Balaaa la Mvua hilo Jamaa kaamka Asubuhi anakuta hali kama hiyo ahamini macho yake ameng'ang'ani kwenye gari siku nzima...Usiombe yakukute kama huyo jamaa alafu gari yenyewe una week moja ndio limefika kutoka japan na umelinunua kwa Mkopo wa Bank...Mweee Inaumajeeeeee!!