Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Hii ndio zawadi ya Manara kwa Papii Kocha baada ya kutoka jela

$
0
0

Jumamosi ya December 9 2017 ni siku ya furaha kwa watanzania na wapenzi wa muziki wa dansi kwa ujumla, hiyo inatokana na Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kutangaza msamaha kwa wafungwa wakiwemo msanii Nguza Viking maarufu kama Babu Seya na Mwanae Papii Kocha.

Rais Magufuli ametangaza msamaha kwa Babu Seya na mwanae Papii Kocha akiwa mjini Dodoma katika maadhimisho ya miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania na muda mchache baada ya taarifa hizo kutoka watu mbalimbali tumeona wakioneshwa kufurahishwa na uamuzi huo wa Rais Maguli.

Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa club ya Simba Haji Manara ni moja kati ya watu waliooneshwa kufurahishwa na maamuzi hayo na kaamua kuandika hivi kupitia ukurasa wake wa instagram katika picha ya Papii Kocha akiwa kavaa jezi ya Simba.

“Nchi imezizima sababu yenu . Mungu ametenda miujiza kupitia kwa Rais wetu..uliitangaza Simba hadi gerezani..ntakuvalisha jezi mpya iliosainiwa na wachezaji wote🙏🙏…ila Wenger bado hajatwaa taji…. kama ulivyomuacha🙇🙇”>> Haji Manara

Huo ni ujumbe wa Haji manara kupitia ukurasa wake wa instagram, kama utakuwa unakumbuka vizuri Babu Seya na watoto wake watatu akiwemo Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kukutwa na hatia ya kesi ya kubaka na kunajisi watoto 10.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.

Mataifa ya Kiarabu Kuiwekea Marekani Vikwazo vya Kiuchumi...Kisa Kizima Hichi Hapa

$
0
0

Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon, Gebran Bassil atoa wito kwa Mataifa ya Kiarabu kuiwekea Marekani vikwazo vya kiuchumi mpaka ibadili uamuzi wake wa kuitambua Jerusalem kama Mji Mkuu wa Israel.

Ameyasema hayo katika Mkutano uliowakutanisha viongozi kutoka nchi za kiarabu ambao walikutana kujadili kauli ya Rais Donald Trump kuhusu Jerusalem ambao kwa pamoja wametoa tamko la kupinga na kusema kauli ya Rais huyo haijakaa kisheria na inachochea mgogoro zaidi.

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0

MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na Nasi kwa Namba; 0783140065

Tupo Mbagala Rangi Tatu 

Takukuru yamshikilia mwenyekiti wa UVCCM

$
0
0

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Dodoma inamshikilia Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sadifa Juma Khamis kwa tuhuma za kugawa rushwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi.

UVCCM leo Jumapili Desemba 10,2017 inachagua viongozi wapya wa ngazi ya Taifa watakaoongoza jumuiya hiyo ya CCM kwa kipindi cha miaka mitano.

Sadifa ambaye pia ni mbunge wa Donge, Zanzibar amekamatwa nyumbani kwake karibu na mnada wa zamani mkoani Dodoma.

Kamanda wa Takukuru mkoani Dodoma, Emma Kihanga amethibitisha kukamatwa kwa mwenyekiti huyo na kwamba watatoa taarifa zaidi baadaye.

"Ni kweli tumemkamata tangu jana usiku tumekesha tunafanya uchunguzi, nitatoa taarifa baadaye kuhusu tukio hilo," amesema.

Mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM unaendelea mjini Dodoma na miongoni mwa waliohudhuria ni Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli.

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akifunga mkutano mkuu wa uchaguzi wa Umoja wa Wanawake (UWT) jana Jumamosi Desemba 9,2017 alisema hawajapokea malalamiko mengi kutoka umoja huo na kuzitaka jumuiya nyingine za CCM kujifunza UWT.

