Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Kajala Atangaza Kumsamehe Mbaya Wake

$
0
0
Staa wa Bongo Movies, Kajala, ambaye wiki kadhaa zilizopita alishambuliwa na kujeruhiwa usoni kwa chupa na kijana alieyedai kuwa ni pombe zilimtuma vibaya, amesema licha ya shauri hilo kuwepo bado polisi, binafsi amekwishamsamehe kabisa kiroho safi jamaa


  • Kajala aliyasema hayo kwenye eNewz ya EATV  na pia alitumia nafasi hiyo kukanusha dhahiri kuwa mbaya wake huyo hahusiani kwa namna yoyote na pande mbili za mashabiki wenye mivutano mikubwa ambao ni  TeamWema wanaomsapoti mwanadada Wema Sepetu, dhidi ya Teamkajala ambao wanamsapoti yeye binafsi.


Picha:  Kajala alipokuwa na jeraha

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

MARKSON BEAUTY PRODUCTS Inakuletea Dawa za Kurefusha Nywele, Kukuza Makalio, Kupunguza Tumbo, Kung'arisha Ngozi na Zingine Nyingi

$
0
0


MARKSON BEAUTY PRODUCTS 2015
Je Unapenda Kuongeza Hips, Makalio, Urefu na Unene wa uume na Nguvu za Kiume bila Madhara? Markson Beuty tunakupatia hizo na Zingine nyingi zenye matokeo ya haraka na uhakika zisizo na kemikali wala madhara ..Tuna uzoefu wa Miaka 15 na Bidhaa zetu ni za mimea na Matunda na zimethibitishwa

1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @100,000/=. 
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @80,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @90,000/=.  
7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

 

Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.


NB: Hakikisha unapata Risiti yenye muhuri halisi wa Markson Beauty na Garantii ili kuhakikisha kufanikiwa Kwako.


Jinsi mbinu za kusafirisha ‘unga’ zinavyofichuliwa

$
0
0
Wakati vyombo vya usalama duniani vikitumia kila njia kuhakikisha kuwa biashara ya dawa za kulevya inakomeshwa, wasafirishaji nao wamekuwa wakibuni mbinu mpya kila siku.

Hata hivyo, mbinu za wafanyabiashara hao zimekuwa zikifichuliwa kwa kutumia vifaa maalum, kama kamera na mbwa wanaokuwapo kwenye viwanja vya ndege na mipakani. Vifaa hivyo huweza kuona au kunusa vitu vilivyofichwa ndani ya mabegi, makopo  hata tumboni.

Gazeti la The Telegraph la Uingereza limekusanya baadhi ya picha zinazoonyesha mbinu mbalimbali zinazotumiwa na wahalifu kusafirisha ‘unga’. Baadhi ya picha zinaonyesha dawa za kulevya zikiwa ndani ya maparachichi, mananasi, tumboni mwa watoto wa mbwa waliokuwa wakisafirishwa.

Pia, baadhi ya wasafirishaji hao waliibuka na mbinu mpya za kujifunga tumbo la ujauzito wa bandia lililosheheni cocaine, huku wengine wakijifunga mwili mzima mifuko ya dawa hizo.

Ritchie Tabatha Leah, raia wa Canada, alinaswa kwenye Uwanja wa ndege wa Bogota Septemba mwaka 2013 akiwa amejifunga tumbo la bandia ili aonekane mjamzito, lakini alipopekuliwa muda mfupa kabla hajaingia kwenye ndege alikutwa na kilo2 za dawa aina ya cocaine.

Genge la wauza dawa za kulevya waliwafanyia upasuaji watoto wa mbwa kisha kuwabebesha dawa za kulevya aina ya heroine. Hata hivyo, mpango huo ulivurugika baada ya polisi kuubaini kupitia kamera maalumu.

Picha za X-ray zilionyesha mifuko iliyowekwa dawa za kulevya tumboni mwa mmoja wa abiria aliyenaswa katika mmoja ya mipaka ya Uingereza wakati akijaribu kuingiza ‘mzigo’ huo.

Askari wa Colombia waliokamata nyambizi kwenye mji wa Timbiqui baada ya kuihisi imebeba dawa hizo, walibaini ilikuwa imebeba tani 8 mwaka 2011. ‘Unga’ huo ulikuwa ukipelekwa Mexico.

Mtu mwingine alikamatwa na maafisa wa forodha kwenye Uwanja wa Ndege wa Kabul nchini Afghanstan akiwa amejiviringisha mwilini dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 7 Juni 2007.

