Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL

Msimamo Ligi Kuu NBC 2023/2024 Tanzania Premier League

0
0
Msimamo Ligi Kuu NBC 2023/2024 Tanzania Premier League
Msimamo Ligi Kuu NBC 2023/2024 Tanzania Premier League

Msimamo Ligi Kuu NBC 2023/2024 Tanzania Premier League

Msimamo Ligi Kuu NBC 2023/2024 Tanzania Premier League – Msimamo NBC Tanzania Premier League 2023/2024 Table Standings,Msimamo ligi kuu NBC Premier League 2023/2024 Tanzania, Ratiba NBC Premier League,

Msimamo NBC Premier League, Wafungaji bora NBC Premier League, NBC Premier League Standings 2023/2024,Tanzania Premier League Table Standings 2023/2024,Msimamo Ligi Kuu NBC Tanzania Premier League 2023/2024, Msimamo NBC Premier League 2023/24, Msimamo Ligi kuu bara

Msimamo Ligi Kuu NBC 2023/2024 Tanzania Premier League

The scheduling of matches is carefully organized to ensure that all teams have an equal opportunity to compete. The Tanzania Premier League Board takes into account various factors, including travel logistics, stadium availability, and the need for a fair distribution of home and away matches for each team.



Standings provided by Sofascore

Wafungaji Bora Ligi Kuu, Top Scores NBC Premier League 2024

0
0

 

Wafungaji Bora Ligi Kuu, Top Scores NBC Premier League 2024



Wafungaji Bora Ligi Kuu, Top Scores NBC Premier League February 2024

The Tanzania Premier League Board (TPLB) is a body created by the Tanzania Football Federation (TFF) with the consent of its general meeting held on March 24 to 25, 2012. The board has been assigned the authority to run and manage the Premier League, Championship League and First League under Article 55 of the TFF Constitution.

National Bank of Commerce (Tanzania), whose full name is National Bank of Commerce (Tanzania) Limited, sometimes referred to as NBC (Tanzania), or as NBC (Tanzania) Limited, is a commercial bank in Tanzania.

Wafungaji Bora Ligi Kuu NBC Premier League 2024

  1. Stephane Aziz Ki , Yanga SC  - 13 Goals
  2. Feisal Salum ' Fei Toto' , Azam FC -   13 Goals 
  3. Waziri Junior, KMC FC  -  11 Goals
  4. Max Nzengeli,  Yanga SC - 9 Goals 
  5. Mudathir Yahya, Yanga SC -    8 Goals
  6. Marouf Tchakei, Ihefu SC (previously at Singida FG) - 8 Goals
  7. Jean Baleke , Simba SC - 8 Goals
  8. Samson Mbangula, Tanzania Prisons SC - 8 Goals
  9. Pacôme Zouzoua, Yanga SC  -  7 Goals
  10. Adam Adam, Mashujaa FC - 7 Goals
  11. Prince Dube,  Azam FC -   7 Goals
  12. Saido Ntibanzokiza, Simba SC -  6 Goals
  13. Kipre Junior, Azam FC -  6 Goals 
  14. Clatous Chota Chama -  6 Goals ↑

ALSO READ: Msimamo Ligi Kuu NBC 2023/2024 Tanzania Premier League

Yanga SC's Ivorian Forward Stephane Aziz Ki has mounted a fightback to reclaim the top spot on the NBC Premier League 2023 / 24 Top Scorers / Wafungaji Bora Ligi Kuu Bara list , following his 13th Goal of Season against Geita Gold FC, he is now once again the sole top scorer ahead of the Zanzibari Ace Feisal Salum 'Fei Toto'  with KMC FC hatrick Hero Waziri Junior breathing behind their Necks with 11 goals netted so far this Ligi Kuu bara Season.


Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa


KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume 


SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa, 


NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako. 


NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada . 


HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia 


DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU  +255763939939

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

ORODHA ya Vilabu Bora Afrika 2024 (CAF Club Ranking)

0
0

 

ORODHA ya Vilabu Bora Afrika 2024 (CAF Club Ranking)


ORODHA ya Vilabu Bora Afrika 2024 (CAF Club Ranking)

Orodha ya Vilabu Bora Afrika 2023/2024 CAF Ranking – CAF Ranking of African Clubs 2023 [UPDATED] Africa Football / Soccer Clubs Ranking Al Ahly SC is always the leader and also the first African Club to enter the World Top 5,

Today’s article will focus on the quality of clubs in African and world football levels, this helps to build a team in development because the team will know where it is and how to achieve their goals CAF Ranking of African Clubs 2024.


These statistics are provided by the statistical and historical website of football as IFFHS, this website shows how the ball is in a certain country or a certain club based on the general results of the competition in the federation. For example, the teams under CAF, which is the African football federation, and the same for UEFA and other federations. rankings.