Baada ya sakata la dawa za kulevya, Wema aweka wazi mahusiano yake na RC Makonda

$
0
0

Tangu mrembo Wema Sepetu akamatwe kwa tuhuma za kujihusisha na madawa ya kulevya kwa kutajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mnamo mwezi Februari mwaka huu, Mrembo huyo hajawahi kumposti wala kumzungumzia kwa lolote kama alivyokuwa akifanya hivyo kipindi cha nyuma.


Watu wengi waliamini kuwa kitendo cha Wema Sepetu kutajwa na RC Makonda kwenye  orodha ya Wasanii waliotuhumiwa kujihusisha na madawa ya kulevya kuliondoa urafiki wao waliokuwa nao awali.


Sasa, Wema Sepetu ameamua kuwaonesha mashabiki wake kuwa hayo yote yameshaisha na kwa sasa amerudisha yake ya urafiki na RC Makonda kama ilivyokuwa zamani.

Hayo, ameyathibitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuweka picha akiwa na RC Makonda na kuandika kuwa “Kila lenye mwanzo lazima mwisho uwepo“.

Hatua hiyo ya Wema Sepetu imeonekana kuwafurahisha mashabiki wake wengi wakimsapoti kwa maamuzi hayo. Pitia baadhi ya maoni ya mashabiki wake baada ya uamuzi huo


Kwa upande mwingine, mrembo Wema Sepetu bado anakabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya bangi na kesi yake itasikilizwa alhamisi ya tarehe 14 Desemba, 2017. kunako mahakama ya Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam.

Offer ya X Mass...Pendeza sasa na Markson Beauty Kwa Punguzo la Bei

$
0
0

OFFER YA X-MASS.🎁
PENDEZA SASA NA MARKSON KWA PUNGUZO LA BEI
Katika kusherehekea X-mass na mwaka mpya @markson_beauty_pr tumetoa ofa kubwa kama Salam za sikukuu kwako.
Bidhaa hizi ni za mimea na matunda na zimethibitishwa kiafya.
KWA WANAUME TUNATIBU👇👇
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.
Kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @230,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 3-5 (wiki 4) @140,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @170,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @140,000/=
5. MAXMAN 2-Huongeza uume na uwezo wa kufanya tendo @220,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @180,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @130,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @130,000/=
(b) Vidonge @150,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @130,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @200,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @130,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @120,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za MARKSON BEAUTY CO

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.markbeautyc.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr

Picha ya Rais Magufuli Akikagua Ubora wa Kiatu

$
0
0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia ubora wa kiatu cha Mrakibu Msaidizi wa Magereza Melkior Komba, Katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma.

Viatu hivyo vimetengenezwa na kiwanda cha Jeshi la Magereza Karanga kilichopo Moshi Mkoani Kilimanjaro.

Kutana na Mtabibu wa Nyota Duniani Maalim Fadhil Rashid Kutoka Comoro Kwa sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436

Kama Ulikuwa Unajiuliza Wanawake wa Mjini Wanaishije Bila Kazi na Huku Wanamaisha Mazuri Soma Hii

$
0
0
Msichana akitaka PERUVIAN HAIR mpya wala
hahangaiki sana...Anaingia kwenye PHONEBOOK yake
anachagua Madanga yake 20 anayoyaamini kwamba
hayawezi kumuangusha...AnaCOMPOSE Meseji
Tamuuu ambayo kila danga likipokea linahisi hiyo ni
Meseji yake peke yake. "Babe Mambo,Nimekumiss leo hadi nimekuota yaani
nimeamka So Wet I really miss my Pompolimpo,pole
na kazi mme wangu I wish I was there nikumassage
na Ulimi hadi usinzie..Leo Niko zangu tu home sijatoka
nlikuwa naangalia Muvi mara LUKU imekata hapa na
sina hata Salio.Una Sh 30,000 unitumie ninunue Luku babe wangu?Please maana kutoka mpaka ATM saa
hizi usiku.Love you xoxoxo"
Akimaliza Anatengeneza BROADCAST LIST
anawaweka yale Madanga humo halafu anatafuta
Option inaitwa SEND TO MANY,anafowadi lile meseji
TWAAAAP!!Anauchuna kama dakika 5 hivi,meseji za Muamala zinaanza kutiririka kutoka Ukonga mpaka
Tegeta,Sinza mpaka Makongo Juu
"Imethibitishwa umepokea 30,000 kutoka kwa Rajabu
Kistuli"
"Imethibitishwa umepokea 32,000 kutoka kwa Justine
Kipipa" Nusu saa tu kashakusanya LAKI 6 kesho yake
anaamka anaenda dukani kwa @heavenhairtz @
heavenhairtz
anaagiza Peruvian yake ya Inchi 6 jioni unamkuta
NEWS CAFE anawaka huku anakunywa Milkshake ya
Vanilla. We unabaki kujiuliza Demu wa 1st year ana iPhone 6s
kaipata wapi na Bodi ya Mikopo haijaingiza
BOOM,wenzio wana MABOOM BINAFSI wanaCLICK tu
hela kibwena.
Demu akiamua Kupauka ni Maamuzi binafsi tu,Wana
Mbinu hawa Viumbe Balaa,kufa njaa labda awe Mgoloko wa Tandahimba amekuja juzijuzi na Fuso la Mafenesi ila watoto wa mjini hawaishiwi!

