Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Nimeshatoa Mimba Nyingi Sana-Irene Paul

$
0
0
Muigizaji wa filamu za kibongo ambaye wiki iliyopita ameshinda tuzo ya muingizaji bora wa kike katika tuzo za Filamu nchini Tanzania (TAFA) Irene Paul amefunguka na kusema kuwa
ameshatoa mimba nyingi sana, Irene Paul alisema hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha KIKAANGONI kinachofanyika katika ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri.
Irene Paul alisema kuwa mara nyingi amekuwa akitoa mimba hizo katika filamu kutokana na kuuvaa uhusika ili kufikisha ujumbe kwa jamii kama ambavyo Scene inamtaka kufanya hivyo, lakini katika uhalisia hajawahi kufanya jambo hilo.

"Irene Bahati Paul, katika movie nimetoa mimba nyingi sana maana ndivyo uhusika umenipasa kufanya hivyo ili kuwasilisha ujumbe katika jamii ila kiuhalisia sijawahi kufanya hivyo."
Lakini pia Irene Paul alizidi kuwachanganya mashabiki alipoulizwa juu ya kuwa ana watoto wa ngapi na kusema kuwa ana watoto wengi sana hali ambayo ilifanya mashabiki kutaka kujua watoto wengi kiaje na ni wanani na hapo ndipo aliposema kuwa, yeye hata watoto ambao amewasaidia kuwalea anawahesabu kama ni watoto wake, maana wamepata malezi yake na wao wanamchukulia kama Mama yao.

" Watoto nilionao wengi sana mpenzi, kuanzia niko shule nilikuwa na adopt watoto kishuleshule, na wale wote ninaowasaidia kwa njia moja au nyingine wananichukulia kama Mama maana mimi ni mlezi wao."

Irene Paul ambaye kwa sasa anaonekana kukubalika kutokana na ufanisi wake katika kazi yake ya sanaa alisema kuwa katika maisha ya mahusiano na mapenzi amekutana na changamoto mbalimbali hususani kama kutendwa sababu na yeye ni binadamu kama walivyo binadamu wengine, kwa sasa adai hajaolewa na kuongeza kuwa kwa wakati huu wa sasa hafikiri kutafuta Mume wala mchumba ila anajipanga tu kusambaza kazi zake tofauti na sanaa.

" Mimi ni kama binadamu wengine napitia yote kama mwanadamu mwingine wa kawaida katika maisha, kwa sasa jibu langu ni sitafuti mume wala mchumba najitayarisha kusambaza kazi yangu tofauti na sanaa, kisanaa najipanga kutoka katika ubora zaidi maana baada ya kuona mapokezi na apreciation za watanzznia nadhani wananidai zaidi ya ninavyowapa".
Ukiachia mbali juu ya sanaa yake Iren Paul amesema kuwa anatamani kuona yeye amekuja daraja ambapo watu watamkumbuka kwa mchango wake wa mawazo, maneno au vitendo hata kimali ili mradi tu atumike katika kufanya jambo hilo.
"Katika maisha yangu yajayo natamani kuwa daraja ambalo siku moja mtu atalikumbuka na kusema ni kwa sababu ya lile au yule nimefika nitakako yaani iwe kwa mawazo maneno au vitendo, kihali au kimali ili mradi tu nitumike"

Lakini pia muigizaji huyo wa bongo movie alimaliza kwa kutoa darasa kwa baaadhi ya watu wanaohitaji kujiunga katika tasnia ya filamu Tanzania na kuwaambia kuwa kila jambo linahitaji malengo na mipango huku ukitambua unafanya nini lakini akadai atatoa darasa kupitia semina mbalimbali atakazoandaa ili kuwasaidia watu wanaohitaji kuingia katika tasnia hiyo.
"Nitawapa semina mbalimbali kupitia mikutano midogomidogo nItakayoiandaa hivi karibuni na kutembelea shule mbalimbali kuwatia moyo wale wenye nia ya kufika mbali lakini kwa wale ambao wanahitaji kujiunga katika tasnia kwanza jua unataka uigizaji kwa sababu gani,halafu weka malengo yako na uyaamini kwa kuyatekeleza,njia ni kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha unaifanya kwa ubora pale upatapo nafasi ,thamini kidogo ulichonacho maana kupitia hicho utapata kikubwa utakacho"


Video: Kajala Denies Dating CK, Talks About Wema Sepetu And Her Present Relationship

$
0
0
Kajala's new interview with Sporah aired this week, in the interview the actress and mother of one talks about many things including her differences with former best friend Wema Sepetu, denial of dating Clement and her present relationship...

HALI YA JOTO iliyopita Kiwango Cha Kawaida Imesababisha Vifo vya Watu 1,100 Nchini India

$
0
0
An extreme heat wave with temperatures reaching 48 degrees Celsius (118 degrees Fahrenheit) has killed at least 1,118 people over the past week in India, where hot air, molten asphalt, dust storms are making life almost unbearable.

