Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live

Joti Na Mkewe "HoneyMoon" Wakiwa Singita Grumeti Game Reserve Sabora Camp Serengeti

$
0
0
Joti Na Mkewe "HoneyMoon" Wakiwa Singita Grumeti Game Reserve
Sabora Camp Serengeti

VIDEO:


Ni Aibu Diamond Kukosa Milioni Tano ya Matunzo ya Mtoto...Aache Kuzaa tu

$
0
0
Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.

Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.

Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.

Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.

Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.

Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.

Mama yake Dogo Janja afunguka: Irene Uwoya Alitambulishwa Kwangu Mwaka Jana, Ni Kweli Ameolewa na Mwanangu

$
0
0
Mama yake Dogo Janja Zaituni Omary amepigiwa simu na DJ Hazuu na kufunguka kuhusu sintofahamukuwa mwanawe kaoa kweli ama vipi

Mama huyo amesema nin kweli mwanawe ameoa na alitambulishwa kwa mkwewake huyo tangia mwaka jana na wanawasiliana sasa na leo asubuhi ameongea nao kuwajulia hali

alipoulizwa juu ya umri waokutofautiana sana amsema haoni kama hilo ni tatizo na juu ya sherehe amasema imepangwa na itafanyika baada ya muda


Shamsa Ford Afunguka Kuhusu Ujauzito....'Watu Wanachonga Sana'

$
0
0
STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa hana mimba kama wengi wanavyodhani bali amenenepa kwa kuwa ameridhika na maisha anayoishi.

Shamsa aliyasema hayo baada ya hivi karibuni habari kuzagaa kwamba ni mjamzito ambapo watu mbalimbali walionekana wakimpongeza baada ya kuweka picha kwenye ukurasa wake wa Instagram inayomuonesha akiwa amenenepeana sana ambapo aliliambia Risasi Jumamosi kwamba hana ujauzito bali amenenepa tu.

“Nimenenepa tu sina hata ujauzito jamani, nimeridhika na maisha yangu ila naona watu wanazungumza sana mara nina mimba, siku nikiwa nayo nitaweka wazi tu jamani wala wasiwe na wasiwasi ila kwa sasa bado mpaka mwaka ujao Mungu akipenda,” alisema Shamsa.

Huyu Hapa Irene Uwoya Akikanusha Kuolewa na Dogo Janja

$
0
0
Huyu Hapa Irene Uwoya Akikanusha Kuolewa na Dogo Janja, Press Play Hapa chini usikilize

Aunt Ezekiel na Ester Kiama Wapatana..Hakuna Tena Bifu...Je Wema Sepetu?

$
0
0
BAADA ya mastaa wawili wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel na Ester Kiama kuwa kwenye bifu la muda mrefu ambalo hawakuwahi kuweka wazi chanzo chake, hatimaye wamemaliza tofauti zao.

Chanzo makini kililieleza Risasi Jumamosi kuwa mastaa hao kwa sasa ushosti wao umerudi kama zamani na wamemaliza bifu lao ambalo limedumu kwa muda mrefu tangu mwaka jana licha ya kwamba hawajawahi kusema chanzo ni nini ila habari zinadai kwamba ni maneno ya uchonganishi baina yao.

Alipoulizwa Ester alikiri kwamba ni kweli wamepatana, waliamua wao wenyewe kumaliza tofauti zao na siku nyingi tu urafiki umerudi kama kawa.
STORI: GLADNESS MALLY

Kwa Nini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo?

$
0
0
KWA NINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE  MADOGO?

Matatizo haya yame kuwa yakiwaathiri watu wengi sana kisaikolijia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wenzao kwa kawaida mwanaume ana takiwa awe na uume kuanzia inch(6_8)  vinginevyo mtu huyo atakuwa na matatizo.

Zipo sababu nyingi zinazo sababisha tatizo hilo  baadhi ni upungufu wa  vichocheo (Hormones za Getrogen) Ambazo  mwanaume akisha balehe vichocheo hivi huchochea  ukuaji wa  uume, chango husababisha NEVA ambayo huathiri misuri ya uume.

Ngiri ambayo Huleta maumivu ya tumbo kuunguruma  na kujaa guess, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri , miguu kufa ganzi, maumivu ya kiuno,upigaji wa punyeto sababu hizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembaba na mara kwa mara hipelekea kupunguka kwa nguvu za kiume na ham ya tendo la ndoa hukosekana na kuisha kabisa

NSUMBU:__Ni dawa dawa inayo zalisha hormones za Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.

