Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 109660 articles
Browse latest View live

Melania Trump Amchoka Donald Trump, Huenda Wakaachana Hivi Karibuni...Aonyesha Kwa Vitendo Kuchoka

$
0
0


Melania Trump ni kama amemalizana na mumewe baada ya kuondoka kwenye kuta za White House. Ashindwa kusimama na kupiga picha mbele ya wageni mara baada ya kuwasili mjini Florida toka Washington.


Kama unakumbukumbu vizuri, Melania aliwahi kukaririwa akisema ataachana na Donald Trump pindi tu akimaliza shughuli za Urais. Melania alisema hakupenda maisha ya hadhi hiyo kubwa duniani.


TANASHA DONNA na mwanae NASIB JUNIOR watua BONGO, Magari ya DIAMOND yatumika kuwapokea

$
0
0


TANASHA DONNA na mwanae NASIB JUNIOR watua BONGO, Magari ya DIAMOND yatumika kuwapokea:

VIDEO:





Star wa Nyimbo ya Jerusalemu Aalikwa Kutumbuiza Nyumbani Kwa Mwigizaji Vib Diesel

$
0
0


Mwimbaji wa Afrika Kusini Master KG amealikwa kutumbuiza katika nyumba ya mwigizaji nyota wa Marekani Vin Diesel. Kwenye ukurasa wa instagram wa mkali huyo wa 'Jerusalema' ameandika;



"Siku ya 4. Shukrani za dhati kwa Vin Diesel na familia yake kwa kunialika kwenye nyumba yao kwa ajili ya kuwaburudisha na muziki wangu. Najifunza mengi toka kwao. Na inapendeza sana kuona hamasa na upendo walionao kwangu na taifa langu."

Mwanafunzi wa Miaka 22 Akiri Kumuua Bibi yake Kwa Kumpiga na Chuma Walipokuwa Wakipigana

$
0
0

 


KENYA: Mercy Wangari anashukiwa kuwa Mtuhumiwa namba moja katika mauaji ya Bibi yake (72) baada ya kukiri kumpiga na chuma walipopigana na kupelekea kifo chake papo hapo miezi mitano iliyopita


Mwanafunzi huyo anasema, Baada ya Baba yake kupoteza kazi na kushindwa kumudu mahitaji, Bibi alianza kuongelea matatizo yao kwa ndugu wengine na wanakijiji, kitendo kilichokasirisha Familia yake


Hali hiyo ilipelekea mvutano baina na Bibi na Familia, na kwa mujibu wa maelezo ya Mercy, Bibi yake pia alianza kuwa tofauti naye ikilinganishwa na ndugu zake wawili akidhani maisha ya Chuoni yanambadilisha


Mercy alitaka kujisalimisha Polisi lakini Baba yake aliamua kumuokoa kwa kusema yeye ndiye aliyemuua Mama yake. Hivi sasa, wote wawili wanashikiliwa na Polisi wanaomalizia uchunguzi wao

Naseeb Jr hadi nyumbani kwa Diamond, Zari atia neno, Tanasha kumkutanisha mwanae na Dylan wa Hamisa?

$
0
0

Hatimaye Diamond Platnumz na mwanae wa nne, Naseeb Jr wamekutana, miezi kadhaa baada ya staa huyo kuachana na Tanasha. Hilo limewezekana baada ya Tanasha kutua Dar Ijumaa hii na kumpeleka mwanae kuonana na baba yake. Mengi zaidi Sky anasimulia

VIDEO:



Kutana na Kijana Matonga Kutoka Katika Nchi za Kiarabu, Anaondoa Migogoro ya Ndoa na Kukupa Mvuto Katika Mambo yako

$
0
0

Sharifu matonga sasa yupo amerudi kusaidia watanzania kwamara nyengine tena kwani watanzania wengi walipata dhiki nashida alipikua hayupo sasa mnakaribishwa kwake bagamoyo karibuni, 

Kama kawaida yake anawasaidia wanaadamu bure pasipo hela yoyote,wengi wenye matatizo mbalimbali Nashida mbalimbali walifanikiwa nakuponea kwa shekh sharifu matonga, kwakufahamu mengi zaidi mtafute kwa namba zake kama zifuatazo 0712 776234 Au watsap 0767 579616 basi mtafute mapema ukaombewe dua ili migogoro ya ndoa yako ife,maradhi yako mungu ayaondoe haraka, nafasi yako irudikazini, wanaokuchukia pia wakupende, biashara zako ziende vizuri namambo mengine mengi 

