Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live

Waziri Kigwangala Afanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla, amefanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam ambapo alibaini uwepo wa makontena yenye magogo ambayo ni mazao ya misitu yaliyokaa bandarini hapo kwa zaidi ya miaka 10.

Waziri Kigwangalla ameagiza Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii atangaze kujitokeza kwa wamiliki wa magogo hayo 938  na kama wamiliki wasipojitokeza, magogo hayo yatakuwa mali ya Serikali.

Aidha Dkt. Kigwangalla ametoa siku 30 kwa wamiliki wa makontena 55 yanayodaiwa kuingizwa nchini kutoka nchini Zambia kujitokeza na kuwasilisha nyaraka zao zenye kuthibitisha kama kweli yalivunwa nchini Zambia na yalivunwa wapi na kwa vibali gani vya nchi hiyo pamoja na kufuatilia nyaraka za kuingiza ndani ya Tanzania.

Ameagiza kitengo cha kuzuia ujangili kifuatilie kubaini uhalisia na uhalali wa taarifa hizo vinginevyo yatakuwa mali ya Serikali.

Dkt. Kigwangalla amefanya ziara ya kushtukiza bandarini hapo kufuatia uwepo wa taarifa za uvunaji holela wa magogo nchini, ambapo kuna taarifa kuwa kuna wafanyabiashara wa kigeni wanagawa vifaa vya kuvunia bure kwa ahadi ya kuuziwa mzigo na wahusika, pia uwepo wa taarifa kwamba kuna baadhi ya watumishi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wanaotoa vibali na kugonga nembo kinyume cha taratibu za kisheria, hali inayotishia usalama wa raslimali adimu ya misitu yetu ya asili.


Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Faiza Ally Atoa Kali ya Mwaka Atupia Picha Akijifungua Hospitalini na Kuandika Haya

$
0
0
Faizaally_
Sikujua kama mna ujinga wa kiasi hichi 😱.....any way hapo ndio nilitoka leba nampa mwanangu busu la ushindi😘😘😘😘 kama kwenda leba ni aibu basi acha iwe kwangu na kama ku share furaha yangu ni tatizo acha liwe👐 I AM PROUD OF MY SELF .... ku push sio mambo ya spoti spoti 🤣🤣 #proudmom #proudtobeawoman happy 4 month son 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘 @lijunior_ and thank you @baba_li_jr nakupenda ❤️❤️❤️

Rais Museveni Ataja Siri yake ya Kutokuugua Kwa Miaka 30

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Museveni ameweka bayana kuwa katika miaka 30 iliyopita hajaugua ama kulazwa hospitalini na yote hiyo ni kutokana na kula mlo kamili lakini pia kutokunywa pombe.

Museveni ambaye ana miaka 73 ameiongoza Uganda kwa zaidi ya miaka 30 sasa na kwa muda huo wote amesema haijawahi kuripotiwa kuwa anaumwa kwa sababu hana muda na ugonjwa.

Museveni amesema kuwa serikali anayoiongoza imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha raia wa Uganda wanapata huduma bora za afya na kwamba walianza kwa kutoa chanjo za aina 8 na sasa wamefikia aina 13 ikiwemo chanjo ya Homa ya Ini aina B.

Rais Museveni ni kiongozi wa tatu Afrika ambaye hadi sasa yupo madarakani kwa muda mrefu zaidi ambapo wa kwanza ni Teodoro Obiang wa Equatorial Guinea, wa pili  ni Paul Biya wa Cameroon.

Manyika Katoboa Sababu ya Kukaa benchi Simba

$
0
0
Golikipa wa Singida United na timu ya taifa ya Tanzania Peter Manyika Jr amefunguka kuhusu mkasa wake wa kukaa benchi kwa muda mrefu akiwa Simba hadi kuamua kuachana na klabu hiyo baada ya mkataba wake kumalizika.

“Kuna vitu vidogovidogo ambavyo vilikuwa vinaingiliana kati ya kazi na maisha ya kawaida, hiyo ndio ilinigharimu. Sisi vijana mambo mawili matatu yakitokea lazima yakuvuruge. Nashukuru Mungu kichwa changu kimetulia nimepata ushauri mpya, nimerudi kwenye njia ambayo nilikuwa nahisi itanifikisha pale napohitaji kufika,”-Peter Manyika Jr via TBC.