Polisi nchini Hispania walifanikiwa kukamata kilo 200 za cocaine zikiwa zimefichwa ndani ya nanasi ambalo lilikuwa limesafirishwa kutoka kutoka Marekani. Nanasi hilo lilipatikana ndani ya moja ya makontena 10 yaliyokuwa yamewasili kutoka bandari ya Algeciras.

Raia wa Chile mwenye umri wa miaka 66 aliyekuwa amevaa bandeji ngumu inayotumika kufunga mtu aliyevunjika, alikamatwa kwemye Uwanja Ndege wa Barcelona mwaka 2009 baada ya kubainika kuwa hakuwa mgonjwa bali alikuwa amebebwa dawa za kulevya.

Parachichi lililosheheni dawa za kulevya aina ya cocaine likiwa limepasuliwa baada ya polisi kulitilia shaka.

Wakati mwingine huonekana kama mayai, lakini ukweli ni kwamba hayana ladha ya mayai. Mtu aliyebeba mzigo huo alikamatwa na maofisa uhamiaji wa Marekani. Mtu huyo, Esteban Galtes alikamatwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Los Angeles akiwa na cocaine.

Mwanasesere aliyekuwa ametumwa kupeleka kitu kama zawadi nchini Australia kutoka Sydney mwaka 2007, alinaswa na maofisa wa kupambana na dawa za kulevya baada ya kubainika dawa za kulevya zilikuwa zimefichwa ndani yake.

Mfuko wa James Bettridge uliokuwa na cocaine ulikamatwa na maofisa wa polisi Agosti mwaka jana nchini Uholanzi muda mfupi baada ya kuwasili kutoka Ufaransa.

Tani 15 za dawa za kulevya aina ya bangi zilikamatwa baada ya polisi kuzing’amua ndani ya kontena.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News
Dawa nyingine zilikamatwa zikiwa ndani ya boksi la maji ya kunywa.

Ukimya Wa Zitto Kabwe Na ACT yake Kunani?

$
0
0
Simsikii tena zzk na zile harakati zake za kuitangaza ACT kulikoni?

Au ndio "safari ya kukata tamaa imeanza"? 

Au ndio kusema kimya kingi kina mshindo?


Rudi Bwana Zitto Kabwe tuna kuhitaji sana katika tasnia hii ya siasa za kibongo!

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Huku Akidai Kuwa Ndio Mpenzi Wake Baada ya Diamond, Wema Sepetu Aonyesha Mahaba Niuwe Laivu..Awapa Watu Mshtuko

$
0
0
Musa Mateja
LIVE! The Big Boss wa Kampuni ya Endless Fame Productions, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amejikuta akionesha mahaba niue kwa ‘kujibebisha’ kwa Mshiriki wa Big Brother Africa ‘Hotshots’ 2014 kutoka nchini Namibia, Luis Manana huku akimmwagia sifa nyingi na kudai ndiye laazizi wa moyo wake kwa sasa baada ya kuachana na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’.

TUJIUNGE VIWANJA VYA POSTA
Tukio hilo lililoshuhudiwa na gazeti hili lilijiri ndani ya Viwanja vya Posta, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita kwenye Shoo ya Instagram Party ambapo Wema alikuwa mmoja wa washiriki wa tamasha hilo lililohudhuriwa na mamia ya mashabiki hivyo walipata mshtuko waliposikia habari hizo njema kutoka kwa Madam.

AMMWAGIA SIFA KEDEKEDE
Akiwa kwenye pati hiyo, Wema alipanda stejini kwa ajili ya kuongea na mashabiki wake na baadaye alipanda Luis ndipo Madam akaanza kummwagia sifa kedekede na kabla ya kumtambulisha rasmi kuwa ndiye ubavu wake.
Kwa kinywa chake bila kumung’unya maneno, Wema alidai kwamba Luis ndiye mwanaume ampendaye kwa sasa hasa akivua shati lake kwani ana vitu adimu ambavyo vinamfanya asimruhusu kuwa mbali naye.

LUIS NAYE
Baada ya sifa hizo, Luis naye alisema kuwa alipanda ndege kutoka Namibia hadi Dar kwa ajili ya kuja kujumuika na mwanamke ampendaye ambaye ni Wema.

TEAM WEMA FULL SHANGWE
Utambulisho huo ulizua shangwe nyingi kutoka kwa mashabiki hasa Team Wema ambao kwa pamoja walionesha kusapoti uhusiano huo na hata baada ya kushuka walionekana kuwazonga huku wakipigana vikumbo kwa ajili ya kutaka kila mmoja kupiga nao picha. “Sisi Team Wema tumepitisha ile Team Haters (timu ya wenye chuki) wakale malimao kama alivyosema Gwajima (Askofu Josephat) kwamba kama kuna watu hawampendi Lowassa (Edward) basi wakale malimao,” alisikika mmoja wa Team Wema.