Sharifu matonga anaweza kwanamna alivyo barikiwa na mungu pia nenda kaokoe afya yako inayoteseka namaradhi yakichawi namaradhi mengine mengi yanayokusumbua, kwahiyo unaruhusiwa kumuuliza kinachokusumbua kwakumpigia sim 0712 776234 Au watsap 0767 579616, Au utakapomkosa fika alipofikia kwasasa anapatikana bagamoyo,

Asanteni sana mnakaribishwa muda wowote ule,Wabillahi tawfiq asalaam Alaykum warahmatullahi wabarakaaatuh..

Lupita Nyong'o amjibu Waziri wa Utalii wa Kenya kwa kudai wamemtafuta kwa miaka 5 bila mafanikio

$
0
0


Muigizaji wa filamu za Hollywood mwenye asili ya Kenya, Lupita Nyong'o, amemjibu Waziri wa Utalii wa nchini humo, Najib Balala aliyedai kuwa wizara yake imemtafuta kwa miaka miaka 5 bila mafanikio ili kumpa shavu la ubalozi wa Utalii

VIDEO:

Shilingi Trilioni 18 zinapita kwenye huduma ya fedha mtandao kwa mwezi

$
0
0


 Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile ameiarifu Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa kiasi cha shilingi trilioni 18 zinapita kwenye mitandao kwa mwezi wakati wa kikao chake na kamati hiyo kilichohudhuriwa na wajumbe wa Menejimenti ya Wizara hiyo na wakuu wa taasisi zake ikiwemo Shirika la Posta Tanzania (TPC), Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Baraza la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA -CCC) na Tume ya TEHAMA (ICTC) kilichofanyika kwenye ukumbi wa Bunge, Dodoma
Dkt. Ndugulile amewaeleza wajumbe wa Kamati hiyo kuwa kiasi cha miamala milioni 300 inafanyika kwa mwezi mtandaoni na Serikali inapata shilingi bilioni 80 kwa mwezi za tozo kutokana na fedha zinazopita mtandaoni na mzunguko huo wa fedha mtandaoni kwa mwezi, miamala inayofanyika na tozo ambazo Serikali inapata ni kutokana na kuwepo kwa matumizi ya TEHAMA

Amefafanua kuwa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ni njia kuu ya uchumi na inawezesha upatikanaji wa huduma za mawasiliano yenye kasi, kufanikisha utendaji kazi wa mifumo ya TEHAMA na huduma za fedha mtandaoni ambapo Wizara imejipanga kuandaa ramani ya njia ya  miundombinu huo ili kufanikisha mwingiliano wa ujenzi na upanuzi wake pale inapokutana na njia za miundombinu mingine kama vile ya barabara, maji, umeme na reli



Naye Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Moshi Kakoso ameitaka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuongeza udhibiti na usimamizi wa huduma za mawasiliano kwenye suala la fedha mtandao ili kudhibiti mianya ya upotevu wa fedha na kuweza kuongeza mchango wa tozo Serikalini zaidi ya shilingi bilioni 80 kwa mwezi kwa kuwa miamala mingi ya fedha inafanyika na fedha nyingi zinapita kwenye mtandao ili TEHAMA iongeze mchango wake kwenye ukuaji wa uchumi na kuchangia zaidi pato la taifa.


Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhandisi Kundo Mathew amesema kuwa Wizara itaipa ushirikiano wa kutosha Kamati hiyo ili kwa pamoja Serikali kupitia Wizara hii na Bunge kupitia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu waweze kutekeleza majukumu yao kwa kuwa wote kwa pamoja wanamhudumia mwananchi
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Zainab Chaula amewaeleza wajumbe wa Kamati hiyo kuwa Wizara itaendelea kusimamia na kuendesha vema Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ili kuhakikisha kuwa wananchi wanaendelea kunufaika na huduma za mawasiliano na TEHAMA inatumika kurahisisha maisha yao ya kila siku katika nyanja ya kiuchumi na kijamii

Apigwa na walinzi wa Hospitali ya shinyanga akihudumia mama yake wodini

$
0
0



Katika hali isiyotarajiwa mwanaume aliyejulikana kwa jina la Daudi Lefi (40) amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushambuliwa na Walinzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga wanaodaiwa kumtaka aondoke wodini kwamba muda wa kusalimia wagonjwa umeisha. 


