Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Yametimia!...Wastara Kesho Kwenda India kwa Matibabu

$
0
0
Yametimia!...Wastara Kesho Kwenda India kwa Matibabu
BAADA ya kuandika habari yake kwa mara ya kwanza akiomba msaada wa matibabu ya mguu wake, hatimaye staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amekamilisha kiasi cha shilingi milioni 37 alizokuwa akihitaji na kesho (Jumapili) anatarajia kuondoka nchini kuelekea kwenye Hospitali ya Sefaree iliyopo India kwa matibabu.

Wastara alisema kuwa, hakutarajia muitikio mkubwa wa kuchangiwa fedha hizo na anawashukuru wote waliofanikisha kupatikana kwa msaada huo.

“Niwashukuru Watanzania wote kwa kunichangia, nimshukuru Rais Magufuli na mkewe mama Janeth lakini kwa kipekee kabisa naomba nilishukuru gazeti lenu (Risasi Jumamosi) kwa kuwafanya watu wengine wajue nina tatizo gani na nahitaji msaada, bila nyie huenda mpaka leo ningekuwa nalia kitandani, asanteni na Mungu awabariki,” alisema Wastara.

Mbali na kulishukuru gazeti hili, Wastara pia ameishukuru Global TV Online ambayo ilirusha sauti yake na video ikionesha jinsi alivyokuwa akipata maumivu.

Mkurugenzi wa Uajiri Afutwa Kazi Baada ya Kuwabagua Kazi

$
0
0
Mkurugenzi wa Uajiri Afutwa Kazi Baada ya Kuwabagua Kazi
Klabu ya soka ya West Ham imemfuta kazi mkurugenzi wa uajiri wa wachezaji wa timu hiyo Tony Henry kutokana na kauli yake ya kuwabagua wachezaji kutoka Afrika.

Tony Henry hivi karibuni alinukuliwa akisema kuwa timu hiyo haiwezi kusaini wachezaji kutoka Afrika kutokana na wachezaji hao kutowajibika vizuri kwenye baadhi ya majukumu yao.

Taarifa ya klabu hiyo imeeleza kuwa maneno ya Tony Henry sio msimamo wa klabu kwasababu timu haiamini katika ubaguzi wa aina yoyote ndio mana imeamua kumfuta kazi Henry ili hatua zingine zichukuliwe.

West Ham ina wachezaji sita kwenye kikosi cha kwanza wenye asili ya Kiafrika ambao ni  Cheikhou Kouyate, Pedro Obiang, Joao Mario, Angelo Ogbonna, Arthur Masuaku na Edimilson Fernandes.

Wengine ni mshambuliaji wa Senegal Diafra Sakho ambaye ameondoka kwenye dirisha dogo la Januari akajiunga na Rennes ya Ufaransa huku Andre Ayew wa  wa Ghana akielekea Swansea.

Rais Magufuli Awatunuku Kamisheni Maofisa 197 wa JWTZ

$
0
0
Rais Magufuli Awatunuku Kamisheni Maofisa 197 wa JWTZ
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewatunuku kamisheni maofisa wanafunzi 197 wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Sherehe hizo zimefanyika leo Februari 3, 2018 katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam, ambapo maofisa hao wapya ni wa Tanzania na kutoka nchi marafiki,  waliopata mafunzo katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli mkoani Arusha.

Katia tukio hilo ambalo lilipambwa na magwaride kutoka kwa Wanajeshi hao, lilihudhuriwa na viongozi mbali mbali wa Kitaifa.

Miongoni mwa waliotunukiwa kamisheni hizo wanawake ni 28, na waliobaki ni wanaume.

Nandy, Aslay Wapokewa kwa Shangwe na Mwimbaji wa 'Subalkheri' Nyumbani Kwake Zanzibar

$
0
0
Nandy, Aslay Wapokewa kwa Shangwe na Mwimbaji wa 'Subalkheri' Nyumbani Kwake Zanzibar
Waimbaji wawili walioshirikiana kuurudia wimbo ‘Subalkheri’ Nandy na Aslay Ijumaa hii wametua Zanzibar kwaajili ya kukutana na muimbaji wa awali wa wimbo ‘Subalkheri’, Bi. Mwanapombe.