“Muhimu ni kuelewa umekosea wapi katika kazi yako au maisha na ukijipanga tena, ukijipanga tena na kujituma  na ukitumia akili yako vizuri basi utarudi kwenye njia yako ambayo wewe unaihitaji kurudi.”

Manyika Jr ameidaikia Singida United mechi zote (11) hadi sasa za msimu huu na kuisaidia timu hiyo iliyorejea VPL kupata pointi 20 na kushika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu ikiwa ni tofauti ya pointi tatu na vinara wanaoongoza ligi hiyo.

Katika mechi 11 ambazo Manyika Jr amesimama golini, Singida United imepoteza mchezo mmoja (Mwadui 2-1 Singida United) huku akiwa hajaruhusu kufungwa goli katika mechi saba, amefungwa magoli matano pekee katika mechi zote 11.

Kwa sasa Manyika Jr yupo nchini Kenya akikitumikia kikosi cha Tanzania bara (Kilimanjaro Stars) kwenye michuano ya CECAFA Challenge Cup 2017.

“Lazima Tufanye Usajili”-Haji Manara

$
0
0

Nikipindi cha dirisha dogo la usajili kwa ligi mbalimbali za Tanzania bara kwa ajili ya timu kuboresha vikosi vyao kwa kusajili wachezaji wapya na kuacha au kuwatoa kwa mkopo wale ambao hawapati nafasi kwenye vikosi vya kwanza.

Afisa habari wa Simba, Haji Manara amesema kikosi chao ni lazima kifanye usajili katika kipindi hiki, Manara amesema tayari ripoti ya benchi la ufundi imeshafika kwa kamati ya usajili ambako wanamalizia mchakato wa nani asajiliwe kisha wapeleke kwenye kamati ya utendaji.

“Simba itaongeza mchezaji, tumeshapokea ripoti ya benchi la ufundi ipo kwenye kamati ya usajili na wao wapo kwenye kumalizia mchakato. Nadhani wiki ijayo kamati ya utendaji itaridhia bila shaka na tutatangaza nani anaingia.”

“Nani ataingia mimi sijui, lakini tutasajili bila shaka lazima tutaongeza mchezaji. Yanayoandikwa kwenye magazeti na mitandao ya kijamii ni tetesi. Tetesi kwenye kipindi cha usajili ni jambo la kawaida dunia nzima, mimi sina tatizo nalo.”

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumapili

Mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Anthony Diallo Adai Kukerwa Kupekuliwa na Maofisa wa TAKUKURU

$
0
0

Mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Anthony Diallo amedai kukerwa na kitendo cha maofisa wa Takukuru kusimamisha gari lake na kulipekua, wakati alipokuwa kwenye harakati za kampeni wilayani Ukerewe.

Mfanyabiashara huyo maarufu Kanda ya Ziwa anatetea nafasi yake katika uchaguzi uliofanyika jana.

Hali hiyo, imekuja wakati uchaguzi wa viongozi wa CCM ukiwa umefikia ngazi ya mkoa huku katika baadhi ya mikoa kukiwa na malalamiko mengi ya rushwa.

Akizungumza wakati akiomba kura jana, Diallo alisema amesikitishwa na kutofurahishwa na kitendo cha maofisa hao.

“Kitendo hiki (cha gari kupekuliwa), hakikuwa cha kiungwana,” alisema Diallo ambaye anamiliki kampuni ya Sahara Media inayomiliki kituo cha televisheni na redio.

“Hata mimi najua rushwa ni adui wa haki na nimeahidi kupambana na rushwa kwa ahadi na imani ya mwana CCM.”

Mbali na kupekua gari la waziri huyo wa zamani, Takukuru iliwahoji baadhi ya wagombea na wanachama mkoani Simiyu kwa tuhuma za rushwa.

Wakati mkuu wa Takukuru mkoani Mwanza, Ernest Makale akithibitisha kupekuliwa kwa gari la Diallo, mwenzake wa Simiyu, Adili Elinipenda amesema taasisi yake inawashikilia viongozi na wanachama kadhaa kwa mahojiano.

Kuhusu gari la Diallo kupekuliwa, Makale alisema tukio hilo lilitokea wilayani Ukerewe baada ya maofisa wa Takukuru kupata taarifa kuwa kiongozi huyo aliyekuwa wilayani humo kufanya kampeni alikuwa akijihusisha na vitendo vya rushwa.

