Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live

Baada ya TCRA Kumtaka Uwoya Aombe Radhi kwa Picha ya Utupu..... Hatimaye Aomba Radhi Kwa Picha kwa Kutumia Picha Tata

$
0
0
Mwandada muigizaji wa filamu za kibongo Irene Uwoya leo aliitwa na Tcra baada ya picha yake ya utupu ile iliyoleta gumzo mtandaoni na kutakiwa kuomba radhi kupitia mtandao wake wa kijamii.

Baada ya kuonywa na TCRA Uwoya alitekeleza agizo hilo alilopewa kwa kutumia picha nyingine tata ilioonyesha mapaja yake wazi  na kuomba msamaha kama alivyotakiwa .

Kupitia instagramu yake irene uwoya aliandika hivi "Wapenzi Wangu ...ndugu zangu...wakubwa zangu na wadogo zangu naomba radhi kwapicha niliyopost...najua niliwakwaza mnisamehe sana sikujua ntawakwaza nisababu tu ya role model Wangu beyonce!!!nimejifunza Sasa!!!nawapenda"



Dudu Baya Amvaa Muna..... Amwambia Nay wa Mitego Mwanamke Asiye Kamili ana Homoni zote Mbili

$
0
0
Dudu Baya Amvaa Muna.....  Amwambia Nay wa Mitego Mwanamke Asiye Kamili ana Homoni zote Mbili
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Dudubaya amedai kwa kitendo alichokifanya Muna kuzungumza na vyombo vya habari kabla ya 40 ya mtoto wake Patrick sio kizuri. Pia rapper huyo amemchana Nay Wamitego kwa kumshambulia Shilole kwa maneno yake aliyomtolea Muna

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

$
0
0
"HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo:

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa.

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari.

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3.

5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume

KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA:

MPENZI Wangu Analilia Nimnunulie Gari Kukwepa Miluzi Barabarani

$
0
0
Asikuambie mtu presha ya mwanaume yoyote ipo pale anapojua kuna mbaya wake anataka kufaidi ile raha anayoipata yeye naumia kila niwapo faragha na mpenzi wangu nikiwaza vitu hadimu anavyonipa bila hiyana bila uchoyo na mchezo anavyouweza hadi nachanganyikiwa mtoto kweli mashalaaaa akitembea utadhani kadondoka hajazaliwa.

Mtoto kaja juu kuwa akitembea mitaani watu wanapiga kelele na miluzi sana kwa wingi kitu kinachomkera sasa kaja juu kua nimnunulie gari maana kazichoka hizi kelele nashindwa nifanyeje kwa kweli, naumia sana na nikiwaza tuu nahisi kuchanganyikiwa mimi.

Nifanyeje niudhibiti huu mzigo?

MAJANGA:Nimeamka Asubuhi Nipo na Mama Mkwe Kitandani...Nifanyeje?

$
0
0
Heka heka la jana si mchezo kabisa, nilikata moto kama ngoma sita ilikuwa Bar moja nilienda na familia kupata burudani ya mziki live Band, sasa wife hakukaa sana na ilivyofika saa tano akasepa na watoto akaniacha na mdogo wake wa kike na mama mke ambaye ni mama mkwe.

Nikiri tu huyu mama ni mmama wa kimjini mjini na pombe nyama kwa sana tukiwa watatu pale mimi, mama mkwe na mdogo wake wife mida si mida mziki umekolea mdogo wake wife akaniamsha tukaelekea kwa Dance floor huku mama mkwe akiendelea kupiga vyombo.

Tumecheza muda si muda mama mkwe akamuita mwanae wakaongea then akasepa, Daah kuanzia hapo vitimbi vya mkwe wangu vikaanza akaniambia tuhame bar eti twende Hotel ambayo ina burudani na vyumba ikitokea mtu kazidiwa anaenda pindua, nikamuuliza Rachel yuko wapi mdogo wake sasa na wife akaniambia kuna mtu wake kamuita nikaona isiwe case japo nilianza kulalama nani ataendesha gari kuelekea huko anakotaka ile hali wote tuko chakari, akasema ni drive tu pole pole basi bana tumeelekea huko.

Ile tunapiga urabu wife kaanza kusunbua kupiga simu ikabidi mama ake ambae ni mkwe wangu apokee simu na kumtoa hofu bado wife akasisitiza muda umeenda na turudi, wakuu pombe zilinizidi na yule mama mkwe akanikokota mpaka chumbani wazee pombe kali si mchezo, nilisimamia show usiku sasa ndio nashituka usingizini na mama mkwe bado amelala pembeni hapa nimechukua simu missed calls 30 za wife.

