Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109439

Jokate Amfanyia Interview Ex Wake Diamond, Mashabiki Wadai Wanaoneana Aibu!

$
0
0
Msimu wa pili wa kipindi cha The One Show cha TV1 umeanza. Kinachofanyika kwa sasa ni kurekodiwa kwa vipindi hivyo vitakavyoanza kurushwa hivi karibuni. 
Leo, watangazaji wa kipindi hicho, Ezden Jumanne na Jokate Mwegelo walikuwa wakimhoji Diamond Platnumz. 

Diamond ameshare picha kwenye Instagram akiwa amekaa kwenye kochi na ex wake Jokate, na kuvutia comments nyingi kutoka kwa mashabiki. 

Baadhi ya mashabiki wamedai kuwa wawili hao waliowahi kuwa wapenzi kwa muda mfupi, walikuwa wakioneana aibu. Ni kweli?

Nifuate Instagram Kujua Mengi :Bonyeza hapa: Instagram

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109439

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>