Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 109490 articles
Browse latest View live

Babu Maduhu ni Bingwa wa Magonjwa Sugu, Kama Vile Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha na Nguvu za Kiume, Mvuto na Kusafisha Nyota

$
0
0

BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu


1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa    dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER

MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,

Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.


SUPER POWER,

Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.


BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI


Anasa Uwanja wa ndege kwa miezi mitatu

$
0
0
Raia mmoja wa Niger ambaye amefurushwa nchini Israeli amenasa uwanja wa ndege nchini Ethiopia toka mwezi Novemba mwaka jana.

Eissa Muhammad, 24, amenasa kwenye kiwanja hicho jijini Addis Ababa baada ya nchi yake kugoma kumpokea.

"Nimekuwa nikikaa hapa (uwanja wa ndege) katika mazingira magumu, hakuna kitu, hakuna kitu kabisa..." Muhamad ameiambia BBC.

Mikasa ilianza kumuandama Muhamad mwezi Aprili mwaka jana baada ya kunaswa akiishi Israeli bila ya kibali, Kijana huyo alihamia Israeli kutoka Niger mwaka 2011, akiwa na miaka 16 ili kutafuta maisha bora.

Anasema aliwalipa wasafirishaji wa binaadamu ili kumpitisha nchini Libya na Misri kabla ya kuingia Israeli kwa miguu, Alipofika jijini Tel Aviv, Tel Aviv, Muhamad aliishi kwa kutegemea kazi duni kwenye majumba ya kuishi wanafunzi na kiwanda cha kuzalisha pipi.

Baada ya kushikiliwa kizuizini kwa zaidi ya miezi sita, Israeli ilimpatia hati ya dharura ya kusafiri na kumpakia kwenye ndege ya Shirika la Ethiopia kuelekea Niger kupitia Addis Ababa mwezi Novemba.

Siku 3 Kabla ya Godzilla Kufariki, Dj Fetty Alihojiwa Akasema Haya

$
0
0
Aliyekuwa Mtangazaji na mchezea santuri wa Clouds Fm Radio, DJ Fetty amejitenga na lawama zinazotolewa na mashabiki kwenye mitandao ya kijamii wakimtaka kumsaidia rapa Godzilla kutokana na mitazamo yao kuwa hayuko sawa.

Lawama hizo kwa Fetty zilianza kutiririshwa na mashabiki punde baada ya Godzilla aka King wa Salasala kufanya mahojiano na kipindi cha XXL, ambapo wengi hawakuridhishwa na jinsi walivyomsikia kwa kulinganisha na Godzilla waliyekuwa wanamfahamu awali.

Kwa mujibu wa Fetty, lawama zilizokuwa zikielekezwa kwake za ‘kwanini hamsaidii Zilla’, zilirejea historia ya kuwa yeye ndiye aliyefanikisha kumuweka kwenye ramani ya muziki kupitia mashindano ya kufanya mitindo huru (Freestyle Battle).

Akifunguka leo kupitia kipindi cha Bongo Fleva ya redio hiyo, Fetty amesema kuwa yeye hana uwezo wa kumbadili msanii huyo au kumwambia kuwa ana tatizo kwani suluhu inapaswa kuanza na utambuzi wake wa tatizo.

“Mimi sina uwezo wa kucontrol maisha yake. Sina uwezo wa kufuatilia maisha yake. Na mimi naona sina uwezo wa kukaa chini na Zilla na kumfanya anielewe mimi,” alisema Fetty.

“Kama kweli anahitaji mtu wa kumsaidia. Unajua ni lazima mtu ajue kama ana tatizo ndio atasaidiwa. Sasa kama mtu hajajua mwenyewe hawezi kumsikiliza mtu mwingine. Hata wewe ukinifuata mimi ukaniambia kwamba mimi ni chizi na mimi sijaona hivyo, ninaweza kukumind,” aliongeza.

Hata hivyo, Fetty alieleza kuwa aliona mabadiliko kwa msanii huyo lakini alidhani labda U-Marekani unamkorea tu, kwa kuongeza ‘swag’ za kimarekani kwenye mazungumzo yake na kadhalika.

Alishauri pia kuwa kama watu wanaamini Zilla ana tatizo, wanaoweza kumsaidia zaidi ni watu wazima anaowakubali na kuwaheshimu. Hivyo, kama kuna namna njia hizo zifuatwe badala ya kumshushia lawama yeye kwakuwa tu alimpa njia ya kupitia ambayo awali aliitumia vizuri na kushinda shindano la Freestyle Battle na kisha kuachia ngoma nyingi kubwa.