The homeless, construction workers, newborns, young children and elderly people are most at risk in this weather. In the state of Andhra Pradesh alone, where temperatures climbed to 47 degrees Celsius or 116 Fahrenheit on Monday, 852 people have died. In the neighboring Telangana state, 266 people have died in the last week as temperatures hit 48 degrees Celsius or 118 Fahrenheit, the BBC reports.
Joto Limesababisha Lami kuyeyuka

Hospitals are struggling to treat victims of dehydration, heat cramps, heat exhaustion and heat stroke, and tens of thousands are suffering through power cuts from the overloaded electrical grid. The National Disaster Management Authority (NDMA) advises people to stay indoors, wear loose clothing, and drink water—even if they’re not thirsty.

Heat waves are not unusual in between March and June in South Asia, but experts point to climate change to explain more and more extreme weather conditions in this part of the year, predicting longer and more intense heat waves in the region. Lack of rain combined with dry, hot winds from the desert state of Rajasthan are responsible for the recent heatwave say meteorologists, who don’t expect conditions to get better until the arrival of monsoon in June.

Until then, top temperatures in New Delhi, home to 23 million people, could remain around 45 degrees Celsius (113 Fahrenheit), according to Brahma Prakash Yadav, director of the Indian Meteorological Department. The following images depict these shocking conditions.

Wabunge Wenye Miaka 15 na Zaidi Bungeni na Bado Wanataka Kugombea Ubunge 2015

$
0
0
Naomba tuwatambue wabunge ambao wamekuwepo bungeni kwa muda wa miaka 15 na kuendelea na bado wanataka kugombea tena, wa vyama vyote.

Hii itasaidia kuwakumbusha waheshimiwa hawa kujitathmini kwa muda waliowakilisha wananchi na kile kilichopatikana kwa kipindi chake na wajitathmini kwanini waendelee kugombea. Na pia kuepuka miungu watu katika baadhi ya majimbo ambao wamekuwa chanzo cha kuzorota kwa maendeleo majimboni kwao.

Watia nia wengi wa uraisi ni wale waliokaa kipindi kirefu katika nafasi ya ubunge na namna ya kuachana na ubunge ni kugombea urais. Wapo waliokwisha kutangaza kuachia majimbo kama:

Edward Lowassa 20yrs, John Magufuli 20yrs, Samwel Sitta 20yrs, Steven Wassira 20yrs, n.k

Wapo ambao wamekuwa wabunge zaidi ya miaka 15 na hawajasema chochote mfano: Lekule Laizer 20yrs, Hendrew Chenge 20yrs, Wilium Ngeleja 15yrs, Marry Nagu 15yrs, n.k.

Naomba tuwabaini wengine ambao wana muda mrefu kama huo na bado wanautaka ubunge. Taja jina la mbunge, jimbo, muda na kama ameshasema chochote.

Ahsante nawasilisha.

Mbowe: Lowassa ni Dhaifu, Na ni Bubu wa Kukemea Ufisadi

$
0
0

Mbowe
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.

Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.

Source:Tanzania Daima

Walimu Waingiliwa Kimwili Usiku Kichawi huko Kibondo Kigoma Huku Waume zao Wakijikuta Wamelala Chini

$
0
0
Picha si ya Tukio
Waalimu wa kike wawili wamejikuta wakiingiliwa kimwili usiku na watu wasiojulikana huku waume zao wakijikuta wamelala chini.

Tukio hili linalohusishwa na imani za kishirikina limetokea miaka miwili baada ya matukio kama hayo kutokea na kisha kukemewa vikali na wana kijiji na kisha kupungua.

Chanzo : RFA

VIDEO:Angalia Jinsi Pombe na Ilivyoondoa Maisha ya Vijana Hawa Kwa Kuendesha Gari Huku Wamelewa..SO SAD

$
0
0
Inasikitisha sana ..Vijana hawa walitoka out na kunywa huku wakifanya mizaa barabarani wakidhani ndio wanafurahi maisha ..Tazama kilichowakuta vijana hawa kwenye hii video hapa chini:


Wait before you go out must watch. ........
Posted by Glam Glam on Friday, April 24, 2015

Mwanasheria Alberto Msando aeleza jinsi sheria ya makosa ya mtandaoni itakavyowapeleka jela wanaopenda kutukana Instagram

$
0
0
Mwanasheria maarufu nchini, Alberto Msando amesema sheria mpya ya makosa ya mtandaoni itakula kwa wengi.

Msando ameiambia Bongo5 kuwa utekelezaji wa sheria hiyo si mgumu kama wengi wanavyodhani na infact wengi wataenda jela. “Ili sheria itekelezeke huhitaji kushtaki watu wote,” amesema Msando. “

“Huwezi ukakamatwa wewe umemtukana Albert ukasema na Abdalah alimtukana naye akamatwe. Ukikamatwa wewe tunaanza na wewe. Kwahiyo ukimuona mwenzio amefungwa miezi sita, miaka saba, miaka mitano, amelipishwa faini, definitely utaacha.”

