Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104803 articles
Browse latest View live

Spika Ndugai Awaka Sakata la Kupima Samaki kwa Rula "Watanzania Wamefunga Milango ndo Wale Samaki?"

$
0
0
Spika Ndugai Aingilia Kati Sakata la Kupima Samaki kwa Rula "Watanzania Wamefunga Milango ndo Wale Samaki?"
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemuwakia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina na kueleza masikitiko yake kufuatia kitendo cha maofisa wa wizara hiyo kuingia eneo la Bunge (mgahawa wa bunge) na kupima samaki kwa rula kwa kile kilichoelezwa kuwa ni wachanga na wamevuliwa kinyume cha sheria.



Ndugai ameyasema hayo leo Jumatano, Juni 20, 2018, Bungeni jijini Dodoma kufuatia Waziri Mpina kuliomba radhi Bunge baada ya maofisa wa wizara yake kuingia katika mgahawa wa bunge na kupima urefu wa samaki waliopikwa kisha kumpiga faini mmiliki wa mgahawa huo kiasi cha Tsh. 300,000 kwa madai ya kukutwa na kilo mbili za samaki wachanga (chini ya sentimita 25) waliovauliwa kinyume cha sheria.



“Tunamshukuru Waziri kwa maelezo aliyoyatoa, lakini tunasikitishwa na kilichotokea, mabunge mengine ya nje wakisikia kuna waziri hapa nchini amefanya kilichofanyika, itakuwa ni dharau sana, hata panapokuwa na kosa limefanyika eneo la bunge, RPC anapaswa kunijulisha.



“Watu wananunua samaki kwa kilo na si kwa futi, halafu samaki mwenyewe kapikwa, kishakuwa ni kitoweo, hii sheria ya kupima kitoweo inabidi tuisome vizuri, hivi Watanzania wawe wanafunga milango ndiyo wale samaki?



“Wapimaji wenyewe wa wizara wanapima chakula cha waheshimiwa wakati mikono yao hawajavaa hata gloves, tena wamearika na waandishi wa habari, huu ulikuwa kama mpango maalum wa kuliweka bunge katika hali flani,” alisema Ndugai.

Bei ya Picha za Wizkid Katika Maonyesho ya D&G ni Kufuru

$
0
0
Bei ya picha za Wizkid katika maonyesho ya D&G ni kufuru
Baada ya staa maarufu kutokea Nigeria Wizkid “Starboy” kupata nafasi ya kufanya maonyesho ya nguo za mwanamitindo maarufu duniani Dolce & Gabanna siku ya June 15,2018 Milan,Italy.

Unaambiwa picha za staa huyo zilizopigwa katika maonyesho hayo zinauzwa  zaidi ya Shilingi laki saba mpaka Milioni moja za kitanzania hii ni baada ya kampuni moja inayojihusisha na picha kuingiza picha hizo katika mtandao wa Getty Images na kuuzwa pound 340.



Katika maonyesho hayo yaliyofanyika siku chache zilizopita Wizkid alikuwa pamoja na mwanamitindo mkongwe kutokea Marekani Naomi Campbell pamoja na Tinnie Tempah na wanamitindo wengine.

Sugu Ageuka Mbogo Bunge Kisa Wimbo Wake Kufungiwa "Mimi Sio Kama Roma, Naiburuza Mahakamani Basata"

$
0
0
Ikiwa ni siku moja tangu Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kutangaza kuufungia wimbo wa Joseph Mbili ‘Sugu’, msanii huyo ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini amesema atatumia mawakili sita kulishtaki baraza hilo.

Sugu amesema hayo leo June 20, 2018 bungeni na kueleza kuwa wimbo huo umefungiwa wakati bado hata haujatoka.

“Wimbo umevuja wao wanatoa statement ya kufungia, hawajawahi hata kuingia studio, hawajui hata gharama. Wanataka wote tuimbe nyimbo za matusi,” amesema.

“Mimi sio kama Roma, naiburuza mahakamani Basata wimbo umevuja mimi sijautoa bado. Nina mawakili sita nitawaburuza mahakamani ndio watakoma

Hata hivyo wakati Sugu akieleza hilo Naibu waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza alisema; Wimbo unavuja vipi wakati uko kwenye mitandao, hata mashairi yake ninayo hapa. Nyie wenyewe mlisema Basata wanafungia nyimbo bila taarifa,’.