Madhara ya Kufanya Mapenzi au Tendo la Ndoa Mara Nyingi Kupita Kiasi

$
0
0
Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngono.

Kuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu. 

 Mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta kila siku anatumia ‘chakula cha usiku’ kwa sababu tu hakuna wa kumkataza na kwamba ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu amelipa mahari.

Hilo linaweza kuwa jambo jema kwa upande mwingine, lakini uchunguzi unaonyesha kuwa watu wengi kati ya watu wanaolalamika kupoteza hisia za kimapenzi hutoka katika kundi la watu wapenda ngono.

 Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.

 KUPOTEZA HAMU YA TENDO

Watu wenye pupa za kufanya mapenzi hupoteza haraka hisia za kimapenzi kwa wapenzi wao kutokana na sababu za kisaikolojia zinazoweza kujitokeza wakati wa ufanyaji wa tendo la ndoa mara kwa mara.


 Sababu hizo zinaweza kuwa ni pamoja na zile za kumzoea mwenza kiasi cha kukosa msisimko hata anapomuona akiwa mtupu.



 Aidha kukinai haraka staili za kimapenzi  kunatajwa kujitokeza kutokana na kukutana mara kwa mara kwa aina zile zile za mapenzi na pengine sehemu moja, kitanda kimoja na chumba kile kile, jambo ambalo linaweza kumfanya mhusika asione jipya kutoka kwa mwenza wake na hivyo kupoteza hamu naye na kuhisi kama hawezi tena kushiriki tendo la ndoa kikamilifu.


 KUUJAZA MWILI TAMAA KUBWA

Tabia ya kufanya mapenzi mara kwa mara huongeza uzalishaji wa homoni mwilini na kuufanya mwili uwe na msukumo mkubwa wa kutaka kuridhishwa kwa tendo la ndoa bila kukosa na hivyo kumfanya mhusika asiwe mtu mwenye uwezo wa kuzuia tamaa na kukosa chaguo la nani wa kufanya naye mapenzi na kwa wakati gani

 Watu wanaojiendekeza katika kufanya mapenzi mara kwa mara ndiyo wale ambao kila wanayemtazama barabarani humtamani bila kujali hadhi yake. 

Hawa ndiyo wanaobaka, kusaliti ndoa zao hata kwa watumishi wa ndani au kufanya mapenzi na watoto wao wa kuwazaa kwa vile akili zao huwa zimeathirika kwa tamaa ya mapenzi.


Unapokuwa mtu wa kufanya mapenzi mara kwa mara huwezi kuwa na uwezo wa kuzuia tamaa yako. Mumeo akiondoka siku mbili unatamani kuwa hata na houseboy ili akukate kiu ya penzi. 

 KUPOTEZA RAHA KAMILI YA TENDO
Raha ya tendo hutegemea sana hisia iliyokuzwa kutokana na mapenzi sahihi na kiu ya kufanya mapenzi, hivyo basi ukiwa mtu wa kufanya mapenzi kila mara unaweza kupoteza msisimko wa tendo na kujikuta unapata furaha ambayo haikutoshi kumaliza tamaa yako.

