Taarifa zilizonifikia toka Gare LUSHOTO, ni kuwa mama mmoja amefariki dunia kwa kukosa usafiri ulikotana na ukosefu wa fedha japo alikuwa alikua nazo kwenye Simu
M-Pesa (VODACOM).
Itakumbukwa kuwa huduma ya M-PESA haipatikani toka jumamosi iliyopita hadi hivi sasa!!!
SWALI KWA VODACOM;
-Hamuoni mmemleta madhara makubwa kwa wateja wenu?
-Tatizo ni nini ilihali nyie mko kimya na haijawahi kutokea tatizo lika-persist namna hii?
-Fedha za wateja ziko salama?
-Mtamsaidiaje au kumfidiaje mteja wenu alieathirika kama familia ya marehem mteja wenu huyu?
M-Pesa (VODACOM).
Itakumbukwa kuwa huduma ya M-PESA haipatikani toka jumamosi iliyopita hadi hivi sasa!!!
SWALI KWA VODACOM;
-Hamuoni mmemleta madhara makubwa kwa wateja wenu?
-Tatizo ni nini ilihali nyie mko kimya na haijawahi kutokea tatizo lika-persist namna hii?
-Fedha za wateja ziko salama?
-Mtamsaidiaje au kumfidiaje mteja wenu alieathirika kama familia ya marehem mteja wenu huyu?