Wimbo wa Sugu uliofungiwa unaokwenda kwa jina la #219 ambayo ilikuwa ni namba yake kama mfungwa alipokuwa akitumikia kifungo cha miezi sita gerezani, hata hivyo alikuja kutoka kabla ya kumaliza muda huo.

Snura Aitwa na Basata Abanwa kwa Masaa Matatu

$
0
0
Snura Aitwa na Basata Abanwa kwa Masaa Matatu
Msanii wa muziki Snura Mushi ameingia kwa mara nyingine kwenye anga za Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).

Jumatano hii msanii huyo ameitwa kwenye Baraza hilo kutokana na video yake chafu iliyosambaa mtandaoni inayomuonyesha akicheza jukwaani.

Kikao hicho kimedumu kwa zaidi ya masaa matatu na hata hivyo msanii huyo amekataa kuzungumzia tukio hilo.

Hii ni takribani mara ya pili kwa msanii huyo kuitwa kwenye Baraza hilo ambalo limewahi kufungia ngoma yake ya ‘Chura’.

Balaa Tupu! Panya Wavamia ATM na Kutafuna' Pesa

$
0
0
Panya Wavamia ATM na Kutafuna' Pesa
Mafundi waliofika kuukarabati mtambo wa ATM ambao ulikuwa umeharibika katika jimbo moja nchini India walipigwa na butwaa walipoufungua kubaini tatizo lilikuwa wapi.

Noti za thamani ya rupia 1.2m (£13,300; $17,600) zilikuwa zimechanwa na kuraruliwa na panya katika benki hiyo jimbo la Assam.

Polisi wanasema panya hao pengine waliiingia ndani ya mtambo huo kwa kupitia kwenye tundu lililokuwa litumiwe kuingizia nyaya, gazeti la Hindustan Times limeripoti.

Afisa wa polisi Prakash Sonowal alisema kwamba mtambo huo umekuwa haufanyi kazi kwa siku 12 hizi, gazeti la Hindustan Times limeongeza.

Mhubiri awaomba waumini wamnunulie ndege Marekani
Mafundi waliofungua mtambo huo walipata noti za rupia 2,000 na rupia 500 zikiwa zimeharibiwa.

Walifanikiwa kunusuru noti za jumla ya thamani ya rupia 1.7 milioni, maafisa wanasema.

Mboso Awaomba Radhi Basata Kisa Video Yake Chafu

$
0
0
Wikiendi iliyopita msanii kutoka WCB, Mbosso aliposti video chafu kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akicheza na mwanamke jukwaani huko mkoani Mtwara alivyokuwa akitumbuiza, video ambayo imepelekea Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) leo Juni 20, 2018 kumuita kwa mahojiano juu ya video hiyo.

Sasa baada ya mahojiano na BASATA, Mbosso amesema kuwa amemalizana na BASATA kwa kuwaomba msamaha kwa yaliyotokea na kuwataka mashabiki wake wamsamehe kwa kuposti video hiyo ambayo watu wengi wameilalamikia kuwa ni kinyume na maadili ya Mtanzania.

Mexico Yakalia Kuti Kavu..... FIFA Kuwafanyia Uchunguzi

$
0
0
Mexico Yakalia Kuti Kavu..... FIFA Kuwafanyia Uchunguzi
Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limeanza uchunguzi na huenda hatua kali zikachukuliwa dhidi ya Mexico.

Mexico imeingia matatani baada ya mashabiki wa timu hiyo kumfanyia vitendo vinavyoashiria ushoga kipa wa Ujerumani Manuel Neuer.

Tukio hilo lilitokea katika mchezo wa Fainali za Kombe la Dunia ambao Mexico ilishinda bao 1-0 zinazoendelea nchini Russia.

Baadhi ya mashabiki walionyesha ishara ya vitendo vya ushoga kwa kipa huyo wakati akijiandaa kupiga mpira dakika ya 24 ya mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Luzhniki, Moscow.

