Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Missy Elliott Amfanyia Surprise hii Iggy Azalea

$
0
0
Missy Elliott amfanyia surprise hii Iggy Azalea
Iggy Azalea humuelezi kitu kwa rapper Missy Elliott. Mrembo huyuo alipata mshangao mkubwa wiki hii baada ya kupokea simu kutoka kwa rapper huyo ambaye amekuwa akimfuatilia kwa muda mrefu..

Iggy alipokea simu hiyo wakati alipokuwa kwenye kipindi cha The Cruz Show ya Power 106’s na kuthibitisha kuwa Missy Elliott ndio role model wake.

"Nahisi kama kufa kweli hivi sasa. Ninakupenda, wewe ni shujaa wangu. Wewe ni shujaa wangu kabisa wa maisha.



Azalea aliongeza kuwa video ya ngoma ya One Minute Man ya Missy Elliott ambayo imetoka zaidi ya miaka tisa iliyopita ni miongoni mwa video zake tatu bora za  muda wote kutokana na ubunifu uliotumika ndani yake.

Hata hivyo Elliott amempongeza Iggy kwa kazi yake anayofanya kwenye muziki, "Endelea kufanya jambo lako. Hongera juu ya mafanikio yako yote!."

Dismas Ten Afunguka Kuhusu Kujiuzulu Yanga

$
0
0
Dismas Ten Afunguka Kuhusu Kujiuzulu Yanga
Afisa Habari wa Yanga Dismas Ten amekanusha taarifa zinazosambaa kuwa amejiuzulu nafasi yake.

Ten ambaye alikuwa nje ya ofisi kwa wiki kadhaa kutokana na kuugua maradhi yaliyosababisha akalazwa, amesema yeye bado ni mwajiriwa wa Yanga.

"Bado tupo mapambano yanaendelea "-Ten ameandika kwenye akaunti yake ya instagram

Baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kuwa Ten amejiuzulu nafasi yake baada ya kuenea taarifa za kujiuzulu kwa Katibu Mkuu, Charles Mkwassa.

Taarifa hizo zimebainisha kuwa Ten amejiondoa Yanga sababu kuu ikielezwa kukosa ushirikiano kutoka kwa baadhi ya viongozi wa mabingwa hao wa Kihistoria Tanzania Bara.

Casto Umwambii Chochote kwa Tunda "Acha Dunia Inione Mjinga Ila Wewe ni Mke Wangu Mtarajiwa – Casto

$
0
0
Casto Umwambii Chochote kwa Tunda "Acha Dunia Inione Mjinga Ila Wewe ni Mke Wangu Mtarajiwa – Casto
Leo ni siku ya kuzaliwa ya video vixen Tunda ambaye ni mpenzi wa Mtangazaji wa Clouds TV, Casto Dickson.


Mrembo huyo amepokea salamu nyingi za heri ya siku ya kuzaliwa lakini ambayo imeteka vichwa vya habari ni ile iliyoka kwa mtangazaji huyo ambaye alichukua nafasi hiyo kueleza namna anavyompenda binti huyo.

“Acha Dunia inione mi KOLO/MJINGA Ila ur my Wife to be Happy Birthday my T.. God Bless u,” aliandika Casto Dickson kupitia Instagram yake.

Hiyo ni kauli ya kwanza ya mtangazaji huyo toka, Muna ambaye amefiwa na mtoto wake wiki tatu zilizopita atangaze kwamba Patrick alikuwa mtoto wa mtangazaji huyo lakini alikataa mimba akiwa na wiki mbili.

Muna alifikia hatua hiyo baada ya mume wake wa ndoa, Peter kutangaza hadharani kwamba mtoto huyo ni wake na sio wa Casto Dickson kama baadhi ya watu ambavyo wanavyosema.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:  

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.  

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri  

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788  

-DR MAGISE 

Wanawake wa Dar na Kupenda Hela Kwao...Soma Hii

$
0
0

MUME: Hallo my queen…
MKE: Nambiee..my darling
MUME: Nimekumiss honey.
MKE: Hata mie nimekumiss ile mbaya..
MUME: Samahani mke wangu leo sitaweza kurudi nyumbani.. nitakuja kesho asubuhi
MKE: Unasemaje?? na uishie hukohuko.. kalale kwa hao mahawara zako.. mwanaume mbaya wewe, kama sokwe.. sijui hata ni shetani gani alienishawishi hadi nikaolewa na sokwe kama wewe..
yaani najuta.. najuta.. sikupendi toka ndani ya moyo wangu..
sikupendi hata kidogo..naogopa hata watu kujua kuwa umenioa ..
naona aibu.
MUME: Punguza jazba mke wangu niko bank.. kuna foleni ndefu sana..
MKE: Ahh pole sana darling.. nakuonea huruma handsome wangu wa kipekee.. but baby usisahau kuniletea pesa kidogo.. ninashida na laki 2, alafu kuna ile elfu 70 anayonidai
mama amina leo alikuja kunikumbushia. nimekuandalia maji ya moto sweetie ukija uoge mume wangu kipenzi.. then ukumbuke kuniletea chips na kuku wa kuchoma gengeni.. nimeimiss sana.. nakupenda sana mfalme wangu..
MUME: Ni bank ya kuchangia damu.