“Kwasababu kazi ya sheria ni kwanza kumrekebisha mtu kwa njia ya adhabu na pili kumsababisha mtu aepuke kufanya jambo kitu fulani. Inapopitishwa ukiona watu wa kwanza wa pili kweli imetekelezeka, kuna watu wataacha zile tabia maake watajua sasa hapa ni tatizo. Na umeangalia kabla hata haijatumika watu wanakuambiwa ‘tutukane ya mwisho mwisho kabla ya hiyo sheria haijaanza kupitia. Tayari watu wameshajua ni makosa kufanya mbili tatu.”

Msando amewataka watumiaji wa mitandao ya kijamii kuheshimiana na kuitumia kwaajili ya maendeleo na kupata taarifa sahihi.

“Mimi nimeitumia vizuri, nimepata wateja zaidi ya watano wa kazi kubwa tu kwa kupitia mitandao ya kijamii.”

Msikilize hapo chini. Source:Bongo5

Serekali Yatoa Kauli Yake Juu ya Uvaaji Mbaya wa Shilole..Yasema Atachukuliwa Hatua Baada ya Kujieleza

$
0
0
Serikali imeahidi kumchukulia Shilole kufuatia kusambaa kwa picha zake chafu zilizopigwa wakati akitumbuiza nchini Ubelgiji.

Akizungumza bungeni Dodoma leo, Naibu Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Juma Mkamia, wakati akijibu hoja za wabunge baada ya kusoma makadirio na matumizi wa wizara hiyo, alisema tayari serikali imeliagiza baraza la sanaa taifa BASATA kufanya naye mahojiano.

Tumemtaka ajieleze kupitia BASATA, akishajieleza serikali itachukua hatua na niombe mheshimiwa spika kupitia bunge lako tufuku, kuliomba radhi kwa upande wa serikali kwa kitendo kilichofanywa na mwanamuziki yule. Sio maadili yetu na nimesema akishajieleza serikali itachukua hatua yake,” alisema Juma Mkamia.

Waziri Magufuli 'Akaangwa' Bungeni......Wabunge Washangazwa Na Deni La Bil 800, Yadaiwa Kivuko cha Bagamoyo ni Kibovu na Chakavu

$
0
0
WABUNGE wameishauri serikali kulipa deni la makandarasi wanaoidai Wizara ya Ujenzi linalozidi Sh. bilioni 850 kuwezesha bajeti iliyotengwa kufanya kazi za maendeleo.

Hayo yalitokea jana bungeni mjini Dodoma wakati wabunge hao wakichangia bajeti ya wizara hiyo ya takriban Sh. bilioni 900.

Akisoma hatuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR Mageuzi), alisema fedha iliyotengwa kwa ajili ya maendeleo katika wizara hiyo ni ndogo.

Alisema ujenzi ni sekta ambayo kibajeti inachukua asilimia kubwa, lakini kiuhalisia ina madeni makubwa kutoka kwa makandarasi na washauri.

“Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema kipo kikosi kazi cha kuhakiki madeni ya wazabuni kwa wizara mbalimbali. Moja ya wizara hizo ni hii ya ujenzi.

“Kambi Rasmi ya Upinzani inamtaka Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, kueleza kikosi kazi kilichoundwa kuhakiki uhalali wa madeni ya wizara kimebaini ni kiasi gani kinachodaiwa,” alisema Mkosamali.

Alisema wizara hiyo hadi sasa inadaiwa Sh. biloni 800 na hakuna majibu ya namna yatakavyolipwa pamoja na mbwembwe za uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Ujenzi.

“Pamoja na kelele na mbwembwe nyingi, ukweli ni kwamba madeni ya wizara yanazidi fedha za maendeleo tunazopitisha bungeni,” alisema.

Alisema mwaka 2014/2015, madeni ya wizara hiyo yalikuwa Sh. bilioni 760 huku bajeti ya maendeleo ikiwa ni Sh. bilioni 762.

“Ni dhahiri kuwa wizara haikuwa na fedha za maendeleo kwa mwaka huo wa fedha. Hivyo waziri alieleze ukweli Bunge kwenye Bajeti hiyo ni fedha kiasi gani zimelipa madeni?” alihoji.

Mkosamali alisema zipo taarifa kwamba makandarasi watatu wamekufa kutokana na msongo wa mawazo baada ya serikali kutowalipa madeni yao walipomaliza kazi.

Akizungumzia ununuzi wa kivuko cha Bagamoyo, Mkosamali alisema kilinunuliwa kwa shilingi bilioni nane, kinabeba abiria 300 huku kikitumia saa tatu kutoka Dar es Salaam hadi Bagamoyo.