Hata hivyo, Fifa haijatoa ufafanuzi wa adhabu inayotarajia kuchukua dhidi ya Mexico iliyoanza vyema fainali hizo baada ya kucheza kwa kiwango bora ilipovaana na Ujerumani.

“Uchunguzi wa tukio hilo unaendelea hatuwezi kutoa taarifa haraka tunaendelea na mawasiliano,”ilisema taarifa ya Fifa.

Shirikisho la Soka Mexico limewahi kukumbwa na adhabu kutoka Fifa mara kwa mara kutokana na matukio ya mashabiki wake kujihusisha na ushoga viwanjani.

Maofisa wa shirisho hilo na wachezaji wa timu walijaribu kuwatuliza mashabiki kusitisha ishara zinazoashiria ushoga.

Kwa mujibu wa sheria mpya iliyoanza kutumika katika Fainali za Kombe la Dunia, Fifa ilitoa mwongozo kwa waamuzi kusimamisha mpira yanapojitokeza matukio yanayoashiria vitendo vya ushoga.

Sheria hiyo inasema kuwa endapo matukio ya aina hiyo yataendelea, mwamuzi ana mamlaka ya kuahirisha mchezo.

Maneno Mazito ya Dogo Janja kwa Irene Uwoya "Usicheze na Midoli Haing'ati"

$
0
0
Maneno Mazito ya Dogo Janja kwa Irene Uwoya "Usicheze na Midoli Haing'ati"
Baada ya Muigizaji Uwoya kupost kwenye Instagram yake ikiwa ni kuwajibu mashabiki wake wanao comment vibaya kwenye post zake, naye mume wake ambaye pia ni msanii wa bongofleva Dogo Janja ameamua kumuandikia mkewe kwa kumuambia asicheze na Midoli kwani midoli huwa haing’ati.

Dogo Janja ambaye amepost picha ya mkewe Uwoya nakuandika caption aliyosomeka hivi..>>>“Usicheze Na Hii Midoli, Kwa Maana Midoli Haing’ati..❤️” Dogo Janja


Viwanja vya makazi: Bunju na MapingaViwanja vipo Kimele, ni km 3 kutoka main road.

$
0
0

Viwanja vya makazi: Bunju na Mapinga
Viwanja vipo Kimele, ni km 3 kutoka main road.
Vipo viwanja size zote kwa bei tofauti: mil 2 for 10/20, mil 4 for 20/20, mil 6 for 20/30, mil 8 for 20/40, mil 12 for 30/40, mil 16 for 40/40 na mil 24 for 40/60. luksa kulipa kwa awamu.
Hakuna dalali, mpigie mhusika: 0757489709

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Breaking News: Mbunge Prof Maji Marefu Akimbizwa Muhimbili kwa Ndege ya Dharura

$
0
0
Breaking News: Mbunge Prof Majimarefu Akimbizwa Muhimbili kwa Ndege ya Dharura
Mbunge wa Korogwe Vijijini mkoani Tanga Steven Ngonyani  maarufu kwa  jina la Prof Maji Marefu (CCM) ambaye hivi karibuni alipata pigo la kufiwa na mke wake leo hii amesafirishwa kwa ndege ya dharura kutokea mkoani Dodoma kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.

Bado haijajulikana ni ugonjwa gani ambao unamsumbua Mbunge huyo huku taarifa zikieleza kuwa alikuwa amelazwa katika hospitali ya Mkoa wa Dodoma toka Jumatatu ya wiki hii.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Jaji Mutungi Avionya Vyama vya Siasa

$
0
0
Jaji Mutungi  Avionya Vyama vya Siasa
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vya siasa na wanachama wake kutekeleza majukumu yao ya kisiasa kwa kufuata na kuzingatia sheria na Kanuni za vyama vya siasa na sio vinginevyo.


Jaji Mutungi ametoa kauli hiyo leo Juni 20, 2018 kufuatia tabia iliyojitokeza ya baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa nchini kutumia vibaya vyombo vya habari, hususani mitandao ya kijamii kufanya vitendo au kutoa kauli ambazo zinavunja sheria za nchi na ni wito wangu kwao kuacha tabia hiyo mara moja.