NI KWA MARA YA KWANZA BAADA YA DIAMOND
Usiku huo ulikuwa wa kwanza kwa mwaka huu kumuona Wema akimtambulisha mwanaume kwa mara ya kwanza kwenye tamasha kubwa kama hilo tangu alipoachana na Diamond ambaye kwa sasa anajivinjari na mwanamama Zarinah Hassani ‘Zari The Boss Lady’.Kuna madai kwamba baada ya wawili hao kuwa beneti tangu waliposhuka jukwaani walikwenda kulala hoteli moja kwa mujibu wa wafuatiliaji.

WALILALA WOTE HOTELINI
Chanzo chetu cha habari kilichokuwa ndani ya hoteli hiyo (jina linahifadhiwa) kilidai kwamba siku hiyo Wema na Luis waliingia hotelini hapo na kulala hadi kesho yake, jambo ambalo lilikuwa siyo kificho tena hasa kwa wahudumu na watu wote walioongozana na msafara wa wawili hao. “Kweli kabisa Luis anatoka kimapenzi na dada yetu Wema maana nimeshuhudia tangu jana, Wema alikuja hotelini na baadaye wakaondoka wote.


“Hata usiku wakati wanatoka Viwanja vya Posta pale Kitonyama walirudi na kulala pamoja, achilia mbali hiyo, Wema na Luis ni watu ambao wanaonekana kuwa katika mapenzi kwa muda sema tu Luis alikuwa hajapata nafasi ya kuja Dar,” kilisema chanzo hicho.

KUMBE LUIS ANAJUA KISWAHILI!
Baada ya kujiridhisha na uwepo wa uhusiano wa wawili hao, mwanahabari wetu alifuatilia kwa makini baadhi ya akaunti zinazotumiwa na Luis kwenye mitandao ya kijamii ambapo aligundua kuwa jamaa huyo amekuwa akimuweka Wema kwenye peji zake huku akimmwagia sifa na maneno ya kimahaba tena kwa Lugha ya Kiswahili.

Baadhi ya maneno aliyokuwa ameandika Luis katika peji yake ya Instagram akiambatanisha na picha zao yalisomeka: “Najaribu kumtuliza... Mtoto mzuri.“Huyu msichana anaweka tabasamu usoni mwangu.”

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Pombe Zitamtoa Roho Mwigizaji Johari ..Adaiwa Kuwa na Msongo wa Mawazo

$
0
0
Johari Chagula
Brighton Masalu
Pombe zitamtoa roho! Unywaji wa pombe kupita kiasi anaoufanya staa wa sinema za Kibongo, Blandina William Chagula ‘Johari’ umetafsiriwa kama kujihatarisha kiafya baada ya hivi karibuni kunaswa mchana wa jua la utosini akifakamia ulabu huku akionekana kuzidiwa, jambo lililozua minong’ono kwa baadhi ya watu, Risasi Mchanganyiko lilimnyatia.

Tukio hilo lililopigwa chabo na mwanahabari wetu lilijiri juzikati maeneo ya Sinza-Mori jijini Dar ndani ya baa moja (jina tunachikichia) akiwa peke yake na mwenye kuonekana kughubikwa na lindi zito la mawazo.Awali, mwandishi wetu aliyekuwa ‘akineng’eneka’ kwenye baa hiyo kwa kazi maalum, alimshuhudia Johari akiingia na kukaa huku akionesha tahadhari kwa kuangaza macho huku na kule mara kwa mara kama aliyekuwa akimtafuta mtu na kumuita mhudumu kisha kumnong’oneza jambo ambapo mhudumu huyo alionekana akielekea kaunta.

Akiwa ‘ametumbua’ macho, mwandishi wetu alimfuatilia mhudumu huyo na kubaini kinywaji kilichoagizwa na Johari ni pombe ndipo akaweka sawa kamera yake kwa ajili ya lolote. Kwa kasi, paparazi wetu alimfotoa picha za mbali na kwa tahadhari ya kutoshtukiwa kabla ya kuondoka eneo la tukio.

Hata hivyo, baadhi ya watu waliomshuhudia Johari kabla na baada ya kuagiza ‘masanga’, walisikika wakionesha mshangao wa wazi.“Mmh, unajua huyu msanii pombe zitamtoa roho, lakini si kawaida yake, kutakuwa na jambo kwani anaonekana ana msongo,” alisikika mmoja wa wateja waliokuwa wamekaa karibu na mwandishi wetu.

