Picha ya mwanamuziki wa nyimbo za mduara nchini, shilole mohamed aka SHISHI BABY iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii kama Insta na kuwaacha mashabiki midomo wazi wakijiuliza kama huyu ni shilole wa igunga au rihhana ,kutokana na muonekane wake HOT n SEXY kama binti Wa chuo.