Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109498

Shirika la Nyumba NHC ni Bomu Litalolipuka Ndani ya Miaka Miwili Hadi Mitano

$
0
0
Wakati wananchi wengi wakifikiri kuwa NHC inakua, inaendelea inatanuka, inashamiri na kupendeza lakini mambo sivyo yalivyo.

NHC ni bomu litalolipuka ndani ya miaka miwili hadi mitano, kama hayatafanyika mabadiliko ya kimsingi katika strategy, approach na focus, kutoka hii ya sasa.
Wakati mchechu akipata sifa kupitia visibility ya physical infrastructure, financially shirika halina hata mia. Miradi mikubwa waliyoifanya haifanikiwi kama wanavyotarajia huku riba za mabenk zikiwa palepale.

Malengo ya NHC hayaendani na ukweli halisi wa maisha ya watanzania ambao ndo walengwa wa miradi yao. Kwa mfano nyumba za vyumba viwili zilizoko kigamboni zilimlenga kijana aliyemaliza chuo na kuanza kazi, kijana asiye na familia. Nyumba hizi zinauzwa kati ya 50 Mil hadi 75 Mil bila kodi na riba. Kijana gani aliyeanza kazi ataweza kulipa pesa hizo? kwa mshahara gani??

Kukurupuka huku kwa Mchechu kumesababisha NHC kujenga miradi mingi tena kwa mkopo lakini response ya watanzania ni ndogo na haiendani na mategemeo yao. Hii inamaanisha NHC watashindwa kurejesha mikopo yao ndani ya wakati , Jambo litalosababisha mabank kuhodhi miradi hii.

Kwa wataalamu wa costing, Mabank yanamwingiza choo cha kike mchechu, na kimsingi shirika hili litafilisiwa hapo baadaye. Just a simple financial forecasting analysis will tel you this.

Kwa watazamaji wa nje, majumba haya na miradi hii wataona ni mafanikio ndani ya muda mfupi, lakini JE nini kinaendelea baada ya hapo.

Mpaka sasa MERU residance Arusha kuna apartment ziko empty, na ni mradi wenye zaidi za miaka miwili sasa( MAJANGA).

Mchechu's ambitions does not reflect the tanzania economy, he is way far from the reality, na hii inakuja kuiua NHC.
Source:Jamii Forums

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109498

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>