Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakuu wa Shule za Serikali Zilizofanya Vibaya Katika Matokeo ya Form Six...

Wakuu wa shule za serikali zilizofanya vibaya kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu pamoja na Maofisa elimu wa Mikoa wamepewa muda wa mwezi mmoja ili kubaini chanzo cha  shule zao kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Batuli Ateswa na Dawa za Kulevya..Listi Ndefu ya Wanaosubiri Kunyongwa Yamuumiza

Na Gabriel Ng’oshaMWANADAFADA kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa anaumia kuona listi ndefu ya Wabongo wanaosubiri kunyongwa nchi mbalimbali kwa kukutwa na dawa za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaburi la Adamu Kuambiana Latoboko Kimaajabu ni Baada ya Mauza Uza Kukutwa...

SIKU chache baada ya kukutwa mauzauza katika kaburi la mwigizaji Rachel Haule ‘Recho’, kaburi la mwigizaji Adam Kuambiana (pichani)limekutwa limetoboka kimaajabu.Gazeti la Risasi Jumamosi toleo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maajabu:Kijana Ang'olewa meno 232, Madaktari Watumia Nyundo na Tindo

Madaktari nchini India wametumia saa 7 kufanikisha upasuaji wa kinywa cha kijana Ashik Gavai mwenye umri wa miaka 17 aliyekuwa akipata maumivu ndani ya kinywani .Dr Sunanda Dhiware, mkuu wa Kitengo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Miaka Miwili ya Ndoa, Aunt Ezekiel aanza kusaka Mtoto

Mwigizaji nguli katika tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel (pichani) anadaiwa kuanza kusaka mtoto ikiwa ni miaka miwili tangu afunge ndoa na Sunday Dimonte.Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Aunt, siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baaya ya Brazil Kumtimua Kocha Capello Huyu Ndio Kocha Mpya wa Team Hiyo

Shirikisho la soka la Brazil CBF limemtangaza aliyekuwa mchezaji wa Brazil Dunga kuwa kocha wa timu ya taifa kwa mara ya pili.Dunga aliyeiongoza Brazil kutwaa kombe la dunia la mwaka wa 1994 aliwahi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Viungo vya Binadamu kutupwa Dar, Chama cha Madaktari chataka Chuo...

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU)  sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa.Tamko hilo la chama limekuja huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miss K-Lyinn Ndani ya Mahaba Niue Siyo Cinema ya Bongo Movie Wala Siyo...

Ni mapenzi ya kweli haya wala siyo cinema ya bongo movie wala  siyo tamthiiria ya Sunche na Kapeto. Miss K-Lyinn ndani ya mahaba niue kama king na queen vile Safi sana

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti: Ndege ya Algeria iliyobeba watu 116 imethibitishwa kuwa imeanguka

Ndege ya shirika la Algeria iliyokuwa imebeba abiria 116 ambayo awali iliripotiwa kuwa imepoteza mawasiliano kwa zaidi ya dakika 50 imethibitishwa kuwa imeanguka.Kwa mujibu wa Aljazeera, maafisa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana Apigwa Shoka la Kichwa Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mtu, Madaktari...

Baada ya madoctor wa bugando kupambana kuokoa maisha ya jamaa aliye fumaniwa huko mwanza hatimaye wamefankiwa kumtoa shoka kichwani na hali yake bado mbaya yuko ICU kwa uangalizi zaidi mke wa mtu sumu 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ali Kiba Leo Asubuhi Katoa Nyimbo Mbili Kwa Mpigo...Zidownload Hapa

Baada ya wapenzi wa muziki Tanzania kusubiri kwa muda mrefu sasa wamepata nafasi ya kujiburudisha na ngoma mpya kutoka kwa Alikiba. Tarehe 25 Julai, 2014 Alikiba ameachia single mbili mpya kwa wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maimartha Amsuta Mtu Kwa Keki, Shampeni na Sare za Madira. Sikiliza Kisa Hapa

Wenyewe wamesema kuwa namna waliyoifanya wamemsuta mtu ki-technology mpya kutokana na namna yao mpya,unaweza kudhani ni filamu lakini Maimartha ameamua kumuelekeza kijana aliyeonekana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pati za Kajala za Kila Siku Zazua Jambo, Sidhani Kama Fedha za Sinema...

Na Musa MatejaMAKUBWA! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ameangusha pati nchini China kusherehekea siku yake ya kuzaliwa na kuibua minong’ono juu ya chanzo cha jeuri hiyo ya fedha.Kufuru hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate Mwegelo Asaka Mwanaume wa Kumuoa

Katika kuonyesha amechoshwa na upweke, mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameibuka na kusema kuwa sasa anasaka mwanaume wa kumuoa huku akitaja vigezo vya anayestahili kumuita mume.Akizungumzia maisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchakato wa Ujenzi Barabara za Juu ‘flyover’ Tazara Waanza

Tatizo la foleni katika jiji la Dar es Salaam, limeanza kupatiwa dawa baada ya Serikali ya Tanzania na Japan kutiliana saini mkataba wa ujenzi wa barabara za juu (flyover) katika makutano ya Barabara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanaume Mnao Jisifia Mnajua Mambo Sita kwa Sita Mnaboa Wengi Si lolote..One...

Umekutana na Jamaa very Handsome...Very Smart..Kajazia misuli UKAMTAMANI...Yaani kila ukimwangalia Pichu inajaa udambwidambwi...Unampatia Picha Ukimpa Mzigo jinsi atakavyoimanua vizuri...SIKU YA SIKU...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii Picha ya Shilole ni Shidaaa Kama "RIHHANA"

Picha ya mwanamuziki wa nyimbo za mduara nchini, shilole mohamed aka SHISHI BABY iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii kama Insta na kuwaacha mashabiki midomo wazi wakijiuliza kama huyu ni shilole...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dida Afunguka, Simu Ndio Chanzo Cha Kuachana na Ezden, 'Alinichapa Mikanda',...

Dida Shaibu, mtangazaji wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani amefunguka Exclusively kupitia Sunrise ya 100.5 Times Fm  inayoongozwa na Fadhili Haule na kueleza chanzo cha ndoa yake  na Ezden ‘The Rocker’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sikiliza Habari Kuhusu Barnaba Kutoka Kimapenzi na House Girl wa Wema Sepetu

July 25 Barnaba ametangaza kuwa ndiyo siku atakayotoa video yake ya Wahaladee ambayo imetengezwa kwenye ardhi mbili ya Tanzania na Kenya,Soudy Brown leo kaongea nae kuhusu msichana anayesemekana mpenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyimbo ya 'Mdogomdogo' ya Diamond ni Advanced Version ya "Aye" ya Davido!

Japo nyimbo hz mbili zna maana tofauti,lakin zote zmepgwa kwa maadhi ya kiasili pia idea ya matukio na story ya video hz mbili ni ile ile!sema mkali diamond ktk sehemu ya familia ya mfalme ametupia...

View Article
Browsing all 109519 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>