Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109475

Mama Diamond 'Wanawake Wengi Wanajitongozesha Kwa Diamond, Wanatuma Mpaka Picha za Uchi Kwenye Number ya Simu ya Biashara

$
0
0

Mama mzazi wa star anayeipeperusha vizuri bendera ya Tanzania kimataifa kwa sasa kupitia muziki, Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz jana (July 11) alipata nafasi ya kuzungumza na Watanzania kupitia kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM, mambo mbalimbali yanayomhusu mwanaye.

Moja ya Swali aliloulizwa ni hili hapa:


Na hii tabia ya mara (msichana) huyu mara huyu wewe ukiwa kama mama kwako huo unaipokea vipi?


Jibu:
"Na hii tabia ya mara (msichana) huyu mara huyu wewe ukiwa kama mama kwako huo unaipokea vipi?
“ Siipokei vizuri laikini sasa nitafanya nini nay eye star, wengine wanajitongozesha bila kutongozwa..mi mwenyewe hapa kutwa napigiwa simu mpaka nazima, wananipigia simu wanafikiria Nasib wanajitongozesha mpaka nawatumia meseji mbona mnajitongozesha, hii sio namba ya Nasib hii namba katoa ya biashara ya Tshirt 0716186318 sio namba ya Diamond, namba yake mama yake.sitaki usumbufu..wananitumia mapicha ya uchi , mapicha ya nini sasa ni ustarabu gani huo”

Happiness is not something you postpone for the future; it is something you design for the present.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 109475

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>