Tukio hilo lililozua gumzo la limetokea leo Ijumaa Januari 22,2020 majira ya saa 11 na dakika 45 jioni wakati kijana hiyo akiwa aktika wodi ya wanawake namba 1 ambako mama yake mzazi Victoria Lugano Mwakagari amelazwa hospitalini hapo jana. 



Akisimulia kuhusu tukio hilo, ndugu wa kijana huyo Lydia Lefi ameiambia Malunde 1 blog  kuwa kaka yake amekutwa na mkasa huo wakati akiwa katika harakati za kulipia dawa za mama yao ambaye amelazwa katika hospitali hiyo jana Januari 21,2021 lakini jina lilikuwa halionekani kwenye Computer. 




“Kaka alikuwa alipie dawa, alipewa karatasi ya kwenda kulipia dawa, alipoenda kufuata Control number ili alipie, jina likawa halionekani kwenye Computer, ikabidi aende wodini kwa mgonjwa kuangalia/kuulizia amesajiliwa kwa jina gani,akiwa wodini hao walinzi ndipo walipoingia wodini na kumtaka aondoke kwamba muda umekwisha. 



"Walivyomtaka aondoke wodini akawaambia amekuja kuangalia jina gani mgonjwa ameandikishwa, wale walinzi wakamwambia aondoke muda huo huo, akawaomba lakini wakamwambia Huwezi kutupangia kazi. Kaka akasema nitaondokaje mama hajapata huduma ,wale walinzi wakaanza kumsukuma, ndipo mlinzi mmoja akachomoa mkanda wa suruali na kuanza kumshambulia huku mwingine akimsukuma, wakati purukushani zikiendelea baadae akaja mlinzi wa kike akasogea na kuwaachanisha”,ameeleza Lydia.



Daudi Lefi amesema walinzi hao wanaodaiwa kuwa ni wa Suma JKT walidhani amefika muda huo huo hospitalini wakati yeye alikuwa amefika hospitalini hapo muda mrefu lakini Computer za Hospitali zikawa hazisomi jina la mgonjwa wake wakati anataka kununua dawa.





"Sikurusha ngumi kwa sababu ni eneo la hospitali wangesema nimeenda kufanya vurugu. Walionishambulia walikuwa wawili lakini mmoja ndiyo aliyeanza kwa kunichapa na mkanda akisema nitamtambua kuwa yeye ni nani huku akinitukana,nami nikamsihi aache kutumia lugha chafu eneo la kazi",amesema Daudi.



 "Hayo yote yametokea wakati nikimweleza kuwa nimefika wodini kuulizia ndugu zangu na mgonjwa kuwa wameandikisha jina gani mapokezi kwani jina halionekani mapokezi ili nilipie dawa,wakati naendelea kushambuliwa nikamuona mama yangu mgonjwa akitoka wodini huku akihema presha imepanda akifuatilia nini kinaendelea ndipo nikaanza tena kumrudisha wodini kumhudumia nikaulizia jina aliloandikisha nikaenda kuchukua dawa nikamletea wodini", ameeleza Daudi.



Daudi amesema kutokana na kipigo hicho ameumia mkono wa kushoto ambao umevimba na kuchanika kwenye kiwiko.



"Baada ya tukio hilo wamenifuata na mkubwa wao na kuniomba tuyamalize kwamba kijana wao amekosea nami nimeamua kuwasamehe. Katika hali ya ubinadamu nimeamua kumsamehe kijana huyo baada ya kuomba radhi",ameongeza. 



 Baadhi ya wagonjwa na watu wanaouguza wagonjwa wameeleza kusikitishwa na kitendo cha mlinzi kumpiga ngumi na mkanda na kuongeza kuwa baadhi ya walinzi katika hospitali hiyo wana lugha mbaya na wanatumia ubabe hawaangalii utu.



Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga, Luzila John Boshi amekiri kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa atatoa taarifa baadae na kwamba yupo kwenye kikao.

Majina yanayotajwa kubeba mikoba ya Mwambusi Yanga

$
0
0


Baada ya Juma Mwambusi ambaye alikuwa kocha msaidizi ndani ya Klabu ya Yanga kuomba kujiweka kando kutokana na matatizo ya kiafya majina matano yanatajwa kuwa mikononi mwa mabosi wa timu hiyo.