NZAGI :--Ni dawa bora ya kurudisha  nguvu za kiume na kukupa hamu ya kurudia tendo la ndoa mara dufu utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4)bila hamu kuisha (kuchoka) dawa hii ni tiba kamili kwa matatizo hayo. Dawa hii pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk(15_30)kwa tendo moja la ndoa dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji kuanzia miaka(18_90)wana ruhusiwa kuzitumia

Pia tunatibu KISUKARI, PRESHA, PUMU, MALARIA SUGU, MIMBA KUHARIBIKA(Chango)

POWER :__Ni dawa ya mitishamba inaongeza hips, (makalio), miguu, ina punguza maziwa (chuchu). Ina toa harufu mbaya sehem  za siri Nk. Pia anazo dawa za  mvuto wa mapenzi,biashara, kurudishwa kazini, kumuita aliye mbali kwa mda mfupi tu OSTADH JUMA ANAPATIKANA MALARIA ZAKHIEM SIMU:_0769-597778 au 0784-002216 au 0627457957 Wote mnakaribishwa

Wanawake wa Mjini Acheni Kujipa Moyo na Kauli ya 'Usingle Mother' Baba ni Muhimu

$
0
0
SINGLE mother ni kamsemo ambapo kadiri siku zinavyozidi kwenda kanazidi kushika hatamu. Si msemo wa asili yetu bali tumeuchukua kutoka kwa Wazungu ambapo mama anaamini katika kulea peke yake watoto bila kuwa na baba. Mwanamke hataki usumbufu. Anaamua kuzaa kadiri pale anapojisikia, tena kwa mtu anayemtaka.

Yaani haijalishi anazaa na kijana wa umri wake, mzee au hata kijana mdogo maarufu kama benteni. Yeye ni uamuzi wake. Kwenye akili yake anaamini, ana kila kitu hivyo atachagua mtu wa kuzaa naye.

Ni kweli, fedha anazo utamuambia nini? Ana kazi yake nzuri, anapata mshahara wa kuweza hata kumlea mwanaume utamueleza nini? Anataka yeye kuwa na mwanaume fulani na si mwanaume kumpangia masharti ya kuwa naye. Ana jeuri ya fedha. Ukileta za kuleta, anakupiga chini. Haangalii thamani ya penzi kwamba limetoka wapi na lina ukubwa kiasi gani, anachoangalia yeye ni furaha ya moyo wake.

Leo atakuhitaji kwa sababu amejisikia kutembea na kijana mdogo, anafanya hivyo na ikiwezekana anakuzawadia mtoto mmoja. Kesho atakuwa na hamu ya kuzaa na mtu mzima mwenye familia yake, anafanya hivyo na ikiwezekana naye anamzawadia mtoto mmoja. Mwanamke wa hivyo ndiyo huhamasisha wenzake wawe kama yeye. Anapokuwa na mashoga zake, maneno yake ni haya: “Mwanaume asikupe stress, kwani
kitu gani? Tafuta hela halafu umuendeshe unavyotaka.

Ukiwa na cash ya kutosha mwanaume hakupi shida. Utafanya unavyojisikia. “Utazaa pale utakapohitaji kuzaa. Utazaa na mtu unayemtaka na si anayetaka mwanaume. Ukiwa na hela mwanaume hakusumbui kulea watoto, wewe unapata faraja yako ya kuwa na watoto halafu unawalea mwenyewe, kama ni shule utawasomesha na mahitaji yote utawapa, wanaume uliozaa nao watoto wako watawasikia kwenye bomba.

” Ndiyo maana siku hizi tunao wanawake wengi wanaoamini katika hilo. Ndugu zangu, japo si vibaya mwanamke kutafuta fedha lakini anapaswa kutambua umuhimu wa familia na maisha kwa ujumla. Unaweza kuwalea watoto sawa ila watoto watapata malezi mazuri zaidi watakapokuwa na baba yao. Hizi si desturi zetu. Tuache kuiga. Kuigaiga huku wakati mwingine tunaweza kwenda hata kinyume na mpango wa Mungu. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yasitusahaulishe kwamba kuna Mungu ambaye ndiye mwenye uweza wa yote.