Uwezo wa Godzilla katika kufanya mitindo huru ni wa kipekee na wakati mwingine huwafanya watu kuhisi alikuwa ameandika mistari kabla, lakini katika kipindi cha hivi karibuni ameonekana kushindwa kuonesha uwezo aliokuwa nao hasa aliposikika kwenye mahojiano na vyombo kadhaa vya habari.

Pata Shepu Bomba, Weupe Bila Sugu , Rudisha Heshima ya Ndoa

$
0
0

Baada ya utafiti wa miaka 19 sasa kampuni ya MARKSON BEAUTY imeingiza bidhaa bora kabisa zenye matokeo ya haraka zaidi BILA madhara yoyote. Zimetokana na mimea na matunda
       TUNAZO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa:-
(a)Botcho multi plus ya kunywa @250,000/=
(b)Botcho multi function ya kupaka @250,000/=
(c)Vidonge (YODDI PILLS ORIGINAL) @270,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @170,000/=
(b) Vidonge @200,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @150,000/=
 5.Kuongeza urefu na upana wa uume pamoja na nguvu kwa:-
(a)Gely ya kupaka @150,000/=
(b)Vidonge maalumu kwa ajili ya nguvu na hamu ya tendo @150,000/=
(c)Max man 2plus ya kuongeza uume na nguvu pamoja na kuimarisha misuli @250,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @170,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @180,000/=
9.Kupunguza tumbo  (kitambi) na nyama za pembeni @170,000/=
        NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

    Wasiliana nasi Popote
  ulipo duniani kwa (+255)
           0767447444
                     na
           0714335378
        UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
#HipsNaMakalio
#BidhaaTz
#YodiPillsTz
#BotchoOg
#CosmeticsTz
#WeupeBilaDoa

“Taarifa za Manchester United kununuliwa na mtoto wa Mfalme Saudia ni za uongo” Waziri wa habari Saudia Arabia

$
0
0


Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed Bin Salman amekanusha madai kuwa anantaka kuinunua Manchester United kwa kitita cha pauni bilioni 3.8.


Tetesi ziliibuka mwishoni mwa wiki zikimuhusisha mwanamfalme huyo na kutaka kuinunua klabu hiyo tajiri nchini Uingereza.

Wamiliki wa klabu hiyo, familia ya Glazers wanadaiwa kuwa hawana mpango wa kuiuza timu yao.

Wamiliki hao kutoka Marekani waliinunua Man United kwa kitita cha pauni milioni 790 mwezi Mei 2005.


“Ripoti zinazomuhusisha Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman kuwa anataka kuinunua Manchester United ni uongo mtupu,” amesema waziri wa michezo wa Saudia Turki al-Shabanah.

“Manchester United walifanya mkutano na mfuko wa uwekezaji wa umma PIF wa Saudia kuhusu nafasi ya udhamini. Lakini hakuna makubaliano yaliyofikiwa mpaka sasa,” ameeleza waziri huyo.

Salman, 33, aliteuliwa kuwa mrithi wa kiti cha Ufalme wa Saudia Juni 2017.

Chini ya utawala wake, taifa hilo limelaaniwa vikali kwa visa vya kukiuka haki za binaadamu na kushutumiwa kwa mauaji ya mwanahabari Jamal Khashoggi katika ubalozi wa Saudia nchini uturuki mwaka jana.

Mwezi Oktoba mwaka jana, Manchester United ilijitoa kwenye mazungumzo na PIF baada ya mauaji ya Khashoggi.

By Ally Juma

Wema Sepetu afunguka na kuwashukuru Bodi ya Filamu baada ya kumuachia huru kuendelea na kazi zake za sanaa (+ Video)

$
0
0

Bodi ya Filamu hapa nchini Imetangaza rasmi kumfungulia Star wa Filamu hapa nchini Wema Sepetu Sehemu ya adhabu ambayo walimpatia kutokana na video yake chafu Kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha yupo kimahaba na mtu aliyetajwa yuko nae katika mahusiano.


Katika mkutano na waandishi wa Habari Bodi Imeeleza Kuwa haijamfungulia Wema Kwa kumuonea Huruma Ila wamefanya Hivyo Kwa Sababu ametekeleza Aslimia 75 ya Mambo waliyomuagiza ayafanye. Kwa upande wake Wema amesema kuwa hatorudia tena kosa kwani ilikua mara ya Kwanza Kufungiwa na Bodi huku akionesha Furaha kubwa ya Kupata msamaha Huo.

Mume Anywa Sumu Kisa Mkewe Kugoma Kupika Ugali

$
0
0


Mwanaume mmoja katika Kaunti ya Kakamega nchini Kenya amenusurika kifo masaa machache baada ya wawili hao kugombana sababu ikiwa ni mkewe kukataa kumpikia ugali.