MKE: Na wakutoe hiyo damu yote, bora ufe tu.. huna faida na si lolote.. nyooo… potelea mbali..mijitu mingine bhana..!!

HAO NDIO WANAWAKE WA KILEO WA DAR

Mfahamu Muuaji wa Wauaji Aliyeua Wauaji zaidi ya 70 Nchini Brazili

$
0
0

Imekua ikiaminika kwamba chaguo (Choices) tunayochagua ndio yanatueleza tulivyo. Kuna msemo kwenye Biolojia unasema " Every major decision made human brain undergo a physical change over time" Lakini vipi kuhusu maamuzi ya mtu kuchagua maisha ya kua muuaji?
Watu waliochagua kuishi kama wauaji wapo na huyu ni muuaji wa kutoka Brazili ambaye amekua akifanya uuaji kwa muda mrefu sasa.

Pedro Redrigues Filho ni mmoja kati ya wauaji bora wa muda mrefu lakini yeye uuwaji wake ulikua tofauti na Wauwaji wengine (Killers). Yeye alikua anaua wauaji na wahalifu tu. Anaelezewa kama mmoja wa wagonjwa wa akili (Psychopath) na mchambuzi aliyekua anashughulikia kesi yake.
Amezaliwa katiko mji wa Minas Geraismwaka 1954. Filho alikua na maisha yaliyogubikwa na mateso pamoja na vifo. Filho maisha yake ya unyanywasaji yalianza toka akiwa tumboni kwa mama yake ambapo baba yake alikua akimtesa sana mama yake japokuwa alikua na ujauzito, mateso yalipelekea Filho akapata Damage kwenye fuvu la kichwa chake.
Kutokana na kukulia katika maisha yenye mateso,maumivu na matatizo mbalimbali Filho aliweza kujifunza jinsi ya kujieleza alipokua na miaka 14.

Mtu wa kwanza kuuwawa na Filho alikua mtu aliyemfukuza baba yake kazini.
Baba yake na filho alidaiwa (singiziwa) kuwa ameiba chakula hivyo Naibu meya wa jiji akamfukuza kazi kama adhabu ya wizi. Filho alipopata habari hiyo alikasirika akachukua Bastora akamuua meya mbele ya ukumbi wa jiji, lakini pia filho hakuishia hapo alijua baba yake sio muhalifu (mwizi) hivyo alianza kumtafuta mwizi aliyeiba chakula. Alipomkamata hakumpeleka kwenye vyombo vya dola bali alimuua
Baada ya Filho kufanya tukio hilo ikabidi akimbie mji, alikimbilia eneo la Migi das Cruzes jijini Sao Paul, huku akanguka penzini kwa mara ya kwanza. Lakini huko pia alifanya pia mauaji ya mtu aliyekua anajihusisha na madawa ya kulevya pamoja na kuiba kwenye nyumba za watu.
Mpenzi wake huyo wa kwanza Maria Aparecida Olympia aliuwawa na kikundi kimoja cha wahuni kipindi hiki alikua hajafikisha miaka 18.
Kifo cha mpenzi wake Olympia kilimfanya aamue kuwatesa na kuwaua watu wote walioshiriki kumuua mpenzi wake. Alilipiza kisasi cha mpenzi wake akiwa mwenyewe pekee, kabla ya kufikisha miaka 18 alikua ashaua watu 10.

Filho alikua maarufu zaidi alipolipiza kisasi juu ya kifo cha mama yake mzazi. Na mlengwa alikua baba yeke mwenyewe ambaye alimuua mama yake filho kwa kumkata kata na mapanga. Iikua hivi
Filho alimtembelea gerezani baba yake ambapo alimchoma na visu mara 22 kisha akachomoa moyo wa baba yake na kuutafuna.

Pia siku moja alikua njiani ndani ya gari la polisi anasafirishwa akiwa na mtu mwingine ambaye alikua anatuhumiwa kwa makosa ya Ubakaji, filho alimua mule mule ndani ya gari la polisi na polisi wakiwemo. Hapo ndipo alipoanza kua muuaji wa wauaji (The killer of killers)
Kaua wauaji 47 aliokua kafungwa nao gerezani. Moja kati ya Mahojiano yake alisema "Thrill and joy out of killing other criminals"
Siraha yake aliyokua akiipenda kutekeleza mauaji ni upanga.

Japo alifanya mauaji mengi bwana Filho aliachiwa huru, alikua amehukumiwakifungo cha miaka 128 japokua sheria za Brazil haziruhusu mfungwa kufungwa zaidi ya miaka 30. Aliachiwa mwaka 2007 lakini aliahidi kuwaua waharifu wote nchini Brazil.
Mwisho
Tchao.