 Kama ni mapenzi utakuwa unayafanya kwa mazoea tu na msisimko wako utakuwa mdogo!

 KUPOTEZA NGUVU ZA MWILI

Madhara mengine yanayoweza kupatikana kwa kufanya mapenzi mara kwa mara ni pamoja na kupoteza nguvu nyingi za mwili.

Kama tujuavyo tendo la ndoa hasa kwa wanaume huwafanya watumie nguvu nyingi, hivyo kuufanya mwili uchoke. 

Aidha lishe inapokuwa ndogo kwa wafanya mapenzi mwili hukosa nguvu za kutosha kuhimili misukosuko ya kimaisha.

 Sambamba na hilo mbegu za uzazi zinazotoka kwa wanaume wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa dhaifu.

 KUPATA MAGONJWA
Kama tulivyojifunza kuwa watu wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa na tamaa na hujikuta wanafanya mapenzi holela ambayo huweza kuwasababishia magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi.

Ufanyaji wa mapenzi usiokuwa na msukumo wa kutosha hasa kwa wanawake huwafanya waishiwe msisimko na kuzifanya sehemu zao za siri kutotoa ute unaoweza kuwakinga na michubuko wakati wa kujamiiana na hivyo kuwasababishia michubuko itakayoweza kuleta maambukizi ya haraka ya magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi.

 Baada ya kungalia madhara hayo machache ni vema kwa wapenzi kupunguza kiwango cha kufanya mapenzi ili kuifanya miili iwe na uvumilivu unaoweza kumsaidia mtu kukaa kwa muda mrefu bila kumsaliti mpenzi wake hata kama atakuwa amesafiri mbali naye kimasomo, kikazi au kibiashara.

Mwanaume Anaepetipeti VS Mwanaume Mtundu Kitandani

$
0
0
Leo nina swali dogo tu kwa ladies. Assume una wanaume wawili mmoja ni mzee wa kupetipeti, yaani utabembelezwa, maneno matamu yakukufanya ujihisi wewe mzuri kuliko malkia cleopatra, utapewa kila ukitakacho mtoto wa kike, utasikilizwa, utaheshimiwa, utaachiwa uhuru nk. Lakini mkiingia uwanjana jamaa anaishia kukupakaza jasho tu, in short jamaaa ni lazy sana kwa bed. Lakini Kwa upande mwingine una jemba nyingine ambayo kupetipeti kumeipitia kushoto kubembeleza hajui, bahiri, maneno matamu hana. Ila ukija kwa bed anapiga mzigo balaaaa, unahisi utamu mpaka mboni ya jicho inavibrate.

Sasa inafikia wakati inabidi ubaki na mmoja tu. Kwa wewe mdada ungempa kibuti nani na kumpa shavu nani? Kati ya jamaaa hizi mbili

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Timu ya Bunge Yaichapa Kenya Bao 1-0

$
0
0
Timu ya mpira wa miguu ya Bunge ya Tanzania, imetumia vema uwanja wake wa nyumbani Kwenye mchezo uliopigwa jioni hii dhidi ya Kenya ambapo imeibuka na us ushindi goli 1 - 0 katika michuano ya Wabunge wa Afrika Mashariki inayoendelea hapa nchini.

Mchezo huo  uliopigwa kwenye uwanja wa Taifa timu ya bunge la Tanzania ilijipatia goli hilo katika kipindi cha pili  huku timu ya bunge la Kenya ikijitahidi kupeleka mashambulizi lakini ikashindwa kurudisha goli hilo.


Katika mechi hiyo ambayo ilikua na upinzani mkali timu ya bunge ya Tanzania iliweza kutawala mchezo kwa kipindi cha kwanza lakini walishindwa kupata goli  huku kipindi cha pili wakionekana Kufanya hivyo  ndipo walipata goli hilo la kuongoza hivyo hadi mwisho wa mchezo Timu ya Bunge ya Tanzania ikaibuka kidedea katika mchezo huo.