ORODHA ya Vilabu Bora Afrika 2024 (CAF Club Ranking)

Top 2𝟎 CAF clubs ranking before the start of the 2023/24 CAF Champions League and Confederation Cup group stage games:

Best Football Clubs In Africa, 2023/24 (CAF Club Ranking)

These statistics include the progress of the team so they cannot be adjusted for each season depending on the results of that season in the championship. Today we are looking at the levels of the teams under the African football federation CAF where the clubs under it are divided into different geographical classes.

Orodha ya Vilabu Bora Afrika 2023/2024 CAF Ranking 2023/2024

Top 20 CAF clubs ranking before the start of the 2023/24 CAF Champions League and Confederation Cup group stage games:

  1. Al Ahly  — 72 points.
  2. Wydad AC  — 60 points
  3. ES Tunis  — 51 points
  4. Mamelodi Sundowns  — 49 points
  5. Simba SC  — 39 points
  6. Petro de Luanda  — 39 points
  7. CR Belouizdad  — 37 points
  8. Raja Club Athletic  — 35 points
  9. TP Mazembe  — 33 points
  10.  Zamalek SC  — 33 points
  11. RS Berkane -- ;32 Points
  12. Young Africans S.C.  -31 Points
  13. USM Alger - 31 Points
  14. ASEC Mimosas - 30 Points
  15. Pyramids - 29 Points
  16. JS Kabylie - 22 Points
  17. Al-Hilal - 20 Points
  18. Horoya - 20 Points
  19. Étoile du Sahel - 16
  20. Orlando Pirates - 16


Hizi Hapa 'Combination' Mpya Kidato cha Tano

0
0

 

Hizi Hapa 'Combination' Mpya Kidato cha Tano

Serikali kupitia Ofisi Ya Rais Tamisemi imekamilisha zoezi la awali la kuingiza kwenye kanzidata taarifa zilizo kwenye Fomu za Uchaguzi za wanafunzi kama zilivyojazwa na wanafunzi wakiwa shuleni.


Aidha, napenda mtambue kuwa Mabadiliko ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la Mwaka 2023 na Mitaala ya Elimu kwa Kidato cha Tano yameanza kutekelezwa, ambapo utekelezaji huo umehusisha uanzishaji wa Tahasusi mpya 49, kutoka 16 zilizokuwepo awali hadi kufikia tahasusi 65’


Tahasusi hizo mpya zitakazoanza kutekelezwa Julai, 2024 zipo katika makundi saba (7) ambayo ni: Tahasusi za Sayansi ya Jamii; Tahasusi za Lugha; Tahasusi za Masomo ya Biashara; Tahasusi za Sayansi; Tahasusi za Michezo; Tahasusi za Sanaa; na Tahasusi za Elimu ya Dini.


Zoezi la kubadilisha tahasusi na vyuo litaanza rasmi tarehe 20 Machi, 2024 hadi tarehe 30 Aprili, 2024. Wanafunzi, wazazi na walezi wanakumbushwa kushauriana kikamilifu ikiwa ni pamoja na kupata ushauri wa kitaalam na kitaaluma kabla ya kufanya mabadiliko ya tahasusi au Kozi.


Ninawasisitiza wanafunzi, wazazi/ walezi kutumia muda huo vyema ili kuepusha changamoto zinazoweza kujitokeza mara baada ya matokeo ya uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo kutangazwa.


Ni muhimu kuzingatia muda uliotolewa wa kufanya marekebisho ili ratiba ya kuwachagua na kuwapangia shule na vyuo iweze kuendelea kwa muda uliopangwa.


Baada ya matokeo ya kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo kutangazwa, Ofisi haitashughulikia changamoto hizo kwa kuwa fursa ya kufanya mabadiliko hayo imeshatolewa amesema Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa.







Asilimia 90 ya Watanzania Wanaifuatilia Timu ya Yanga tu

0
0



Utafiti mdogo unaonesha asilimia zaidi ya 90 ya Watanzania kwa sasa hivi, wanaifutilia zaidi klabu ya Yanga kuliko klabu nyingine yoyote Tanzania hii. Kuanzia mitaani, runingani na mitandaoni.

Mbali ya ubora wa kikosi chao, hata kukutana kwa Wajukuu hawa wa Nyerere (Yanga) na Wajukuu wa Mandela (Mamelodi) kumeongeza mvuto kwa habari za klabu Yanga zaidi.

Mbali ya klabu kama klabu, hata msemaji wa Yanga amekuwa akiteka hisia za watu akiongelea masuala ya klabu yake tofauti na wasemaji wengine.

