Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Yatupwa Nje AFCON U20, Ikisubiri Kukamilisha Ratiba Dhidi ya Misri

Mabingwa wa CECAFA 2024, Ngorongoro Heroes imetupwa nje kwenye mashindano ya Afcon U20 yanayoendelea Misri baada ya kupoteza michezo mitatu ya hatua ya makundi huku ikibakiwa na mechi moja mkononiIkiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGAILA: Mbowe Hakutaka Chadema Igawanyike Kabisa, Lissu Alianza Kutugawa...

KIGAILA: Mbowe Hakutaka Chadema Igawanyike Kabisa, Lissu Alianza Kutugawa Baada ya Kushinda"Sisi tumeamua wote kwa pamoja tunajiondoa Chadema ili tuwaachie hicho chama waendeshe wanavyotaka kwasababu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpenzi Wangu Alioa Mtu Mwingine Siku 2 Kabla ya Harusi Yetu Kilichofuata...

Harusi yetu ilikuwa imetangazwa, kadi zimesambazwa, na kila mtu alijua mimi na Edwin tungekuwa mume na mke. Nilikuwa na ndoto ya kuvaa shela jeupe, kutajwa kama “bi harusi” na kusherehekea siku hiyo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING: Timu Yote iliyokuwa Ikimuunga Mkono Mbowe Yajiondoa Chadema

"Sisi tumeamua wote kwa pamoja tunajiondoa Chadema ili tuwaachie hicho chama waendeshe wanavyotaka kwasababu sisi hatuwezi kuwa sehemu, hatuwezi kuwa wanachama wa Chama ambacho maamuzi yake hayafanywi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KMC Yamfuta Kazi Kocha Ongala Mwenendo Mbovu wa Timu Watajwa

Timu ya KMC ya Kinondoni, Dar es Salaam imeamua kuachana na kocha wake, Kally Ongala kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu hiyo katika Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.Uamuzi huo umefanyika baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaizer Chiefs Hawapoi Kwa Feisal, Watuma Offer Nyingine Kubwa Kwa Feisal Salim

Kwa mara ya kwanza, Kaizer Chiefs walituma ofa iliyotajwa kuwa ni $386,000 (Dola 368,000) sawa R7 milioni kwa Azam ili kumnunua Feisal Salum, taarifa kutoka Afrika Kusini zimeripoti.Azam, hawakuonesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Kabudi Aigaragaza Yanga Bungeni, Wanachotaka Haiwezekani Wasipocheza...

Siku ya Leo jijini Dodoma kumewaka moto ikiwa ni sehemu ya vikao kwa ajili ya bajeti ya wizara ya Sanaa Michezo na Burudani. Katika Moja ya vivutio vikubwa ndani ya bunge ilikuwa la kutambulishwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchaguzi wa Papa, Moshi Mweusi Waonekana, Bado Papa Hajachaguliwa Kwenye...

 Saa 3 usiku kwa saa za Roma, moshi mweusi ulipanda kutoka kwenye bomba la Sistine Chapel, kuashiria kuwa hakuna Papa mpya aliyechaguliwa kwenye siku ya kwanza ya #Conclave.Muda mfupi kabla ya hapo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unaambiwa Siku ya Derby 15 June 2025 Yanga Itacheza na Rayal Sports ya Rwanda

TETESI 🚨 Klabu ya Young Africans imealikwa kwenye ufunguzi wa moja ya viwanja vitakavyo zinduliwa inchini Rwanda 🇷🇼 15 June, 2025 🙌🏼Rais wa Young Africans inasemekana amekubali waliko huo ambapo Young...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia Atangaza Kifo cha Mzee Cleopa Msuya Aliyewahi Kuwa Waziri Mkuu wa...

Rais Samia Atangaza Kifo cha Mzee Cleopa Msuya Aliyewahi Kuwa Waziri Mkuu wa TanzaniaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza...