“Ni jambo la ajabu kununua kivuko cha kizamani, chakavu chenye spidi ndogo. Bakhresa ana meli inayotoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar kwa dakika 90 tu ikiwa na abiria 500 na taarifa tulizonazo, bei yake ni kati ya Sh. bilioni 4 na 5 tu.

“Tunaomba Bunge kuunda Tume itakayochunguza ununuzi wa kivuko hiki kibovu na cha kizamani kilichonunuliwa kwa bei kubwa huku kikienda mara moja tu Bagamoyo kwa siku,” alisema Mkosamali.

Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), alisema serikali imeshindwa kutatua kero ya foleni jijini Dar es Salaam pamoja na majiji mengine makubwa na kwamba juhudi za makusudi zinapaswa kufanyika kunusuru wananchi wa miji hiyo.

Awali akiwasilisha Bajeti ya Wizara hiyo, Dk. Magufuli alisema fedha walizoomba ni zaidi ya Sh. bilioni 900 zitakazosaidia maendeleo ya kuboresha barabara, madaraja na vivuko katika maeneo mbalimbali.

Kesi ya Ubakaji inayomkabili Mume wa Flora Mbasha Yakwama Tena

$
0
0
Kesi ya ubakaji inayomkabili mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mume wa Flora Mbasha kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imesogezwa tena mbele  kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka anayeisimamia kesi hiyo.

Kesi hiyo ya Emmanuel Mbasha ilitakiwa kuendelea baada ya mashahidi kuwepo eneo la tukio kabla ya hakimu mkazi Flora Mjaya kuairisha mpaka Mei 29, 2015 kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka Nassoro Katuga.

Mashahidi wawili wameshatoa ushahidi huku mmojawapo akiwa  ni Dr. Migole Mtuka wa hospitali ya Amana ambaye alisema kwenye uchunguzi uliofanyika kwa muathirika Mei 26, 2014 ulionyesha   yule  binti  hakubakwa.

Awali ilidaiwa mahakamani hapo kuwa kati ya tarehe Mei 23 na 25, mwaka 2014 Bw Mbasha alimbaka binti mwenye umri wa miaka 17, ambaye ni shemeji yake huku akijua ni kosa.

Wenye "Homa Ya Lowassa" Wanayapuuza Ya CAG Wanang'ang'ania Ya Richmond Wakiamini Ndo Njia Pekee Ya Kumharibia

$
0
0
Kwa  nini  sakata  la  Ufujaji  umeme  wa  dharura  la  kampuni  ya  Richmond  liliolazimu  kupangwa  upya  baraza  la  mawaziri  linazungumzwa  kwa  nafasi  kubwa  na  wanasiasa  hadi  sasa, huku  ripoti  ya  mdhibiti  na  mkaguzi  mkuu  wa  hesabu  za  Serikali-CAG  zinazoibua  ubadhirifu  mkubwa  kila  mwaka  zikisahaulika  kirahisi?


Kama  waziri  mkuu  mstaafu  Edward  Lowassa  asingehusishwa  na  sakata  la  Richmond  kwa  namna  washindani  wake  kisiasa  wanavyolazimisha, sakata  lingeendelea  kuzungumzwa?

Maswali  haya  mawili  yana majibu  yake  sahihi  kwa  wanaojua  undani  wake, akiwemo  Lowassa  aliyejiuzulu  ili  kulinda  heshima  na  mustabali  wa  nchi, serikali  na  chama  cha  mapinduzi-CCM, kama  anavyonukuliwa  akisema. Yawezekana  amelinda  maslahi  ya  nchi  kwa  vile  wahisani  hawakusitisha  misaada  yao  muhimu  kwa  bajeti  ya  nchi.

Kwa  muktadha  wa  makala  na  ulinganifu  wenye  mantiki,  hakuna  manufaa  makubwa  kwa  umma  kupigia  kelele  Richmond  iliyopitia  Dowans  na  kubaki  Symbion Power  na  kujisahalisha  huu  ubadhirifu  na  upotevu  mkubwa  wa  fedha  za  umma  unaobainishwa  kila  mwaka  na  CAG  bila  kufanyiwa  kazi  ipasavyo  kwa  hatua  stahiki  dhidi  ya  wahusika.

Hizi  mbinu  za  kisiasa  za  kukumbuka  Richmond  ili  kutimiza  malengo  ya  baadhi  ya  wanasiasa  ya  kulazimisha  na  kuwaaminisha  watu  mambo  yawe  watakavyo  yanazidi  kufifia  na  kushindwa  kadri  siku  zinavyozidi  kubadilika.

Eti  wanakumbuka  sana  Richmond  kwa  vile  imehusishwa  na Lowassa!!!

Sina  nia  ya  kumsafisha  mchafu  yeyote  wala  kumchafua  msafi  bali  nauzungumzia  uhalisia  tu.Unawezaje  kukumbuka  Richmond  na  kukataa  kuona  ubadhirifu  unaoibuliwa  na  CAG  anapoonyesha  zaidi  ya  sh. trion moja  zimeyeyuka  serikalini?!