Wakuu niko njia panda baada nifanyeje kuua msala huu, Najuta kuja ukweni huku, swala hili nitalisolve vipi ndugu zangu?

By Mwana Ukoo/JF

Akina Dada Mnaojiona Wazuri Hii Inawahusu Moja Kwa Moja

$
0
0
Ukijaliwa kuwa Msichana mzuri na
mrembo,usidhani utatetemesha kila
Mwanaume,kuna wanaume na akili
zao kichwani,urembo wako
hauwasumbui,kama bichwa lako ni
kanyaboya,uzuri wako hausaidii
kitu,na utashangaa no one is paying
attention,watu utakaowapata ni
walewale kanyaboya wenzako,na
hawana futuretabaki unaliwa bure
kila siku unatoa macho.
Ukipata mwanaume anakupenda
unaanza drama zako na kupiga watu
danadana,madai yako hujali na
unadhani hata akiondoka utapata
mwingine kisa wewe ni mzuri,la
hasha! Mwanaume akijitoa mhanga
kukupenda kwa uzuri wako
mheshimu,maana viumbe wa kike
wakiwa wazuri ni shida na matatizo
hakuna mtu anataka,sasa
ukimwongezea na drama pamoja na
yeye kujigeuza mpalestina kwako
utajikuta umeolewa na kioo cha
chumbani kwako,maana hicho ndo
kinakudanganya sana kwamba we ni
mrembo,Watch out,drama zina
mwisho,leo unacheza na mioyo ya
watu unajiona we kifaa,usidhani
wanaume hawaumii,tunaumia sema
hatusemi tu,machozi yetu kama ya
samaki,tunalia ndani kwa ndani

Simba Yamtambulisha Rasmi Kocha Wao Raia wa Ubelgiji

$
0
0
Sima Yamtambulisha Rasmi Kocha Wao Raia wa Ubelgiji
UONGOZI  wa klabu ya Simba umemtangaza rasmi kocha wao mpya raia wa Ubelgiji,  Patrick Aussems, ukisema yuko tayari kuanza kazi ya kuiandaa timu kuelekea mashindano ya Ligi Kuu Bara.


Simba wameingia makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja na Aussems akiwa anachukua mikoba ya Mfaransa, Pierre Lechantre, ambaye alimaliza muda wake.

Hatua hiyo imekuja mara baada ya mabosi wa Simba kugoma kumuongezea mkataba Lechantre ambaye alipewa timu kwa muda wa miezi sita pekee na baada ya kumalizika wakaachana naye.

Aussems amesaini mkataba huo mbele ya Makamu wa Rais wa klabu hiyo, Salim Abdallah,  maarufu kama Try Again, sambamba na Kaimu Makamu wa Rais,  Idd Kajuna, na waandishi wa habari.

Kocha huyo amewahi kuzinoa timu kadhaa za Afrika ikiwemo AC Leopards ya Congo, KSA Cameroon ya Cameroon, ES Troyes AC ya Ufaransa na zingine nje ya Afrika.

Simba wamefikia hatua ya kumpa mkataba wa mwaka mmoja baada ya kuridhishwa na sifa za kazi yake (CV) zake,  hivyo kuona anastahili kukinoa kikosi hicho ambacho kimeshiriki michuano ya SportPesa Super Cup na Kagame bila ya kuwa na kocha mkuu.

Wakati Aussems akimwaga wino, kikosi cha Simba kinatarajiwa kusafiri kuelekea nchini Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa ligi unaotarajiwa kuanza Agosti 22.


Lugola Ambana Tena IGP Sirro.... Amtaka Kumrudisha Mbwa wa Bandalini Ifikapo Saa 12 Jioni

$
0
0
Lugola Ambana IGP Sirro.... Amtaka  Kumrudisha Mbwa wa Bandalini Ifikapo Saa 12 Jioni
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema ifikapo saa 12 jioni leo atahitaji maelezo kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro kuhusu alipo mbwa maalumu wa polisi wa kikosi cha Bandari ambaye hajulikani alipo.

Lugola ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi Julai 19, 2018 wakati alipofanya ziara Bandari ya Dar es Salaam, kwa ajili ya kuona utendaji kazi wa jeshi la polisi bandarini hapo.

Amesema kikosi kina jumla ya mbwa sita maalumu, wawili wapo mafunzoni na wanabaki wanne ambapo kati yao mmoja aitwaye Hobby hajulikani alipo.