Mwili wa Mtoto Aliesombwa na Maji Wapatikana

$
0
0
Hatimaye mtoto Samson Sanga aliyepotea baada ya kuzolewa na maji na kuzama kwenye bwawa la Nabwada katika manispaa ya Mtwara/Mikindani,kufuatia mvua kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo katika mji wa Mtwara,amepatikana akiwa ameshakufa,kufuatia kazi kubwa ya kumtafuta iliyofanyika kwa zaidi ya saa 7, ikishirikisha wataalamu kadhaa wa kupiga mbizi majini.

Akizungumza baada ya mwili wa mtoto Samson kupatikana,mmoja wa wapiga mbizi hao Abati Mani amesema walifanikiwa kumwona mtoto huyo na kumwopoa maji akiwa anaelea,baada ya kumtafuta kwa kuzunguka bwawa hilo mara kadhaa,bila mafanikio.

Tukio la kuopolewa mwili wa mtoto Samson Sanga lilishuhudiwa na mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byankanwa,kamanda wa polisi mkoani Mtwara Naibu Kamishna wa polisi Lucas Mkondya na mbunge wa Mtwara mjini Maftaha Nachuma,ambapo mkuu wa wilaya wa Mtwara Evod Mmanda amesema,ipo mipango ya kujenga mfereji wa kupeleka maji ya bwawa hilo la Nabwada yaende baharini,lakini changamoto kubwa,kuna watu waliojenga kuta na kusababisha maji yashindwe kwenda baharini.

Akizungumza na wananchi waliojitokeza kushuhudia,Mkuu wa mkoa wa Mtwara Glasius Byankanwa mbali na kuwapa pole familia na wakazi wote wa Mtwara kwa tukio hilo, ameagiza Manispaa ya Mtwara/Mikindani kuanza kuweka alama kuzunguka bwawa hilo, kuzuia watu kuendelea kujenga,na pia ameagiza waliojenga kuta kwenye njia ya maji,kuta hizo zibomolewe mara moja.

TANESCO Yatoa Ufafanuzi Tatizo la Luku

$
0
0
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limewatoa hofu wateja wake juu ya mfumo wa ununuzi wa umeme kwa njia ya luku na kusema kuwa kwa sasa upo sawa na wanaweza kununua katika mifumo iliyozoeleka.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Kaimu Meneja wa Teknolojia na Mawasiliano(TEHAMA) wa Tanesco, Demetruce Dashin amesema kuwa kulitokea tatizo dogo la mfumo wa ununuzi wa umeme kwa njia ya Luku kutokana na wataalamu wa shirika hilo walipokuwa wakiamisha mitambo hiyo kutoka ofisi ya Zamani kwenda sehemu nyingine.

Bw. Dashina amefafanua kwamba kufuatia taharuki ya tatizo la kimtandao lililotokea jana kupelekea watu kupata shida katika ununuzi wa umeme Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limesema tatizo la kimtandao ambalo lilianza jana kufuatia hitilafu katika mfumo limeshughulikiwa kwa kiasi kikubwa ambapo wanatarajia kumaliza tatizo hilo ndani ya siku chache.

“Jana tulikuwa tunafanya uhamisho wa mfumo wa luku kwende katika ofisi zetu mpya hivyo ikawalazimu wateja wetu kupata usumbufu kidogo, lakini kuanzia saa saba mfumo huo umekaa sawa na wateja wanaweza kununua umeme kama walivyokuwa wanafanya hapo awali bila shida yoyote mara baada ya marekebisho ya kiufundi” amesema Dashina

Aidha Bwana Dashina amesema mpaka sasa wataalamu wanaendelea na zoezi  la ukarabati ambalo limekamilika kwa asilimia kubwa ambapo wanaendelea na uhamishaji mitambo kutoka ofisi zao za zamani na kuweka kwenye ofisi mpya.