Wawili hao pamoja na team waliyoenda nayo walipokewa kwa shangwe na Bi. Mwanapombe pamoja na familia yake.

Akiongea na waandishi wa habari, Mwanapombe Hiyari alisema amewapokea kwa mikono miwili na baraka tele vijana hao ambao wamewaita kama wajukuu kwa kuwa wameitendea haki kazi yake hiyo.

“Sina shaka na hawa wajukuu zangu, nawaombea dua na wafike mbali zaidi kwenye maisha haya ya Muziki,” alisema Bi. Mwanapombe.

Kwa upande wa Aslay alisema anashukuru Mungu kukutana na mkongwe huyo na kupewa maraka zote katika kazi zao za muziki.

Naye Nandy amesema hata kabla na kuurudia wimbo wa mkoongwe huyo, yeye ni shabiki mkubwa na muimbaji huyo ambaye aliwahi kufanya vizuri na vibao vingi kwa kipindi cha nyuma.

Mowzey Radio Kuzikwa Leo Mwili Wake Wawasili Kaga

$
0
0
Mowzey Radio Kuzikwa Leo Mwili Wake Wawasili Kaga
Mwili wa mwanamuziki wa Kundi la Goodlyfe, Mowzey Radio umewasili kijijini kwa mama yake, Kaga asubuhi hii kwaajili ya shughuli za mazishi mchana wa leo.

Mwili wa marehemu ukiwasili kijijini hapo

Muimbaji huyo wa Uganda alifariki Alhamisi hii akiwa katika hospitali ya Case ya nchini humo baada kudaiwa kushambuliwa na baunsa na kusababishiwa kuvunjika fuvu la kichwa pamoja na uti wa mgongo.

Wadau mbalimbali wa muziki nchini humo pamoja na Afrika mashariki wanatarajia kuhudhuria mazishi hayo.


Harmonize Bado Ajampa Shilole Gari Aliyomhahidi Siku Yake ya Harusi

$
0
0
Harmonize Bado Ajampa Shilole Gari Aliyomhahidi Siku Yake ya Harusi
Utakumbuka mapema mwaka huu msanii Shilole alifanya harusi mara baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake, Uchebe. Mastaa kibao walimzawadia vitu mbali mbali, miongoni mwao ni Harmonize ambaye aliahidi kumnunulia Shilole gari aina ya Noah.


Hata hivyo Shilole amesema bado hajakabidhiwa gari hilo ila Harmonize kamdhibitishia kuwa ameshalinunua na kilichobaki ni makabidhiano mbele ya vyombo vya habari kama alivyokuwa akitoa ahadi hiyo.

“Ni kweli ameshaninulia tayari tunangoja tuweze kukabidhiana ile watu waweza kujua alichokihaidi, maana ukiwa umehaidi mbele ya kamera nitakuganda tu kwa sababu ahadi ni deni na sio dhambi,” Shilole ameiambia Clouds Fm.

“Ameniambia gari lipo tayari bado kukabidhi, mambo ya kuambiana vitu kwenye vyombo vya habari na kukabidhiana na ni huko huko, kwa sababu watu wameshaanza Shishi umepigwa sound hamna lolote nataka niwadhibitishe kuwa Harmonize hashindwi,” amesema.

Harmonize aliahidi gari lenye dhamani ya Tsh. Milioni 9 ili liwasaidie wawili hao katika shughuli zao za biashara. Shilole na Uchebe walifunga ndoa December 6 mwaka jana, 2016 na harusi yao ilifanyika January 14 mwaka huu.