Alisema ameulizia alipo mbwa huyo lakini haijulikani alipopelekwa wala alipolala tangu alivyoondolewa jana asubuhi.

“Taarifa nilizonazo matumizi ya mbwa hawa siyo mazuri baadhi wanachukuliwa na kukodishwa kwa ajili ya kufanya shughuli nyingine. Nimesikitishwa na kitendo hiki na maelezo niliyopewa hajaniridhishwa kwa sababu mbwa hawa kwetu ni askari,”

“ Nikimaliza ziara yangu leo saa 12 jioni IGP (Sirro) yeye mwenyewe anipigie simu akiwa na huyu mbwa  pale polisi Bandari ili niweze kujiridhisha alikuwa wapi na alikwenda kufanya nini.” amesema Lugola.

 Lugola ambaye pia ni Mbunge wa Mwibara amesema mbwa hao wana uwezo wa aina mbalimbali ikiwamo kunusa silaha, pembe za ndovu na dawa za kulevya zinazoingia au kusafarishwa kwa kutumia bandari hiyo.


Malkia wa Urembo Gerezani Ahukumiwa Kifo Kenya kwa Kumuua Mpenzi Wake

$
0
0
Malkia wa Urembo Gerezani Ahukumiwa Kifo Kenya kwa Kumuua Mpenzi Wake
Malkia wa urembo katika gereza kuu la wanawake la Lang'ata jijini Nairobi amehukumiwa kifo baada ya kupatikana na kosa la kumuua mpenzi wake.

Ruth Wanjiku Kamande alipatikana na kosa la kumuua mpenzi wake Farid Mohammed katika mtaa wa Buruburu, Nairobi mnamo tarehe 20 Septemba, 2015.

Jaji huyo amesema hukumu hiyo inafaa kuwa funzo kwa vijana ambao wanafaa wafahamu kwamba "si vyema kumuua mpenzi wako, ni vyema kujiondokea ukaenda zako."

Wakati wa kukamatwa kwake, mwanamke huyo mwenye miaka 25 sasa alikuwa ndio tu amejiunga na Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta (JKUAT) kusomea Uanabiashara, kwa mujibu wa wakili wake.

"Mwanamume huyo aliyeuawa aliyekuwa na miaka 24 wakati huo alikuwa mjane na alikuwa anategemewa na jamaa wengine, haki inafaa kutekelezwa," wakili wa mashtaka alisema.

Mwanamke huyo alikuwa amejitetea kortini na kusema mzozo kati yake na marehemu ulizidi baada yake kugundua kadi ya hospitali iliyoashiria kwamba Mohammed alikuwa anapokea matibabu ya Ukimwi.

Alisema alimkaripi kumwuliza ukweli kuhusu hilo na kwa mujibu wake, marehemu alimwambia wakati huo kwamba heri wafe wote kuliko hali yake ya Ukimwi itambulike hadharani.

Bi Kamande anasema mzozo wao ulizidi hata zaidi baada yake kugundua barua za mapenzi kutoka kwa wanawake wengine.

Alisema alimdunga kisu mpenzi wake baada ya kisu cha kutumiwa jikoni kumwangukia wakipigana na hapo akamdunga kisu mara kadha. Anadaiwa kumdunga kisu mpenzi huyo wake mara 22.

Bi Kamande alikuwa ameambia mahakama kwamba marehemu alijaribu pia kumbaka lakini mahakama ilisema uchunguzi wa madaktari ulionyesha hakukuwa na ukweli kuhusu madai hayo.

Hamisa Mobetto Aomba Radhi kwa Picha Zake za Utupu

$
0
0
Hamisa Mobetto Aomba Radhi kwa Picha Zake za Utupu
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA leo iliwaitwa Mastaa wa Tanzania Hamisa Mobetto na Irene Uwoya kutokana na picha za utata ambazo walizipost kwenye Instagram zao, ikafika zamu ya Hamisa kujielezea na kuomba msamaha.

Kupitia Instagram yake Hamissa aliomba radhi kwa kuandika hivi

"NAOMBA RADHI KWA UMMA:

Husika Na Kichwa Cha Habari Hapo Juu.

