Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Shambulizi la kemikali laua watu zaidi ya 100 na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa

$
0
0
Wafanyakazi wa uokoaji pamoja na madaktari walioko katika eneo la Mashariki mwa Ghouta nchini Syria, wamethibitisha kuwa watu zaidi ya 100 wameuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa katika shambulio baya la Kemikali.

Hata hivyo Serikali ya Rais Bashar Al- Asaad wa Syria imekanusha kutumia kemikali hiyo ya sumu dhidi ya raia.

Idara ya kimataifa ya usalama nchini Marekani, inasema kuwa, inafuatilia kwa karibu mno taarifa zinazohuzunisha za matumizi ya silaha za kemikali Wilayani Ghouta Mashariki.

Shambulio linaloashukiwa kuwa la kigaidi, lililolenga mji wa Douma, eneo linaloshikiliwa na waasi Mashariki mwa mji wa Ghouta, limetokea baada ya majuma kadhaa ya milipuko ya mabomu kutoka angani, iliyotekelezwa na wanajeshi wa Syria.

Jeshi la Nigeria lafanikiwa kuwaokoa watu 149 wakiwemo watoto na wanawake

$
0
0
Jeshi la Nigeria limeweza kuwaogoa watu 149 ambao walikuwa wameshikiliwa mateka na kundi la wapiganaji la Boko habarmu katika jimbo la Borno.

Wanawake na watoto 95 ambao walikuwa wakishikiliwa mateka katika kijiji cha Yerimari Kura wameweza kuokolewa baada ya jeshi la Nigeria kufanya operesheni katika eneo hilo ambalo lilikuwa linadhibitiwa na kundi la Boko haramu.

Wakati huo huo jeshi hilo limedai kuwaua wapiganaji watatu wa Boko haramu na wengine watano wamekamatwa na jeshi hilo wakati wa operesheni ya kuwaokoa watu waliotekwa na kundi hilo.

Kwanini Mabinti wa Kitanga Wanagombaniwa?

$
0
0
Jamani hivi Tanga Kunani? Toka Nimekua na Kubalaa nasikia tu kuwa ukipata Mwanamke wa Kitanga Unasuki na wengine wanasema eti Mwanaume Ukienda Tanga Hauwezi rudi Siku hiyo hiyo lazima ulale ...Najiuliza Hivi Mabinti wa Kitanga wana nini ? Huku Mtaani kwetu wanagombaniwa kama Njungu.....Tufahamisheni jamani Wanaojua

Hizi Ndio Sifa za Wanaume Mashombe Shombe Kwenye Mapenzi

$
0
0
Wanaume shombe shombe ni wanaume mchanganyiko wa kiafrika na rangi nyingine inaweza kuwa ya kizungu, kiarabu au kichina n.k

Nisiwachoshe hizi ndio sifa za wanaume shombe shombe.

Wanajua kujali sana kwenye mapenzi na wana roho nzuri na huruma pia. Shombe shombe wengi dunian wamelelewa na mzazi mmoja tena mama kutokana sababu mbalimbali.

Hivyo kutokana na kulelewa na mama tu wanakuwa wameadapt roho nzuri na wanajua kujali na wana huruma sana kama mama zao.

Wanayajua mapenzi sana. Kutokana na kutembea sehemu tofauti .hivyo wana eksiposha kuhusu mapenzi yanavyokuwa kutoka nchi tofauti walizofika na hatimaye wakipata mpenzi wanamuonyesha upendo wote.

Wanaume mashombe shombe wana upendo wa dhati na hawapendi kuumiza mwanamke. Kutokana na wengi kulelewa na mama tu wamejikuta hawapendi kuumiza mwanamke

Ata 6 kwa 6 wanaume shombe shombe wako vizuri .

Kazi kwenu wadada kuchagua kusuka au kunyoa

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya April 9

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya April 9

Askofu Shoo Atamani Watanzania Kuvaa Ujasiri Kukemea Uovu

$
0
0
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk.  Fredrick Shoo, amesema anatamani kuona Wakristo na Watanzania wote wanavaa ujasiri na kuwa na sauti ya kuonya  kwa kusema watu wamuogope Mungu kwa maovu yanayofanyika .