Tukio hilo limedaiwa kutokea Jumapili katika kijiji cha Emukaba kilichopo Kaunti hiyo ya Kakamega, ambapo Inadaiwa kuwa mwanaume huyo alimvamia mkewe na kumjeruhi sehemu mbalimbali kwa kisu na kisha mwenyewe kumeza vitu vilivyosadikika kuwa na sumu hadi alipokutwa na majirani na kupelekwa hospitali.

Baada ya kumjeruhi mkewe, mwanaume huyo alimwosha mkewe kwa maji na kumfunika kwa blanketi ili kuficha tukio alilolifanya, lakini majirani waliotembelea nyumbani kwake walikuta mwanamke huyo akiwa amefichwa ndani.

Mshauri Mkuu wa masuala ya kijamii na kijinsia, Peninah Mukabane ambaye alitembelea kijijini hapo amesema, "Tunashuhudia ugomvi wa watu wengi majumbani kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya na kutokuwa na uwezo wa kuzikabili changamoto za kifamilia zinazowakabili".

Naye Mkuu wa Kituo Kikuu cha Polisi (ODCP) wa Kaunti ya Kakamega, Joseph Chebii amesema kuwa, "Mtuhumiwa alijaribu kujiua mwenyewe kwa kumeza vitu vilivyosadikika kuwa na sumu na alikimbizwa hospitali kwa matibabu".

Hata hivyo kwa mujibu wa ODCP Chebii, mwanaume huyo alifariki akiwa hospitalini na mwili wake kupelekwa mochwari, huku akisema polisi inaendelea na uchunguzi wa tukio hilo.

Meddie Kagere Sasa ni wa Pili Afrika

$
0
0

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Simba, Meddie Kagere kwasasa ndiye shujaa wa timu na huenda asipendwe sana na mashabiki wa timu pinzani kutokana  na namna anavyoziadhibu timu zao msimu huu.

 .

Kagere msimu huu ndiye kinara wa mabao msimbazi mpaka sasa ambapo anaongoza kwenye ligi kuu Tanzania bara na pia kwenye Ligi ya mabingwa Afrika.

Katika mechi tatu zilizopita, Simba imefunga mabao matano. Mabao 3-0 dhidi ya Mwadui FC, 1-0 dhidi ya Al Ahly na 1-0 dhidi ya Yanga.

Kati ya hayo matano Meddie Kagere amefunga matatu kwa wastani wa goli moja katika kila mchezo.

Kwenye ligi kuu Kagere ana mabao 9 na anaongoza kwenye klabu yake akifuatiwa na Emmanuel Okwi mwenye mabao 7. Kwa ujumla Kagere sasa yupo nyuma ya Eliud Ambokile mwenye mabao 10 na Heritier Makambo mwenye mabao 11.

Kwa upande wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kagere ana mabao manne na anashika nafasi ya pili nyuma ya Jean-Marc Makusu wa AS Vita Club mwenye mabao matano.

Kagere ambaye alisajiliwa msimu uliopita kutoka klabu ya Gor Mahia ya Kenya, yupo jijini Arusha na kikosi cha Simba ambapo kesho watashuka dimbani kucheza na African Lyon kwenye mchezo wa ligi kuu.


Yondani Afunguka Kutompa Mkono Ajibu

$
0
0


BEKI mkongwe wa kati wa Yan­ga, Kelvin Yondan i amefuta ukimya na kufungukia ishu yake ya kutopeana mkono na nahod­ha wake, Ibrahim Ajibu.

Hiyo, ikiwa ni siku moja tangu iibuke taarifa za wachezaji hao kutokuwepo ka­tika mahusiano mazuri baada ya video kusambaa ya Yondani kukataa kumpa mkono Ajibu.

 Kitendo hicho kili­tafsiriwa na wengi kuwa Yondani ana kinyongo na Ajibu, baada ya ku­vuliwa unahodha na mikoba yake kukabidhi­wa kiungo huyo.

Tukio hilo la aina yake lilitokea wakati Ajibu akiwatam­bulisha wachezaji wake kwa mgeni rasmi wakati Yanga ilipocheza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba juzi, Dar.

 Akizungumza na Championi Ju­matatu, Yondani alisema hakuna bifu lolote kati yake na Ajibu huku akitaja uchochezi wa mashabiki ndiyo ume­sababisha minong’ono kuhusu tukio hilo.

 Yondani amedai kuwa ha­kumpa mkono Ajibu kama masi­hara tu, kwa kuwa siyo utaratibu wa nahodha kushikana mikono na wachezaji wakati akiwatam­bulisha.