Lulu Diva Kufuata Nyayo za Michael Jackson Aanza Kujibadirisha Muonekano kwa Kutumia Dawa

$
0
0
Lulu Diva Kufuata Nyayo za Michael Jackson Aanza Kujibadirisha Muonekano kwa Kutumia Dawa
Muimbaji Lulu Diva amedai kuwashangaa watu wanaomsema kwamba amebadili muonekano kwa kutumia dawa za kichina na kusema kwamba yeye atakuwa siyo mtu wa kwanza kufanya hivyo na kwamba hata mwimbaji maarufu duniani Michael Jackson aliwahi kujibadilisha.


Akiwa mbele ya kamera za eNEWZ Lulu Diva amesema kwamba kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote kwenye mwili wake hivyo kama watu wanadhani kwamba anatumia mchina wako sahihi ingawa yeye anaamini kuwa maisha anayoishi sasa ndiyo yanamfanya muonekano wake wa mwili kubadilika na kuvutia.

"Jamani yani mtu usifanye kitu watu lazima waongee mimi huu mwili ni wangu  na ukuaji tu jamani napata mashabiki wazuri na wapya kila siku nakula vizuri naishi pazuri ndio maana hata nakuwa hivi na kariakoo huwezi pata sexy look kama yangu jamani hebu watu waache kuongea. Na hata kama nimebadili mbona nitakuwa siyo wa kwanza Michael Jackson alibadilisha kuanzia muonekano wa rangi mpaka viungo," Lulu Diva

Akiendelea kujitetea Lulu Diva amesema kwamba kwa sasa anafanya mazoezi ambayo yamesababishia umbo lake kuonekana vyema, huku akiongeza kwamba anazidi kukua na viungo vimeanza kujipanga kukaa sehemu sahihi za mwili.

Lulu Diva kwa sasa anafanya vizuri na ngoma inayokwenda kwa jina la Mazoea

Wasiliana na Mtaalam Chief Sultan Makata...Kumaliza Shida zako zilizoshindikana

$
0
0
CHIEF SULTAN MAKATA
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
CHIEF SULTAN MAKATA ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

CHIEF SULTAN MAKATA ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..

CHIEF SULTAN MAKATA Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..

+255 677 805 105 WhatsAPP.
+255 746 426 604 Kupiga.

Wema Sepetu Amvaa Mange Kimambi ‘Nakuheshimu na Sipendi Kukukosea Heshima’

$
0
0
Wema Sepetu amvaa Mange Kimambi ‘nakuheshimu na sipendi kukukosea heshima’

Sikiliza hapa chini:

Zitto Aviomba CCM, Chadema Kusimamisha Kampeni Kuomboleza Kifo cha Kingunge

$
0
0
Zitto Aviomba CCM, Chadema Kusimamisha Kampeni Kuomboleza Kifo cha Kingunge
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameviomba vyama vya Chadema na CCM kusimamisha kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani kwa siku tatu kuomboleza kifo cha mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale Mwiru.

"Kingunge  amesaidia kuimarisha CCM na baadaye akasaidia Chadema. Sioni busara vyama kuendelea  na kampeni. Nawaomba wasitishe leo, kesho na Jumatatu mwanasiasa huyu akizikwa wataendelea," amesema Zitto leo Februari 3, 2018 akiwa katika msiba wa mwanasiasa huyo, nyumbani kwake Kijitonyama, Dar es Salaam.

Vyama takriban 12 vipo katika kampeni za ubunge jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam na Siha mkoani Kilimanjaro. Kampeni hizo zilianza Januari 21 na kutarajiwa kumalizika Februari 16. Uchaguzi katika majimbo hayo na Kata 10 utafanyika Februari 17, 2018.

Kingunge aliyekuwa kada wa CCM mwenye kadi namba nane, Oktoba 4, 2015 alitangaza kukihama chama hicho na kusema hatojiunga na chama chochote lakini mara kadhaa alionekana akipanda majukwaa ya upinzani kumnadi aliyekuwa mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, 2015.

Mwanasiasa huyo alifariki dunia jana Februari 2, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), anatarajiwa kuzikwa Jumatatu Februari 5, 2018 katika makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.

Wakati Zitto akieleza hayo, Waziri wa Nchi  Ofisi ya Rais (Utumishi  na Utawala Bora ), George  Mkuchika amesema atamkumbuka Kingunge  kwa mengi.