"Ninasisitiza kuwa viongozi wa vyama vya siasa wasitumie vibaya dhana ya demokrasia na uhuru wa habari, kuvunja Sheria za nchi. Ieleweke kwamba mtu yeyote anapokiuka sheria za nchi, Sheria itachukua mkondo wake bila kujali wadhifa wa mhusika katika chama cha siasa", amesema Jaji Mutungi.

Kwa upande mwingine, Jaji Mutungi ametoa rai kwa viongozi wote wa vyama vya siasa na wanachama wote wa vyama vya siasa nchini kuheshimu sheria za nchi wakati wote ili kudumisha na kukuza demokrasia ya vyama vingi nchini.

Msukuma Ampa Makavu Waziri Sakata la Kupima Samaki Jikoni

$
0
0
Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Musukuma amemtaka Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhanga Mpina kujitafakari na kung’atuka kufuatia maofisa wa wizara hiyo kuingia bungeni bila ridhaa katika mgahawa wa Bunge na kupima samaki wanaodaiwa kuvuliwa haramu.

Musukuma ametoa kauli hiyo leo Jumatano Juni 20, 2018 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa bajeti ya Serikali mwaka 2018/19.

“Nilikamatwa na samaki katika basi langu, tukaombwa rula…, waziri ajitafakari,” amesema Musukuma na kuongeza;

“Wizara hii  tumekuwa na mawaziri watano madaktari lakini leo tumeleta mgambo sijui shule ya aina gani? ni vizuri tukakaguliwa vyeti, mtu ana elimu ya kuunga uunga, yeye amekiri sijui hajui kwamba anakosea.

"Huu urais utakuja kututokea puani hasa sisi wasukuma, tumeamua kunyamaza na kumwachia Mungu apambane nae.”

Akitoa taarifa ya Serikali bungeni leo kuhusu kilichotokea jana, Mpina amesema ni sehemu ya utekelezaji wa shughuli za wizara ikiwamo operesheni sangara ambayo jana ilitendeka bungeni, itaendelea lakini kwa bahati mbaya utekelezaji huo haukuzingatia tararibu za Bunge.

Amesema Juni 19 akiwa katika mgawaha wa Bunge aliona samaki wa sato akahisi wapo chini ya sentimita 25 na kuagiza wachunguzwe.

Samatta Awaaga Wawakilishi Tanzania Kwenye Michuano ya Golf

$
0
0
Samatta awaaga wawakilishi Tanzania
Nyota wa soka wa Kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta, mapema leo asubuhi amekutana na kuwaaga Mabingwa wa mnchezo wa Golf  nchini ambao wanasafiri kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Golf Africa.


Mabingwa hao ambao ni Angel Eaton kwa upande wa wanawake na Victor Mwene kwa upande wa wanaume wameondoka leo asubuhi kuelekea nchini Namibia ambako watakuwa wanawania ubingwa wa Africa wa Golf.

Mashindano hayo maarufu kama (Windhoek Lager Africa Jacket Championship), yanatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi Juni na yatafanyika kwenye Mji mkuu wa Namibia Windhoek katika viwanja vya Windhoek Golf na Country Club.

Samatta amewaomba Watanzania kuungana kwa pamoja na kuwatakia kila la kheri wawakilishi hao ili waweze kuibuka na ushindi na kuleta heshima nchini pamoja na wao kujitangaza kimataifa zaidi.

''Bahati ilioje nimekutana na mabingwa wa Golf  Tanzania ambao wanasafiri kwenda kwenye mashindano ya Golf Africa huko Namibia tuwatakie kila la kheri katika mashindano watuwakilishe vyema watanzania'', ameandika Samatta.


Makonda Kujenga Viwanja Vitano vya Michezo

$
0
0
Makonda Kujenga Viwanja Vitano vya Michezo
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amefanikiwa kupata wadau watakaojenga Viwanja 5 vya Basketball (in door) kwenye wilaya zote tano za Mkoa huo kwa lengo la kuimarisha sekta ya michezo.

Makonda amesema Viwanja hivyo pia vitaweza kutumika kwa Michezo zaidi ya Mitano ikiwemo Ngumi, Mieleka, Volleyball na Table Tennis ambapo kila kiwanja kitakuwa na uwezo wa kupokea Mashabiki 3,000.