 “Mimi Ajibu ni mdogo wangu na mara nyingi tumekuwa tuki­taniana ndani na nje ya uwanja na hilo tukio la mimi kukataa mkono wa Ajibu nilijua ni masi­hara ananiletea, ndiyo maana nikakataa kumpa mkono.

 “Kwa sababu Ajibu katika mechi zote za ligi ambazo tume­zicheza hajawahi kutupa mikono wachezaji, yeye anaishia kutut­ambulisha majina yetu na mgeni rasmi ndiyo anatupa mikono, hivyo nashangaa suala hilo lina­vyochukuliwa.

“Kama ningekuwa na bifu au chuki na Ajibu, basi nisingekuwa nampa ushauri na siyo huyo, wachezaji wengi wanafuata ush­auri kwangu kutokana na ukong­we nilionao wakiwemo baadhi Samatta (Mbwana), Msuva (Si­mon) na Banda (Abdi), hivyo niwaondoe hofu mashabiki wa Yanga katika hilo, mimi sina ugo­mvi na Ajibu,” alisema Yondani.



Championi Jumatatu, lilimtafuta Ajibu kuzun­gumzia hilo simu yake iliita bila kupokelewa lakini taarifa iliy­osambaa kwenye mitandao ya kijamii ambayo haijathibitishwa kama ni ya Ajibu, inamnukuu hivi:



“Nahisi wenzangu walinis­hangaa kuwatambulisha kwa kuwashika mkono, mara nyingi huwa hatufanyagi hivyo, Yon­dani ni kaka yangu na siyo yeye pekee pia Dante (Andrew Vice­nt), Yondani alisita na kuniam­bia hii mpya. Sina shida na kaka yangu huyu, sisi ni wadogo zake na mengi tunajifunza kwake.”

WILBERT MOLANDI, Dar es Salaam.

Tatizo la Kukosa Nguvu za Kiume Limekuwa Likiwaathiri Watu Wengi sana..Sababu na Matibabu Haya Hapa

$
0
0

TATIZO LA KUKOSA NGUVU ZA KIUME LIMEKUWA LIKIWAATHIRI WATU WENGI SANA

Wanaume wengi huathirika Kisaikolojia Hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,

Kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuazia nchi 6-7-8  unene sm 2-4 vinginevyo mtu huyu anatatizo.   

ZIPO SABABU NYINGI ZINAZOSABABISH A TATIZO HILI:

BAADHI NI:

UPUNGUFU WA vichocheo
********************
 hornen gesstrojen ambapo mwanaume anapobalehe. vichocheo hivi hornes huchochea ukuaji wa uume chango ambaro hushambulia nerva ambayo huaribu kabisa ukuaji wa uume

   PUNYETO
******************
Ambaye huathiri misuli ya uume.


 NGIRI
*****************
Anbayo huleta maumivu ya tumbo na kuunguruma na kujaa gesi na kutopata choo vizuri

Vilevile kuna kisukari presha maumivu ya kiuno mgongo nk.

wanauume wengi wamekuwa wakiteseka sana na tatizo hili bila kupata tiba sahihi ya kutibu tatizo hii:


     SUPER SHAFT
***********'***********
Ni dawa ya mitishamba nyenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume maradufu. Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 pia inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa

 NYATI POWER
*********************
 Inarefusha na kunenepesha maumbile madogo ya kiume kuazia ichi 1-8 unene  sm 2-4

  Wasiliana na:
DR  ISAYA kwa namba:
📞0745495181
📞0682644040
____________________________
ANAPATIKANA DSM, OFISI YETU IPO MAGOMENI  KANISANI,
*************************
 TUMAINI HEBARIT CLINC MIKOANI UTAPATA HUDUMA HII,
KARIBUNI SANA

Fatma Karume aeleza sababu za kuachana na Urais TLS

$
0
0

Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Fatma Karume ameweka wazi sababu za kutowania tena nafasi hiyo katika uchaguzi ujao.

TLS inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais, Aprili mwaka huu ikiwa ni mwaka mmoja baada ya kufanyika kwa uchaguzi huo. Fatma alipokea kijiti cha nafasi hiyo kutoka kwa Tundu Lissu, Wakili na Mbunge wa Singida Mashariki.

Fatma Karume amesema kuwa hataweza kushiriki katika uchaguzi huo mwaka huu kwani washirika wake katika biashara wanamhitaji.

“Ni kweli sitoshiriki. My partners want me to dedicate my time in our business (washirika wangu wanataka nitumie muda wangu kwenye biashara yetu),” Fatma aliiambia Nipashe.

Fomu za uchaguzi huo zimeshachukuliwa na watu kadhaa wamejitokeza kuwania nafasi hiyo, huku jina la Fatma likikosekana kwenye orodha ya majina hayo.