Amesema alimfahamu Kingunge miaka ya 1970 wakati akiwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kwamba mwanasiasa huyo mkongwe alikuwa akienda kutoa mihadhara  wakati huo wakiwa wanachama wa Tanu.

“Kifo chake kimenistusha kutokana na mchango wake mkubwa wa kuunganisha vijana,” amesema Mkuchika.

Watendaji Wanaosimamia Zoezi la Vitambulisho vya Taifa Kuwa na Umakini na Uzalendo

$
0
0
Watendaji Wanaosimamia Zoezi la  Vitambulisho vya Taifa Kuwa na Umakini na Uzalendo
Serikali imewataka Watendaji wanaosimamia zoezi la usajili wananchi kwa ajili ya vitambulisho vya taifa kufanya kazi kwa umakini, uzalendo na kwa ushirikiano na jamii ili kuepuka kuandikisha na kuwapa watu wasio stahili vitambulisho vya raia.

Kauli hiyo imetolewa jana mjini Tabora na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.Mwigulu Nchemba wakati uzinduzi wa zoezi la usajili wananchi kwa ajili ya vitambulisho vya kitaifa mkoani humo.

Waziri huyo alisema kuwa miaka ya nyuma ambapo Watanzania walikuwa hawana vitambulisho vya Uraia, wapo wageni kutoka katika baadhi ya nchi waliweza kutumia mwanya huo kunufaika na huduma za jamii kama vile elimu ambazo zilipaswa kutolewa kwa Watanzania.

Alisema watu hao walipomaliza masomo walirudi kwao na kunufaisha nchi zao huku wakiwa wametumia pesa za Watanzania kujinufaisha wao na nchi zao na kusema zoezi hilo linahitaji umakini na uaminifu ili kubaini wageni na raia kwa ajili ya kuhakikisha kila kundi lisajiliwe kwa hadhi yake.

Dkt. Nchemba alisema kila mwananchi awe mlinzi wa mwenzake na kuhakikisha hakuna mgeni anayepenya kupewa Kitambulisho cha uraia kwa njia za udandanyifu.

Aidha Waziri huyo alisema zoezi la uandikishaji na utoaji wa vitambulisho hivyo ni bure , mwananchi hapaswi kulipa chochote wakati wa ufuatiliaji na kuongeza kuwa isitokee mtua akalipa pesa.

Lwandamina Amtosa Ajibu Kwenye Mchezo wa Leo Dhidi ya Lipuli

$
0
0
Lwandamina Amtosa Ajibu Kwenye Mchezo wa Leo Dhidi ya Lipuli
Kocha wa mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara Goerge Lwandamina, amemwacha nje ya kikosi cha leo mchezaji wa timu hiyo Ibrahim Ajib kwenye mchezo wa leo dhidi ya Lipuli FC.


Ajib ambaye anashika nafasi ya pili kwa ufungaji msimu huu ndani ya klabu hiyo hajaripotiwa kuwa ameachwa kwa sababu gani huku ikiwa ni mechi ya pili sasa ambapo aliachwa kwenye mchezo wa Kombe la shirikisho dhidi ya Ihefu FC.

Kwa upande mwingine daktari wa timu hiyo Dr. Bavu amethibitisha kuwa mlinzi wa kati Abdallah Shaibu 'Ninja' atakuwa nje kwa wiki 3 au 4 baada ya kuumia kwenye mashindano ya kombe la Mapinduzi.

Dr. Bavu ameeleza kuwa awali walijua ni tatizo dogo lakini baada ya uchunguzi wa kina tumegundua kuwa kuna tatizo kwenye kisigino na kifundo cha mguu wa kushoto.

Yanga leo inakutana na Lipuli FC kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa kwenye mchezo wa raundi ya 16 ligi kuu soka Tanzania Bara. Yanga inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama 28 wakati Lipuli FC ikiwa na alama 16 katika nafasi ya saba.

