Ni muda sasa jirani wetu Kenya wanapata mashambulizi kutoka kikundi cha magaidi wa alshaabab.
Karibu kila siku mashambulizi ya mabomu ya kutegwa na risasi hutokea ktk miji ya Nairobi na Mombasa huku ikiua ndugu zetu wakenya.
Ni alshaabab wanaojipambanua kuwa wanahusika na mauaji hayo ukizingatia alshaabab waliwahi kusema;
"Kenya imeingiza majeshi somalia, hivyo itajuta kuingiza majeshi somalia, tutaishambulia kenya".... "Tofauti yetu na Kenya ni kuwa, Wakenya wao wanakuja kupigana vita Somalia huku wakiogopa kufa, sisi tunapigana vita huku tukiwa hatuogopi kufa.."
Nimetafakari sana hatua ambayo watanzania tumechukulia wenzetu wa kenya kushambuliwa na wahuni wa alshaab huku tukiwa kimya tu. kwa nini nasi tusipeleke jeshi letu Somalia kama walivyopeleka wenzetu wa KENYA na UGANDA?
Hivi alshaabab wakipata nguvu wakishuka wakatake over Mombasa, je pwani yetu itakuwa salama? Tanzania itakuwa salama?
ALSHAABAB WAKIONA WANAIWEZA KENYA, MAJIRANI HATUTOKUWA SALAMA HATA
Karibu kila siku mashambulizi ya mabomu ya kutegwa na risasi hutokea ktk miji ya Nairobi na Mombasa huku ikiua ndugu zetu wakenya.
Ni alshaabab wanaojipambanua kuwa wanahusika na mauaji hayo ukizingatia alshaabab waliwahi kusema;
"Kenya imeingiza majeshi somalia, hivyo itajuta kuingiza majeshi somalia, tutaishambulia kenya".... "Tofauti yetu na Kenya ni kuwa, Wakenya wao wanakuja kupigana vita Somalia huku wakiogopa kufa, sisi tunapigana vita huku tukiwa hatuogopi kufa.."
Nimetafakari sana hatua ambayo watanzania tumechukulia wenzetu wa kenya kushambuliwa na wahuni wa alshaab huku tukiwa kimya tu. kwa nini nasi tusipeleke jeshi letu Somalia kama walivyopeleka wenzetu wa KENYA na UGANDA?
Hivi alshaabab wakipata nguvu wakishuka wakatake over Mombasa, je pwani yetu itakuwa salama? Tanzania itakuwa salama?
ALSHAABAB WAKIONA WANAIWEZA KENYA, MAJIRANI HATUTOKUWA SALAMA HATA