Dk. Shoo ambaye pia ni Askofu wa KKKT Dayosisi ya kaskazini, ameyasema hayo jana Jumapili Aprili 8, wakati akiongoza ibada katika Usharika wa Msaranga, mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.

Alisema katika dunia hii iliyojaa watu wenye midomo michafu, waliojaa viburi na unafiki mkubwa ambao hawaoni madhaifu yao ni vema Watanzania na Wakristo wakaungana katika kutoa maonyo dhidi ya watu hao kwa lengo la kuwafanya watu wote waishi kwa amani bila hofu.

“Katika dunia hii iliyojaa watu wa aina hiyo wenye kukata tama, wanaokataa maonyo, wasioona madhaifu yao na wanaokataa kutubu, Yesu anasema nimtume nani awapelekee ujumbe, kwa mantiki hiyo natamani kuona Wakristo watakatekeleza haya bila hofu.

“Kanisa linatamani kuona Watanzania wanaishi katika hali ya amani, upendo, mshikamano, maelewano pasipo kujali vyeo vyao wala  itikadi zao za  kisiana na ubaguzi wa kikabila na ukanda,” alisema.

Dk. Shoo alisema kumekuwa na watu wanaojinadi kwa maneno mazuri katika kuhubiri amani na mshikamano jambo ambalo halina uhalisia na kwamba Wakristo na Watanzania wana wajibu wa kusimama na kuhubiri amani na mshikamono wa kweli kwa vitendo.

“Katika nchi yetu kumekuwa na watu wanaojua kuyapamba maneno kweli kweli kisha wanasema wanahubiri amani ya Yesu mfufuka lakini maisha na mienendo yao iko kinyume kabisa na hilo hivyo wakati umefika Wakristo tuhubiri haki ya kweli, upendo na mshikamano,” alisema.

Mauaji Ya Kimbari Si Jambo La Kufikirika

$
0
0
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Suzan Kolimba amesema Suala la Mauaji ya Kimbari sio jambo la kufikirika kwani limeshatokea katika nchi za ukanda wa Maziwa Makuu na ndio maana Serikali katika nchi hizo zimekuwa zikiandaa mikakati mbalimbali ili kuhakikisha tukio hilo linakuwa historia..

Dkt. Kolimba amesema hayo alipokuwa akifungua semina ya Wabunge ambao ni wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Katiba na Sheria na Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ambapo alimwakilisha Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi.

“Mauaji ya kimbari sio jambo la kufikirika, limeshawahi tokea katika nchi zetu, ndio maana kumekuwa na mikakati mbalimbali ili kuhakikisha mauaji kama hayo yanakuwa historia, tunataka mauaji haya yawe historia kwa nchi zetu na yasije jirudia tena,” alisema mhe. Kolimba

Alisema kwamba nchi za maziwa makuu kwa sasa zinatakiwa kuongelea maendeleo na mashirikiano na sio vita au ubaguzi wa aina yoyote ile.

Alisema viongozi wanatakiwa kujua kuwa wameshilikilia hatma za watanzania mikononi mwao na hivyo hawana budi kuweka mbele utu, uzalendo na utaifa dhidi ya tashwishi za kisiasa kwa mustakabali mzuri wa wananchi.

Mhe. Kolimba alitumia nafasi hiyo kuipongeza Tanzania na Kamati ya Kitaifa ya mauaji ya Kimbari kwa kuwa ni moja ya nchi zilizotajwa na Umoja wa Mataifa kuwa zinafanya vizuri katika eneo hilo.

Kikao hicho kinachifanyika mjini Dodoma kinalenga kuwapitisha Wabunge ambao ni wajumbe wa Kamati hizo juu ya Mkataba wa Kuzuia mauaji ya kimbari kwa nchi za Maziwa Makuu wa mwaka 2006 ili kuwapatia uelewa kuhusu kuzuia mauaji ya kimbari, uhalifu wa kivita na ubaguzi dhidi ya binadamu.