“Hata hivyo, baada ya kulisimamisha gari yake na kufanya upekuzi, hatukukuta ushahidi wowote na kumuachia kuendelea na kampeni zake,” alisema Makale.

Diallo aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya Awamu ya Nne, ni miongoni mwa wagombea waliopitishwa na Halmashauri Kuu kutetea nafasi yake.

Katika tukio la Simiyu, Elinipenda alisema Takukuru inaendelea kuwahoji baadhi ya viongozi na wanachama wa CCM lakini hakuwa tayari kuwataja.

“Nitatoa taarifa na kutaja majina ya tunaowahoji baada ya zoezi la kuwahoji kukamilika,” alisema Elinipenda.

Serikali inampango Kuajiri Walimu 11,000

$
0
0
Serikali imepanga kuajiri walimu 11,000 wa shule za msingi na sekondari katika mwaka wa fedha wa 2017/18.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Suleiman Jafo alisema katika mpango huo, walimu 7, 000 watakuwa wa shule za msingi na 4,000 wa sekondari.

“Hadi kufikia Desemba 31, walimu 2,700 watakuwa wameshaajiriwa,” alisema Jaffo

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma wakati wa kurekodi kipindi cha Tujadiliane kinachoandaliwa na Klabu ya Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) na kurushwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari, Jafo alisema ajira hizo zitapunguza upungufu wa walimu unaotokana na ongezeko la wanafunzi tangu Sera ya Elimu Bure ya Msingi ianze kutekelezwa.

Tangu mwaka jana, Serikali inatekeleza sera hiyo inayoligharimu Taifa zaidi ya Sh20 bilioni kila mwezi, huku idadi ya wanafunzi wanaoandikishwa katika shule za msingi na wale wanaojiunga na za sekondari ikiongezeka kwa zaidi ya wanafunzi milioni moja.

Miundombinu shuleni

Kuhusu miundombinu shuleni alisema kwamba Serikali imetenga zaidi ya Sh37 bilioni za ujenzi wa mabweni katika shule za sekondari za umma 148.

Akifafanua, Jafo alisema zaidi ya Sh21 bilioni zimetumika kujenga mabweni 85 katika awamu ya kwanza ya mpango huo, huku awamu ya pili ya kujenga mabweni 65 iliyoanza kutekelezwa Agosti ikitarajiwa kugharimu Sh16 bilioni.

Kuhusu matundu ya vyoo na vyumba vya madarasa,

Waziri Jafo alisema Serikali imetenga zaidi ya Sh246 bilioni kukabiliana na upungufu wa matundu ya vyoo na vyumba vya madarasa katika shule za umma.

“Theluthi moja ya fedha hizo, sawa na Sh82 bilioni zitatumika kukamilisha miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa na matundu ya vyoo inayotekelezwa kwa nguvu za wananchi,” alisema.

Sekta ya afya

Waziri Jafo alisema kuwa Serikali imepanga kujenga vituo vya afya 172 kwa fedha kutoka Benki ya Dunia (WB), Serikali ya Canada na wadau wengine kupitia mfuko wa pamoja wa kuendeleza Sekta ya Afya (Basket Fund).

“Lengo ni kutekeleza sera ya zahanati kila kijiji na kituo cha afya katika kila kata ili kuwahakikishia wananchi upatikanaji wa huduma za afya,” alisema Jafo.

Alifafanua kuwa hivi sasa ni kata 530 pekee kati ya 3,900 zilizopo nchini ndizo zenye vituo vya afya.

Kuhusu upatikanaji wa dawa na vifaatiba, alisema Serikali imeongeza bajeti hadi kufikia Sh269 bilioni kwa ajili hiyo.

“Tunazo pia zaidi ya Sh127 bilioni za Basket Fund zitakazoelekezwa kwenye utatuzi wa changamoto ya upungufu wa dawa na vifaa tiba kwenye zahanati, vituo vya afya na hospitali za umma,” alisema.

Akizungumzia upungufu wa watumishi katika sekta ya afya iliyochangiwa na uhakiki wa vyeti feki, Waziri Jafo alisema tayari Serikali imeajiri watumishi 2,058 huku wengine zaidi wakitarajiwa kuajiriwa.