Simba Wamaliza Kazi iliyowapeleka Zanzibar, Al Ahly Hatoi Zindiko Limekubali

0
0


Kikosi cha Simba SC kimeanza safari ya kurejea jijini Dar es salaam kikitokea kisiwani Unguja, Zanzibar baada ya kumaliza kambi ya maandalizi ya Mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Robo Fainali, Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Simba SC itakuwa mwenyeji wa mchezo huo utakaowakutanisha dhidi ya Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Al Ahly kutoka nchini Misri, utakaopigwa Ijumaa (Machi 29) Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam.

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya Simba SC wachezaji wa Simba SC wameonekana wakiwa bandarini kisiwani Unguja, tayari kwa safari ya kurejea Dar es salaam.

Hata hivyo Simba SC inatarajiwa kuendelea na maandalizi ya mchezo huo ikiwa jijini Dar es salaam, huku wapinzani wao wakitarajiwa kuwasili nchini kesho Jumatano (Machi 27).

Ikumbukwe kuwa Mshindi wa jumla wa mchezo huo atatinga Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika na atakutana na Mshindi wa mchezo katia ya Petro Atletico (Angola) dhidi ya TP Mazembe (DR Congo).

Magazeti ya Leo Tarehe 27 March 2024

0
0

 

Magazeti ya Leo Tarehe 27 March 2024

Magazeti

   

                              


Magazeti ya Leo Tarehe 27 March 2024


Paul Makonda Awashukia Baadhi ya Viongozj wa CCM Wanaojaribu Kumtofautisha Rais Samia na Magufuli

0
0

Paul Makonda Awashukia Baadhi ya Viongozj wa CCM Wanaojaribu Kumtofautisha Rais Samia na Magufuli

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amewataka viongozi wa chama hicho na watu wanaojaribu kumtenganisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Hayati Dk. John Magufuli, waache mara moja. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Akizungumza katika hafla ya kupokea ndege mpya ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL), leo Jumatatu jijini Dar es Salaam, Makonda amedai kuna viongozi uchwara ambao wanajipendekeza kwa Rais Samia ili kumfanya kama sio sehemu ya Magufuli.

“Kuna kasumba ya ujinga unaoendelea wa kutaka kumtofautisha Dk. Samia na Dk. Magufuli, huwezi kuwatenganisha hao watu na viongozi wengi wanafiki wanaotafuta kujipendekeza kwa Dk. Samia, kila wakipata jukwaa wanataka kumfanya kama Dk. Samia si sehemu ya Dk. Magufuli. Kama msemaji wa chama tukazunguka na ilani ya chama chetu anachokifanya Dk. Samia ndicho ambacho alikifanya Dk. Magufuli,” amesema Makonda.

Makonda amesema “na walisimama wakazunguka katika taifa hili wakatafuta kura kwa pamoja, huwezi ukawatenganisha na waziri mkuu wao yule pale, Kassim Majaliwa, ningetamani leo iwe ndiyo siku ya mwisho ya unafiki wa viongozi na wanasiasa uchwara wanaopambana kuwatenganisha viongozi hawa.”


Makonda alitoa kauli hiyo akizungumzia mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia madarakani, aliyepewa mamlaka Machi 19, 2021 baada ya Magufuli kufariki dunia akiwa madarakani. Tangu alivyoingia madarakani Rais Samia amekuwa akiendeleza miradi iliyoachwa na mtangulizi wake, ikiwemo ununuzi wa ndege kwa ajili ya kuimarisha ATCL.

“Mafanikio haya tunayesherehekea wote kwa sababu chama ni kimoja, serikali ni ya CCM na nyie wananchi mliipigia kura,” amesema Makonda.

Kauli ya Mikonda imekuja siku kadhaa tangu Rais Samia kuweka bayana kwamba yeye hana makundi na kwamba yeye anafanya kazi na makundi yote. Alitoa kauli hiyo wakati akitaja sababu za kufanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa na wilaya, aliyoyafanya hivi karibuni.

“Mwanzo niliwaambia mlitarajia nitawateua kwa makundi, lakini mimi Samia sina kundi, mkijitazama hum ohayo makundi mnayojua makundi yenu nyote mpo humo ndani, ninachotaka mimi watanzania kwa pamoja tufanye kazi tusogeze nchi yetu mbele, sina kundi sasa wale wanaosema huyu ni wa mama huyu sio wa mama, mimi mama nina watoto wote,” alisema Rais Samia.

Mwanahalisi

Hatimaye Aziz Ki kimeeleweka Yanga, Kuendelea Kunywa Damu ya Kijani na Njano

0
0

Hatimaye Aziz Ki kimeeleweka Yanga, Kuendelea Kunywa Damu ya Kijani na Njano

 

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, raia wa Burkina Faso, Stephen Aziz Ki amefikia makubaliano mazuri na Uongozi wa timu hiyo, ya kuendelea kubakia kuvaa jezi zenye rangi ya kijani, njano katika msimu ujao.


Inaelezwa kuwa Menejimenti ya kiungo huyo, imekubali kukaa meza moja kuingia mkataba miwili ya kuichezea timu hiyo.