Tanzania pamoja na nchi nyingine 12 za Maziwa Makuu walitia saini kuridhia utekelezaji wa mkataba huo. Nchi hizo ni pamoja na Kenya, Uganda,Rwanda,Burundi, Congo DRC, Sudani Kusini, Sudani,Zambia,Angola, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Jamhuri ya Congo.

Semina hiyo ya wabunge imeandaliwa na Kamati ya Kitaifa ya kuzuia mauaji ya Kimbari nchini kwa kushirikiana na Ofisi ya Mshauri Maalum wa Umoja wa Mataifa wa kuzuia mauaji ya kimbari ya New York Marekani.

Musiba awavaa TEF, awataka kutotumika kisiasa

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya CZI Limited, Cyprian Musiba amelitaka Jukwaa la Wahariri kujitathmini na kujitafakari kuhusiana na matamko mbalimbali wanayoyatoa.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodom, ambapo amesema kuwa ni vyema Jukwaa hilo la Wahariri likajikita katika kuwasaidia waandishi wa habari.

Amesema kuwa Jukwaa hilo lina wajibu mkubwa wa kuwasaidia waandishi wa habari kuboresha maslahi yao lakini si kutumika kisiasa na kuichafua serikali.

Aidha, Musiba ameongeza kuwa TEF imekuwa ikitoa matamko mbalimbali ambayo hayana uhusiano wowote na waandishi wa habari, hivyo ameliasa kujikita zaidi katika kuangalia namna na kutetea maslahi ya waandishi kuliko kutumika kisiasa.

“Press Club hawajui, UTPC hawajui halafu wewe unatoa tamko, uandishi wa habari sio Dar es salaam peke yake, ni Tanzania nzima, ninachowashauri TEF tuwatengenezee waandishi wa habari mazingira mazuri ya kazi,”amesema Musiba

Hata hivyo, Musiba ameongeza kuwa Jukwaa la Wahariri (TEF) hawatakiwi kulalamika kuhusu kukosa wadhamini bali wanatakiwa kujikita katika kujenga misingi imara ya waandishi wa habari na si kutumika kisiasa kama wanavyofanya kwasasa.

VIDEO: Nuh Mziwanda amezungumzia ulipofikia uhusiano wake na Nawal

$
0
0
Nuh mziwanda ni mmoja kati ya wasanii ambao wamechukua headlines kwa mwaka huu wa 2017, sasa staa huyo amefunguka mbele ya waandishi wa habari April 8, 2018 na kudai yuko single pia hajafikiria kuwa kwenye mahusiano.

‘Mimi na Nawal tumebaki tu kulea mtoto yeye ana maisha yake na mimi nina maisha yangu, na niko single sijafikiria bado kuwa na mwanamke’– Nuh Mziwanda

VIDEO:

Okoa Ndoa yako Sasa...Umepungukiwa na Nguvu za Kiume na Unashindwa Kupanda Mlima Vizuri

$
0
0
OKOA NDOA YAKO SASA : JE UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO AU MPENZI WAKO HAKUTIMIZII UTAKACHO:


Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume au Uume wako mdogo

Dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa Kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA MWENZI WAKO BADO AJAKOJOA

KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA

UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE

KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

Dawa hii utumiwa ata na wazee wenye umri mkubwa na haina madhara yoyote

MAKAKANUA HII NI dawa ya maumbili madogo urefusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5 kwa mini huabiki kwa kuwa na UUME mdogo wai sasa upate tiba sahihi kabisa na ni tofauti na ulizowai kutumia :

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba dawa za uzazi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA p

Piga simu 0743362017 au 0789234653

DR AGU

Masogange 'Sitaki Tena Maisha ya Mitandaoni..Yalinifanya Niingie Kwenye Misukosuko ya Madawa'

$
0
0
VIDEO queen matata Bongo aliyeshaini kwenye video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange’ ameweka wazi kuwa, baada ya kesi yake ya madawa ya kulevya kumalizika, hataki tena kujichanganya na watu kama ilivyokuwa huko nyuma, badala yake anahitaji kutuliza akili.

