Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REPORT MPYA YA KUHUSU SHAMBULIO LA WESTGATE NAIROBI ILIYOTOLEWA NA MAREKANI

Magazeti ya Marekani yameripoti kuwa shambulizi lililofanyika nchini Kenya kwenye jumba la Westgate Naiorbi lilifanywa na watu wasiozidi wanne tu ambapo ripoti hiyo iliyofanyiwa uchunguzi na kitengo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WAZIDI KUMWANDAMA WAZIRI MKUU PINDA

Mzimu wa kung’olewa unazidi kumwandama Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR), akitaka Bunge lipige kura ya kutokuwa na imani naye.Akizungumza bungeni mjini Dodoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMEGUNDUA MKE WANGU ANAVUTA SIGARA KUBWA (BANGI)

The beautful wife of mine smook weed. Jamani juzi kati nimembamba mke wangu akiwa analipuliza. Tena alipo niona wala hakushtukakwa mapoozi akaendelea kulikoka.. ahh! mi nikazani sigara kwani huwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA KUSINGIZIWA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA BRAZIL ASHA BUI AONEKANA...

Mwigizaji wa filamu za kibongo aliyesemekana kuwa amekatwa nchini brazil akiwa na madawa ya kulevya Aisha Bui ameonekana nchini hivi karibuni akiwa kwenye salooni ya mwanadada mwingine muigizaji Nisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA BURUDANI LAPATA AJALI MBAYA LIKITOKEA KOROGWE KUELEKEA JIJINI DAR

Hospitali ya wilaya ya Korogwe.Majeruhi wakipatiwa matibabu.Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto) akiangalia mmoja wa majeruhi akipatiwa matibabu.Manesi wakiendelea na matibabu kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘SAUZI’ YAMTAFUTA MKALIMANI FEKI WA VIZIWI KWENYE IBADA YA KUMKUMBUKA MANDELA

AFRIKA Kusini inamtafuta mkalimani feki wa kutumia ishara za viziwi ambaye alishindwa kufasiri walichokisema viongozi mbalimbali kutoka duniani wakati wa ibada ya kumkumbuka  aliyekuwa rais wa nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRODYUZA ALIYEFUKUZWA NA WEMA AFUNGUKA "WEMA ALITAKA NIWE KUWADI WAKE

BAADA  ya kudaiwa kufanya ngono katika magari ya Kampuni ya Endless Fame inayoongozwa na Wema Issac Sepetu, Prodyuza, Rashid Mohammed ‘Chid Classic’ amefunguka na kusema chanzo cha yote ni mshahara  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA"KAMA IKITOKEA LEO HII NIKAVULIWA UWAZIRI MKUU NA RAISI NITAFURAHI SANA"

Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameliambia Bunge muda mfupi uliopita  kwamba kama ikitokea Rais akamng'oa katika nafasi yake ya uwaziri mkuu, yeye  atafurahi sana  kwa kuwa kazi anayoifanya ni mzigo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO AKATA RUFAA KUPINGA MAAMUZI YA CHADEMA KUMVUA UONGOZI

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe (MB) amewasilisha barua ya kupinga uamuzi wa Kamati Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa kumvua nafasi zake za uongozi ndani ya chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEMA "ZITTO NIPE MAJINA YA WATU WAALIOFICHA HELA USWIZI NIKUSAIDIE KUYATAJA"

Dodoma, Tanzania. Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wakati akichangia  taarifa ya Kamati ya Sheria na Katiba muda mfupi uliopita  amemtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazni Zitto Kabwe kumkabidhi AG majina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WAJINGA USEMA KWAMBA CCM NDIO ILILETA UHURU TANGANYIKA" PROF MBELE

Kiwango cha ujinga Tanzania kinatisha. Utawasikia wengi wakisema kuwa CCM ilileta Uhuru Tanganyika mwaka 1961.Wajinga wengine, kuanzia wanasiasa hadi watu wa mitaani, husema kuwa CCM imekuwa madarakani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE WAJUA KUWA INSTAGRAM INAKUWA HARAKA KULIKO TWITTER..MASTAA WA BONGO...

Facebook, Twitter na Instagram ndio mitandao ya kijamii inayotawala maisha ya mtandaoni kwa watu wengi duniani. Hadi sasa Facebook ina watumiaji bilioni 1 duniani kote, Twitter ikiwa na watumiaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASIKINI:KILIMANJARO STARS YAIKOSA NAFASI YA 3 YA CECAFA

Timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imeshika nafasi ya nne michuano ya Kombe la CECAFA 2013 inayofanyika nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Zambia kwa penalti 6-5.Mchezo huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MPYA WA YOUNG DEE FEAT..MWANA FA & BEN POL-FUNUNU

Sikiliza hapa ngoma mpya kutoka kwa Young Dee AKA Young Dar-es-Salaam akiwashirkisha Mwana FA na mkali wa R&B Ben Pol. Ngoma inaitwa ‘Fununu’.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATNUMZ ATINGA SURUWALI YAKE YENYE UTATA NA KUOMBA DUA ILI...

Hahaha Diamond kanichekesha sana leo. Baada ya kuandamwa na mafashion police kutoka kila pande pamoja na mashabiki wake kuhusu suruali yake aliyo vaa kwenye harusi ya P-Square (pichani), leo hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA MISS UTALII YAFUNGIWA RASMI NA BASATA

Barua kutoka Basata kuhusu kufungiwa kwa Mashindano ya Miss Tourism Tanzania

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASTER JAY AFUNGUKA "WASANII WA BONGO FLAVA NI WEZI"

Producer mkongwe na C.E.O wa MJ Records Master J amesema kuwa wasanii wa Tanzania wanawaibia watayarishaji wa muziki.“Huwezi kuchukua wazo langu uende kulitumia kutengeneza hela halafu uniambie kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FILAMU ZA KIBONGO HAZIUZI BILA KUTUMIA WASICHANA WAREMBO

Bila wasichana warembo kwenye filamu ya kibongo, hakuna atakayeinunua na huenda waandaaji wakaishia kuiangalia tu nyumbani na familia zaoKwa mujibu wa Tino, wasichana warembo ni ‘chambo’ kinachowavuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU AGNESS MASOGANGE MMHH..!! TAZAMA HOT PICHA ALIZOACHIA KATIKA MTANDAO WA...

 Pichani juu ni taswira za mpya za Video Queen wa Bongo, Agness Gerald 'Masogange' alizotupia kupitia ukurasa wake wa Instagram.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATARI ! ETI LULU NA YOUNG D WAKUTWA WAKIBANJUANA NDANI YA GARI..MHH

Pata habari za bongo movies na nyingine nyingi punde zitokeapo. Tuma neno PERUZI kwenda 15368 sasa. Kwa wateja wa Vodacom PekeeJana kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha clouds FM chini ya bwana Sudi...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>