Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

MH KIFICHO MWENYEKITI WA BUNGE LA KATIBA

$
0
0
Mheshimiwa Pandu Amir Kificho ameshinda nafasi ya Mwenyekiti wa muda wa Bunge la Katiba baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558 zilizopigwa na kuwaacha kwa mbali Costa Mahalu na Magdalena Rwebangira ambao wamepata kura 84 kila mmoja ambazo ni sawa na 14.79%


Kura saba ziliharibika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Trending Articles