Mwandishi wetu hakuweza kumfuata Johari mahali alipoketi na badala yake aliondoka kisha kumpigia simu ambapo awali alikataa kutokuwepo kwenye baa hiyo lakini baada ya kubanwa kwa hoja nzito, alijikuta akikiri na kufunguka jambo jipya.
Dah! Ulikuwa umekaa wapi? Lakini siyo mawazo nimeamua tu kupumzika na kazi kwa leo hivyo nikaona si vibaya kama nitajiburudisha kwa kinywaji hiki,” alisema Johari.
GPL

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Aunt Ezekiel Alimwa Talaka Tatu..Baada ya Mumewe Kusikia Ana Mimba ya Moses Iyobo

$
0
0
Kuna madai kwamba, Aunt Ezekiel alishaandikiwa talaka na ipo nyumbani kwa wazazi wa aliyekuwa mumewe, Sunday Demonte, Temeke Mwisho jijini Dar.

Kwa mujibu wa chanzo, talaka hiyo iliandikwa na mumewe huyo baada ya kupata taarifa kwamba, mkewe huyo ana ujauzito unaodaiwa kuwa ni wa Mnenguaji wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo.


  • Hivi mnajua kwamba, Aunt alishaandikiwa talaka? Kama hamjui mjue sasa. Ipo Temeke kwa wakwe zake. Jamaa si yupo Uarabuni mahabusu, alisikia mkewe ana mimba ya Iyobo.  Nadhani wanashindwa kumpa hiyo talaka kwa sababu walishakata mawasiliano naye tangu kitambo,” kilisema chanzo.


Aunt mwenyewe alipotafutwa juzi  na kuulizwa kuhusu madai hayo,  alisema:


  • Sijui lolote kuhusiana na hilo, aliyesema kuwa nimeandikiwa talaka ipo ukweni kwangu ndiye angesema kila kitu yeye kwa vile anajua, mimi sijui.”


Credit:Gpl

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Mimba ya Mrembo LULU MICHAEL Yatoweka Ghafla

$
0
0
LULU MICHAEL
Brighton Masalu
Miezi miwili iliyopita kuliibuka madai mazito kwamba staa bei mbaya wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameongezeka tumbo hivyo mashabiki wake wakapiga vigelegele kwamba huenda ana mimba lakini sasa tumbo hilo limeyeyuka na yupo ‘flati skriini’.

Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, Lulu kwa sasa anakatiza viunga vya chuo anachosoma cha Magogoni jijini Dar akichukua masomo ya Uhusiano wa Umma, akiwa hana lile tumbo la Aprili.Gazeti hili lilizungumza na baadhi ya wanafunzi wenzake ambao walidai msanii huyo alikuwa hafiki chuoni hapo kwa muda mrefu lakini sasa amejaa tele ‘mwepesii’.


  • “Hakuwa akija chuoni kwa muda, baadaye akawa anahudhuria kwa ‘kupibu’ kisha kuacha tena ila ameanza juzi tu kutokana na kuwepo kwa mitihani,” alisema mmoja wa wanachuo hao.Kama taaluma inavyoelekeza, mwandishi wetu alimtafuta Lulu kupitia simu yake ya mkononi huku ikiita bila majibu.


Baadaye alitumiwa ujumbe wa kwanza uliosomeka: “Tafadhali naomba upokee simu, nahitaji kuzungumza na wewe jambo muhimu.” Hata hivyo, hakujibu.Baada ya kuona kimya, mwandishi wetu alimtumia ujumbe ulioonesha madai hayo: “Kuna tetesi kuwa ulinasa mimba na kuficha na sasa inadaiwa kutoka na kwamba hata chuoni haukuwa ukihudhuria, hili likoje?”
Baada ya kimya cha saa kadhaa, Lulu alijibu:


  • “Hao wanaodai nina mimba walinipa wao? Sina nafasi ya kufafanua.” 

Hivi karibuni Lulu aliripotiwa na mitandao ya kijamii kuwa huenda ana mimba.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Rais wa Burundi Nkurunzinza Asalimu Amri...Aamua Kuhairisha Uchaguzi Mkuu

$
0
0
Serikali ya Burundi imetangaza kuwa uchaguzi wa rais na wabunge uliotarajiwa kufanyika Ijumaa hii umehairishwa mpaka tarehe nyingine itakapopangwa.

Msemaji wa rais Nkurunzinza,Wily Nyamitwe amesema  kuwa tarehe itapangwa na wasimamizi wa uchaguzi wa nchi hiyo.

Mabadiliko hayo yamekuja kutokana na taifa hilo kuingia kwenye machafuko tangu Rais Piere Nkurunzinza kutangaza nia ya kuongoza kwa awamu ya tatu baada ya kuwa rais kwa miaka 10.