Kwa sasa Yanga ipo chini ya Kocha Mkuu, Cedric Kaze huku akiwa bila msaidizi na jukumu la kuchagua msaidizi lipo mikononi mwake.


Mwambusi aliomba kujiweka kando wakati wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar na Yanga ilisepa na taji hilo.


Fainali ilikuwa Januari 13 ilishinda kwa penalti 4-3 dhidi Simba baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya bila kufungana.


Iliwekwa wazi rasmi Januari 21 na Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Mshindo Msolla kuhusu suala hilo la Mwambusi ambaye alikuwa na maelewano makubwa na Kaze.


Miongoni mwa wanaotajwa kuingia anga za Yanga ni pamoja na Mecky Maxime, Kocha Mkuu wa Klabu ya Kagera Sugar, Maalim Saleh ‘Romario’,.


 Nizar Khalfan ambaye kwa sasa anaifundisha Klabu ya African Lyon ambayo inashiriki Ligi Daraja la Kwanza.


Adolf Richard ambaye alikuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Tanzania Prisons na aliweza kuiongoza kwa mafanikio msimu uliopita kwa kuwa ilimaliza ndani ya 10 bora.


Ramadhani Nswanzurimo ambaye aliwahi kuwa Kocha Mkuu wa Mbeya City pia aliifundisha Klabu ya Singida United kwa sasa yupo huru ila yupo ardhi ya Bongo.

Viongozi wa Simba wapata kigugumizi suala la Francis Kahata

$
0
0

Uongozi wa Simba umeshikwa na kigugumizi cha kuweka ukweli juu ya hatma ya kiungo mshambuliaji, Francis Kahata ndani ya kikosi hicho kilicho chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola. 


Kahata maisha yake ndani ya Simba msimu wa 2020/21 yamekuwa yake peke yake kwa kuwa hana nafasi kikosi cha kwanza kutokana na ushindani wa namba.


Alianza kupewa nafasi ya kudumu kwenye Kombe la Mapinduzi baada ya Sven Vandenbroeck kubwaga manyanga Januari 7 kwa kile alichoeleza kuwa ni matatizo ya kifamilia ila kwa sasa yupo nchini Morroco akikinoa kikosi cha FAR Rabat. 


Imekuwa ikielezwa kuwa kiungo huyo muda wake ndani ya Simba umekwisha ambapo mabosi walitaka kumtoa kwa mkopo kwenda Azam FC ila Kahata akagomea dili hilo jambo ambalo limeongeza presha ya kuachana naye msimu utakapoisha.


Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez amesema kuwa Kahata ni mchezaji wa Simba ila itafahamika hivi karibuni. 


Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa hawawezi kujadili ishu ya mchezaji mmoja kwa kuwa wana mambo makubwa wanataka kufanya.


"Simba ni timu kubwa,tunawaza makubwa kuhusu Simba Super Cup unaanza kuleta habari nyingine,  hakuna siasa ila kazi,tutazungumza baadaye," .


Kahata amesema:"Sijui kuhusu kuachwa ama kutolewa kwa mkopo mimi ni mchezaji wa Simba,".

Kutana na Maalim Ally Hamis Mtaalam wa Tiba Asilia Tanzania

$
0
0



KUTANA NA  MAALIM ALLY HAMIS  MTAALAM WA TIBA ASILI TANZANIA

MAALIM ALLY HAMIS ANAPATIKANA MOROGORO NA PWANI


Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.


Maalim Ally Hamis ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)


MAALIM ALLY HAMIS ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.


(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)


Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?

Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio? Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo.. Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.

Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?

Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone MAALIM ALLY HAMIS Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..


MAALIM  ALLY HAMIS Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..

Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..


ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..

MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..


Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu.. Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..


MAWASILIANO:


Simu no: +255 657-146072


 WhatsApp no: +255 769-141833

Tazama MANDINGA ya wasanii wa WCB yalivyotinga Sheli kwa mbwembwe, DIAMOND afunika, BABALEVO ndani

$
0
0


Tazama MANDINGA ya wasanii wa WCB yalivyotinga Sheli kwa mbwembwe, DIAMOND afunika, BABALEVO ndani

VIDEO:

Mke mweza wa QUEEN DARLEEN afunguka kuachika na kupata mwanaume mwingine, Adai ameumia sana imetosha

$
0
0


Mke mweza wa QUEEN DARLEEN afunguka kuachika na kupata mwanaume mwingine, Adai ameumia sana imetosha

VIDEO:



TANASHA amelala chumba kimoja na DIAMOND nyumbani kwake? begi lake laonekana,ZARI ajibu adai ni ka..