Suala la uhakiki wa vyeti lililoendeshwa na Serikali mwaka jana liliwanasa zaidi ya watumishi 19, 000 ambao ajira zao zilisitishwa, huku sekta ya afya na elimu zikiathirika zaidi.

Mwananchi:

Naibu Waziri Atoa Agizo la Kukamatwa kwa Mkandarasi

$
0
0

Naibu Waziri Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso ameviagiza vyombo vya dola mkoani Ruvuma kumsaka mkandarasi (jina tunalo) kwa tuhuma za kulipwa Sh500 milioni na kuondoka.

Agizo hilo alilitoa wilayani Tunduru jana baada ya kupokea taarifa ya mradi mkubwa wa maji unaogharimu Sh1 bilioni uliopo Mironde, Kijiji cha Matemanga.

Naibu Waziri Aweso alisema kwamba Serikali haitamvumilia mkandarasi yeyote atakayekula pesa ya mradi wa maji na kuwataka waliokula pesa hizo kujiandaa ‘kuzitapika.’

Naibu Waziri aliwaagiza wakuu wa idara na wakurugenzi wa halmashauri kuacha kutoa tenda kwa ushemeji au mtoto wa mjomba.

Awali, mhandisi wa maji wa halmashauri ya Tunduru, Emmanuel Mfoi alisema mradi huo ulianza kujengwa mwaka 2013 na ulitakiwa kukamilika mwaka 2014 lakini umekuwa ukisuasua.

Alisema kwamba mkandarasi alikuwa akiongezewa muda mara kwa mara na kutakiwa akabidhi mradi huo kwa halmashauri kabla ya Novemba 27 mwaka huu lakini kashindwa.

Mkazi wa kijiji cha Matemanga, Said Hamis alimweleza Naibu Waziri kuwa wananchi wanateseka kutokana na kutopata huduma ya maji.

“Tunashukuru umefika kiongozi wetu, huduma ya maji hapa hakuna kabisa hali ni mbaya na hatuna matumaini ya kupata majisafi na salama, tunaomba Serikali itutatulie kero hii ya muda mrefu,” alisema Hamis.

Mwananchi:

Punguza Unene na Kutibu Magonjwa Kwa Kutumia Dawa za Edmark...Bonyeza Hapa

$
0
0

TUNA DAWA AMBAZO NI VIRUTUBISHO NA CHAKULA MBADALA ZIMEHAKIKIWA NA TFDA

Ni uhakika kwa afya yako, kupunguza uzito na Sumu mwilini, Mafuta/Sehemu Mbaya, Kitambi na Nyama Uzembe na kutibu MAGONJWA Mbali mbali yaliyoshindikana

Loose Weight Trainer ni Msaada wako Wasiliana Nasi Kwa WhatsApp or Call 0713 777 470

Upate Suluhisho la Afya yako Bila Madhara pia unaweza kujiunga nami ili ufanye Biashara hii Nicheki


Intagram napatikana kwa jina @looseweight_trainer

Bunge Lafunguka Kujiuzulu Kwa Mtulia

$
0
0
Ofisi ya Bunge imesema  haijapokea barua kutoka kwa aliyekuwa mbunge wa Kinondoni (CUF), Maulid Mtulia aliyetangaza kujiuzulu wadhifa huo.

Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai alipotafutwa na MCL Digital leo Jumapili Desemba 3,2017 ili kujua iwapo ofisi yake imepokea barua ya Mtulia amesema hawajapokea.

Kagaigai amesema hakuna ofisi inayokuwa wazi usiku hivyo hawajapokea barua ya Mtulia ambaye taarifa ya kujiuzulu kwake aliitoa kwa vyombo vya habari jana Jumamosi Desemba 2,2017 saa mbili usiku.

Katika taarifa yake, Mtulia alisema alifikia uamuzi wa kujiuzulu kwa utashi wake bila shinikizo la mtu yeyote.

Mtulia ameeleza sababu za kujiuzulu ubunge na kuhama chama kuwa imetokana na uzoefu alioupata kwa miaka miwili ya ubunge.

 “Nimebaini kuwa Serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambacho ni chama tawala inafanya kazi kubwa ya kutekeleza ilani na imefanya vizuri katika mambo mengi ambayo sisi wapinzani tuliahidi kuyatekeleza,” alisema Mtulia.

Mwananchi:

Kazi Yaanza Tanesco..Yavunja Jengo lao la Mapokezi

$
0
0
Jengo lenye ofisi za mapokezi na ukumbi wa mikutano wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limevunjwa.