Kiungo huyo ni kati ya wachezaji ambao mikataba yao, unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu, ambaye alijiunga na Yanga akitokea Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast

KIMENUKA: Kamwe Amchana Ahmed Ally 'Zungumzia Mechi yako na Al Ahly Achana na Sisi'

0
0
KIMENUKA: Kamwe Amchana Ahmed Ally 'Zungumzia Mechi yako na Al Ahly Achana na Sisi'




Kamwe amchana Ahmed Ofisa habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe amemtaka Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally kuzungumzia timu yake na kuacha kuizungumzia Yanga kuelekea michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayopigwa weekend ijayo katika Dimba la Mkapa.

Kamwe amesema hayo baada ya Ahmed kuiponda Yanga kwa kuweka kiingilio bure kwenye mchezo wao dhidi ya Mameldi Sundowns ambapo amemtaka azungumzie mechi yao dhidi ya Al Ahly na si Yanga kama ambavyo amekuwa akifanya.

“Kila mtu azungumzie mechi yake jamani, sisi hatutaki kumpeleka mtu mjini, kila mtu abaki na mechi yake. Sasa hivi kila wakizungumza kidogo wanaitaja Yanga, tajeni Al Ahly mnaecheza nae, kama sisi tunavyoimtaja Masandawana, tajeni mtu wenu kwa nini mnatufuata fuata sisi? Nyie mnacheza na Al Ahly sio Yanga.

“Sisi Yanga tangu tumeanza hamasa tunamtaja Mamelodi tu, mmeshanisikia mimi nazungumza kuhusu Simba? Nazungumza Mamelodi kwa sababu ndiyo timu tunayocheza nayo. Lakini mtu anaona mechi yake imebuna anawaza aibukie wapi, anaanza kuitaja Yanga, mmeshachelewa.

“Mimi sitaki kumpeleka mtu mjini na sitaki mtu anipeleke mjini, kila mtu azungumzie mechi yake tuone. Tafuta njia yako. Sisi sasa hivi kila mtu simu zinaita, tunaongea na Wasauzi tunawaita hapa kwa Mkapa, na wewe wapigie Waarabu kama una ubavu huo, ongea nao, waite usituingize sisi.

“Serikali imesema tupambane na maaduni jamani, tusipigane wenyewe, wewe si uongee na Mwarabu mnashindwa nini? Mbona sisi tunajiamini tunaongea na Masandawana kwa kujiamini kwamba anakufa kwa Mkapa.

“Lakini mtu anajitokeza anasema wameweka viingilio bure, inkuhusu nini? Kwani mnacheza na sisi? Sisi tunaweza kuweka viingilio bure hata kwenye dabi tukiamua kwa sababu tunaamua wenyewe. Na wewe zungumzia jambo lako usituguse guse sisi, sisi tuna-focus kuifurahisha nchi, mambo makubwa tunataka kuyafanya Jumamosi, mtuache tupumzike tuna kazi kubwa,” amesema Kamwe.

Waliomuua Dereva wa Watalii Karatu Wakamatwa

0
0
Waliomuua Dereva wa Watalii Karatu Wakamatwa


Jeshi la Polisi limesema kifo cha Dereva wa Watalii, Omary Saimon Msamo kilichotokea Wilayani Karatu, Machi 16, 2024 kimetokana na kuuawa ambapo Anthony Paskali ‘Lulu’ na Emmanuel Godwin Joseph wakazi wa Karatu wanashikiliwa kwa mauaji hayo.


Msemaji wa Jeshi la Polisi, DCP David Misime amesema “Waliohusika walilenga kumpora, Watuhumiwa wamekamatwa na wamekutwa na simu ya marehemu ila fedha walizompora Tsh 200,000 walikuwa wameshagawana na kuzitumia, walimpora baada ya kumpiga kisogoni na kudondoka chini.”


Awali, ilidaiwa kifo hicho kimetokana na Askari Polisi kumjeruhi Omary baada ya kukamatwa njiani akituhumiwa kuendesha gari akiwa ametumia kilevi. Misime amesema Jeshi la Polisi linatoa tahadhari juu ya kueneza taarifa za uongo, chuki na uzushi dhidi ya mtu mwingine au Taasisi.

Yanga yaichimba Mkwara Mamelodi: Suala la Kupandisha Mnara hatutanii

0
0
Yanga yaichimba mkwara Mamelodi: Suala la kupandisha mnara hatutanii


Kuelekea mchezo wao robo fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns, jana Klabu ya Yanga ilizindua hamasa zake katika Makao Makuu ya Klabu hiyo, Jangwani, jijini Dar es Salaam ambapo mitaa ya Kariakoo yote ilitikisika.


