Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109651 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yamtuhumu Balozi wa Uingereza

 Serikali imetangaza rasmi mgogoro wa kidiplomasia kati yake na Balozi wa Uingereza nchini ikimtaka kujieleza kwa madai ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi.Mgogoro huo ulitangazwa bungeni mjini Dodoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shaa Naye Atupia Picha Akiwa Kwenye Bikini Kwa Mara ya Kwanza

Kama unam-follow kwenye instagram @Shaa_tz basi utakuwa umesha like au kuona jinsi comment na like nyingi zinazopata picha hizi.Sarah Kaisi amepost picha mbili akiwa kwenye boti...Any Comment?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Venessa Mdee Afunguka Kwanini Aliacha Kufanya Kipindi cha The One Show,...

Venessa Mdee hajawai kusema sababu ya kuacha kufanya The One show ambayo alianza hadi ku-shoot. Hivi sasa amesema sababu hiyo akimhusisha George Tyson kama mtu aliyempa moyo kwenye maamuzi yake Soma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mboni Afunguka Kuhusu George Tyson 'Yaani Zile Ahadi Zote Ulizonipa Kumbe ni...

Kazi kubwa ya George Tyson ilikuwa ni ku-direct vipindi vya TV vya Mboni Show na Vingine vingi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TID adai kitu ambacho hawezi kukisahau kwenye maisha yake ni kwenda jela

Mnyama TID amesema kitu ambacho hawezi kukisahau katika maisha yake ni kwenda jela.“In fact time ambayo nilipata fight nikaenda jela, I was down ,nimeenda jela , so it’s like falling down,” alikiambia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manchester United Yammendea Kiungo wa Real Madrid Kwa Dau La £25m

Klabu ya Manchester United ipo tayari kutoa kiasi cha £25million kwaajili ya kumsajili Angel Di Maria baada ya winga huyo kukiri anaweza kuiacha Real Madrid.Kwa mujibu wa mtandao wa Merto Sport,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhadhiri UDSM Ndio Rais Mpya wa Malawi

Kwa ushindi wa Profesa Mutharika katika kiti cha urais wa Malawi, anaongeza idadi ya jamii ya wasomi waliopitia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ama wakiwa wahadhiri au wanafunzi, kwani alifundisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mastaa Mbali Mbali Walipokuwa Hospitalini Wakisubiri Mwili wa Marehemu Tyson

Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere, akiwasili katika Hospitali ya Kairuki kusubiri mwili wa marehemu. Steve alivalia tisheti yenye ujumbe 'Why always me'Mke wa marehemu Tyson, Beatrice Shayo akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Movie ya Kibongo Ambayo Nimeangalia Nikatoa Machozi ni Hii Hapa , Wewe Je ?

Huyu Gabo Muuza Maji kwenye Hii Movie ni Kibako , Nimeipenda sana hii Movie Kuna Sehemu mpaka nimetoa Mchozi...Je wewe ni Movie Gani ya Kibongo Ambayo imewahi kukugusa?

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa Miaka Mitatu Amuua Mdogo Wake kwa Risasi

Payson Ariz, mtoto wa kiume wa miaka mitatu amemuua mdogo wake wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kwa kumpiga risasi.Mtoto huyo alimuua mwenzake baada ya kukuta mfuko wa silaha hiyo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Mzazi Wa Zitto Kabwe Amafariki Dunia Baada ya Kuugua kwa Muda Mrefu

Siku ya Leo Mbunge Zitto Kabwe Amempoteza mtu muhimu sana katika Maisha yake ambaye ni Mama yake Mzazi aliyekuwa Akimuuguza Muda Mrefu sasa, Zitto Ameconfirm kupitia ukurasa wake wa Facebook na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking Newzz: Masikini! Yule mtoto aliyefichwa Ndani ya Boksi kwa Miaka 4...

MTOTO Nasrah Rashid (4) aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu kwa kufungiwa kwenye boksi miaka minne amefariki dunia. Nasrah alifichwa kwenye boksi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ommy Dimpoz Amefunguka na Kudai Kuwa Mitandao ya Kijamii Imempa Mchumba

Ommy amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa yeye na msichana huyo waliweza kukaa kwa muda wa mwaka mmoja wakichati bila kuonana.“Social network zilisaidia kutuunganisha lakini matokeo yake mpaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C Alitamani Penzi la Babu Kizee…Adai Kuchoshwa na Vijana

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia 60.Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matokeo ya Tanzania vs Zimbabwe na Wafungaji Magoli – Ingia Hapa

Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imefanikiwa kuvuka hatua ya kwanza ya michuano ya kuwania kucheza michuano ya kombe la mataifa huru ya Afrika linalotarajiwa kufanyika mwakani.Stars leo ilikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Rasmi ya Yanga Kuhusu Uenyekiti wa Manji na Kocha Maximo Hii Hapa

Mkutano Mkuu wa marekebisho ya baadhi ya vipengele kwenye Katiba ya Yanga umefanyika na kumalizika salama na furaha kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi -Oysterbay huku wanachama wakipitisha kipengele cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tabia Kumi Mbaya Ambazo Zinazokufanya Ushindwe Kutunza Hela na Kubaki...

1.Unanunua nguo bila mpangilio..Kuna watu wana nguo kama duka. Plz Kuwa nanguo chache Tu huwezi kushindana na fashion.2.Unanunua Viatu bila mpango.Viatu pia vinameza savings zetu. Nunua peachache zenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS kicked out of hotel in Zimbabwe

Tanzania's national football team, Taifa Stars on Thursday was kicked out of the hotel they were booked in ahead of their crucial return leg against Zimbabwe this Sunday, it has been reported. This is...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sinta Kaa Nimwamini Mganga Yoyote wa Mapenzi Baada ya Hili Kunitokea

Nakumbuka nilipokuwa darasa la 4 nilitokea kumpenda dada mmoja alikuwa anaitwa Rusi. Nilihangaika sana namna ya kumpata lakin nilikuwa naogopa kutongoza kipindi hicho. Ikabidi nimweleze kaka mmoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwigulu Nchemba: "Nataka Niwe Rais ili Niwafundishe Adabu Watanzania!"

Leo jioni, mjini Iringa kwenye viwanja vya Mwembetogwa, Mh Mwigulu Nchemba alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, alisema kuwa Watanzania wana uhuru mkubwa sana wa kuongea mpaka wanakosa adabu hata...

View Article
Browsing all 109651 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>