Kuna vitu mtoto anapaswa kuvipata kwa baba yake, si mjomba wala baba mkubwa au baba mdogo. Ustawi wa tabia njema kwa mtoto unajengwa na wazazi wote wawili. Fedha zisikupe jeuri kwani hata wewe unapoishi na kuitwa mke wa mtu kuna heshima yake. Unapata hadhi katika jamii.

Unatambulika kama mke wa mtu. Kuna wakati watoto watahitaji ‘ukali’ kidogo wa baba ili kuwatengeneza kitabia. Wanahitaji ufuatiliaji wa karibu kitabia hususan watoto wa kiume. Ukiwalea peke yako ni rahisi kukuzidi ujanja na mwisho wa siku kuishia katika makundi yasiyoeleweka. Utakuwa na kazi nzuri, una fedha za kutosha lakini hazisaidii katika kuwalinda kitabia.

Matokeo yake utatengeneza watoto wahuni, wavuta bangi na hata madawa ya kulevya. Kesho na kesho kutwa haupo duniani, hutakuwa umewaacha salama. Watoto watakosa misingi mizuri ya kujitegemea na matokeo yake utakuwa umehusika katika kuharibu kizazi chako. Tukutane wiki ijayo! Waweza nifuata kwenye kurasa zangu katika mitandao ya kijamii.

 By Erick. Evarist, GPL

Video ya Tembo Akiangusha Mti Ndani ya Sekunde 50 Serengeti

$
0
0
Nakupeleka mbugani Serengeti kidogo kujionea ya huko pia, hii ni video ambayo ilirekodiwa wakati Mnyama aina ya Tembo alipoamua kuuangusha mti ndani ya sekunde 50… (Video Credits: Joti) VIDEO:

VIDEO:Mwimbaji wa Gospel Mbeya Akiimba kwa Kujimwagia Matope na Kujipiga Matofali

$
0
0
Aliko ni mwimbaji wa nyimbo za injili kutokea Tukuyu Mkoani Mbeya Tanzania na hii ndo staili yake ya uimbaji anapokuwa jukwaani popote pale kwenye kuimba nyimbo za injili.

 VIDEO:

Wanaume Wenye Mahawara Please Muwe Makini Sana..Mnalogwa

$
0
0
Jumamosi ya juzi nikiwa ndani mwangu nafuatilia Bunge, nilisikia hodi ikabidi nikajue ni nani, alikuwa ni Jirani yangu (Binti) ana miaka kama 24-26 hivi, toka nimehamia hapa sijui ana shughuli gani inayomwingizia kipato au inayomfanya aishi hapa mjini, Baada ya kumkaribisha ndani akaanza hivi.

(Jina Langu) samahani, nikamjibu...bila samahani...(Jina lake), nina shida ya sh.30,000/= naomba unisaidie,(kwa kuwa nimezoena nae sana akaanza kunisimulia)

Kuna hawara yake ni doctor hapa ...juzi yake alimwambia kuwa "hamtaki tena kuanzia Juzi hiyo" huyo hawara yake ana mke na watoto 3.

Ni yeye (hawara) ndiye anayemlipia kodi ya nyumba, anamsomesha chuo cha Hotel management na ndiye anayemtunza kwa maana ya chakula.

Sasa kodi inaisha mwezi wa kwanza mwakani na ada ya chuo anadaiwa na imebaki sh. 700,000/= na pesa ya kwendea field Zanzibar hana.

Akaniambia kuwa, ...Nimepata mtaalamu (mganga) ameniambia nimpe sh. 30,000/= ili anipe dawa nimvute, (Amchomee) ili kurudisha mawasiliano halafu nyingine atamwekea kwenye chakula au kinywaji ili "akiomba kiasi chochote kile cha pesa apewe"

Sikuwa na iyana ila nimuuliza swali moja, kwa nini usitumie njia ya mazungumzo? akasema nishajaribu sana but hataki! "sasa mimi nitaishije hapa wakati ada nadaiwa, kodi ya nyumba inaisha mwakani"?

Nilimpa sh. 30,000/= akaenda.