Mchezo huo ambao ni maalum kwa kiungo wao, Mudathir Yahya ukiwa na kauli mbiu isemayo ‘SIMU ZIITE, TUKUTANE KWA MKAPA’, utachezwa Machi 30, 2024 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Rais Samia Ampongeza Mgombea wa Upinzani Aliyeshinda Urais Senegal

0
0
Rais Samia Ampongeza Mgombea wa Upinzani Aliyeshinda Urais Senegal


Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pongezi kwa Rais mteule wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye baada ya kuibuka mshindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili Machi 24, 2024.


“Nawasilisha pongezi zangu za dhati kwa mheshimiwa Bassirou Diomaye Faye, Rais mteule wa Jamhuri ya Senegal, kwa ushindi wako katika uchaguzi wa urais wa 2024 wa Senegal; na watu wa Senegal kwa uchaguzi wa amani. Natarajia kuendelea kufanya kazi pamoja ili kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Senegal,”ameandika Rais Samia katika mitandao yake ya kijamii.


Faye anaingia madarakani baada ya kumshinda mpinzani wake mkuu kutoka muungano wa chama tawala, Amadou Ba, ambaye alikuwa Rais wa Senegal.

Huyu Hapa Ndio Mwanamke Chanzo Cha Unguko Kubwa la P Diddy

0
0

Huyu Hapa Ndio Mwanamke Chanzo Cha Unguko Kubwa la P Diddy
Cassie and P Diddy

Habari kubwa duniani hivi sasa ni nyumba za rapper na mfanyabiashara mkubwa kwenye kiwanda cha muziki nchini Marekani Sean Love Combs maarufu kama P DIDDY zilizoko Miami na Los Angeles kufanyiwa uchunguzi na HSI(Homeland Security Investigation) pamoja na Law enforcement officers wengine.

Sababu kubwa inayohisiwa ni madai yanayomkabili Diddy ya unyanyasaji wa kijinsia,biashara ya ngono e.tc ambayo mwishoni mwa mwaka 2023 alishtakiwa na msanii wake wa zamani chini ya label yake ya Bad boy record label Cassandra Ventura maarufu kama @cassie mahakamani huko Manhattan.

@cassie na Diddy inadaiwa walikua kwenye mahusiano ya kimapenzi kuanzia mwaka 2007 na mwaka 2018 walidaiwa kuachana,mrembo huyo mwezi November 2023 alidai kuwa alipitia unyanyasaji kwa miaka mingi kutoka kwa Diddy kuanzia mwaka 2005 alipokutana na nguli huyo wa muziki wa Hip hop nchini humo na yeye alikua na miaka 19 tu.

@cassie alidai kuwa Diddy alikua akimpiga mara kwa mara na kuna wakati alifikia hatua ya kumpiga teke usoni na baadaye mwaka 2018 alimbaka,Cassie aliongeza na kusema kuwa alimsafirisha na kumshurutisha kufanya mapenzi na wafanyabiashara wa ngono kwenye miji tofauti huku yeye akichukua picha na kujichua.

Madai mengine dhidi ya Diddy ni ya mwanadada Joie Dickerson ambaye alidai Diddy alimuwekea madawa na kumfanyia unyanyasaji wa kingono kisha kurekodi,mwingine ni producer Rodney(Lil Rod) pamoja na wengine wawili.


Yanga Vs Mamelod Ndio Mechi Kubwa Inayozungumzwa Sana Afrika Nzima

0
0



Inazungumzwa zaidi. Inachambuliwa zaidi. Tena na mataifa ya nje, ambao siyo Watanzania. Na pia inasubiriwa kwa hamu ndani na nje ya Tanzania.


Kifupi ndo 'BIGI MECHI' kwa sasa Afrika nzima. Kutokana na namna inavyoongolewa, kusubiriwa, kujadiliwa na hata timu husika zinavyojiandaa.

Mamelodi wameshatua Bongo. Wakati Al Ahly ambao watacheza kabla yao na Simba, bado hawajatua. Na Misri ni mbali kuliko Afrika Kusini.

Kwa maana hiyo hata Mamelodi wamepata hofu. Hawana uhakika na matokeo yao kwa Mkapa. Huku Yanga nao wakifanya kila njia kuona nyota wao wote wanakuwepo siku ya Jumamosi.

Kulifanyika mechi kubwa kama Simba na Al Ahly uzinduzi wa African Football League. Simba na Wydad robo fainali ya Klabu Bingwa msimu wa jana. Na hata Yanga na Belouzidad kupambania kuingia robo.

Lakini mechi ya Yanga na Mamelodi itakuwa kubwa kuliko. Haijawahi kutokea mechi kubwa ya klabu ya kiwango kama hiki. Hii ni zaidi ya mechi. Zaidi ya tukio na zaidi ya msisimko.

Mamelodi wametepeta kabla ya muda kuwadia.