Umoja wa Mataifa imeelezea jinsi mgogoro huo ulivyoongeza idadi ya wakimbizi wanaoikimbia Burundi na kukimbilia nchini Tanzania.

Hata hivyo umoja wa Afrika mashariki unadaiwa kushindwa  kutoa amri dhidi ya Rais Nurunziza kutokana na kutaka kujiongezea muda wa kukaa madarakani kinyume  na katiba ya nchi hiyo suala linalopingwa vikali na wananchi wa nchi hiyo.


Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Nani Huyu Anayemtibulia Irene Uwoya kwa Baba Mtoto Wake?, Soma Alichokieleza

$
0
0
UBUYU: Irene Uwoya amefunguka haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram
  • Kuwa juu sio lazima utumie migongo ya watu,mwanamke kujiamin afu mmbwa hawanisumbui kabisa ila fanya yote acha kumtumia msg za uwongo mme wangu ata kama tumetengana tuna mtoto!sooo plzzz kaa mbali na mim ,mim sijazoea uswahili na bishana na pesa sio maneno!ila narudia tena acha kumtumia mme wangu msg za kiseee kama mnatakana fanyeni bila kunitaja tena hamtaona naongea!nazan umenielewa vzuri sina haja ya kukutaja jina unajijua...OVER


Hili ni jiwe gizani.

Mzee wa Ubuyu

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Christian Bella: Hakuna Msanii Asiyependa Kufika Alipofika Diamond Platnumz

$
0
0
Mwanamuziki Christian Bella
Christian Bella anaamini kuwa kikwazo cha wasanii wengi kukua kutokuwa na management. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kila msanii ana lengo la kwenda mbali zaidi lakini tatizo lipo kwenye management.
“Muziki wetu bado una matatizo mengi ndo maana unaona kuna wakati unahitaji kufanya kitu lakini unashindwa. Hakuna msanii asiyependa kufika alipofika Diamond, kila mtu anataka, tatizo ni management,” amesema msanii huyo.

“Kila msanii huwezi kutumia pesa yako ya mfukoni kutengeneza video, hautaweza kufika popote. Management ndIo inaweza kukusimaMia kila kitu, lakini sisi hapa kila kitu anafanya msanii huyo huyo, hatuwezi.”

Chanzo: Bongo5

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

KIMENUKA...Mwanamuziki Linah Sanga Amshutumu Wema Sepetu Kutoka Kimapenzi na Bwana wake

$
0
0
Unamkumbuka yule jamaa wakati timu ya taifa ya brazil imekuja Tanzania kecheza na taifa stars aliingia katikati ya uwanja na kumkumbatia mchezaji KAKA wakati mechi ikiendelea?

Yule ndo boyfriend wa msanii wa music Lina Sanga, jana kupitia kipindi cha ala za roho cha clouds fm msanii Lina Sanga alifunga na kumlalamikia msanii Wema Sepetu kwa kutoka na jamaa yake wakati akijua kabisa alikuwa ni boyfriend kabla hakujatokea mtafaruku baina yao. Lina anasema ameshtuka na kuumia kusikia Wema anatoka na jamaa.


  • Lina  'Unajua wakati tuna mahusiano na jamaa mimi nilikuwa nawachukulia kama watu wanaofahamiana na ni marafiki wa kawaida tu hata wakiwa wametoka out lakini baada ya mimi na jamaa kutokea kutoelewana na ni kitu cha kawaida kwenye mahusiano yoyote na nimedumu na jamaa kwenye uhusiano kwa miaka 4, sasa nimeshuka na kuumia nisidanganye kusikia jamaa anatoka na Wema, hata hivyo nawatakia kila la kheri kwenye uhusiano wao'


Hata hivo Lina aligoma kuthibitisha kama ana ujaozito wa jamaa au hana.

Wema Sepetu nae amehadi kuja kutoa lake la moyoni


Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua

$
0
0
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.

Kauli hiyo ya Dk. Mwakyembe imekuja siku chache baada ya kusambazwa kwa waraka unaodaiwa kuandikwa naye, ukimuhusisha na tuhuma za kumshambulia Lowassa, jambo ambalo amelifananisha kuwa ni sawa na siasa za kitoto.

Akizungumza jana katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na kituo cha redio Clouds FM, alisema kutokana na kusambazwa kwa waraka ambao umeandikwa nyadhifa zake za ubunge na uwaziri, hivi sasa ameshaanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu waliokuwa wakiusambaza.