Kama  ilivyokuwa  Richmond  na waliouaminisha  umma  iwe  watakavyo  katika  bunge  la  kasi  na  viwango  la  Spika  Smweli Sitta  ndivyo  ilivyotokea  kwa  sakata  la  Tegeta  Escrow  ambapo  wanasiasa  wamethubutu  kutoa  hukumu  wanayolazimisha  iwe  dhidi  ya  wale  walioitwa  mafisadi, na  kuimiminisha  dhana  husika  kwa  wananchi.

Baadhi  ya  wahusika waliojiuzulu  kutokana  na  sakata  la  Esrow  kama  njia  ya  kuonyesha  uwajibikaji  kisiasa  wamethibitika  kutohusika. Kati  yao  ni aliyekuwa  waziri  wa  nishati  na  madini Profesa  Sospeter  Muhongo  na  katibu  mkuu  wake  Eliakim Maswi, ambao  kamati  maalumu  iliyoundwa  kuchunguza  uhusika  wao  haikuona  hatia  yoyote  dhidi  yao.

Bahati  mbaya, enzi  za  Richmond  hakukuwa  na  kamati  maalumu  ambayo  ingethibitisha, kwa  mfano, usafi  wa  wanasiasa  waliohusishwa  na  Richmond  baada  ya  kujiuzulu  kwao.

Sijui  wanasiasa  wanaoshupalia  Richmond  wakidhani  kuikumbuka  kwa  kutaathiri  safari  ya  kisiasa  ya Lowassa  wakiambiwa  ukweli  tofauti  watatumia  kete  gani  mpya  kujipandisha  kisiasa.

Wanasiasa  wenye  "homa  ya  Lowassa" wanaamini  kete  pekee  ya  kufifisha  umaarufu, kukubalika  na  safari  ya  matumaini  ya  Lowassa  ni  kutumia  sakata  la  Richmond.

Bahati  mbaya  ya  makusudi  kwao  ni  kutowaambia  wananchi  ile  Richmond  wanayojikumbusha  hasa  kipindi  hiki  cha  kuelekea  uchaguzi  mkuu  octoba  mwaka  huu, ndiyo  hii Symbion  ambayo  Rais  wa  Marekani  Barack  Obama  anaijua  na  anaamini  kazi  inayofanywa  nayo  ndani  ya  Tanzania  katika  sekta  ya  Nishati.

Sasa  wewe  mwanasiasa  ukiikumbuka  Richmond, unganisha  Dowans  ili  uiseme  Symbion  kwa  sauti  ya  juu  itakayowafikia  wananchi  ili  waweze  kukuuliza  umefanya  nini  au  unakumbuka  yapi  angalau  kimya kimya  kuhusu  EPA,Kagoda,Meremeta,Deep Green Finance,Tegeta  Escrow; unachukuliaje  ripoti  mpya  ya  CAG  na  uamuzi  wa  wahisani  kusitisha  misaada  muhimu  ya  kibajeti  kwa  nchi.

Hadi  sasa  kunawatu  hawako  tayari  kusikia  tofauti  na  walivyoaminisha  au  kuaminishwa  juu  ya  Richmond.

Pengine  ule  msemo  apendao  kuutumia  Rais  Kikwete  kwamba  "Akili  za  kuambiwa  changanya  na  za  kwako" ni  muafaka  kuwagutusha  watu  ili  wapambanue  dhamira  za  wanasiasa  kabla, wakati  na  baada  ya  kusikia  wanenacho  na  watendacho.

Endapo  wanasiasa  watadhani siasa  za  kuchafua  wagombea  wanaotakiwa  na  wananchi  walio  wengi  ili  wao  wasiotakiwa  wabahatike  kuteuliwa  na  vyama, yaliyomtokea  Goodluck  Jonathan  na  kilichokuwa  chama  tawala  Nigeria  si  ajabu  kujirudia  kwa  CCM.

Safari Ya Matumaini ya Edward Lowassa Itaanza Rasmi Jumamosi Hii Jijini Arusha......Watanzania Wote Mnakaribishwa

$
0
0
Safari  Ya  Matumaini  ya  Edward  Lowassa  Itaanza  Rasmi   Jumamosi    Hii  Jijini  Arusha......Watanzania  Wote  Mnakaribishwa.

Tarehe: 30.05.2015
Mahali:  Uwanja  wa  Sheikh  Amri  Abeid- Arusha
Muda:   Kuanzia  Saa 8 Mchana  hadi  saa 11 Jion

Diamond Platnumz Kuachia Ngoma Mpya Ya Kimataifa Kesho

$
0
0
Nyota wa muziki wa Bongo flabva nchini Tanzania, Diamond Platnumz anatarajia kuachia ngoma mpya ya kimataifa ambayo mpaka sasa haijajulikana kwani tayari ameshafanya collabo na wasanii watatu wa kimataifa akiwepo Flavour, P-Square na nyota wa Kimarekani.