Pia, kibanda cha walinzi wa jengo la Tanesco kimevunjwa chini ya usimamizi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).

Uvunjaji huo uliofanyika usiku wa kuamkia jana Jumamosi Desemba 2,2017 ni maandalizi ya kuvunja sehemu ya jengo la ghorofa lenye ofisi za Tanesco eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ambalo liko kwenye hifadhi ya barabara.

Ubomoaji huo unafanyika pia kupisha utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa barabara za juu eneo la Ubungo.

Meneja wa kikosi cha ujenzi TBA, Humphrey Killo amesema leo Jumapili Desemba 3,2017 kuwa wanafanya maandalizi ya kubomoa jengo la ghorofa.

Amesema wanatarajia maandalizi hayo yatakamilika Jumanne Desemba 5,2017.

Jumanne Novemba 28,2017 akizungumzia kuhusu ubomoaji wa jengo hilo, Kaimu Meneja Uhusiano wa Tanesco, Leila Muhaji alisema wafanyakazi wamehamia katika ofisi zingine za shirika hilo zilizoko jijini Dar es Salaam.

Uongozi wa Tanesco katika taarifa kwa umma iliyotolewa Jumatatu Novemba 27,2017 ulisema umeanza utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli kuhusu kubomolewa jengo hilo.

Novemba 15,2017 akitokea Chato alipokwenda kwa mapumziko baada ya ziara ya Uganda, Rais Magufuli aliagiza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuweka alama ya X katika jengo lenye ofisi za Tanesco sehemu zilizo katika hifadhi ya barabara.

“Katika kipindi hiki cha utekelezaji wa agizo la Rais. Tunapenda kuwahakikishia wateja na Watanzania kwa jumla kuwa, huduma za umeme zitaendelea kupatikana kama kawaida ikiwemo huduma ya ununuzi wa Luku,” imesema taarifa hiyo.

Simba na Mohammed Dewji Kama Samaki na Maji...Ashinda Uwekezaji Club ya Simba

$
0
0
Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania, Mohammed Dewji amepita katika mchakato wa kumtafuta muwekezaji wa klabu ya Simba na ofa yake ya Tsh bilioni 20.

Dewji ambaye amejitokeza na kuwa muwekezaji pekee ambaye aliweka dau kubwa la Tsh bilioni 20 kupata hisa kwa asilimia 51 ndani ya klabu hiyo amekubaliwa kwa dau hilo kwa kupata hisa 49.

Mwenyekiti wa kamati ya mchakato huo wa mabadiliko, Jaji Mihayo amesema, Mo Dewji amepita na kitachofuatia ni majadiliano mengine baada ya mkutano wa leo.

“Mohammed Dewji ndiye mshindi, maana katika kamati yetu. Hivyo yeye ndiye amekuwa mshindi wa kuwania kuwekeza katika klabu ya Simba. Baada ya mkutano huu kutakuwa na majadiliano,” amesema Jaji Mihayo.

Polisi, TCRA wazungumzia akaunti ya Mange Kimambi

$
0
0
Jeshi la Polisi limetaka liachwe liendelee kufanya kazi yake kwa weledi katika kushughulikia suala la Mtanzania aishiye ughaibuni, Mange Kimambi, ambaye anatuhumiwa kuchapisha taarifa zinazodaiwa kuwatusi mitandaoni watu mbalimbali wakiwamo viongozi.

 Akizungumza na Nipashe  kuhusiana na uwezekano wa wao kuifunga akaunti ya Kimambi ikiwa sehemu ya hatua wanazochukua kwa sasa, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Barnabas Mwakalukwa, alisema ni kweli jeshi lao linalifanyia kazi suala hilo.

Hata hivyo Mwakalukwa hakutaka kukubali au kukataa juu ya kile kilichodaiwa kutokea kwenye akaunti ya Kikambi na badala yake kutaka apewe muda wa kulifanyia kazi ndipo alitolee maelezo ya kina.

“Hili jambo lina mambo mengi sana. Watu wengi wanahusika na taasisi nyingi (pia) zitahusika kulishughulikia, Hivyo tunaendelea kupokea mawazo ya watu mbalimbali kuhusu namna ya kwenda nalo… mawazo wanayotupa tunayafanyia kazi lakini naomba mtuache kwanza tunaendelea kulishughulikia,” alisema Mwakalukwa.