MATOKEO Yanga Vs Mamelodi Sundowns Leo 30 March 2024

0
0

 

MATOKEO Yanga Vs Mamelodi Sundowns Leo 30 March 2024
MATOKEO Yanga Vs Mamelodi Sundowns

MATOKEO Yanga Vs Mamelodi Sundowns Leo 30 March 2024

Young Africans inacheza na Mamelodi Sundowns kwenye Mechi ya Mchujo ya Ligi ya Mabingwa Afrika mnamo Machi 30. Mechi hiyo itaanza saa 21:00 kwa saa za kwenu.


Young Africans wanakaribia kucheza mechi hiyo baada ya kufungwa na Azam Machi 17, lakini safari hii huenda mambo yakawaendea tofauti kwani safu yao ya ulinzi imekuwa ikifanya vyema kwenye mechi za nyumbani hivi karibuni ikiwa na clean sheet 3 mfululizo ikicheza kama wenyeji.


Kwa upande mwingine, Mamelodi Sundowns wanakaribia mechi wakiwa katika hali nzuri baada ya kuambulia ushindi wa mabao 2-0 katika kombe la Taifa dhidi ya Maritzburg United na kuendeleza msururu wa kutoshindwa hadi mechi 14.


ScoreBat inaangazia Young Africans dhidi ya Mamelodi Sundowns katika muda halisi, ikitoa mtiririko wa moja kwa moja na matokeo ya moja kwa moja ya mechi, safu za timu, takwimu kamili za mechi, maoni ya mechi ya moja kwa moja na muhtasari wa video rasmi. Tunashughulikia mechi zote za Mchujo wa Ligi ya Mabingwa wa Caf kwa wakati halisi na kutoa utiririshaji wa moja kwa moja inapowezekana.

KIKOSI Cha Yanga Vs Mamelodi Sundowns Leo March 30, 2024

0
0
KIKOSI Cha Yanga Vs Mamelodi Sundowns Leo March 30, 2024
KIKOSI Cha Yanga Vs Mamelodi Sundowns  


KIKOSI Cha Yanga Vs Mamelodi Sundowns Leo March 30, 2024

Young Africans inacheza na Mamelodi Sundowns kwenye Mechi ya Mchujo ya Ligi ya Mabingwa Afrika mnamo Machi 30. Mechi hiyo itaanza saa 21:00 kwa saa za kwenu.

Young Africans wanakaribia kucheza mechi hiyo baada ya kufungwa na Azam Machi 17, lakini safari hii huenda mambo yakawaendea tofauti kwani safu yao ya ulinzi imekuwa ikifanya vyema kwenye mechi za nyumbani hivi karibuni ikiwa na clean sheet 3 mfululizo ikicheza kama wenyeji.

Kwa upande mwingine, Mamelodi Sundowns wanakaribia mechi wakiwa katika hali nzuri baada ya kuambulia ushindi wa mabao 2-0 katika kombe la Taifa dhidi ya Maritzburg United na kuendeleza msururu wa kutoshindwa hadi mechi 14.

ScoreBat inaangazia Young Africans dhidi ya Mamelodi Sundowns katika muda halisi, ikitoa mtiririko wa moja kwa moja na matokeo ya moja kwa moja ya mechi, safu za timu, takwimu kamili za mechi, maoni ya mechi ya moja kwa moja na muhtasari wa video rasmi. Tunashughulikia mechi zote za Mchujo wa Ligi ya Mabingwa wa Caf kwa wakati halisi na kutoa utiririshaji wa moja kwa moja inapowezekana.


Prediction :Yanga SC Squad, Line Up


  1. Diarra
  2. Yao
  3. Lomalisa
  4. Job
  5. Bacca
  6. Aucho
  7. Max
  8. Mudathiri
  9. Musonda
  10. Aziz Ki
  11. Pacome

Aliyepanga Njama za Kumuua Mwanamuziki AKA Ajulikana...

0
0


Mahakama nchini Afrika Kusini imemtaja mtu aliyewalipa wauaji wa msanii Kiernan Forbes maarufu kama “AKA”, mtu huyo ametajwa kuwa manyabiashara Sydney Munda Gcaba ambaye inadaiwa aliwalipa wauaji jumla ya Randi 800,000 (Zaidi ya TSh. Milioni 108 kwa ajili ya kutekeleza mauaji ya Rapa Huyo mzaliwa wa Cape Town.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Tarehe 11 Februari 2023 majira ya saa sita mchana Mmoja wa wauaji aliyefahamika kwa jina la Gwabeni alipokea kiasi cha Randi Laki Nane kwenye akaunti yake, fedha ambazo inadaiwa kuwa alizitoa na kugawana na wenzie.