Kwa upande wake Kaimu Meneja  Uhusiano wa Tanesco Leila Muhaji amewaomba radhi wananchi kwa usumbufu uliojitokeza na kuwasisitiza kuwa sasa wanaweza kununua katika mifumo iliyozoeleka.

Muhaji amesema kuwa Tanesco inatambua umuhimu wa umeme hivyo kuwataka watanzania kuwa na imani na shirika lao kwani lipo kwa ajili ya kuwahudumia  kama inavyohitajika na kuongeza kwamba tukio hilo la jana limesimamisha shughuli nyingi ambazo zimerudisha nyuma shughuli mbalimbali za kimaendeleo na kuwahakikishia wananchi tatizo hilo kumalizika haraka iwezekanavyo.

Waziri Kivuli Atoa Ushauri kwa Rais Magufuli

$
0
0
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Godbless Lema amempongeza Rais John Magufuli kwa kutoa msamaha kwa wafungwa.

Pia, amemshauri kuwaangalia mahabusu waliokaa muda mrefu gerezani pasipo kupata haki.

Katika maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) jana Jumamosi Desemba 9,2017mkoani Dodoma, Rais Magufuli alitoa msamaha kwa wafungwa 8,157 kati yao 1,828 waliachiwa huru kuanzia jana.

Rais John Magufuli leo Jumapili Desemba 10,2017 ametia saini nyaraka za msamaha alioutoa kwa wafungwa 61 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa na wawili Nguza Viking na Johnson Nguza (Papii Kocha) waliohukumiwa kifungo cha maisha jela.

Akizungumza na MCL Digital, Lema  amesema kuna mateso wanayopata mahabusu ambayo yanahitaji kuangaliwa.

“Rais Magufuli, Mungu akubariki kwa msamaha uliotoa jana kwa wafungwa na hasa wale waliokaa magereza muda mrefu pamoja na wazee, msamaha ni ibada,” amesema Lema ambaye pia ni mbunge wa Arusha Mjini (Chadema).

“Ni msamaha muhimu kwao, mtu aliyehukumiwa maisha au kifo akipata msamaha ni jambo jema sana, ninafurahi wamesamehewa sasa hawatakuwa tena magereza maisha yao yote,” amesema.

Lema amesema, “Nimefurahi kwamba hata wale waliokuwa wamehukumiwa kunyongwa hasa wazee pia wamepata msamaha, kwangu ninaona ni jambo jema na zuri, kwa mtu anayejua huzuni ya magereza atakubaliana nami.”

Kuhusu mahabusu, Lema amesema, ‘’Wako mahabusu wamekuwa magereza kwa muda mrefu bila kesi zao kukamilika. Mheshimiwa  Rais fuatilia watu kama hawa pia.”

By Ibrahim Yamola, Mwananchi

Nchimbi, Gulamali Waibuka Kidedea Kura ya Maoni

$
0
0
Wagombea 42 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamechuana katika kura ya maoni kuomba kuteuliwa kuwania ubunge wa Singida Kaskazini na Songea Mjini katika mikutano iliyofanyika leo.

Uchaguzi katika majimbo hayo unafanyika baada ya mbunge wa Songea Mjini, Leonidas Gama wa CCM kufariki dunia Novemba 24,2017; huku Singida Kaskazini aliyekuwa mbunge, Lazaro Nyalandu akijivua uanachama wa CCM na kujiunga na Chadema.

Katika mkutano wa uchaguzi Songea Mjini uliofanyika leo Desemba 10,2017 Msimamizi wa uchaguzi, Palolet Mgema amesema wagombea walikuwa 20 na wapiga kura walikuwa 605. Amemtangaza John Nchimbi kuwa mshindi kwa kupata kura 219.

John amewashinda wapinzani wake wa karibu ambao ni waziri wa zamani Dk Terezya Huvisa aliyepata kura 181 na  mwanasheria Dk Damas Ndumbaro aliyepata kura 83.



Jimbo la Singida Kaskazini, msimamizi wa uchaguzi Athuman Hamad amemtangaza Haider Hussein Gulamali kuwa mshindi baada ya kupata kura 606 kati ya kura 1,010 zilizopigwa sawa na ushindi wa asilimia 60.