Akizungumza na WIKIENDA, Masogange alisema kuwa, kwa sasa anataka aishi maisha yake ya kawaida na wala hataki kujihusisha na mambo ya kwenye mitandao ya kijamii kama ilivyokuwa mwanzo maana anaona hayo ndiyo yaliyomu-ingiza kwenye misukosuko.

 “Sasa hivi nataka kuishi maisha yangu ya kawaida kabisa, sitaki tena kujihusisha na mambo ya mitandao, nataka maisha yangu yawe ya kawaida kabisa,” alisema Masogange.

Hivi karibuni Masogange alihukumiwa miaka miwili jela au faini ya shilingi milioni moja na nusu baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya matumizi ya madawa ya kulevya.

NA IMELDA MTEMA | IJUMAA WIKIENDA

SOMA PIA: Job Opportunity at South Beach Resort, Marketing Executive

Download Upya Application Yetu ya UDAKU SPECIAL .....Ile Ya Zamani Tutaifuta

$
0
0
Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya UDAKU SPECIAL Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Marekebisho Makubwa tumeyafanya ikiwa na tatizo la Notification kutatuliwa

NB: App mpya ina Icon Nyekundu

 Bonyeza Hapa Chini

==>>Unaweza Kuidownload << kwa Kubofya Hapa>>  
 

Ushauri: Nimegundua Mdogo Wangu Kabisa na Dada wa Kazi Wanasagana, Je, Nifanye Nini?

$
0
0
Kiufupi mimi ni mwanamke niliyeolewa miaka 5 iliyopita na kubahatika kupata watoto 2 wa kiume.
Mmoja ana 4 yrs na mdogo ana miezi 9.
Mume wangu yeye yuko Morogoro Manispaa anakofanyia kazi, na mara nyingi wakati wa weekend huja nyumbani Dar ili kujumuika na familia yake na wakati mwingine huwa ikitokea nafasi ya kuja Dar kikazi, basi huja kutuchungulia na kuendelea na shughuli zake.

Wakati najifungua huyu mtoto wangu wa pili, nilienda nyumbani kwetu Mwanza kumchukua mdogo wangu wa kike ili anisaidie kazi za hapa na pale wakati nikiwa kazini.
Na mtoto alipofikisha miezi 6, mdogo wangu aliniomba arudi Mwanza nyumbani ili akaendelee na masomo ya chuo.

Nilimkubalia na kumwambia kuwa kama atabahatika kunitafutia msichana wa kazi, nitamshukuru.
Baada ya kuondoka, kazi ikawa ni kutembea na yule mdogo kwenda nae ofisini huku mkubwa nikimpeleka Day care akashinde huko na kucheza.

Baada ya mwezi, mdogo wangu akaniambia kuwa amepata dada wa kazi na atakuja nae, nilishukuru sana na nikaanza maandalizi ya chumba cha kukaa msichana wa kazi.
Nilituma nauli na walikuja wote.

Baada ya kufika tuliongea kuhusu mshahara na taratibu zingine za kazi za pale kwangu.
Kisha baadae nikamuonesha chumba ambacho atakuwa anakitumia akiwa pale.

Tulikaa sebuleni tukipiga stori na muda wa kulala tuliagana vizuri, msichana akaenda chumbani kwake,mdogo wangu akaenda kwake nami nikaelekea kwangu.
Wakati nikiwa usingizini nikahisi sebuleni kuna watu wanaongea na kucheka...nikaamka ili nione ni nani wako sebuleni usiku ule, nikagundua kuwa ni mdogo wangu na yule dada wa kazi, wakasema wamerudi ili kuangalia tamthilia.
Sikutilia shaka, nikarudi zangu kulala.