Diamond ameshare picha ya fomu yakeya kutuma videoya wimbo wake ‘Nana’ ambayo ni collabo yake na Mr Flavour kwenda BET International, video iliyoongozwa na Godfather wa Afrika Kusini inayotarajiwa kutoka May 29, 2015.

Aidha meneja wa Diamond, Babu Tale amesema kuwa watanzania na mashabiki wa muziki wa Diamond wasubiri Ijumaaa ifike watajua kuwa ni collabo gani wataachia kwani tayari wamefanya collabo nyingi za kimataifa.

Sugu Akomalia Uhuru wa Habari, Alaani Kitendo cha Kumtishia Maisha Reginald Mengi

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu
KUMINYWA kwa uhuru wa habari na maslahi duni ya wanahabari ni mjadala ambao umetawala Bunge wakati wa kujadaili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo. Anaandika Pendo Omary … (endelea).
Akiwasilisha maoni ya kambi ya upinzani, msemaji mkuu kwa wizara hiyo, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amesema “taswira nzuri ya Tanzania kimataifa kama nchi inayofuata utawala bora na demokrasia inazidi kupotea kutokana na ubabe wa Serikali ya CCM katika kuminya uhuru wa habari nchini”.

Sugu amesema kushindwa kwa hila za serikali ya CCM mbali na kufungia magazeti na hata kuwateka, kuwatesa na kuwaua wanahabari wanaotimiza wajibu wao sasa kumehamia katika kutunga sheria kandamizi ambazo zina malengo ya kuwafunga midomo wanahabari.
“Ni hivi karibuni, vyombo vya kimataifa ikiwemo gazeti kongwe la Washington Post la Marekani, vilianika ubabe wa serikali ya CCM na kushinikiza wafadhili na wahisani hasa Serikali ya Marekani na Benki ya Dunia kusitisha kuipa Tanzania misaada ili kuishinikiza kuzirekebisha sheria hizo kandamizi ambazo zilisainiwa na Rais Kikwete hivi karibuni kwa kuwa zinaminya uhuru wa habari,”amesema.

Sugu amezitaja sheria hizo kuwa ni pamoja na Sheria ya Makosa ya Mitandao ambayo inalenga kuua uhuru wa habari hata baina ya mtu na mtu ambapo mtu anaweza kwenda jela kwa kosa la kufowadi ujumbe, taarifa ama picha ambayo ameipokea kutoka kwa mtu mwengine.
“Lakini pia, vyombo vya kimataifa vinaeleza kuwa kupitishwa kwa Sheria ya Takwimu kutatia hatiani watu hasa wanahabari kwa kigezo kuwa wametoa takwimu ambazo serikali itaona si za kweli na bila kupata kibali cha Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS),”amesema.
Amesema inashangaza kuona kuwa Taifa linapelekwa gizani kwa sheria hizi za kibabe zisizozingatia dhana ya uwazi ambayo serikali inajidai kuitekeleza.

Sugu ameongeza “Sote ni mashahidi kuwa mara nyingi serikali imekua haitoi takwimu sahihi za mambo mbalimbali na kwa nyakati tofauti serikali pia imekiri kuwa haina takwimu kuhusu mambo mbalimbali ikiwemo taarifa za ajira na ukosefu wa ajira.”

Amehoji kuwa, leo hii unapowanyima watu uhuru wa kutoa taarifa zinazoambatana na takwimu za masuala husika mpaka kupata kibali cha Ofisi ya Takwimu, serikali inalenga kuficha ukweli gani?
“Muendelezo wa malalamiko dhidi ya sheria hizo kandamizi pamoja na muswada wa habari ambao unaelezwa kuwa katika mkakati wa kuletwa ndani ya Bunge hili, umepingwa vikali pia na wadau wengi nchini ikiwemo Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini (MOAT),” amesema.
Kambi pia imelaani taarifa za kutishiwa maisha kwa mmiliki wa kituo cha televisheni cha ITV, Reginald Mengi kwa madai kwamba kituo chake kimekua kikitoa habari za kiuchochezi zinazosababisha kuyumba kwa serikali ya Rais Kikwete ikiwemo ya kashfa ya ufisadi wa mabilioni ya Escrow.

Hata hivyo, katika kujibu hoja za wabunge Waziri Fenella Mkangara na naibu wake Juma Nkamia, walikanusha taarifa hizo wakisema kama suala hilo lingekuwa na mashiko, Mengi angekwenda kulalamika kwenye vyombo husika.
Kuhusu wadau wa habari na wamiliki kupinga muswada mpya wa habari wakiwemo MOAT, Nkamia amesema serikali itajitahidi kuzingatia maslahi ya waandishi walioajiliwa katika vyombo vya habari vya serikali.