Miongoni mwa wengine 21 waliomfuatia Gulamali ni Justine Monko aliyepata kura 133 na Juma Mgoo aliyekuwa mkurugenzi mkuu huduma za misitu amepata kura 46.

Habari
Baada ya miaka kadhaa jela, wanarudije uraiani?

 Baada ya Rais John Magufuli kutangaza msamaha kwa zaidi ya wafungwa 8,000 juzi kwenye
Wakazi Loliondo watoa hoja tano

By Joyce Joliga na Gasper Andrew, Mwananchi

Msando Awalipua UVCCM Mbele ya Rais Magufuli

$
0
0
WAKILI Alberto Msando, ambaye alijiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) akitokea chama ACT-Wazalendo, leo akiongea kwenye mkutano wa UVCCM Taifa, unaoendelea Dodoma, amefunguka na kuwachana vijana wa chama hicho (UVCCM) baada ya viongozi wake aliodai walimdanganya Mwenyekiti wa CCM,  John Pombe Magufuli juu ya idadi wa vijana wao.

Albert Msando aliomba nafasi kwa Rais Magufuli ili aweze kuwasema vijana hao wa CCM baada ya moja ya taarifa yao kusema wapo vijana wa CCM zaidi ya milioni sita,  jambo ambalo linapingana na taarifa zao wenyewe.

“Nimeazima taarifa ya utekelezaji na mpango mkakati naona mmesema kwamba UVCCM mpo milioni sita.  Je, ni kweli? Kama vijana mtakuwa mnafanya mambo kama haya, tutakuwa na nchi ya hovyo sana na chama cha hovyo sana.  Mmeandika takwimu zinazoonyesha kuwa idadi ya vijana wenye umri kati ya 14 na 35 ni asilimia 34 ya watu wote nchini. Mara tu baada ya ukurasa wa nane, ukurasa wa tisa mmeandika kundi la vijana ni kubwa, takwimu zinaonyesha sasa wamefikia asilimia 65 ya idadi ya watu nchini.  Ina maana hatujijui tupo wangapi?” alihoji Msando

Akiendelea kuonyesha mapungufu hayo, Msando alisema:

“Kwenye kitabu hiki mmemwambia Rais Magufuli kuwa vijana wa UVCCM mnafika milioni sita lakini kwenye jedwali la kweli mmeandika idadi ya vijana wa UVCCM kila mkoa tangu 2013 hadi 2017 jumla walio hai ni milioni moja laki sita,  wasio hai ni laki nne.  Sasa kwa nini mmdanganye Rais? Tukafanye kazi na hizi ndiyo takwimu zenu,  sasa hivi mnamwambia Rais tunakaribia milioni sita.  Mnataka Rais aondoke akiwa na picha ya kuwa mpo zaidi ya milioni sita wakati mpo milioni moja laki tano?  Jamani hatuendi hivyo,  tunakata CCM mpya ya vijana wachapa kazi,  Wanachama wote ambao hawapo hai warudi, tupate wanachama wapya, ” alisema Msando.

Wapinzani Wameshapotezana – Wakili Msomi ‘Alberto Msando’

$
0
0
Aliyewahi kuwa mshauri wa Chama cha ACT Wazalendo na Wakili msomi wa kujitegemea, Alberto Msando amesema vyama vya upinzani nchini vimekosa nguvu katika kupambana na rushwa ukilinganisha na chama tawala cha CCM.

Msando amesema hayo leo tarehe 10 Desemba 2017, mjini Dodoma kwenye mkutano mkuu wa UVCCM taifa uliohudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mhe Dkt. John Pombe Magufuli.

“Wapinzani siyo tu wanapotezana, bali hadi sasa wameshapotezana, tumeshawapiga 4-0 ugenini na tukirudi nyumbani nako ni 4-0, tunamaliza kazi, CCM Oyee!!” – Alberto Msando

Alberto Msando ni moja ya watu mashuhuri saba waliohamia CCM kutoka kwenye vyama vya upinzani.
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images