Wakili huyu msomi, ameandika historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa Rais wa TLS tangu kuanzishwa kwake mwaka 1954.

Polisi aliyetoa amri 50 Cent apigwe risasi kusomeshwa namba

$
0
0

Kamanda wa Idara ya Polisi ya New York nchini Marekani, Emanuel Gonzalez anachunguzwa kwa tuhuma za kuwataka askari wake kumpiga risasi rapa 50 Cent pindi watakapomuona.

Kwa mujibu wa New York Daily News, 50 Cent na kamanda huyo walikuwa na mtafaruku wa siku nyingi.

Gonzales anadaiwa kutamka hayo Juni 7, 2018 alipokuwa katika eneo la kuhesabu namba, muda mfupi kabla ya 50 Cent kutaka kuingia katika eneo hilo kuangalia mchezo wa masumbwi ulioandaliwa na jeshi la Polisi.

“Inspekta alisema hayo wakiwa kwenye eneo la kuhesabia namba,” chanzo kimoja kiliiambia Daily News.

Gonzalez anadaiwa kujaribu kuipundua kauli hiyo na kuifanya kuwa utani, lakini taarifa hiyo iliyochukuliwa kwa umuhimu imesambaa kwa kasi.

Jana, rapa huyo alionesha kukasirishwa na kitendo kilichofanywa na Gonzales na aliahidi kumchukulia hatua za kisheria.

“Hivi ndivyo nilivyoamka leo asubuhi. Huyu mtu Emanuel Gonzales ni askari mchafu anayetumia madaraka yake vibaya. Kinachosikitisha ni kwamba huyu mtu bado yuko ofisini na ana beji na bunduki. ninayachukulia kwa umakini mkubwa haya na nawasiliana na mwanasheria wangu ili tuone kinachofuata,” 50 aliandika kwenye Instagram na Twitter.

Wema Sepetu apewa ruksa nyingine kwenye Filamu ”Sihitaji kurudi nilipotoka”
Mwezi mmoja uliopita, Gonzales aliwahi kufungua mashtaka ya unyanyasaji dhidi ya 50 Cent.

Mfahamu Mtanzania Aliyeigiza wenye Game of Throne

$
0
0

Imezoeleka kuona watu wa kutoka mataifa mengine wakifanya vizuri kwenye tasnia ya filamu duniani kupitia kiwanda cha filamu nchini Marekani Hollywood, lakini ni mara chache sana kuona watu kutoka Afrika wakifanya vizuri.


Hii imekuwa tofauti sasa, kwani hata Tanzania ambayo imezoelekea kukaa nyuma kwenye tasnia ya burudani dunaini, imefanikiwa kupenyeza mtu na kuipeperusha vyema bendera ya nchi, japokuwa sio moja kwa moja.

Anaitwa Lucian Gabriel Wiina Msamati, aliyezaliwa Machi 5 1976 huko Uingereza, na wazazi wake ni Watanzania kabisa, baba na mama yake, ambao walikuwa na wahudumu wa afya, akiwa mtoto wa kwanza kati ya watoto wanne.  Elimu yake ya msingi aliipata hapo Olympio jijini Dar es salaam, na kisha wakahamia Harare Zimbabwe, na kusoma katika shule ya Avondale, kisha kuendelea na elimu yake ya juu huko huko Zimbabwe.

Baada ya hapo Msamati alianza kazi kwenye 'media' kama mwandishi wa habari wa kujitegemea na kwenye kampuni mbali mbali za matangazo, huku akijihusisha na sanaa za majukwaani (theatrical).

Alipoanza kupata mafanikio kwenye sanaa ya filamu, Msamati alipata deals mbali mbali za kuigiza kwenye filamu kubwa kama Doctor Who, Luther, na Game of Throne ambayo bado inaendelea kutengenezwa muendelezo wake.

Kwa sasa Msamati amehamia nchini Uingereza na anaishi huko, tangu alipofanya uamuzi huo mwaka 2003, na kufanya kuwa mmoja wa waigizaji wakubwa wenye asili ya Tanzania, ambao nchi inapaswa kujivunia.

 Manchester United yakabiliwa na deni kubwa | East Africa Television
Kuelekea mchezo wa kombe kongwe zaidi nchini England na pengine duniani kwa ujumla (FA Cup), kati ya wenyeji Chelsea dhidi ya Manchester United, Man United wanakabiliwa na deni la kulipa mbele ya Chelsea.