Da'Vinci.. JF Expert member

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

$
0
0
Usipitwe na Habari zetu za Mapenzi na Udaku,kuzisoma kirahisi kupitia Application ya Udaku Special ambayo ipo Play Store kwa watumiaji wa Simu za Android

Bonyeza Hapa Chini Kuinstall/Kudownload :





Note: Kama unayo tayari huna huja ya kudownload tena

Wazazi na Jamii, Tusiwanyang'anye Watoto Utoto Wao

$
0
0
Habarini….

Katika hatua za ukuaji wa binadamu, utoto ni hatua ya mwanzo kabisa na ya muhimu katika kipindi cha uhai wa binadamu. Katika utoto wa binadamu ndipo inapojengwa misingi ya namna gani mtu huyo atakuja kuwa akiwa kijana, mtu mzima na hata uzeeni. Japokuwa ni lazima tukiri kuwa katika kila hatua ya ukuaji wa mwanadamu kuna vitu ambavyo vinaweza kuathiri mustakabali wa mtu husika lakini hii haiondoi ukweli wa kuwa utoto ndiyo hatua ya msingi kabisa na yenye nguvu kubwa katika maisha yanayobaki kwa mwanadamu. Katika umri wa utoto ndipo picha halisi ya maisha ya mwanadamu huonekana na ndicho kipindi mwanadamu huwa na fikra zisizongwazongwa na makuu ya dunia. Ni kipindi ambacho binadamu huishi katika amnani yakweli, upendo wa kweli n.k.

Kwa kipindi kirefu sana kundi hili la watoto limekuwa likipitiwa na changamoto nyingi ambazo baadaye huja kuwa na madhara makubwa kwa wahusika wenyewe na kwa jamii iliyowazunguka. Madhara haya yanatokana na jamii au wazazi kufanya vitu vya namna Fulani ambavyo viliathiri saikolojia wakati wa utoto wao na kusababisha madhara wakati wa utu uzima wao.

Mara nyingi tunapoongelea suala la changamoto zinazowakumba watoto ambazo kwa namna moja ama nyingine huathiri maisha yao katika utu uzima wao, huwa tunawaongelea wale watoto ambao kwa namna moja au nyingine hawajapita katika maeneo sahihi wakati wa makuzi yao kama vile; watoto yatima ambao wanaishi katika mazingira yasiyo rafiki, watoto ambao migogoro ya kifamilia hasa wazazi wao imechangia wao kutokuwa na mwelekeo mwema, watoto ambao kutokana na sababu mbalimbali wamejikuta wakiishi na wazazi wa kambo ambapo wamekuwa wakinyanyaswa na wazazi hao wa kambo, watoto ambao wamezaliwa katika nchi au jamii zenye migogoro ya muda mrefu kama vile vita ambapo baadhi yao huanza kushika/kushikishwa mitutu ya bunduki katika umri mdogo kabisa.

Haya ndiyo makundi ambayo mara nyingi huwa tunayajadili na kusahau kuwa kuna kundi moja ambalo kwa macho ya nje linaonekana ni kundi ambalo liko salama zaidi na hata watoto wengine hutamani kama wangekuwa wamoja wao, bila kujua kuwa kundi hili kama lipoangaliwa kwa ukaribu laweza kuwa kundi lenye madhara mabaya sana kwa watoto. Kundi hili ni la watoto waishio na wazazi wao na kutimiziwa kila hitaji la mioyo yao.

Kwanza napenda niseme tu kuwa mimi sina mtoto na sina mpango wa kuwa na mtoto hivi karibuni, lakini hii haininyimi haki ya kuhoji ukamilifu wa malezi yatolewayo kwa watoto. Iko hivi; wazazi wengi sana wa sasa (hasa vijana) wamekuwa wakionyesha upendo mkubwa sana kwa watoto wao katika namna ya kipekee na yenye kushangaza.

Ni jambo jema sana kumpenda mtoto wako kwa sababu kwa njia hiyo utamjengea hali nzuri ya kiakili na kuishi maisha yenye mafanikio baadaye. Lakini kwa namna Fulani upendo huu umekuwa ukitolewa kwa pupa au kwa namna Fulani ambayo inaonyesha dalili kuwa endapo mambo hayatabadilika, basi jamii yetu miaka 30 ijayo itakuwa ni watu wa ajabu na wa hovyo sana. Upendo wanaopewa watoto wa siku hizi ni aina ya upendo ambao unawanyang’anya na kuitupilia mbali ile haki yao ya kuwa watoto.

Watoto wengi wa siku hizi wamekuwa wakiishi katika kivuli cha utoto lakini uhalisia hawastahili kuishi maisha hayo lakini cha kusikitisha ni kuwa, kwa kuwa hawana utashi huru wanaishi maisha hayo kwa furaha tele na akili yao ikijijenga kuwa ndiyo maisha sahihi lakini hayo ndiyo yatakayokuja kuleta vitu vya ajabu huko mbeleni.


BADO NI WADOGO, TUSIWAKUZE...