Aidha  Makonda amemchagua Mchezaji maarufu wa Basketball Bwana Hasheem Thabit kuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa viwanja hivyo ambapo ujenzi wa kiwanja kimoja peke inakadiriwa kugharimu Kati ya Shilling Million 300 hadi 500.



Uamuzi wa Makonda kuja na mkakati wa kujenga Viwanja hivyo ni baada ya kubaini uwepo wa idadi kubwa ya vijana wanaopenda michezo kwenye mkoa wake lakini wanashindwa kufanyia kazi vipaji vyao kutokana na changamoto za ubovu wa miundombinu ya viwanja vya michezo.

Zali Apata Dill Miss Uganda Achaguliwa kuwa Jaji

$
0
0
Zali Apata Dill Miss Uganda Achaguliwa kuwa Jaji
Zari The Bosslady huwa hataki kupitwa na kila fursa inayokatisha mbele yake – Hasa linapokuja suala la kuingiza mkwanja.



Mrembo huyo amefanikiwa kupata dili la kuwa Jaji kwenye shindano la kumtafuta Miss Uganda kwa mwaka huu.

Kupitia mtandao wa Instagram, waandaaji wa shindano hilo wamethibitisha hilo kwa kuandika, ”The Miss Uganda beauty pageant is proud to announce its first patron and judge for #Missug18 @zarithebosslady 💃💃. Miss Uganda is a celebration of beauty with a purpose to inspire young women to succeed in life.”



”We are also pleased to announce that she will also be a guest speaker at a CSR (corporate social responsibility) activity targeted to young girls organised by the #MissUgandaFoundation. The Miss Uganda pageant is happening on the 10th of August 2018,” wameongeza.

Shindano hilo linatarajiwa kufanyika August 10 ya mwaka huu katika ukumbi wa hoteli ya Kampala Sheraton.

Mbunge Bwege Kufanya Maandamano Julai 1 Kuishinikiza Serikali

$
0
0
Mbunge Bwege Kufanya Maandamano Julai 1 Kuishinikiza Serikali
Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF) Suleimani Bungara, maarufu kama Bwege amemtaka Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, awe sehemu ya maandamano ya wananchi wa mikoa Lindi na Mtwara ili kuishinikiza Serikali kurudisha pesa za wakulima wa zao la korosho.


Bungara amesema hayo leo Juni 20, 2018 Bungeni Jijini Dodoma, wakati wa kuchangia hoja mjadala wa mapendekezo ya Bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na kuongeza kuwa mpaka kufikia Juni 30,2018 Serikali iwe imerudisha pesa za korosho kwa wakulima takribani shilingi bilioni 81, kinyume na hapo wananchi watalazimika kufanya maandamano Julai 1, 2018.

“Mpaka Juni 30, 2018, kama hela yetu haikurudi tunakuomba mheshimiwa Spika uje Mtwara kupokea maandamano ya wakulima wa korosho wa Mikoa ya kusini, kwasababu inaonekana serikali ya CCM sawa na patasi haifanyikazi mpaka igongwe” amesema Bungara.

Bungara ameongeza kuwa maandamano hayo hayataweza kuzuilika mpaka pale wakulima wa zao la korosho watakapo rudishiwa fedha zao na kumtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango kujiuzulu kama atashindwa kurudisha pesa hizo.

Kwa upande mwingine mbunge huyo amesema ataunga mkono mapendekezo ya Bajeti hiyo endapo Serikali itaongeza fedha katika miradi ya maji, kilimo, mifugo, uvuvi na elimu kwasababu ni sekta ambazo zinawagusa wananchi wengi moja kwa moja na ndiyo wapiga kura.

Sugu:Basata Wanataka Wote Tuimbe Nyimbo za Mapenzi..Nitawaburuza Mahakamani

$
0
0

Mwanamuziki Joseph Mbilinyi maarufu Sugu ambaye ametoka jela hivi karibuni amelieleza Bunge leo Jumatano Juni 20, 2018 kwamba atatumia mawakili sita kulifungulia mashtaka Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kupinga kufungiwa wimbo wake wa #219.

