Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109450

Rihanna Anamzimikia Mchezaji wa Ghana Huko Brazil

$
0
0
Rihanna anamzimikia mchezaji wa Ghana, Kevin-Prince Boateng.

Da Bae doe! I might have to be team Ghana on this one idc idc idc pic.twitter.com/3GDQPU5KGe

— Rihanna (@rihanna) June 16, 2014

Kupitia Twitter, Rihanna alisema kuwa kutokana na mchezaji huyo anayekipiga pia FC Schalke 04, alijikuta akiwa shabiki wa Ghana ilipokuwa ikicheza na Marekani jana.

Hata hivyo huenda Riri aliangushwa na timu hiyo baada ya kufungwa bao 2-1.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109450

Trending Articles