$
0
0

 


TANASHA amelala chumba kimoja na DIAMOND nyumbani kwake? begi lake laonekana,ZARI ajibu adai ni ka..

VIDEO:


Msusi wa Michelle Obama ang'aa kuapishwa kwa Biden

$
0
0

 


Mke maarufu wa rais wa zamani wa Marekani, Michelle Obama juzi alisisimua ulimwengu wa mitindo wakati alipoibuka katika hafla ya kuapishwa kwa Joe Biden, akiwa na staili ya kumwaga nywele mabeni, iliyosababisha msusi wake apate kazi lukuki.

Kama wengine, Michelle, ambaye anaonekana kama mke wa milele wa rais wa Marekani (Forever First Lady of The United States, FLOTUS), alivaa suti yenye koti refu, lakini suruali ambayo mkanda wake wa rangi ya dhahabu ulifungwa juu ya tumbo, huku suruali ikiwa ya kumwaga chini, hali iliyovuta zaidi macho ya wanamitindo.

Na aliyepata sifa zaidi alikuwa mwanamitindo wake wa nywele, Yene Damtew.

"Kusema ukweli, kulikuwa na nyota kadhaa wa mitindo waliofika jengo la bunge kushuhudia tukio la kihistoria la kuapishwa kwa Rais Joe Biden na makamu wake Kamala Harris — Harris na binti wake wa kumlea wakiwemo — lakini (Michelle) aliingiza fasheni katika jengo la bunge ikiwa na herufi kubwa ya F, kwa hiyo mara zote atavalia kitu kinachovutia kuona," ameandika Dara Prat katika tovuti ya yahoo.com.

Lakini kilichovuta macho ya wengi kiasi cha kumpatia kazi msusi wake, ni staili ya nywele.

Nywele hizo zilizoonekana zimewekwa curl, ziliangukia mabegani zikiwa zimejiviringisha miduara upande mmoja.

Michelle aliingia katika hafla hiyo akiwa ameshikwa mkono na mumewe Barack Obama, huku nywele zake zilizomwagika mabegani zikitingishika kila alipopiga hatua.

Na mara moja watumiaji wa mtandao wa Twitter wakaanza kumsifu, huku neno “laid (lazwa)” likianza kusambaa na sifa zikienda kwa msusi wake.

"Ninashukuru sana kwa mapenzi mliyoonyesha, kunitaja na kunifikishia ujumbe na vikaragosi," alisema msusi huyo katika ukurasa wake wa Instagram, akishukuru watu waliomsifu kwa ustadi baada ya kuona nywele za mke huyo wa rais wa Marekani katika hafla ya juzi.

“Mmenipa furaha leo. Nashukuru sana.”

Alisema timu yake ya staili imepokea 'mafuriko' ya maombi kwa siku moja tu.

“Mimi na timu yangu tumepokea DMs na barua pepep nyingi kuhusu huduma za staili za nywele za salon ya Aesthetics,” ameandika Yamtew.

Aliacha maelekezo ya jinsi mashabiki wake wapya wanavyoweza kupata huduma hiyo.

Magazeti ya staili nayo yakazungumzia nywele hizo, yakionyesha Michelle aliiteka hafla.

Demtew aliiambia tovuti ya PopSugar kwamba staili aliyoitumia kwa Michelle aliibuni kutokana na tukio lenyewe, akisema: “Nilitaka kutengeneza muonekano mzuri ambao ungegeuza vichwa vya watu, lakini pia nilitaka staili ambayo ingedumu kwa saa kadhaa bila mimi kuwepo pembeni yake kwa ajili ya kurekebisha.”

Kwa mujibu wa Elisabetta Bianchini wa yahoo.com, Msusi huyo amekuwa akifanya kazi na Michelle kwa zaidi ya miaka kumi na anasema “ananiamini kuchagua staili ambayo itavutia na namuamini kwa kuniruhusu (kutumia) baadhi ya ubunifu.”