Akizungumza katika mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/19 bungeni leo Juni 20,  2018, Mbilinyi amesema kila taasisi imegeuka kuwa polisi ikiwemo Basata walioufungia wimbo huo uliovuja, kabla ya kuutoa rasmi.

Amebainisha kuwa Basata limetoa taarifa ya kuufungia wimbo huo wakati hawajui gharama alizotumia kuutengeneza.

“Wimbo umevuja wao  wanatoa statement (taarifa) ya kuufungia. Hawajawahi hata kuingia studio,  hawajui hata gharama. Wanataka wote tuimbe nyimbo za mapenzi,” amehoji.

Wakati akieleza hayo, Sugu alikatishwa na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,  Juliana Shonza na kubainisha kuwa anachozungumza mbunge huyo wa Mbeya Mjini si sahihi.

“Wimbo unavuja vipi wakati uko kwenye mitandao. Hata mashairi yake ninayo hapa. Nyie wenyewe mlisema Basata wanafungia nyimbo bila taarifa,”amesema.

Amesema utaratibu unataka mtunzi kupeleka mashairi ya wimbo wake Basata kwa ajili ya uhakiki kabla ya kuutoa katika redio, televisheni, mitandao ya kijamii na maeneo mengine.

Akijibu taarifa hiyo, Sugu amesema hawezi kumjibu naibu waziri huyo kwa sababu ni mdogo wake lakini anachofahamu ni kwamba yeye si  kama kama wanamuziki wengine  waliofungiwa nyimbo zao na baraza hilo.

“Sitampinga mheshimiwa Spika. Lakini  mimi sio kama Roma. Naiburuza mahakamani Basata  wimbo umevuja mimi sijautoa bado. Nina mawakili sita nitawaburuza mahakamani ndio watakoma,”amesema.

Taarifa ya Basata inasema imefikia hatua hiyo kwa kuwa una maneno ya uchochezi na kuhatarisha amani na utangamano miongoni mwa jamii.

Mbali na kuufungia Basata pia imetoa onyo kwa msanii huyo kuutangaza na kuusambaza kwa watu wengine.

Katika wimbo huo wenye beti tatu, mbunge huyo anazungumzia harakati zake za kisiasa zilizosababisha afungwe gerezani akiwa mfungwa namba 219.

“Muziki sikuuchagua, bali ulinichagua, nikafanya kweli na dunia ikanijua, nilichofanya kwa hili gemu mnakijua. Mbeya ndiyo inanitesa (wanaitaka Mbeya), najua Mbeya ndiyo inanitesa. Lakini bado napenda Mbeya inavyonitesa,” inasema sehemu ya kibao hicho.

Msukuma Ampa MAKAVU Waziri Sakata la Kupima Samaki 'jikoni'

$
0
0

Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Musukuma amemtaka Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhanga Mpina kujitafakari na kung’atuka kufuatia maofisa wa wizara hiyo kuingia bungeni bila ridhaa katika mgahawa wa Bunge na kupima samaki wanaodaiwa kuvuliwa haramu.

Musukuma ametoa kauli hiyo leo Jumatano Juni 20, 2018 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa bajeti ya Serikali mwaka 2018/19.

“Nilikamatwa na samaki katika basi langu, tukaombwa rula…, waziri ajitafakari,” amesema Musukuma na kuongeza;

“Wizara hii  tumekuwa na mawaziri watano madaktari lakini leo tumeleta mgambo sijui shule ya aina gani? ni vizuri tukakaguliwa vyeti, mtu ana elimu ya kuunga uunga, yeye amekiri sijui hajui kwamba anakosea.

"Huu urais utakuja kututokea puani hasa sisi wasukuma, tumeamua kunyamaza na kumwachia Mungu apambane nae.”

Akitoa taarifa ya Serikali bungeni leo kuhusu kilichotokea jana, Mpina amesema ni sehemu ya utekelezaji wa shughuli za wizara ikiwamo operesheni sangara ambayo jana ilitendeka bungeni, itaendelea lakini kwa bahati mbaya utekelezaji huo haukuzingatia tararibu za Bunge.

Amesema Juni 19 akiwa katika mgawaha wa Bunge aliona samaki wa sato akahisi wapo chini ya sentimita 25 na kuagiza wachunguzwe.
==
Viewing all 104803 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>