Hata hivyo amewataka wabunge kuunga mkono muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari utakaosomwa bungeni mara ya pili kwamba ndio utasimamia maslahi ya waandishi wa habari.
“Serikali imeleta bungeni muswada wa habari. MOAT wanaupinga. Labda niwambie jambo moja kuwa hawa wanatetea maslahi yao na sio maslahi ya waandishi wa habari,”amesema Nkamia.
Mapema, mbunge wa Viti Maalum, Faida Bakari (CCM), imeitaka serikali kujenga ofsi ya waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam ili kuwaondolea adha wanaporipoti habari za Bunge.

Faida amesema “waandishi wa habari wanafanya kazi yao kwa shida. Hapa mjini Dodoma serikali imewajengea ofisi nzuri. Lakini katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam hakuna ofisi ya waandishi wa habari.

“Wakati wa vikao vya kamati za Bunge pale jijini Dar es Saam waandishi wa habari wanasimama koridoni kuanzia asubuhi hadi jioni, hawana hata sehemu ya kukaa. Serikali iwajengee ofisi kama ilivyofanya hapa Dodoma,” ameeleza.

Aidha, imeitaka serikali kuzingatia maslahi ya waandishi wa habari na ihakikishe wanakuwa na sare za Taifa za kufanyia kazi zao hasa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu ili waweze kutambulika.

Faida pai ameitaka serikali kuweka utaratibu mzuri ambao utawabana waajiri kuwawezesha wanahabari kupata mikopo ya vyombo vya usafiri kama magari au pikipiki ili kuwarahisishia utendaji kazi.

Mtoto wa Marehemu Mwalimu Nyerere Atangaza Kugombea Urais 2015, Adai Yupo fiti Kiakili na Afya Kwa Ajili ya Kazi Hiyo Nzito

$
0
0
SIKU moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusema kampeni za uchaguzi mkuu zitaanza Agosti 22, mwaka huu, Makongoro Nyerere ameonesha nia ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Makongoro ambaye ni mtoto wa mwasisi wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alitangaza nia yake hiyo jana mjini Mbeya.

Alisema wakati huu anajisikia yuko tayari kiafya, kiakili na ana nguvu ya kulitumikia taifa, hivyo atachukua fomu kugombea nafasi hiyo.
Makongoro ambaye mwaka 1995, alihamia upinzani kwa kujiunga na NCCR-Mageuzi na kufanikiwa kushinda Ubunge wa Jimbo la Arusha, alisema dhamira hiyo ataiweka wazi kwa kuzungumza na waandishi wa habari siku mbili au tatu kabla ya tarehe iliyopangwa na CCM kuanza kuchukua fomu.
Tayari makada kadhaa wa CCM wametangaza kuwania nafasi hiyo na wengine wakitajwa kuutaka urais.

Baadhi ya makada wanaotajwa kuutaka urais kupitia chama hicho ni Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na Edward Lowassa, ambaye kwa sasa ni mbunge wa Monduli.
Wengine ni Bernard Membe, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Steven Wasira (Waziri wa Kilimo na Chakula), January Makamba (Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia), na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja.
Wengine ni Dk. Hamis Kigwangalla, Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi, Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha Rose Migiro, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.
CCM, ambayo imeshika nchi tangu kurejeshwa kwa siasa za vyama vingi, hujikuta katika wakati mgumu kila wakati inapotakiwa kutoa mgombea wa kurithi nafasi ya rais aliye madarakani baada ya kuongoza vipindi viwili vya miaka mitano kila kimoja.

Makongoro aliweka bayana nia yake hiyo wakati akipokea kwa niaba ya familia ya Baba wa Taifa, tuzo ya uongozi uliotukuka na uzalendo ambayo ilitolewa na Jukwaa la Wakristo Mkoa wa Mbeya kwa lengo la kutambua mchango wake kwa taifa.
Makongoro ambaye ni Kapteni msataafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) alisema; “Kwa kuwa kuna maneno yanapita na mimi nimeyasikia, na kwa kuwa nanyi mmenitaka niseme ninachoweza kuwaeleza hata mimi najisikia na niko tayari kulitumikia taifa katika nafasi hiyo (urais).

“Nimesikia CCM wametangaza ratiba ya kuchukua fomu, hivyo ninachoweza kuwathibitishia ni kwamba siku mbili au tatu kabla ya tarehe iliyopangwa na CCM kuanza kuchukua fomu nitazungumza na waandishi wa habari kuelezea uamuzi wangu kuhusu suala hilo,” alisema.
Kama Makongoro atagombea na kuibuka mshindi wa urais basi atakuwa ni mtoto wa pili wa mwasisi wa taifa kuongoza nchi, baada ya Amani Karume kuingoza Zanzibar.
Amani Karume ni motto wa mwasisi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Sheikh Abeid Aman Karume.

Updates:

Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo  kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka  huu  yaani  siku  ya  jumatatu.