Mimi Hamisa Mobetto
Ambaye ni Mfanya Biashara Wa Mitindo (Fashion Entrepreneur) Apa Nchini Tanzania Na Pia Ni Raia Wa Tanzania 🇹🇿 Naomba Kutumia Fursa Hii Kuomba Radhi Kwa Watanzania na Wengine Wote Ambao Ni Watumiaji Wa Mitandao .
Kuhusiana Na Kitendo Cha Mimi Na Washabiki Zangu (Fans) Wangu Kutuma Picha Zangu Zinazoonyesha Nusu Utupu Kwenye Page Zao Za Instagram.
.
Pia Natumia Fursa Hii Kuwashukuru Kamati Ya Maudhui Kwa Jinsi Walivyonita Kwenye Kamati Yao Na Kunipa Nafasi Ya Kujitetea Na Mwisho Kufanya Uamuzi Wenye Haki Kwangu Na Kwa Wapenzi (fans) Wangu Wote . Ninawashukuru Sana.🙏🏾
.
Mwisho Kabisa Niwahusie Vijana Wenzangu Kuepuka Kutumia Mitandao Ya Kijamii vibaya Kwani Kwa Sasa Kuna Sheria Kali Zinazokataza Picha Mbaya kutumwa Kwenye Mitandao .Naomba Pia Wapenzi (fans)Wangu Kuanzia Sasa Kutuma Picha Zangu Zenye Staha Au Kutumia Biashara Zangu Kunisapoti.
.
Nawashakuru Sana Na Mbarikiwe Sana.❤️''


Zitto Kabwe Wakutana na Lowassa .... Wateta Mazito

$
0
0
Zitto Kabwe Wakutana na Lowassa .... Wateta Mazito
MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hali ya kisiasa ninayoendelea kwenye uchaguzi mdogo wa wabunge na madiwani inaasharia kitakachojiri kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 na kutaka wadau kuungana kuitetea demokrasia.



Zitto amesema hayo baada ya kutoka katika Ofisi ya Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Ngoyai Lowassa leo asubuhi Julai 19,2018 alipokwenda kuzungumza naye na kusema udanganyifu unaotokea katika chaguzi hizo ndogo unatia wasiwasi hivyo kama wapinzani na wadau wengine wa demokrasia, huu ni wakati wa kuunda umoja imara kupinga uondoaji wa demokrasia na kuzuia kasi ya kukua kwa utawala wa amri.



Mchakato wa uchaguzi mdogo katika kata 77 na jimbo moja la Buyungu unaendelea na tayari CCM imeshapata madiwani 22 waliopita bila ya kupingwa baada ya kuwekewa upinzani na wagombea wa CCM au wasimamizi kuwaengua kwa madai ya kukosa sifa.



Wengine wameondolewa kwa kutoandika kwa usahihi neno “Zinjanthropus”, wako walioenguliwa kwa sababu walituhumiwa kwa mauaji, huku waengine wakienguliwa kwa madai ya kudai kazi zao ni wakulima wakati ni wa wafanyabiashara.



Aidha, wako walioenguliwa kwa madai kuwa si raia wa Tanzania na walioenguliwa kwa madai ya kutoa namba ya simu ambazo wasimamizi walidai si sahihi. Maamuzi hayo yameibua rufaa kutoka Chadema ambayo imesema wasimamizi wamekiuka sheria na taratibu za uchaguzi

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Nimegundua Wanawake wengi (85%) Wanateseka Sana Ndani ya Ndoa....Embu Zindukeni.....

$
0
0
Hili jambo limeniuma sana tena sana, wanawake wengi wanaonewa na waume zao bila kusema popote wakijua ndio kuvumilia kumbe hawajui wanajiua pasipo kujua inaniuma sana.

Nimeongea nawanawake zaidi ya 20 walio wengi hawana raha ya ndoa au tuseme tuu ya maisha wanasema wanavumilia huku miaka inaenda wakiwa ndani ya mateso makali, Kama kulea familia wenyewe bila kusaidiwa na baba hata senti, kufungiwa nje bila huruma yani kufukuzwa, kutukanwa na kudharauliwa, kupigwapigwa hivyo hata kuachiwa ulemavu, kubebeshwa mzigo wa kulea watoto wenyewe au kutelekezewa watoto mwanaume akapotea kabisa nyumbani baada ya miaka kumi hadi ishirini ndio anarudi na watoto wanamfurahia bila mama kufanya lolote, wanaume 98% kutokuwa waaminifu ndani ya ndoa zao, kuambukizwa magonjwa ya zinaa na ukimwi, na kugeuzwa kuwa punda wake bila huruma, kwakweli hili jambo limeniuma sana wanaume walio wengi ni mashetani wanaigiza kuwa binadamu hivyo kupelekea wana wake kufa haraka.