Waziri Mwakyembe ambaye kitaaluma ni mwanasheria na mwanahabari, alisema anapata shaka hata na baadhi ya vyombo vya habari pamoja na mitandao hiyo na kudai kuwa anamshambulia Lowassa.

“Ninashangazwa sana na hii mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari (magazeti), vimekuwa vikiandika vitu vibaya ikiwa ni pamoja na kumshambulia Lowassa wakati hata siku moja sijazungumza nao.


  • “Kitendo cha baadhi ya watu wa aina hii kuwaandika vibaya wanasiasa katika mitandao ya kijamii kwa kutumia majina ya watu wengine ni ishara ya woga wa kisiasa na kushindwa kujiamini katika misimamo yao.



  • “…Kinachonikera kupindukia ni kuwa taarifa hizo sijawai kuziandika ila kuna mtu ama kundi maalumu la watu limeziandika na kuweka jina langu na nafasi zangu za uongozi kama mbunge na waziri, huu si uungwana na wala si siasa kwa kuchezea majina ya watu. Kama siasa zimefika huku basi ni za hatari,” alisema.


Dk. Mwakyembe ambaye pia ni Mbunge wa Kyela mkoani Mbeya, alisema katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu, watu wanapaswa kuacha woga na kutojiamini.


  • “Kitendo cha kutumia majina ya watu na kuelezea hisia zao ni kukosa ujasiri na hata yanayosambazwa kwenye mitandao hayaendani na hadhi yangu kiongozi, sina tabia ya woga na uongo,” alisema.


Alisema baada ya kupata taarifa zilizopo mitandaoni alilazimika kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni pamoja na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), ili kulalalimikia mchezo huo mchafu.

Dk. Mwakyembe alisema vyombo hivyo vimeshaanza uchunguzi mkali ili kuwabaini watu walioandika na kutuma taarifa hizo.


  • “Hizo porojo zilianza tu polepole, zilienda mitandao ya kijamii na magazeti kuwa nimesema Lowassa hana sifa ya kuwa rais, wengine walisema niliwaambia nitapambana kufa na kupona Lowassa asiingie Ikulu wakati sijaongea nao na sijawahi kusema, huu ni mchezo wa kitoto uliopitiliza, lakini una madhara makubwa,” alisema Dk. Mwakyembe.


Alisema kutokana na hali hiyo, amedhamiria na kuhakikisha kesi ya kwanza ya matumizi mabaya ya mitandao inaanzia kwake kwa kuwa hana utamaduni wa woga, na watu wanapaswa kuwa wazi endapo wanakuwa na vitu na si kutumia majina ya watu.

Dk. Mwakyembe alisema anashangazwa na watu kutumia jina lake kumchafua kwa kuwa hana tatizo na mtu yeyote na kama chanzo ni suala la Richmond, ilikuwa ni kazi aliyopewa na Bunge.

Alisisitiza kuwa alifanya kazi hiyo vizuri kwa kumuweka Mungu mbele, lakini si kuongea uongo jambo ambalo si utamaduni wake.


  • “Wananchi wanapaswa kutambua kuwa nchi inaendeshwa kisheria na ninaamini wahusika wote waliofanya tukio hilo watachukuliwa hatua za kisheria,” alisema.


Umoja  wa  Ulaya  Nao  Wakanusha;
Jana Umoja wa Ulaya (EU) ulikanusha vikali kwamba balozi wake nchini alifanya mkutano na waandishi wa habari na kumtahadharisha Rais Jakaya Kikwete kwamba nchi yake inaweza kuingia matatani na EU kama Lowassa atateuliwa kuwa mgombea urais kupitia CCM.

Ofisa Habari wa EU, Susanne Mbise  jana  alikanusha  taarifa  izo  na kusema kuwa  hata  wao wamesikia taarifa hizo, lakini ukweli wa jambo hilo upo kwenye taarifa waliyoweka kwenye mtandao wa Face Book ya Umoja huo.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyosainiwa na Ofisa anayeshughulikia Siasa na Habari, Luana Reale wa kitengo cha habari, Balozi huyo hajafanya mkutano wowote na mwandishi yeyote na kwa maana hiyo hajatoa taarifa yoyote kwa vyombo vya habari.

Reale alisema kuwa tangu Juni mosi mwaka huu Balozi huyo hayuko nchini kwani alisafiri kwenda makao makuu ya Umoja huo na hajarejea nchini.

Alisema kuwa EU ina uhusiano mzuri wa muda mrefu na Tanzania ambao umejengwa juu ya misingi ya kuheshimiana na kuaminiana.

