipindi cha mwaka mmoja.

Mtambo huo unajengwa katika Wilaya ya Seongju lakini China imekuwa ikipinga kuwekwa kwa mtambo huo.

Rais wa Marekani Donald Trump ameashiria kwamba Marekani iko tayari kuchukua hatua kivyake bila kuishirikisha China kukabiliana na tishio la nyuklia kutoka kwa Korea Kaskazini.

LINAH Aonyesha Muonekano wa Kitanda cha Mwanae Anayemtarijia Hivi Karibuni

$
0
0
Linah bado hajataja jinsia ya mtoto wake mtarajiwa ila anaonekana ameanza kujipanga mapema kwani amebakisha wiki kadhaa ajifungue.

Muimbaji huyo wa Bongo amekuwa akiposti picha kuonyesha ujauzito wake huku akiwa na furaha ya kuwa mama kwa mara ya kwanza maishani yake. Hata hivyo hajamtambulisha baba ya mtoto anayemtarajia lakini hapo mbeleni aliweza kufunguka kwa kusema kuwa ni mtu wa dini ya Kislamu.

Hata hivyo amebakisha wiki kadhaa ajifungue na kulingana na mtandao wake wa Instagram, Linah ameanza kujipanga kwa kumnunulia mwanae kitanda na doli kadhaa alizoziweka mtandaoni wake.

Tazama picha aliyoiweka hivi karibuni.


PATA Tiba Asili Kutoka Kwa Shekh Sharifu Rashid Kutoka Bagamoyo Pwani

$
0
0

MIUJIZA YA SHEKH SHARIFU RASHID KUTOKA BAGAMOYO PWANI. (RUDISHA MAHUSIANO YAKO NDANI YA MASAA 72 TU) ASANTE KWA KUENDELEA KUMPIGIA SIMU SHEKH SHARIFU RASHID KWA WALE WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA SHUKRANI:

SHEKH SHARIFU RASHID ni mtaalamu wa tiba mbalimbali za asili, anatumia kitabu cha quran dawa za asili dawa za kiarabu, na njiwa, Anakuvutia mpenzi alie kuacha au alie mbali, anazo dawa za mapenzi, nguvu za kiume, chango kwa kina mama, ngiri maji na n.k, anakuvutia mali zilizo potea au kudhulumiwa, pia anatoa Pete za bahati zilizoambatanishwa na jini mali, Wenye matatizo ya uzazi, jini mahaba, mapepo ya kichawi, vifungo vya kimaisha, ndoto mbaya za usiku, uelewa mdogo wa ufahamu shuleni kwa watoto wote, pia anauwezo mkubwa wa kumaliza kazi zilizoachwa na wataalamu wengine ndani ya masaa 48 tu, Pia anatibu kwa njia ya simu popote ulipo. WASILIANA NAE KWA WhatsApp na SIMU NO: +255 718-668347 na +255 767-204308 +255 685-224047 Email shekhsharifurashidi@gmail.com.

USHAURI: ni vyema kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate huduma kwa haraka.

FAIZA Ally Asema Anatarajia Mtoto wa Kiume...Atuonyesha Picha ya Tumbo Lake

$
0
0
Mwanadada Faiza Ally aliye kuwa mke wa Mheshimiwa Joseph Mbilinyi anatarajia mtoto wa pili na mpenzi wake ambaye bado hajamueka mtandaoni wake wa Instagram.

Faiza ambaye amekuwa maarufu kutokana na mavazi yake ya kushtua hapo kitambo alitangaza kuwa ako mjamzito na mtoto wake wa pili kupitia mtandao wako wa Instagram huku pia akimsifu mwanae wa kwanza, Sasha kwa kuwa rafiki wake wa karibu.


Faiza Ally
Aliandika kwa kusema…

Sasha is so happy she is gonna have a baby brother … ameshampa jina la junior sasa namuuliza kwa nn junior? akasema eti there is boy at school his name is junior 😄😄 and she like him he is nice boy 😆😆😆 sijui ndio mkwe any way I have no choice dada ndio keshampa jina kaka yake @sashadesderia thank you for being my best friend 😘😘😘😘 love you my mwanangu u will be always my number 1
Hata hivyo mashabiki wake bado wanangoja Faiza Ally kumtambulisha mpenzi wake wa sasa.



MAKOMBORA ya Lissu Yamtikisa Magufuli..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 26/4/2017

Viewing all 104694 articles
Browse latest View live




Latest Images