Asubuhi kulipokucha msichana akaendelea na kazi zake kama kawaida na mdogo wangu akimsaidia.
Mwezi ulipita na nilipomuhoji mdogo wangu kuhusu chuo akawa ananiambia ataenda hivo nisiwe na shaka. Basi nikaendelea na maisha yangu ila nilikuja kugundua ukaribu uliokuwepo kati ya mdogo wangu na msichana wa kazi.

Mdogo wangu ilikuwa akienda shopping huwa anamnunulia sidiria au chupi dada wa kazi, nikiuliza husema kuwa ameamua kumnunulia kama mwanamke mwenzake.
Sikutilia shaka japo niliona si hali ya kawaida kivile.
Baada ya tukio hilo ilipita siku kama 3 wakati naamka usiku nikaangalie milango kama imefungwa vizuri, wakati nakatiza sebuleni nikamuona msichana wa kazi na mdogo wangu wamekaa sebuleni wamelaliana kifuani.
Kwanza nilishtuka, mdogo wangu akasema, sio vibaya kumlalia mwanamke mwenzake kifuani.
Nikapita zangu nikarudi kulala.

Jumamosi moja mida ya saa 6 usiku, mume wangu alirudi toka Morogoro alichelewa maana gari ilipata pancha, alifika usiku na kwa vile simu yake iliisha chaji, aliamua kuzunguka dirishani kwangu ili anigongee...wakati anakatiza dirisha la msichana wa kazi, akasikia minong'ono na kilio cha mahaba cha kulalama.
Ilibidi aniamshe taratibu ili kama kaingiza mtu tujue.
Nilifungua mlango na kuzunguka dirishani, kweli nilisikia kilio hiko cha mahaba, yaani kama mtu yuko katika se..x.
Basi tutaingia ndani na kwenda kumgongea mdogo wangu, tuligonga sana ila haukufunguliwa na tukaenda kwa msichana, alipofungua tukamuuliza mdogo wangu yuko wapi?
Akasema yuko kwake...tukaenda tena kugonga ila kulikuwa kimya.
Nahisi alijificha chumbani kwa msichana wa kazi.

Asubuhi kulipopambazuka niliwatuma gengeni wote, hapo sasa nikaingia kwa dada wa kazi kufanya upekuzi, tulipekua kila mahala kwa uangalifu na tulipofungua kabati tulikutana na kifaa cha kufanyia mapenzi pamoja na mafuta mbalimbali.
Baada ya hapo tukaenda chumbani kwa mdogo wangu, tukapekua kila mahala na tulipofunua begi lake, tukakuta picha za uchi za dada wa kazi na zingine wakiwa wamepiga huku wananyonyana maziwa, nyingine ni za aibu sana.
Kitandani kulikuwa na simu ya mdogo wangu, nikaichukua na kwebda kwenye gallery na kukuta picha za aibu na chafu.

Kumbe walikuwa wanashirikiana na mdada mwingine wa kazi wa jirani yangu.
Yaani sex group ya wanawake 3.
Kwenda kwenye message tukakuta mdogo wangu akimsifia dada wa kazi kuwa mtamu na anamkuna na kuahidi kutomuacha na hata dada mkubwa, yaani mimi nikimfukuza, basi lazima anifanyizie mimi au mwanangu.

Nilikaa chini na kuanza kulia, mme wangu akanibeba na kunipeleka chumbani.
Nikamuangalia mwanangu aliyelala kitandani haelewi chochote, huku akiwaziwa kufanyiwa kitu kibaya na mama yake mdogo.

Mpaka sasa mwanangu ana miezi 9 sasa, dada wa kazi yupo na mdogo wangu yupo...na mbaya zaidi mama ameniambia kuwa nimtafutie chuo huyu mdogo wangu hukuhuku Dar, asirudi Mwanza.
Niko njia panda, wanangu nawapenda, mdogo wangu nae nampenda, mie na mume wangu tumekosa cha kufanya.

Na msichana tangu afike pale...ni mchapa kazi na anawajali sana watoto na watoto wanampenda sana sana.

Niko njia panda, naombeni ushauri wenu.

