Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109498

BABY MADAHA"WACHA NITENGENEZE CHAPAA KUOLEWA LABDA 2030"

$
0
0

Na Nyemo Chilongani
STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Madaha amesema hana papara na suala la ndoa kwani amejipanga kutimiza tendo hilo mwaka 2030.

Akizungumza na paparazi wetu, Baby alisema anachoomba ni uzima kwani suala la ndoa analiona halina umuhimu kwa sasa kwani ni kipindi cha yeye kusaka fedha kwa hali na mali.

“Sina haraka bwana, maisha haya yanahitaji kuyatengeneza, najipanga Mungu akipenda labda kwenye 2030 huko ndiyo nitafunga ndoa sasa hivi acha nitengeneze chapaa,” alisema Baby ambaye umri wake unakadiriwa kutopungua miaka 30. 
GPL

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109498

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>