Aidha wakati Msemaji wa Polisi akisema hayo, TCRA ilisema kuwa haiwezi kufunga wala kuingilia akaunti ya Kimambi kwa sababu huo siyo wajibu wake kisheria.

Msemaji wa TCRA, Semu Mwakyanjala, aliiambia Nipashe kuwa mamlaka yao haina nguvu za kisheria kufanya kazi hiyo bali wenye wajibu wa kufanya hivyo ni kitengo cha kudhibiti uhalifu wa mitandaoni cha Jeshi la Polisi.

Akifafanua zaidi, msemaji huyo alisema makosa yote yanayohusu mitandao, yakiwamo ya watu kutishiwa maisha, kutukanwa, kuibiwa kwa njia ya mtandao au kunyanyaswa kwa namna yoyote mtandaoni, wanaohusika ni polisi na siyo TCRA.

“Masuala ya akaunti za watu kwenye mitandao kama hiyo unayosema (ya Kimambi)… mwenye mamlaka ya kuingia na kuzifunga ni Jeshi la Polisi. Bunge liliipa mamlaka ya kisheria polisi kuchunguza na kukamata wahalifu kama hao… waulizeni wao,” alisema Mwakyanjala.

Hata hivyo zipo taarifa mitandaoni  zilimkariri Mtanzania huyo aishiye Marekani kuwa kilichotokea ni matokeo ya kazi ya wadukuzi wa mitandaoni, maarufu kama ‘hackers’ kupoteza akaunti yake yenye wafuasi takribani milioni 1.5.

Pamoja na hayo upo ujumbe wa lugha ya kigeni uliokuwa ukisambaa kwenye mtandao wa instagram ukionyesha kuwa akaunti inayofahamika kuwa ni ya Kimambi, imefungwa na waendeshaji wa mtandao wa Instagram kwa sababu ya kuwapo kwa malalamiko dhidi ya machapisho ya akaunti hiyo.

Download Application ya MCHAMBUZI Kwenye Simu yako Kusoma Habari za Siasa Kila Baada ya Lisaa Limoja

$
0
0
Maswala ya Siasa na Matamko ya kila siku ya Wanasiasa Hakikisha Umedownload App ya Mchambuzi Kwenye simu yako

Kama we ni Mpenzi wa Habari za Siasa Usipitwe na Hii Application ya Mchambuzi..... 

Bonyeza HAPA Kudownload kwenye Simu yako

Pendeza na Kessy Product: Badili Muonekano Wako na Kuweka Mwili Wako Safi Kwa Product za Asili

$
0
0

PENDEZA NA KESSY PRODUCT: BADILI MUONEKANO WAKO NA KUWEKA MWILI WAKO SAW KWA PRODUCT ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI, MATOKEO NI KWAARAKA*
1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _100,000/
2) KUREFUSH NYWELE NA KUZUIAKUKATIKA 90,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO KUWA NA UMBO ZURI (HIPS & BATAKS)KUNADAWA AINA TATU (@)JELI KUPAK_100,000/(B) KUNYWA (C)VIDONGE_130,000/
4)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, KIUNONI NA MAPAJAN_80,000/
5)TOA KITAMBI KABISA(@) KUPAK 10O,000/ (B)VIDONGE/SLIMING MAJAN 130,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE NA MANYAM YOTE
@) DAW YA MAJINI_100,000/NA VIDONGE_130,000/
7)PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME BILA KUVAA SIDIRIA_80,000/
8)KUONGEZA MAZIWA NA SAIZI NZURI_80,000/
9)ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA (kifaru)_100,000/
10) ONDOA MICHIRIZI ILIYO YAKAWAIDA NA UZAZ_80,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY MAPAJA KIKWAPAN_70,000/
13) KUWA MWEUPE WAKUPENDEZA KWA DAW(@) VIDOGO(WHITE SOLUTION)_130,000/(B)MAFUTA YAKUPAK 100,000/
14)TOA NDEVU VINYWELEO MWLINI _80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA KUTUMIA JELI PAMOJA NA VIDONGE VYAAIN ZOT _100'000
16) ENGEZA MAUMBIL YA KIUME
@) (HANDSOME UP) MASHINE _200,000/
@) JELI NA VIDONG VYA SHARK_ 120,000 /
17) RUDISHA HAMU YA TENDO NA KUCHELEWA KUFIKA KILELE_80,000/
18) RUDISH(BIKRA) 100,000/
19)ONDOA MAFUTA USONI _80,000/
20)ONDOA MIKUNJO USON_70,000/(21) ENGEZA MGUU_80,000/🍍🍉🌾 *TUNAPATIKAN DAR E SALAAM* *NAKWA *MIKOANKOTE* UTAPATA *PIA* *NA NCHI ZOTE PIGA CM* (+255)0719955528
0756259180
0785371237
@dr_kessy_product*
*Delivery POPOTE ULIPO,*