Wanawake embu zindukeni kuna maisha zaidi ya ndoa, msikubali kufa mapema kisa neno ndoa yapo maisha zaidi ya ndoa bana msikubali kunyanyaswa hata kidogo yapo maisha bila mume na yenye amani msikubali utumwa nikujitengenezea kifo chakujitakia.

Hii ni rai kwa wanawake wote walio ndani ya ndoa nawale wanaotarajia kujiunga na ndoa, ndoa sio mateso, ndoa sio msalaba, ndoa sio uvumilivu wala ndoa sio lazima.

Nilivyofanya Bonge la Sherehe Baada ya Mke Wangu Kufukuzwa Kazi

$
0
0
Huyu mke nilimuoa akiwa hana kitu, kwa bahati alitafutiwa kazi na ndugu yake kwenye kampuni moja ya simu akawa analipwa kama milioni 3 kwa mwezi fasheni na yeye yeye na fasheni vipodozi kila aina,handbag na nywele za laki mbili ndio mshahara wake ukawa unaishia huko mimi mshahara wangu hauzidi laki sita,nilifanyishwa vituko vyote ndani ya nyumba ,manyanyaso yote ,hapiki hafui,hafanyi chochote ndoa ikawa inaelekea kuvunjika.

Nikaenda mahakamani kuprocess talaka wakasema mpaka nianzie baraza la usuluhishi la kata au kanisani,nikaamua kwenda kanisa tulilofungia ndoa tukaitwa kwa Baba Paroko for hearing sijui mediation sijui arbitration sijui mie nikatinga kwa bajaj ya kukodi nimepaukaaa yeye akaja na RAV4 .
Baba Paroko alivyotusikiliza akaaniita pembeni akasema kijana hapa nadhani hata tukiomba na kukariri mistari yote ya biblia plus mapambio yote ndoa yako haitarudi kama mwanzo pambana utafute hela ,huyu ni mchaga katumwa pesa mjini

Nilisali sana nikasugua goti nikamuomba Mungu mara mambo yangu yakakaa sawa mshahara ukawa mara mbili plus marupurupu anagalau . baada ya miezi miwili sina hili wala lile mara simu yangu nilishangaa mke wangu kunipigia mchana ,tumeachishwa kazi kmpuni imeuzwa,hureeeeee niliruka ruka kwa furaha sana nikapigia simu washikaji tukaenda kunywa bia na nyama choma mpaka saa sita usiku kabla polisi na makonda hawajatuvamia nilijua ile kazi ndio inaniharibia ndoa na aliipata kibahati hawezi tena kupata kazi kama ile.

Hela yote ya NSSF akajaribu kufanya kila biashara biashara zikabuma mtaji ukakata alijifanya hajui kupika sasa anapika kuliko hata wapishi wa Kempinski,alijifanya sijui hawezi kufua sasa anafua kuliko dobi ,kitandani alijifanya mvivu sasa yuko vizuri kuliko wacheza shoo wa fally ipupa ,RAV4 imepaki tu muda wote ananilelea watoto kwa nini nisimshukuru Mungu

Funzo:
Wanawake Msijisahau sana pale mnapokuwa vizuri kifedha zaidi ya mume

Nikiwa na Msichana Namkinai, Hivi Nina Pepo au ni Tamaa tu?

$
0
0

Stori za Usiku:
Kuna rafiki yangu yupo kwenye mahusiano na msichana wake kwa miaka saba tangu wakiwa sekondari mpaka leo wamemaliza chuo kikuu wanaendelea poa.

Mimi maishani mwangu sijawahi kuwa kwenye ahusiano kwa zaidi ya miezi sita
nikilala na mwanamke mara mbili au tatu hata kama angekuwa mzuri vipi namkinai na nitamfanya visa mpaka aniache natafuta mwingine nae hivyohivyo
kuna mmoja aliniweza akanikaba mpaka kivuli huyu nilikaa nae muda kidogo lakini miezi sita haikuchukua.

Wakati mwingine nikishawakinai nafuta nambazao utakuta ananipigia nikiuuuliza wewe nani anakasirika wakati angejua nimeshawafanyia wenzake kama ishirini sasa hilo ni pepo au ni kujiendekeza wengine wamediriki kutishia kujiua baada ya kuwa nao kwa muda mfupi wakitarajia ndoa lakini wakaambulia visa na kuachwa....

Wenye uzoefu nishaurini sipendi ila najikuta tuu....

