Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109450 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMUZIKI ALIYEJIKATA UUME YABAINIKA ALITUMIA MADAWA YA KULEVYA HATARI

Rapper wa Marekani, Andre Johnson aliyejaribu kujiua kwa kujikata uume wake aliwashangaza wengi kwa kuwa kitendo hicho sio cha kawaida na wengi walitaka kufahamu sababu hasa iliyompelekea kufanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DRAKE AMNUNULIA RIHANNA PETE YENYE THAMANI YA SHILINGI MILION 68

Drake na Rihanna wanaendelea kushibana na penzi lao linachanua huku wakiripotiwa kuwa na mpango wa kuishi pamoja.Kwa mujibu wa gazeti la Daily Star, chanzo kimoja kimeeleza kuwa Drake amemnunulia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBE RAISI HANA UWEZO WA KUWAFUKUZA UKAWA BUNGE LA KATIBA NA KULETA WENGINE

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema Rais Jakaya Kikwete hana uwezo kisheria wa kuwafukuza au kutengua uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.Jaji Werema alisema Sheria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONE MINUTE WOMAN....NAFIKA KILELENI HARAKA SANA KABLA MPENZI HAJARIDHIKA

Napata wakati mgumu sana tuwapo kwenye 6x6 kwani nawahi sana kufika Kileleni, Yaani within 1min tayari nakuwa nimefika na nikishafika nakosa hamu kabisa ya kuendelea na kumsukuma boyfriend wangu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAKOBE "TANGANYIKA HURU LAZIMA IPATIKANE....NYERERE SIO MUNGU NAYE ALIKUWA NA...

Amesema Tanganyika huru lazima ipatikane nisuala la muda tuNchi yetu imekuwa katika laana kwa muda mrefukwa sababu tumeshindwa kuilinda mipaka yetuMoto wa kudai Tanganyika umewaka na hamnamtu awezaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI ZITTO KABWE NAE PIA ANASHIRIKI KATIKA HARAKATI ZA UKAWA?

Wadau hivi Zitto Kabwe  pamoja na kuonekana ni mamluki na ukizingatia mmgogoro uliopo kati yake na CHADEMA ,Vipi hali yake kwenye hii movement ya UKAWA .. au wamemtenga na huku . ?? Kwa Anaye Jua Atujuze

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA IZZO B ILIYOFANYWA NA DIRECTOR NICK DIZZO YACHEZWA CHANEL O

Harakati za kuuvusha muziki wa Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ni pamoja na kupata airtime kwenye vituo vya kimataifa ambapo Channel O ni kituo mojawapo kati ya vituo vinavyoaminika kwa kusambaza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANENO YA LUKUVI YATIMIA CHADEMA NAYO IMEINGIA KATIKA MTEGO MZITO

Hapa kuna ajenda za siri ukweli mchungu ni huu hapa na nitaendelea kuwaletea siku hadi siku hata kama ni mchungu lakini ndio dawa sasa. UKAWA sasa imeingia kwenye mtego mzito wa UAMSHO na upande wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDUGU WANAOKULA NYAMA ZA MAITI WAKAMATWA TENA

Watu wawili wanaotuhumiwa kula nyama za binadamu wamekamatwa baada ya kichwa cha mtoto wa miaka mitatu, kukutwa katika nyumba wanayoishi nchini Pakistan.Polisi waligundua tukio hilo la kutisha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAASKOFU 32 WAUNGA MKONO RASIMU YA WARIOBA KAMA ILIVYO

Katika salama za pasaka viongozi wa dini wa katoliki 32 wamesema maoni ya wananchi katika rasimu ndio msingi wa katiba hivyo wamewataka wajumbe wa bunge la katiba wa yaheshimu kama yalivyo wasilishwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TID, RECHO THT WADAIWA NI WAPENZI

MALOVEE? Bosi wa Top Band, Khaleed Mohamed ‘TID’ au ‘Mzee Mnyama’ na mtoto mzuri kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho THT’, wanadaiwa kuwa na uhusiano uliotafsiriwa ni wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABY MADAHA AJIBU MAPIGO KWA STEVE NYERERE

Stori: Nyemo ChilonganiVITA ni vita! Mwanadashosti anayesukuma maisha laifu kupitia filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha amesema anamshangaa Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIYAMA NJIA PANDA KWA MITUNGI

Stori: Erick EvaristMh! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Riyama Ally, amejikuta akiwa njia panda baada ya kutakiwa kunywa pombe ya kienyeji aina ya ugimbi ambayo hajawahi kunywa maishani mwake.Riyama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA, PENNY WAIPASUA FAMILIA YA DIAMOND

Stori: GLADNESS MALLYA NA CHANDE ABDALLAHBOOOM! Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili Bongo, mwigizaji Wema Isaac Sepetu na mtangazaji wa DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ wanadaiwa kuipasua familia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU NDIYE IJUMAA SEXIEST GIRL

STAA wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ameibuka mshindi katika shindano la Ijumaa Sexiest Girls akiwabwaga Elizabeth Michael ‘Lulu’, Nelly Kamwelu, Jacqueline Wolper na Jokate Mwegelo usiku huu ndani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBE WEMA SEPETU NA GLOBAL PUBLISHERS NI DAMU DAMU

Juzi tu Wema Alienda Ofisi za Global Publishers na kuanzisha Timbili la Haja kwa kudai kuwa wanamfuatilia sana na kumwandika Sana kwenye Magazeti yao..Nikiamini Wema Sepetu na Global Publishers ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVID MOYES KUACHISHWA KAZI MUDA WOWOTE KUANZIA LEO

Vyombo vya habari vya Uingereza, likiwemo Mail on Sunday vimeripoti kuwa David Moyes ataachishwa kazi wiki chache zijazo na kwamba anaweza kuachiswa hata leo au keshoWamiliki wa timu hiyo, familia ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII AFRICA MASHARIKI WAJIPANGA KUZISUSIA TUZO ZA MTV AFRICA MUSIC AWARDS

Website ya Nairobi News imeripoti kuwa wasanii wa Afrika Mashariki wanapanga kuzisusia tuzo za MTV Africa Music Awards, MAMA.Wasanii hao wanazishutumu tuzo hizo kwa kutozitendea haki nchini za Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANCHESTER UNITED YAMTIMUA NA KUMRUSHIA VIRAGO DAVID MOYES

Kocha David Moyes ameondolewa rasmi kwenye majukumu yake ya ukocha katika klabu ya Manchester United. Taarifa rasmi ya klabu hiyo imetolewa kupitia mtandao wa Twitter unaweza kuicheki hapo chini……

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA DAVID MOYES KUFUKUZWA MAN U HUYU NDIO KOCHA MPYA

Kutokana na kutofanya vizuri chini ya uongozi wake David Moyes hatimaye leo April 22 Manchester United wamemtangaza Mchezaji wa siku nyingi wa Manchester United Ryan Giggs kukabidhiwa  kwa muda mikoba...

View Article
Browsing all 109450 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>