Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

RIYAMA NJIA PANDA KWA MITUNGI

$
0
0
Stori: Erick Evarist

Mh! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Riyama Ally, amejikuta akiwa njia panda baada ya kutakiwa kunywa pombe ya kienyeji aina ya ugimbi ambayo hajawahi kunywa maishani mwake.

Riyama aliingia kwenye mtihani huo juzikati pande za Songea alipokuwa amekwenda kikazi ambapo alitakiwa kunywa pombe hiyo kutokana na matakwa ya filamu lakini akashindwa.

“Ulikuwa mtihani kwa kweli, ili kuleta uhalisia ilitakiwa ninywe pombe hiyo lakini kiukweli nilishindwa kwa kuwa sijawahi kunywa hata siku moja, ilibidi nizuge na kopo tupu,” alisema Riyama ambaye ni mkali wa kuzitendea haki sini za siriasi.
GPL

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>