Video: Baada ya Iyobo Kutaka Kuwaua Shilawadu Aunt Ezekieli Awaomba Msamaha

$
0
0
Video: Baada ya Iyobo Kutaka Kuwaua Shilawadu  Aunt Ezekieli Awaomba Msamaha
Baada ya siku chache dansa wa Diamond Mose Iyobo kutaka kuwauwa shilawadu Aunt Ezekieli awapigia simu shilawadu kuwaomba msamaha kwa kilichofanya na mume wake.

Aunt alionyesha kukelwa kwa kilichotokea na kuwaomba kuwa huo ugomvi wampe yeye na kumuacha Iyobo iliwamalizane nae.

Aunt aliwaambia kwa sasa yupo safarini na atakaporejea atawaomba wakutane ili kuzungumza ishi hiyo na kuwahaidi kuwalipa mali zote ambazo zimeharibika siku ya tukio hilo.

Serikali ya Burundi Yaanza Kuwakata Mishahara Wafanyakazi Kwaajili ya Uchaguzi 2020

$
0
0
Serikali ya Burund Yaanza Kuwakata Mishahara Wafanyakazi Kwaajili ya Uchaguzi 2020
Wafanyakazi wa umma nchini Burundi wameanza kukatwa asilimia 10 ya mishahara yao kwaajili ya kufadhili uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwaka 2020.

Katika kipindi cha miaka miwili ijayo, raia wote wa Burundi walio na zaidi ya umri wa kupiga kura wa miaka kumi na minane na zaidi, ni sharti wachangie katika hazina hiyo ya kitaifa.

Serikali ya Burundi imesema imechukua uamuzi huo ili kuziba pengo lililosababishwa na uamuzi wa wafadhili wa kuzuia misaada tangu mzozo wa mwaka 2015 wakati rais Pierre Nkurunziza alipowania muhula wa tatu.

Hata hivyo serikali imekariri kuwa hazina hiyo ya uchaguzi ni wazo la raia wa Burundi wenyewe, pendekezo ambalo limepingwa na wakuu wa vyama vya wafanyakazi.

Rais Magufuli Amwapisha Dk Adelardus Kilangi Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

$
0
0
Rais Magufuli Amwapisha Dk Adelardus Kilangi  Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Rais Magufuli leo amemwapisha Dk Adelardus Kilangi  kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Paul Ngwembe kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Kabla ya uteuzi, Dk Kilangi alikuwa Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (St.Augustine University) kampasi ya Arusha, pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Shughuli za Mkondo wa Juu wa Mafuta, (Tanzania Petroleum Upstream Regulatory Authority- PURA).

Naibu Mwanasheria Mkuu Paul Ngwembe kabla ya uteuzi, alikuwa Mkurugenzi wa masuala ya sheria katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tanzania Insurance Regulatory Authority-TIRA).

Wateule wote wanatarajiwa kuapishwa Jumamosi asubuhi tarehe 3 Februari 2018.

Awali katika maadhimisho ya Siku ya Sheria, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Rais Magufuli katika hotuba yake, aliwanyooshea vidole Waziri wa Katiba na Sheria, Prof Palamagamba Kabudi, na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju na Naibu wake Gerson Mdemu wameshindwa kuandaa kanuni za msaada wa kisheria.

Rosa Ree Afunguka Kuhusu Colabo Yake na Fid Q

$
0
0
Rosa Ree Afunguka Kuhusu Colabo Yake na Fid Q
Msanii wa muziki Bongo, Rosa Ree amefunguka iwapo kuna mipango ya kufanya kazi na Fid Q.

Rapper huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Marathon’ aliyomshirikisha Bill Nass amesema kufanya kazi na Fid Q ni kitu ambacho hakishindikani.

