Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109498

Alikiba: Sina bifu na Diamond lakini alinikosea na nikaumizwa na nilisha samehe

$
0
0
Msanii Alikiba ameamua kufungaka na kuweka waZi kili kinacho hitwa tofauti au bifu kati yake na Msanii Diamond!Kwanza lazima tukubaliane kuwa ALikiba ni mmoja wa Wasanii wasio penda maneno na malumbano na wasanii wenzie ndio maana hukaa kimya. Kwanza Alikiba alisema hana bifu na diamond na hana sababu ya kuwa na bifu nae japo yanayo ongelewa yana muumiza sana na aliamua kuondokana na hayo yote busara ya haraka ilikuwa kukaa kimya.

Aliendelea kusema aliumizwa sana aliposikia kuwa amefuta mistari ya diamond kwenye wimbo wa Single boy ambao aliimba na lady jaydee na hakuimba kabisa na diamond na hata producer aliye record wimbo huo alithibitisha. Aliendelea kusema kuwa aliumizwa sana na uongo huo kuhusu yeye na hakupenda kuuongelea sana kwa sababu ange onekana anatafuta kick wakati hakuKuwa na kitu kama hicho.

Pia Alikiba aliamua kusema kuwa aliumizwa sana na kitendo cha Diamond kufuta mistari yake kwenye wimbo wa Lala salama maana Diamond hakumwambia kwanini kafanya hivyo na hadi leo hakuwai kumwambia. Alisema hilo swala amechukulia kama na Kitendo cha mtu kuomba mtihani wako aangalizie alaf baadae ana kurudishia mtihani wako na kusema sitaki majibu yako au ana yafuta yote alaf unategemea atajisikiaje? na alisema yeye alisha samehe lakini Diamond alimkosea na hadi leo hawakuwai kukutana.

Ameweka wazi kuwa aliamua kuwa kimya ili watu waongee lakini hana tatizo na Diamond. Katika hili sikuona sababu ya Diamond kutomwambia Alikiba kuwa wimbo naufanya upya na nimetoa mistari yako maana sikuipenda na nimeamua kuimba mwenyewe.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 109498

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>