Mwanawake Anapenda Umfanyie Mambo Haya Manne Usiku

$
0
0



WANAUME walivyokuwa na kazi kibao kila wakati, husahau kuwafanyia mambo kadhaa wake zao ili waendelee kuwa na furaha.

 

Wanawake wengi wamekuwa wakisaliti ndoa zao kwa vile kuna wanaume pembeni wanaowafanyia mambo yanayowafanya wawe na furaha.  Yatuatayo ni mambo anayotakiwa mwanamme kumfanyia mkewe wakati wa usiku ili aendelee kuwa na furaha:



 

1. Ukirejea kutoka kazini, mwulize kila mara mkeo mambo yalikwendaje nyumbani. Hili ni muhimu kwani kila mwanamke anapeda kujua mumewe alikuwa anamjali vipi katika shughuli zake za kila siku.

 



2. Hakikisha unaingia jikoni kila mara usiku na kumsaidia kupika.  Jambo hilo wanawake wengi wanalipenda — kusaidiwa kupika na wenzi wao.

 

 


3. Ni muhimu kutazama sinema pamoja usiku.  Hii inamsaidia mwanamke kutuliza akili yake.   Baada ya kumaliza kutizama sinema inabidi msali pamoja.


4. Wawawake hupenda kubembelezwa.  Ni kwa kumkumbatia mkiwa kitandani hadi apate usingizi.  Hili humfanya afurahi na kulala vyema.




Tumia Dawa ya Mitishamba ya Super Mihayo Inayotibu Tatizo la nguvu za Kiume

$
0
0


SUPER MIHAYO MPYA WHATSAP NO +255 746 758 853

Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,



- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa

- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo

- kukosa hamu ya tendo la ndoa

- kushindwa kurudia tendo la ndoa

- uume kusimama kwa kulegea

- uume kulegea katikati ya tendo

- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu

- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.



Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MIHAYO. kiboko ya matatizo haya.

_______________________________

Pia kuna SUPER MIHAYO. Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.

_______________________________

Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.

_______________________________

(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.

(2) ngiri

(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.

(4) kupungukiwa hormone za testosterone.

(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho vya kutosha.

(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.

(7) kisukari.

(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.

(9) maumivu ya kiuno nk.

_______________________________

Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?

Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________

WASILIANA NA:

DR. HASSANI

SIMU NO:

📞0746758853

WHATSAP NO +255746758853

Popote ulipo huduma hii inakufikia

Mawaziri watatu Zimbabwe wafa kwa corona ndani ya wiki moja

$
0
0

 



Waziri wa Usafirishaji wa Zimbabwe,  Joel Biggie Matiza amefariki dunia Ijumaa Januari 19, 2021 katika hospitali ya St. Annes Harare alikokuwa akitibiwa ugonjwa wa Corona.

Matiza anakuwa waziri wa  tatu wa nchi hiyo kufariki dunia kwa ugonjwa huo katika kipindi cha wiki moja.


Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo - Ajira Yako

Wengine waliofariki dunia ni aliyekuwa waziri wa mambo ya nje,  Sibusiso Moyo na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani, Ellen Gwaradzimba.

Bobi Wine ashinda viti 41 vya Umeya, Museveni apoteza

$
0
0

 


Chama cha National Unity Platform (NUP) kinachoongozwa na Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine’, kimekishinda mbali Chama cha Rais Yoweri Museveni cha National Resistance Movement (NRM) katika chaguzi za Kampala Capital City Authority (KCCA).


Kwa mujibu wa Gazeti la The Independent, NUP kilishinda viti 41 dhidi ya 44 vya umeya na hivyo kukiacha mbali chama tawala. Viti vitatu vilivyosalia vilinyakuliwa na chama kinachohusiana na mgombeaji wa zamani wa urais Kizza Besigye, Forum for Democratic Change (FDC).

Usikubali Kupitwa na Udaku wa Mjini INSTALL App ya UDAKU Special >>HAPA ili Tuwe Tunakutumia Moja Kwa Moja Kwenye Simu Yako

Hii ilikuwa mara ya kwanza katika historia kwa chama kinachoongozwa na Rais Museveni, NRM na Democratic Party (DP) kushindwa katika uchaguzi wa umeya Kampala.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo - Ajira Yako

Chama cha Wine pia kilishinda viti vyote vya ubunge kando na kiti cha Kampala ambacho kilitwaliwa na Mohamed Nsereko ambaye alikuwa mgombea huru

Viewing all 109660 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>