SOMA PIA: Job Opportunity at Platinum Credit Ltd, Branch Sales Team Leader

Hii ni Habari Njema kwa Wanaume na Wanawake wote Wanaopenda Muonekano Mzuri

$
0
0

*PENDEZA_KESSY_ PRODUCT* : WEKA MUONEKANO WAKO VIZUR SASA, NIWAUZA TIBA NA UREMBO NA MAFUTA YASIO NA MADHARA YEYOTE WALA KEMIKALI KWA MATUMIZI NA MATOKEO NI MUDA WA KUANZIA WEEK (2) HADI (4)🍌🌾🥑

1) KUTOA MVI SUGU PIA ZA KUZALIWA NAZO _100,000/
2) KUREFUSH NYWELE KUZIJAZA NA KUZUIAKUKATIKA -100,000/
3) TENGENEZA MWILI WAKO KUWA NA UMBO ZURI (@)KUPAK-100,000/(B) KUNYWA (C)VIDONGE-130,000/
4)ONDOA NYAMA UZEMBE MIKONONI, TUMBON KUPAK -100,000/
5)TOA KITAMBI KABISA(@) KUPAK-10O,000/ (B)VIDONGE/SLIMING YAKUNYWA-130,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO UNAZOITAJI WEWE
@) DAW YA MAJIN NA VIDONGE_130,000/
7)PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME KAMA MWANZO _90,000/
8) KUONGEZA MAZIWA SAIZI UNAYOHITAJI WEWE_90,000/
9)ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA_100,000/
10) ONDOA MICHIRIZI ILIYO SHINDIKANA_90,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY MAPAJA KIKWAPAN_80,000/
13) KUWA MWEUPE NARANGI NZURI VIDOGO(WHITE SOLUTION)_130,000/(B)MAFUTA YAKUPAK 100,000/
14)TOA NDEVU KWA WANAWAKE NA VINYWELEO MWILINI _100,000/
15/ ONGEZA NGUVU KWA WANAUME (@)JELI AINAZOTE -100,000/(B)VIDONGE MAX MAN NA AINA NYINGI_ 100,000/
16) KUREFUSH MAUMBIL YA WANAUME
@) (HANDSOME UP) MASHINE _200,000/
@) JELI NA VIDONG VYA SHARK_130,000/
17) RUDISHA HAMU YA TENDO NA KUCHELEWA KUMALUZA HARAKA_100,000/
18) MAFUT YAKURUDISH USCHANA-100,000/
19) TOA MAFUT USON NA WEUSI WAMACHO _90,000/
20) ONDOA MIKUNJO USON_80,000/(21) ENGEZA MGUU (WABIA)_100,000/ 21) PATA MIKANDA YAKUPUNGUZA TUMBON AINA ZOTE 22) DAW YA NGIRI YAKUVIMBA NA KULEGEA 100,000/🍍🌾🥑

TUNAPATIKAN DAR E SALAAM:PIA NJE YA NCHI TUNATUMA MIZIGO,NA KWA MIKOAN KOTE UTAPATA *KESSY* NI WAAcMINIFU WA KUTUM MIZIGO NA KUFIKA KWA WAKATI PIGA CM (+255) 0719955528
0756259180
0785371237
@ *Pendeza_kessy_product*
Delivery POPOTE ULIPO.

Baadhi ya Bidhaa zetu zingine



Punguza Unene Unaokusumbua Katika Mwili Kwa Kutumia Bidhaa za Edmark

$
0
0
Tumia Dawa za Edmark za Kupunguza uzito uliozidi Mwilini Mwako, Edmark ni Vurutubisho na Chakula Mbadala na Zimehakikiwa na TFDA...