Mama Salma Kikwete afiwa na Baba yake mzazi

$
0
0

MKE wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete ambaye pia ni mbunge wa Viti Maalum (CCM) amepata pigo kwa kuondokewa na baba yake mzazi, Mzee Rashid Mkwachu leo Alhamisi, Julai 19, 2018. 

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mjukuu wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, msiba huo upo nyumbani kwa Dkt. Jakaya Kikwete maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam na mazishi yatafanyika kesho Ijumaa, Julai 20, 2018 katika Makaburi ya Kisutu majira ya saa 10:00 jioni.

Waziri Mbarawa: Sitamvulimia Mtu Yeyote

$
0
0

Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa amesema katika uongozi wake ndani ya wizara hiyo hatowavumilia watendaji wanaoshindwa kusimamia kwa ufanisi miradi ya maji.


Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Julai 19, 2018 wakati akifungua kongamano la kuhamasisha sekta binafsi kushiriki katika maendeleo ya sekta ya maji nchini.


Mbarawa amesema amebaini kuna watu wamepewa dhamana ya kusimamia miradi lakini wanashindwa kufanya kazi hiyo kama inavyotakiwa.


Amesema katika muda mfupi alioingia kwenye wizara hiyo amekutana na miradi mingi ambayo imeshindwa kukamilika ndani ya muda uliopangwa kutokana na uzembe.


"Miradi mingi ya maji ni ya muda mrefu, tatizo sio pesa kuna uzembe unafanyika huenda ni kwa maslahi binafsi. Maeneo mengine mkandarasi yupo eneo la mradi lakini kazi imesimama,"amesema.


"Hili ni tatizo hatuwezi kwenda hivi  lazima tubadilike kama  wizara, hatuwezi kumpa kazi mkandarasi kwa sababu tunamfahamu au anazunguka koridoni. Tutawapa kazi wakandarasi wenye uwezo na viwango na tutawasimamia wafanye kazi kwa ubora unaostahili.”


Profesa Mbarawa pia amewataka wakandarasi watakaopewa kazi za miradi ya maji kuwa wazalendo na kufanya kazi kwa uaminifu bila kujali utaifa wao.


Kwa upande wake Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, mhandisi Stella Manyanya amesema kongamano hilo  ni muhimu kwa kuwa  linatoa fursa kwa sekta binafsi na Serikali kushirikiana katika kuhakikisha maji yanapatikana kwa urahisi.


Amesema kupitia kongamano hilo, Serikali na sekta binafsi watakuwa na  mwelekeo mmoja wa kuleta matokeo makubwa katika sekta ya maji na viwanda.

Twaweza yaijibu Costech kimya kimya

$
0
0

Mara baada ya kusambaa kwa barua ya Twaweza iliyoandikwa kutokea Costech,Taasisi ya Twaweza imejibu kimya kimya barua waliyoandikiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Julai 11 2018.


Twaweza imechukua hatua hiyo baada ya kutakiwa na Costech kujieleza kwa nini isichukuliwe hatua za kisheria kwa kosa la kutoa matokeo ya utafiti bila ruhusa.


Meneja utetezi wa taasisi ya Twaweza Annastazia Rugaba amesema kuwa tayari Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza, Aidan Eyakuze ameshajibu barua hiyo tangu Julai 13 na sasa wanasubiri majibu ya Costech.


Julai 11, mwaka huu Costech iliiandikia barua Twaweza na kuitaka kutoa maelezo hayo ikiwa ni siku chache baada ya kutoa ripoti ya utafiti uliopewa jina la ‘Sauti za Wananchi.’


Matokeo ya utafiti huo yalionyesha kuporomoka kwa ukaribu wa wananchi na vyama vya siasa, utekelezaji wa majukumu kwa viongozi walioko madarakani, Rais anavyotekeleza majukumu tangu alipoingia madarakani na uhuru wa kujieleza katika baadhi ya maeneo

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Shabiki Azimia Baada ya Kuitwa na Chris Brown (VIDEO)

$
0
0
Shabiki mtoto huko Marekani ambaye alipata nafasi ya kusimama jukwaani wakati Staa wa RnB Chris Brown alipokua aki-perform, kabla ya kuzimia Shabiki huyo alikumbatiwa na CB na baada ya hapo alizimia.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Chris Brown amepost video hiyo ikimuonyesha mtoto huyo akizimia baada ya  kukumbatiwa na kusema kuwa alipata uoga baada ya tukio hilo “Nawapenda mashabiki zangu, lakini nilipata uwoga kwa sekunde, huyu mtoto ni legendary” VIDEO:
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live


Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>