Huwa nasikitika sana ninapopita na kukutana na watoto wa miaka chini ya nane wakichambana (tofautisha ugomvi wa watoto na kuchambana), au kukuta watoto wamekusanyika wananacheza kisingeli huku wakijaribu kutikisa nyama zao ndogo kuwaiga watu Fulani Fulani ambao huwa wanapita nje ya nyumba zao kila baada ya siku kadhaa. Huwa nawaangalia na kusema kuwa sio kosa lao hata kidogo. Ni kosa la sisi wazazi na sisi wanajamii kujijali sisi na starehe zetu zisizo na msingi na kusahau kuwa kuna kizazi ambacho kinatakiwa kipite katika njia sahihi ili kije kiishi maisha yenye kupendeza.

Jamii imejawa na roho ya ubinafsi uliopitiliza, kila mtu anajijali yeye pekeyake. binti wa miaka 23 kutikisa makalio mbele ya vivulana na visichana vya miaka 8 ni ubinafsi. Matu wazima kufanya hadharani mambo ambayo yanatakiwa yafanyike wakiwa sirini ni ubinafsi. Wazazi kuangalia na watoto au filamu zenye maudhui yasiyowafaa watoto ni ubinafsi. Wazazi kuongea na waskaji au mashosti zenu mambo yasiyowajenga watoto ni ubinafsi.

Wazazi kugombana mbele ya watoto wenu ni ubinafsi. Huu ni ubinafsi wa kutokujali ni kiasi gani mtoto anaathirika kwa namna gani bila kujali hali aliyonayo wakati ule. Ubinafsi wa kudhani kuwa watoto ni viumbe huru wanaotakiwa kuishi kadri ya mapenzi yao wenyewe na kusahau kuwa sisi ndo watu wa kuwashika mikono na kuwaonyesha ni nini chafaa kwao.

Kwanini turuhusu utu uzima uanze kumea katika akili mbichi kabisa inayotakiwa kufinyangwafinyangwa ili kuifanya iwe katika umbo na mtazamo sahihi? Watoto ni kama karatasi nyeupe, kila itakachokuta nacho kwa mara ya kwanza ndicho kitakachodumu milele. Kwa nini tuwakuze wangali wabichi?


WAZAZI KUWAFANYA WATOTO MARAFIKI ZAO; ZIMWI LING’ATALO NA KUPULIZA

Wiki kadhaa hapo nyuma nilipata kusoma ‘meme’ Fulani ambayo kwa namna Fulani ilikuwa inatoa ujumbe mzito sana. Ilikuwa imeandikwa kuwa “kosa kubwa la wazazi wa sasa ni kujaribu kuwa marafiki wakubwa wa watoto wao na si kuwa wazazi ngangari”. Wazazi wengi wa siku hizi wamekuwa wakijaribu kwa nguvu sana kuwa marafiki wakubwa kwa watoto wao na kusahau kuwa wao ni wazazi na wala si washkaji au mashosti wa watoto wao.

Haimaanishi kuwa mzazi anatakiwa asiwe na ukaribu wa kirafiki na mwanae, hapana, bali ukaribu huo unatakiwa uwe na mipaka na mipaka ya msingi ni msingi wa uhusiano ulipo kuwa wao ni wazazi na hao ni watoto wao. Wazazi wamejikuta wakiwapenda sana watoto wao kiasi kwamba hawapendi kuwaona watoto wao wakiwa na hali ambayo wao kama wazazi hawapendezwi nayo bila kujua hili janga bay asana kwa hapo baadaye. Kwa mfano unaweza kuta mzazi hapendi kuona mwanae akilia, hili ni jambo zuri. Lakini unakuta anajitahidi kumfanya mtoto asilie hata katika mazingira ambayo angeweza kumfanya alie kwa muda mfupi lakini baada ya muda Fulani mtoto huyo asingeweza kulia kwa sababu hiyo tena.

Kwa kawaida watoto huvutiwa sana na vitu ambavyo watu wao wa karibu huvitumia sana, na ndiyo maana unaweza kuona ni jinsi gani watoto wa siku hizi wanapenda kuchezea simu kwa sababu wazazi wao wanatumia simu kwa muda mrefu. Sasa unaweza kuta mtoto amechukua simu na mzazi anapojaribu kuichukua ile simu mtoto anaanza kulia basi mzazi anaamua kumuachia kwa kujisemmea kuwa, atalala nitaichukua, au ataisahau muda sio mrefu nitaichukua. Zoezi hili likiwa endelevu litaanza kujijenga katika akili ya mtoto kuwa yeye ndiye yuko sahihi musa wote kwa kila akifanyalo kwa sababu anakua na ile tabia ya kuwa kila anachoklilia anaachwa awe nacho/akitende.

Katika mazingira hayo mtoto atakuwa katika hali ya kuwa na roho ya kibinafsi, atakuwa ni mtu mwenye kujali hisia zake katika kila alitendalo kwa kuwa amezoea hivyo kuanzia utoto. Sasa unaweza kuona ni kwa jinsi gani kuna hatari kubwa, kuwa na jamii ambayo kila mtu anaweka hisia/maslahi yake mbele kabla ya wengine. Na ndiyo maana siku hizi imekuwa kawaida kuona vitoto vidogo vikiropoka au kufanya mambo ya ajabu na vinapokemewa vinatema shit kwa sababu ya aina ya makuzi ambayo vimekuwa vikipewa na wazazi wao. Na hivo hivo ndo baadaye vikija kuwa viwatu wazima vinakuwa vimtu vya hovyo hovyo tu.