Ni uhakika kwa afya yako,👉 kupunguza uzito na sumu mwilini, Mafuta Sehemu Mbaya, Kitambi na nyama uzembe na kutibu MAGONJWA Mbalimbali kwa msaada wako mfuate instagram: @afyayanguutajiriwangu @afyayanguutajiriwangu


Au Mtafute WhatsApp Huyu Dada kwa kutumia Namba +255783 566844

Pia Dawa za Edmark Zinaweza kupa Fursa ya Biashara Uweze pata Kipato Kirahisi kwa Kuwasaidia watu Kuimarisha Afya zao

Humphrey Polepole "Viongozi Wajifunze Kutokutoa Kauli za Kihalifu"

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM , Ndg Humphrey Polepole amefunguka na kuwataka viongozi wa vya vyama vya siasa hasa upinzani wajifunze tabia ya kutokutoa kauli za kihalifu kwa madai wakifanya hivyo watakuwa wametenda kosa kwa mujibu wa sheria za nchi


Polepole ametoa kauli hiyo asubuhi ya leo (Aprili 09, 2018) kupitia ukurasa wake maalum wa twitter wakati akijibu swali la mmoja wa wananchi ambaye alimtaka Polepole aishauri serikali kuzipuuzia baadhi ya kauli zitolewazo na wapinzani kwa kuziona ni za kisiasa ili kuepusha baadhi ya mambo yanayotokea kwa viongozi wa kisiasa.

"Kauli za kihalifu hazipaswi kupuuzwa, anayetoa kauli za kihalifu anatenda kosa kwa mujibu wa sheria. Kauli za kihalifu ndio hufitinisha watu, huvuruga utangamano, huleta chuki, huzaa ugomvi na migogoro. Viongozi wa upinzani wajifunze kutokutoa kauli za kihalifu", amesema Polepole.

Aidha, Polepole hakuishia hapo ameendelea kwa kusema "kwa sheria zetu kutusi watu ni kosa, umtukane mtu yeyote ni kosa na nadhani ningekuwa mimi kumtukana mtu ambaye ndiye taswira ya umoja wetu ilipasa kupewa uzito wa ziada kiadhabu. Mazoea ya matusi yanatubomolea maadili yetu kama taifa. Utatukaniwa mama yako halafu unachekacheka".

Tazama hapa chini uone jinsi walivyokuwa wanajibidhana kati ya Polepole na mmoja wa wananchi wa Tanzania.


SOMA PIA: Nafasi za Ajira zilizotangazwa Leo

Omba omba Kuswekwa Gerezani

$
0
0
Mamlaka katika mji mkuu wa Rwanda, Kigali imetangaza kuanza msako mkali na kuwaweka gerezani walemavu wote wanaojihusisha na vitendo vya kuomba omba barabarani, kwa madai kuwa ni chanzo cha uchafu wa jiji hilo.

Msako huo unaweza kutekelezwa wakati wowote kuanzia sasa, umewaonya walemavu hao kuwa kama hawataacha kuomba omba watakabiliwa na kifungo.

Baadhi ya wananchi wamepinga uamuzi huo wakisema, unalenga kukandamiza walemavu na watu masikini ambapo mashirika ya kiraia nchini Rwanda yameshauri kwamba kabla ya utekelezaji wa msako huo yafanyike mazungumzo ya pande zote.

Ripoti mbalimbali zimekuwa zikiitaja Kigali kuwa miongoni mwa majiji masafi barani Afrika huku ripoti nyingine hususani zile za kutetea haki za binadamu, zikiishutumu serikali kwa kuwafunga watu wasiojiweza.

Johari Aamua Kuikimbia Dar Sasa Kufanya Kazi Mikoani

$
0
0
Johari Ahamua Kuikimbia Dar Sasa Kufanya Kazi MikoaniMWIGIZAJI mkongwe Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’, ameamua kulikimbia Jiji la Dar kwa muda ambapo kwa sasa atakuwa anafanyia kazi zake mikoani.

Aki-zun-gumza na Over Ze Wee-kend, Johari alifun-guka kuwa, amejic-himbia mikoani kwa sababu kwa sasa sanaa inaonekana kukua zaidi mikoani na kumuingizia fedha kuliko kuendelea kufanyia jijini Dar.