Tumia Super Mkunyati Dawa Yenye Uwezo wa Kutibu Matatizo ya Ukosefu wa Nguvu za Kiume

$
0
0


SUPER MKUNYATI MIX; ni dawa bora ya mitishamba iliyopo katika mfumo wa vidonge na unga yenye uwezo wa kutibu na kumaliza matatizo yote ya ukosefu wa nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile:-

  -kuwai kufika kileleni ndani ya dakika chache tu.
 -Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa muda mrefu.
 -Kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu(punyeto) husababisha kuishiwa au kupungukiwa na nguvu za kiume.
 -Uume kusimama kwa kulegea au katikati ya tendo la ndoa unalala na kushindwa kusimama.
Epuka matatizo haya kwa kutumia dawa bora ya asili ya SUPER MKUNYATI MIX ni kiboko ya matatizo haya yanayowasumbua baadhi ya wanaume wengi.
Pia kuna dawa ya kutibu Presha,miguu kufa ganzi, tumbo kuuma chini ya kitovu, kisukari,ngiri, chango aina zote na nk, matatizo haya nayo uchangia matatizo haya ya ukosefu wa nguvu za kiume na kuwa na maumbile madogo na uume mfupi.

KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA MAUMBILE MADOGO NA UUME MFUPI?  Usikate tamaa ondoa maradhi yako  hayo maana matatizo haya yamekuwa yakiathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti na sana na wanaume wengine kwa kushindwa kumlizisha mwanamke. Kawaida mwanaume anatakiwa  kuwa na Uume kuanzia inch.5 hadi 8 na unene wa cm4 za upenyo, vinginevyo mtu huyo anamapungufu katika mwili wake ivyo anatakiwa kuwai tiba kwa kutumia MDINDADINDA MIX, ni dawa ambayo inarefusha na kunenepesha maumbile na itakufanya uwe na uume saizi uipendayo.Dawa hizi za asili za mitishamba zipo katika mfumo wa vidonge na unga na hazina madhara kwa mtumiaji.
JABABILA;- ni dawa ya mvuto wa mapenzi ,mchumba, mke, mume aliyekuacha atakurudia ndani ya siku moja tu na atakutimizia utakacho.

ITALIGULA;- ni dawa ya biashara  na hata kama umezurumiwa utalipwa mapema ,kupata kazi, kupanda cheo. Ofisi zetu zinapatikana DAR ES SALAAM, SONGEA - BOMBAMBILI, SHINYANGA - KAHAMA MJINI. na pote pale ulipo utaipata huduma hii,kama huna nafasi utaletewa hulipo.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR. MACHIMKENDA simu no, 0717339771

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya leo Jumanne ya February 19

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya leo Jumanne ya February 19

Maskini..Familia ya Ruge Yajitokeza na Kusema "Gharama za Matibabu ya Ruge ni Kubwa Mno" Waomba Msaada

$
0
0

Familia ya aliyekuwa mkurugenzi wa vipindi Clouds Media RUGE MUTAHABA, amefunguka na kusema kuwa matibabu ya mgonjwa huyo ambae yuko Afrika ya kusini imekuwa kubwa sana wa siku inaweza kufika kaisi cha shilingi milion 5 hadi 6 kiasi kwamba inakuwa ngumu kama familia kuweza kumudu swala hili peke yao

Kaka wa Ruge anasema kuwa wanashukuru kwa sababu watu mbalimbali wamekuwa wakijitahidi kwa ajili ya kumsaidia hasa kipindi wanaanza matibabu , lakini kuna nguvu ya ziada katika pesa inahitajika kwa ajili ya kupata pesa ya matibabu kwa ajili ya mgonjwa.

Gharama za matibabu kwa kule ni kubwa inaweza kufika mpaa milion 5 , au 6 kwa siku, pamoja na wamba hata Mh rais Magufuli aliwahi kutoa pesa kwa ajili ya matibabu lakini  gharama zimekuwa kubwa sana

Wema Sepetu Akanusha Vikali Kukatwa Utumbo

$
0
0

Mwanadada Wema sepetu amefunguka na kukanusha taarifa zinazosambaa siku nyingi katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa alikwenda nje ya nchi kwa ajili ya kuata utmbo ili kupunguza unene na uzito.

Hata hivyo maneno hayo yanakuja baada ya mwana dada wema sepetu kuoneana alipungua mwili kila siku kiasi kwamba mashabiki zae wamekuwa wakipata wasiwasi na afya yamsanii wao.

Wema anasema kuwa kitu kikubwa kilichomfanya kwenda nje ni kwa ajili ya kuangaika swala lake la kupata mtoto na hata alipoenda huku aliambiwa kuwa anatakiwa kupunguza mafuta ili aweze kupata  mtoto kwa sababu mara nyingi hata mafuta usababisha kukosa kupata mimba.

Wema anasema kuwa kinachomfanya akonde kila siku ni stress za hapa na pale lakini pia amekuwa akinywa dawa ambazo zinamsaidia kupunguza uzito  na kupunguza mafuta pia.

