Nimeangalia video iliyowekwa mitandaoni inayomuonesha Yule aliekuwa mume wa Dida akihojiwa sababu za kuachana na mke wake.
Kuna hiki kitu amekitaja kimenivutia kdogo nidadisi
" Kwamba Mult choice walikuwa wanamuandaa Dida kuwa mshiriki wa mwaka huu? Tena kabla ya mchakato rasmi kuanza??
Je hivi ndivyo ina vyokuwaga au ??
Na Jee ile Interview ya Tarehe 11 Jul ni Kanya Boya? Mshindi Alishachaguliwa?
Kuna hiki kitu amekitaja kimenivutia kdogo nidadisi
" Kwamba Mult choice walikuwa wanamuandaa Dida kuwa mshiriki wa mwaka huu? Tena kabla ya mchakato rasmi kuanza??
Je hivi ndivyo ina vyokuwaga au ??
Na Jee ile Interview ya Tarehe 11 Jul ni Kanya Boya? Mshindi Alishachaguliwa?