Lakini kama upendo wa wazazi ukiwa na kikomo katika hatua hii ya mwanzo kabisa ya malezi, watoto wangejengwa katika misingi ya kuwa, si kila jambo ambalo wanalifanya, kulitamani ni sahihi. Wangekua katika misingi ya kuheshimu mawazo na ushauri kutoka kwa watu wengine.

MAISHA YA USASA, TISHIO JINGINE KWA USTAWI WA WATOTO

Nyakati zinasonga mbele, na maisha kwa kasi sana yanabadilikaa. Nasi kama najamii tunajitahidi kwa kasi ile ile kujaribu kuendana na mabadiliko hayo ili tusionekane tuko nyuma ya ulimwengu. Na ndiyo sababu si ajabu kukutana na post facebook za mashangazi huko vijijini wakiwa wamepiga picha na kuandika caption “usiku mwema wana fb”. Kila mtu anataka kwenda sawa na nyakati.

Hakuna anayekataa kuwa kwenda na wakati ni kuzuri, lakini kujaribu kufanya kila kitu kinachoonekana kinafanywa na watu wengi bila kupima madhara yake tatizo kubwa sama. Na ubaya zaidi ni kuwa katika mazingira kama haya hauwezi kujua kuwa ni tatizo hadi pale utakapopata madhara makubwa na huenda usijue yametoka wapi. Na katika moja ya kundi lililoathirika na litaendelea kuathirika na usasa ni kundi la wazazi na jamii kwa watoto wao.

Wazazi na jamii ya sasa tunawalea watoto kisasa mno. Tunawalea kiasi kwamba unashindwa kutambua huyu mtoto akikua atakuwa ni mtu wa aina gani. Tuchukulie mfano, mtoto wa kike wa miaka miwili hadi mitato unaanza kumpamba; unamsuka nywele, unampaka lipstic sijui wanja na makorokoro mengine mengi au mtoto wa kiume unamnyoa kiduku, wengine wanawavisha watoto wao hereni na wengine wanaenda mbali zaidi na kuwapaka nywele dawa. Kwa kuwa mtoto humwamini sana mtu ambaye yuko karibu naye basi pia huamini kuwa kila kitu anachokifanya mtu huyo ni sahihi. Sasa jiulize mtoto wa aina hii anafikisha miaka mitano na anatakiwa kwenda shule na akifika shule anatakiwa kuacha vile vitu ambavyo wazazi wake wamekuwa wakimfanyia tangu akiwa na miaka 2..ni lazima roho ya upinzani itaanza kujijenga pale taratibu.

Haiwezekani baba yake anayemlisha na kumvisha anampeleka saluni ananyolewa kiduku na anasifiwa na mama yake kuwa “mwanangu umependeza” halafu mwalimu tu ambaye wanaonana mchana aje amwambie kuwa kunyoa hivyo ni kinyume na taratibu halafu mtoto amuelewe kirahisi. Mtamlazimisha atafanya lakini ipo siku ambayo wazazi na jamii hamtakuwa na uwezo wa kum-control, unadhani nini kinatokea? Lakini chanzo ni kuwa wazazi walifanya aishi katika umri wa ujana ilhali yeye ni mtoto.

Binafsi, mtoto anatakiwa kuishi kama mtoto. Mtoto hatakiwi kuwa ni chombo cha kuonyeshea umaridadi wa familia, mtoto hatakiwi kuwa sehemu ya kujifunzia kuremba, mtoto hatakiwi kulelewa katika misigni inatoyofanya kundi la watu wanaojielewa kuhoji usahihi wa malezi anayopata, mtoto hatakiwi kuwa yai lilibebwa katikati ya fungu la sufu. Mtoto anatakiwa apewe upendo kwa kiasi anachostahili kulingana na hadhi yake ya ‘utoto’, mtoto anatakiwa arekebishwe mara tu anapokosea kulingana na mazingira ya kosa na uzito wa kosa lenyewe, kwa ufupi; mtoto na alelewe kama mtoto na si kama mtu mzima aliyedumaa kiumbo.

Haya ni maoni binafsi, naruhusu kukosolewa na kurekebishwa kwa nia njema.

Chelu, Stephen N.

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

$
0
0
"HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo:

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa.

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari.

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3.

