Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Daaah! Inasikitisha. Soma Hii Story Huyu Dada Aliyekutana na Mwigizaji Shamsa Ford

$
0
0
Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja wa kijamii leo hii, mwanadada mwigizaji Shamsa Ford amepost ujumbe huu kwa wale wadada wote wanopenda kutumia mikorogo kama njia ya kuwafanya waonekane warembo Zaidi. Hichi ndicho alichokisema.

“Leo nilikutana na mdada ambaye alikuwa ananiomba sana kukutana na mm.nilipokutana naye alikuwa amevaa hijabu kubwa sana yaani yalibaki macho tu.nikajua mfungo wa ramadhani.nilishangazwa sana baada tu ya kuketi akaanza kulia.baada ya kunitolea hijabu yake nilitamani kukimbia.Wasichana wenzangu na kina mama tujiamini na kile Mungu alichotuumba nacho..huyu dada alikuwa ananunua hii mikorogo inayotengenezwa na watu majumbani.matokeo yake amejichubua mpaka kabakisha ngozi ya mwisho.Na sababu kubwa iliyomfanya anitafute ni kunisihi kutochezea rangi yangu na kwasihi wanawake wanaojichubua waache coz madhara yake ni makubwa.na sasa hivi ana canser ya ngozi.Nilitamani kumpiga picture but alikataa.TUWENI MAkINI Dada zangu”

Quote of The Day:
Thousands of candles can be lighted from a single candle, and the life of the candle will not be shortened. Happiness never decreases by being shared.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>