Linex:Sijui Nani Gundu Gani Kila Nikiachana na Mwanamke Anakuwa Adui Yangu

$
0
0
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Sunday Mangu ‘Linex’, amesema tangu ameanza kujihusisha katika mapenzi hajawahi kuachana na mwanamke yeyote bila ya kuwa maadui.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Linex alisema haoni sababu ya kuwa hivyo kwasababu hakuzaliwa pamoja na mwanamke huyo lakini anashangaa imekuwa ikimtokea hivyo.

Alisema ni vizuri kumfanya mpenzi wako wa zamani awe rafiki yako wa karibu ili kuweza kubadilishana mawazo na sio kununiana kuwa kama paka na panya.

Ukweli toka nimejua kumpenda mtoto wa kike au kuwa kwenye uhusiano sijawahi kuachana na mtu alafu mahusiano yanapokwisha yule mtu asiwe adui yangu,” alisema.

Sijawahi kujua uzuri wa kumfanya mpenzi wangu wa zamani awe rafiki yangu wa karibu ninachomaanisha ni kuwa hatukuzaliwa pamoja na leo hatuko pamoja basi sitaki kuwa na uadui na wadada ambao nishawahi kuwa na uhusiano nao tuwe marafiki ,” alisema Linex.

Odama Afunguka 'Siwapenda Marafiki wa Kiume Kwani Ukitaka Kitu Kwao wakusaidie lazima Nao Watake Kitu Kutoka Kwako...Nipe Nikupe'

$
0
0
Odama Katika Pozi
Staa wa Bongo Movies,  mwenye mvuto  wa aina yake, Jennifer Kyaka ‘Odama’, amesema anaogopa marafiki wa kiume kwa kuwa huwa na masharti magumu pindi wanapotoa msaada.

Wasanii wa kiume kwangu sipendi kwa kuwa huwa na masharti kuliko marafiki wa kike ambao husaidia bila masharti ya ajabu,” alisema.

Odama Bongo Movies

Aliongeza kwamba, marafiki wa kike anakuwa huru kuwaeleza shida na matatizo yake kuliko wa kiume ndiyo maana hiyo ni sababu yake nyingine ya kutopenda marafiki wa kiume kama anavyopenda marafiki wa kike.

Ujumbe wa Leo: Chukua Hili Kutoka kwa Wastara-MUST READ

$
0
0
Wastara Juma katika Pozi
Natamani Nijitanue Mdomo Nicheke Kidgo Hhhh Hii Picha Sijui Nimenuna au Nawaza.

Lakini Muhimu Pokea Hilo Ninalokupa Nakuhusia Sana, Usihuzunishwe na Hali ya Maisha Yako..Tazama na Jifunze kwa Viumbe Wengine,Tambua Siku Zote Ng'ombe wa Mbele Ndiye Anayechelewesha Msafara, lakini wa Nyuma Ndiye Anayechapwa Bakora, Jiamini, Usikate Tamaa, Mpite wa Mbele Ujinusuru na Bakora.MUNGU Hamtupi mja Wake, Pengine kesho ni Zamu yako. JITUME Mungu yu Pamoja Nawe.

Siku Njema!.

Wastara on Instagram

Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali

$
0
0


Kifaa cha Kurefusha uume Kinachouzwa 160,000
Pendeza na Dr Kessy Products 
Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka

1.Refusha Nywele na zisikatike  45,000/
2.Ondoa Mvi Sugu kichwani  45,000/
3.Toa Michirizi Mapajani, Chunusi na Madoa mwilini 40,000/
4.Punguza tumbo na Manyama uzembe 45,000/
5.Mkanda wa Kufunga Kupunguza tumbo 70,000/
6.Tengeneza Shepu Hips na Makalio  45,000/ ,Vidonge 80,000/
7.Ongeza Nguvu za Kiume  Jelly 45,000/ , Vidonge 60,000/
8.Ongeza Ukubwa wa Maumbile ya kiume Jelly 80,000/ , Mashine 160,000/
9.Kuongeza Mwili Mzima 40,000/
10.Kupunguza Mwili 45,000/
11.Kupunguza Maziwa na Kuyasimamisha 40,000/
12.Ongeza Mguu uwe wa Kupendeza 45,000/
13.Rudisha usichana ama Bikira 55,000/
14.Ongeza Hamu ya Kula 40,000/
15.Ongeza Hamu ya Kufanya Mapenzi 55,000/
16. Fanya mwili Kuwa Soft 60,000/
17. Dawa ya kutoa Michububuko kwenye mapaja 45,000/
18. Dawa ya kutoa maji maji sehemu ya siri na kukuacha mkavu 55,000/

TUNAPATIKANA DAR NA MIKOA YOTE, HUDUMA ZINAFIKA POPOTE ULIPO , 
DAR TUPO KARIAKOO MSIMBAZI NA POSTA  MPYA

PIGA SIMU: 0719955528, 0756259180 au 0785371237
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images