Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109514

Breaking News:Ajali Mbaya yatokea Maeneo ya Makongo na Kuuwa Watu 18..Photos

$
0
0



Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari jijini Dar.
Inasikitisha Jamani ...RIP
By Pendo Lyimo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109514

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>