Ombeni msamaha na mkae meza Moja kudhungumza kuhusu kuyatoa majeshi yenu Somalia mambo yaishe hamna uwezo wakukabiliana Na Alshabab. Kwani ni nyinyi mloanza kuingia Somali na kuuwa wanawake na watoto wa kisomali bila hatia yoyote
Ushahidi kwamba Alshabaab hamuwawezi ni tokeo la Westgate ambapo vijana wanne tu waliwashinda Jeshi zima la Kenya pamoja na Vifaru vyao, ushahidi mwengine ni tukio la juzi, shambulio lilianza saa mbili usiku hadi saa nne Mabenki,Mahoteli,Vituo vya polisi vilihusika,Jeshi la Kenya liliwasili eneo la tukio masaa matano baada ya tukio
Huu ni ushahidi tosha kwamba Jeshi la Kenya liliwakwepa wapiganaji Wa Alshabaab
Hamuwawezi,mnawaogopa,hamjiami ni OMBENI MSAMAHA NA KUTOA MAJESHI YENU SOMALIA HARAKA muwanusuru raia wasio na hatia.