Mbunge Aliyejivua Uanachama CUF Awataka Wananchi Wachague CCM Uchaguzi ujao

$
0
0
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi (CUF), Maulid Said Abdallah Mtulia amewataka wananchi wa wilaya ya Kinondoni kuchagua Mbunge wa Chama cha Mapinduzi kwenye uchaguzi ujao ili kuharakisha maendeleo katika jimbo.

 Mhe. Mtulia ambaye jana tarehe 2 Novemba, 2017, alitangaza kujivua uanachama wa CUF na nafasi zake zote za uongozi ndani ya Chama hicho amesema wananchi endapo watamchagua Mbunge kutoka Chama tawala basi maendeleo yatakuja kwa haraka kuliko Mbunge anayetoka vyama vya upinzani.

“Naamini Kama ningekuwa Mbunge wa Chama tawala ningeweza kutekeleza vizuri zaidi ahadi zangu ambazo nimezitoa kwa wananchi wangu.. Kwa sababu hiyo nimeona sasa ni bora nijivue nafasi zangu zote (Ndani ya CUF) na kama uchaguzi ukifanyika wananchi wa Kinondoni wasifanye makosa wahakikishe wanamchagua Mbunge anayetokana na Chama tawala ili awe kiunganishi kati yao na serikali yao waweze kupata maendeleo kwa haraka zaidi.“amesema Mhe. Mtulia.
 Kwa upande mwingine Mhe. Mtulia amesema yupo tayari kujiunga na CCM na kueleza kuwa hata sababu zilizomfanya ajivue uanachama CUF ni kutokana na utendaji kazi wa Rais Magufuli wa kupambana na rushwa.

Fahamu Madhara ya Kufanya Mapenzi Kipindi Mwanamke akiwa na Hedhi

$
0
0
Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajari sana afya zao na si kuzidumaza na kuendekeza hisia kwani hiloo ndilo kosa kubwa la vijana wengi wa siku hizi...Zifuatazo ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea endapo wawili hawa wakafanya ngono wakati KE yupo katika siku zake{period}..

 MADHARA KWA MWANAUME.
1.Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu.

 2.Maambukizi katika tezi dume(Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume.

 3.Kuziba kwa njia ya mkojo.

 4.Utasa au ugumba.

 5.Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume.

 6.Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi, au harufu kali na mbaya na hivyo kuona kuwa mwanamke ni mchafu.Pia hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.

MADHARA KWA MWANAMKE.
1.Kupatwa na mambukizi viungo vya ndani vya uzazi kama vile shingo ya kizazi,mirija ya uzazi kwa ujumla wake anaweza kuwa na tatizo la PID( PELVIC INFLAMATORY DISEASES) tatizo ambalo linaweza kuathiri mfumo wake wa uzazi.

 2.Maumivu makali ya tumbo hasa kwa wale wanaopatwa na maumivu wakati wa hedhi.(Dysmenorrhea).

 3.Utokaji wa damu unaweza ukaongeza kuliko vile inavyotoka kwa kawaida yake.

 4.Utasa au Ugumba.

 5.Kuvimba kwa kuta za ndani za uke kwa kuwa wakati wa hedhi zenyewe huwa tayari zimevimba au kutanunuka hali pia itamsababishia maumivu kwenye uke wakati wa tendo la ndoa.

 6.Athari mbaya ya kisaikolojia:Mwanamke atahisi kuwa mumewe hamjali wala mpendi bali anajali hisia zake za kingono na kwamba yeye anatumika kingono tu.Pia kuona kuwa mumewe ajali afya yake pamoja na maumivu anayoyapata lakini bado huyu mume anataka KU-DO.
NOTE
 Hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0

THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live




Latest Images