Jumapili (jana) huyo hawara yake alisalimu amri yy mwenyewe kwa yeye kuanza kumpigia simu (kwa mujibu wa huyu binti) jamaa alimuuliza "upo wapi"? demu akajibu nipo nyumbani, Njoo .....bar...sasa kilichojiri huko jana sikijui nadhani leo ataniambia tu..

Kwa hiyo, wanaume tuwe makini sana na mahawara kwani yawezekana unaye na unatamani ujinasue kwake ila moyo wako unakufa ghafla na kuamua kuendelea naye hadi sasa. Pls, tuwe makini sana.

Kutana na Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed Kutoka Bagamoyo...Ana Dawa za Kurudisha Mapenzi na Zingine Nyingi

$
0
0

MIUJIZA YA SHARIFU SEIF MOHAMED KUTOKA BAGAMOYO.

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,
(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

USHAURI: kama unahitaji msaada ni  bora kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate  msaada kwa haraka.

Msanii Mkongwe Ferooz Amalizwa na Madawa ya Kulevya....Mwenyewe Akana Kutumia

$
0
0
Msanii mkongwe wa bongo fleva aliyetamba miaka ya nyuma kidogo na nyimbo yake ya ‘Starehe’ iliyofanya vizuri sana amefunguka na kudai tuhuma zinazomkabili kuwa anatumia madawa ya kulevya sio za kweli hata kidogo.

Wasanii wengi waliokuwa wanafanya vizuri siku za nyuma huishia kuchukua njia mbaya na hivyo kuishia kujiingiza katika matendo maovu kama kuuza na kutumia madawa ya kulevya na hivyo kupelekea vipaji vyao kufa wengi wao hudai hujiingiza kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kwa sababu ya ugumu kwenye gemu mfano wa wasanii waliojiingiza kwenye madawa ya kulevya ni pamoja na Ray C, Chiddi Benzi.

Ferooz ni moja Kati ya wasanii ambaye kwa kipindi kirefu ametuhumiwa kujihusisha na matumizi ya madawa ya Kulevya ambayo ndio yamepelekea kupotea katika ramani na kuzidi kuwa kimya tuhuma ambaxo Ferooz amezikana kwa nguvu shutuma hizo na kudai kuwa taarifa hizo hazifai kuaminiwa na watu wanaozisambaza ni wale wenye nia ya kumchafua na wasio mtakia mema.

Sijawahi kutumia dawa za kulevya na kama kuna mtu anayeshupalia kitu hicho tunaweza tukaweka dau tuende tukaangalie tuhakikishe na kama natumia sawa atakua ameshinda na jamii itakuwa imejua na kama nitaonekana situmii basi niondoke na dau langu na jamii itakuwa imeshajua situmii kitu kama hicho”.

Pia msanii huyo alielezea nia yake ya dhati ya kutaka kurudi kufanya muziki hivi karibuni kwa kutangaza kuwa anategemea kutoa ngoma yake hivi karibuni.

Meneja Wa Diamond ‘Babu Tale’ Ana Hatihati Ya Kuswekwa Rumande

$
0
0
Meneja wa Diamond, Babu Tale amejikuta katika upande mbaya wa sheria baada ya yeye na ndugu yake Iddi Tale Tale kushindwa kulipa fidia ya shilingi milioni 250 kutoka katika kampuni ya Tip Top kwenda kwa Mhadhiri wa dini ya kiislamu. Sheikh Mbonde juu ya kosa la matumizi ya kanda za mahubiri ya kiislamu kibiashara bila ruhusa.

Mwaka Jana mwezi februari, mahakama kuu kanda ya Dar es salaam iliwataka Babu Tale na Iddi Tale Tale kama Wamiliki wa kampuni ya Tip top walitakiwa wamlipe fidia Sheikh Mbonde fidia ya milioni 250 na juni mwaka huu mahakama iliamuru Wakurugenzi hao waweke wazi thamani za kampuni hiyo na kama watashindwa kutaja mali za kampuni basi wao watalipia fedha hizo au mali zao binafsi kukamatwa na kuuzwa endapo hawatakuwa na fedha za kufidia.

Pia kama hawana mali yoyote basi watakamatwa na kufungwa gerezani kama wafungwa wa kesi ya madai kwa mujibu wa sheria.

