TANZANIA INAWEZA KUZIPIKU NA KUONGOZA KIUCHUMI KATIKA NJE ZA AFRICA MASHARIKI
Licha ya nchi hizo kuwa chini ya mtawala mmoja wa kikoloni (mbali na Rwanda na Burundi), bado inaelezwa kuwa Tanzania ina nafasi kubwa ya kuendelea kiuchumi kuliko wanachama wengine wa Afrika...
View ArticleBINTI ALAZIMISHA UMAARUFU KWA KUJIPIGA PICHA AKIKISS NA MSANII DAVIDO NA...
Umaarufu mwengine wa ajabu sana binti huyu inasemekana alifanya kila mbinu apate nafasi hata ya kumbusu tu davido , na alipoipata hakufanya makosa wakati wana kiss alijipiga picha nakusambaza picha...
View ArticleJE NI KWELI UMAARUFU WA CHADEMA UNAPUNGUA? KAMA KWELI KWANINI?
IF YES...WHY? IF NO ...WHY?
View ArticleWEMA, KAJALA KIMENUKA
Kimenuka upyaaa! Wale mashostito wawili katika kiwanda cha filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja ambao walikuwa marafiki wa kufa na kuzikana, wanadaiwa kuvunja rasmi ushosti wao, Ijumaa...
View ArticleNAOMBA KUJUA..WANAWAKE WENYE PROFESSIONAL HIZI WANA TABIA GANI MAPENZINI?
Naombeni kufahamu wanawake wenye hizi profession wana tabia gani katika ndoa zao ama wanapokuwa uchumbani mwao..1. Wanawake wanasheria..2. Wanawake wenye profession za mambo ya fedha kama finance...
View ArticleHUDDAH MONROE"I DEAL WITH RICH MEN ON THE FORBES LIST NOT CHEAP ATTENTION...
It now seems that the public feud between care-free socialite, Huddah Monroe and Colonel Mustapha, will not end any-time soon as the two constantly engage in a war of words.Earlier today, Huddah posted...
View ArticleBEN POL "MIITO YA SIMU..UWIZI MTUPU ..NAJITOA RASMI"
Ben Pol hafurahii tena biashara ya miito ya simu (Ring Back Tone, RBT) kwakuwa ripoti ya miezi sita kutoka kwa moja makampuni yanayohusika na biashara hiyo nchini kumkatisha tamaa muimbaji huyo wa...
View ArticleKAMA MABAKI YA NDEGE YALIO ONEKANA USTRALIA YATAKUWA YA AIR MALAYSIA BASI...
Australian security expert Neil Fergus says that if the two objects found ARE from flight MH370, it must have been flown there deliberatelyA specialist has suggested that the location of the possible...
View ArticleHABARI KUHUSU PICHA ZA SNURA ZILIZOMUONESHA AKIWA KWA MGANGA
Siku chache zilizopita kupitia blogs na website mbalimbali zilisambaa picha zilizokuwa zikimuonyesha Snura akiwa kwa Mganga wa Kienyeji akiwa kama anapatiwa maagizo na mganga,ambapo kwa picha hizo zipo...
View ArticleKWELI MAISHA MZUNGUKO DOGO JANJA AWAPIGIA MAGOTI TIP TOP NAKUOMBA MSAMAHA
Baada ya Kile Kinachoonekana Kujitambua na Kukua Kiakili ama Maisha kumwendea Kombo huko alipo Msanii Dogo Janja Amewaomba Msamaha Walezi wake wa Zamani ambao ndio walimtoa Katika Game Kundi la Tip Top...
View ArticleBABA WA DOGO JANJA AONGEA BAADA YA DOGO JANJA KUOMBA MSAMAHA TIP-TOP
"Dogo Janja alishakua mtu mzima na tayari nilishawahi kumwambia achague mahali atakapoona kuna manufaa kwake, akishafanya maamuzi yake huwa ananishirikisha kwenye kujadiliana, tayari alishawahi...
View ArticleANGALIA PICHA NDEGE SITA ZILIZOWAHI KUPOTEA DUNIANI HIZI HAPA
1. Amelia Earhart - 1937Rubani wa Kimarekani, Amelia Earhart alikuwa mwanamke wa kwanza kuvuka Bahari ya Atlantic kuchunguza dunia, alipotea na ndege yake miongo saba iliyopita. Inahisiwa kuwa ndege...
View ArticleHIZI NI HOJA ZA ZITTO KABWE KUPINGA HOTUBA YA KIKWETE
Serikali 2 zitaendeleza hisia za Utanganyika kwa kasi Mkuu wa Nchi kamaliza kuhutubia Bunge la Katiba. Kimsingi kaegemea upande wa msimamo wa Serikali 2 ambao ndio msimamo wa CCM chama anachoongoza....
View ArticleBAADA YA KIKWETE KUMALIZA HUTOBA YAKE...WEWE UNA HOJA GANI?
Kama umesikiliza Hutoba ya Rais leo katika Bunge la Katiba leo jioni Embu tupe Maoni yako, Je ametendea haki pande zote wa Serekali Mbili na Serekali tatu ?
View ArticleNAPENDA KWENDA CLUB, LAKINI SIO NA MPENZI WANGU, ALONE TU..!! IMEKAAJE HII...
Huwa siko huru kabisa ninapokuwa na mpenzi wangu club, kwanza kuna wakati naona kama namkosea heshima vile nikisalimiana na wasichana wengine anakosa raha, mara ananiambia amechoka anataka kurudi...
View ArticleLAZIMA AVUTE BANGI KABLA YA KUFANYA MAPENZI: USHAURI
Imekua tabia siku hizi yani kabla hatujaanza kufanya lolte lazima avute bangi kwanza , napia anipe na mimi nivute, huwa nafanya tu hivyo kwa sababu nampenda ila sasa imekuwa too much, mpaka inanitesa...
View ArticleBABY SHILOLE PICS..."MIE KING'AMUZI KUNITAZAMA TU LAZIMA UWEKE VOCHA"
She is Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.........Our Hot Celeb Tonight...
View ArticleKIKWETE AVURUGA MJADALA...AONYESHA ISIA ZAKE ZA KUTAKA SEREKALI MBILI
Rais Jakaya Kikwete jana alibadili upepo wa mchakato mzima wa Katiba baada ya kutoa maoni yake binafsi, akitaka muundo wa Serikali mbili badala ya tatu zilizopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya...
View ArticleWAPINZANI WAPINGA HOTUBA YA JK BUNGE LA KATIBA
Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge kwa maelezo...
View ArticleHENRY KILEWO"SIKUTEGEMEA HOTUBA NZURI...HAKIKA MAHESABU YA SEREKALI MBILI...
Katika Ukurasa Wa Henry Kilewo wa Chadema Ametoa hisia zake kuhusu Hotuba ya Jana ya Raisi katika Bunge la Katiba....Jisomee Hapo chini:"Pole Watanzania, maana wahenga wanasema kibovu huja na kibovu,...
View Article