Utumbo wangu mimi sijawahi kukataam wala kupunguza, nilivyosafiri na kwenda India, nilienda kwa sababu ya tumbo langu lakini niliambiwa kuwa mara nyingi kukosa mtoto husababishwa na Mafuta.Hivyo nilipewa vidonge kwa ajili ya kupunguza mwili na mafuta.

Share

Batuli Amjibu Mange Baada ya Kumuombea Msamaha Baba Yake

$
0
0

Msanii wa bongo movies Batuli amefunguka na kumjibu Mange Kimambi kuwa pamoja na kwamba wao wamekuwa wakiumia na taarifa za kuumwa kwa baba mzazi wa Diamond Platinumz haimanishi kuwa hata huyo diamond hajui habari za baba yae lakini swala linakuja kuwa kuna watu wangapi ambao wamtelekeza wazazi wao lakini hawajawashikia mabango na kuwakumbusha wajibu wao.

Batuli anasema kuwa mange angeachana na habari hizo kwa sababu kuna watu kibao mitaani kwahiyo wasimuonee Diamond kwa sababu ni mwanamuziki na ndio maana wameweza kumuandama na swala hilo.

katika ukurasa wake wa instagram, batuli an;liandika hivi “


Mambo 5 Ambayo Wanawake Wanatamani Mwanaume Ajue Wakati wa Kufanya Mapenzi

$
0
0

Hivi ni baadhi ya vitu ambavyo wanawake hutamani sana wanaume zao wawe wanajua katika mapenzi, ili wasipate shida ya kumwambia mara kwa mara, jambo ambalo si wanawake wengi huwa uwezo wa kumwambia mtu, hapo ndipo unakuta mara nyingi mwanamke anaanza kuchepuka na kwenda kwa mtu mwingine wa kawaida tu kupata mahitaji yake baada ya kuona kile anachokitaka hakipati kwa mpenzi wake.

Yafuatayo ni mambo matano ambayo wanawake wanapenda waume zao wayafanye:

1. Wanawake wanapenda ufuate wanayoyataka
Katika mapenzi wanawake wanapenda ufanye kile wanachokitaka japo ni vigumu kujua mwanamke anapenda nini. Kwa hiyo kama ni vigumu kujua kitu gani anapenda basi ni vizuri kuwa makini na kugundua ni kitu gani hapendi ili usimfanyie ambacho hapendi na ufanye anachopenda. Japokuwa si wanawake wote wanaweza kukwambia ni nini hasa kinawauzi, kuogopa kukuudhi, hivyo inawafanya wapate shida sana na kuweka maisha yao yawe magumu. Kwa sababu hiyo wewe kama mwanaume unapaswa kuwa makini na matendo yao ili kujua tofauti ya vitu ambavyo hawapendi na vile vinavyowapa furaha. Kisha fanya vile wanavyovipenda.

2. Hupendelea tendo la ndoa lidumu muda mrefu
Wanawake hupenda tendo la ndoa lidumu walau kwa dakika mbili. Na wanatamani ikiwezekana hata ikibidi ifanyike siku nzima. Sio muda tuu ndio muhimu bali hata kile unachofanya. Wanaume wengi kujali kujizuia, ilimradi wakae muda mrefu katika tendo, lakini kutokana na tafiti hili sio sababu, wanawake wengi hupenda zaidi ya muda mrefu, hupenda kuungana na wewe kihisia kupitia kushikana, kubusu nakadhalika. Wakati wanaume wengi huwa hawafanyi na kukazania tu kukaa muda mrefu kujua kuwa ndio wanawake wanachotaka. Kwa hiyo wanapenda tendo la ndoa lidumu lakini lisichoshe.

3. Wanataka mwanaume jasiri sio anayetumia nguvu
Wanawake wanataka wanaume walio jasiri wa kufanya nasio wanaotumia nguvu na ubabe. Wanaume wengi huwa hawajui tofauti ya ujasiri na kutumia nguvu, hivyo wasikiapo kuwa inabidi uwe na ujasiri wanadhani kuwa kuna kutumia nguvu na mwisho kuwaumiza wapenzi wao, wanawake wengi wamekuwa wakikerwa na kuogopeshwa na mambo ambayo hufanyiwa na wanaume zao, kipindi ambacho wanaume wakufikiri kufanya hivyo ni kuwa na ujasiri. Wanawake hutamani sana wanaume wangejirekebisha na kujua maana halisi ya kuwa na ujasiri kwamba sio kutumia nguvu na ubabe.