“Ni kweli muda mwingi ninazunguka mikoani kwa ajili ya kazi. Unajua mikoani sanaa kwa sasa ndiyo inakua kwa kasi na kwa mtu anayejielewa, anaweza kutumia soko hilo kupata pesa kuliko kuendelea kung’ang’ania Dar,” alisema Johari.

Baada ya Tuzo Wema Sepetu Kuoga Mamilioni

$
0
0
Baada ya Tuzo Wema Sepetu Kukawawa Mamilioni

BAADA ya kupewa Tuzo ya Msanii Bora wa Kike 2018 zilizokuwa zikitolewa na Sinema Zetu International Film Festival (SZIFF) zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar hivi karibuni, staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu, sasa anaoga mamilioni ya fedha.

Mara tu baada ya tukio hilo, bishosti huyo alijikuta akilamba dili nono la kusainishwa mkataba na kampuni mpya ya kusambaza filamu za Kibongo ya Agusta.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda juu ya suala la kuogelea kwenye mkwanja, Wema alisema kuwa, anaishukuru kampuni hiyo kwa kuchukua kazi yake ya Heaven Saint na kumlipa donge nono, jambo ambalo limemfanya kuzidi kukaza buti ili kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi kwani pesa aliyolipwa ingekuwa ni ndoto kwenye makampuni mengine.

“Kwanza nina furaha sana kuchukua tuzo ambayo ninajua kabisa imenipa heshima ya kutosha. Kingine imeniwezesha kupata dili kubwa la pesa ambazo zinaniwezesha kucheza hata filamu tatu, jambo ambalo ninajivunia na kutembea kifua mbele kabisa,” alisema Wema kwa ile sauti yake ya kubana.

Uchunguzi wa Ijumaa Wikienda ulibaini kwamba, mbali na kulamba shilingi milioni mbili za ushindi wa tuzo mbili pale ukumbini, dili alilopata ni la zaidi ya shilingi milioni 35 kwa awamu ya kwanza pekee.

SOMA PIA: Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo

'Waandaaji wa Miss Tanzania Walikuwa Wahuni' Mwakyembe Afunguka Makubwa

$
0
0
Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe ameweka wazi kwamba alikuwa tayari kuchukua mashindano ya Miss Tanzania kutoka kwa muandaaji Hashim Lundenga kwa madai kuwa kulikuwa na uhuni ulioanza kuigubika tasnia hiyo.

 Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa Miss Tanzania Mpya chini ya Mkurugenzi wa The Look Company, Miss Tanzania 1998 Bi. Basila Mwanukuzi, Dk Mwakyembe amesema kuwa uhuni wa waandaji ulishamkwaza hivyo kwa kuwa mabadiliko yameangukia mikononi mwa Basila basi anaamini 'upele umepata mkunaji'.

Akizungumzia chanzo cha kutaka kuyaweka mashindano hayo kuwa chini yake kutoka kwenye kampuni ya Lino Agency, Waziri Mwakyembe amesema kwamba alikasirishwa na uhuni aliofanyiwa Miss Tanzania 2016 kwa kupewa zawadi ya gari hewa huku akiongeza kuwa mabinti wanajitoa kwa juhudi licha ya kuwepo kwa mfumo dume kwenye jamii.

"Watotot wa watu wanajitolea, mfumo wetu bado ni dume wanapata tabu sana kuishawishi jamii kuwa haya ni mashindano ya kawaida anapita kwenye chujio anashinda alafu unampa zawadi hewa. Basila mwenyewe aliwahi kupewa zawadi hewa kaeni naye vizuri atawaeleza. hivyo niseme mabadiliko haya yamenifanya nione kwamba upele umepata mkunaji" Mwakyembe.

Hata hivyo Waziri huyo mwenye dhamana ya sanaa amemtaka muandaaji huyo mpya (Basila Mwanukuzi) kuhakikisha anaondoa ubabaishaji wote uliokuwepo na kumuahidi kuwa serikali ipo nyuma yake.

SOMA PIA: Call for Interview at Utumishi For (PTF), (NHIF), (TAFIRI), (NCT) And Ardhi University
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images