EU inatoa taarifa hizo baada ya watu wasiojulikana kusambaza taarifa za uzushi na uongo kwenye mitando ya kijamii wakidai kuwa Rais Kikwete ameonywa kwamba Lowassa akipitishwa kuwania urais uhusiano wa Tanzania na EU utaingia shakani na kwamba hawataisaidia katika miradi ya maendeleo.

Wazushi hao walidai kuwa Lowassa ni mtuhumiwa namba moja wa rushwa nchini na kutaja kuwa anahusika katika kadhia ya Richmond na NIC.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Nasumbuliwa Sana na Mademu Japo Nimemtangaza Mpenzi Wangu Hadharani -Aslay

$
0
0
Mwanamuziki Aslay Isihaka kutoka katika kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi kuwa anasumbuliwa sana na watoto wa kike ndiyo maana ameamua kuweka mahusiano yake wazi, Aslay alifunguka hayo alipokuwa

akichat Live katika kipengele cha Kikaangoni Live kinachofanyika kila siku ya Jumatano, kuanzia saa nane mchana mpaka kumi Alasiri kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Aslay alisema kuwa moja ya sababu iliyomfanya kumuweka wazi mpenzi wake huyo ni kutaka kutoa ujumbe kwa wale ambao wanamsumbua kuwa waache kufanya hivyo kwani tayari ana mtu ambae yeye anampenda.
"Nimeamua kuweka mahusiano yangu ya mapenzi wazi sababu nasumbuliwa sana, nahisi kufanya hivyo wataelewa na kuacha, yaani kama nimewapunguzia speed ya usumbufu"
Mbali na hilo Aslay aliweza kuzungumzia juu ya elimu yake na kusema hakuacha shule kwa sababu ya muziki ila ataendelea na shule pale alipoishia, ilaa anaamini atafanya hivyo siku za usoni.
YAMOTO BAND
Mkali huyo ambaye amejipa jina la dingi mtoto amesema kuwa hafikiri kuondoka Yamoto band wala hawazi suala hilo, ila amesema kuwa kwa sasa yeye na wenzake wanajipanga kufanya kazi za kimataifa hivyo wanasubiri majibu kutoka kwa Yemi Alade, kwa kazi ambayo wamemtumia hivyo pia ameeleza kuwa kuna kazi ambayo wamefanya na Sauti Soul wa nchini Kenya ambao waliwaomba kufanya nao kazi.
MAHUSIANO YAKE NA WEMA
Tetesi zilizopo mtaani ni kwamba Aslay Isihaka alikuwa akifukuziwa na Wema Sepetu kimapenzi na watu wengi walipouliza swali walitaka kufahamu ukweli juu ya suala hilo na ndipo hapo Aslay alipofunguka na kuweka wazi juu ya suala hilo na kusema kuwa hakuna ukweli wowote na wimbo wa Nitakupwelepweta hajaimbiwa Wema Sepetu.
"Watu wanakuwa wanaongea mambo mengi juu ya maisha yangu hususani katika mahusiano na kusambaza taarifa zisizo na ukweli, mfano watu wanasema natoka kimapenzi na Wema huo siyo ukweli kabisaa bali Wema ni kama dada yangu, ila kutokana na mambo haya ndipo niliamua kuweka mahusiano yangu wazi ili kila mtu ajue kuwa nipo kwenye mahusiano na mtu fulani na waache kusambaza taarifa zisizo na ukweli."
Kwa kifupi hizo taarifa wanazosema mashabiki hazina ukweli wowote,kwa sasa nimemtangaza mpenzi wangu na ndiye niko nae, sitaki usumbufu tena kwa sasa.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Read what Meninah La Diva wrote to the someone she loves....it sounds real sweet

$
0
0
One + one makes 2 that's the only reason why I love you because me and you are the reason why were two to conquer all the hard time we are passing through I heart you ...........Meninah on Instagram


The Real Truth Behind Ali Kiba And Diamond Platinumz Beef!

$
0
0
ALI KIBA VS DIAMOND
It’s Long Been Rumoured That Ali Kiba And Diamond Platinums Have Beef With Each Other But Now Ali Kiba Has Decided To Clear The Air On The The Sporah Show. During This Interview With Sporah, Ali Kiba Stated That He Has No Issue With Diamond Platinums At All. He Went On To Say, “I Have A Lot Of Respect For, Yes He Represent Our Country, I Seriously Don't Know Why People Always Raise The Issue And Ask Me If I'm Cool With Him. I Thought By Now They Would Be Tired Of It.