Dalili Kwamba Ndoa Yako Au Mahusiano yako Vimeharibiwa Kichawi

0
0




Mwanaume au Mwanamke kukasirika bila sababu.
Kuto Sikia Hamu ya TENDO la NDOA iwe Kwa mumeo, Mkeo au Mpenzi wako.
Mpenzi wako akikuona ANAKUCHUKIA tu
Ukiongea kitu kinakuwa KIBAYA kwake
Akiwa mbali na wewe MNAELEWANA
Mara nyengine HUKUTUKANA bila sababu za msingi na wewe hupandwa na hasira UNAMCHUKIA.
Ukifanya nae tendo la NDOA husikii RAHA anachelewa KUSIMAMISHA pia.
Akimaliza tendo la NDOA hataki KUGUSWA tena mkiwa kitandani.
Mkifanya TENDO wala hataki mfanye ROMANCE anapanda tu amalize.

UKICHEPUKA nnje unajisikia RAHA ukirudi nyumbani mnaongea vizuri na MPENZI wako au MKEO au MUMEO.
Ratiba ya KULA nyumbani inabadilika au HALI kabisa.
Mwanamke/MWANAUME anakuwa MKALI sana KIBURI kila saa anawapenda MARAFIKI zake zaidi ndio anao WASIKILIZA kuliko WEWE.
Yapo mambo mengi sana Endelea Kufatilia
Kwa Makala Nyingi TOFAUTI TOFAUTI kama hizi na Nyingine... WASILIANA na Maalim Juma Ramadhani Ujitibu sasa Mana nimesha kupa Nna Mwanga dawa zake HAZIVUNJI imani yako ya Dini wala sio za KICHAWI. +255 743 746 397

ASANTE KWA KUENDELEA KUMPIGIA SIMU Maalim Ally KWA WALE WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA SHUKRANI: Maalim Juma Ramadhani Mtaalamu wa Tiba Mbalimbali za Asili, anatumia Kitabu cha *Qur'an Dawa za asili, Dawa za kiarabu, na Majini*,

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye hufaulu pale wote walipo shindwa,

JE UNAPATA PESA HAIKAI NA HAUFANYI CHOCHOTE CHA MAANA?

Pete za Bahati na Pete za Mali
Magic Wallet (Pochi ya Ajabu isio Isha Hela)
Utajiri Usio na Masharti (Ndagu)
Kusafisha Nyota/Nuksi Mikosi
Mvuto Kazini /Mvuto wa Mapenzi
MRUDISHE MPENZI WAKO NDANI YA MASAA 6 TU
NGUVU ZA KIUME
Zindiko ya Nyumba/ Kinga ya Mwili
Hurudisha Mali zilipotea au Kutapeliwa(Nyumba, Viwanja Gari Pesa nk.
Magonjwa Sugu, Kisukari, UTI sugu, Miguu Kufa Ganzi...
Njoo Umuone Maalim Juma Ramadhani na Ujue yanayo kusibu ni Mtu Mkarimu na Mpenda watu.. Anatoa Tiba kwa Masikini na Tajiri, Njoo na Ulicho na Atakusaidia
WhatsApp +255 743 746 397

Magazeti ya Leo Tarehe 28 March 2024

0
0

 Magazeti ya Leo Tarehe 28 March 2024

Magazeti ya Leo Tarehe 28 March 2024

Miaka 20 Jela Kisa Vipande 14 vya Nyama ya Pofu

0
0
Miaka 20 Jela Kisa Vipande 14 vya Nyama ya Pofu


Mahakama ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma imemuhukumu kifungo cha miaka 20 jela Kijana Mussa Ally Makandaje (32), Mkazi na Kijiji cha Msinjili Wilaya ya Tunduru baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kukutwa na vipande 14 vya nyama ya mnyama aina ya pofu.


Akisoma hukumu hiyo ya kesi ya jinai Na.18 ya mwaka 2023, Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Lilian Haule amenukuliwa akisema “Mahakama imefikia uamuzi huo baada ya kujiridhisha na ushahidi uliotolewa pasipo kuacha shaka yoyote”.


Imeelezwa kuwa Mtuhumiwa alitenda kosa hilo August 10 2023 na kufikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza August 25 2023.


Pofu ni Mnyama Jamii ya swala anayepatikana katika mbuga mbalimbali za Tanzania na anatajwa kuwa na mwili mkubwa kuliko wote katika Jamii hiyo ya swala, sifa nyingine ni sura nzuri pamoja na utamu wa nyama yake uliyoifanya kuwa moja ya nyama zinazopendwa sana katika uwindaji


Bosi Al Ahly Afunguka Kinachowatesa 'Tunamwogopa Kocha Benchikha'

0
0

 

Bosi Al Ahly Afunguka Kinachowatesa 'Tunamwogopa Kocha Benchikha'
Benchikha

Mkuu wa msafara wa Al Ahly, Hossam Ghally amesema kizuizi kikubwa kwao kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Simba SC ni uwepo wa kocha Abdelhak Benchikha.