“Ni kitu ambacho kinawezekana, siwezi nikazungumza sana kwenye hilo lakini he is my brother ni mtu ambaye anani-inspire sana kwenye movement zake na michano yake, hata kuniita jukwaani vile kuna vitu vingi niliweza kujifunza, kwa hiyo tegemeeni vitu vikubwa,” Rosa Ree

Joh Makini Ampigia Simu Mimi Mars Kujua Undani wa Tetesi za Kutoka Kimapenzi

$
0
0
John Makini Ampigia Simu Mimi Mars Kujua Undani wa Tetesi za Kutoka Kimapenzi
Wakati stori zikiendelea kuwepo kuwa Joh Makini ana-date na Mimi Mars, rapper huyo mwenyewe ni kitu ambacho kinamshangaza hali iliyopelea kupiga simu kwa muimbaji huyo kujua undani wa tetesi hizo.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma ‘Sitamani’ ameiambia Back Stage ya EA Radio wenyewe wanashangazwa na ujio wa taarifa hizo.

“Sielewei maana hata Joh Makini aliniambia Mimi Mars itabidi nikutafute unieleze hizi stori zimetoka wapi, nikamwambia kaka mimi mwenye sijui nimetagiwa tu huko Instagram,” amesema.

“Unajua kuna watu wengine wanaibukaga na stori halafu inakuwa trendig na ninahisi ni kwa sababu watu wajajua ninatoka na nani,” ameongeza.

Katika hatua nyingine muimbaji huyo amesema kwa sasa hatoki na mtu yeyote mara baada ya mahusiano yake ya awali kuvunjika, pia ameongeza kuwa hatarajii kuwa katika mahusiano na mtu yeyote ambaye yupo katika tasnia ya muziki.

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0

DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Kiume ( Super Shafti)

$
0
0


DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO YA KIUME ( SUPER SHAFITI) NI DAWA YENYE UWEZO MKUBWA WAKUTIBU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME


 (SUPER SHAFITI ni dawa ya asili yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume maradufu
(1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya ntedo la ndoa
(2) inaogeza hamu ya kurudia ntedo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka
( 3) itakufanya uchelewe kufika kileleni dani ya dk 30
( 4)  itaimalisha milija ya uume iliyo legea au kusinyaa
(5) lnarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia ichi 1-8 unene sm 2-4
 (6) itakupa nguvu za kusimamiasha uume wako barabara kama_ msumari wakati wa ntedo la ndoa
(7) inasaidia kusafisha mishipa. ya kwenye uume na hivyo kusaidia Katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume
(8) usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani
(9) inasaidia kuogeza manii nyingi ambazo vina viini vya uzazi
(10)usaidia kutibu madhara ya punyeto ,matumizi makali ya  madawa ya kizugu mirungi bangi na sigara

KWA NINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA KUWA NA MAUMBILE MADOGO YA KIUME NINI CHANZO CHAKE?

ni kutokana na magonjwa megi kuongezeka yakiwemo kisukari presha ya kupanda na kushuka upigaji wa punyeto wa mda mrefu magonjwa ya moyo ngiri ya kuviba korondani vidonda vya tumbo
Msongo wa mawazo  tumbo kuuguruma kujaa ngesi kutopata choo vinzuri maumivu ya mgongo kiuno na tumiaji wa madawa makali ya kizungu ya kuongeza nguvu za kiume kuzaliwa na chango linaloshabulia neva za ukuwaji wa uume utumiaji wa mirungi bangi sigara na nk  tunapenda kuwatangazia wasomaji, wa makala zetu kuwa tunazo dawa nzuri za asili ambazo hazina mazala na zinazotibu na kuponyesha matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na maumbile ya kiume

NA TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU KAMA KISUKARI PRESHA AINA YOTE UGONJWA WA MOYO SITRUKO KWIKWI KICHOMI MINGUU KUFA NGAZI ASIMA NK MZEE ISAYA ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI KARIBU NA KANISA  TUMAINI HEBRAST CLINI NDIYO JIBU NA SULULISHO YA MATATIZO YOTE

PIGA simu 0745495181 au 0682644040

Kwa watu wa mikoa huduma utatumiwa na watu wa nje ya nchi utazipata dsm kama huna nafasi ya kufika ofisini kwetu utaletewa popote ulipo

Viewing all 104809 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>