Katika hati ya madai ya kesi hiyo namba 185 ya mwaka 2013, Sheikh Mbonde aliingia makubaliano na kampuni hiyo ya kutumia kazi sake za mawaidha kwakuzalisha, kurekodi na kuzisambaza. Vile vile makubaliano mengine yalikuwa kulipia gharama za kurekodi masomo na mafundisho ya mihadhara

Gigy Money Akiri Kuishi Kwa Kudanga Kwa Wanaume

$
0
0
Mwanadada asiyeisha vituko katika mitandao ya kijamii Gift Stanford maarufu kama Gigy Money amefunguka na kusema kuwa jinsi anavyoishi yeye ni tofauti kabisa na vile watu wanavyomchukulia kwa sababu watu wanahisi yeye ana ela sana lakini kumbe maisha yake ni magumu tu na anaishi kwa kudanga  na kufanya badhi ya madili ya mtaani.

Gigy anasema kuwa kwa kifupi jina lake limekaa kipesa pesa ndo maana wengi  wanafikiria kuwa yeye anapesa nyingi sana lakini ukweli ni kwamba wala hayuko hivyo kabisa zaidi ya kupigika kimaisha. Gigy anasema kuwa anachoshangaa ni kwanini watu wamekuwa wakivutiwa sana na jina lake hili.

“Jina langu tamu sana,maana yake hata jinsi linavyo-sound  ni jina moja zuri ambalo limekaa kipesa pesa tuu, lakini ajabu pamoja na uzuri wa jina langu hilo  maisha yangu mimi mwenyewe hayafanani kabisa na jina langu, naishi kwa kudanga tu na kufanya madili ya hapa na pale“
Gigy Money  alishawahi kukiri kipindi cha nyuma katika chombo kimoja cha habari kuwa alikuwa akifanya kazi ya kuuza mili kwa wattu mbalimbali ikiwepo vigogo ili kuweza kujimudu kimaisha.

Ukiachana na kuuza sura katika video mbalimbali lakini pia Gigy Money kwa sasa amejiingiza katika kazi ya sanaa na pia ni mtangazaji wa kipindi fulani katika radio moja jijini, mashabiki wamekuwa wakishangazwa na mwanadada huyo ambae amekuwa na vipaji tofauti tofauti lakini bado anakiri kuwa yeye ni mdangaji.

Haitakuwa kauli ya  kwanza kwa Gigy Money kuongelea maisha yake na biashara hiyo ya udangajiLlakini pia hii ni moja ya tabia ya wasichana wengi Tanzania wanojifanya kujiingiza katika muziki huku wakitumua sanaa kama mwamvuli  wa kuwafunika huku nyuma ya pazia wakufanya mambo mabaya kama hayo ya udangaji.

Lakini kwa kuwa Gigy Money amekuwa ni mmoja wa watu waliopewa vipaji vingi ikiwemo hiki cha muziki nadhanisasa anapaswa kuacha kutaka kuishi maisha yasiyo ya kiwango chake na kujikitazaidi katika kazi halali itakayompa ela


BREAKING: Watu Wanne Wafariki Dunia katika Ajali ya Gari

$
0
0
Magari mawili yamegongana uso kwa uso katika barabara ya Morogoro Iringa maeneo ya Sangasanga na kusababisha vifo vya watu 4 na wengine majeruhi.

Kamanda wa Zimamoto wa Mkoa wa Morogoro amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na zoezi la kuwanasua majeruhi linaendelea

CHADEMA Wajiapiza Kuchukua Jimbo la Nyalandu

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kina uhakika wa kushinda uchaguzi mdogo wa ubunge wa jimbo la Singida Kaskazini ambalo Bunge lilitangaza jana kuwa liko wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wake kujiuzulu mapema wiki hii

Afisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene, alipoulizwa kuhusu uchaguzi huo, alisema watamtangaza mgombea wake, baada ya Nec kutangaza kuhusu uchaguzi huo.

"Tutamtangaza mgombea wetu ambaye tutamsimamisha kwenye uchaguzi huo mdogo na tunaamini tutakayemsimamisha lazima atashinda," alisema Makene.

Aidha kwa upande wa Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima baada ya kuulizwa iwapo amekwishapata barua kutoka bungeni  na lini itatangaza uchaguzi mdogo wa jimbo hilo, alifunguka na kudai kuwa muda ukifika watatoa taarifa.

