Wadada wa Kenya Wapagawa na Six Packs za Diamond alipokuwa akiogelea katika Bwawa Moja Huko Nairobi alipoenda week iliyopita ..Wadada wengi walio kuwa wakishuhudia tukio hilo la kuogelea la diamond na wacheza show wake walisikika wakisema No wonder Diamond is Getting Fine Girls wa Kibongo....Na wengine wakimsifia jinsi alivyoumbika
↧