5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume

KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA

MWANAUME Anayeuliza Maswali Haya Mawili ni wa Kumuepuka Kama Ukoma

$
0
0

Kama we mwanamke umekuwa na mwanaume ambaye hamjawahi kusex hata mara moja lakini ndio mnaanza uhusiano then katika chatting za hapa na pale mwanaume akakuuliza haya maswali mawili ujue mbovu wa wabovu, hajui kugegeda na anakibamia. Mkimbie kabisa

MASWALI YENYEWE HAYA HAPA:

1. Huwa unatumia muda gani kufika kileleni?
Ukiona mwanaume kakuuliza swali hilo, ujue yeye ni ''ONE MINUTE MAN'' yaani akiingiza tu kamwaga na mgegedo wake hausimami tena. Sasa anawaza huyu mwanamke kama muziki wake ni wa nusu saa mpaka saa zima nitauweza kweli hivyo anakuuliza mapema ajijue. Ukimtajia dakika nyingi, utaona hana hata nguvu ya kukulazimisha mkagegedane.

2. Huwa unapenda mgegedo wa aina gani?
Hili pia ni moja ya swali ambalo wanaume vibonde huwauliza mademu ambao hawajawahi kusex nao. Mwanaume anayeuliza swali hilo mara nyingi huwa anakuwa ana kibamia hahahaha.

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

Sitaki Kuona Simu Magerezani kwa Wafungwa na Chakula Wajilishe Wenyewe- Lugola

$
0
0
Sitaki Kuona Simu Magerezani kwa Wafungwa na Chakula Wajilishe Wenyewe- Lugola
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amemtaka Mkuu wa Magereza nchini, Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Martin Kasike,  kuweka na kumpelekea mikakati ya kuhakikisha wafungwa wanajilisha kwa kufanya kazi badala ya kulishwa kwa fedha za serikali.

Ameonya pia kwamba iwapo mfungwa atakamatwa na simu gerezani, mkuu wa gereza husika atakuwa amepoteza sifa za kazi yake.

Lugola ameyasema hayo leo  alipozungumza na vyombo vya habari na kusisitiza wito wa Rais John Magufuli wa kutaka wafungwa wajitegemee kwa chakula na kuhakikisha wafungwa hawaingizi simu gerezani.

“Nimemuelekeza Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini kutengeneza mkakati maalum kuhakikisha wafungwa wote nchini wanajilisha kuanzia mboga, kama ni kufuga samaki au kulima maharage, na kusiwe na kisingizio chochote kwani jambo hili linatekelezeka,” alisema.
Alisema bunge lijalo litaanza kubadilisha sheria ili kusiwe na kinga kwa wafungwa ili wafanye kazi, wajilishe na wawalishe mahabusu, na ikiwezekana magereza yazalishe chakula cha ziada kwa kuuza na kutengeneza kipato.

JPM Atuma Pole Kwa Kikwete kwa Kufiwa na Baba Mkwe Wake

$
0
0
JPM Atuma Pole Kwa Kikwete kwa Kufiwa na Baba Mkwe Wake
RAIS  John Magufuli na  mkewe Mama Janeth Magufuli, wamefika nyumbani kwa rais mstaafu, Jakaya Kikwete,   kutoa pole kwa kufiwa na baba mzazi wa mkewe Mama Salma Kikwete, marehemu Rashid Mkwachu, nyumbani Msasani jijini Dar es Salaam leo Julai 21, 2018.

Kangi Amtwisha IGP Sirro Mzigo wa Lugumi

$
0
0
Kangi amtwisha IGP Sirro mzigo wa Lugumi
Mapema leo katika mkutano wake na waandishi wa habari Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Simon Sirro amtafute mmiliki wa kampuni ya Lugumi popote pale alipo na kumfikisha ofisini kwake Julai 31 saa mbili asubuhi ili ajue hatma yake.

Sakata la Lugumi liliibuka bungeni kwa kile kilichodaiwa kuwa zipo dalili za ufisadi, kutokana na Sh. bilioni 34 zilizolipwa kwa kampuni ya Lugumi iliyopewa tenda ya kufunga vifaa vya kielektroniki vya kutambua alama za vidole kwenye vituo vya polisi nchini.

Mradi huo uliokuwa na thamani ya Sh. bilioni 37 ambapo Mpango huo ulisukwa baada ya Bunge kupitisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mwaka 2011/12, ambayo ndani yake ilikuwa na kipengele cha ununuzi wa vifaa maalum (specialized equipment).

Mkataba huo uliingiwa mwaka 2011 baina ya Jeshi la Polisi na kampuni ya Lugumi ambayo ilikuwa ifunge mashine za kuchukulia alama za vidole kwenye vituo vya polisi 108 kwa gharama ya Sh. bilioni 37, hata hivyo inaelezwa ni vituo 14 tu ndivyo vina mashine hizo mpaka sasa, wakati kampuni hiyo ililipwa Sh. bilioni 34 sawa na asilimia 99 ya fedha zote kinyume cha kanuni za manunuzi ya umma, hali iliyoishtua PAC katika mkutano wake Aprili 5, 2016  jijini Dar es Salaam.


Mbali na hilo Waziri Lugola pia amemuagiza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) afike ofisini kwake Julai 25 akiwa na waliopewa tenda ya kuleta mtambo wa kutengeneza vitambulisho vya taifa ili kwenda kumueleza kwani mtambo huo haujaletwa au waende na pesa walizopewa na Serikali.