 Kutangazwa kuwa wazi kwa jimbo hilo, sasa kunatoa fursa kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza mchakato wa kupata mrithi wa Lazaro Nyalandu ambaye alitangaza kujizulu nafasi hiyo na kujitoa uanachama wa CCM mwanzoni mwa wiki.

Taarifa iliyotolewa jana ilisema Spika wa Bunge, Job Ndugai, amemwandikia Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, kumfahamisha kuwa jimbo hilo liko wazi.

Taarifa ya Bunge ilisema Spika ameandika barua hiyo kwa mujibu wa kifungu 37(3) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi (Sura ya 343, ya mwaka 2015) kinachoelekeza kwamba, pale ambapo Mbunge atajiuzulu, atakufa au sababu nyingine yeyote tofauti na zilizoainishwa katika kifungu cha 113, Spika atamjulisha Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kutangaza kwenye Gazeti la Serikali kwamba kiti hicho cha Ubunge kiko wazi.

Jumatatu ya wiki hii, Nyalandu alitangaza kujiuzulu nafasi ya Ubunge na kutangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kutaja sababu za kuchukua uamuzi huo kuwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa hali ya kisiasa nchini ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa haki za kibinadamu na ongezeko la vitendo vya dhuluma wanavyofanyiwa baadhi ya watanzania.

CHADEMA Achaneni na Watu Waliokula Wakasaza CCM Jikiteni Katika Kuibua na Kujenga Vijana Vyuoni na Ndani ya Chama

$
0
0

Hivi karibuni tumeona kuna utaratibu wa viongozi na vijana wa CHADEMA kwa ujumla kushangilia na kuona ni jambo la kheri kwa upinzani kupata wanachama wapya kutoka CCM na kwenda CHADEMA. Jambo hili sio kwamba ni baya hapana hata kidogo ni jambo jema kwa ukuaji wa demokrasia lakini naona ukakasi katika ujenzi wa chama.

Ukweli ni kuwa hawa viongozi waandamizi wanaohama kutoka CCM walikua na nyadhifa na madaraka makubwa Mfano Mawaziri Wakuu Sumaye na Lowasa,kuna Mawaziri Mfano Masha,Nyalandu na Makongoro Mahanga tunaona wengi wao wanakuja upinzani hasa CHADEMA wakiwa na malengo yao ya kisiasa au wakiona wameshindwa kutimiza malengo yao wakiwa CCM wanaona njia rahisi na kukimbilia CHADEMA hapa tupime baada ya nia yao kushindwa kutimia je nguvu na uwezo wao wa kukijenga chama uko kwa Namna gani?

Hapa nakishauli chama kijikite katika kuandaa makada hasa vijana vyuoni na ndani ya chama sababu hawa watakua na uchungu na chama hasa kukipigania na kukisukuma chama mbele mfano wa vijana walioibuliwa na chama vyuoni na mpaka leo tunaona michango yao katika kushawishi vijana wengine kuingia katika siasa mfano

John  Mnyika
Halima James Mdee
David Silinde
John Heche
Daniel Naftar Ngogo
Malisa Godlisten
Patrobas Paschal

Hawa ni baadhi ya vijana walioibuliwa na chama wakafundwa na chama na kukuzwa na chama nguvu yao tunaiona katika ujenzi wa Upinzani madhubuti na imara iwe ni kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi.

Pili ni bora chama kikajikita ku recruit watu kutoka vyama vingne vya upinzani ambao watakuwa na manufaa katika ujenzi na kukipigania chama kuliko kuendelea kukumbatia hawa viongozi waandamizi kutoka CCM mfano CHADEMA kilipokea wanachama kutoka TLP na NCCR Mageuzi ambao mpaka leo tunaona impact yao ndani ya chama ni kubwa sababu wametoka upinzani ambako walikua wanapigania nchi wakaenda upinzani kwa wanakopigania nchi watu hao ni kama

Tundu Lissu
Peter Msigwa 
Godbless Lema
Mabele Nyaucho Malando 

Watu kama hawa mchango wao ni mkubwa na hauwezi kuulinganisha na mchango wa watu waliotoka CCM wakaja upinzani kama Sumaye,Masha na Kina Mkongoro Mahanga hii ni kutokana na ukweli kuwa hawa waliotoka CCM tayari wamekula wakashiba wakasaza sasa wanakuja kupumzika tu CHADEMA na kikubwa wameshika madaraka na nyadhifa kubwa za uwaziri na unaibu waziri ambapo wamekula kiapo cha kuto kutoa siri za baraza la Mawaziri na wakitoa ni kwenda kinyume na sheria ya usalama wa taifa so hata wakija hakuna wanalokuja nalo jipya ambalo tunaweza kulitumia dhidi ya CCM

