Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109490

Basi la Kampuni ya Five Aliance Laungua na Kuteketea Kwa Moto Likiwa Safarini

$
0
0
Hili ni basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake kati ya Mtwara na Dar es salaam limeungua asubuhi ya August 09 likitokea Mtwara kuelekea Dar es salaam.
Taarifa ya awali inasema kuwa hakuna abiria aliyepata madhara yoyote juu ya kuungua kwa basi hili ambalo limeteketea kijiji cha Mihambwe mkoa wa Lindi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109490

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>