Al Ahly inatarajiwa kuvaana na Simba SC keshokutwa Ijumaa Machi 29 kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikiwa ni mara ya kwanza timu hizo zinakutana kwenye hatua hiyo.


Simba SC ilirejea jijini Dar es Salaam jana Jumanne Machi 26, 2024 ikitokea Visiwani Zanzibar ilipokuwa imeweka kambi kwa Juma moja huku wachezaji wa Al Ahly wakitarajiwa kuwasili nchini leo Jumatano Machi 27, 2024.


Ghally ambaye ni kiungo wa zamani wa Al Ahly, amesema Simba SC ni timu bora kwani wamekutana nayo mara kadhaa, lakini sasa wana wasiwasi zaidi kwa kuwa ipo chini ya kocha mzoefu Barani Afrika.


Ghally aaliyetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika akiwa na Misri mwaka 2010 ni kati ya viongozi wa heshima wa klabu hiyo akiwa ametumwa hapa nchini ili kuhakikisha timu hiyo inafikia sehemu salama.


Amesema mechi yao ya Robo fainali ya ligi ya Mabingwa itakuwa ngumu kutokana na rekodi ya Benchikha ambaye kila walipokutana naye amekuwa akiwapa wakati mgumu.


“Simba SC tunaweza kuifunga, lakini nadhani kitu kinachotufanya tuwe na wasiwasi ni uwepo wa Kocha Benchikha nadhani mnafahamu ubora wake kwa sasa na namna anavyojua kusimama na mbinu zake


“Nipo hapa kuhakikisha timu inapata wakati mzuri wa mechi hii ya Ijumaa Machi 29, 2024 tunaamini makocha wetu watakuja na mpango mzuri wa kupata matokeo mazuri, hatujawahi kupata ushindi hapa kwa Mkapa tukicheza na Simba, hili ni eneo lingine linalotufanya tuwe makini na mechi hii.


“Sina wasiwasi na kikosi chetu tunacheza kwa ubora wetu kupata matokeo mazuri ambayo yatatupa wepesi kabla ya mechi ya marudiano kule Cairo, tunataka kutetea Ubingwa wetu msimu huu” anasema Hossam Ghally aliyewahi kuitumikia na Tottenham Hotspur ya England.


Benchikha anasidfika kwa kusimamia ajenda moja mpaka mwisho wa msimu akiwa amewahi kufanya hivyo akiwa na RS Berkane ya Morocco na USM Alger ya Algeria kisha zote akazipa makombe ya Shirikisho Afrika.


Mechi yake ya mwisho kukutana na Ahly ilikuwa ya mwaka jana katika Super Cup, ambapo timu yake ya USM Alger iliibuka na ushindi wa bao 1-0 na kuchukua ubingwa.


Simba SC na Al Ahly zimekutana mara nane kila moja imeshinda nyumbani kwake michezo mitatu zikitoka sare kwenye mechi mbili, moja Dar es Salaam na nyingine Cairo Misri kwenye mechi hizo Ahly imefunga mabao 12, huku Simba SC ikifunga saba.

Mamelodi Wanogewa na Mahaba ya Watanzania

0
0

 

Mamelodi Wanogewa na Mahaba ya Watanzania

“Mapenzi ambayo tumekuwa tukiyapata kutoka Tanzania yanavutia” sehemu ya maneno ya DJ Naves akimsimulia nyota wa soka wa Mamelodi Sundowns, Hlompho Alpheus Kekana kile ambacho wanakishuhudia kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii kuelekea mechi yao ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga SC.


DJ Naves ametoa pongezi kwa wote wanaowaowaunga mkono Mamelodi ndani ya Tanzania na kuwataka kujitokeza wakiwa katika mavazi yao ya rangi ya njano, huku wakikumbushana ya kwamba na Yanga pia wanavaa jezi za njano.


Kipi unakishuhudia kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya Mamelodi?

Kapombe : Simba Tunakwenda Kufungua Ukurasa Mpya..

0
0



Beki wa pembeni wa klabu ya Simba, Shomari Kapombe, amedai wachezaji wote wa timu hiyo wapo tayari kufungua ukurasa mpya wa kwenda kucheza nusu fainali.

Amedai maandalizi waliyoyafanya yanawapa moyo wa kufanya vizuri na kuingia hatua ya nusu fainali badala ya robo fainali ambayo wamekuwa wakiishia mara kadhaa.

"Tumejiandaa vizuri kwa ajili ya kupambana na mabingwa wa kihistoria wa michuano hii mkubwa Afrika, lengo letu ni kuandika historia mpya ya kuingia nusu fainali na tunaamini inawezekana kikubwa mashabiki wajitokeze kwa wingi kesho kwa Mkapa." alisema Kapombe.




Latest Images