Kicheko Champa Mpenzi Feza Kessy

$
0
0
Kicheko champa mpenzi Feza Kessy
Msanii wa Bongo Fleva Feza Kessy amefunguka kuwa wanaume wengi anaoingia nao kwenye mahusiano wanapenda cheko lake.

Feza amefafanua kuwa hata yeye alikuwa hajui kama anacheka vizuri kiasi cha kufanya wanaume kupagawa juu ya cheko hilo

Akizungumza na www.eatv.tv Feza amesema, amegundua hilo baada ya kukutana na maoni mengi kuhusu cheko lake, pia wanaume wengi anaokutana nao kitu cha kwanza kukisifia juu yake ni kicheko.

“Mwanzo nilikuwa najua watu wananitania tu, ila bwana kila mwanaume nayempata unakuta anapenda cheko langu lakini mwanzo ilikuwa ngumu kuamini kuwa wanaume wengi wanapenda kicheko changu, lakini kwa sasa hivi naamini hata mpenzi wangu ndio kitu kikubwa anapenda”,amesema Feza kessy.

Lakini Feza ameingiwa na hofu kwa kusema kuwa muda mwingine hafurahii kuona wanaume wengi wanampendea hicho kitu na anaogopa siku akiwa hana hicho kicheko itakuwa rahisi kuachika.




Idris -Ninamjali Wema Hata ingekuwa Milioni 100 Ningelipa

$
0
0
Idris -Ninamjali Wema Hata ingekuwa Milioni 100 Ningelipa
Mchekeshaji Idriss amezungumza ishu ya yeye kumlipia Wema Sepetu faini ya Milioni 2 aliyoamuriwa na mahakama alipe ambapo kasema kuwa atamlipia kwani ni hela ndogo sana kwa mut unaemjali na hata ingekuwa Milion mia angetoa tu, hata hivyo amesema baada ya kuzungumza vile alikasirikiwa na mpenzi wake.

"Achaneni na Mbwa Aliyepotea" - Lugola

$
0
0
"Achaneni na Mbwa Aliyepotea" - Lugola
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameitaka jamii ya kitanzania hususani waandishi wa habari kuacha kufuatilia tukio la kupotea mbwa wa Jeshi la Polisi anayejulikana kwa jina la Hobby, kwa kuwa jambo hilo kwa sasa lipo chini ya uchunguzi.

Waziri Lugola ametoa kauli hiyo leo Julai 21, 2018 wakati alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza ziara yake katika vyombo vya Ulinzi ambavyo vipo chini ya Wizara  yake na kubaini changamoto na madudu mbalimbali yaliyokuwa yakifanywa na askari hao kwenye maeneo yao ya kazi.

"Nimekubaliana na Ispekta Jenerali wa Polisi, Simon Sirro jana Julai 20, 2018 kwamba waingie kwa undani sana kufanya uchunguzi wa nini kimetokea kwenye kikosi hicho halafu baadae wanipe taarifa. Kwa hiyo jambo hili sasa linaenda kufanyiwa kazi na Inspekta Jenerali wa Polisi", amesema Waziri Lugola.

Pamoja na hayo, Waziri Lugola ameendelea kwa kusema "na nyinyi wanahabari kwa kuwa jambo hili linaenda kufanyiwa uchunguzi naomba sasa tuache kufuatilia jambo hili ili chombo husika kiweze kuchunguza halafu tuone nini cha kufanya".

Julai 19, 2018, Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola alibaini upotevu wa mbwa huyo wakati alipokuwa kwenye ziara yake katika Kikosi cha Farasi na Mbwa kilichopo eneo la Bandari Jijini Dar es Salaam na kumuagiza IGP Sirro kutoa maelezo ya upotevu wa mbwa.

Mbali na hilo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amewaonya wananchi kuacha tabia ya kupotosha taarifa na matamko yake ambayo anayatoa kwenda sehemu husika.

Kimenuka Yanga Wachezaji Wagomea Mazoezi

$
0
0
Kimenuka Yanga Wachezaji Wagomea Mazoezi
WACHEZAJI wote wa Yanga unaowajua wewe ambao usajili wao upo CAF jana Ijumaa waligoma kufanya mazoezi huku Kocha Mwinyi Zahera akiwasihi viongozi wawaambie mashabiki wa timu hiyo ukweli.

Zahera alifika mazoezini kwenye Uwanja wa Polisi Kur­asini asubuhi akajikuta yupo na wachezaji watano tena wote ni wageni wengine hata mashabiki wa Yanga hawawa­jui.



Wachezaji wote waliocheza mechi ya Gor Mahia hakuna hata mmoja aliyeonekana mazoezini na Zahera hakuwa na taarifa yoyote lakini Cham­pioni limejiridhisha kwamba wameambizana kugoma kufanya mazoezi wakishinikiza walipwe mishahara yao ya miezi mitatu na kushinikiza pia mashabiki wajitokeze kuokoa jahazi.



Yanga Jumatano ya wiki hii ilipigwa mabao 4-0 na Gorma­hia kwenye mechi ya Shirikisho na timu hizo zitarudiana Dar es Salaam Ijumaa ijayo saa 1.00 usiku.


