TEN THINGS TO NEVER POST ON FACEBOOK AFTER BREAK UP WITH UR LOVER
It’s over. Before you take to Facebook to let the world know of your newfound singledom, remember these simple rules about what not to post online following a breakup.1. Rants. Don’t complain about...
View ArticleJAGUAR NOMA..AWATOA JELA WALE WAFUNGWA ALIYO FANYA NAO VIDEO YA KIOO GEREZA NI
Mwanamuziki Jaguar wa Kenya Amefanya jambo la Maana baada ya kuwatoa wafungwa wawili jela ambao aliomba afanye nao Video ya Kioo Wimbo wake unao tamba sasa...Alifanya hivyo kwa kuwalipia Fine ambazo...
View ArticleKALA JEREMIAH"FILAMU TANZANIA HAZILIPI SINA SABABU YA KUINGIA HUKO"
Mwanamuzi wa Bongo Flava Ajulikane kama Kala Jeremiah aliye tamba na wimbo wake wa Dear God Amehabarisha kuwa Tasnia ya Filamu Tanzania Hailipi Kabisa kutoka na Muda mwingi wanaoinvest huko wakati...
View ArticleWEMA SEPETU"SIUMIZWI NA NAIMA KUNICHUKULIA BWANA AISHI MAISHA YAKE"
Mwanadada Wema Sepetu Leo Amefunguka kwenye Segment ya U-heard ya Clouds FM na Suddy Brown kuwa Haumizwi kabisa na kitendo cha Rafiki yake ajulikanae kama Naima Kumchukulia Bwana "Clement" Amesema hana...
View ArticleMZEE MAJUTO APIGILIA MSUMARI KAULI YA KALA JEREMIAH.."SOKO LA FILAMU HALILIPI...
Mzee Small Ameliambia Gazeti Moja la Michezo Hapa Bongo kuwa Tasnia ya Filama Bongo Hailipi kabisa kwani walio shikilia soko wana Masharti magumu sana hivyo kujikuta msaanii hapati chochote ...Amezidi...
View ArticleMCHEZAJI WA YANGA WA ZAMANI ANYONGWA DAR
OMAR Changa, straika aliyekuwa na umbo la mwili lililokuwa likiendana na nafasi yake hatunaye, na habari kutoka kwa ndugu zake zinasema alinyongwa na watu wasiojulikana pamoja na kuchomwa na kitu...
View ArticleSHILOLE AACHIA PICHA MTANDAONI AKIWA KATIKA KHANGA MOKO
STAA wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameamua kuachia picha adimu akiwa kitandani na kanga moja tu bila chochote kama ishara ya kuwashukuru mashabiki wake kwa sapoti kubwa...
View ArticleURAIS CCM NI KAMA VITA-MPASUKO NDANI YA CHANA WAZIDI ONGEZEKA
Mpasuko ndani ya CCM unazidi kuongezeka baada ya viongozi wa chama hicho Mkoa wa Arusha na Wilaya ya Monduli kuibuka na kukemea ‘siasa za vitisho na hofu’ dhidi ya Mbunge wa Monduli, Edward...
View ArticleRAISI WA RWANDA KAGAME AZIDI KUICHOKONOA TANZANIA..CHADEMA WAJITOSA
*Sasa amgeukia Membe*Chadema nayo yajitosa GAZETI la The New Times Rwanda ambalo linatajwa kuwa mshirika wa karibu wa Serikali ya Rais Paul Kagame, nalo limeingia kwenye propaganda za kuwachafua baadhi...
View ArticleUTATA KESI YA MTANZANIA AFRIKA KUSINI..NI ALIYE TISHIA KUTOA SIRI ZA MKE WA ZUMA
Kesi ya Mtanzania Stephen Ongolo anayeshikiliwa na polisi Afrika Kusini akituhumiwa kutishia kutoa siri za mke wa pili wa Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli Zuma (MaNtuli), imeibua...
View ArticleNJIA MPYA YA KUSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA NJE YA NCHI YAGUNDULIKA
Wauza sembe wamegundua njia mpya ya kusafirisha sembe kupitia JNIA kwa kutumia kampuni zinazosafirisha vifurushi. Naibu Waziri wa Uchukuzi Charles Tizeba ameimbia Kamati ya Bunge ya Miundombinu...
View ArticleWINNIE MANDELA AAMBULIA PATUPU URITHI WA MANDELA, GRACA ARITHI ASILIMIA 50
Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Madikizela-Mandela ameambulia patupu katika wosia wa kinara huyo wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi, imebainika.Rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini amegawanya...
View ArticleBILL CLINTON NDANI YA KASHFA NYINGINE YA KUTOKA NJE YA NDOA NA KIMADA
Bill Clinton rais zamani wa Marekani aliwahi kuingia kwenye kashfa kubwa ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Monica Lewinsky ambaye alikuwa na miaka 22 kipindi hicho akifanya kazi kama intern ndani ya...
View ArticleUJUMBE KUTOKA KWA WASTARA SAJUKI KUJA KWAKO
Tweet"..Maisha ni mapambano na katika kupambana nayo kuna vizingiti vingi tena virefu utanue mguu kwa hatua kubwa kuvuka hivyo vizingiti, ukiamua kusonga mbele usigeuke nyuma pambana na kilichopo mbele...
View ArticleBAADA YA MIEZI 9 URIANI KAJALA AIBUKA TAJIRI WA KUTISHA
MIEZI tisa baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar kumhukumu staa wa filambu za Bongo, Kajala Masanja kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya shilingi milioni 13 kwa kosa la utakatishaji...
View ArticleZITTO AIBUKA NA DVD, INAYOWANANGA VIONGOZI WA CHADEMA
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.WAKATI Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, akijipanga kuanza ziara katika mikoa kadhaa nchini kujibu mapigo ya tuhuma dhidi yake zilizotolewa na baadhi ya...
View ArticleMADAM RITA AWAPONDA VIBAYA WANAUME WASIO JUA KUWA WATANASHATI
Madam Rita Kaamua kufunguka kama hivi kwa wale wanaume wasio jua nini maana ya Utanashati..jisomee mwenyewe hapa chini
View ArticleMISS TANZANIA FARAJA KOTA AMSIFIA MUMEWE WAZIRI NYALANDU..AELEZEA WALIPOKUTANA
Msikilize hapa chini Faraja Kota Akielezea kuhusu mumewe ambae ni Waziri Katika Bunge la Tanzania Pia Asema walipo kutana:
View ArticleINGIA HAPA KUANGALIA PICHA ZA WATOTO MAPACHA WA MENGI NA JACKLINE WALIVYO WAZURI
Jamani so so cute .....Au unasemaje Mdau wangu ..Embu tupia comment Basi ...
View Article