4. Wanawake hawafanani
Wanawake wanapenda wanaume wajue kuwa sio wanawake wote hupenda vitu sawa. Wanaume wengine hufikiri kuwa kwa sababu mpenzi wake wa zamani alikua anapenda kufanyiwa alikuwa basi na huyu wa sasa atakuwa hivyo hivyo, hii inatokea kuwachanganya sana wanawake, na kukereka kwa baadhi ya mambo, huku mwanamke akiwa hana jinsi bali kuvumilia tu, na mwisho wa siku ndio unakuta, ananza kutafuta njia ya kukukwepa. Kwa hiyo mwanamme anatakiwa amjue mpenzi wake kibinafsi yeye kama yeye na sio kumjua kwa kumfananisha na wanawake wengine. Mwanamme amfanyie mpenzi wake kama anavyopendelea na sio kama anavyofikiri wanawake wanapendelea.

5. Kumfurahisha mwanamke sio ufundi tu bali ni mapenzi ya dhati
Wanawake wanapenda kuonyeshwa upendo au mapenzi ya dhati. Wanawake wengi hukubali kuwa kuna wanume wenye ufundi na uzoefu katika haya mapenzi, ila wanasema hiyo sio kitu bora zaidi, wanachokitaka ni mapenzi, kuonyesha mapenzi na dalili zote za kumjali ndio jambo muhimu sana. Mapenzi ni kichocheo kikubwa cha kumridhisha mwanamke.

Mawaziri 8 Wajitosa Mgogoro wa Ardhi kati ya JWTZ na Wananchi Jijini Mwanza

$
0
0

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ambaye ni mwenyekiti wa kamati maalumu ya kushughulikia migogoro ya ardhi, amewataka wakazi wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza wenye migogoro ya ardhi na taasisi za jeshi na uwanja wa ndege kuwa watulivu, baada ya Rais John Magufuli  kuagiza umalizwe.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Shibula wilayani humo, Lukuvi alisema Rais ameunda kamati hiyo kwa ajili ya kusikiliza mgogoro wa mitaa 11 na kupata ufumbuzi ambao utawezesha wananchi kulipwa fidia.

"Hapa Mwanza mgogoro ni mkubwa sana baina ya Uwanja wa Ndege, Jeshi la Wananchi (JWTZ) na wananchi ambao unahusisha mitaa 11, ndio maana sisi tumekuja hapa kuangalia maeneo yote ili kupata taarifa sahihi za taasisi hizo na wananchi ili tupeleka kwa Rais na kumshauri kutangaza kuwa wafuatao wataishi katika maeneo hayo milele,” alisema Lukuvi.

Aidha, aliwataka wananchi wa maeneo husika walioambiwa wasiendeleze wabaki hivyo hivyo wasijenge, ingawa serikali imesitisha shughuli za kuwaondoa.

"Tumepata taarifa nzuri kutoka kwa pande zote mbili na nyaraka za taasisi na wananchi tumezipata, hivyo tutaenda kukaa na kutoa maamuzi yaliyo na tija kwa jamii, maeneo mengi tumepita migogoro mingi ni ya vijiji na hifadhi, lakini hili la Mwanza limekuwa tofauti,” alisema Lukuvi.

Lukuvi alisema migogoro ya ardhi haitaisha katika wilaya za Ilemela na Nyamagana kutokana na kushindwa kupima ardhi, hali iliyosababisha wananchi kuvamia maeneo kutokana na uzembe wa halmashauri hizo.

Akisoma taarifa ya mitaa mitano ya Kata ya Shibula, Katibu wa Kamati ya kushughulikia migogoro Robert Luzili, alisema uwanja huo wa ndege ulihamishwa kutoka Sabasaba mwaka 1952 hadi 1958, ukajengwa eneo la Kisaka Kata ya Ilemela na wananchi kufidiwa kwa kulipwa na serikali katika vitongoji vya Kisaka, Bukungu na Buduku.

"Sisi hatuna pingamizi lolote juu ya kuhamishwa endapo serikali itatulipa fidia na kutuonyesha maeneo halali ya kujenga, maana mpaka sasa tunamaisha ya shida, tumeshindwa hata kuendele kimaisha nyumba taturuhusiwi kujenga wala kulima tunamwomba Rais atatulie tatizo hilo,” alisema Luzili.

Katika ziara hiyo ya mawaziri nane ambao walifuatana na Lukuvi ni Luhaga Mpina (Mifugo na Uvuvi); Hussen Mwinyi (Ulinzi na JKT); Prof. Makame Mbarawa (Maji na Umwagiliaji); Hamisi Kigwangalla (Maliasili na Utalii); Selemani Jafo (Tamisemi); manaibu mawaziri Omary Mugumba (Kilimo) na Mussa Sima (Mazingira).
Viewing all 109490 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>