Zahera ambaye si mzun­gumzaji sana jana Ijumaa alia­mua kufunguka mpaka tone la mwisho kwa viongozi akiwam­bia wawaambie mashabiki na wanachama ukweli kuinusuru timu hiyo na kumrahisishia kazi yake.



Zahera alipofika uwanjani hapo alikuta kuna wachezaji watano pekee ambao ni; Deus

Kaseke, Heritier Makambo, Mrisho Ngasa, Emeka Emerun na Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ hali iliyomfanya asitishe mazoezi hayo mpaka leo Juma­mosi.



“Kiukweli uongozi wangu unanipa wakati mgumu sana wa kuifundisha hii timu, kwani ni vigumu sana kwa sasa kutege­mea kupata matokeo kwenye mchezo ujao wa marudiano dhi­di ya Gor Mahia kwa staili hii ya wachezaji kuwa na kasumba ya kukimbia mazoezi kila kukicha.


“Naomba viongozi wangu waache kuficha ukweli badala yake wajitokeze hadharani wawaambie mashabiki kuwa timu inamatatizo ya kifedha ili kama kuna ambaye ataguswa na kuona kuna haja ya kuichangia afanye hivyo ili wanipun­guzie mzigo wa kugombana na wachezaji kama leo ambapo tulielewana tuanze mazoezi lakini wote waliokuwa safarini hawajatokea,”alisema Kocha huyo raia wa Ufaransa.



“Nimeshindwa kufanya maz­oezi leo kutokana na kukutana na wachezaji watano tu na hawa wote hakuna hata mmoja am­baye naweza kumtumia kwenye mechi ijayo kutokana na wote hao hakuna aliye na leseni ya Caf.



“Kama watagoma zaidi ya siku tatu zijazo maana yake ni kwamba hata uwezekano wa kucheza mechi ijayo utakuwa mgumu kwetu lakini hata hivyo kupata matokeo pia itakuwa ni hadithi tu,” alisema Zahera am­baye msaidizi wake aliyetua hivi karibuni ameshaingia mitini.



Alipotafutwa Kaimu Mwenyeki wa Yanga, Clement Sanga alise­ma: “Kwa sasa nipo nje ya ofisi siwezi kuzungumza lolote mpaka nitakaporejea kesho (leo).”

Madiwani Watatu Chadema Watimuliwa Baada ya Kukubali Mwaliko wa Dr. Tulia

$
0
0
Madiwani Watatu Chadema wwwWajiuzulu Nyadhifa Zao
IKIWA ni saa chache baada ya Uongozi wa Chadema mkoani Mbeya kupendekeza kuwavua uanachama madiwani watatu wa chama hicho mkoani humo kwa utovu wa nidhamu waliouonyesha, madiwani hao wamejiuzulu nyadhifa zao hizo.
Madiwani hao na kata zao katika mabano ni Geofrey Kajigili (Sisimba), Newton Mwatuboje (Manga)na Hamphrey Ngalawa (Iwambi).
Madiwani hao wamejiuzulu leo Jumamosi  Julai 21, 2018 baada ya Mwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini, Obadia Mwaipalu kutangaza uamuzi huo  katika mkutano wake na waandishi wa habari na kubainisha kuwa  vikao halali vya chama vilivyoketi mara kadhaa kujadili hatua stahiki dhidi ya madiwani vimefikia uamuzi huo.
Amesema kutokana na utovu wa nidhamu, kukiuka katiba ya Chadema na kukaidi utekelezaji wa maazimio ya uongozi wamepeleka mapendekezo yao kwa uongozi wa chama hicho Kanda ya Nyasa ili  hatua zichukuliwe.

Waziri Atengua Kauli ya Serikali

$
0
0
Waziri Atengua Kauli ya Serikali
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Atashasta Nditiye ametengua katazo la wananchi kuzuiwa kupanda meli ya serikali hadi wawe na vitambulisho vya uraia au cha mpiga kura jijini Mwanza.

Nditiye amesema kuwa utaratibu wa awali uendelee kutumika hadi pale watakapo kaa upya kujadili ni njia ipi sahihi itakayoweza kuwawezesha wananchi kupata huduma ya usafiri bila kikwazo.

Nditiye ameongeza kuwa suala hilo lilitokana na kutokuwa na maelewano mazuri baina ya Shirika la Meli pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama jijini humo.

“Wananchi wanamatatizo mengi, unapoanza kumchanganya na mambo ya vitambulisho tena unakuwa unawavuruga naomba utaratibu wa awali utumike na tuangalie utaratibu mwingine hapo baadaye”, amesema Nditiye.

Mamia ya abiria waliotakiwa kusafiri kwa meli ya Mv.Nyehunge kutoka jijini Mwanza kuelekea wilayani Ukerewe wamekwama kwa siku nne katika bandari ya Mwaloni Kirumba jijini humo baada ya kushindwa kutekeleza sharti linalomtaka kila msafiri kuwa na kitambulisho rasmi cha uraia au kupigia kura.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images