Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daaah! Inasikitisha. Soma Hii Story Huyu Dada Aliyekutana na Mwigizaji Shamsa...

Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja wa kijamii leo hii, mwanadada mwigizaji Shamsa Ford amepost ujumbe huu kwa wale wadada wote wanopenda kutumia mikorogo kama njia ya kuwafanya waonekane warembo Zaidi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huu ni Ujumbe wa Kajala Kwenda Kwa Mtoto Wake Kwenye Siku ya Kuzaliwa Kwa...

Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Linah Aelezea Wivu, Majivuno na Majungu Yanavyowatafuna Wasanii wa Kike Hapa...

Idadi ndogo ya wasanii wa kike Tanzania waliofanikiwa kimuziki na mbio za baadhi yao kuishia sakafuni husababishwa na mengi, lakini kumbe wao binafsi ni sehemu kubwa ya sababu za kuwapunguza kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Moto Wateketeza Nyumba Mwananyamala Hospitali

Moto mkubwa umeteketeza nyumba moja yenye vyemba 12 na mali zote zilizokuwa ndani yake katika eneo la hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam.Kwa mujibu wa kamanda wa polisi Mkoa wa Kipolisi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baby Madaha: Wasanii Wengi wa Bongo ni Washirikina Wanalogana Sana

Staa  wa  kike  anayefanya  vizuri  katika  tasnia  ya  muziki  na  filamu  nchini, Baby  Joseph  ‘Baby Madaha’  amewatolea  uvivu  wasanii  wenzake  kwa  kuifumua  tasnia  hiyo  kuwa  asilimia  kubwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole Awashangaa Wanao Kaa na Kuchonga Kuwa Mpenzi Wake Nuhu ni Serengeti Boy

Mwanamuziki na Staa wa Bongo Movies Mrembo Shilole Amehabarisha na Kusema kuwa Anawashangaa Sana watu wanao kaa Kutwa Kuchonga na Kusema Eti Mpenzi wake Nuhu Mziwandani ni Mdogo kwake kiumri , Shilole...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rachel:Sitoki Kimapenzi na TID na Wala Hajanifundisha Kutumia Madawa ya...

Mwanamuziki Rachel Ambaye ni zao la THT na Aliyetamba na Single ya Kizunguzungu amejitokeza hadharani na kukanusha tetesi ambazo zilikuwa headlines week mbili zilizopita kuwa anatoka kimapenzi na TID...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Atoa ya Moyoni na Kusema 'Nimemsamehe Penny'

STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetuamesema baada ya kutokuwa na maelewanokwa muda mrefu na mtangazaji maarufuBongo, Peniel Mungilwa ‘ Penny’ , sasaameamua kumsamehe rasmi kwa heshima yaMwezi Mtukufu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flora Lymo (Mbuta Nanga) yuko Mahututi Hospitalini, Apimwa Kansa ya Kichwa

Yule dada wa UK kwa jina florah lymo au mbutananga yuko hospitalini kwa matibabu baada ya kuhisi kizunguzungu na kuanguka ghafla. Taarifa zilizohakikiwa ni kwamba alifanyiwa kipimo cha Kansa ya ubongo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Le Mutuz: Thank You Jamiiforums I am A Big Star and Big Celebrity Cause of...

Jamani heshima mbele sana, naomba kuwashukuru sana Jamiiforums I mean JF nimetoka nayo mbali sana na imenifikisha mbali sana na wala sio siri leo ninafahamika kila kona ya Tanzania kwa sababu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mr Nice Afunguka Kuhusu Utajiri Wake wa Bilioni 1.5 na Jinsi Ulivyotoweka Ghafla

Mr.Nice akifunguka kuhusu utajiri wake ulivyotoweka ghafla!. Katika hali yakushangaza, Lucas Mkenda au maarufu kama Mr.Nice, finaly afunguka kuhusu utajiri wake na sababu za kushuka kwake kimuziki,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate Mwegelo Vs Vanessa Mdee Unamkubali Yupi Zaidi?

They are both smart,classic,intelligent,tale nted,educated and they both have natural beauty... Frankly speaking those chicks are cute but there is something ambacho mmoja kamzidi mwenzie je wewe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Steve Nyerere Alia na Watu Wanaomzushia Kuwa Yeye ni Shoga. Hichi Ndicho...

Mwenyekiti wa bongo movie Unity, Steve Nyerere amechukizwa na watu wanaotumia mitandao vibaya na kwa kumzushia kuwa ni shoga.Steve Nyerere kupitia akaunti yake ya facebook ameandika:Napenda kuchukua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Matokeo ya Kidato cha Sita Mwaka 2014

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka najumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III.Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Audio: Diamond awapa baraka zote wanaotumia sura yake kufanya biashara

Diamond Platinumz’ ni jina ambalo linakubalika zaidi ama jina la msanii wa bongo flava mwenye mashabiki wengi zaidi nchini Tanzania, lakini umati wa mashabiki wanaompenda Diamond ni soko la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto wa miaka 8 aiba benki kwa kutumia iPad!

Kuna baadhi ya matukio ya kivamizi tumezoea kuyaona kwenye filamu za kipelelezi huku yakituacha midomo wazi na sifa zote zinaenda kwa mtayarishaji, muongozaji na waigizaji wa filamu hiyo.Lakini hili ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kafulila:Ikitokea Nikifa Basi Serikali ya CCM Ndio Wahusika Wakuu wa Kifo Changu

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema endapo itatokea kwa namna yoyote akafa, mhusika mkuu wa kifo chake itakuwa “Serikali ya CCM” na ameagiza kuwa kamwe wasifike kwenye msiba wake wala kutoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Precision Air Yapata Hasara ya Sh 12.1 Billion

Hali ya kifedha ya kampuni ya usafiri wa anga ya Ndege ya Precision Air bado haijatengemaa baada ya kupata hasara ya Sh12.1 bilioni katika mwaka ulioishia Machi mwaka huu. Hata hivyo, hasara hiyo ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ikulu: Wanaomkosoa Jakaya Kikwete Kuhusu Katiba Hawako Sahihi

Ofisi ya Rais imesema kuwa wanaomkosoa Rais Jakaya Kikwete kuhusu msimamo wake katika mchakato wa Katiba Mpya hawako sahihi kwa kuwa ni mlezi na ana haki ya kutoa maoni yake kama mkuu wa nchi na kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake Wengi Walioolewa ni Wepesi wa Kuchepuka..Yaani Simple Kama Kumsukuma...

Wanawake wengi walioolewa wamekuwa wepesi (achilia mbali vidada ambavyo havijaolewa, ingawa navyo ni majanga lakini, afadhali mitego yao kidogo ni negotiable).Wengi wao huwatongozi ila watakutongoza...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>