Ali Kiba Admits Not Being A Fan On Diamond Platinumz!
There have been many rumors flying around that Ali Kiba is suffering from financial issues recently, given the fact that his music career hasn't been as productive in recent years as his fans would've hoped. He addressed these rumors during this interview with Sporah, as he pretty much laughed off the claims. He also spoke in depth about how the Media Industry in Tanzania is playing a major role killing Music Industry (Bongo Flava).

Edward Lowassa achukua fomu kugombea Urais mjini Dodoma

$
0
0

Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Mh. Edward Lowassa akiwa Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi, Dodoma akichukua fomu ya kugombea Urais 2015

Hii Ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM, itakayopitisha Majina Matano ya Wagombea Urais

$
0
0
Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja.

1. Jakaya Mrisho Kikwete

2. Dr. Ally Mohamed Shein

3. Phillip Japhet Mangula

4. Abdulrahman Kinana

6. Dr. Mohamed Ghalib Bilal

7. Mizengo Kayanza PeterPinda

8. Balozi Seif Ali Iddi

9. Anna Semamba Makinda

10. Pandu Amir Kificho

11. Rajab Luhwavi

12. Vuai Ali Vuai

13. Nape Moses Nnauye

14. Mohammed Seif Khatibu

15. Zakhia Hamdan Meghji

16. Asha Rose Migiro

17. Sophia Simba

18. Sadifa Juma Khamis

19. Abdallah Majura Bulembo

20 Jenister Mhagama

21. William Lukuvi

22. Steven Masato Wasira

23. Emmanuel John Nchimbi

24. Pindi Chana

25. Jerry William Slaa

26. Adam Kimbisa

27. Shamsi Vuai Nahodha

28. Hussein Ally Mwinyi

29. Maua Daftari

30. Samia Suluhu

31. Salim Ahmed Salim

32. Makame Mbarawa

33. Hadija Abood

Nafasi zilizo wazi:

34. Anna Kajumulo Tibaijuka (ametolewa kutokana na kashfa ya Escrow)

35. Salmin Awadhi (amefariki)

Kabla ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2012 wenyeviti wastaafu (taifa) na makamu wenyeviti wastaafu (taifa) walikuwa wajumbe wa kamati kuu.

Kwa sasa wana nafasi yao kama Baraza la Ushauri ambalo wajumbe wake ni hawa wafuatao:

1. Ally Hassan Mwinyi - Mwenyekiti

2. Pius Msekwa - Katibu

3. Benjamin William Mkapa - Mjumbe

4. Aman Abeid Karume - Mjumbe

5. Dr. Salmin Amour - Mjumbe

Hawa wazee wa Baraza la Ushauri wana nafasi yao katika ushauri kwa kamati kuu kuhusu wagombea urais. Vikao vyao havina kalenda hukutana tu pale linapokuwa jambo muhimu na mahususi linalohitaji mawazo yao.

Maamuzi ya Kamati Kuu ni kwa consensus (busara/common sense), sio kura.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

Aslay: Nitakupwelepweta hajaimbiwa Wema Sepetu

$
0
0
Tetesi zilizopo mtaani ni kwamba Aslay Isihaka alikuwa akifukuziwa na Wema Sepetu kimapenzi na watu wengi walipouliza swali walitaka kufahamu ukweli juu ya suala hilo na ndipo hapo Aslay alipofunguka na kuweka wazi juu ya suala hilo na kusema kuwa hakuna ukweli wowote na wimbo wa Nitakupwelepweta hajaimbiwa Wema Sepetu.

"Watu wanakuwa wanaongea mambo mengi juu ya maisha yangu hususani katika mahusiano na kusambaza taarifa zisizo na ukweli, mfano watu wanasema natoka kimapenzi na Wema huo siyo ukweli kabisaa bali Wema ni kama dada yangu, ila kutokana na mambo haya ndipo niliamua kuweka mahusiano yangu wazi ili kila mtu ajue kuwa nipo kwenye mahusiano na mtu fulani na waache kusambaza taarifa zisizo na ukweli."

Kwa kifupi hizo taarifa wanazosema mashabiki hazina ukweli wowote,kwa sasa nimemtangaza mpenzi wangu na ndiye niko nae, sitaki usumbufu tena kwa sasa.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News

LOST generation! See what this LADY from Nairobi Aviation College did in-front of MEN. +18 ONLY

$
0
0
Nowadays, majority of ladies have lost morals and some of the things they do in public are just shocking and disgusting.

Instead of studying, they engage in useless activities that add no value to their life.

Below is a crazy video of a middle aged lady from Nairobi Aviation College,  who decided to unleash her madness in-front of men as she jammed down to Jamaican dancehall tunes.

Looking closely, this crazy lady is br@less and her big “nyonyos” are popping out as men cheer her on.

Click play and watch the madness.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images