Kama upinzani tunataka kupokea viongozi kutoka CCM tujikite katika kuwachambua na hata tunapowapa dhamana na kuwakaribisha na kuwashabikia wawe na sifa mfano vijana kama
Marehem Alphonce Mawazo ,
Esther Bulaya
Ally Bananga
Hawa ni vijana waliokuwa CCM na wakaja CHADEMA juhudi zao mpaka leo tunaziona katika ujenzi wa upinzani madhubuti.

Rai yangu CHADEMA tuachane na beba beba ya wanachama waandamizi kutoka CCM bali tujikitr kuangalia katika vijana wataoleta tija ndani ya chama

Hizi Ndizo Sababu za TRA kusitisha Utoaji wa Leseni za Udereva

$
0
0

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeeleza kuwa itaendelea na zoezi la utoaji wa leseni za udereva kwa wote walioomba, baada ya zoezi hilo kusitishwa kwa muda.

Mkurugenzi wa Elimu na Huduma kwa mlipa kodi, Richard Kayombo, ameeleza kuwa zoezi hilo litaanza tena kuanzia wiki ijayo.

Kayombo alisema kuwa upungufu wa malighafi ndiyo kimekuwa chanzo cha usitishwaji wa zoezi hilo ila kwa sasa tayari wameshapata malighafi za kutosha kuwawezesha kuendelea na zoezi.

“Kulikuwa na uhaba wa malighafi ndiyo maana tukashindwa kuchapisha leseni mpya za udereva. japo kwa sasa tayari tumeshanunua malighafi ya kutosha na tutaanza kuchapisha leseni kuanzia wiki ijayo,” alisema Kayombo.

“Madereva walioomba kupatiwa leseni watazipata ndani ya wiki moja. tumejipanga kuhakikisha kuwa madereva wote walioomba leseni, hasa wanaoendesha magari ya huduma kwa umma, wanapata leseni zao ndani ya muda mfupi ili waendelee kutoa huduma kwa jamii,” aliongeza.

Kumekuwapo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa maeneo mbalimbali hapa nchini kuhusiana na ucheleweshwaji wa upatikanaji wa leseni za udereva, huku wengine wakilalamika kutozwa faini na askari wa kikosi cha usalama barabarani kwa kuwa leseni walizo nazo zimekwisha muda wake wa matumizi.

Mwenyekiti wa Kijiji Afukuzwa Kazi kwa Kupiga Chabo

$
0
0
Picha si ya Tukio
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Josephine Matiro amemsimamisha kazi mwenyekiti wa kijiji cha Sayu, Mataifa Balekele mwenye umri wa miaka 54, kwa kulalamikiwa na wananchi kuwa na tabia ya kuwachungulia kwenye madirisha wakiwa wamelala usiku (Chabo).

Taarifa za mwenyekiti huyo zilifikishwa na wanakijiji kwenye mkutano uliofanyika na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya Bi, Josephine Matiro,alipokuwa kwenye ziara yake, na kumchukulia hatua hiyo ya kumsimamisha kazi huku kukemea vikali akisema ni utovu wa maadili.

Akisimulia tukio hilo Ofisa Mtendaji wa kata hiyo Denis Kimwaga amesema kuwa muhusika alikiri kufanya matukio hayo na alilipishwa faini, huku akidai ni shetani alimpitia.

“Kikao hicho kiliridhia mwenyekiti huyo asimamishwe kazi kutokana na tabia hiyo ya kuchungulia kwenye kaya za watu wakiwa wamelala huku yeye mwenyewe akikiri kufanya vitendo hivyo akidai kuwa amepitiwa tu na shetani na kuomba kuwalipa fedha kama fidia watu aliowachungulia,” amesema Bwana Kimwaga.

Baada ya kumchukulia hatua mwenyekiti huyo, Mkuu wa Wilaya huyo alimteua Paul Selena kukaimu nafasi hiyo
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live




Latest Images