View Article

Ibraah Afunguka: Nimemshtaki Harmonize Basata, Watu Hawajui Ninayoyapitia

 Ibraah afunguka: Nimemshtaki Harmonize Basata, watu hawajui ninayoyapitia

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fei Toto Kurejea Jangwani, Yanga Tumbo Joto....Mastaa Matatani

 Yao kouassi, maarufu kama jeshi alianza kupona lakini inaelezwa amepata majanga mengine eneo alioumia linawezakukaa njee kwa muda zaidi.Yanga ina subiri repoti ya madaktari wa klabu ilikufahamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PYRAMIDS Wana Fiston Mayele Sisi Yanga Tuna Clement Mzize

Pyramids Wana Mayele Sisi Yanga Tuna Clement MzizeAlianza kupata nafasi ya kucheza chini ya Nasreedine Nabi wakati huo namba 9 ni MAYELE ambaye alikuwa bora sana hivyo kocha wakati huo alikuwa anampa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI Cha SIMBA Vs Pamba Jiji Leo Tarehe 08 May 2025

KIKOSI Cha SIMBA Vs Pamba Jiji Leo Tarehe 08 May 2025Mei 8, Simba itakuwa mwenyeji wa Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ya Tanzania Bara. Mechi hiyo inatarajiwa kuanza saa 16:00 kwa saa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO Simba Vs Pamba Jiji Leo Tarehe 08 May 2025

MATOKEO Simba Vs Pamba Jiji Leo Tarehe 08 May 2025Mei 8, Simba itakuwa mwenyeji wa Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ya Tanzania Bara. Mechi hiyo inatarajiwa kuanza saa 16:00 kwa saa za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuelekea Mechi ya Final ya Klabu Bingwa CAF, Hii Hapa Ahadi Kubwa ya Rais...

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongeza zawadi ya fedha kwa klabu ya Simba SC kupitia mpango wa “Goli la Mama”, sasa wachezaji watapokea Shilingi milioni 30 kwa kila bao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amuua Mwenza Wake Madai Kumuambukiza Ukimwi

Kamanda wa Polisi mkoani humo,  Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Pius Lutumo.Kamanda wa Polisi mkoani humo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Pius Lutumo.Jeshi la Polisi Mkoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nilikopa Kufanikisha Ndoto Yangu Lakini Nikapoteza Kila Kitu Mpaka Pete ya...

 Wakati fulani, nilikuwa na ndoto kubwa ya kufanikiwa katika biashara. Nilijua kuwa ni lazima nipige hatua ili kufikia malengo yangu, na hivyo nilijitolea kwa nguvu nyingi. Nilijua kwamba ili kutimiza...

View Article

Abby Charms Atajwa Kuwania Tuzo za BET Kama Msanii Mpya wa kimataifa

Abigail Chams ameteuliwa kuwania tuzo ya Best New International Act kwenye #BETAwards2025, akiwa miongoni mwa wasanii 10 kutoka mataifa mbalimbali duniani.Ili kumsaidia kushinda, tembelea ukurasa wa...

View Article

Lava Lava Ajitoa WCB na Kuanza Kujitegemea, Baba Levo Aandika Haya kumtakia...

 Lava Lava ajitoa WCB na kuanza kujitegemea, Baba Levo aandika haya kumtakia kila la kheri

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Papa Mpya Apatikana, Moshi Mweupe Watoka

Kadinali wa Marekani Robert Francis Prevost ametangazwa kuwa Papa Mpya na atajulikana kama Papa Leo XIV.Imekuwa muda mrefu tangu kuwe na papa mwenye jina hili: Leo wa mwisho, Leo XIII, alichaguliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Robert Prevost ni Nani? Mfahamu kwa Undani Papa Mpya Leo XIV

 Robert Prevost ni Nani? Mfahamu kwa Undani Papa Mpya Leo XIVHata kabla jina lake halijatangazwa kutoka kwenye roshani ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, umati wa watu uliokuwa chini ulikuwa ukiimba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la Tanzania Lapinga Maazimio ya Bunge la Ulaya

 Bunge la Tanzania Lapinga Maazimio ya Bunge la UlayaBunge la Tanzania limepinga vikali baadhi ya maazimio yaliyotolewa na Bunge la Ulaya kuhusu masuala ya kisiasa na kijamii ya ndani ya nchi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Niligundua Mpenzi Wangu ni Shoga Baada ya Kuchumbiana Kwa Miaka Miwili

Unaweza kuwa katika uhusiano wa kimapenzi,ilhali haufahamu tabia za mpenzi wako, kwani amekuwa akificha tabia zake.Katika kila uhusiano ni vyema kufahamu mpenzi wako vyema, ili uhusiano wenu hudumu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

John Mnyika : Mbowe Hagombei Urais Wala Ubunge

 Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema amewasiliana na Mwenyekiti Mstaafu wa Chama hicho Freeman Mbowe na ameeleza kuwa hana dhamira ya kugombea Urais, Ubunge au uongozi wa Chama chochote cha...

View Article



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>